SHEMEJI NA NEYLA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024
  • Sia na Neyla wote wawili wana mamba ya Kevo mbaka sasa

Komentáře • 594

  • @kabuladeogratis538
    @kabuladeogratis538 Před 3 měsíci +58

    Ambayo hatuna uraafiki tujuane😅😅😅😅

  • @user-mr3qg9iq5k
    @user-mr3qg9iq5k Před 3 měsíci +46

    😢😢😢 acheni ujinga Kumbukeni Kuna kifo baada ya hayo yote okokeni leo mpeni Yesu maisha Yenu ngono haitawasaidia chochote

  • @BelinaBagwelwa
    @BelinaBagwelwa Před 3 měsíci +8

    Enh uyu dada alovaa black hapana kwakwel mshari sana khaa🙌😂😂💔

  • @matildamoris3641
    @matildamoris3641 Před 3 měsíci +9

    Uyo mdada mwenye shati nyeusi ni Malaya na anaakili anajiona mjanja kumbe andazi ty😂😂😂

  • @nanajoseph2356
    @nanajoseph2356 Před 3 měsíci +35

    Sa hz nikitongozwa na mkaka anaitwa Calvin ntakimbia sana 😂😂

  • @user-fh1jk9qq5y
    @user-fh1jk9qq5y Před 3 měsíci +42

    NANII KASKIA ALL OF ALL AGONGE LIKE HAPA 😅😅

  • @Namtumbo
    @Namtumbo Před 3 měsíci +15

    Mungu anijalie watoto wa kike wema,wenye hofu ya Mungu .

  • @Tyughcdrbdt
    @Tyughcdrbdt Před 3 měsíci +36

    Huyo mwenye kipinii hafaiiii,asiaa ana busara sanaaa ila huyo mwingine n mwajumaa nchokonoeeee😂😂

  • @user-pj2zs2dh7i
    @user-pj2zs2dh7i Před 3 měsíci +16

    Jamani wanawake tafuteni hela hawa wanaume wanatuzalilisha😂

  • @nasmasaid9361
    @nasmasaid9361 Před 3 měsíci +9

    😂😂huyo mwenye kofia sijui kama anamimba kweli

  • @user-no7pz1bz4y
    @user-no7pz1bz4y Před 3 měsíci +16

    Lijeuli hili sura Zito kama zege, kumfanyie mwenzio hivyo Mungu anakuona.

  • @Dipeson700
    @Dipeson700 Před 3 měsíci +10

    WA kipini Hana mimba, trust me 😂😂

  • @gabrielngajilo1412
    @gabrielngajilo1412 Před 3 měsíci +3

    Niggah umetisha sanaa etii wew mnafikii unasemajee

  • @user-ys3kk5il2p
    @user-ys3kk5il2p Před 3 měsíci +57

    Yaani Sina rafiki wa kike na Wala sihitaji ni usenge sengelele senge senge sengelele 😏💃

  • @medyelira
    @medyelira Před 3 měsíci +18

    😂😂😂ety we mwenyewe mnafki unasemaje

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 Před 3 měsíci +8

    😅😅😅😅😅lililovaa kipin bayaaa likorof bayaaaa shetaaan

  • @hanifahkhamiss8485
    @hanifahkhamiss8485 Před 3 měsíci +3

    Huyu mwenye kipini kafanana na chokuu na anajua kijishaua kwa kweli😂😂😂

  • @Tyughcdrbdt
    @Tyughcdrbdt Před 3 měsíci +13

    Nna kakaang anaitwa kevoo uwiiiiii alikuwa anawapangaaaaa hatar😂😂

    • @user-vz4xj2ci2w
      @user-vz4xj2ci2w Před 3 měsíci

      hahaha umenchekesha atai lakini mbona mimi ni kevooh na siwapangi

  • @user-er3cb9mb9m
    @user-er3cb9mb9m Před 3 měsíci +3

    Much love from Kenya guys like back❤😂

  • @user-bs5lu6xf8g
    @user-bs5lu6xf8g Před 3 měsíci +20

    Jamani huyu dadaa mwenye kofia ananikera

  • @scolasticanalle9105
    @scolasticanalle9105 Před 3 měsíci +16

    Asia mstaarabu sana ila hiki kifaa kingine ni hasara 😂😂

  • @eunicegerminus193
    @eunicegerminus193 Před 3 měsíci +3

    Huyu mwenye mzura kama awe mwanangu nimpige shoka la utoc 😂😂😂maana ana maudhi mpaka na yamakusudi

