Video není dostupné.
Omlouváme se.

SASHA MAKOYE: AMFUMANIA BOFYFRIEND WAKE/KIREDIO ATOBOA MCHONGO/NIMEMBLOCK KIREDIO KUTRENDISHA VIDEO.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 08. 2024
  • Nyie😂😂😂 Kumbe Kuna Wadada Bado Wanalipa Kodi? Wanakununulia Usafiri Na Mipango Ya Biashara Wanakunyooshea??? TEAM STRONG MKO VIZURI
    Usisahau ku subscribe CZcams channel ili kuwa mwanafamilia wa Bongo Fm.
    #simbafans #nbcsports #timuyawananchi
    #timuyawananchi #tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #simbasc

Komentáře • 476

  • @SekelaJakson-ls7dd
    @SekelaJakson-ls7dd Před měsícem +133

    😮waliogundua ni kiki like hapa

    • @shuwehaharuna6309
      @shuwehaharuna6309 Před měsícem

      Mimi nilijua kuona bagi Tu nikajua hii ni Kiki 😂

    • @DfhhffDryy
      @DfhhffDryy Před měsícem

      Kwanza kwa hella gani jmn mshahara wenyewe umeshuka

    • @HawaJumanne-uy4eu
      @HawaJumanne-uy4eu Před měsícem +1

      Kwa kweli nimechoka huyu dada katufanya sisi watoto kumbe katengeneza muvi😢😅😂

    • @UpendoLema-bx9ji
      @UpendoLema-bx9ji Před měsícem +1

      Duuuh

    • @Marry-k5p
      @Marry-k5p Před měsícem +1

      Huyu sio wa ramata badala ya lamata na ruru badala ya lulu😂😂😂ili igizo hili

  • @Amayrah-fe6ec
    @Amayrah-fe6ec Před měsícem +7

    Usimlaumu kiredio wakati ww mwenyewe na kihere here chako ndio ulimtafuta kiredio sasa kwa nn umlaumu kiredio😢

  • @EstellaMagara-zk2qx
    @EstellaMagara-zk2qx Před měsícem +63

    Kwa wale tumemujuwa kupitiya @kiredio like zenyu

  • @NaahJr
    @NaahJr Před měsícem +15

    Sasha alitaka kutrend tuu 😂😂 atajuju aliyataka mwenyew kiredio asingeweza kumfata Sasha kwanza hamjui watu wanaopenda mambo ya mitandaoni ndo wanamtafta kiredio wenyewe 🤣😂😂😂

    • @RhobinaDaudi-iz4ju
      @RhobinaDaudi-iz4ju Před měsícem

      Alisema alimtafta kiredio mwenyew, sio kiredio aliemtafta huy dada

  • @RayOmar-vk2nn
    @RayOmar-vk2nn Před měsícem +13

    Umeigiza juzi tubumetoka oman juzi tu wewe ni mfanyabiashara wewe ni housegirl omzn wewe ni muigizaji mashallah

  • @MoureenPresiours
    @MoureenPresiours Před 17 dny +1

    Mh kweli wambea tupo wengi jamani😂

  • @buyegintambi3867
    @buyegintambi3867 Před měsícem +8

    Hahahaaaa.........kama ilikua ni private Kiredio umemtafuta wanini😊.

  • @Shadia544
    @Shadia544 Před měsícem +110

    Hicho ndiyo alichokitaka yaani sijui Kwanini kutaka umaarufu ndiyo alioutaka jamaniii tuliokuwa Oman tujuane hapa LIKE 10 😂

  • @miriammseke
    @miriammseke Před měsícem +11

    Oman mchezo tuulize tuliyoko oman uku wee kwa ile mikucha na zile nywele we umetoka oman ipi dada😂😂 na kale kabegi😂 mashallah waarabu kwa nguo lazima na ww uwe na nguo za kutosha uku tumefungusha na nguo zao zilivyo kwa kile kibegi na izi hekaheka za oman eti mkalee na mwanaume😂😂dada pesa oman tunapata nyingi kweli lakini cyo kirahisi ivyo eti ukaongee na kulea mtoto wa mtu weeeeee

