Tena mshukuru kiredio kwakua umefanikiwa kunusuru baadhi ya vitu na umenusuru hata maisha yako!!!! Narudia mpende kiredio sijapenda ulivyo mblock nakupenda vile unavyo ongea!!??
mpaka akamtafuta kiredio si aliona wenzake wanapostiwa 😂😂😂 mara tena watu wajifunze mara tena kiredio mnafki mjinga huyu yy tu atulize mihemko yke kumuamini gani bwana kma yule ona kimemrambaaaa😢😢😢 hebu sie kiredio kamaliza kazi yake
Huyo Muongoo Hakuwepo Oman Hata Begi Halikuwa na Stika hao walipangaa,,, kwanza Oman Amekaa miaka miwili kama Anavyosema Sasa Mahojiano yale kipindi Lulu kawekwa Jua Kali.. Alivyohojiwa Akawa anasema Ruruuuuu sijui Ramataa Haya huyu ndio Alikuwa oman😅😅 wanatufanya sisi mazuzu... Muongo huyu na kiredio Umeanza kufanya Konteti za Uwongo sasa
Aache uwongo mbona siku ile ya kwanza alisema hakutaka kumpa namba ya frek kiredio asije kutonya kama anarudi sasa imekuwaje iwe mchogo kiredio na frek
Lakin njoo kaz yake kwanin asipost nawakati njo kaz yake alafu munaanzangaje kuamini mtoto wa mutu mwingine kufany kitu kam hiyo bila ata kufanyia wakaka zako au dada wala mom duh nyie munaroho gumu siyawezi jmn nakuaka muchonyo 😂😂
Huyu dada hakua oman tuulizeni ss tunao safiri huyo kataka umaarufu2. Anazalilisha wanao toka oman 🇴🇲 mana hawako kama yy mtu gani kapauka hivyo alafu oman unarud na kibegi cha kilo mbili😂😂😂
Ww mshezi tu 😂😂😂😂 kiredio unajua kazi zake anapost halafu ww useme amekudhalilisha acha ujinga ulikuwa natafuta umaarufu huna lolote halafu team strong tunajuana
Kila siku tunaambiwa na kaka Sharifu jamani wakina dada kaeni kwakutulia fanyen malengo yenu hatusikii mwisho wake ndio huo duuh pole my Allah atakulipia
Sasa kama alishawahi kumuhoji miezi minne iliyopita alimuhoji akiwa wapi mbona kasema miaka miwili yuko oman. Duh hii content ya ovyo mmh uongo upo live kabisa 🙌
Dada Muongo sana Ajatoka Omani walipanga tu hao kwaza Eti kiledio Alivyo fika airport Akampigia cm uyo dada sasa Alini Alitoa wapi na Wife ipo juu ukishuka Chini Akuna wifi
Wewe dada mjunga tena mpumbavu ni mwanamke mwenzangu lakini hauko sawa wewe mwenyewe umemtafuta mtangazaji kiledio yeye ni kazi yake ndio maana kaposti watu tujifunze kiledio ana makosa yoyote ungetaka hivyo ungeenda kufumania peke yako muwache kiledio afanye kazi yake vizuri
Alimtafutia nini? Ni kiki ndio maana hakutaka arekodi. Alitaka yeye atrendi na kafanikiwa. Hana oman aliyotoka. Deal limeenda hilo. Na ndio maana hakutaka arekodi alipokuja frank kwa sababu ni waongo wamepanga. Na pengine frank kamwambia ila mimi nisionyeshwe sura. Kwa sababu wote tuliwaona ila alipoingia frank tuu ndo usirekodi usirekodi
