Ww ndoumesemakweli Kwanza ukiangalia ataalivyokuaanatoka pale uwanja wa ndege Yani nitofauti kabisa mm nipo oman nass tim strong tukiludi hom tunakua tumenona Kwa mazawdi webegi ataaina kitu wajingatuao
Mungu kakuherereza ndo maana yametokea hayo mwinzio anaumia huku unatumiwa pesa unatumbua na hawara mungu hakupenda kumdhulum mwenzio achana na madam shasha huna chako pambana na hali yako hakuna kumlaum kiredio
Nyie mmenchukiza san mnaongea uongo tu mnatafta content tu angekua kiredio ndio amemtafta frank sawa sio wew chz unatuletea uongo tu frank tuliomuona kwenye video cio uyu nyang'au wew
Hiz ni zakupanga hata shasha mwenyewe haiwezekan atoke Oman na kibeg kile chepes hakina kitu wala handbag mkononi hivo passport aliiweka Kwenye Nin alafu kashuka Airport na kupiga cm hyo lain na vocha aliiweka muda gani tukirudig Oman hatuag hivo hii ni move
Wewe wacha uwongo unajua mwenzako anatafuta na atarudi vipi ushindwe kua mbali na mpenzi wako sio sababu ila wewe ulikua na tamaa swali ungekua wewe ingekuwaje
Asa nyie wasenge mtu na demu wake mnamlaumu kiredio wa nini??Demu wako alitaka kujiproud kwamba anapendwa 😂😂akakuta hapendwi wala nini sasa mnamlaumu kiredio wa nini na alimtafuta mwenyewe kutaka umaarufu mavi mavi??Ndo akome panya mmoja.😂😂😂
Kiledio jeje anashida na akufanya shida, shida aliekuwanae ni Frank 😅. Kwamahana halitaka kumdanganya Madam Natasha,hili aonekane Bwana msuri 😅. Hivyo aiwezekana Mtu yoyote yule kumlaum. Natasha ndio alimtafuta Kiledio.
Unapoaminiwa nawe ujiamini jamani umemuumiza dada wa wawatu sana kaja nafuraha zote nyongo imemtumbukia sana,sijui anakusamehe vipi,mtu anakupa huduma hifadhi unafanya ujinga hivyo pole sana
Kwanza ukitaka kujua ni uongo , we angalia tu mtu aliyetoka nje kaja na kibegi cjepesi Wala hakina vitu ndani alafu chepesiiii, wee angalia hata huyo kiredio alivgokua amekibeba pale wakati akiingiza lile begi alikibeba kiuwepesi zaidi likiwa kama hamna vitu mule ndani.
Kosa lake ni nini kiredio hilo ndilo funzo unaona umekosewa hapo huna jinsi eti nilikuwa na malengo na sasha mbona ulimsaliti hapo ungeongea ukweli japo hata kuelewa lakini ulimkana kabisa mbele ya mwamke na leo hii unakula unavyo taka una lala unavyo taka ila hukujuwa samani ya sasha leo unaitambua samani yake juzi uliogopa kumwambia ukweli huyo mwanamke wako
Mjini kunakiki nyingi sana sasha kahojiwa kasema anaduka la opera za pikipiki huyu Frank wa mchongo anasema duka la mitumba ukixikiliza stories mara tena kuna mganga
Kama Shasa anependa amsamehe Mtu anakosa ndio ukimsamehe ni vigumu kurudia Cha ujumla.kosa ni kurudia kosa kosa la kwanza haliachishi mpenzi zungumzeni mbona kawaida TU kama ni kosa la kwanza
Huyo sio yule frenk tulio muona mara ya1 huyu nimwengine frenk😂😂 yaani niwa frenk2 badae patakuja na frenk3🤣🤣
Sie huyu nayule dada pia hakutoka Oman alkuwa Tz alhojiwa miez miwil iliopta wanatufanya hatuna akil
Hii nazan ni move
Umeona ee 😮
Ni 3 hswaaa siye huyu pia
Kweli mijnga sana uyukaka na atakuja dada feki
Watanzania punguzeni uongo
Huyu sio frenk yulee and sauti tofauti rangi tofaut and yule sio mnene ni mwembamba
Frenki ni wangapi kwa hii movie sababu wa kwanza alikuwa mwembamba wapili alikuwa mweusi mzito alafu huyu 😊
