KACHUKUA MPENZI WA MWENZAKE Pt2

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 06. 2024

Komentáře • 437

  • @Missah
    @Missah Před 17 dny +322

    Ambao hatunaga marafik tugonge like hapa😢

  • @Nanah-go4lj
    @Nanah-go4lj Před 17 dny +45

    Ila sema mama mtoto yupo vzr pisi ya kwenda ❤❤

  • @LisahNammen-xm7oz
    @LisahNammen-xm7oz Před 17 dny +15

    Huyo dada mwenye white❤️

  • @Ishowprime004
    @Ishowprime004 Před 17 dny +57

    Gonga like apa kama Mr Uk anakubamba

  • @TreasureMagumba
    @TreasureMagumba Před 17 dny +15

    Caren tulikuambia acha kujifanya mjuaji huwajui wanaume vizuri sasa leo kimekuramba😂😂😂😂😊

  • @nyagawagodk2479
    @nyagawagodk2479 Před 17 dny +51

    Kama una mkubali Melisa gonga like

  • @user-ix9kq6ke2m
    @user-ix9kq6ke2m Před 17 dny +5

    Kweli dada huyoo sio rafiki mzur ni nyani ni shatani pia😂😂😂🇴🇲

  • @gaudensiamalawoni3215
    @gaudensiamalawoni3215 Před 17 dny +7

    Kajimi kenyewe Sasa 🤣🤣🤣🤣 hovyoooooo

  • @RehemaOmary-xp4fk
    @RehemaOmary-xp4fk Před 17 dny +6

    Kibwana chenyewe sasa khaaa 😂😂😂😂

  • @pillyramadhani3726
    @pillyramadhani3726 Před 17 dny +15

    😂eti anamwita mwezie lishangazi😂 au ye ajioni

  • @TreasureMagumba
    @TreasureMagumba Před 17 dny +31

    Jimmy katumia mbinu rahisi sana kujitoa kwenye janga ila baada ya hapo ataenda kuwaomba msamaha mmoja mmoja na wanawake tulivyo kila mmoja atamsamehe jimmy kwa nafasi yake akiamini anapendwa 😂😂😂akili kichwani mwenu careen na Melissa

  • @chikuhamadi1340
    @chikuhamadi1340 Před 17 dny +7

    Uyu dada mwenye rasta nizaidi ya shetani wallah angekubaliwa angemuona mwezake ajui k2 mana ndomaneno yake sio shoga uyo looh ila jimy nimempenda bure uwamuzi wa kiume uwo😂😂😂😂😂😂

  • @user-hc6yy8yn9i
    @user-hc6yy8yn9i Před 17 dny +21

    Duuh hapa mjin Bora tu uwe huna rafiki 😂😂

  • @DavidDavid-wf5ug
    @DavidDavid-wf5ug Před 17 dny +26

    Mr UKY vipi ile ya dada aliyefunikwa keki yaa uso ndiyo imetoka au utaendelea

  • @user-fc2kj5fm9o
    @user-fc2kj5fm9o Před 7 dny +3

    Sema muhun kamaliza kinyamwez😂😂😂

  • @user-vw5bz6eh8s
    @user-vw5bz6eh8s Před 17 dny +27

    Mchepuko ana Nyodo mamae

  • @wardaluambano2177
    @wardaluambano2177 Před 17 dny +18

    Mchepuko mwenyewe Hana uzur wowote mke ndo mzur kweli wanaume hamjielewi

  • @simeocharles8182
    @simeocharles8182 Před 16 dny +2

    Jamaa katuwakilisha vzr sana

  • @user-qs4sc7cp8q
    @user-qs4sc7cp8q Před 17 dny +16

    Safi sana melisa ni mvumilivu sana,huyo bi shoga anajikuta mzuur anajiona anajua kuropoka hovyo,mwanaume kawakataa wote ondoka kwenye maisha ya melisa ufai hata kidogo,unataka msameheane yaishe yataisha ila uchafu ulioufanya haufutiki kwenye mind set ya melisa

    • @johasaeed391
      @johasaeed391 Před 17 dny +1

      😅😅😅 hata akimsamehe akaee naye mbali maana bado tu atakuja haribu

    • @kerenlumbya4575
      @kerenlumbya4575 Před 16 dny

      Hati ni samehe,sisi ni marafiki longtime 😳,huyu shetani wa Karen hana hata aibu.....

