On second thought, contract, si siri ni ya miaka 2. So, ilikuaje akaweza fumania bf wake, na contracket si ya siri? Kwani Uarabuni for all those 2 years, boss hawaruhusu wafanyakazi/shagalas, kupiga simu nyumbani Mmmh, I'm starting to believe hii ni acting.
Jamani acheni maigizo nyie aliyetoka Oman atakua huyo nyie VP mtu hana hata kielelezo chochote hana passport yani lazima angekua na hvo vitu mikononi mwake halaf kitu kingine atoke oman na kibeg kile kimoja tena chepesi hakina hata kitu muongo kama nn
Nilivyoona ile clip ya kwanza tu nilijua ni muongo na wala cjaimalizia ht hizo nyingine huwa nazipita km nimeona mgonjwa wa corona 😂naona ni ujinga tu kupoteza muda kuangalia upuuz wake
Namimi nilisema kabegi kenywe kadogo Nani sizani kama KUlikua na kitu ata pochi ya bei Ata ya rial 5 alikua Ana 😅😅😅😅kwa nnavyojua wadada tunatoka Oman tunarudi tz na mabegi ya maana 😂😂
Huyu mwanamuke kwanza nimemupenda ilo kwanza anajielewa kwasababu alikuwa anatengeze maisha ya badae ni ile tu amekutana na mutu asiyokuwa sasa ila mwanamuke mwenye malengo yuko hivo na mutu anayohonga ni muze ila huyo ziyo muze nimuzuri anafwata anaweza kupendwa na mwanaume yohote tena wazaidi ya franck namuombea Mungu Ampe mutu sahihi
Mwana mke Akipenda mtu wake uwa sio et ana muhonga niuoendo tu ule nasio kua ana jipendekez alimpenda uyo kaka kwan ww mwana mume ukimpenda mwanamke uwa wamuonga am wampa kwa mapenzi yako
Dada muongo hyu anasema alinunua bajaji akanunua pikipiki akafungua duka akahonga milion 10 kakaa Oman miaka 2 kwa mshahara haga shagala hyu muongo sana labda alikuwa anauza gari la katikati ya mapaja😂😂😂
We msenge tumekuchoka kila media kusambaza ujinga usioufanya tu juzi tu km miezi mitatu umehojiwa Carrymastory Oman unasema umekaa miaka 2 ndy urudi ht pasport huna mkononi wala pochi nyau ww punguza kiki boya wee
We nar muandishi mnafiki kwan kumhonga kitu gn watu walikuwa namipango yakuoana kwanini asimuhonge kwan kuhongwa kuna mipaka . Achen ufara hao walikuwa wanamakengo yakuishi na alikua ahongi alikuwa anampa ili frenk aandae maisha yao yabadae
@@MariamOmary-ep6iv Unajua mimi mwenyewe ni nusu muomani nusu mtanzania. Naishi Oman. Nikitaka mdada wa kazi natafuta mtanzania mwenzangu. Ili atoboe na yeye. Kuliko kuleta wa inchi nyingine. Hua nawapa mawazo. Wajichange wajenge. Na wasichezee pesa zao vibaya. Kwa hivyo niliskitika kuckia kampangia mwanaume. Na yeye hajajijenga kimaisha.
Tahira kweli mungekua unanyota uyo mwanaume Angekupiga matukio Pamoja na kumlea muanyota Au wanaume Awa wapendi Atakama mukiwa onga wawajali wala nini ona pesa ako ulizo kua una muona kaenda kumlipia Mahari mwekine milioni 2 Nanusu Alafu bado unaji ita unanyota ukubado unamtaka Pamoja nayote Alio kufanya poleyako
, nyie wote ni waongo Umetoka Oman baada ya miaka 3 unarudi na sanduku la hand luggage? Kwanza asafiri wa kutoka nje hawataki kwenye huo mlango uliotokea
Mjini Shikamoo Makelele! Mbona usimshtaki Kiredio? Ulimwambia wazi asirekodi na bado akazidi kurekodi. Una haki dada haswa kama huku sign mkataba na Kiredio
Huyu kiredio siku pesa zikimtembelea nazan iyo surual hatofunga na kamba za viatu ayo masweta pia ataacha kuvaaa 😂😂 kiredio km nakuona ukianza kung,aa tu madem watapanga folen
Haya ni mambo hutokea. Sijui km ni igizo. Lakini, ina dipict mambo yake hutokea in real life. Na km ni acting, believe me, basi ni actress MZURI SANA. Na, angekua ashatambulika km ni acting. In short, naona ni real. But it's good umetupatia benefit of doubt.
