FRANK mpenzi wa DADA WA OMAN amwaga machozi hadharani lawama kwa KIREDIO amevunja penzi.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024
  • #nyundotv #kiredio #Dadawaoman
  • Zábava

Komentáře • 306

  • @zulaika-mu8pc
    @zulaika-mu8pc Před měsícem +42

    Huyo sio yule frenk tulio muona mara ya1 huyu nimwengine frenk😂😂 yaani niwa frenk2 badae patakuja na frenk3🤣🤣

  • @user-el6kw3kw6q
    @user-el6kw3kw6q Před měsícem +14

    Watanzania punguzeni uongo
    Huyu sio frenk yulee and sauti tofauti rangi tofaut and yule sio mnene ni mwembamba

    • @kigombemercy-rc3ek
      @kigombemercy-rc3ek Před měsícem

      Frenki ni wangapi kwa hii movie sababu wa kwanza alikuwa mwembamba wapili alikuwa mweusi mzito alafu huyu 😊

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 Před měsícem +23

    Frenk mwembamba huyu kaka tofauti kbisa nye mnapenda kiki 😂😂 hii channal ina visa

    • @DfhhffDryy
      @DfhhffDryy Před měsícem +2

      Sio kabs 😂

    • @Rizikialiamechannel763
      @Rizikialiamechannel763 Před měsícem

      @@DfhhffDryy 😂😂😂

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 Před měsícem +1

      Y. Izi tv za kininga kwel yn wnaokota wt na kufanya konteti eti yule dada tulp mkuta ndani pale ni nani ulimkuta wp ww ndo kiredio

    • @rosemilingi7860
      @rosemilingi7860 Před měsícem +1

      Sioyeye kbs waongo nyie

    • @emanuelvicent
      @emanuelvicent Před měsícem +1

      Sasa huoni kamer wamezooom na ile clip ya siku ile wamercod kwa umbali

  • @hamisichioa469
    @hamisichioa469 Před měsícem +6

    YULE DADA JIRANI YANGU. AJASAFIRI KWENDA OMAN. hii movie kiki izo za bongo Tanzania 😂😂😂😂

    • @MaryamHAMISI-ei9fq
      @MaryamHAMISI-ei9fq Před měsícem

      Ww ndoumesemakweli Kwanza ukiangalia ataalivyokuaanatoka pale uwanja wa ndege Yani nitofauti kabisa mm nipo oman nass tim strong tukiludi hom tunakua tumenona Kwa mazawdi webegi ataaina kitu wajingatuao

    • @ChartyCharz
      @ChartyCharz Před měsícem

      Mimi nashida naye nampataje uyo
      Jilani yako

    • @hamisichioa469
      @hamisichioa469 Před měsícem

      @@ChartyCharz Nenda kwa kiredio utampata mimi siunganishi watu

    • @ChartyCharz
      @ChartyCharz Před měsícem

      @@hamisichioa469 wewe umesema unamjuwa jilani yako

    • @meddykeita5220
      @meddykeita5220 Před 27 dny

      Hahahhahahaahhaahah kwl bongo nyoko

  • @user-ku8lh7wl8v
    @user-ku8lh7wl8v Před měsícem +7

    Yani nyie hamna akili muna mulaumu kiredio Kwani kiredio njo alimutafuta sasha au aje nyiee vip kiredio iko sahihi njoo kaz yake Kwani shida iko wapi

    • @CynthiaIrakoze-tj9ve
      @CynthiaIrakoze-tj9ve Před měsícem

      Utaweza wa mjiachiye kiredio hana kosa atamoja

    • @SalmaMarselino
      @SalmaMarselino Před měsícem

      Hawajielew waache umalaya hao kiredio wamemtafuta wenyewe wanamlaumu Nini ​@@CynthiaIrakoze-tj9ve

    • @user-ex9sd8wm4l
      @user-ex9sd8wm4l Před měsícem

      😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @user-ex9sd8wm4l
      @user-ex9sd8wm4l Před měsícem

      Mcpende kulelewa maana hutafanya unavyo taka

  • @zaiogy5787
    @zaiogy5787 Před 5 dny

    Apa ndio nimeamini kama ni kiki daa ila mmethubutu mmeweza😂😂

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Před měsícem +2

    Haiwezekani mwanamme kuweza kusubiri mke wake kuwa mbali nae sio miaka 2 hata siku 2 wanatoka na mwanamke mwengine.