Haya endeleeni na challenge zenu hizo mtakufa kwa presha kimewaramba 🤣🤣 me siku nakutana na kiredio sitak hata salam yake an mtajua wenyewe bwana 😂😂😂😂 mapenzi mapenzi taften hela we upo Oman unatarajia mtu yupo TZ miaka2 akusubirie we malaika,kwanza kiredio hana kosa lolote hapo huyo mdada alimtafta kiredio mwenyew na unalipia challenge ya kupost ina bei yake na ambayo sio ya kupostiwa ina bei yake sasa yeye labda kalipia hela inayoruhusu video kupostiwa kwanza kabla ya challenge unaulizwa kama unataka ipostiwe amah laah 😂🙌sasa mwenzetu alitak aonekane social media ndo kimemramba
Sasa kwanini ulimtafuta wakati unajua lazima apost! M ndio maana siku amini lile tukio maana hata kipindi unashuka airport hukuwa nama pegi nalile begi ulikuwa nalo lilikuwa tupu😅
Huyu mshenzy naomba account yake nikamchambe huko huko ....maan hapa hatoon comment yangu shenzy kabisaa😂....embu atupishe huko na ka beg kakee cha take away😂😂nyoko wew oman where oman which ...oaman hiii tulipo au oman ya tandika😂😂....mwone vile
Huy dada mwongo jaman afu lile beg lilikuwa halina kitu ndan embu tizamen vizur walivyokuwa wanalibeba alitaka ku trend kupitia kiredio,, wanotoaka oma huwa hawaj na begi moja tena jepesi vile
Tujifunze mara ngp wkt kila siku tunaona matukio mnayofnywa km nyny wenye upwiru wa mapenz😂😂😂😂😂kwnz oman urud na kibeg kimoja km umetoka sokoni😂😂😂😂😂ila hamonise😮
Hata kiredio alipokua anaingia airport alisema mama samia alitupa uhuru content creaters kushoot airport bila shida,so icho kilikua kipindi muache kutubebe ufala
Omani hii ninayo ijua mm subutu kwaza tukilud lazima mabegi yakufa mtu napia hapo mlangon alipo tokea nikila mtuanaingia tu kwenda kupokea watu yani ningemuona kule ndani kabisa kwenye kukaguliwa aa ningekubali kwahapo hamnidanganyi hata kidogo 😂😂😂
Tena mshukuru kiredio kwakua umefanikiwa kunusuru baadhi ya vitu na umenusuru hata maisha yako!!!! Narudia mpende kiredio sijapenda ulivyo mblock nakupenda vile unavyo ongea!!??
Pole my ila ata mimi nina mtu wangu yuko uko dar mimi niko omani ananililia shida ila situbutu kumtumia hela.😅
Aujapenda wakati ulimtafua mwenyewe ila wanawake 😂😂
Hapo sasa kwahivyo ilikua aende kumpoke Airport alafu asipost apate faida gani watu jamani
Wanawake ndio viumbe ambao hawajui wanataka nini, wala wanapenda nini
Nashangaaaaa!Kamuita mwenyeweeeee aache stress zake za Uhausegirl Oman sijui Dubai huko😅😅😂😂😂😂😂
Chiz uyu
mpaka akamtafuta kiredio si aliona wenzake wanapostiwa 😂😂😂 mara tena watu wajifunze mara tena kiredio mnafki mjinga huyu yy tu atulize mihemko yke kumuamini gani bwana kma yule ona kimemrambaaaa😢😢😢
hebu sie kiredio kamaliza kazi yake
Mujinga huyu demu kwahiyo ulikuwa wataka asipots
Nyoooo kwaiyo ulitak asirekod
Asaaa wewe kazi ya kiredio unaijuwa asa Nini tena
Unanimalizia.bandoo
