Jimmy katumia mbinu rahisi sana kujitoa kwenye janga ila baada ya hapo ataenda kuwaomba msamaha mmoja mmoja na wanawake tulivyo kila mmoja atamsamehe jimmy kwa nafasi yake akiamini anapendwa 😂😂😂akili kichwani mwenu careen na Melissa
Uyu dada mwenye rasta nizaidi ya shetani wallah angekubaliwa angemuona mwezake ajui k2 mana ndomaneno yake sio shoga uyo looh ila jimy nimempenda bure uwamuzi wa kiume uwo😂😂😂😂😂😂
Safi sana melisa ni mvumilivu sana,huyo bi shoga anajikuta mzuur anajiona anajua kuropoka hovyo,mwanaume kawakataa wote ondoka kwenye maisha ya melisa ufai hata kidogo,unataka msameheane yaishe yataisha ila uchafu ulioufanya haufutiki kwenye mind set ya melisa
Huyo kareni hana akili anajuwa kabisa huyo ni mume wa rafiki yake alafu yeye tena ana mwita hapo huyo kweli snichi kama jimi alivyo sema 😂😂😂😂😂 Karen akili halina alijuwa Jimmy atamkataa mama mtoto wake dah basda ya kukataliw wote ety urafiki uendelee 😂😂😂😂 punguani wa mwisho caren
YAN USHAMHARIBIA ALAFU MZIDI KUWA MARAFIKI DAAAA ILA WA DADA MWEEEEE WANAUME NI WACHACHE SANA WENYE HII TABIA NA LAZIMA MWANAMKE AANZE NDIO UWAGA TUNAINGIA KINGI
Yan hyu single mama ni pisi ya kwendaaa why uhangaike na Jimmy focus na maisha yko ckuiz hatung'ang'anii mwanaume, tunatafuta pesa zte tunapambana kulea mtoto achananae move on darling u will get another man🥰🥰
Ambao hatunaga marafik tugonge like hapa😢
Kwann huna rafiki Missah
Tafta marafk wa kiume!! Achana na mashoga
Me marefik hawana nafac kwang kwa kweli 😂
@@MariamAthuman-jq2ce hata wa kiume?
@@abedysteven4930mimi napenda marafiki wakiume na ndonilonao lakn hawa mashoga
Ila sema mama mtoto yupo vzr pisi ya kwenda ❤❤
❤❤kabisaa
UZURI WAUTOLEE WAPI WOTE WABOVU TU
Haha wabovu kweli? 😂😅@@user-yn8yj5xf2p
Huyo dada mwenye white❤️
Gonga like apa kama Mr Uk anakubamba
Caren tulikuambia acha kujifanya mjuaji huwajui wanaume vizuri sasa leo kimekuramba😂😂😂😂😊
Kama una mkubali Melisa gonga like
Kweli dada huyoo sio rafiki mzur ni nyani ni shatani pia😂😂😂🇴🇲
Kajimi kenyewe Sasa 🤣🤣🤣🤣 hovyoooooo
😂😂😂
Kibwana chenyewe sasa khaaa 😂😂😂😂
😂eti anamwita mwezie lishangazi😂 au ye ajioni
Sura yake ngum
😂😂😂👊 yaan Nyan Haonag Kundule
Jimmy katumia mbinu rahisi sana kujitoa kwenye janga ila baada ya hapo ataenda kuwaomba msamaha mmoja mmoja na wanawake tulivyo kila mmoja atamsamehe jimmy kwa nafasi yake akiamini anapendwa 😂😂😂akili kichwani mwenu careen na Melissa
Umejuaje?
Uyu dada mwenye rasta nizaidi ya shetani wallah angekubaliwa angemuona mwezake ajui k2 mana ndomaneno yake sio shoga uyo looh ila jimy nimempenda bure uwamuzi wa kiume uwo😂😂😂😂😂😂
Duuh hapa mjin Bora tu uwe huna rafiki 😂😂
Rafiki wapo dear ila Kuna mbwa pia wapo😂😂
Mr UKY vipi ile ya dada aliyefunikwa keki yaa uso ndiyo imetoka au utaendelea
Sema muhun kamaliza kinyamwez😂😂😂
Mchepuko ana Nyodo mamae
michepuko ndo walivyo,yaan wanajiamin balaa
Mwizi siku zote anakuwa ivo 😢kama haji kuachwa na yy
Afu co mzur
Atulie tu na yeye siku kikimlamba 😅
Alafu hawajiangaliagi wanajionaga wazuri kuku hawa
Mchepuko mwenyewe Hana uzur wowote mke ndo mzur kweli wanaume hamjielewi
Uzuri uko ndani wewe
Bahati mbaya kwa mwanaume uzuri uko kitandani tu ,ukiwa mbovu kitandani uzuri wako bure so note that
Jamaa katuwakilisha vzr sana
Safi sana melisa ni mvumilivu sana,huyo bi shoga anajikuta mzuur anajiona anajua kuropoka hovyo,mwanaume kawakataa wote ondoka kwenye maisha ya melisa ufai hata kidogo,unataka msameheane yaishe yataisha ila uchafu ulioufanya haufutiki kwenye mind set ya melisa
😅😅😅 hata akimsamehe akaee naye mbali maana bado tu atakuja haribu
Hati ni samehe,sisi ni marafiki longtime 😳,huyu shetani wa Karen hana hata aibu.....