    • @Mariamyotube-p2e
      @Mariamyotube-p2e Před měsícem +1

      Kwnza alikuwa analipwa kiasi gn omani hii ya joto la jiwe au

    • @AlaikaHassan
      @AlaikaHassan Před měsícem

      Kwa kucha na nywele shost ni inawezekana kabsaaaaaa, labda hayo mangne ndo tumjudge maana hvo sjui kucha na wigi una order online na unajibandika vizuri sana sku unayoondoka hakuna wakukuzuia

    • @ashahassan7414
      @ashahassan7414 Před měsícem

      Mimi nilijua tu huyu dada anataka umarufu kwa jinsi nilivyomuona ck ile anakuja kibegi kimoja kidogo chepesiii mwanamke huna hata kipochi kidogo tu hebu fikiria half makucha sasa huyu muongo xn kwa kiredio alisema frenk walikuwa wanaishi wote ile nyumba kabla ya kuondoka akamuacha pale na alivyorudi yeye ndo alienda moja kwa moja pale kwa frank kwasababu alisema anapajua yeye ndo alipanga kabla hajaenda omani halfu hapa tena anasema alimtumia pesa apange nyumba ndo kaenda kutafuta nyumba uswahilini ambayo haiendani na pesa aliyokuwa anamtumia huyu dada ni muongo xn alitaka umarufu tu hana lolote mbwa huyu mm nilijua toka ck ile ya kwanza kwa kitedio 😏😏

    • @rogatienmathari1838
      @rogatienmathari1838 Před měsícem

      Hello

  • @ClaraSudi
    @ClaraSudi Před 29 dny +3

    Hata mm niliona jaman like beg halikuwa naki2 chchote mana co kwaubebaj uleee😂😂😂😂😂

  • @user-gb3sf9fy2u
    @user-gb3sf9fy2u Před měsícem +6

    Huyu dada kweli ni muongo yan mwanaume anatumia pesa zako za Oman, hlf unasimulia unarelax kbisa yan, na pesa ya muarabu inavyouma ivi

  • @millahboo
    @millahboo Před měsícem +3

    Ety private na camera,? Na microphone na kiredio juu😂😂😂😂 kenge wa kijaniii

  • @jesckamolel5693
    @jesckamolel5693 Před měsícem +7

    Huyu dada ni mwongo jmn yeye si alinyooka moja kwa moja kwenye mlango na kasema ndiyo nilikomwacha huyu dada mwongo sana

  • @msalice4451
    @msalice4451 Před měsícem +17

    ❤❤❤❤❤ mm Niko omani nataka nijue ALIKUWA anafanya kazi sehemi gani omani kama kweli ALIKUWA omani

  • @Mohamedrajab-p2j
    @Mohamedrajab-p2j Před 11 dny

    waongo hawa frank anasema duka LA nguo yeye demu anasema duka vifaa vya pikiki😂😂

  • @WinWilly4162
    @WinWilly4162 Před měsícem +13

    1:Bag dogo kwa aliyefanya kazi oman halafu halikua na details za msafiri aliyepita airport .
    2:Maelezo ya nyumba mwanzo alisema alimuacha pale that's why alipafahamu wakati wa kurudi halafu leo hii anajifanya eti nyumba cheap na midomo anabinua kwa dharau😂.
    3:Kiredio alimuita mwenyewe leo anamtupia lawama.
    4:Oman amekaa miaka 2 mara ni mwigizaji kaigiza miaka 4 mashabiki wanamkubali😂
    Dada kajua kucheza na akili za watanzania.
    KIKI tu kuwa na akili za kuona unajidhalilisha Aaahh!😂😂

    • @Namtumbo
      @Namtumbo Před měsícem

      Wasanii

    • @momsash9210
      @momsash9210 Před měsícem +2

      Kumbe ndo yule alomkosoa lamata kumueka lulu baada ya maria😂 asa mbona ile ni current ishu na yy alikua oman for two yrs?hii no 2 ina mantiki sana win,kwann ashangae ile nyumba wakat anaijua ndomana katoka airport direct mpk mikocheni alikompangia?

