- 4 599
- 17 163 762
NYUNDO TV
Tanzania
Registrace 11. 12. 2016
ALL EXCLUSIVE ARE HERE...
Ni kweli MCHUZI WA PWEZA unaongeza kitu kwenye TENDO.? Ukweli wote huu hapa...
Ni kweli MCHUZI WA PWEZA unaongeza kitu kwenye TENDO.? Ukweli wote huu hapa...
zhlédnutí: 67
Video
"Sina bifu na COY MZUNGU ila hawajawahi kuniita CHEKA TU labda wanahisi siwezi"
zhlédnutí 43Před 22 hodinami
#nyundotv #Chekatu #coymzungu
DOGO PEPE awataja wachekeshaji wote anaowaandikia story za kuchekesha..
zhlédnutí 62Před 2 hodinami
#nyundotv #ndaro #leornado
DOGO PEPE ashindwa kuvumilia awachana makavu wezi walio iba vifaa vya gari la ELIUD SAMWEL
zhlédnutí 70Před 2 hodinami
#Dogopepe #Eliudsamwel #kiredio
KAMISHNA MPYA WA TRA AKARIBISHWA KWA KIPIGO CHA KUFA MTU.
zhlédnutí 172Před 7 hodinami
KAMISHNA MPYA WA TRA AKARIBISHWA KWA KIPIGO CHA KUFA MTU.
🛑#LIVE: YESU NI MUNGU?.. Mazinge,Mwaipopo , Mwalim Ndacha ,Ost Shafii watu wasilimu.
zhlédnutí 419Před 7 hodinami
#nyundotv #ndacha Mazinge
OSTADH MAULANA awaziba midomo WAKRISTO wotee kwa nondo hizi nzitooooo.
zhlédnutí 172Před 9 hodinami
OSTADH MAULANA awaziba midomo WAKRISTO wotee kwa nondo hizi nzitooooo.
BIBILIA inasema MAKAHABA na WATOZA USHURU ndio watakao anza ingia nyumba ya milele.
zhlédnutí 91Před 9 hodinami
BIBILIA inasema MAKAHABA na WATOZA USHURU ndio watakao anza ingia nyumba ya milele.
Kauli hii ya MCHUNGAJI NDACHA imewaumiza sana sana waumini wa KISLAM
zhlédnutí 2,2KPřed 9 hodinami
#nyundotv #ndacha #mdahalo
Nilikuja kumfuata MAZINGE ila leo amenikimbia hakuja kabisa UKRISTO ndio dini ya ukweli.
zhlédnutí 493Před 9 hodinami
#nyundotv #mazinge #mdahalo
"SHAFII hana uwezo wa kutetea hoja mimi haniwezi anawadanganya WAISLAM wenzake"
zhlédnutí 1,4KPřed 9 hodinami
#nyundotv #ndacha #ostadhshafii
SHEKHE SHARIF FIRDAUS "Nawakumbushaa WACHAWI wotee duniani mimi ndio MUME WAO"
zhlédnutí 390Před 9 hodinami
#nyundotv #Firdaus #Shekhesharif
Msikilize MCHUNGAJI CHIKAWA akiwavuruga MASHEKHE KWA nondo nzito pamotoooo
zhlédnutí 71Před 9 hodinami
#nyundotv #Mdahalo #ostadhshafii
WAKRISTO acheni kujidanganya UISLAM ndio dini ya ukweli na tumfuate mtume MOHAMMAD.
zhlédnutí 249Před 9 hodinami
#nyundotv #ndacha #ostadhshafii
OST SHAFII amchana makavu MCH NDACHA na hataki tena kufanya nae mdahalo mazitoo.
zhlédnutí 1,8KPřed 9 hodinami
#nyundotv #mchungajindacha #ostadhshafii
Hoja nzito za MCH. NDACHA zamvuruga MWAIPOPO na MASHEKHE wengine balaaa zitoo
zhlédnutí 2,3KPřed 9 hodinami
Hoja nzito za MCH. NDACHA zamvuruga MWAIPOPO na MASHEKHE wengine balaaa zitoo
OST SHAFII atangaza hataki tena kufanya mdahalo na MCH. NDACHA sababu hizi hapa...
zhlédnutí 3,7KPřed 9 hodinami
OST SHAFII atangaza hataki tena kufanya mdahalo na MCH. NDACHA sababu hizi hapa...