  • @japhetjulias-hf6oo
    @japhetjulias-hf6oo Před 3 měsíci +6

    Ila mnafiki yupo vizuri 😂😂😂🙌

  • @RachelJulius-fh9nl
    @RachelJulius-fh9nl Před 3 měsíci +6

    Asia mzuri na ana busara sana Hilo zombi lingine sijui lipoje

    • @josephshayo5493
      @josephshayo5493 Před 3 měsíci

      Hakika lizombi linavuta bangi zile za 200 zimetiwaga madawa km...ke

  • @SurprisedBluebonnetFlowe-bx2zh
    @SurprisedBluebonnetFlowe-bx2zh Před 3 měsíci +4

    Nimekapenda hako kadad ka shart y purple kako piece👌

  • @user-nt6ld9sf9z
    @user-nt6ld9sf9z Před 3 měsíci +6

    Mtakufa vibaya nyinyi nawa ulumia wote mna mimba uwiii kaz ipo jaman 🏃🏃

  • @Salmakaucha
    @Salmakaucha Před 3 měsíci +26

    Ila Asiya nimzul kisha mpole mashaallah ❤❤❤

  • @joyagustino
    @joyagustino Před 3 měsíci +6

    kudadeki wew dad uwiii shukuru uyo mpole mim😊ungetubu

  • @user-ht8os7pz5g
    @user-ht8os7pz5g Před 3 měsíci +10

    Bado nasubiri kumuon kevo ni waaina ganii maan sio kwa mishauo hiiii khaaa😂😂😂😂🙌

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt Před 3 měsíci +7

    Ewe mwenyezi mungu utunusulu na vizazi vyetu inauma sana 😭😭

  • @user-gg9li8bb8s
    @user-gg9li8bb8s Před 3 měsíci +4

    Uyu wa mzura msenge sana n ataachwa vby

  • @MarryPatrick-kl2vk
    @MarryPatrick-kl2vk Před 3 měsíci +3

    Duuuh ila akina kevoo bhna 😂😂😂 ni hatari ogopa

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar Před 3 měsíci +30

    Nimempenda Asia ni mstaarabu

  • @jumakalembo2247
    @jumakalembo2247 Před 3 měsíci +1

    😂😂😂 mtangazaji ameduwaaa.ila kama mwaanaume kama ana akili timamu.aiseee.Asya ni WIFE MATERIAL I LOVE U❤ UU 8:35