  • @user-kg2tm2eq7q
    @user-kg2tm2eq7q Před měsícem +3

    miaka miwili upo oman...Okkk haya hiyo tamthilia ya koneksheni Sinema zetu uli igiza lini dadaaa 😂

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 Před měsícem +24

    😂😂 kumbe muigizaji basi hii imeenda

  • @abdulsimbarakiye4145
    @abdulsimbarakiye4145 Před měsícem

    Miss. Sasha your so beautiful mummy. Bout jama hana mana nimeumia sana mummy

  • @user-ui4ve7jc6s
    @user-ui4ve7jc6s Před měsícem +4

    mwanamme duka languo mwanamke duka la vifaa vya pikipiki😂😂

  • @hamedatanzani6
    @hamedatanzani6 Před měsícem +4

    Ila huyo dada nimuongo 😂😂😂

  • @hanifahkhamiss8485
    @hanifahkhamiss8485 Před měsícem +3

    Kwaio Omani karudi lin😂😂😂maana kafanyiwa interview na carry mastory baada ya mimi Mars kubadilishwa😂😂😂mpuuzi m1.....

  • @ednaallen3757
    @ednaallen3757 Před měsícem

    Kiredio wetu hana baya kabisa kabisa 😂😂

  • @bdvc7107
    @bdvc7107 Před měsícem +15

    Naisi apo kuna kik akitoka oman kweli miaka 2 uwez kumtumia milion 10 kwa mshahara bei gan yan

    • @AsdDsa-fi5qk
      @AsdDsa-fi5qk Před měsícem

      Anaweza mana sikuiz Oman watu Kila mwez ijumaa wanatoka wengine wanajiuza

    • @gladsmwageni9049
      @gladsmwageni9049 Před měsícem +1

      Mishahara ni mizuri oman rial 100 hadi 120 yaani laki saba naa hadi laki 8 nachenji so inaweza ikawa ni kweli

    • @gladsmwageni9049
      @gladsmwageni9049 Před měsícem

      Harafu huyu ukimsikiliza ni kiki hajatoka oman wala nini 😅

    • @user-xw8om1qd1g
      @user-xw8om1qd1g Před měsícem +1

      Kuna ambao wanalipwa rial 200,dadaangu analipwa rial 200 ,sema nyiee mmeshakariri ubeki tatu tuu,kazi zipo nyingi,Kuna supermakert, saloon,shule kazi kibao

    • @Realme-xm3sh
      @Realme-xm3sh Před měsícem

      Alikuw anatak kuja mjin tu

  • @ghanimaalabri5783
    @ghanimaalabri5783 Před měsícem

    Kwanza alisema alimfumania na frenk yuko juu ya kitanda na nwanamke😂😂 ipo kazi kweli

  • @neemamboya99
    @neemamboya99 Před měsícem +5

    Lile bag halikuwa na zile stickers za airport zinazobanwa kwenye bag kuonyesha details za mtu. Pia halkuwa na kitu. Ni kiki

    • @user-pm5zi2cs7d
      @user-pm5zi2cs7d Před měsícem

      😂😂😂 Jamani Tanzania sihami nimecheka kwa sauti

    • @athumaniKazua
      @athumaniKazua Před měsícem

      Na pia milango aliotokea sio sahh😂😂mbwa huyu kingine wakati wanataka kuweka begi mbn anasema hili buti linafunguka alijuaje na ndo kwanzaaa gari kapanda diku ile