🛑#Live: YESU NI MUNGU : Mazinge, Ost Shafii ,Mch Ndacha,Mwalim Daniel tazama watu wakisilimu.
zhlédnutí 1,9KPřed 12 hodinami
🛑#Live: YESU NI MUNGU : Mazinge, Ost Shafii ,Mch Ndacha,Mwalim Daniel tazama watu wakisilimu.
HOJA NZITO za MWALIMU DANIEL zaweza kukubadilisha dini bila kujitambua.
zhlédnutí 656Před 14 hodinami
HOJA NZITO za MWALIMU DANIEL zaweza kukubadilisha dini bila kujitambua.
Kauli hii ya MAZINGE imewaumiza sana waumini wa dini ya KIKRISTO Dah inaumizaaa
zhlédnutí 16KPřed 14 hodinami
Kauli hii ya MAZINGE imewaumiza sana waumini wa dini ya KIKRISTO Dah inaumizaaa
SHEKHE SHARIF FIRDAUS "Nitafurahi nikimuona MCH. NDACHA anasilimu kuwa MUISLAMU nitatoa jina"
zhlédnutí 1,6KPřed 14 hodinami
SHEKHE SHARIF FIRDAUS "Nitafurahi nikimuona MCH. NDACHA anasilimu kuwa MUISLAMU nitatoa jina"
DR SULE AMCHANA MAKAVU HARMONIZE JUU YA KUSHINDWA KULIPA DENI LA CRDB
zhlédnutí 833Před 14 hodinami
DR SULE AMCHANA MAKAVU HARMONIZE JUU YA KUSHINDWA KULIPA DENI LA CRDB
OSTADH SHAFII amchimba mikwara MCH. NDACHA eti anataka KUMSILIMISHA awe MUISLAM
zhlédnutí 1,5KPřed 14 hodinami
OSTADH SHAFII amchimba mikwara MCH. NDACHA eti anataka KUMSILIMISHA awe MUISLAM
Hoja nzito za OSTADH MAULANA zamtoa kamasai MCHUNGAJI NDACHA mbele ya waumini.
zhlédnutí 1,9KPřed 14 hodinami
Hoja nzito za OSTADH MAULANA zamtoa kamasai MCHUNGAJI NDACHA mbele ya waumini.
MCH. NDACHA amchana makavu OSTADH SHAFII hana uwezo wa kuitwa MWALIM kabisaa.
zhlédnutí 436Před 14 hodinami
MCH. NDACHA amchana makavu OSTADH SHAFII hana uwezo wa kuitwa MWALIM kabisaa.
USO KWA USO hatimaye MCH. NDACHA na OSTADH SHAFII washindana kwa hoja nzito.
zhlédnutí 555Před 14 hodinami
USO KWA USO hatimaye MCH. NDACHA na OSTADH SHAFII washindana kwa hoja nzito.
MAZINGE bila woga ataka kuwasilimisha MCH. NDACHA na MWAL DANIEL balaa
zhlédnutí 15KPřed 14 hodinami
MAZINGE bila woga ataka kuwasilimisha MCH. NDACHA na MWAL DANIEL balaa
Duhh ona MWAL DANIEL alivyotokwa jasho na maswali magumu ya OSTADH SHAFII.
zhlédnutí 493Před 14 hodinami
Duhh ona MWAL DANIEL alivyotokwa jasho na maswali magumu ya OSTADH SHAFII.
OSTADH SHAFII amlipua MCH NDACHA kwa kusema YESU ni MUNGU
zhlédnutí 5KPřed 14 hodinami
OSTADH SHAFII amlipua MCH NDACHA kwa kusema YESU ni MUNGU
MCHUNGAJI NDACHA awaumiza vichwa waislam wote kwenye mdahalo huu.
zhlédnutí 1,9KPřed 14 hodinami
MCHUNGAJI NDACHA awaumiza vichwa waislam wote kwenye mdahalo huu.
😂😂😂😂
Kuna yesuu kristo n'a yesuu yusto na Bari yesuu kwanini kupoteza watu
Mbona haka kachungaji hakajajibu swali husika?