    • @mariakibusi5914
      @mariakibusi5914 Před 3 měsíci

      Asia ni mtu huyo mwingine mshari na anaonekana anapenda kuroga

    • @mariakibusi5914
      @mariakibusi5914 Před 3 měsíci

      Mwizi halafu unajifanya mjuaji ee mungu saidia

  • @user-so3bl9qk8i
    @user-so3bl9qk8i Před 3 měsíci +1

    Kevoo is typing😂😂.......but kwel kuwekwa ndn n heshim hhahahah ht kam upendwi

  • @LizbinShix74
    @LizbinShix74 Před 3 měsíci

    Kevo big up 🎉 ufanya ile kitu 🤣🤣🤣Yaani unasikia jina kevo alafu unajichocha

  • @asdfhdv9230
    @asdfhdv9230 Před 3 měsíci +1

    All of all 😂😂😂😂😂 yoweeeeeee

  • @najmahhassan7853
    @najmahhassan7853 Před 3 měsíci +6

    Kwan ye mnafiki anasemaje 🤣🤣🤣

  • @user-ft1do8tg5c
    @user-ft1do8tg5c Před 3 měsíci +2

    Yani huyu dada mwenye kipini ananikera sanaaaaaa

  • @merryrichard6211
    @merryrichard6211 Před 3 měsíci +6

    Aitweee kevoo hapo aulizwee

  • @user-mp1ep1en5q
    @user-mp1ep1en5q Před 3 měsíci +1

    Mr uk una moyo aise maan so pow kwaiyo kazi😮😮😮

  • @Aishajumampuma
    @Aishajumampuma Před měsícem

    Ety we mnafik unasemaje😂😂😂

  • @hanifahkhamiss8485
    @hanifahkhamiss8485 Před 3 měsíci

    Haya tunasubr part3🤣🤣🤣🤣🤣ila hapa dada kipini anatolewa kwenye malengo atabaki asya🥰🥰

  • @dorcusmlinga862
    @dorcusmlinga862 Před 3 měsíci +4

    Watoto wa 2000😂😂😂

  • @mariakibusi5914
    @mariakibusi5914 Před 3 měsíci

    Sikuhizi hakuna rafiki ovyooooo dada Asia mpole mungu akujalie update mtu sahihi hawa wanaume wa ovyo sana

  • @fatmambeyela6697
    @fatmambeyela6697 Před 3 měsíci

    Bhana tuletee k. Voo amalize utata nanikamkalisha mwenzie 😂😂😂😂😂

  • @beatricemassawe1984
    @beatricemassawe1984 Před 3 měsíci +1

    ila mruky bana😂😂eti wewe ni mnafiki,unalijua hilo😂

  • @Joyce-hk9dl
    @Joyce-hk9dl Před 3 měsíci +2

    Kiukwel mi nilichibakiza kugombania pesa tu yaan biashara yang ikienda vizuliiii hata nyege huwa sina

  • @user-db9qi3io8z
    @user-db9qi3io8z Před 3 měsíci +2

    Nimeacha mapenzi natafuta ela 😅

  • @mwanamisimwana6461
    @mwanamisimwana6461 Před 3 měsíci +1

    Kwel cha peke ako kaburi😅😅😅😅 khaaa

  • @hamadimberwa8876
    @hamadimberwa8876 Před 3 měsíci

    😅😅😅😅😂 ila Mr.uky unanifurahisha😂😂😂 et we ni mnafki 😂😂😂😂

  • @user-on5oz2cd7z
    @user-on5oz2cd7z Před 3 měsíci +5

    Tanzania ya Uhuru😂😂😂😂...... Bff

  • @Shalom418
    @Shalom418 Před 3 měsíci +6

    Wananawake huwa mnajichanga sana we we ni binti wakikro unalala na mwanamume wa kiisilamu

  • @thelyrics5165
    @thelyrics5165 Před 3 měsíci

    Em tuongee directly tuongee moja kwa moja em like 😂😂😂kwahy Like serious

  • @fatumamchopa7576
    @fatumamchopa7576 Před 3 měsíci +3

    Mwenye kipini ana pua kama bomba za pikipiki atulize komwe lake kidogo.

  • @beniardajuna2580
    @beniardajuna2580 Před 3 měsíci +1

    Hivi kaka uky unajua dada mwenye nguo nyeus Ni mnoumaaaa aliingilia baraka za mwenzi jamani wanaumeeee eeeeeeeh hatarii

  • @user-kn4pi7rj8j
    @user-kn4pi7rj8j Před 3 měsíci

    Hahahah watu wanachukua mimba bila malengo wanakuj kuteseka na watoto wakilialia 😂😂

  • @pendohumphrey6501
    @pendohumphrey6501 Před 2 měsíci

    shoga angu mwenye mzura shangazi yake shangingi...dada mwenye white tafuta tu mwanaume mwingine we ni mzuri sana

  • @Tyughcdrbdt
    @Tyughcdrbdt Před 3 měsíci

    Huyo mswahili sanaaa na kachawiiiii na kanajiaminiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ila mwisho wao unakuwaga mbayaa sanaaaa

  • @WaridAntipas
    @WaridAntipas Před 3 měsíci +1

    Ila nimecheka jamani uyuuu dadaaa ni mkorofiii atariii

  • @masoudabdoul8447
    @masoudabdoul8447 Před 3 měsíci +1

    Uongee kiswahili Mzee... Kimombo unapuyanga Sana mkuu

  • @Meck-Nyoni
    @Meck-Nyoni Před 3 měsíci +1

    Huyo mwenye kipini puani ni hidaya kabsa... Kimbunga hidaya huyo hafai.. Hana busara.