Frenk mwembamba huyu kaka tofauti kbisa nye mnapenda kiki 😂😂 hii channal ina visa
Sio kabs 😂
@@DfhhffDryy 😂😂😂
Y. Izi tv za kininga kwel yn wnaokota wt na kufanya konteti eti yule dada tulp mkuta ndani pale ni nani ulimkuta wp ww ndo kiredio
Sioyeye kbs waongo nyie
Sasa huoni kamer wamezooom na ile clip ya siku ile wamercod kwa umbali
YULE DADA JIRANI YANGU. AJASAFIRI KWENDA OMAN. hii movie kiki izo za bongo Tanzania 😂😂😂😂
Ww ndoumesemakweli Kwanza ukiangalia ataalivyokuaanatoka pale uwanja wa ndege Yani nitofauti kabisa mm nipo oman nass tim strong tukiludi hom tunakua tumenona Kwa mazawdi webegi ataaina kitu wajingatuao
Mimi nashida naye nampataje uyo
Jilani yako
@@ChartyCharz Nenda kwa kiredio utampata mimi siunganishi watu
@@hamisichioa469 wewe umesema unamjuwa jilani yako
Hahahhahahaahhaahah kwl bongo nyoko
Yani nyie hamna akili muna mulaumu kiredio Kwani kiredio njo alimutafuta sasha au aje nyiee vip kiredio iko sahihi njoo kaz yake Kwani shida iko wapi
Utaweza wa mjiachiye kiredio hana kosa atamoja
Hawajielew waache umalaya hao kiredio wamemtafuta wenyewe wanamlaumu Nini @@CynthiaIrakoze-tj9ve
😂😂😂😂😂😂😂😂
Mcpende kulelewa maana hutafanya unavyo taka
Apa ndio nimeamini kama ni kiki daa ila mmethubutu mmeweza😂😂
Haiwezekani mwanamme kuweza kusubiri mke wake kuwa mbali nae sio miaka 2 hata siku 2 wanatoka na mwanamke mwengine.
Nyinyi mnachezea hakili zetu frenk wangapi Eliza wangapi?
Una mpenda wap msenge wew!!umetuqbisha wanaume unalelewa alaf unaoa tena sungura matope!ulishindwa kumtomba na kumwambia ukweli kua una mke
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Njooeni huku
Kiifupi frenc nifala alipaswa kumuomba sasha ruhusa aruhusiwe kuowa 🎉🎉🎉🎉🎉
Mungu kakuherereza ndo maana yametokea hayo mwinzio anaumia huku unatumiwa pesa unatumbua na hawara mungu hakupenda kumdhulum mwenzio achana na madam shasha huna chako pambana na hali yako hakuna kumlaum kiredio
Waongo nyie mnatafuta kiki yule frenk wakwanza alkua mwembamba mrefu huyu frenk kanona mashavu. Msitufanye siye wa pumbavu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂eti huyu amenona
Kule sasha anasema duka ni vifaa vya pikipiki, huku mnasema duka la nguo, ila nyieee
Duuu uyu jamaa muongo kwanza so mwenyewe alafu uyo demu aitwi anet anaitwa esita
Duka nila vifaa vya pikipiki au ni languo mbona muna babaisha madamu sasha kasema vyake nahuyu ana sema vyake heee hatari
Sio yeye
Kiredio don't want peace😂😂😂😂😂
Toeni upuuz hapa frank tulimuona leo mnatuletea mambo za wap hii... Frank kwanza alikuwa hatak camera sasa sjui frank huyu sijui katokea wap😂😂😂😂
Napenda kiki jamani uyo sio frank yule wa kwanza tafuteni story zenu bn
Asa siuendelee na uyo uliekutwa nae,na hela zimekata😂
Nmekukubali sana frank anajua makosa yake 😂❤
Watu bd mazuzu yaani hd leo bd mnadanganyika na media fake😂😂😂😂
Asinge muweka hapo angempangishia sehemu ingine
Waongo hatasio yeye huyo anamwili kidogo
Nyie mmenchukiza san mnaongea uongo tu mnatafta content tu angekua kiredio ndio amemtafta frank sawa sio wew chz unatuletea uongo tu frank tuliomuona kwenye video cio uyu nyang'au wew
Frenk anatama sana😂😂😂😂😂
Inalilah wainalilah rajiuna
Mbona kama sio huyu yule frank mbona alikua kaduchu