  • @annamosses14
    @annamosses14 Před 17 dny +11

    My shoga kwa kyupi usije nisalit nakutegemea sina rafik mwingine zaid yako ❤❤❤

    • @OmanOman-ru4eu
      @OmanOman-ru4eu Před 17 dny

      😂😂😂😂😂 umenichekesha

    • @JudithAdonis
      @JudithAdonis Před 17 dny

      Jidanganye......mwenzio akinyolewa ww tia maji
      Jifunze ktk haya.....yapo !!

    • @innocentcareen818
      @innocentcareen818 Před 16 dny

      Ohooo subiri yakukute mi Sina rafiki

  • @ZuwenaHemedy-fn4ft
    @ZuwenaHemedy-fn4ft Před 17 dny +13

    Jimmy 😂😂😂😂😂...unadate na mtu anaitwa Jimmy na unasema upo kwenye serious relationship 😅

  • @sahraabdallah7242
    @sahraabdallah7242 Před 17 dny +24

    Sitaki ushosti na mwanamke sitaki kabisaaaaaa

  • @WitnessIsack-vm4xc
    @WitnessIsack-vm4xc Před 17 dny +2

    😂😂😂Sikutegemea Jimmy's reception and looking😂😂very interesting😅😅😅😅😅

  • @user-lq4op1bv5c
    @user-lq4op1bv5c Před 17 dny +17

    😂😂😂😂😂😂😂 mapenzi ya kweli tutayakuta uzeeni kiukwel penye kila mtu kapinda sura n mixhipa kibao😂😂😂😂😂

  • @nailamimi20
    @nailamimi20 Před 17 dny +2

    Huyo jimy sana eeh baba Mungu khaaaa 🤣🤣🤣🤣

  • @user-lx8nl8hh3f
    @user-lx8nl8hh3f Před 17 dny +17

    Jimmy mwenyewe sasa ahahaaahaahahaaahahahahahahaaaaaaaaaAaaaaa

  • @NeemaAntony-xe7ge
    @NeemaAntony-xe7ge Před 9 dny +1

    Me nipo upande wa brother

  • @khadidjaabdi-hd8py
    @khadidjaabdi-hd8py Před 17 dny +6

    Wakwanza leo 😂😂😅

  • @user-yf9fg8jp6b
    @user-yf9fg8jp6b Před 6 dny +2

    Huyo kareni hana akili anajuwa kabisa huyo ni mume wa rafiki yake alafu yeye tena ana mwita hapo huyo kweli snichi kama jimi alivyo sema 😂😂😂😂😂 Karen akili halina alijuwa Jimmy atamkataa mama mtoto wake dah basda ya kukataliw wote ety urafiki uendelee 😂😂😂😂 punguani wa mwisho caren

  • @Fredrick-tl5gl
    @Fredrick-tl5gl Před 2 dny

    Sanaa mwang pisi noma

  • @StelaJohn-nj5yf
    @StelaJohn-nj5yf Před 17 dny +4

    Sorry dada mwenye mtoto kuwa mpole ipo siku Mungu atakupa mtu Mwema atakayekuthamini..

  • @rajabmwajasho382
    @rajabmwajasho382 Před 9 dny +1

    Ujue huyu dada ni mkorofi mi naenda kumdunda for me 😂😂😂

  • @jordannelson2453
    @jordannelson2453 Před 16 dny +1

    mwanajeshi xiwataki waote nakubali jimmy

  • @edwinraymond3404
    @edwinraymond3404 Před 16 dny +2

    YAN USHAMHARIBIA ALAFU MZIDI KUWA MARAFIKI DAAAA ILA WA DADA MWEEEEE WANAUME NI WACHACHE SANA WENYE HII TABIA NA LAZIMA MWANAMKE AANZE NDIO UWAGA TUNAINGIA KINGI

