DADA WA OMAN amtupia lawama nzito KIREDIO eti yeye na FRANK walipanga kumuumiza "

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024
  • #nyundotv #Kiredio #Madamsasha

Komentáře • 379

  • @silahimumsuya9664
    @silahimumsuya9664 Před měsícem +5

    Tena mshukuru kiredio kwakua umefanikiwa kunusuru baadhi ya vitu na umenusuru hata maisha yako!!!! Narudia mpende kiredio sijapenda ulivyo mblock nakupenda vile unavyo ongea!!??

  • @user-fb8so5nq5p
    @user-fb8so5nq5p Před měsícem +1

    Pole my ila ata mimi nina mtu wangu yuko uko dar mimi niko omani ananililia shida ila situbutu kumtumia hela.😅

  • @fidonsostenes
    @fidonsostenes Před měsícem +29

    Aujapenda wakati ulimtafua mwenyewe ila wanawake 😂😂

    • @fatinajuma8697
      @fatinajuma8697 Před měsícem

      Hapo sasa kwahivyo ilikua aende kumpoke Airport alafu asipost apate faida gani watu jamani

    • @yusuphmwanza4405
      @yusuphmwanza4405 Před měsícem

      Wanawake ndio viumbe ambao hawajui wanataka nini, wala wanapenda nini

    • @esabelfadhili8432
      @esabelfadhili8432 Před měsícem

      Nashangaaaaa!Kamuita mwenyeweeeee aache stress zake za Uhausegirl Oman sijui Dubai huko😅😅😂😂😂😂😂

    • @DativaMbowe
      @DativaMbowe Před měsícem

      Chiz uyu

  • @Diyankurze
    @Diyankurze Před měsícem +10

    mpaka akamtafuta kiredio si aliona wenzake wanapostiwa 😂😂😂 mara tena watu wajifunze mara tena kiredio mnafki mjinga huyu yy tu atulize mihemko yke kumuamini gani bwana kma yule ona kimemrambaaaa😢😢😢
    hebu sie kiredio kamaliza kazi yake

  • @user-zz7jr7yj9m
    @user-zz7jr7yj9m Před měsícem +58

    Achaaa uongo weweee demuuu ungetokeaa OMAN Kwali bengi moja tenaaa bengi lenyewe ndogooo ebuuu tuonyesheee PASSPORTS yakooo achaaa uongo semaaa tu km mulipangaaa kuwaeleweshaaa watu hapooo sawaaaa

    • @zulaika-mu8pc
      @zulaika-mu8pc Před měsícem +12

      Umewaz kama mimi😂😂 myaaka2 na begi mmoja?😅😅

    • @UmayyaNkya-ze3ri
      @UmayyaNkya-ze3ri Před měsícem +10

      Team strong tumejikuta tuu tunamkataa😂😂😂af tunajijua bwana😂❤❤💪💪💪💪🥰🥰

    • @aminaramdan3283
      @aminaramdan3283 Před měsícem +9

      Huyo Muongoo Hakuwepo Oman Hata Begi Halikuwa na Stika hao walipangaa,,, kwanza Oman Amekaa miaka miwili kama Anavyosema Sasa Mahojiano yale kipindi Lulu kawekwa Jua Kali.. Alivyohojiwa Akawa anasema Ruruuuuu sijui Ramataa Haya huyu ndio Alikuwa oman😅😅 wanatufanya sisi mazuzu... Muongo huyu na kiredio Umeanza kufanya Konteti za Uwongo sasa

    • @user-qp6lx9ql1q
      @user-qp6lx9ql1q Před měsícem

      Katoka Oman alikuwa anafany kaz ya Ina kuchora mizigo alitanguliza​@@UmayyaNkya-ze3ri