  • @user-mo3wn6cc7h
    @user-mo3wn6cc7h Před 16 dny

    Ulivyomuita kiredio hukutaka apost mbna hukusema mapema asije na camera 📸😂😂😂😂

  • @RujaynaRashidi
    @RujaynaRashidi Před 26 dny +1

    Milion moja na lak6 kwa nyumb gan?.. ebu kwenda huko

  • @HoitherJesse-fc9se
    @HoitherJesse-fc9se Před 13 dny

    Eti nyumba so ya hadhi ya laki moja na anashangaa sa kabla hajaondoka c aliiona mpaka anamleta kiredio 😂😂 n kwamba anapajua ase na mm nianze Kiki nijulikane niwe mwigizaji😂😂😂

  • @AgeCare-w2h
    @AgeCare-w2h Před 28 dny

    Kiredio akianza kiki za hivi asitulaumu badae tukiacha kumfatilia,alianza vizuri anelekea kujiharibia

  • @DevothaTheonas
    @DevothaTheonas Před měsícem +7

    Mbona kama kiki.
    siku zinavyoendelea nazidi kuamini hii kiki 😂

    • @soniahassan6769
      @soniahassan6769 Před měsícem +4

      Hii kiki mahi mtu anatoka nje na kibegi kama kile afu ajabu begi Haina hata sticker za mizigo

    • @DevothaTheonas
      @DevothaTheonas Před měsícem

      @@soniahassan6769 kabisa yani

    • @ashazuber6548
      @ashazuber6548 Před měsícem +1

      ​@@soniahassan6769Si ndo hapo mahi wangu😂😂😂 yaan kwaza mtu anae toka nnje tulivyo na mihemko mabag matatu mawili😅😅😅😅

    • @soniahassan6769
      @soniahassan6769 Před měsícem

      @@ashazuber6548 wasituzalilishe wapambanaji wa oman hakuna siku hizi bwege anaehonga mwanaume

    • @user-dx6dm6lh1i
      @user-dx6dm6lh1i Před měsícem

      ​@@ashazuber6548mm mwenyewe nimeshangaa maana hpa kuna wang ana mipolo kma yote na bdo kuondoka yy kibegi kile chepesi.

  • @JoyceLKisha
    @JoyceLKisha Před měsícem +1

    Mala Frank alipanga nyumba mbaya wakat yeye ndo alimpeleka kiredio na ukasema unapakumbuka

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 Před měsícem +3

    Mnafaa mnípe maua yangu nilikoment sikuileile kuwa hii ni kiki ,,mimi najua kumsoma mtu kiufupi tu nina mashale

  • @Awaasha-cn6bx
    @Awaasha-cn6bx Před měsícem +3

    Kweli begi halikuwa na kitu hii. Ni Kiki wanatafuta follow follows. Huyo kiredio tushawajua uongo trend

    • @user-gb3sf9fy2u
      @user-gb3sf9fy2u Před měsícem

      Hata mm nimeshangaa mtu unatoka nje ya nchi na begi moja kweli

  • @mantoumm4448
    @mantoumm4448 Před měsícem +4

    Jamani dada muongo uyu ata Oman apajui

  • @aminaramdan3283
    @aminaramdan3283 Před měsícem +8

    Huyu ni Miongo Sio kwelii Hakwenda Oman wala nini.. Kama Mnakumbuka Ndio Yule Alosema Ruruuuuu Ramataa.. haya kaenda oman lini Mpk Akaa miaka 2... Walipanga hao Kwanza bag halikuwa na Stkaaa Bahna... Semaa Luluu na Sio Ruruuuu

    • @BerthaModest
      @BerthaModest Před měsícem

      Yani😂🙌

    • @CAPTAIN_GALAXY13
      @CAPTAIN_GALAXY13 Před měsícem +1

      ᴺᴵᴷᵁᴹᴮᵁˢᴴᴱ ᴴᴱᴮᵁ ᴺᴵᴷᵁᴹᴮᵁᴷᴱ ᴺᴬ ᴹᴵᴹᴵ

    • @user-rb5hs3lq6v
      @user-rb5hs3lq6v Před měsícem

      Daah
      Nilikuwa nasema hii sura mbona kama sio ngeni😅asante kwa kunikumbusha ndugu yangu😂😂

    • @aminaramdan3283
      @aminaramdan3283 Před měsícem

      @@user-rb5hs3lq6v 🤣🤣🤣 Af'waan mpz Yaani wanatufanya Wajinga na watu Tunakumbukumbu...