Achaaa uongo weweee demuuu ungetokeaa OMAN Kwali bengi moja tenaaa bengi lenyewe ndogooo ebuuu tuonyesheee PASSPORTS yakooo achaaa uongo semaaa tu km mulipangaaa kuwaeleweshaaa watu hapooo sawaaaa
Umewaz kama mimi😂😂 myaaka2 na begi mmoja?😅😅
Team strong tumejikuta tuu tunamkataa😂😂😂af tunajijua bwana😂❤❤💪💪💪💪🥰🥰
Huyo Muongoo Hakuwepo Oman Hata Begi Halikuwa na Stika hao walipangaa,,, kwanza Oman Amekaa miaka miwili kama Anavyosema Sasa Mahojiano yale kipindi Lulu kawekwa Jua Kali.. Alivyohojiwa Akawa anasema Ruruuuuu sijui Ramataa Haya huyu ndio Alikuwa oman😅😅 wanatufanya sisi mazuzu... Muongo huyu na kiredio Umeanza kufanya Konteti za Uwongo sasa
Katoka Oman alikuwa anafany kaz ya Ina kuchora mizigo alitanguliza@@UmayyaNkya-ze3ri
Mimi nilshituka nikasema huyu dada nimuongo
Huyu dada hayupo sawa kiakili ww umemtafuta kiredio na unajua kaz yake kiredio tena unamlaum acha ujinga ww
Ni mjinga 😂😂mbona za wenzake alikuwa anaangalia bila kuona za watu huyo kiredio angemjua
Ni muongo mwanzo alisema wana miaka mitatu na frank, Leo anasema wana miaka miwili. Ukiwa muongo usiwe msahaulifu.
😁😁
Wakwanza kukoment jaman nipen like zangu🎉
😂😂😂dada umetia haibu
Acha uongo sura nzito kama tandu la uji Unaijua Oman wewe 😂😂
@@TinahTina-q1t 😂😂😂
Wala ata asimtupiyi kiredio lawama,kiredio alifanya kazi ulio muitiya,nakwanini asipost?jamani nyiye😂
😂😂😂 sasa asingepost ungetushaur sangap wadogo zako 🙌🏿🙌🏿
Kama asinge iposti tungejifunza vipi kupitia kwako wewe unasema tujifunze alafu unabebesha lawama kwa kiredio wewe mdada hujieleei kabisaaaaaa😂
Tena hajielewi sana
Mzima kweli uyu Asa kama ulikua autaki ayo kwanini ukamtafta kiledio kwajili gani siungeenda ty
Mtangazaji kaa kwa umakini utageukiwa kama yaliyomkuta kiredio,mi nimekaa palee
Mnafki sana huyu
😂😂😂😂Kachanganyikiw uyu eti kiredio alikua anajua kilakitu wakat kiredio kamtafuta mwenyew hanaakil uyu
Sasa ajapenda nini wakati yeye ndie aliemtafuta kiredio ila nyieee.😂😂
Aache uwongo mbona siku ile ya kwanza alisema hakutaka kumpa namba ya frek kiredio asije kutonya kama anarudi sasa imekuwaje iwe mchogo kiredio na frek
😂😂😂😂😂
Alitaka aonekane mtandaon
@@AminaOmary-sm4wlndio hata passport hakutoka nayo pale kwahy aliiweka wap
@@BethMdoe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Lakin njoo kaz yake kwanin asipost nawakati njo kaz yake alafu munaanzangaje kuamini mtoto wa mutu mwingine kufany kitu kam hiyo bila ata kufanyia wakaka zako au dada wala mom duh nyie munaroho gumu siyawezi jmn nakuaka muchonyo 😂😂
Huyu dada hakua oman tuulizeni ss tunao safiri huyo kataka umaarufu2. Anazalilisha wanao toka oman 🇴🇲 mana hawako kama yy mtu gani kapauka hivyo alafu oman unarud na kibegi cha kilo mbili😂😂😂
