Video není dostupné.
Omlouváme se.

🚨ISMAIL RAGE,AFUNGUKA MAZITO SAKATA LAYANGA,LINATAKIWA KUMALIZWA MAPEMA HILI.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • #football #yangasc #alikamwe #yangafc #yangatv #youtube #ahmedally #simba #simbaislive #simbatanzania

Komentáře • 57

  • @rehemamejja8342
    @rehemamejja8342 Před měsícem +2

    Usiwasaidieee ushuriii

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 Před měsícem +1

    Siku zote ninamwelewa sana mzee Rage licha ya Uyanga wangu. Yanga kwa hili inabidi kuwa makini sana na inabidi kufuatilia ushauri wake. Siku zote Mzee Rage anafuatilia michezo kama mzalendo na sio kama mshabiki kama wachambuzi wetu mlivyo na inabidi anapoongea muwe mnamsikiliza badala ya kuingilia ushauri wake wakati anafafanua jambo ili mpate kujifunze kitu. Wachambuzi wetu mnatabia za kishabiki hata katika masuala muhimu ya soka. Hii tabia yenu inatuchefua sana. Rage ni mzalendo wa Soka na taifa letu licha ya Usimba wake.

  • @user-gs2ir3bg4j
    @user-gs2ir3bg4j Před měsícem +1

    Rage achana nao kwani erimu akuna kwa watu wayanga awajui sakataiki timu inaweza kufungiwa bado wanakuona wewe ujui Sheria

  • @jumakhamis4077
    @jumakhamis4077 Před měsícem +2

    Mzee vigoma ndiyo maana unapigwa makofi na mke wako sababu hujitambui

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Před měsícem +1

    Kesi za Simba na Yanga ukipeleka TFF ni kupoteza muda, alichofanya mwanachama ni sahihi Rage acha kupotosha uma

  • @fauzishabani2622
    @fauzishabani2622 Před měsícem

    Tajiri huyoooooo😁

  • @saidmnenuka7822
    @saidmnenuka7822 Před měsícem +1

    Rage uko sahihi mm nimekuelewa

  • @charleslinhege690
    @charleslinhege690 Před měsícem +9

    Mzee Aden Rage na ushauri Kwa Migogoro wa Yanga. Wewe unatoa ushauri kwani Simba ilipokuwa na mgogoro mkubwa Yanga walikupeni ushauri kutatua mgogoro wenu ama yanga walichochea zaidi na kukucheka. Rage kumbuka hasimu wako muombee njaa

    • @saidingumbo-is2oe
      @saidingumbo-is2oe Před měsícem +1

      Huyo Juma Magoma atapewa timu yeye asije sema Sina hela ya safari na uendeshaji mungine ataijuwa nguvu ya vijana

    • @khajihamisi5054
      @khajihamisi5054 Před měsícem

      Tuwe weledi kidogo ktk hili,hukumu ilitoka mwezi 8 mwaka Jana! Hiyo hukumu Iko wapi?

    • @stanslausmteme8455
      @stanslausmteme8455 Před měsícem +1

      Rage kaongea anachokifahamu na yupo sahihi sana katoa uzoefu wake mzuri safi Rage

    • @user-zj2gc2zj2c
      @user-zj2gc2zj2c Před měsícem

      Rage hakuulizwa Kama mwanasimba bali aliulizwa Kama mwanasheria

    • @loishiyesamwel1374
      @loishiyesamwel1374 Před měsícem

      Rage na Yanga wapi na wapi? Kujipendekeza tu waachie wenyewe mzigo wao

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz Před měsícem +1

    Huyu jamaa anajua kufafanua mambo anajua kabisa anakwambia 2angalie maslahi ya nchi sio maslahi ya team uyo Magoma hajielewi kwa mtazamo wangu

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn Před měsícem +1

    Nyie wasafi hasa kitenge msikilizeni Mzee rage anawaambua mnajaribu kupindusha maneno lakini rage ni mwamba wa Sheria za michezo hivyo msicheze na Mzee rage

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo Před měsícem

    Mwamba MAGOMA mtamuelewa tu. Najua kadri muda unavyozidi kwenda ndivyo na baadhi ya Wanayanga tunaungana naye ili huko mbele tuishangae wote.

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 Před měsícem +1

    Ila Rage anajitahidi kufafanua vizuri

  • @jaspreetsinghbadwal7856
    @jaspreetsinghbadwal7856 Před měsícem +1

    TFF yenyewe ni tawi la Simba

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 Před měsícem +1

    Bange huwa haitoki moja kwa moja kichwani...

  • @godiuskahyarara9377
    @godiuskahyarara9377 Před měsícem

    Lakini hapa vema kuwa wawazi Yanga inaathitika kwa lipi??
    Maswala ya Soka
    Hiyo ibara ya 64 kimekiuka
    Lakini huyo Magoma ni Mwanachama qa Yanga??
    Na ukweli kuwa hao wanaosema kuna kosa lankughushi
    Je maamuzi yalifikiwaje??

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Před měsícem +1

    Rage kaa kimya acha kujipendekeza, kama ni makosa kwa nini mahakama imepokea shauri

    • @rukiamkwayo6302
      @rukiamkwayo6302 Před měsícem

      Mahakama inapokea hata Kuma ya mamayako acha usenge msikilize rage

  • @BennyTalimo
    @BennyTalimo Před měsícem

    Nawakumbusha kenya walifungiwa tanzania nao wafungiwe tubaki na ujinga

  • @user-ud4rk1vw7l
    @user-ud4rk1vw7l Před měsícem

    Waambie na Simba nao wake na Mzee Kilomoni

  • @user-cy6wu9cd7k
    @user-cy6wu9cd7k Před měsícem +1

    Hivi ni kwa nini kila siku ni Yanga? Why always us?