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 Před měsícem +3

    Nyinyi mnachezea hakili zetu frenk wangapi Eliza wangapi?

  • @dominickjohn1128
    @dominickjohn1128 Před měsícem +3

    Una mpenda wap msenge wew!!umetuqbisha wanaume unalelewa alaf unaoa tena sungura matope!ulishindwa kumtomba na kumwambia ukweli kua una mke

    • @nuruabraham3769
      @nuruabraham3769 Před měsícem

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

    • @NewNew-ep5dq
      @NewNew-ep5dq Před měsícem

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Njooeni huku

  • @AbdillahiAlly
    @AbdillahiAlly Před 20 dny

    Kiifupi frenc nifala alipaswa kumuomba sasha ruhusa aruhusiwe kuowa 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @omanoman358
    @omanoman358 Před měsícem

    Mungu kakuherereza ndo maana yametokea hayo mwinzio anaumia huku unatumiwa pesa unatumbua na hawara mungu hakupenda kumdhulum mwenzio achana na madam shasha huna chako pambana na hali yako hakuna kumlaum kiredio

  • @AvityNjau-tz8gq
    @AvityNjau-tz8gq Před měsícem +3

    Waongo nyie mnatafuta kiki yule frenk wakwanza alkua mwembamba mrefu huyu frenk kanona mashavu. Msitufanye siye wa pumbavu

    • @ajesterkalulu7927
      @ajesterkalulu7927 Před měsícem

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂eti huyu amenona

  • @elizashembago6840
    @elizashembago6840 Před 4 dny

    Kule sasha anasema duka ni vifaa vya pikipiki, huku mnasema duka la nguo, ila nyieee

  • @fredrickmsimbe494
    @fredrickmsimbe494 Před měsícem +1

    Duuu uyu jamaa muongo kwanza so mwenyewe alafu uyo demu aitwi anet anaitwa esita

  • @user-wm7gu8os2i
    @user-wm7gu8os2i Před měsícem +1

    Duka nila vifaa vya pikipiki au ni languo mbona muna babaisha madamu sasha kasema vyake nahuyu ana sema vyake heee hatari

  • @realmeamyna30
    @realmeamyna30 Před měsícem

    Kiredio don't want peace😂😂😂😂😂

  • @naahmuro1710
    @naahmuro1710 Před měsícem

    Toeni upuuz hapa frank tulimuona leo mnatuletea mambo za wap hii... Frank kwanza alikuwa hatak camera sasa sjui frank huyu sijui katokea wap😂😂😂😂

  • @SalmaMohammedy-sh5fn
    @SalmaMohammedy-sh5fn Před měsícem

    Napenda kiki jamani uyo sio frank yule wa kwanza tafuteni story zenu bn

  • @user-ug1nv3xl4d
    @user-ug1nv3xl4d Před měsícem

    Asa siuendelee na uyo uliekutwa nae,na hela zimekata😂

  • @user-zc9xm6cc7x
    @user-zc9xm6cc7x Před měsícem

    Nmekukubali sana frank anajua makosa yake 😂❤

    • @Official83640
      @Official83640 Před měsícem

      Watu bd mazuzu yaani hd leo bd mnadanganyika na media fake😂😂😂😂

  • @mwanahawamchia7056
    @mwanahawamchia7056 Před 16 dny

    Asinge muweka hapo angempangishia sehemu ingine

  • @user-xx5iy8vo6c
    @user-xx5iy8vo6c Před 5 dny

    Waongo hatasio yeye huyo anamwili kidogo

  • @deecokujory
    @deecokujory Před měsícem

    Nyie mmenchukiza san mnaongea uongo tu mnatafta content tu angekua kiredio ndio amemtafta frank sawa sio wew chz unatuletea uongo tu frank tuliomuona kwenye video cio uyu nyang'au wew