  • @thabitimkufi7388
    @thabitimkufi7388 Před 3 měsíci +1

    Kevoo typing....

  • @Linalina-mo8xg
    @Linalina-mo8xg Před 3 měsíci +1

    Kevo we ni hatri😂😂😂

  • @mollayunes
    @mollayunes Před 3 měsíci

    Sasa wewe mtu katoboa pua eeh unadhani maumivu ya mapenzi yatamuuma kweli 😂😂😂😂😂

  • @QaohJedah
    @QaohJedah Před 2 měsíci

    Mnazingua kinoma ukinifanyia me hvyo kwa dem wang sheria nikumimine ambakati

  • @SamuSulle
    @SamuSulle Před měsícem

    😂😂😂😂😂😂nimecheka sana

  • @miruhongin
    @miruhongin Před 3 měsíci

    Yeye uyo mwana ume ana fikiri wana wake ni wanani awajuwi tuna muombea mungu asaidia awa juwe wana wake siku modja ataeajua

  • @ironefacemsovela4504
    @ironefacemsovela4504 Před 3 měsíci +1

    Uyu dada Kuma sana na kofia yke kamsenge

  • @samnyambabe2529
    @samnyambabe2529 Před 3 měsíci

    Kwanza sikia tu jina la mpnz wao 😅😅😅 et Kevooo... Bila shaka ni kahuni kahuni flani na huyo demu mweusi mwenye kofia ni bangi, but na huyo mwingine ni kwel anampenda lkn hajui kuchagua mume sahihi

  • @SimonTimotheo-gk3ld
    @SimonTimotheo-gk3ld Před 3 měsíci +1

    Dahhhhh Noma sana

  • @sophiamoshi1617
    @sophiamoshi1617 Před 3 měsíci

    Imebidi nicheke kwanzaaaaaa😂😂😂😂😂daaah

  • @mariakibusi5914
    @mariakibusi5914 Před 3 měsíci

    ila wanaume ni wa ajabu sana kama ukiangalia hapa mwanamke wa kuweka ndani ni huyo aliyevaa shati la bluu sijui ndio asia nampenda

  • @WinifridaGregory
    @WinifridaGregory Před měsícem

    Ila kina kevooooo ni fire

  • @ceciliafissoo6601
    @ceciliafissoo6601 Před 3 měsíci +1

    😅😅😂kwani ye mwenyewe mnafkii anasemajee😆😂

  • @idybwoytz8485
    @idybwoytz8485 Před 3 měsíci

    Mr uky sengee san 😂😂😂😂 unatatuwa ugomvii Afuu lina chombezaaa 😂😂😂😂 sema mi dada yenyeee PIN makahabaa tuuu😂😂😂😂

  • @msakasubira3726
    @msakasubira3726 Před 3 měsíci

    Mwenye kofia mshariiii kumtongoza amtongoze Na ubabe juuu

  • @sethgoodluck1
    @sethgoodluck1 Před 3 měsíci +1

    Mbonaa mimi sigombaniwiii😂😂😂😂

    • @TreasureMagumba
      @TreasureMagumba Před 3 měsíci

      Badilisha jina uitwe kevoo utagombaniwatu😅😅

    • @MayaOmani
      @MayaOmani Před 3 měsíci

      Nimesoma comment ila hii najikuta nacheka tyu

  • @swaibahhassan5056
    @swaibahhassan5056 Před 3 měsíci +2

    Jmn hivi mtu unapata wapi ujasir wa kujiamini hivyo🥺

  • @SweetnessEMbise
    @SweetnessEMbise Před měsícem

    Yan nikitongozwa na jina kevi ntalia😢

  • @user-zs4qz4wm2n
    @user-zs4qz4wm2n Před 3 měsíci +1

    Huyo wa kipini shetan😂😂😂

  • @user-gy5fo6zv6w
    @user-gy5fo6zv6w Před 3 měsíci +3

    Uyo mwenye kipini ana zarau sana

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 Před 3 měsíci

    Sijawahi kuwa na bff ila kila nayekutana naye tunacheka tunaongea byeeeee siri zangu no way