  • @nathalieswedy3653
    @nathalieswedy3653 Před 17 dny +4

    Melissa mzr jaman

  • @jeskaoscar9423
    @jeskaoscar9423 Před 17 dny +6

    Mi nikajua sijakamilika kwasababu cnaga lafiki ila me bola nibaki bila lafiki staki😢

  • @mossesramadhani501
    @mossesramadhani501 Před 16 dny +1

    Safi sema Mr. Uky uwe unachangamka basi kama mwenzio kiradio sio sikiliza sikiliza kibaaao point n. 0. Kakaaa

  • @ibraoman2745
    @ibraoman2745 Před 17 dny +4

    Huyu shog yupo kweny kumualibia mwenziwe

  • @gamarahmed3258
    @gamarahmed3258 Před 17 dny +9

    😂😂😂yani Bada ya kukataliwa ndo anaomba msamaha kweli marafiki ni sumu jamani

  • @AsteriaRaphael
    @AsteriaRaphael Před 13 dny +2

    Dada kibonge mzuri

  • @MarcoAmoni-sq5do
    @MarcoAmoni-sq5do Před 13 dny +1

    Yan kafyonz mwenyew alaf anamwambia mwenzake asimfyonze 🤣🤣🤣

  • @shamimhussein245
    @shamimhussein245 Před 17 dny +3

    Uyo jimmy mwenyew sasa😅

  • @user-eo4hd8xu6d
    @user-eo4hd8xu6d Před 12 dny

    😂😂😂jimmy safi sana. Kawakataa wakorofi

  • @Ms.Shansha
    @Ms.Shansha Před 14 dny +1

    Jamani kuzaa na mwanaume sio kwamba ndo atakupenda 🤣ila nimempenda mchepuko anaelewa her role ila anavuga

  • @candiesalm8995
    @candiesalm8995 Před 16 dny +2

    Jimmy mwenyewe sas yupo kama jini😂😂😂

  • @Jey-zh9tk
    @Jey-zh9tk Před 11 dny +1

    Wuuuuuueh!! Yan n uyu kinyangarika ndo mnamgombania Ivo?? Any way pole sana Melisa.

  • @joycekambuga6286
    @joycekambuga6286 Před 12 dny

    Uko vizuri hawara ni mpuuzi tu

  • @JemimaMdota
    @JemimaMdota Před 17 dny +2

    Jaman huyu bonge nimependa bureeeeee kabsa

  • @user-jf7vx9nb9m
    @user-jf7vx9nb9m Před 17 dny +15

    Jimmy mwenyewe mbaya sura kama ngoz ya futi

  • @clarakisoka4300
    @clarakisoka4300 Před 17 dny +1

    Nlijua linakuja bonge la bwana😂 😅😅

  • @linnerphilip4260
    @linnerphilip4260 Před 17 dny +3

    Mnagombea dudu tu hapo😂😂😂

  • @witneyjerry2587
    @witneyjerry2587 Před 17 dny +2

    Yaani uchukue bwana wa mwenzio halafu useme muendelee kua marafiki,khaaa,

  • @neliciousmtata5309
    @neliciousmtata5309 Před 17 dny

    😂😂 mwenyew kaomba zake yaishe warudi urafiki na mwanaume wameshamchungulia wote😂😂😂😂 basi buana🙌🏼

  • @RachelJulius-fh9nl
    @RachelJulius-fh9nl Před 17 dny +2

    Lisa mzuri❤🎉

  • @israeluronu9958
    @israeluronu9958 Před 17 dny +1

    Alomuita mwenzie mshangazi nayy katoswa

  • @salehmdemu5722
    @salehmdemu5722 Před 17 dny +3

    Huo ni uongo,,hayo ni maigizo tu

  • @chunaabdullah1333
    @chunaabdullah1333 Před 8 dny

    Atafata. Mmoja ammbembeleze, yani unitwalie mume wangu alafu tuachwe alafu urafiki eti urudi kweli 😂😂😂wa bongo amko serious