    • @aminaramdan3283
      @aminaramdan3283 Před měsícem

      @@CAPTAIN_GALAXY13 🤣🤣🤣 Umesahau kipindi Lulu Amewekwa Jua kali.. Nenda kwa karma Story Yule Aliyehojiwa Akawa Anasema Ramata Amemuweka Ruruuu Yaani Alikuwa Akitumia RRR Nyingi sana. Kwenye L anasema R..

  • @Mwaguntobi-ip1yi
    @Mwaguntobi-ip1yi Před měsícem +2

    Alikuwa anaosha vyombo😂😂😂😂

  • @madinarobert4944
    @madinarobert4944 Před měsícem +1

    Dada hii michezo😂😂katafuta namna ya kujulikana2

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 Před měsícem

      Kujulikan wap alikuw oman kweli jinga hili

  • @britneyivy
    @britneyivy Před měsícem

    Million moja kwa nyumba ipi😂😂

  • @omarabulbustsalim531
    @omarabulbustsalim531 Před 18 dny

    Si rahis atume Milioni10 😊

  • @ZulfatJalal
    @ZulfatJalal Před měsícem +1

    Mhhh jamn kiki hizi zitaua watu

  • @user-wg2gd2nl6c
    @user-wg2gd2nl6c Před měsícem

    Dada muongo Sana. Pesa ya Omani mshahala wa kwanza ndohyo yote umetuma kwa hyo ulirudi hata mia huna😮😮

  • @CossyKiria-fd6pq
    @CossyKiria-fd6pq Před měsícem +2

    Mbona kule kwa kiredio full mashungi huku ni hiv

  • @RehemaSalum-vp6rf
    @RehemaSalum-vp6rf Před měsícem +14

    Uyu dada nae muongo tu

    • @umaima1178
      @umaima1178 Před měsícem

      Sana tena mwanzo alisema walikaa wote hiyo nyumba sasa anasema alimpa pesa sio ya kukaa hapo

    • @edwardchilewa6289
      @edwardchilewa6289 Před měsícem

      😂😂😂

  • @sylivestermwasile4203
    @sylivestermwasile4203 Před 23 dny

    Huyu fala mwongo kinouma ile nyumba ndo milioni mbili kweli wakati hata laki tatu haifikii

  • @swaumuabdallah6886
    @swaumuabdallah6886 Před měsícem +1

    Jmn kigofu kile ndo milion 😅😅😅😅😅

  • @adamapollo9859
    @adamapollo9859 Před měsícem

    Eti sasha ni mfanya biashara😂😂😂wai wakati wewe ni shagla ulukuwa unaosha hamu mama😂😂wacha uwongo

  • @missfetty4173
    @missfetty4173 Před měsícem

    Iki kidada kiongo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @AishaMshamu
    @AishaMshamu Před měsícem +4

    Hiyo mi 10 ndo mshahala wa miak 2 namaan uyo uku alikaa kumudumia bwana tu kwaiyo uyu dada kaludi patup😢

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 Před měsícem

      Hajarud kap sai rial ipo juu mwaka mmoja una milion 10 na lako 2 na pesa kidog yy kakaa miaka 3 kwa hiyo huyu ni mjinga tuy tusem hajielew pengine hata kwao gajajenga

  • @rukiammanyi-qm9iz
    @rukiammanyi-qm9iz Před 27 dny +1

    Huyu muongo muongo et nimekuta kapanga nyumba isiyo na hadhi niliyomtumia hela huku alinyooka moja kwa moja kwenye mlango na kusema nilimuacha apa mara kule kadi ya pikipiki mlisema Frank hapo umesema kadi ina jina langu mfyuuuu kwenda

