MREMBO WA OMAN YAMKUTA MAZITO, AFICHUA UCHAFU WA MPENZI WAKE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 08. 2024

Komentáře • 398

  • @IvonaLeonardo
    @IvonaLeonardo Před měsícem +6

    Dada angu mm nimekupenda kwa mazungumzo mazur inshallah kheri mwenyez mungu atakuongoza utapata mwingine na uyo frenki atakukumbuka kwa mema na mazur

  • @ValentineFrisch
    @ValentineFrisch Před měsícem +4

    Hongera Sana dada umeonyesha upendo Sana lakini mungu atakusaidia ni mwanamke mpambanaji sana

  • @raymondrayfat3845
    @raymondrayfat3845 Před měsícem +12

    Weee mwanamke wa Frank ni mzuri saaana bwana ila basi tu tuyaache hayo dada wa Oman

    • @VeronicaDunbar
      @VeronicaDunbar Před 27 dny

      On second thought, contract, si siri ni ya miaka 2.
      So, ilikuaje akaweza fumania bf wake, na contracket si ya siri?
      Kwani Uarabuni for all those 2 years, boss hawaruhusu wafanyakazi/shagalas, kupiga simu nyumbani
      Mmmh, I'm starting to believe hii ni acting.

  • @NduwimanaHassan-k4c
    @NduwimanaHassan-k4c Před 6 dny

    Nakubali dada hujakoseya kimapenzi hayo kawaida wewe nimjengaji kapambana ikosiku utampata wakukufaa

  • @user-qf8zn6ui8q
    @user-qf8zn6ui8q Před měsícem +17

    Jamani acheni maigizo nyie aliyetoka Oman atakua huyo nyie VP mtu hana hata kielelezo chochote hana passport yani lazima angekua na hvo vitu mikononi mwake halaf kitu kingine atoke oman na kibeg kile kimoja tena chepesi hakina hata kitu muongo kama nn

    • @bernadetaleopord51
      @bernadetaleopord51 Před měsícem +4

      Mimi mwenyewe nimeshangaa kibegi kimoja tena chepesi na unasema umerudi jumla jumla mkataba umeisha 😢😊

    • @BennyTalimo
      @BennyTalimo Před měsícem +1

      Wewe dada nakupa pole umetapeliwa ila Mimi nipo tayari kama utaniitaji najua utaona utani ila Mimi ni mwaminifu dada

    • @BennyTalimo
      @BennyTalimo Před měsícem

      Bahati hii jamani

    • @BennyTalimo
      @BennyTalimo Před měsícem +1

      Nope namba yako tuwe marafiki kama hutajali

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 Před měsícem +2

      Nilivyoona ile clip ya kwanza tu nilijua ni muongo na wala cjaimalizia ht hizo nyingine huwa nazipita km nimeona mgonjwa wa corona 😂naona ni ujinga tu kupoteza muda kuangalia upuuz wake

  • @MagrethDally
    @MagrethDally Před měsícem +1

    dada pole na upo sahii sana kuchukua vtu vyako

  • @hassanissa6893
    @hassanissa6893 Před měsícem +1

    Pole dada duuu kaziipo❤❤

  • @user-qk4de2go9n
    @user-qk4de2go9n Před měsícem

    Pole dada yetu mungu atakupa mwingine mzur

  • @EsauSospita
    @EsauSospita Před měsícem +2

    Pole sana dada wanaume ndivyo walivyo

    • @sanaf8367
      @sanaf8367 Před měsícem

      Stories za kupanga tu hizi

  • @joycerwabanu5961
    @joycerwabanu5961 Před měsícem +20

    Wee acha njaa utoke omani na bag nyepesi bila mkoba acha uongo bhana!

    • @user-sn2ef2qt8r
      @user-sn2ef2qt8r Před měsícem +1

      Namimi nilisema kabegi kenywe kadogo Nani sizani kama KUlikua na kitu ata pochi ya bei Ata ya rial 5 alikua Ana 😅😅😅😅kwa nnavyojua wadada tunatoka Oman tunarudi tz na mabegi ya maana 😂😂

    • @MaArrr-mh2so
      @MaArrr-mh2so Před měsícem

      😂😂😂😂😂​@@user-sn2ef2qt8r

    • @sarahrashidabdallah3109
      @sarahrashidabdallah3109 Před měsícem

      ​@@user-sn2ef2qt8rumeona eee 😅😅

    • @bensonnyirenda
      @bensonnyirenda Před měsícem

      Dada anatafuta kiki 😂😂😂😂😂

    • @user-jt7pp4fg7r
      @user-jt7pp4fg7r Před měsícem

      Sio wote wanarudi na mabegi wengine wanaachana nguo zao km wana mpango wa kurudi​@@user-sn2ef2qt8r