  • @bensonnyirenda
    @bensonnyirenda Před měsícem

    Frenk anatama sana😂😂😂😂😂

  • @yassinMungere
    @yassinMungere Před měsícem

    Inalilah wainalilah rajiuna

  • @dorislaizer8196
    @dorislaizer8196 Před měsícem +1

    Mbona kama sio huyu yule frank mbona alikua kaduchu

  • @ImeldaMyinga
    @ImeldaMyinga Před měsícem

    Mbona akina frenk wengi sana

  • @ashurasenga3879
    @ashurasenga3879 Před měsícem

    Hata Sasha cyo yeye bana

  • @minalgodlove2363
    @minalgodlove2363 Před měsícem

    Bora umetusanua Franck hamjui kuvumilia upendo wa kweli unao mn ulikuwa hujionyeshi km unamcheati pole

  • @SalmMussa-r8y
    @SalmMussa-r8y Před 14 dny

    Mbona frenk yule msela nasauti sio

  • @user-ck3gw7ok7r
    @user-ck3gw7ok7r Před měsícem +1

    Kiredio yuko sahihi Hilo kwako ni funzo na kwa wengine

  • @EuniceWai-cq3gi
    @EuniceWai-cq3gi Před měsícem

    Mda mwingi vipi mbona sie tuko uku saudia miaka mingi tu

  • @ZenaMgwao
    @ZenaMgwao Před měsícem

    Hiz ni zakupanga hata shasha mwenyewe haiwezekan atoke Oman na kibeg kile chepes hakina kitu wala handbag mkononi hivo passport aliiweka Kwenye Nin alafu kashuka Airport na kupiga cm hyo lain na vocha aliiweka muda gani tukirudig Oman hatuag hivo hii ni move

  • @upendoshoo2635
    @upendoshoo2635 Před měsícem

    Mmm sio frenk

  • @samwelshanguya3938
    @samwelshanguya3938 Před měsícem

    Hawa jamaa mbona mnatuchanganya? Wakina frenk wamekua wengi punguzeni uhuni bhana tutawachoka sisi 😢😢😢

  • @ShekhaHamoud
    @ShekhaHamoud Před měsícem

    Punguzeni uwongo mbona huyo mnene tena frank ni mweusi tiii

  • @rachelsamwel5359
    @rachelsamwel5359 Před měsícem +1

    Tatizo sio kucheat tatizo ni kumleta mwanamke nyumbani asingemleta mwanamke mwingine ndani kwao Huna lolote la kumaliza wewe sio mwaminifu

  • @user-wm7gu8os2i
    @user-wm7gu8os2i Před měsícem

    Mbona muna tubaba insha akilizetu madamu saha kasema duka ni vya pikiipiki wewe wasema nilanguo tushikewapiiii jamani tucheni ungo kunamoto twendakoooo😢

  • @AmbokileFumigation
    @AmbokileFumigation Před měsícem

    Kengeee MTAROGWA NA WATU WA HIMAYA HIII😅😅😅 😂😂 WAONGO NYIYNYI

  • @KhadijaSalim-jx5gd
    @KhadijaSalim-jx5gd Před měsícem

    Jmni duka la spare hyu duka la nguo mhh

  • @assiatyassiaty9150
    @assiatyassiaty9150 Před měsícem +1

    Lakini kiredio aliambiwa asikwambie kama anakuja
    Mke wako alitaka ukusurprise