Sasa wewe ulimtafuta kiredio kumpotezea Muda au ungemjuaje kama angekua anasikiliza swala la kutopost hutaki kuonekana mtandaon usimtafute huyo kiredio unamuonea tu kwanza kakufanya uwe star
Uliacha umempangia nyumba mbona Tena unaishangaa nyumba eti ya kawaida au sijakuelewa mwanzo ulimtumia pesa apange au ulituma za matumizi ,,,uumh pole dada😂. Wa kawaida ndio Yuko nae🤝
Hivi kama ni kweli basi wanawake wana shida sana. Yaani mwanamke unamtumia mabela mwanaume hujamwona miaka na unaamini anakungoja halo. Unaye na anachepuka ndiyo haupo halafu hata wazazi huwakumbuki mjinga sana
Hata kiarabu hakijui huyo muongo kaja omani ndio hata kama kaja omani ila karudishwa kashindwa kazi ndio mana alikuwa na kibegi hakina kitu hizo Kiki tuy😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Dada angu mm nimekupenda kwa mazungumzo mazur inshallah kheri mwenyez mungu atakuongoza utapata mwingine na uyo frenki atakukumbuka kwa mema na mazur
Hongera Sana dada umeonyesha upendo Sana lakini mungu atakusaidia ni mwanamke mpambanaji sana
Weee mwanamke wa Frank ni mzuri saaana bwana ila basi tu tuyaache hayo dada wa Oman
On second thought, contract, si siri ni ya miaka 2.
So, ilikuaje akaweza fumania bf wake, na contracket si ya siri?
Kwani Uarabuni for all those 2 years, boss hawaruhusu wafanyakazi/shagalas, kupiga simu nyumbani
Mmmh, I'm starting to believe hii ni acting.
Nakubali dada hujakoseya kimapenzi hayo kawaida wewe nimjengaji kapambana ikosiku utampata wakukufaa
Jamani acheni maigizo nyie aliyetoka Oman atakua huyo nyie VP mtu hana hata kielelezo chochote hana passport yani lazima angekua na hvo vitu mikononi mwake halaf kitu kingine atoke oman na kibeg kile kimoja tena chepesi hakina hata kitu muongo kama nn
Mimi mwenyewe nimeshangaa kibegi kimoja tena chepesi na unasema umerudi jumla jumla mkataba umeisha 😢😊
Wewe dada nakupa pole umetapeliwa ila Mimi nipo tayari kama utaniitaji najua utaona utani ila Mimi ni mwaminifu dada
Bahati hii jamani
Nope namba yako tuwe marafiki kama hutajali
Nilivyoona ile clip ya kwanza tu nilijua ni muongo na wala cjaimalizia ht hizo nyingine huwa nazipita km nimeona mgonjwa wa corona 😂naona ni ujinga tu kupoteza muda kuangalia upuuz wake
dada pole na upo sahii sana kuchukua vtu vyako
Pole dada duuu kaziipo❤❤
Pole dada yetu mungu atakupa mwingine mzur
Pole sana dada wanaume ndivyo walivyo
Stories za kupanga tu hizi
Wee acha njaa utoke omani na bag nyepesi bila mkoba acha uongo bhana!
Namimi nilisema kabegi kenywe kadogo Nani sizani kama KUlikua na kitu ata pochi ya bei Ata ya rial 5 alikua Ana 😅😅😅😅kwa nnavyojua wadada tunatoka Oman tunarudi tz na mabegi ya maana 😂😂
😂😂😂😂😂@@user-sn2ef2qt8r
@@user-sn2ef2qt8rumeona eee 😅😅
Dada anatafuta kiki 😂😂😂😂😂
Sio wote wanarudi na mabegi wengine wanaachana nguo zao km wana mpango wa kurudi@@user-sn2ef2qt8r
Eti frank mwanaume mpole, msitaarabu😂😂😂😂. Nimelia sana hadi machozi ya damu. Kwa hiyo ukajikuta umepata mwanaume wako peke yako pyee😂
Good achamume akuowe mariyako naye musaidiyane wemuke usihonge❤😂
Kiki hapo hamna kitu labda uolewe na mbwa 200,m kwa kipi ulicho nacho utazeeka hvyo hvyo au ulikuwa unajiuza huko..!!