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Před měsícem +3

    Eti frank mwanaume mpole, msitaarabu😂😂😂😂. Nimelia sana hadi machozi ya damu. Kwa hiyo ukajikuta umepata mwanaume wako peke yako pyee😂

  • @Furahazawadi-ym4be
    @Furahazawadi-ym4be Před měsícem

    Good achamume akuowe mariyako naye musaidiyane wemuke usihonge❤😂

  • @CastorGwamaka
    @CastorGwamaka Před měsícem +2

    Kiki hapo hamna kitu labda uolewe na mbwa 200,m kwa kipi ulicho nacho utazeeka hvyo hvyo au ulikuwa unajiuza huko..!!

  • @Furahazawadi-ym4be
    @Furahazawadi-ym4be Před měsícem +1

    Musihongewaume❤😂

  • @LucieGolden
    @LucieGolden Před měsícem

    Hahaha umemuonea kiredio,yan uone za wengine za kwako aaah!😂😂

  • @KassimMkota-to5ck
    @KassimMkota-to5ck Před měsícem +4

    Million 200 una TV ndani mnahojiana ujinga oman wadada wakazi riale 900 kwa mwezi

  • @HalimaIbrahim-x8x
    @HalimaIbrahim-x8x Před 5 dny

    Iyo ndo tabiya ya wanaume tz kenya atuna izo unapigwa na juwa

  • @mosesmwaisela2455
    @mosesmwaisela2455 Před dnem

    Unamtuhumu frenk. Je. Wewe ulikaa Miaka 2 Huna bwana uko. Haiwezekani

  • @BinthaSultan
    @BinthaSultan Před 21 dnem

    Huyu mwanamuke kwanza nimemupenda ilo kwanza anajielewa kwasababu alikuwa anatengeze maisha ya badae ni ile tu amekutana na mutu asiyokuwa sasa ila mwanamuke mwenye malengo yuko hivo na mutu anayohonga ni muze ila huyo ziyo muze nimuzuri anafwata anaweza kupendwa na mwanaume yohote tena wazaidi ya franck namuombea Mungu Ampe mutu sahihi

  • @Furahazawadi-ym4be
    @Furahazawadi-ym4be Před měsícem

    Hehehe muko nashida nahonga mume hahahaha❤😂

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Před měsícem +2

    😂😂😂😂😂 had nataman nitume voice mjinga san w

  • @bensonnyirenda
    @bensonnyirenda Před měsícem

    Muongo huyu Dada anajikanyaga sana unapuma pesa kwamtu ambayo hujuwi😂😂😂😂😂

  • @DayanaPeter-pd9yf
    @DayanaPeter-pd9yf Před měsícem

    Waweke Ndani sasa kumbe Hujakoma😂😂😂

  • @gfyt9036
    @gfyt9036 Před měsícem +2

    Mwana mke Akipenda mtu wake uwa sio et ana muhonga niuoendo tu ule nasio kua ana jipendekez alimpenda uyo kaka kwan ww mwana mume ukimpenda mwanamke uwa wamuonga am wampa kwa mapenzi yako

  • @nurumwinyi796
    @nurumwinyi796 Před měsícem +2

    We dda acha maringo,subiri usifiwe.....mbona wazri wapo wengi zaidi yako na wameyamaza tu nakuangalia

  • @hananali978
    @hananali978 Před 16 dny

    Mwanamke mwehu.. 200 million?
    Una kichaa 😂

  • @hawasaid6625
    @hawasaid6625 Před měsícem

    🤣🤣🤣🤣😂😂here I nimechonga kwa sonara 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-tb5bt8lq8j
    @user-tb5bt8lq8j Před měsícem +1

    Dada muongo hyu anasema alinunua bajaji akanunua pikipiki akafungua duka akahonga milion 10 kakaa Oman miaka 2 kwa mshahara haga shagala hyu muongo sana labda alikuwa anauza gari la katikati ya mapaja😂😂😂

    • @MonnaPonda
      @MonnaPonda Před měsícem

      Unasema kweli nimuongo sana huyo kwa kazi gani atumie million 1kwa cku mshamba tu