  • @linnerphilip4260
    @linnerphilip4260 Před 3 měsíci

    Huyu mwenye mzula jeur itamponza malipo ni hapa hapa kitamkuta😂

  • @Malik12king
    @Malik12king Před 3 měsíci +1

    Next please

  • @user-dc2nr7pu9y
    @user-dc2nr7pu9y Před 3 měsíci +1

    Da dada anakera jaman huyu mwenzake anaongea kwa uzur alaf lenyewe sasa wavaa kipini ndo walivo

  • @sweetbertalbert3542
    @sweetbertalbert3542 Před 3 měsíci

    Pole sana Asia,,, Mungu akujalie lkn muonage na aibu jmn hv kujiabisha mtandaoni hv na mwanaume mwnyw hajafika hata uko kwenu,,,nawe kelvo ukioa uyo chamdomo kz ipo
    Duuh hii mitandao wazazi wetu wanatuonaje kwa hz Tabia tunazozifanya
    Uwiii kz ipo Mungu tuokoe

  • @ShabaniMwinyimvua
    @ShabaniMwinyimvua Před 3 měsíci +1

    Huyuu mdada anabidi akapimwe akilii na kofia lake ovyoo

  • @UmayyaNkya-ze3ri
    @UmayyaNkya-ze3ri Před 3 měsíci

    Hivi mnakosaga kaz kabisa kubishania hawa viumbe hapo mnadanganywa wote zindukeni nyinyi 😂😂

  • @ramadhaniharuna5441
    @ramadhaniharuna5441 Před 3 měsíci +1

    Kudate na vitoto vya 2000 ni upuuzi mtupu kwakweli.

  • @elizabethdamas-zp9xl
    @elizabethdamas-zp9xl Před 3 měsíci +1

    ivi wanaume nao ni watu wa kuwagombania jmn embu wanawake ifike mahali akili zetu zikue 😂😂😂

  • @aronmutta-dm3vu
    @aronmutta-dm3vu Před 3 měsíci +1

    Dunia simama nishuke heeeee shemeji shemeji litakufa jitu

  • @user-wt5li6cy4c
    @user-wt5li6cy4c Před 3 měsíci

    Huyo mchepukao ananyodo leo amjui mwezie mwizi mkubwa tuna miez10 na pua anabana mpuuzi

  • @juancley5924
    @juancley5924 Před 3 měsíci +1

    Mwanaume aliliwii IV ammckii😅😅jmn

  • @JaceJoseph-gs3sy
    @JaceJoseph-gs3sy Před 3 měsíci

    Sahizi nikikutana tu na mtu anajiita keivooo, namkimbia kabla hajaniongea maana naweza kumpenda bila kupenda

  • @evafungo6606
    @evafungo6606 Před 3 měsíci

    Ety wewe mnafikiii unasemajee😂😂😂😂😂

  • @Flora-nl8kq
    @Flora-nl8kq Před 3 měsíci

    Mim namwonea asia hurum mbn mpole ivoo jmnii mdada wawatuu pak nataka nimzibue huyo mweny likofiaaa

  • @nahsonmkit1183
    @nahsonmkit1183 Před 3 měsíci

    Apa naona kina Ashura na hidaya rasimi wamekutana tutegemee upeop kuvuma. kwenda mbingnii hahaahah

  • @user-yl7no6qe1f
    @user-yl7no6qe1f Před 3 měsíci +1

    Mmmmmmmh guys maisha yanaenda kasi sanaaa😢

  • @MarryPatrick-kl2vk
    @MarryPatrick-kl2vk Před 3 měsíci

    Huyu dada duuuh ila sishangai coz urafik wa ni ushamba😂😂