  • @JohnHembweza
    @JohnHembweza Před měsícem

    Kwanin lazima umulete ndani mwenu

  • @JohnHembweza
    @JohnHembweza Před měsícem

    Ww ni macho mia mia kwa nn umlete ndani mwenu

  • @user-lg9sx7fk1b
    @user-lg9sx7fk1b Před měsícem

    Kuna yule mwembamba kuna yule mnene sahii mwingine ata siwaelewi

  • @mohamedgandi8832
    @mohamedgandi8832 Před měsícem

    Wewe wacha uwongo unajua mwenzako anatafuta na atarudi vipi ushindwe kua mbali na mpenzi wako sio sababu ila wewe ulikua na tamaa swali ungekua wewe ingekuwaje

  • @sophiarajab5476
    @sophiarajab5476 Před měsícem

    Asa nyie wasenge mtu na demu wake mnamlaumu kiredio wa nini??Demu wako alitaka kujiproud kwamba anapendwa 😂😂akakuta hapendwi wala nini sasa mnamlaumu kiredio wa nini na alimtafuta mwenyewe kutaka umaarufu mavi mavi??Ndo akome panya mmoja.😂😂😂

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Před měsícem

    😮 acheni kuwa mna danganya watu mwanaume mwenyewe sio huyo😢

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Před měsícem

    Miaka minne yote katumia mwanaume pesa.bas yy anaficha et miaka miwili

  • @JacoboLipenege
    @JacoboLipenege Před měsícem

    Mnatu fanya sisi watoto au mbn sio huyu kakomaa

  • @MariamMadawa
    @MariamMadawa Před měsícem

    Kiledio jeje anashida na akufanya shida, shida aliekuwanae ni Frank 😅. Kwamahana halitaka kumdanganya Madam Natasha,hili aonekane Bwana msuri 😅. Hivyo aiwezekana Mtu yoyote yule kumlaum.
    Natasha ndio alimtafuta Kiledio.

  • @user-mt1jh4gx2g
    @user-mt1jh4gx2g Před měsícem

    Usimlaumu kiredio laugh tamaa na umalaya wako

  • @MishiPapalan
    @MishiPapalan Před měsícem +1

    Hata yule sasha hajatoka oman

  • @AliceMbaga-up6tx
    @AliceMbaga-up6tx Před měsícem

    Unapoaminiwa nawe ujiamini jamani umemuumiza dada wa wawatu sana kaja nafuraha zote nyongo imemtumbukia sana,sijui anakusamehe vipi,mtu anakupa huduma hifadhi unafanya ujinga hivyo pole sana

  • @christophersuzane8427
    @christophersuzane8427 Před měsícem

    Sio yeye bwana

  • @dominaizaiza2185
    @dominaizaiza2185 Před měsícem

    Km ww ni frank acha maisha yakulelewa namwamke. Ki2 mhim tafuta vyakwako ujenge maisha yk. Ukitegemea chamwanamke hata badae anaweza akakuletea mwanaume mwine ndani yanyumba mwenyewe ukiwa humohumo, kisa hauna kauli ytyt yn kigezo upo kwapani unalewa. Dawa yakuondokana kulelewa nilazima ufanye kz kwamikono yk mwenyewe hautanyaswa kamwe namwanamke na utachagua unayomtaka ww. Sio mapanzia hayo yalazima kisa mwanamke anakulea ww.

  • @user-hu5qi4nl1i
    @user-hu5qi4nl1i Před měsícem

    Acheni kutupanga basii khaaaa 😅😅😅😅😅😅

  • @GraceGodblees
    @GraceGodblees Před měsícem

    Lakin mjifunze kutulia jamn

  • @NajmaKhamis-g4i
    @NajmaKhamis-g4i Před měsícem

    Achane kutudaganya frek Ana dred huyo co

  • @LucresiaMayco
    @LucresiaMayco Před měsícem

    Hata sauti so ya frank wa mwanzo

  • @batulymsangi926
    @batulymsangi926 Před měsícem

    Syo yeye baba jmni 😂

  • @eunicenduba-bv3xo
    @eunicenduba-bv3xo Před měsícem +2

    Duka ni la nguo spare za pikipiki mbn mnatuchanganya jmn

  • @PeterAronkisunga
    @PeterAronkisunga Před měsícem

    Frenk gani tena huyu?