    • @khadeegaabdallah5756
      @khadeegaabdallah5756 Před 19 dny

      Ajielew vzr kwahiyo ilo baibui la million Khaa alafu oman gani alikuwa akifanya kaz mmmh

  • @Official83640
    @Official83640 Před měsícem +3

    We msenge tumekuchoka kila media kusambaza ujinga usioufanya tu juzi tu km miezi mitatu umehojiwa Carrymastory Oman unasema umekaa miaka 2 ndy urudi ht pasport huna mkononi wala pochi nyau ww punguza kiki boya wee

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 Před měsícem +1

      Linataka umaarufu 😂

    • @user-sn2ef2qt8r
      @user-sn2ef2qt8r Před měsícem +1

      😅😅😅😅😅😅

    • @Official83640
      @Official83640 Před měsícem

      @@ruqaiamohammed345 Mi nataka nikalichambe kwenye Insta yake ila sijaijua tu anatumia jina gani

    • @janethmutoka
      @janethmutoka Před měsícem +1

      Bora ww umesema mana mwenyewe nlikua bado nashangaaa hiyo miaka miwili Oman vipi tena😂😂😂

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 Před měsícem +1

      Katukera san wapambanaji wezie ubwaa hii

  • @user-zi1gp6dc2q
    @user-zi1gp6dc2q Před měsícem

    We nar muandishi mnafiki kwan kumhonga kitu gn watu walikuwa namipango yakuoana kwanini asimuhonge kwan kuhongwa kuna mipaka . Achen ufara hao walikuwa wanamakengo yakuishi na alikua ahongi alikuwa anampa ili frenk aandae maisha yao yabadae

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 Před měsícem +4

    Kwani huyu mdada pesa zote anampa Frenk. Kwani hana wazazi wanao hitaji msada wake…?

    • @MariamOmary-ep6iv
      @MariamOmary-ep6iv Před měsícem

      Waongo Hawa we jifikilie huyo frenk ni mjinga kiasi gani akaish na mwanamke kwa hiyo nyumba alio pangiwa kwann asiame😂

    • @umfahad2609
      @umfahad2609 Před 17 dny

      @@MariamOmary-ep6iv eti eeeh…? Kumbe hawa hua wanatupiga na kitu kizito tu ndugu yng.

    • @umfahad2609
      @umfahad2609 Před 17 dny

      @@MariamOmary-ep6iv Unajua mimi mwenyewe ni nusu muomani nusu mtanzania. Naishi Oman. Nikitaka mdada wa kazi natafuta mtanzania mwenzangu. Ili atoboe na yeye. Kuliko kuleta wa inchi nyingine. Hua nawapa mawazo. Wajichange wajenge. Na wasichezee pesa zao vibaya. Kwa hivyo niliskitika kuckia kampangia mwanaume. Na yeye hajajijenga kimaisha.

  • @user-wi1jb8mb7o
    @user-wi1jb8mb7o Před měsícem +1

    Mtihani wallah 😂😂😂

  • @user-zz7jr7yj9m
    @user-zz7jr7yj9m Před měsícem +2

    Katokaaa Oman na kucha kabandikaa 😂😂😂

  • @Furahazawadi-ym4be
    @Furahazawadi-ym4be Před měsícem

    Usipatiye mume pesa ujinga❤😂

  • @user-he2pk6io4d
    @user-he2pk6io4d Před měsícem +1

    We mzuri unaonga wanaume kuliko wewe kuongwa😂😂😂😂 eti mi mzuri

  • @mamasalhat
    @mamasalhat Před měsícem

    Mdada mnafki huyu wakati alijua kama analikodiwa looh 😂😂

  • @user-qi4in8yx4w
    @user-qi4in8yx4w Před 10 dny

    Nipo hapa😅😅😅😅😅

  • @lucasmlowezi9214
    @lucasmlowezi9214 Před měsícem

    Acha kujichanganya, umesema, uongi unatoa. Saizi unasema ulimuonga million 10. Acha mbwembwe

  • @AbrahamParasetui
    @AbrahamParasetui Před měsícem

    Hahahahahahah mwenye million 200 ajitokez kumuoa Sasha jamnnnnn 15:52

  • @user-sj3mh5yh7m
    @user-sj3mh5yh7m Před 9 dny

    Uzuri Gani,,Sifa kusifiwa c kujisifu 😮

  • @MeryJuliusJulius
    @MeryJuliusJulius Před měsícem

    mmmh we dad embu acha uhongo😂😂😂😂

  • @QueencathKivuyo
    @QueencathKivuyo Před 21 dnem

    Million 200!😮😮............