  • @fawzalbusayid7232
    @fawzalbusayid7232 Před měsícem

    Wandishi wa habari wachochezi🤣😂😊

  • @Mojabo-qi7sv
    @Mojabo-qi7sv Před měsícem +1

    We tukome ww Kwanza ujui ata mkataba miezi mingapi una tafuta kk kupitia uongo wako ata Oman upajui😢😢

  • @user-oy2fi5qz9n
    @user-oy2fi5qz9n Před měsícem +3

    Hivi ile begi ndo la kutoka Oman? Mara nyumba nilikuwa naifaham Mara nyumba sio ya hela niliyokuwa namtumia

    • @user-dx6dm6lh1i
      @user-dx6dm6lh1i Před měsícem

      Na nnvojua wanaondoka na ndundu hzo mibegi tleee mitumba yote

  • @zainabramadhani9838
    @zainabramadhani9838 Před měsícem +2

    Kumuhudumia mwanamume lazima aje akupige tukio zito Kwa sababu mwanamke akuumbiwa kumuhudumia mwanamke

  • @crispingerald3000
    @crispingerald3000 Před měsícem

    Acha upumbamvu Yani kiredio asipost akose Hela we ulimuita wanin kiredio ana ishu privet uyu demu mpuz kweli kweli 😅😅

  • @sofiasophia9018
    @sofiasophia9018 Před měsícem +1

    Dada kasha upata umaarufu tayari naulikua unamulaumu kiredio kwanini kapost

  • @claudbusumilo3979
    @claudbusumilo3979 Před měsícem +1

    Uongo huo umesema ulimuacha kwenye Nyumba na unapajua sasa tena unasema alipanga Nyumba sio ya hazi yako utatudanganya sana

  • @ibrahimjuma9709
    @ibrahimjuma9709 Před měsícem

    Pwagu na pwaguzi poli lao moja mchukuane maisha yaendele ila tu muowane kila mtu amueshimu mwenzake😂😂😂

  • @JulithaOliva
    @JulithaOliva Před měsícem +18

    Kiki tu kwanza begi halikuwa na kitu ila kinawatu wanapata majanga kama hayo

  • @muddywatown
    @muddywatown Před 25 dny

    Huyu anavyoongea2 unajua anautaka umaarufu sauti sio yake ebu rejea hapo kwenye bei ya kodi 😂😂😂

  • @user-qs9bw4kw4q
    @user-qs9bw4kw4q Před měsícem

    Nimuongo huyo 😂😂😂 Oman ipi hiyo

  • @ashazuber6548
    @ashazuber6548 Před měsícem

    Hiii lakin japo ni kiki watu wanapigwa matukio 😂😂😂😂😂😂ila Haya namtafuta wa kumuhonga simuon😅😅😅😅😅😅

  • @hanifasaidi8395
    @hanifasaidi8395 Před měsícem

    Mm sijaelewa chochote leo😂

  • @user-qs4sc7cp8q
    @user-qs4sc7cp8q Před měsícem +1

    Nimeisikiliza kwenye radio saloon kwangu mwanzo mwisho leo

  • @LizzyTarimo-b7n
    @LizzyTarimo-b7n Před měsícem

    Lakini wanaume waache tabia ya kupenda kulelewa. Fanyeni kazi maana hata maandiko yasema mwanaume atakula kwa jasho na mwanamke atazaa kwa uchungu. So mwanaume asimame kwa zamu yake na mwanamke kwa zamu yake. Nyie wanawake mnaowapoteza wanaume wadogo kwa kuwarubuni kwa hela na Mali na mahaba mazito muache hiyo tabia ili waweze kujitafutia na kuanzisha familia zao.