  • @user-zt4mm6ls3w
    @user-zt4mm6ls3w Před měsícem

    Frank ni mrefu mwembamba mbona huyu sijamuelewa

  • @alialiomar832
    @alialiomar832 Před měsícem

    Acheni udalanzi, leteni vitu real, nendeni theatre mukaigeze. Waongo haooo!!! 😂😂

  • @AminaDudu
    @AminaDudu Před měsícem

    Mbona mnamlaumu kiredio wakati ata yy alikuwa kazin alafu huyo cyo.furnk😂

  • @ibnayub2374
    @ibnayub2374 Před 19 dny

    Kbbbk huyu sio yule 😂😂

  • @user-hd1uf6cb2c
    @user-hd1uf6cb2c Před měsícem

    😂😂😂😂🙄🙄Kwani we si mohammed weye haha ahahahahahah heeh jamani nyieee... Haya ufrenk umetoka wapi??

  • @leocadiamanumbu5866
    @leocadiamanumbu5866 Před měsícem

    Kiredio hana kosa,yeye yupo kazini anasaka tonge, tabia yako ndo tatizo

  • @FrankMashoto
    @FrankMashoto Před měsícem

    Kwanza ukitaka kujua ni uongo , we angalia tu mtu aliyetoka nje kaja na kibegi cjepesi Wala hakina vitu ndani alafu chepesiiii, wee angalia hata huyo kiredio alivgokua amekibeba pale wakati akiingiza lile begi alikibeba kiuwepesi zaidi likiwa kama hamna vitu mule ndani.

  • @MemoryKamutandi
    @MemoryKamutandi Před měsícem

    Huyo siyo achen uwongo

  • @mohamedkhamis3200
    @mohamedkhamis3200 Před měsícem

    Eliza alisema kuwa wana mwaka mmoja pomoja mahujiano maingine eti miaka 3 sasa tuamini lipi?

  • @youngpeople0684
    @youngpeople0684 Před měsícem

    Kweli sio Frankie yule alikuwa mweusi sana tena alikuwa mugonde sana
    Uhu weupe na unene umetoka wapi E maajabu

  • @user-vf9lz4om1q
    @user-vf9lz4om1q Před měsícem

    Kwanza kasema kuwa dada wa Omni kakaa miaka 4kumbe kakaa miaka3tuuuu😅😅

  • @mziguwaosman8539
    @mziguwaosman8539 Před měsícem

    Kosa lake ni nini kiredio hilo ndilo funzo unaona umekosewa hapo huna jinsi eti nilikuwa na malengo na sasha mbona ulimsaliti hapo ungeongea ukweli japo hata kuelewa lakini ulimkana kabisa mbele ya mwamke na leo hii unakula unavyo taka una lala unavyo taka ila hukujuwa samani ya sasha leo unaitambua samani yake juzi uliogopa kumwambia ukweli huyo mwanamke wako

  • @user-zg2qf3sy9p
    @user-zg2qf3sy9p Před 19 dny

    Kaka ndyo umekosa kwanza ungemwambia aneti kuwa uma mpenzi mwengine kabla há yeye

  • @justinekamala9703
    @justinekamala9703 Před měsícem

    Wasenge nyie hakuna cha Frank hapa

  • @BiadahMlowe
    @BiadahMlowe Před měsícem

    Kiredio anaharibu kazi yake mwenyewe watu washashtukoa uwoongo waliofamya😢😢😢

  • @MUNTAQIYNAATHUMANI
    @MUNTAQIYNAATHUMANI Před měsícem

    Kwnn frank aliyekuepo kwen
    ye video sio sawa na huyu inakuaje apoo

  • @paulcharles6288
    @paulcharles6288 Před měsícem

    Mjini kunakiki nyingi sana sasha kahojiwa kasema anaduka la opera za pikipiki huyu Frank wa mchongo anasema duka la mitumba ukixikiliza stories mara tena kuna mganga

  • @user-uc6fd9md2q
    @user-uc6fd9md2q Před měsícem

    Ila mnachish.kila siku mnatuletea frank mpya.mbona kiredio hatuletea mwendelezo.hasa nyie sijui hawa wakina frenk.mnawaibulia wap?