  • @SalmMussa-r8y
    @SalmMussa-r8y Před 14 dny

    Mmwanamke mwenzang kakosea kama umetoa sadaka kwann udai

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 Před měsícem +2

    Sasa km mzuri. Ndio unajiuza milion mia 2.? Huyu majicfu saana. Mwenye hela hajinadi hivi.

  • @user-uv2zg4uc5o
    @user-uv2zg4uc5o Před měsícem +2

    Pole sana wanaume sio waaminifu

  • @SabinaChacha-dy2yg
    @SabinaChacha-dy2yg Před 28 dny

    Frenk huyo ni mdangaji aneth anakufaa ndo type Yakojitafute muanze maisha

  • @user-nk6zz4pe4e
    @user-nk6zz4pe4e Před 17 dny

    Ongera dada sana nimekumisi

  • @rqiyaabdallah840
    @rqiyaabdallah840 Před měsícem +1

    Tahira kweli mungekua unanyota uyo mwanaume Angekupiga matukio Pamoja na kumlea muanyota Au wanaume Awa wapendi Atakama mukiwa onga wawajali wala nini ona pesa ako ulizo kua una muona kaenda kumlipia Mahari mwekine milioni 2 Nanusu Alafu bado unaji ita unanyota ukubado unamtaka Pamoja nayote Alio kufanya poleyako

  • @MajidAlrawahi-p3k
    @MajidAlrawahi-p3k Před měsícem

    Kweli kabisaaa so kuhongaa ni mapenz yanu tu ilaa watu hawaelew

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 Před měsícem +2

    , nyie wote ni waongo Umetoka Oman baada ya miaka 3 unarudi na sanduku la hand luggage? Kwanza asafiri wa kutoka nje hawataki kwenye huo mlango uliotokea

  • @nassirimasemo123
    @nassirimasemo123 Před měsícem

    Is Eeh kupenda sio mchezo,huyo dada ameumia sana,bahati haiji mara mbili,

    • @VeronicaDunbar
      @VeronicaDunbar Před 28 dny

      Haiti mara mbili vipi in this case? Kwani wale wote ndoani zao, wote walifaulu mara ya kwanza?

  • @NasreemNganya
    @NasreemNganya Před 18 dny

    Wanaume tafteni hela dada kasema kweli

  • @NeemaJoseph-d3w
    @NeemaJoseph-d3w Před měsícem

    Umeanza kuharibu sasa😂

  • @ZakkirNasri
    @ZakkirNasri Před měsícem

    Huyo dada sio mzuri hata kidogo hana ishu hana uzuri wowote alafu ana jichubuatu

  • @suleymaniqram1510
    @suleymaniqram1510 Před 5 dny

    Mbona nyumba uliijuwa wacha uongo

  • @MartinsAgufana
    @MartinsAgufana Před 16 dny

    Mjini Shikamoo Makelele! Mbona usimshtaki Kiredio? Ulimwambia wazi asirekodi na bado akazidi kurekodi. Una haki dada haswa kama huku sign mkataba na Kiredio

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 Před měsícem

    Mwanamke mzuri ahongagi ulihonga kwa sababu hukua unajiamini sokweli n'a mie mzee ninawajukuu siwezi kuhonga

  • @AbdillahiAlly
    @AbdillahiAlly Před 20 dny

    Nawy nimalaya kwamaneno yako 😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😅😅

  • @AbrahamParasetui
    @AbrahamParasetui Před měsícem

    Pole xan dad

  • @martinakimaro3302
    @martinakimaro3302 Před 15 dny

    Wadada wengi sana tunakoseaga sana kuwapa hawa wakaka hela

  • @mkambaselemani-ej7np
    @mkambaselemani-ej7np Před měsícem

    Mzuri ngombe kuku mzuri ukataliwe mzuri uhonge unahela house gell acha shobo

  • @jeskaoscar9423
    @jeskaoscar9423 Před měsícem

    Hana uzuli wowote kwanza egi goooooo Hana lolote ety mahari mirioni200

  • @africanentertainment2124
    @africanentertainment2124 Před měsícem +1

    Mwambie aweke namba kaka yangu amempenda

  • @Aisha-ic1rl
    @Aisha-ic1rl Před měsícem

    Heee jamani kwaio miaka mimwili kapata million 100 au😢

  • @danmpare7778
    @danmpare7778 Před měsícem

    Jmn watanzania mnadanganywa mkiona hii ni content walitunga story wakenya hatuwez danganywa kitoto Ivo jaribuni kufanya nzuri zaidi