Mshenzi tu wewe. Usimshuhudie jirani yako uongo
Midahalo ya dini inatija gani kwa jamii yetu? vitendo vichafu nimeshamiri kila dini na baadhi ya viongozi wa dini mnahusika ktk kuporomoka kwa maadili duniani. Watu mnatafuta kiki binafsi kuliko kumtafuta Mungu. Ingekuwa Dini ni taasisi ya Umma kama Tanesco basi wangelaumiwa kwa kushindwa kutimiza majukumu yao ya kuwajaza waumini wao hofu ya Mungu na kusababisha jamii kuingia ktk. matendo machafu ya kumuudhi Mungu. Viongozi wengi wa dini wamejikita ktk mapato, umaarufu, na maendeleo binafsi. Baadhi wamehusika moja kwa moja na udhalilishaji na mambo ya kishirikina na wanafanya kazi zao kama waganga wa kienyeji tu. Muda mwingi unatumika kutafuta kiki binafsi na kuwaacha waumini wakihangaika na kusumbuliwa na shetani. Migongano ya baadhi ya voongozi wa dini vinazidi kushamiri kwa kasi na kila mmoja anajifanya qnajua na ana pesa na nguvu za kimungu kuliko mwenzake. Karama walizopewa bure na Mungu leo hii zinauzwa waziwazi kama karanga na bila woga wala huruma wala aibu na kwa bei kubwa. Baadhi ya viongozi wa dini wamegeuka kuwa ni wasinamizi na kuwalaunu viongozi wa serikali kama vile hao viongozi hawakuapa kwa kutumia misahafu yao na kwamba hao ni waumini wao ambao ni zao la uzembe wao. Dini badala ya kuwa ni Imani sasa imekuwa ni fursa ya watu kutengeneza pesa na umaarufu wa kidunia.
Tatizo sio kusoma ,tatizo kuelewa.wengi hatuelewi ila tunajua kusoma.. mfano neno mungu na neno mungu mwenyez au baba kuyatumia hatujui
Kaka nchi ya Tanzania hawataki mtu anayesema ukweli na ndio sababu watu wZuri wanaootezwa Wana Baki mazombi tu inamaa a kama nimepona hela nini muhimbili watu wanatibiwa shi ngapi wakati ni mamilion na watu wanakyfa na kusema bwana ametwaa na mamilioni ya peza yamee da😊
Kwani wewe unayeandika eti kilunge
Chid kipaji
Msomaji wa kiislam ndo anaye chochea unafiq kusoma neno yaani ataliludia Mara tatu yaan yaan yaani wakati haijaandikwa Mara tatu zote😊
muandishi muislamu na wanaojiwa waislamu so uwanja wenu peke yako
hahahahaha nimecheka Sana kwakweli Somo la Uungu wa yesu Waislamu ni gumu kwenu mnatakiwa muwe na D mbili muweze kuelewa.
Mashallah
Yesu ni Bwana
Mwana F.a, chid Benz these a true goats ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
NDACHA NI mwalimu wa waislamu wote duniani. Ila nampendaga MAZINGE kwa sababu ni mtu ambaye hakimbii miadhara kama SHAFII na anakubali vitabu kusomwa ijapo ni comedian😂😂😂😂😂
Kwani wenzetu wako na biblia ngapi..
Huyu mama ni muigizaji kwel jimama la kizaramo la ovyooo,,,,,, jinga sana sana tu,,, ajuh kama yeye ajatoa hata kumi kuna mwingne ameuza hadi ng'ombe
Huyu ni mpumbavu kwanini asiseme kuwa ni mungu kamleta na ni mungu kamtoa, pia hilo la bajaji ni zuzu kwel mikopo na hela za wagonjwa inahusiana nn kama maisha magumu unategemea hela ya wagonjwa nendeni congo
Hakuna kanisa hpo
Wewe Daniel bado mjinga
Nadhani kila mtu aheshimu dini yake, midahalo kama hii inakengeusha jamii
We ndacha auna hoja yoyote nzri kazi yakuwalisha wenzenu mavi makanisani tu mnawapoteza wenzenu nyie we ndacha acha janja janja auna elimu yakutosha alafu unajua sana kua dini ya kiislamu ni ya aki ila unajizima data
Shafi wewe ni moto ndacha Hana hoja analuka Luka maneno awezi uyoo mashekhe zetu Allah awajalie maisha malefu maisha mazri apa duniani kabrini nakeshi akhera tunawapenda sana mashekhe zetu
Jamaa anaonekana fair sana
Yan fujo zoooote nikwa ajili ya huyu mkosa pumzi tu! Alhmdlillah kwa yoyote anaepata rizki na kumtambua mwenyenzi Mungu
Kwani ndacha kinachomfanya asisilimu ni nini?mana ukweli kashaujua uko wapi,au anafanya kazi ya shetan?acha kuumiza watu vichwa wakat hujiamin na elim yako.
Yani ujinga mtupu
Wa kufuatwa ni Yesu dini ya kweli 1Yohana5:20.waislamkwenu wapi Kuna maneno kama haya?.