Ety jaman hata mm nilishangaa ety katoka Oman
Ww mshezi tu 😂😂😂😂 kiredio unajua kazi zake anapost halafu ww useme amekudhalilisha acha ujinga ulikuwa natafuta umaarufu huna lolote halafu team strong tunajuana
Hakuwa Oman uyu team Oman tunajuana😂😂😂😂
Hakuna dada wa oman hapo lamda omani ya buza 😂😂
Kwakweli 😂😂😂😂😂 maana kazi za hku sio mchezo jmn anatoa pesa kweli khaaaaaaaaaaaa subutu labda aniroge 😂😂😂Mimi alafu uyu dada anadharau ety wanaume weupe waramba lipstick koma wewe mpenz wangu mweupe wewe chizi nini tna ananitunza vizuri ananijali kwendaaaaa huko ooooh 😅😅😅😅😅😅
Hata haelekei kaalikuwa oman na kibegi ka mtoto wa shule huna hata vitendea kazi afu nashangaa anamlaumu kiredio
😂😂😂😂😂
😂😅
Kila siku tunaambiwa na kaka Sharifu jamani wakina dada kaeni kwakutulia fanyen malengo yenu hatusikii mwisho wake ndio huo duuh pole my Allah atakulipia
Mhhhhhhh wew mdada ..... mnafikia sana sisi kiredio tunampenda sana wew rudi Oman ya buza wew hamna kila kitu mshangazi wewe
mtoe no za huyo dada Jamani Ni mzuri tunamhitaji
Aisee kiledio anafundisha watu .mimi yamenikuta haya siitaji kumsikia mwanaume.pole my dear
PART TWO PLEASE 😂
Acha kutuayibisha mwanamk ww 😊
Kama kiredio angejua basi Frank asingekuja kwenye fumanizi,, kiredio alifanya kazi tu
Ulikuwa unataka isipostiwe ulikuwa unaonaje ya wenzako shenzi endelea kuchagua wanaume😂😂😂😂😂
Hunashukrani kabisa nyangau unamblock aliekusaidia😢😢
uwong tu kuolewa Aaaah utok oman uwe vile ivi unaijua team strong wewee😂😂
Ajui team strong oman na Ile mikucha na nywele vile oman ipi iyoo😂tuliopo uku oman tunaelewa mazingira
We wauliza begi na passport ili iwessa we kama waona rahisi nenda alafu ukirudi uwe na mabegi ishirini
nikweli muwongo ajakuwa omam 😊
Sasa kiredio siulimuita mwenyew
W dada nimpuuz Tena mpumbavu hujielew hayo umeyataka ww Sasa hapo kiredio anae kosa gan
Sasa kama alishawahi kumuhoji miezi minne iliyopita alimuhoji akiwa wapi mbona kasema miaka miwili yuko oman. Duh hii content ya ovyo mmh uongo upo live kabisa 🙌
Huyu mwanamke ni Chizi.
Uyo dada apeleke uko kwani keredio anajua taarifa za kil mtu ulimtAfuta peke yako
😀😀😀 sasa ulitaka asipost wakazi ndio kazi yake
Huyu si ni sasha muigizaji anaechipukia sahv?😢 yani wanaumbuka wenyew
Yaaan huyo frenk mwenyewe 😂kweli mapenzi upofu nilizani mwanaume mwenyewe wahovyo
Wew umesha block kiredio leo watu wamtafute ten kiredio ili wajue kama wanamapenz hv una wehu kichwan ww😂😂😂😂
Hahah jaman mwambie Sasha tupo huku wanaume weusi alaf waaminifu😂😂
Muogo km katoka oman zingeonekana kidogo ayuwa nyingi lunga kidogo tungeamini hii ni kiki tu
Usituchoshe banaaaaa ungetrend saa ngap
Mwanzo ulimwambia kiredio una miaka mitatu oman!! Vp leo useme miaka miwili?