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 Před měsícem +3

    Mrembo wa oman wap bhna wee 😂😂😂apunguze cream vidole ndiz za kuchoma

  • @bontenirera4795
    @bontenirera4795 Před 14 dny

    Naamini kama haukuwa unahonga ulikuwa namipango mingi nae

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Před měsícem +16

    Wametunga story hakuna uhalisia kabisa kama igizo la yule bibi

    • @MwanajumaShaban-z2x
      @MwanajumaShaban-z2x Před měsícem

      @@judithtitomalyeta4000 kweli

    • @janethmutoka
      @janethmutoka Před měsícem

      Kabisa huyu dada miez michachache kadhaaa hapa nyuma alitrend sijui kwenye media gan lkn ss hv anatuambia kakaaa Oman two years😂😂😂foolish

    • @MwanajumaShaban-z2x
      @MwanajumaShaban-z2x Před měsícem

      @@janethmutoka 3 years na kibegi kidogo😅😅

    • @khadijaomar7015
      @khadijaomar7015 Před měsícem

      Huyu kiredio siku pesa zikimtembelea nazan iyo surual hatofunga na kamba za viatu ayo masweta pia ataacha kuvaaa 😂😂 kiredio km nakuona ukianza kung,aa tu madem watapanga folen

    • @VeronicaDunbar
      @VeronicaDunbar Před 28 dny

      Haya ni mambo hutokea. Sijui km ni igizo.
      Lakini, ina dipict mambo yake hutokea in real life.
      Na km ni acting, believe me, basi ni actress MZURI SANA. Na, angekua ashatambulika km ni acting.
      In short, naona ni real. But it's good umetupatia benefit of doubt.

  • @floratillya8078
    @floratillya8078 Před měsícem +1

    Sasa wewe ulimtafuta kiredio kumpotezea Muda au ungemjuaje kama angekua anasikiliza swala la kutopost hutaki kuonekana mtandaon usimtafute huyo kiredio unamuonea tu kwanza kakufanya uwe star

    • @VeronicaDunbar
      @VeronicaDunbar Před 27 dny

      Kweli, mbona aliita Kiredio km alikua hataki video ionekane? Still, mbona akaleta 2nd. vidiographer ikiwa hakutaka mambo yake mtandaoni.

  • @mkundemosha1046
    @mkundemosha1046 Před 17 dny

    Huyu dada akili haijakomaa.
    Mara nin hela mara nn
    Wenye hela wanasemaga. Kamwanamme kenyewe kale kamevaa mibwag. Vivulana vya dar

  • @MajidAlrawahi-p3k
    @MajidAlrawahi-p3k Před měsícem

    Daaah dadaa sashaa emb jarb kusamhee frank anatiaaa hurumaa kamaa unampendaa msamehee tu

  • @FridanyoniFridanyoni
    @FridanyoniFridanyoni Před měsícem

    Kwani anayetoka oman lazima abebe mabegi mengi labda kasafirisha kwenye mery

  • @umranim5854
    @umranim5854 Před měsícem +2

    😂😂😂 milioni mia mbili kwa uzuri gani hasa wala haujatoka Oman kiki tu 😏

  • @rqiyaabdallah840
    @rqiyaabdallah840 Před měsícem +2

    Muongo uyo Alikua mfanya kazi wandali Ame Aibika Anajitoa Aibutuu eti akiuzamangari ndo mkataba wa miaka miwili hhhh

    • @Judy-dy4zt
      @Judy-dy4zt Před měsícem

      Kaz za ndani Oman zinalipa kuzidi alihopo ofisini Tanzania lakini hihi ni Kiki sio kwer njaa tu zinacubua

  • @umranim5854
    @umranim5854 Před měsícem

    Anauza magari 😂 muongo anajua kuongea kiarabu 😮

  • @GaishaFelix-fc7xl
    @GaishaFelix-fc7xl Před 5 dny

    Weee huna uzuri wa m 2.