Siyo huyu frenk namimi pia nimeona
Mbona akina frenk wengi sana
Hata Sasha cyo yeye bana
Bora umetusanua Franck hamjui kuvumilia upendo wa kweli unao mn ulikuwa hujionyeshi km unamcheati pole
Mbona frenk yule msela nasauti sio
Kiredio yuko sahihi Hilo kwako ni funzo na kwa wengine
Mda mwingi vipi mbona sie tuko uku saudia miaka mingi tu
Hiz ni zakupanga hata shasha mwenyewe haiwezekan atoke Oman na kibeg kile chepes hakina kitu wala handbag mkononi hivo passport aliiweka Kwenye Nin alafu kashuka Airport na kupiga cm hyo lain na vocha aliiweka muda gani tukirudig Oman hatuag hivo hii ni move
Mmm sio frenk
Hawa jamaa mbona mnatuchanganya? Wakina frenk wamekua wengi punguzeni uhuni bhana tutawachoka sisi 😢😢😢
Punguzeni uwongo mbona huyo mnene tena frank ni mweusi tiii
Tenna😂😂
Tatizo sio kucheat tatizo ni kumleta mwanamke nyumbani asingemleta mwanamke mwingine ndani kwao Huna lolote la kumaliza wewe sio mwaminifu
Sio yeye
Mbona muna tubaba insha akilizetu madamu saha kasema duka ni vya pikiipiki wewe wasema nilanguo tushikewapiiii jamani tucheni ungo kunamoto twendakoooo😢
Kengeee MTAROGWA NA WATU WA HIMAYA HIII😅😅😅 😂😂 WAONGO NYIYNYI
Jmni duka la spare hyu duka la nguo mhh
Lakini kiredio aliambiwa asikwambie kama anakuja
Mke wako alitaka ukusurprise
Kwanin lazima umulete ndani mwenu
Ww ni macho mia mia kwa nn umlete ndani mwenu
Kuna yule mwembamba kuna yule mnene sahii mwingine ata siwaelewi
Wewe wacha uwongo unajua mwenzako anatafuta na atarudi vipi ushindwe kua mbali na mpenzi wako sio sababu ila wewe ulikua na tamaa swali ungekua wewe ingekuwaje
Asa nyie wasenge mtu na demu wake mnamlaumu kiredio wa nini??Demu wako alitaka kujiproud kwamba anapendwa 😂😂akakuta hapendwi wala nini sasa mnamlaumu kiredio wa nini na alimtafuta mwenyewe kutaka umaarufu mavi mavi??Ndo akome panya mmoja.😂😂😂
😮 acheni kuwa mna danganya watu mwanaume mwenyewe sio huyo😢
Miaka minne yote katumia mwanaume pesa.bas yy anaficha et miaka miwili
Mnatu fanya sisi watoto au mbn sio huyu kakomaa
Kiledio jeje anashida na akufanya shida, shida aliekuwanae ni Frank 😅. Kwamahana halitaka kumdanganya Madam Natasha,hili aonekane Bwana msuri 😅. Hivyo aiwezekana Mtu yoyote yule kumlaum.
Natasha ndio alimtafuta Kiledio.
Usimlaumu kiredio laugh tamaa na umalaya wako
Hata yule sasha hajatoka oman
Unapoaminiwa nawe ujiamini jamani umemuumiza dada wa wawatu sana kaja nafuraha zote nyongo imemtumbukia sana,sijui anakusamehe vipi,mtu anakupa huduma hifadhi unafanya ujinga hivyo pole sana
Sio yeye bwana
Km ww ni frank acha maisha yakulelewa namwamke. Ki2 mhim tafuta vyakwako ujenge maisha yk. Ukitegemea chamwanamke hata badae anaweza akakuletea mwanaume mwine ndani yanyumba mwenyewe ukiwa humohumo, kisa hauna kauli ytyt yn kigezo upo kwapani unalewa. Dawa yakuondokana kulelewa nilazima ufanye kz kwamikono yk mwenyewe hautanyaswa kamwe namwanamke na utachagua unayomtaka ww. Sio mapanzia hayo yalazima kisa mwanamke anakulea ww.
Acheni kutupanga basii khaaaa 😅😅😅😅😅😅
Lakin mjifunze kutulia jamn
Achane kutudaganya frek Ana dred huyo co
Hata sauti so ya frank wa mwanzo
Syo yeye baba jmni 😂
Duka ni la nguo spare za pikipiki mbn mnatuchanganya jmn
Duka la spare hyu syo yule frank
Frenk gani tena huyu?