  • @Mwaguntobi-ip1yi
    @Mwaguntobi-ip1yi Před měsícem +1

    Heeeh, ujinga haununuriwi😂😂😂

  • @RAHELIDARABE
    @RAHELIDARABE Před měsícem

    Ndo alichokuwa anataka unamlipia nwanau😢chumba, unanunua pikipiki afya unakaa Oman miaka yote hiyo yaani unatakakeje hizo hela ungewapa wazazi wako siyo hao mbwa mwitu kwani umefunga naye ndoa?ndo akili zikukae mwanaume anayeweza kumfanyia hayo yote ni mume wa ndoa tu.😊

  • @soniahassan6769
    @soniahassan6769 Před měsícem +6

    Kiki tu kufanya maisha aaah

  • @ireneevaristo5552
    @ireneevaristo5552 Před měsícem +3

    Kule alisema miaka 3 huku miaka 2 mfyuuuuu Oman ametoka na kibag kimoja na mikucha kama msungo
    Labda alikuja kujiuza maana mabellah wamejaa wabongo wanauza nyuchi zao

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 Před 16 dny

    Yaani hwa wadada hawadada

  • @sharifahemed5253
    @sharifahemed5253 Před měsícem

    Kiki mbona😂😂😂😂😂

  • @HeryethAleck
    @HeryethAleck Před měsícem

    Huyu dada anaigizaga msitupige na kitu Kizito😅

  • @rohdaphilip2470
    @rohdaphilip2470 Před 26 dny

    Jaman tulio oman tujuwane nataka kuuliz au ni mie jaman umekaa oman miaka 2 alfu ufike tu tz ety umpigie mtu cm jsmn huyu dada muongo kwanz rain inafungiwa alfu yy kafik na kupata vocha wapi?? alfu beg lake harin nembo jamn😂😂 Hata mkomba hana 😂😂

  • @penuelmichael3374
    @penuelmichael3374 Před měsícem +1

    Hivi hawa wenzetu wanapata wapi hela zakuhonga wanaume😢

  • @user-pi6lb6nx3m
    @user-pi6lb6nx3m Před měsícem +1

    Hii ni kiki mnafiki huyu harafu bado anatamka Ruru badala ya lulu mara business fwuuuu😊

    • @abdalahaby3658
      @abdalahaby3658 Před měsícem

      Wewe pia umeandika harafu badala ya halafu 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @ImeldaMyinga
    @ImeldaMyinga Před měsícem

    Kwa hiyo mnatuigizia sio asantee kwa kutumalizia mb zetu

  • @FranklinHosea
    @FranklinHosea Před 7 dny

    Dada Kapata umaarufu uyu asaiv utashangaa anapost matangazo

  • @mariamhelen7808
    @mariamhelen7808 Před měsícem

    Aiseee huyu dada nimuongo sana hakua oman

  • @fatmamohammed8346
    @fatmamohammed8346 Před měsícem +2

    dada muongo mpak kuelezea hawezi ovyoooo kabisaaa

  • @yassinchuwa8824
    @yassinchuwa8824 Před měsícem +2

    Kiredio kakupeleka mjini dada

  • @stelladaudi9206
    @stelladaudi9206 Před měsícem +9

    Muongo huyu miaka miwili oman ndo unaludi ka kibegi kama kile alafu eti hera aliyokuwa anatowa nitafauti na nyumba alio kuwa amepanga wakati anadayi alikuwa amemuacha pale pale na alikuwa anapajuwa muongo tu

    • @sharifahemed5253
      @sharifahemed5253 Před měsícem

      Ajui kama tunafatilia maisha ya watu.....Muongo uyo mdada

    • @user-wz2wi6tx9g
      @user-wz2wi6tx9g Před měsícem +1

      Watu wengi wanao enda Omani wanakazi nyingi wengine wanauza mwili wanafanya kazi saloon na wengine kazi za ndani kwaiyo huwezi jua kama alikuwa anafanya kazi wap

    • @salomecassian3715
      @salomecassian3715 Před měsícem

      😂😂😂😂😂hapo sasa

  • @batulialmass8914
    @batulialmass8914 Před měsícem +4

    Dada ni muongo uliku unalipwa bei gani Oman eti miliion 3 kwa miezi mitatu kwenda huko