Musihongewaume❤😂
Hahaha umemuonea kiredio,yan uone za wengine za kwako aaah!😂😂
Million 200 una TV ndani mnahojiana ujinga oman wadada wakazi riale 900 kwa mwezi
Wala sio mia 9 ni reali 70
Sio 900 ni 90 au 100
Iyo ndo tabiya ya wanaume tz kenya atuna izo unapigwa na juwa
Unamtuhumu frenk. Je. Wewe ulikaa Miaka 2 Huna bwana uko. Haiwezekani
Huyu mwanamuke kwanza nimemupenda ilo kwanza anajielewa kwasababu alikuwa anatengeze maisha ya badae ni ile tu amekutana na mutu asiyokuwa sasa ila mwanamuke mwenye malengo yuko hivo na mutu anayohonga ni muze ila huyo ziyo muze nimuzuri anafwata anaweza kupendwa na mwanaume yohote tena wazaidi ya franck namuombea Mungu Ampe mutu sahihi
Hehehe muko nashida nahonga mume hahahaha❤😂
😂😂😂😂😂 had nataman nitume voice mjinga san w
Muongo huyu Dada anajikanyaga sana unapuma pesa kwamtu ambayo hujuwi😂😂😂😂😂
Waweke Ndani sasa kumbe Hujakoma😂😂😂
Mwana mke Akipenda mtu wake uwa sio et ana muhonga niuoendo tu ule nasio kua ana jipendekez alimpenda uyo kaka kwan ww mwana mume ukimpenda mwanamke uwa wamuonga am wampa kwa mapenzi yako
We dda acha maringo,subiri usifiwe.....mbona wazri wapo wengi zaidi yako na wameyamaza tu nakuangalia
Shukran sana
Mwanamke mwehu.. 200 million?
Una kichaa 😂
🤣🤣🤣🤣😂😂here I nimechonga kwa sonara 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Dada muongo hyu anasema alinunua bajaji akanunua pikipiki akafungua duka akahonga milion 10 kakaa Oman miaka 2 kwa mshahara haga shagala hyu muongo sana labda alikuwa anauza gari la katikati ya mapaja😂😂😂
Unasema kweli nimuongo sana huyo kwa kazi gani atumie million 1kwa cku mshamba tu
Ajielew vzr kwahiyo ilo baibui la million Khaa alafu oman gani alikuwa akifanya kaz mmmh
We msenge tumekuchoka kila media kusambaza ujinga usioufanya tu juzi tu km miezi mitatu umehojiwa Carrymastory Oman unasema umekaa miaka 2 ndy urudi ht pasport huna mkononi wala pochi nyau ww punguza kiki boya wee
Linataka umaarufu 😂
😅😅😅😅😅😅
@@ruqaiamohammed345 Mi nataka nikalichambe kwenye Insta yake ila sijaijua tu anatumia jina gani
Bora ww umesema mana mwenyewe nlikua bado nashangaaa hiyo miaka miwili Oman vipi tena😂😂😂
Katukera san wapambanaji wezie ubwaa hii
We nar muandishi mnafiki kwan kumhonga kitu gn watu walikuwa namipango yakuoana kwanini asimuhonge kwan kuhongwa kuna mipaka . Achen ufara hao walikuwa wanamakengo yakuishi na alikua ahongi alikuwa anampa ili frenk aandae maisha yao yabadae
Kwani huyu mdada pesa zote anampa Frenk. Kwani hana wazazi wanao hitaji msada wake…?
Waongo Hawa we jifikilie huyo frenk ni mjinga kiasi gani akaish na mwanamke kwa hiyo nyumba alio pangiwa kwann asiame😂
@@MariamOmary-ep6iv eti eeeh…? Kumbe hawa hua wanatupiga na kitu kizito tu ndugu yng.
@@MariamOmary-ep6iv Unajua mimi mwenyewe ni nusu muomani nusu mtanzania. Naishi Oman. Nikitaka mdada wa kazi natafuta mtanzania mwenzangu. Ili atoboe na yeye. Kuliko kuleta wa inchi nyingine. Hua nawapa mawazo. Wajichange wajenge. Na wasichezee pesa zao vibaya. Kwa hivyo niliskitika kuckia kampangia mwanaume. Na yeye hajajijenga kimaisha.
Mtihani wallah 😂😂😂
Katokaaa Oman na kucha kabandikaa 😂😂😂
Kwan nani kakwambia Oman hawabandiki kucha
Hair style nayo😅😅😅😅
😅😅😅
Mzuri haendi choo???