Mwishoni kakubali😂😂😂
Dada Muongo sana Ajatoka Omani walipanga tu hao kwaza Eti kiledio Alivyo fika airport Akampigia cm uyo dada sasa Alini Alitoa wapi na Wife ipo juu ukishuka Chini Akuna wifi
We naye kam mwehu promax vile, Yan kiredio umtafut mwenyew halaf leo uje mlaumu uko sawa kweli wew au
Kiredìo ana kosa
Umesema ulipo ondoka bongo ulishakua nae naweweumekaa omani miakamitatu vipiukonae miakamiwili ukiwamuongo usisahau nasuralake baya
Wewe dada mjunga tena mpumbavu ni mwanamke mwenzangu lakini hauko sawa wewe mwenyewe umemtafuta mtangazaji kiledio yeye ni kazi yake ndio maana kaposti watu tujifunze kiledio ana makosa yoyote ungetaka hivyo ungeenda kufumania peke yako muwache kiledio afanye kazi yake vizuri
na hela kalip
na hela kalip
Kwendraaaaaa acha uongo mbwa wewe sema tuu utalitaka kujulikana tuuu uongo tuu kuoga AAAAH 😂😂😂
Duh huyo dada anaishi wapi ??
Ujapenda na ulimtafuta mwenyewe weh mjinga nn😂😂😂
Alafu Dadaangu yule dada ulie mkuta na mpenzi wako ana lisabufa likubwa kumbe kalipandisha na hela zako 😢😢😢
Hili limetufundisha wewe ni mjinga kwa nini uudumie mwanaume, mkome kulealea, chukueni wanaume si wakiume ukome😊
Awaache zake kiredio hio nikazi yake ndipo anapo patia riski wacha mambo wwe
Oya hapa tumepigwa kinoma 😅😅
Mpuuz huyu sasa kiredio alimtafta yy au yy ndo almtafta kiredio. Ata hvyo kiredio bila kupost atakula kwa frenk au. Ajichukie yy kwanza
Liongo hili limetaka tu lipate kiki ya kuulizwa na midia Oman ipi ulio toka ww umepauka vile liwigi mpaka kwenye kope
Mnapenda kutuzuga omani yawapi umetoka wewe acha uwongo team strong tujuane hapa
Nmejifuunzaa dada
Kiredio sion akiwa na makosa juu nkazi yake kwanini asirekodi
sasa miaka yote hiyo yeye ange ishije bila ata mwanamke
Namie nilitaka kushangaa miaka 2 Oman urudi na kibegi Cha mkononi huo ni uongo simuamini Tena kiredio😂
Muongo hakutoka oman
Kiredio anazingua sikuiz😅😅
😂😂😂😂😂 we dada umeyataka kwani kiredio alikutafuta au ww ndo ulimtafuta
Wewe mnafiki hautaki kupostiwa je uyo anaekuhoji apo unatarajia atafanya nn mshenz uyu ee tena hajielewi unachokiongea hata haueleweki
Uyo muongo ajatoka omani na kijibeg kile angeonyesha tiket kama kweli
Sister mshukuru kiredio katoa funzo kubwa sana kwa wengine ila kiredio hana kosa usim block
Jamani kumbe sisi weusi mali kumbe atujajitambua tu
Ww mdada siwalilekodi ukopale
Ile story ni ya kutengeneza tuu ushutiwe mwanzo mwisho alafu ujifanye haujutaka upostiwe
Alimtafutia nini? Ni kiki ndio maana hakutaka arekodi. Alitaka yeye atrendi na kafanikiwa. Hana oman aliyotoka. Deal limeenda hilo. Na ndio maana hakutaka arekodi alipokuja frank kwa sababu ni waongo wamepanga. Na pengine frank kamwambia ila mimi nisionyeshwe sura. Kwa sababu wote tuliwaona ila alipoingia frank tuu ndo usirekodi usirekodi
Haya endeleeni na challenge zenu hizo mtakufa kwa presha kimewaramba 🤣🤣 me siku nakutana na kiredio sitak hata salam yake an mtajua wenyewe bwana 😂😂😂😂 mapenzi mapenzi taften hela we upo Oman unatarajia mtu yupo TZ miaka2 akusubirie we malaika,kwanza kiredio hana kosa lolote hapo huyo mdada alimtafta kiredio mwenyew na unalipia challenge ya kupost ina bei yake na ambayo sio ya kupostiwa ina bei yake sasa yeye labda kalipia hela inayoruhusu video kupostiwa kwanza kabla ya challenge unaulizwa kama unataka ipostiwe amah laah 😂🙌sasa mwenzetu alitak aonekane social media ndo kimemramba
Wewe dada nimsenge tu kama ulikuwa unafanya comedy un
Sasa kwanini ulimtafuta wakati unajua lazima apost! M ndio maana siku amini lile tukio maana hata kipindi unashuka airport hukuwa nama pegi nalile begi ulikuwa nalo lilikuwa tupu😅
Tokaa apaa tujifunze nini uongo 😂😂😂😂utoke oman uringe makiki ya kipuuzi
Kwani mpaka anamtafuta Kiredio hakujua kuwa kazi zake zinafanyika vipi?