My shoga kwa kyupi usije nisalit nakutegemea sina rafik mwingine zaid yako ❤❤❤
😂😂😂😂😂 umenichekesha
Jidanganye......mwenzio akinyolewa ww tia maji
Jifunze ktk haya.....yapo !!
Ohooo subiri yakukute mi Sina rafiki
Jimmy 😂😂😂😂😂...unadate na mtu anaitwa Jimmy na unasema upo kwenye serious relationship 😅
Ucnambie jimmy ni washenzi?
@@user-lx8nl8hh3f😂😂😂
Jimmy hawafai au😂😂
Sawa sawa
Huo Jimmy mwenyewe😅😅😅😅 naona urefu tu kama jini eti Rafik yangu unifanyie hivi😅😅😅 tunauwana na namuacha
Sitaki ushosti na mwanamke sitaki kabisaaaaaa
😂
😂😂😂Sikutegemea Jimmy's reception and looking😂😂very interesting😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂😂😂 mapenzi ya kweli tutayakuta uzeeni kiukwel penye kila mtu kapinda sura n mixhipa kibao😂😂😂😂😂
Kweli mana siyo poa 😁😁😁😂 ww kama mm tu
haha kwkwel ndio
Huyo jimy sana eeh baba Mungu khaaaa 🤣🤣🤣🤣
Jimmy mwenyewe sasa ahahaaahaahahaaahahahahahahaaaaaaaaaAaaaaa
😂😂
😂😂😂Hatar Na Nusu
Me nipo upande wa brother
Wakwanza leo 😂😂😅
Huyo kareni hana akili anajuwa kabisa huyo ni mume wa rafiki yake alafu yeye tena ana mwita hapo huyo kweli snichi kama jimi alivyo sema 😂😂😂😂😂 Karen akili halina alijuwa Jimmy atamkataa mama mtoto wake dah basda ya kukataliw wote ety urafiki uendelee 😂😂😂😂 punguani wa mwisho caren
Sanaa mwang pisi noma
Sorry dada mwenye mtoto kuwa mpole ipo siku Mungu atakupa mtu Mwema atakayekuthamini..
Ujue huyu dada ni mkorofi mi naenda kumdunda for me 😂😂😂
mwanajeshi xiwataki waote nakubali jimmy
YAN USHAMHARIBIA ALAFU MZIDI KUWA MARAFIKI DAAAA ILA WA DADA MWEEEEE WANAUME NI WACHACHE SANA WENYE HII TABIA NA LAZIMA MWANAMKE AANZE NDIO UWAGA TUNAINGIA KINGI
Melissa mzr jaman
Mi nikajua sijakamilika kwasababu cnaga lafiki ila me bola nibaki bila lafiki staki😢
Marafiki wa kiume fresh
Safi sema Mr. Uky uwe unachangamka basi kama mwenzio kiradio sio sikiliza sikiliza kibaaao point n. 0. Kakaaa
Huyu shog yupo kweny kumualibia mwenziwe
😂😂😂yani Bada ya kukataliwa ndo anaomba msamaha kweli marafiki ni sumu jamani
Dada kibonge mzuri
Yan kafyonz mwenyew alaf anamwambia mwenzake asimfyonze 🤣🤣🤣
Uyo jimmy mwenyew sasa😅
😂😂😂jimmy safi sana. Kawakataa wakorofi
Jamani kuzaa na mwanaume sio kwamba ndo atakupenda 🤣ila nimempenda mchepuko anaelewa her role ila anavuga
Jimmy mwenyewe sas yupo kama jini😂😂😂
😂😂😂et jinni
@@user-gi8vw4dd7i 😂😂
Wuuuuuueh!! Yan n uyu kinyangarika ndo mnamgombania Ivo?? Any way pole sana Melisa.