    • @Mwanah-cg3ie
      @Mwanah-cg3ie Před měsícem

      Et jmn muongoo uyu

    • @user-dx6dm6lh1i
      @user-dx6dm6lh1i Před měsícem

      Hyo uwongo kweli

    • @Mwanah-cg3ie
      @Mwanah-cg3ie Před měsícem

      @@user-dx6dm6lh1i et jmn ela iyo iyo Kodi boda Duka bd ipo bank bd amenunua car jmn 😂😂

    • @miriammseke
      @miriammseke Před měsícem

      😂😂😂😂muongo jmn tulioko oman tunamshangaaa😂😂😂😂khaaaaa dada acha uongo miaka miwili umtumie mwanaume alafu ww ukarudi na sh ngapi

  • @saidmanjuti7441
    @saidmanjuti7441 Před měsícem

    huyu dada muongo jaman hahahahahahahahahahahahah

  • @RamadhaniKitala-gx6wc
    @RamadhaniKitala-gx6wc Před měsícem

    Huyu hajawahi fanya kazi oman mimi ni mkaguzi hapa airpost Dar hajawahi kutoka wala kirud

  • @nasrafarjallah6691
    @nasrafarjallah6691 Před měsícem

    Nyumba ya million 1.2 ni ip???😂😂😂😂

  • @KeiOmaromar
    @KeiOmaromar Před měsícem

    Mwana kulitafuta mwana kulipata 😂😂😂wenzio tunamek ela zetu ww unahonga 😂😂😂😂make kwnz ncheke😅😅

  • @merinazyd0532
    @merinazyd0532 Před měsícem +1

    Kiki tu ovyo sana huyu dada

  • @adamapollo9859
    @adamapollo9859 Před měsícem

    Jitu zima ovyo😂😂

  • @noreen2654
    @noreen2654 Před 25 dny

    Huyo mwongo mbona frenk anasema duka la nguo?

  • @irenembura8045
    @irenembura8045 Před měsícem +1

    Huyu ni Muongooooooo

  • @SalimaOman-hz1mi
    @SalimaOman-hz1mi Před měsícem

    Muongo sana uyu dada

  • @irenembura8045
    @irenembura8045 Před měsícem +1

    Kwa sababu picha alivyotoka Oman na kisanduku kimoja tuu kidogo😢

  • @hawamafuru6791
    @hawamafuru6791 Před měsícem +1

    huyu anaigiza bwana sio kweli katoka omani😊

  • @irenembura8045
    @irenembura8045 Před měsícem +1

    Uongo sehemu nyingine umejikoroga!!

  • @user-ze3zw4dq4r
    @user-ze3zw4dq4r Před měsícem +1

    Wee wat tuk omn hatujasikia msharah wa million 3

  • @abc-en3em
    @abc-en3em Před měsícem

    Mmh pale kodi ni million 😂😂😂

  • @noreen2654
    @noreen2654 Před 25 dny

    Aache ushamba yeye anamkasirikia kiredio kwani yeye kiredio alijipeleka pale mwenyewe? Huyo asijishaue.

  • @nassirabas
    @nassirabas Před měsícem

    😂ukiangalia kwa undan huyu dada huko oman alikuwa anajiuza mana hakuna msichana wa ndan akalipwa pesa nyingi oman na tena amekaa miaka 2 hakuna maendleo ya miaka 2 na pia skia alichosema mwanzo kabla hajaondoka amempangia nyumba na alipajuaje kwa frank pesa alipata wap wakat mitaji yote alimfungulia frank wakat yupo oman huyu dada anataka kupelekewa moto na wasanii hajapata kikiiiii 😅

  • @JoyceLKisha
    @JoyceLKisha Před měsícem

    Nimeacha kuamin kaz za kiredio

  • @user-np6ti8lh7v
    @user-np6ti8lh7v Před měsícem

    Uyu dada nimuogo