❤
Maznge👍
I hope mko salama wote ndg zangu wote katika imani Wakristo na waislamu,,before sijasema kitu chochote nikuombe fuatilia sana page yangu ya "Davis Dawson"UKWELI HURU,,,utajifunza,utaelewa na mwishoni utaamua wewe uchukue uamzi upi kwa imani yako mi leo napenda niwape Challenge Moja,na nitaomba kila mmoja ajijibu mwenyewe hapo alipo,,Pana shaka sote tunaamini kuwa kuna viumbe duniani vinaitwa MAJINI,MAPEPO,MIZIMU,N.K....Nikiwauliza hivi vitu vinatoka wapi na Chanzo chake ni kipi bila shaka wote mtanijibu ni SHETANI,,,SWALI. (1).JE IKIWA TUNAAMINI SHETANI ANAWEZA KUJIBADILISHA NA KUWA ATAKAVYO YEYE KWA NAMNA YOYOTE (mf:mapepo,majini,nk,lengo tu aje kututesa wanadamu duniani,..JE ITASHINDIKANA KWA MUNGU KUJIBADILISHA KUWA YESU ILI AJE AKUKOMBOE WEWE MWANADAMU .? (Jipe jibu mwenyewe) (2)HIVI KATI YA MUNGU NA SHETANI NI YUPI ANA UWEZO KULIKO MWENZAKE..?HATA WA KUJIBADILISHA..(jipe jibu mwenyewe) (3)IKIWA KUNA MTU ATABISHA KUWA MAJINI,MASHETANI,NA MAPEPO CHANZO SIYO SHETANI,,BASI KARIBU UTUAMBIE HIVI VIUKBE CHANZO CHAKE NI NINI.. MUNGU AWABARIKI SANA KARIBU SANA KWENYE PAGE YA UKWELI HURU..(Andika Davis Dawson utanipata) karibu sana uwe huru na ufanye uamzi ulio sahihi
Je muhammad wapi kapewa mamlaka??? Hilo ndilo swali la ndacha hiyo 25:11 quran haijajibu swali
Ndacha ana elimu kubwa sule na majini yake kashindwa sembuse wewe shafiii kwa ndacha wewe ni mwanafunzi
Ukiacha mpira napenda sana miadhala
Labda umeumia wew sio wakristo
Hio bibliya yakiafrika , wa mishonali wakija kutangaza injili tanzania , walitafuta mufasili ambae anaweza kufasili luga yakiswaili vizuli wakamkosa , wakapata mufasili ambae nimwislamu ,ndoomaana akafasili kwa manufaa ya dini yake ya kislamu , iyo tu kwa bibliya zingine haipo isipokuwa kwa iyo yakiafrika, ilitafusiliwa na mwislamu . Wanajicha kwa iyo. Kwa iyo ndio wanapata wanacotaka kwa sababu ilifasiliwa na mwislamu kwa makusudi.
Huyu mtume sio wa kufuata kaoa mtoto wa Miaka 6 akili gan hiyo mpotoshaji
Adamu alimuoa Eva na Miata mingapi?ata usipo mfuata aulazimishwi Kaa na mungu mutu wako
Ndacha ni noma respect umewajibu vizuri mpaka raha
Chid chuma
Haukusikia swahili vizuri . Amepewa mamulaka mbinguni na dunia. Ujibu kinyume
Huyu anaonekana ni mshirika wake, wote kundi Moja hawa.
Mbona duniani kuna imani nyingi why kupinga uKristo tu, mti wenye matunda ndo wapigwa mawe nimekubali
Ndacha mwalimu wao
Wewe huna lolote msicana nakwambiya una kipuwa kibaya mno, face yako haitishi vipi wewe ujilinganishe na Zuchu. Tuliya wewe sijuwi nani kakulongovya. Toka wewe
Yesu ndiye jbu
Wanasema yesu alipewa sifongo ndio sumu...jamaa waislam wote wanahitaji huruma ya Mungu jmn.
Uslam ndo ukafiri sasa muamdi kaja kupoteza watu duniani muamadi mwenyewe ajui anapokwenda ikawa njie wafuasi wake namajini pia
Kuna majini wazuri ni wa islam namajini makafiri wakristo
Ujuhi mahana yaisilaer
Yani nyie waislam Amna point Sasa yesu alinyweshwa sum Kama muhamad
Nanyny wakristo mnashangaza kweli kwaiyo kuambiwa ndacha asome kama vilivyoandikwa kwenye kitabu mnaona waislamu wanakosea lkn najua mumezoea kudanganywa so ukweli kwenu jambo laaajabu