  • @lilianlilian6978
    @lilianlilian6978 Před 11 dny +1

    Mr UK na @Monsuli nawakubal sana

  • @khatibumnondo4739
    @khatibumnondo4739 Před 14 dny

    safi sana men umeamua maamuzi yakiume mwanangu bwaga wote kila mmoja atakutafuta kwawakat wake

  • @jamilajamila183
    @jamilajamila183 Před 16 dny

    Kibonge mwezangu mzur❤

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Před 2 dny

    Jimmy lenyewe kabaya

  • @mariamandambike5013
    @mariamandambike5013 Před 15 dny

    Nilijua tuuu itakuwa ivyooo mwishoniii...😂😂😂😂

  • @juliethhenrymasanja940

    Aise rafiki du, noma

  • @beatrcidavid3318
    @beatrcidavid3318 Před 17 dny

    White wa tist nakupnda 🎉🎉🎉🎉 we mzury achna na huyu kibaka

  • @user-wd2bc7bf5x
    @user-wd2bc7bf5x Před 17 dny +2

    Jimmy mwenyew sasa😂😂😂

  • @ebbymasenga3220
    @ebbymasenga3220 Před 4 dny

    Pia m2 na shoga ake makubwa urafiki wa siku iz Mungu atusaidie

  • @Denismayeye18
    @Denismayeye18 Před 17 dny +7

    Kumbe na mishangaz inagombania mabwana

    • @user-ls2nq2eq3l
      @user-ls2nq2eq3l Před 17 dny

      Mapenzi hayana ushangaz kaka Kama hawajaolewa ndo ivo

    • @user-ls2nq2eq3l
      @user-ls2nq2eq3l Před 17 dny

      Mapenzi hayana ushangaz kaka Kama hawajaolewa ndo ivo

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 Před 17 dny +1

    Hapo kuna mmoja atatafutwa baadae na maisha yataendelea.

  • @user-ul9kp8zq1k
    @user-ul9kp8zq1k Před 17 dny

    Jimyyy siwataki woteeee😂😂😂

  • @ELIZABETHEMMANUEL-kz7vn

    After kukataliwa ze gelo is very humble 😂😂😂😂😂😂 snitch xanaa uyu careen xialikua anasema hawez kataliwa😂😂😂😂😂😂 very interesting stor

  • @SwaumuKatundu
    @SwaumuKatundu Před 12 dny

    Ila jimmy ni zaid ya shetan😂😂😂🙌🙌

  • @ZeyanaKhamismashaka
    @ZeyanaKhamismashaka Před 17 dny

    Rafiki asaaa bora ukae mbali kuliko kuwa narafiki mnafiki 😂😂😂😂😂😂

  • @mercyurio1632
    @mercyurio1632 Před dnem

    Mama mtoto ana mdomo

  • @user-pg3rb7nq3m
    @user-pg3rb7nq3m Před 6 dny

    Jimmy na caren wote mashetaniii 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂. They deserve each other

  • @luckynessraitory2087
    @luckynessraitory2087 Před 16 dny

    Mmmmh naanza kumuelewa mama angu daah bora ulale nyumbani kwako tu kama maisha ndo hayo

  • @fatmambeyela6697
    @fatmambeyela6697 Před 17 dny

    Yan hyu single mama ni pisi ya kwendaaa why uhangaike na Jimmy focus na maisha yko ckuiz hatung'ang'anii mwanaume, tunatafuta pesa zte tunapambana kulea mtoto achananae move on darling u will get another man🥰🥰

  • @NeemaMdachi
    @NeemaMdachi Před 17 dny +1

    ukisikia dhoruba ndy hii sasa jimmy wew ni kimbunga jobo😆😆😆

  • @Zari-bj7pg
    @Zari-bj7pg Před 17 dny +2

    Mbona huy mwenye wig mzur tu afanye biashar t

  • @graceshayo5763
    @graceshayo5763 Před 17 dny

    Kamjibu vzr kiukweli ht ungekuw ww

  • @BaziriMwanda
    @BaziriMwanda Před 14 dny

    Ningekua ndo mimi nisingemsamehe careen maisha yangu yote kama alikua anajua kua kunaurafk wa mda mrefu asingemfanyia hayo yote