Usipatiye mume pesa ujinga❤😂
We mzuri unaonga wanaume kuliko wewe kuongwa😂😂😂😂 eti mi mzuri
Mdada mnafki huyu wakati alijua kama analikodiwa looh 😂😂
Nipo hapa😅😅😅😅😅
Acha kujichanganya, umesema, uongi unatoa. Saizi unasema ulimuonga million 10. Acha mbwembwe
Hahahahahahah mwenye million 200 ajitokez kumuoa Sasha jamnnnnn 15:52
Uzuri Gani,,Sifa kusifiwa c kujisifu 😮
mmmh we dad embu acha uhongo😂😂😂😂
Million 200!😮😮............
Mmwanamke mwenzang kakosea kama umetoa sadaka kwann udai
Sasa km mzuri. Ndio unajiuza milion mia 2.? Huyu majicfu saana. Mwenye hela hajinadi hivi.
Umehonae Kiki tu
Pole sana wanaume sio waaminifu
Frenk huyo ni mdangaji aneth anakufaa ndo type Yakojitafute muanze maisha
Ongera dada sana nimekumisi
Tahira kweli mungekua unanyota uyo mwanaume Angekupiga matukio Pamoja na kumlea muanyota Au wanaume Awa wapendi Atakama mukiwa onga wawajali wala nini ona pesa ako ulizo kua una muona kaenda kumlipia Mahari mwekine milioni 2 Nanusu Alafu bado unaji ita unanyota ukubado unamtaka Pamoja nayote Alio kufanya poleyako
Kweli kabisaaa so kuhongaa ni mapenz yanu tu ilaa watu hawaelew
, nyie wote ni waongo Umetoka Oman baada ya miaka 3 unarudi na sanduku la hand luggage? Kwanza asafiri wa kutoka nje hawataki kwenye huo mlango uliotokea
😅😅😅😅😅
Ujinga mtupu simaliz MB zangu bora nikaangalie jua Kali Mimi😏
Is Eeh kupenda sio mchezo,huyo dada ameumia sana,bahati haiji mara mbili,
Haiti mara mbili vipi in this case? Kwani wale wote ndoani zao, wote walifaulu mara ya kwanza?
Wanaume tafteni hela dada kasema kweli
Umeanza kuharibu sasa😂
Huyo dada sio mzuri hata kidogo hana ishu hana uzuri wowote alafu ana jichubuatu
Mbona nyumba uliijuwa wacha uongo
Mjini Shikamoo Makelele! Mbona usimshtaki Kiredio? Ulimwambia wazi asirekodi na bado akazidi kurekodi. Una haki dada haswa kama huku sign mkataba na Kiredio
Mwanamke mzuri ahongagi ulihonga kwa sababu hukua unajiamini sokweli n'a mie mzee ninawajukuu siwezi kuhonga
Nawy nimalaya kwamaneno yako 😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😅😅
Pole xan dad
Wadada wengi sana tunakoseaga sana kuwapa hawa wakaka hela
Mzuri ngombe kuku mzuri ukataliwe mzuri uhonge unahela house gell acha shobo
Hana uzuli wowote kwanza egi goooooo Hana lolote ety mahari mirioni200
Mwambie aweke namba kaka yangu amempenda
Heee jamani kwaio miaka mimwili kapata million 100 au😢
Jmn watanzania mnadanganywa mkiona hii ni content walitunga story wakenya hatuwez danganywa kitoto Ivo jaribuni kufanya nzuri zaidi
Mrembo wa oman wap bhna wee 😂😂😂apunguze cream vidole ndiz za kuchoma
😂😂😂😂😂ndizi za kuchoma
@@NeemaJuma-os6uo 😁
Naamini kama haukuwa unahonga ulikuwa namipango mingi nae
Wametunga story hakuna uhalisia kabisa kama igizo la yule bibi
@@judithtitomalyeta4000 kweli
Kabisa huyu dada miez michachache kadhaaa hapa nyuma alitrend sijui kwenye media gan lkn ss hv anatuambia kakaaa Oman two years😂😂😂foolish
@@janethmutoka 3 years na kibegi kidogo😅😅
Huyu kiredio siku pesa zikimtembelea nazan iyo surual hatofunga na kamba za viatu ayo masweta pia ataacha kuvaaa 😂😂 kiredio km nakuona ukianza kung,aa tu madem watapanga folen
Haya ni mambo hutokea. Sijui km ni igizo.
Lakini, ina dipict mambo yake hutokea in real life.
Na km ni acting, believe me, basi ni actress MZURI SANA. Na, angekua ashatambulika km ni acting.