  • @silahimumsuya9664
    @silahimumsuya9664 Před měsícem

    Acheni usenge huyu ndoo Frenk kabisa na kiukweli miaka mitatu bila mke noma!!

  • @AngelWinmasawe
    @AngelWinmasawe Před měsícem

    Toka hapa na sauti yako kam umemeza chura 😏

  • @harundouglas1633
    @harundouglas1633 Před měsícem

    Duka la nguo au la spare za pili pili, halafu umri wenu Frank original anasema mko Sawa, wewe unakubali Sasha amekuzidi umri😳😳

  • @user-fe9jc5di9f
    @user-fe9jc5di9f Před měsícem

    Munajua kutuvunga huyu sio

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c Před měsícem

    Huna akil ww kwa hiyo ulinua huyo madam angekaa ughaibuni miaka yote mpuuz ww alafu ww so frek yule alikuwa mwembamba nyoko nyie

  • @ShukurMkan
    @ShukurMkan Před měsícem

    Siyo frank uyo

  • @emmanulvictory507
    @emmanulvictory507 Před měsícem

    Mwenzio ana iq kubwa we ukawa na low iq .ujaweza kusave hela mzee😢

  • @bahatisophie6211
    @bahatisophie6211 Před 23 dny

    Makosa yako kama iyo mwili ilikuwa inakuumaa unge kuwa najiiba tu hange letaka muke munyumba iyo tu

  • @user-km6eh2tf9c
    @user-km6eh2tf9c Před měsícem

    Mbn wanabadilika badilika hao kina frenk jamn wa saiv mzee na sauti nyengine na maelezo ya yule wa mwanzo na huyu tofauti kbsa

  • @user-ft6ps7gx9j
    @user-ft6ps7gx9j Před měsícem

    Watu wanatafta kiki jmn kwa lazima khaaaa😂😂😂

  • @mwanaishayahaya3649
    @mwanaishayahaya3649 Před měsícem

    Sio siri mnatuchosha bhn weeeeeee🙄🙄🙄🙄

  • @user-ix5uo6ks7j
    @user-ix5uo6ks7j Před měsícem

    Ulipewa kilakitu lakini ziii at wajiuta

  • @petermwijage9882
    @petermwijage9882 Před měsícem

    ila wewe hujui hata kutengeneza sinario kabs

  • @user-es6fm8cv3o
    @user-es6fm8cv3o Před měsícem

    Mnatak kiki TU huyo cy frank

  • @rahma6189
    @rahma6189 Před měsícem

    Siungedangatu mbona uoe

  • @GraceMalley-ly2xn
    @GraceMalley-ly2xn Před měsícem

    Kama Shasa anependa amsamehe Mtu anakosa ndio ukimsamehe ni vigumu kurudia Cha ujumla.kosa ni kurudia kosa kosa la kwanza haliachishi mpenzi zungumzeni mbona kawaida TU kama ni kosa la kwanza

  • @user-du5oc9ly9e
    @user-du5oc9ly9e Před měsícem

    Waandishi mnatafuta trending kilazima wahusika hata co hao

  • @furmax_hub24
    @furmax_hub24 Před měsícem

    Kwamba wametuona hatuna akili kwamba frenk hatukumuona😂😂😂

  • @Roqua-hs3qf
    @Roqua-hs3qf Před měsícem

    Kiki iyo sio kweli ni waongo yule Sasha kasema duka LA vifaa vya piki piki uyu anasema duka LA nguo 😅😅😅😅😅😅kiki iyo ila imeenda

  • @VincentGidion-n5b
    @VincentGidion-n5b Před měsícem

    Frank wa nyokooooooooo🤣🤣