I thought it was a lady who sings this song.woooow he's amazing.i have came across to his songs.i Don even understands the language he sings or speaks but I enjoy his music.am from South Africa.i love yu young man❤❤❤❤
Dada mtangazaji hongera sna napenda mahojiano yako...watangazaji wengi wa bongo wachonganishi sana ila hongera sna dadangu💪💪💪🥰.Dogo founder we support you brother 👊🇰🇪
Kwanza huyu mtoto Yuko vizuri maswali anayajibu kwa hekima yaani ni mtu furani ivi majibu yake anafikili kabla ya kujibu nimempenda bure dogo mungu akuzidishie hekima na busara
Hamna swali lilokuwa gumu kama alilouzwa kwamba anapenda kusikiliza nyimbo za nani ilo swali lilikuwa lina uchonganishi wa hari ya juu sana lakini kalijibu vyema mno kwamba yeye anasikiliza nyimbo za wasanii wote hawezi kuchagua sababu wote niwaimbaji iyo akiri iliyotumika kujibu ni kubwa kuliko
Diamond anamuona vizuri sana huyu dogo na wapo pamoja sana....sema haya mambo hayataka harakaharaka:: Dogo kipaji kipo na kinaonekana...big up babu Tale..God bless you forever....na dogo zingatia masono yako utasaidika Zaidi...na tunakuomba usikae kinyonge Mungu yupo na ni wa kwetu sote .....Amen .
Namkubali sana dogo,,, lakini kiujumla huyo ni mtanzania maana baba mtanzania,pili kazaliwa Tanzania. Kwahiyo ana uraia wa aina mbili (wa kuzaliwaa &baba)
Huyo Mtoto Anaonesha ana stress nyingi.
Inawezekana maisha ya nyumbani anapotoka..
Mungu amsaidiye ..
I thought it was a lady who sings this song.woooow he's amazing.i have came across to his songs.i Don even understands the language he sings or speaks but I enjoy his music.am from South Africa.i love yu young man❤❤❤❤
Dada mtangazaji hongera sna napenda mahojiano yako...watangazaji wengi wa bongo wachonganishi sana ila hongera sna dadangu💪💪💪🥰.Dogo founder we support you brother 👊🇰🇪
sana dogo
Gonga like Kenya twamkubali jamani🇰🇪🇰🇪🇰🇪
254🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Huyu mtoto zaidi ya kipaji chake cha uimbaji. Yuko vizuri sana kichwani. ❤
Umeona ee kuna baadhi ya maswali nimeyasikia nimawa nayaogopa lakini dogo alivyo yapangua sijategemea kabisa
San😊
We umejuaje!! 😂😂
Yuko vizuri sana uyo dogo❤
Hana kiherehere mashaalah
Much collaboration from Kenya guys like back❤❤
We need to surport founder tz ,we Kenyans we are behind him ,he is so talented 🎉🎉❤ and the coming years he will be taking tz music to top
Pambana mdogo wangu,Allah Yupamoja nawe...you are calm❤
Mwenyez mungu akuzidishie mafanikio mema kijana wetu.
Mbona mtoto amepoa jaama ni mungu akubariki mwanangu ❤🎉
Huyu dogo ana kipaji mashallah mungu azidi kumuangazia nyota yake Inshallah ❤❤🙏🙏
Huu mtoto anaonekana ana stress hana furaha yeyote kuna vitu haviko sawa mungu akisaidie
Jikaze sn mdogo wng, uko vizuri sn kwenye kipaji chako na Mungu ata kusaidia
Ona watanzania kuna watu wazuri wanawaongaza kimaisha mbongezi kwa watanzania wote kuwasika mikono wanyonge❤
Wanawake amumpi sapot sai ngoojeni afikishe Miaka ishirin awe star utaona mishangaz ikijipitisha pitisha imuangire mtoto wawatu😅😅
😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Please do another interview in English this kid is talented ❤❤❤
Mtangazaji uko vizuri kuhoji:❤❤❤na Faoundar yuko vizuri sana❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Mdogo Wangu,utaenda mbali.good in answering questions.upstairs ako 👍
Full confidence ✨️
Allah akusimamie dogo
Kwa nin usiseme mwenzetu mu-africa unajua unapo tumia iyo kauli inamana unaleta ubaguz Yan unatak sis Tanzania tumbague si ndivyo✍️
Mtoto anajua kujieleza hadi ananizidi Mimi hongera sana kijana Mungu akuonekanie
We dogo ni genius aise , your very smart.