Frank ni mrefu mwembamba mbona huyu sijamuelewa
Acheni udalanzi, leteni vitu real, nendeni theatre mukaigeze. Waongo haooo!!! 😂😂
Mbona mnamlaumu kiredio wakati ata yy alikuwa kazin alafu huyo cyo.furnk😂
Kbbbk huyu sio yule 😂😂
😂😂😂😂🙄🙄Kwani we si mohammed weye haha ahahahahahah heeh jamani nyieee... Haya ufrenk umetoka wapi??
Kiredio hana kosa,yeye yupo kazini anasaka tonge, tabia yako ndo tatizo
Kwanza ukitaka kujua ni uongo , we angalia tu mtu aliyetoka nje kaja na kibegi cjepesi Wala hakina vitu ndani alafu chepesiiii, wee angalia hata huyo kiredio alivgokua amekibeba pale wakati akiingiza lile begi alikibeba kiuwepesi zaidi likiwa kama hamna vitu mule ndani.
Huyo siyo achen uwongo
Eliza alisema kuwa wana mwaka mmoja pomoja mahujiano maingine eti miaka 3 sasa tuamini lipi?
Kweli sio Frankie yule alikuwa mweusi sana tena alikuwa mugonde sana
Uhu weupe na unene umetoka wapi E maajabu
Kwanza kasema kuwa dada wa Omni kakaa miaka 4kumbe kakaa miaka3tuuuu😅😅
Kosa lake ni nini kiredio hilo ndilo funzo unaona umekosewa hapo huna jinsi eti nilikuwa na malengo na sasha mbona ulimsaliti hapo ungeongea ukweli japo hata kuelewa lakini ulimkana kabisa mbele ya mwamke na leo hii unakula unavyo taka una lala unavyo taka ila hukujuwa samani ya sasha leo unaitambua samani yake juzi uliogopa kumwambia ukweli huyo mwanamke wako
Kaka ndyo umekosa kwanza ungemwambia aneti kuwa uma mpenzi mwengine kabla há yeye
Wasenge nyie hakuna cha Frank hapa
Kiredio anaharibu kazi yake mwenyewe watu washashtukoa uwoongo waliofamya😢😢😢
Kabisa juzi tuliyemuona ni mwingine😂
Kwnn frank aliyekuepo kwen
ye video sio sawa na huyu inakuaje apoo
Mjini kunakiki nyingi sana sasha kahojiwa kasema anaduka la opera za pikipiki huyu Frank wa mchongo anasema duka la mitumba ukixikiliza stories mara tena kuna mganga
Ila mnachish.kila siku mnatuletea frank mpya.mbona kiredio hatuletea mwendelezo.hasa nyie sijui hawa wakina frenk.mnawaibulia wap?
Acheni usenge huyu ndoo Frenk kabisa na kiukweli miaka mitatu bila mke noma!!
Toka hapa na sauti yako kam umemeza chura 😏
Duka la nguo au la spare za pili pili, halafu umri wenu Frank original anasema mko Sawa, wewe unakubali Sasha amekuzidi umri😳😳
Munajua kutuvunga huyu sio
Huna akil ww kwa hiyo ulinua huyo madam angekaa ughaibuni miaka yote mpuuz ww alafu ww so frek yule alikuwa mwembamba nyoko nyie
Siyo frank uyo
Mwenzio ana iq kubwa we ukawa na low iq .ujaweza kusave hela mzee😢
Makosa yako kama iyo mwili ilikuwa inakuumaa unge kuwa najiiba tu hange letaka muke munyumba iyo tu
Mbn wanabadilika badilika hao kina frenk jamn wa saiv mzee na sauti nyengine na maelezo ya yule wa mwanzo na huyu tofauti kbsa
Watu wanatafta kiki jmn kwa lazima khaaaa😂😂😂
Sio siri mnatuchosha bhn weeeeeee🙄🙄🙄🙄
Ulipewa kilakitu lakini ziii at wajiuta
ila wewe hujui hata kutengeneza sinario kabs
Mnatak kiki TU huyo cy frank
Siungedangatu mbona uoe
Kama Shasa anependa amsamehe Mtu anakosa ndio ukimsamehe ni vigumu kurudia Cha ujumla.kosa ni kurudia kosa kosa la kwanza haliachishi mpenzi zungumzeni mbona kawaida TU kama ni kosa la kwanza
Waandishi mnatafuta trending kilazima wahusika hata co hao
Kwamba wametuona hatuna akili kwamba frenk hatukumuona😂😂😂
Kiki iyo sio kweli ni waongo yule Sasha kasema duka LA vifaa vya piki piki uyu anasema duka LA nguo 😅😅😅😅😅😅kiki iyo ila imeenda
Frank wa nyokooooooooo🤣🤣