    • @sadih5333
      @sadih5333 Před měsícem

      Wala mihogo na wala madafu Akina shovi darasa la saba wengi

  • @user-rq3ic3mt2j
    @user-rq3ic3mt2j Před měsícem

    Interest ya nchi hapana. Tunataka interest ya watu yanga siyo nchi

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz Před měsícem

    Sasa kwann wanachama wasisajili wao wachezaji nikimanisha wasitoe pesa wao wakanunua mchezaji pesa itoke kwa boss MO au GSM

  • @athmanimkangara9290
    @athmanimkangara9290 Před měsícem

    51% for club members
    49% for investors

  • @andersonshimbi1378
    @andersonshimbi1378 Před měsícem

    KassimAlly je alipowatesa Aden rage ulimsifu ?

  • @EmmanuelMalangahe
    @EmmanuelMalangahe Před měsícem

    Achana na hao mgongo wazi hawana elimu walishaambiwa hawana akili wenye akili ni wawili tu

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Před měsícem

    12:27 12:31

  • @jassontv5366
    @jassontv5366 Před měsícem

    Hata Mahakama zetu zenyewe za kis....nge yaan wao hawajuhi kama kesi ni yao au ya mahakama ya michezo mamaeeeeee

  • @gerowadamwandika669
    @gerowadamwandika669 Před měsícem

    Rage achana nao vyura hao acha wagombane, unawapa ushauri wanakupa maneno ya hovyo, acha wagombane sisi tunafurahi waparurane 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @HappyEel-wg4qx
    @HappyEel-wg4qx Před měsícem

    Hata rage mwenyewe kashafungwa jela mbona hasemi

  • @BennyTalimo
    @BennyTalimo Před měsícem

    Fifa wameona kaf wameona tufungiwe ili huyo mzee walio mtuma wafurahi kenya wamefungiwa wamapotea

  • @HappyEel-wg4qx
    @HappyEel-wg4qx Před měsícem

    Jibu swali uliloulizwa

  • @happinessmwisse1152
    @happinessmwisse1152 Před měsícem

    Huyu rage ndiye aliye mtuma kagoma Ana lolote ya kwake yamekushinda hili zeee vipi Domo domo

  • @saidseleman2973
    @saidseleman2973 Před měsícem

    Ili sio la mpira ili ni jambo la kisheria mali ,yanga

  • @maruhe1958
    @maruhe1958 Před měsícem

    Vhivi ndo yule aliyewahi kuwa katibu wa fat halafu akafungwa ee! Hana chochote cha kushauri.....
    Labda ndo kamtuma nini

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Před měsícem

    Kelele na ww huna jipya

  • @HamadiBwakame
    @HamadiBwakame Před měsícem

    Muachieni rage atoe ushaur nyie ushauri nibure achupuuzi wa simba na ya anga nyiw

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru1629 Před měsícem

    Huyo ni Mnafiki hafahai.. Je Nani kaenda Mahakamani?

  • @HappyEel-wg4qx
    @HappyEel-wg4qx Před měsícem

    Acha kudanganya watu

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Před měsícem

    Simba nao itabidi wawekane sawa na Kilomoni asije akaenda mahakamani tukaingia kwenye migogoro kama hii.

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 Před měsícem

    Mzee Rage...
    Yaani unamtetea mfanyakazi aliyeingia kazini kwa vyeti feki kwa sababu tu ni mchapakazi mzuri? Please
    Nyeupe iwe Nyeupe na nyekundu iwe nyekundu..
    Issue ni kwamba uongozi uko madarakani kwa katiba ambayo haijasajiliwa na Rita..
    Na Rita wamethibitisha hii katiba ya 2020 iliyowaweka madarakani ni batiri.. That's it

    • @ahmednoor1412
      @ahmednoor1412 Před měsícem

      Nyie kolo tunawajuq

    • @user-ce3tx7mr8v
      @user-ce3tx7mr8v Před měsícem

      Rita imeongea NINI?RITA WANAKUTAFUTA

    • @musamagulu2023
      @musamagulu2023 Před měsícem

      Wewe shoga Kweli

    • @rexgodwill7353
      @rexgodwill7353 Před měsícem +1

      Katiba za vyama na taasisi zote kubwa kama yanga zinasajiliwa wapi? Je katiba iliyotumika kwenye uchaguzi wa viongozi walio madarakani yanga imesajiliwa? Kwa nini haikupata usajili?
      Acheni kupumbazwa na mafanikio kidogo mliopata wakati msingi ni mbovu..
      Yaani wanachama 5 wanawakilisha wanachama 100 kwenye uchaguzi mnaona Sawa? Demokrasia ya wapi hiyo?

    • @rexgodwill7353
      @rexgodwill7353 Před měsícem

      @@user-ce3tx7mr8v hiyo katiba iliyowaingiza viongozi wa yanga walio madarakani imesajiliwa?

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule5017 Před měsícem

    Wajinga nyie Rage yupo sahihi , kama mnafikiri Rage anachoshauri ni hovyo ,bas endeleeni kukomaa mpaka Ligi ianze mtaona kitakachotokea wajinga nyie mnabisha Hata ukweli

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 Před měsícem

    Hizi kesi za Magoma ni kijinga sana

  • @HappyEel-wg4qx
    @HappyEel-wg4qx Před měsícem

    Umembana hana majbu