  • @mwasitigervas2624
    @mwasitigervas2624 Před měsícem

    Uliacha umempangia nyumba mbona Tena unaishangaa nyumba eti ya kawaida au sijakuelewa mwanzo ulimtumia pesa apange au ulituma za matumizi ,,,uumh pole dada😂. Wa kawaida ndio Yuko nae🤝

    • @jadetoto
      @jadetoto Před měsícem

      Hukuelewa yaani ndani hakuna vitu kawaida yaani hajanunua vitu

    • @mwasitigervas2624
      @mwasitigervas2624 Před měsícem

      @@jadetoto oosante

  • @Ndenza
    @Ndenza Před měsícem

    Ma ex zangu mjiandae Kila mlipo narudia virus vyangu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před měsícem

    Yani Ile Safari Mpango Kila Kitu Feki Mpaka Watangazaji Feki Akuna Tukio Wala Bibi Kitukio

  • @jacksonmakoga683
    @jacksonmakoga683 Před 17 dny

    Yaani frank katuangusha sana ase

  • @AminaOmary-sm4wl
    @AminaOmary-sm4wl Před měsícem

    Na waandishi wa tz cjui hawana kaz za kufanya sio kweli huy dada hakuwepo oman aulize ss mdo tupo oman

    • @MonnaPonda
      @MonnaPonda Před měsícem

      Kabisa na mshara gani afanye vyote hivyo bajaji ahonge milioni kumi afungue duka bodaboda alipe kodi tunaijuwa hiyo

  • @EsterAloyce-m4j
    @EsterAloyce-m4j Před měsícem

    Ni mzuli kweli we daa

  • @zuwenaabdallah2059
    @zuwenaabdallah2059 Před 7 dny

    Apana dada kiredio hajuwi kitu bali ni uyo bwana wako kakusaliti

  • @bontenirera4795
    @bontenirera4795 Před 14 dny

    Dada jipe amani uko sahihi

  • @navukalunavatanzi6227
    @navukalunavatanzi6227 Před měsícem

    Hivi kama ni kweli basi wanawake wana shida sana. Yaani mwanamke unamtumia mabela mwanaume hujamwona miaka na unaamini anakungoja halo. Unaye na anachepuka ndiyo haupo halafu hata wazazi huwakumbuki mjinga sana

  • @Trixiewixie
    @Trixiewixie Před měsícem

    Kichwa maji 😂😂😂

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 Před měsícem +1

    Muongo dada ww kama ulitaka asipost kwanini umwite kiredio Acha nyau ww kutumalixia MB unataka kuingia mjini mwangalie na sura Lake pana

  • @julianagowele9163
    @julianagowele9163 Před měsícem

    Na kiredio ajitahidi tu kuwa makini km walivyo wenzie wale wa kenya na Nigeria

  • @EsauSospita
    @EsauSospita Před měsícem

    Dada nimekupeda bule unaonekana msitalabu sana Mimi shabiki yako

  • @joycerwabanu5961
    @joycerwabanu5961 Před měsícem +4

    Maigizo

  • @ShukuruJully
    @ShukuruJully Před 24 dny

    Frenk noma

  • @hawasaid6625
    @hawasaid6625 Před měsícem +1

    Sawa wewe mzuri Ndio utumie tecno macho matatu 😅

  • @FrancisMotivation002
    @FrancisMotivation002 Před měsícem

    Mwache Atajioa Yeye Kenge Huyooo!!! Kwa Uzuri Gani alionao wa kuolewa kwa M200, tunampatia Muda Tu Miaka 35 Ataanza kuhaha hata WA kumuoa kwa bureee

  • @bontenirera4795
    @bontenirera4795 Před 14 dny

    Kunako uyu kiredio akutake msama kama nimuelewa

  • @ruthk8302
    @ruthk8302 Před měsícem

    Tusio honga tukutame.oman😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @agynoel2846
    @agynoel2846 Před měsícem

    Kavulana kenyewe sasa..😊,

  • @mzalendomzalendo2567
    @mzalendomzalendo2567 Před měsícem

    Kama shagala anasema anaweza kumweka mtu yyte kwa sababu ya hela basi kuna tatizo kubwa sana kwa wanaume wa bongo

  • @user-bs5yr3xg2e
    @user-bs5yr3xg2e Před měsícem

    Yani wew unastajabisha uyo kiredio umemjulia mtandaoni kwa kuangalia challenge za watu anazo ziposti wew ulitaka yako asi eposti kwann

  • @user-lx2hg9mh2t
    @user-lx2hg9mh2t Před měsícem

    Hata kiarabu hakijui huyo muongo kaja omani ndio hata kama kaja omani ila karudishwa kashindwa kazi ndio mana alikuwa na kibegi hakina kitu hizo Kiki tuy😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Před měsícem

    Ww mwenyew mwusi weupe wa kujichubuw kwendaaaaaa huko kiredio amefanya vizur san tumejifunza mambo