Jamani tuwe tunaagalia na watu wa kuwa nao kwenye mahusiano kwa mfano huyo kaka aliemtumbukiza mpenzi wake kwenye maji, huyo ni tahira Kabisa tena chizi
Mungu naomba na mm unijalie huo moyo wakumnunulia huyo mtto wa mama mkwe Iphone 15 au nitoe2 pesa yangu n mpe yan kwa matumizi ya nyumbn Amen 😂😂😂😂 Maana kila nikijaribu natetema mikono yangu
Duuh hiv wanawake we zangu mnapataga wapi nguvu za kuninulia hawa wanaume vp jaman khaaa ebu tubadilike nazani kama iyo pessa angemtumia mama yake angeshukuru sana aisee kama hakuwa na mama basi amsaidie mtu wakumsaidie duuuh aisee inasikitisha sana wadada wenzetu hawa wanaume sio wenzetu badilikeni bhna wadada
@@user-sy6fo8cb5v yaani huyu kaka mwenye marasta angegoma kutoa simu kwa mr uky, huyu dada badala anunue mafuta apake usoni mashavu yasiungue na jua yeye anamnunulia mhuni simu
Mungu akulinde Sana ❤❤ nakufatiliya toka Congo ninzuri❤❤
Jamani tuwe tunaagalia na watu wa kuwa nao kwenye mahusiano kwa mfano huyo kaka aliemtumbukiza mpenzi wake kwenye maji, huyo ni tahira Kabisa tena chizi
Hii sio kazi mwisho watu watakuuwa tafta kazi kaka
Kazi nzuri tu kikubwa atumie utulivu wakati wa mahojiano atulize akili tu kaziiii nzuriiii mno wanafki wajulikane
Hii kazi nzuri sana sema watu sio waelewa
Mungu naomba na mm unijalie huo moyo wakumnunulia huyo mtto wa mama mkwe Iphone 15 au nitoe2 pesa yangu n mpe yan kwa matumizi ya nyumbn Amen 😂😂😂😂 Maana kila nikijaribu natetema mikono yangu
😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅😅
Hahahahaha kiukweli huwezi
@@FrancisKashe-tt7db Nimejaribu nashindwa cjui kwanini
@@rosemery3017 We huogopi😂😂😂
I appreciate bro
Make sure kuwepo na trust🎉🎉🎉🎉🎉
Mm nataka nimchalenji mpenzi wangu
Pole sana jamnii lakin usikate tamaa
pole sana Mr Uky
Duuh hiv wanawake we zangu mnapataga wapi nguvu za kuninulia hawa wanaume vp jaman khaaa ebu tubadilike nazani kama iyo pessa angemtumia mama yake angeshukuru sana aisee kama hakuwa na mama basi amsaidie mtu wakumsaidie duuuh aisee inasikitisha sana wadada wenzetu hawa wanaume sio wenzetu badilikeni bhna wadada
endelea na kazi ,wanaume wamezidi kudanganya .Kwani si alijua kuwa ana mwanamke mwingine? angekataa kutoa simu
haha hzo nguvu za ku mnunulia mwanaume simu inatoka wap
@@user-sy6fo8cb5v yaani huyu kaka mwenye marasta angegoma kutoa simu kwa mr uky, huyu dada badala anunue mafuta apake usoni mashavu yasiungue na jua yeye anamnunulia mhuni simu
@@user-sy6fo8cb5vyaan mi hiyo leso ya buku tu siezi
Pole jmn Mr Uky ila usiache kazi bhn
Jaman kua makin sasa maana mmmh lakn dada pole
Kuna siku utakula chuma cha kichwa wew kua makin na hiz inteviw zitakuja kukuumiza
Hakuna kazi isiyo nachangamoto
Umzgua sana ndgu iv ugekua ww ugfanya nin. Au ndio kusema ww ndio smart boy. Tena ningkua mm ata vtsa ugechezea tu
Wewe una akili mbovu
Jaman ivi hiyo nguvu ya kumnunulia cm mwanaume mnaipatwa wapi jaman hamuogopi wewe??😂😂😂😂 🙌🙌🙌
Yaaani mpk mapafu yanakufa jmn mm siwezi mpa mwanaume kitu yani labda babangu hawa manina hawaaaaa kwanza ela za mwanaume ndio za kula
@@ShaelKimaro 🤣🤣🤣🤣🤝🤝🤝
Aise mmeleta hii video tena😂😂😂😂😂ntapasuka mbavu jamani mimi hahahaaaa 😅😅😅😅
Pole sana
Endelen nakaz nzur kunalakujifunza apo ila tafuten bod gad
Kweli mwamba yupo makini nakubali
Wewe imezidi Sana mana unawafanya wenzio kama wajinga wakati wabongo wengi sio waaminifu iyo ndo shida
I mhhh 😂pole
Mbn cpati part 2 jmn za hiz video
❤❤
Umezgua ww acha kjielza sana
Kufatilia mtu moyo wenyewe ndo huu😂😂😂
Wakwako yupo wapiii😂😂
😂😂😂 unaifata simu ulipoitupa
Tatizo magonjwa mjombaa
Duh hatari 😢
Iyo zawadi jmn daaaaaaah ad uruma jmn
Et baharin hp nibaharin
Mbona uongo sasa baharini au sweeming pool
❤❤❤
Usiesuka ukamnunulie mwanaume sim😏
Nashangaaaa yani Mungu aniepushe na hilo janga la kumlea mwanaumr kwa pesa zangu
Yani nitamlea kwa pesa zake
@@user-lh2ul3nb6h😂😂😂umeona ee
Kweli ww mtoto wakiume ila co mwanaume ndio mahna unafanya ayo mambo co