In short, naona ni real. But it's good umetupatia benefit of doubt.
Sasa wewe ulimtafuta kiredio kumpotezea Muda au ungemjuaje kama angekua anasikiliza swala la kutopost hutaki kuonekana mtandaon usimtafute huyo kiredio unamuonea tu kwanza kakufanya uwe star
Kweli, mbona aliita Kiredio km alikua hataki video ionekane? Still, mbona akaleta 2nd. vidiographer ikiwa hakutaka mambo yake mtandaoni.
Huyu dada akili haijakomaa.
Mara nin hela mara nn
Wenye hela wanasemaga. Kamwanamme kenyewe kale kamevaa mibwag. Vivulana vya dar
Daaah dadaa sashaa emb jarb kusamhee frank anatiaaa hurumaa kamaa unampendaa msamehee tu
Kwani anayetoka oman lazima abebe mabegi mengi labda kasafirisha kwenye mery
😂😂😂 milioni mia mbili kwa uzuri gani hasa wala haujatoka Oman kiki tu 😏
Muongo uyo Alikua mfanya kazi wandali Ame Aibika Anajitoa Aibutuu eti akiuzamangari ndo mkataba wa miaka miwili hhhh
Kaz za ndani Oman zinalipa kuzidi alihopo ofisini Tanzania lakini hihi ni Kiki sio kwer njaa tu zinacubua
Anauza magari 😂 muongo anajua kuongea kiarabu 😮
Weee huna uzuri wa m 2.
Uliacha umempangia nyumba mbona Tena unaishangaa nyumba eti ya kawaida au sijakuelewa mwanzo ulimtumia pesa apange au ulituma za matumizi ,,,uumh pole dada😂. Wa kawaida ndio Yuko nae🤝
Hukuelewa yaani ndani hakuna vitu kawaida yaani hajanunua vitu
@@jadetoto oosante
Ma ex zangu mjiandae Kila mlipo narudia virus vyangu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Yani Ile Safari Mpango Kila Kitu Feki Mpaka Watangazaji Feki Akuna Tukio Wala Bibi Kitukio
Yaani frank katuangusha sana ase
Na waandishi wa tz cjui hawana kaz za kufanya sio kweli huy dada hakuwepo oman aulize ss mdo tupo oman
Kabisa na mshara gani afanye vyote hivyo bajaji ahonge milioni kumi afungue duka bodaboda alipe kodi tunaijuwa hiyo
Ni mzuli kweli we daa
Apana dada kiredio hajuwi kitu bali ni uyo bwana wako kakusaliti
Dada jipe amani uko sahihi
Hivi kama ni kweli basi wanawake wana shida sana. Yaani mwanamke unamtumia mabela mwanaume hujamwona miaka na unaamini anakungoja halo. Unaye na anachepuka ndiyo haupo halafu hata wazazi huwakumbuki mjinga sana
Kichwa maji 😂😂😂
Muongo dada ww kama ulitaka asipost kwanini umwite kiredio Acha nyau ww kutumalixia MB unataka kuingia mjini mwangalie na sura Lake pana
Na kiredio ajitahidi tu kuwa makini km walivyo wenzie wale wa kenya na Nigeria
Dada nimekupeda bule unaonekana msitalabu sana Mimi shabiki yako
Maigizo
Frenk noma
Sawa wewe mzuri Ndio utumie tecno macho matatu 😅
😂😂😂😂😂
Mwache Atajioa Yeye Kenge Huyooo!!! Kwa Uzuri Gani alionao wa kuolewa kwa M200, tunampatia Muda Tu Miaka 35 Ataanza kuhaha hata WA kumuoa kwa bureee
Kunako uyu kiredio akutake msama kama nimuelewa
Tusio honga tukutame.oman😂😂😂😂😂😂😂😂
Kavulana kenyewe sasa..😊,
Hata haeleweki
Kama shagala anasema anaweza kumweka mtu yyte kwa sababu ya hela basi kuna tatizo kubwa sana kwa wanaume wa bongo
Yani wew unastajabisha uyo kiredio umemjulia mtandaoni kwa kuangalia challenge za watu anazo ziposti wew ulitaka yako asi eposti kwann
Hata kiarabu hakijui huyo muongo kaja omani ndio hata kama kaja omani ila karudishwa kashindwa kazi ndio mana alikuwa na kibegi hakina kitu hizo Kiki tuy😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ww mwenyew mwusi weupe wa kujichubuw kwendaaaaaa huko kiredio amefanya vizur san tumejifunza mambo