Uko vizuri hawara ni mpuuzi tu
Jaman huyu bonge nimependa bureeeeee kabsa
Jimmy mwenyewe mbaya sura kama ngoz ya futi
😂😂😂😂😂😂😂
Yaaani shogaangu kajilalilishaa buree
Nimecheka
Wewe unaejua kuumba muonyeshe wakwako uliemuumba mwenye sura nzuri
😂😂😂😂
Nlijua linakuja bonge la bwana😂 😅😅
Mnagombea dudu tu hapo😂😂😂
😂😂
Wadada mmetisha sana😂😂
Imagine
@@AgnesDavid-et3zn 🤣🤣🤣
Tena dyudu black 🖤
Yaani uchukue bwana wa mwenzio halafu useme muendelee kua marafiki,khaaa,
😂😂 mwenyew kaomba zake yaishe warudi urafiki na mwanaume wameshamchungulia wote😂😂😂😂 basi buana🙌🏼
Lisa mzuri❤🎉
Alomuita mwenzie mshangazi nayy katoswa
Huo ni uongo,,hayo ni maigizo tu
Atafata. Mmoja ammbembeleze, yani unitwalie mume wangu alafu tuachwe alafu urafiki eti urudi kweli 😂😂😂wa bongo amko serious
Mr UK na @Monsuli nawakubal sana
safi sana men umeamua maamuzi yakiume mwanangu bwaga wote kila mmoja atakutafuta kwawakat wake
Kibonge mwezangu mzur❤
Jimmy lenyewe kabaya
Nilijua tuuu itakuwa ivyooo mwishoniii...😂😂😂😂
Aise rafiki du, noma
White wa tist nakupnda 🎉🎉🎉🎉 we mzury achna na huyu kibaka
Jimmy mwenyew sasa😂😂😂
Kumbe umemuangali wanagombania kitu Cha ajabu
Jimmy mwenyewe sasa ai mume wangu mzur bwana
Jimmy mtihani mtupuuù
Pia m2 na shoga ake makubwa urafiki wa siku iz Mungu atusaidie
Kumbe na mishangaz inagombania mabwana
Mapenzi hayana ushangaz kaka Kama hawajaolewa ndo ivo
Mapenzi hayana ushangaz kaka Kama hawajaolewa ndo ivo
Hapo kuna mmoja atatafutwa baadae na maisha yataendelea.
Mwenye mtoto
Jimyyy siwataki woteeee😂😂😂
After kukataliwa ze gelo is very humble 😂😂😂😂😂😂 snitch xanaa uyu careen xialikua anasema hawez kataliwa😂😂😂😂😂😂 very interesting stor
Ila jimmy ni zaid ya shetan😂😂😂🙌🙌
Rafiki asaaa bora ukae mbali kuliko kuwa narafiki mnafiki 😂😂😂😂😂😂
Mama mtoto ana mdomo
Jimmy na caren wote mashetaniii 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂. They deserve each other
Mmmmh naanza kumuelewa mama angu daah bora ulale nyumbani kwako tu kama maisha ndo hayo
Yan hyu single mama ni pisi ya kwendaaa why uhangaike na Jimmy focus na maisha yko ckuiz hatung'ang'anii mwanaume, tunatafuta pesa zte tunapambana kulea mtoto achananae move on darling u will get another man🥰🥰
ukisikia dhoruba ndy hii sasa jimmy wew ni kimbunga jobo😆😆😆
Nmecheka kwa nguvu😂😂
@@CatherineShayo-ue7xh kwanini umecheka kwa nguvu😀
Mbona huy mwenye wig mzur tu afanye biashar t
Kamjibu vzr kiukweli ht ungekuw ww
Ningekua ndo mimi nisingemsamehe careen maisha yangu yote kama alikua anajua kua kunaurafk wa mda mrefu asingemfanyia hayo yote
Jimmy mwenyewe km Kibuyu woiiiii😂😂😂
Njoo kwangu jimmy😂
BADO HAWAJASEMA, MKINIUMIZA NINA MABROO WANGU WANANILIPIA😅😅😅😅
Mabeshte bana waaaa😅😅
Huyu mwenye rasta ni choko sanaaaa
Hapo hakuna mwanamke hata mmoja😂😂
Wallah marafiki wamekuw siyo mwanaume mwenyew huyo duuh wanawake tujitambue akikuacha tulia usimfatilie san
Duka linavitu vizuri hatar❤
Kama kukataliwa tumekataliwa wote...basi turudi kuwa marafiki😂😂😂😂😂😂nimecheka sana
😂😂😂
Amechanganyikiwa😂😂😂......kama unakumbuka alisema yeye hawezi kuachana na JIMMY
@@JudithAdonis alafu kaachwa yeye🤣🤣🤣🤣ila wanaume wa hivyo hua wanaomba msamaha kotekote kimyakimya na wanasamehewa kotekote
Uwiii Bora cna shoga,shoga adui no moja
Eeehh mungu niepushe balaa la kugombania pumbu wallah
anajua wote wanampenda ndio maana kaona awakatae wote🤣🤣🤣anajua watajirud tu
Mwanangu Jimmy ametisha💪
Hivi mnakosaga kaz mfanye always kupigania hii mijitu 😢😢😢mapenzi kubababake
By the way unaishije na mwanaume zaidi ya miaka6 bila ndoa??? Bora upiganie mume kuliko kupigania mpenzi
Hata huruma Hawaka angempa Amani hiyo 6yrs du wanaume shikamoo
Kaka kazi yako ngumu🤔
Mshikaj yuko vizuli san ata kama mimi nigesema wot siwataki
Uyo jimmy mwenyew😂😂😂
Mm nimesubilia kwa hamu jmn
😅😂😅😂
Hatimae jaman😂😂😂
Hili duka liko wapi jamani au linaitwaje wikiend niende
Lc Waikiki liko Mlimani city
Mr UK hiyoo kaz yako ni ngum saan😂😂😂