  • @hellendaniel3809
    @hellendaniel3809 Před 17 dny +3

    Jimmy mwenyewe km Kibuyu woiiiii😂😂😂

  • @maryamsweety-ip2jx
    @maryamsweety-ip2jx Před 17 dny

    Njoo kwangu jimmy😂

  • @STAVOO_WEEZZY
    @STAVOO_WEEZZY Před 17 dny +1

    BADO HAWAJASEMA, MKINIUMIZA NINA MABROO WANGU WANANILIPIA😅😅😅😅

  • @nadiatanzania
    @nadiatanzania Před 17 dny

    Mabeshte bana waaaa😅😅

  • @rukiapessa7112
    @rukiapessa7112 Před 15 dny

    Huyu mwenye rasta ni choko sanaaaa

  • @deogratiusyudatadei5658

    Hapo hakuna mwanamke hata mmoja😂😂

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Před 17 dny

    Wallah marafiki wamekuw siyo mwanaume mwenyew huyo duuh wanawake tujitambue akikuacha tulia usimfatilie san

  • @pendogeorge1813
    @pendogeorge1813 Před 17 dny +3

    Duka linavitu vizuri hatar❤
    Kama kukataliwa tumekataliwa wote...basi turudi kuwa marafiki😂😂😂😂😂😂nimecheka sana

    • @AgnesDavid-et3zn
      @AgnesDavid-et3zn Před 17 dny

      😂😂😂

    • @JudithAdonis
      @JudithAdonis Před 17 dny

      Amechanganyikiwa😂😂😂......kama unakumbuka alisema yeye hawezi kuachana na JIMMY

    • @pendogeorge1813
      @pendogeorge1813 Před 16 dny

      @@JudithAdonis alafu kaachwa yeye🤣🤣🤣🤣ila wanaume wa hivyo hua wanaomba msamaha kotekote kimyakimya na wanasamehewa kotekote

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 Před 17 dny

    Uwiii Bora cna shoga,shoga adui no moja

  • @user-hx1ny1me7x
    @user-hx1ny1me7x Před 14 dny

    Eeehh mungu niepushe balaa la kugombania pumbu wallah

  • @user-oc5sd9kw9s
    @user-oc5sd9kw9s Před 17 dny

    anajua wote wanampenda ndio maana kaona awakatae wote🤣🤣🤣anajua watajirud tu

  • @Mzalendotiz
    @Mzalendotiz Před 8 dny

    Mwanangu Jimmy ametisha💪

  • @UmayyaNkya-ze3ri
    @UmayyaNkya-ze3ri Před 17 dny

    Hivi mnakosaga kaz mfanye always kupigania hii mijitu 😢😢😢mapenzi kubababake

  • @TreasureMagumba
    @TreasureMagumba Před 17 dny +2

    By the way unaishije na mwanaume zaidi ya miaka6 bila ndoa??? Bora upiganie mume kuliko kupigania mpenzi

    • @lilyshayo761
      @lilyshayo761 Před 14 dny +1

      Hata huruma Hawaka angempa Amani hiyo 6yrs du wanaume shikamoo

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 Před 17 dny +2

    Kaka kazi yako ngumu🤔

  • @Jemesjoni
    @Jemesjoni Před 8 dny

    Mshikaj yuko vizuli san ata kama mimi nigesema wot siwataki

  • @alisahaudax4519
    @alisahaudax4519 Před 12 dny

    Uyo jimmy mwenyew😂😂😂

  • @StellaMuhibu-po3ec
    @StellaMuhibu-po3ec Před 17 dny +3

    Mm nimesubilia kwa hamu jmn

  • @kylenkylen5349
    @kylenkylen5349 Před 17 dny +5

    Hili duka liko wapi jamani au linaitwaje wikiend niende

  • @user-vt8do3sm8i
    @user-vt8do3sm8i Před 15 dny

    Mr UK hiyoo kaz yako ni ngum saan😂😂😂