hongera dogo, endelea kupambana
Ubarikiwe sana mtoto wetu
Mtoto ana hakili sana ndomana wameona pamoja namziki lakini akisoms atafika mbari mungu amuonekanie katulia
Founder ni dgo mwenye ufahamu mkubw sanaa,, mungu amkomaze akil Zaid,na kumlinda na mishangaz
Kwanza huyu mtoto Yuko vizuri maswali anayajibu kwa hekima yaani ni mtu furani ivi majibu yake anafikili kabla ya kujibu nimempenda bure dogo mungu akuzidishie hekima na busara
Kwakweli amejibu vyema mno
Hamna swali lilokuwa gumu kama alilouzwa kwamba anapenda kusikiliza nyimbo za nani ilo swali lilikuwa lina uchonganishi wa hari ya juu sana lakini kalijibu vyema mno kwamba yeye anasikiliza nyimbo za wasanii wote hawezi kuchagua sababu wote niwaimbaji iyo akiri iliyotumika kujibu ni kubwa kuliko
@@mpajibinaisa7238 yaani Yuko vizuri
Mtangazaji wa kike ana JIPAJI KIKUBWA SANA. HUSUSANI SAUTI
Congratulations 👏 kijana
Utafika mbali sana kijana wetu inshallah 🙏🙏🙏🙏
Upo vizuri pambana dogo sisi tuko kukusuport
Anaujuzi kabisa ya kuimba mtoto ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mdogo wangu yani unakipaji kikumbwa sana balikiwa sana tunasubili nyimbo mpya
Kama baba ni mtanzania huyo ni mtanzania Automatically, Akifikisha miaka 18 Anaapa tu mahakaman kuwa anafuata uraia wa baba bac, 🎉🎉🎉🎉🎉
God bless you more.... than you think mdogo we2 , uko vizur sn
God time is the best❤❤❤ all the best bro
N̈̈ïp̈̈ën̈̈ l̈̈ïk̈̈ë z̈än̈g̈ü jamani❤❤
Big up sana dogo kaza Buti uko sawa sanaaaa
Pambana dogo mungu u nawe dogo❤❤❤
Yani leyna mtangazaji mzuri sana jamani Big up sana
Dogo kweli smart kwa kuongeya. Akili ipo kwa kweli
Diamond anamuona vizuri sana huyu dogo na wapo pamoja sana....sema haya mambo hayataka harakaharaka:: Dogo kipaji kipo na kinaonekana...big up babu Tale..God bless you forever....na dogo zingatia masono yako utasaidika Zaidi...na tunakuomba usikae kinyonge Mungu yupo na ni wa kwetu sote .....Amen .
Aya masimu kwa kuchapia
Kipaji kwekweli❤❤❤❤❤❤
The futur big star🎉
Congratulations 🎉🎉👏
Daah nimependa sana
Du kweri mungu akuongozee ufik mbali
Tuige mfano 🙌🔥🔥🔥safi sana broo
Mwenzetu mcongo
Keep going my young bro am happy to hear you can speak in French sijui nije unifinze kuongea😂😂 sending hugs from Singapore but a Kenyan 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
😅😅😅😅 arooooo alafu utaniuwa wew .mwaya
Anajua kujibu maswali
Go to school and follow your music Dreams. Sky is the limit Young man and God is the soul provider
p
Smart boy wallahy
Shule mnamuonea tu huyo aludi kuimba anaweza sana
MashaAllah mtoto lkn akili yake MashaAllah ❤️💕💕❤️❤️❤️
Dahh dogo Ana jibu Street kinoma😅😅
Dogo yuko vizuri sana
So good dogo hongera sana
Hongera dogo❤
Usikate tama dogo mungu yu pamoja nawe🙏
Thi guy is way too mature.......Founder TZ and Jay Melody are mature
huyu baba alieamua kufanya hivi mungu ambariki
Very wise kid!!
Mutoto huy alikua wap❤❤
Kijanaa hana Sauti kama ya bosso wapi likes jamani
Uko vizur dogo manshaallah 💓
Mimi na mupenda sana Uyu Mtangazaji sana
Congratulations
Ongera dogo ila uwemakini
Kinachonifurahisha kwa huyu dogo ni majibu yake ako smart sana kujibu maswali
mwanetu ❤wa kibembe unaweza sana
Namkubali sana dogo,,, lakini kiujumla huyo ni mtanzania maana baba mtanzania,pili kazaliwa Tanzania. Kwahiyo ana uraia wa aina mbili (wa kuzaliwaa &baba)
Hakuan maisha ya rah's hata kama Kuna mtu nyuma anakusaidia
Hakika mambo yatakuwa great hogera kwa kijana. Tunatoka far
Cool❤❤❤❤
Babu Tale big up
Pambana boy lazima utatoboa mungu yo nawee kijana
pambana sana jamani😊😊😊
Namuombea Mungu kipaji chase kikue
Aache kua bila vibe. ivo anabooh
Moto 🔥🇰🇪
Nampenda Sanaa ❤🇺🇸🇬🇦👌
Huyu kijana yuko na stress..ukiangalia sura yake
Hongera san
He's genius 💯
Mwandishi wa habari yupo gud sana coz hayo maswal mh
Maswali magumu sana lakini dogo ni kichwa kayapangu yote kama mwana siasi 🤣
Sasa kama babà mtanzania hata yeye si mtanzania jamani. Muda ukifika atapewa kitambulisho.
❤buja Burundi simba❤
Nakupenda sana
Dogo Yuko vizuli hongera zake
Kazi nzuli
Asiwache mziki uyo founder ni Moto Sana
Alafu wandishi wa kibongo amma maswali ya ki professional amujui kuoji Kama wandishi😅
inafaa mfanye kazi Professional maana mnakua kama watu ambao amjasoma, mic rambling izo mlikua amsikii au ndio kikubwa mrecod?
Uyo anaemuoji mjinga sana anataka kumualibia
French nyingi saana
Nice
Nakupenda❤
We kaa msafi mdogo wangu
Huyu ana sauti ya mbosso