we dada wa ajabuu😂 kwan kaz ya kiredio hujuii had ukainuaa cm yakoo ukampigia!!cjaonaa kosa la kiredio!
Nashangaaa hata mimi
We acha nyodo bana hao weupe pia hawaja vutiwa na we Kama kulelewa mbona fren mweus we umemlea
Mara kiredio mnafki mara tumtaftr😢
Weeee kichaa kweli wewe wakati ww mwenyewe ndo ulimtafuta kwann asipost na ile ndo kazi yake
Huyu mshenzy naomba account yake nikamchambe huko huko ....maan hapa hatoon comment yangu shenzy kabisaa😂....embu atupishe huko na ka beg kakee cha take away😂😂nyoko wew oman where oman which ...oaman hiii tulipo au oman ya tandika😂😂....mwone vile
Kiredio hana kosa , maana wewe ndiye uliye mutafta
Kwani kiredio alikuomba c ww mwenyewe ulimtafuta
Kiredio Hana makosa apo dada umejichanganya w mwenyew
Ungekuwa unataka iwe Siri ulimuuita kiredio wa nini km siyo umbea wako
wenikichaa kweli kiredio ulimtafuta wanini kwani hujui Kaz ya kiredio ulitaka kurekodiwa mwenyewe co usimlaumu kiredio hiyo ni Kaz yake
Timu oman tunajijua hii sura tu sijawah kuiona 😅😅😅 achen kudanganya watu
Huy dada mwongo jaman afu lile beg lilikuwa halina kitu ndan embu tizamen vizur walivyokuwa wanalibeba alitaka ku trend kupitia kiredio,, wanotoaka oma huwa hawaj na begi moja tena jepesi vile
Point mwanaume mweupe anapenda kulelewa
Tujifunze mara ngp wkt kila siku tunaona matukio mnayofnywa km nyny wenye upwiru wa mapenz😂😂😂😂😂kwnz oman urud na kibeg kimoja km umetoka sokoni😂😂😂😂😂ila hamonise😮
Kiredio kucheka cheka nitabia yake yule hakuwa anajua chochote
Atuonesh passport yake yeny muhur wa EXIT oman
Acha kumlaumu kiredio bure,,, kwan ulitumwa umtafute??... Na mpaka umtafute si ulikuwa ushajua kaz ya kiredio ni ku shut na kupost
Kama kiredio angekua hapost wewe ungemjuaje acha ujinga wewe
Jaman labda hakua ananunua nguo posa apewa frenk😀😀😀😀
Huu mchongo sio kweli
Hata kiredio alipokua anaingia airport alisema mama samia alitupa uhuru content creaters kushoot airport bila shida,so icho kilikua kipindi muache kutubebe ufala
Omani hii ninayo ijua mm subutu kwaza tukilud lazima mabegi yakufa mtu napia hapo mlangon alipo tokea nikila mtuanaingia tu kwenda kupokea watu yani ningemuona kule ndani kabisa kwenye kukaguliwa aa ningekubali kwahapo hamnidanganyi hata kidogo 😂😂😂