    • @user-xm2rm7wn6h
      @user-xm2rm7wn6h Před měsícem +6

      Mimi nilshituka nikasema huyu dada nimuongo

  • @Ukhtysahu
    @Ukhtysahu Před měsícem +5

    Huyu dada hayupo sawa kiakili ww umemtafuta kiredio na unajua kaz yake kiredio tena unamlaum acha ujinga ww

    • @minalgodlove2363
      @minalgodlove2363 Před měsícem

      Ni mjinga 😂😂mbona za wenzake alikuwa anaangalia bila kuona za watu huyo kiredio angemjua

    • @AshaMchinji
      @AshaMchinji Před měsícem +1

      Ni muongo mwanzo alisema wana miaka mitatu na frank, Leo anasema wana miaka miwili. Ukiwa muongo usiwe msahaulifu.

    • @joyce55727
      @joyce55727 Před měsícem +1

      😁😁

  • @Halima-hn4tl
    @Halima-hn4tl Před měsícem +8

    Wakwanza kukoment jaman nipen like zangu🎉

  • @LilianFord-c7s
    @LilianFord-c7s Před měsícem +1

    😂😂😂dada umetia haibu

  • @TinahTina-q1t
    @TinahTina-q1t Před měsícem +4

    Acha uongo sura nzito kama tandu la uji Unaijua Oman wewe 😂😂

  • @merryissa7855
    @merryissa7855 Před měsícem +2

    Wala ata asimtupiyi kiredio lawama,kiredio alifanya kazi ulio muitiya,nakwanini asipost?jamani nyiye😂

  • @salmahemed410
    @salmahemed410 Před měsícem +2

    😂😂😂 sasa asingepost ungetushaur sangap wadogo zako 🙌🏿🙌🏿

  • @user-ld3qe1jh9f
    @user-ld3qe1jh9f Před měsícem +2

    Kama asinge iposti tungejifunza vipi kupitia kwako wewe unasema tujifunze alafu unabebesha lawama kwa kiredio wewe mdada hujieleei kabisaaaaaa😂

  • @user-nr6js8oz9c
    @user-nr6js8oz9c Před měsícem +2

    Mzima kweli uyu Asa kama ulikua autaki ayo kwanini ukamtafta kiledio kwajili gani siungeenda ty

  • @d.m453
    @d.m453 Před měsícem +1

    Mtangazaji kaa kwa umakini utageukiwa kama yaliyomkuta kiredio,mi nimekaa palee
    Mnafki sana huyu

  • @SurprisedGramophone-id1nj
    @SurprisedGramophone-id1nj Před měsícem +6

    😂😂😂😂Kachanganyikiw uyu eti kiredio alikua anajua kilakitu wakat kiredio kamtafuta mwenyew hanaakil uyu

  • @AshaDickson
    @AshaDickson Před měsícem +14

    Sasa ajapenda nini wakati yeye ndie aliemtafuta kiredio ila nyieee.😂😂

    • @mariamissa4029
      @mariamissa4029 Před měsícem +1

      Aache uwongo mbona siku ile ya kwanza alisema hakutaka kumpa namba ya frek kiredio asije kutonya kama anarudi sasa imekuwaje iwe mchogo kiredio na frek

    • @user-zl7ze5se9c
      @user-zl7ze5se9c Před měsícem

      😂😂😂😂😂

    • @AminaOmary-sm4wl
      @AminaOmary-sm4wl Před měsícem

      Alitaka aonekane mtandaon

    • @BethMdoe
      @BethMdoe Před měsícem

      ​@@AminaOmary-sm4wlndio hata passport hakutoka nayo pale kwahy aliiweka wap

    • @AminaOmary-sm4wl
      @AminaOmary-sm4wl Před měsícem

      @@BethMdoe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-ku8lh7wl8v
    @user-ku8lh7wl8v Před měsícem +2

    Lakin njoo kaz yake kwanin asipost nawakati njo kaz yake alafu munaanzangaje kuamini mtoto wa mutu mwingine kufany kitu kam hiyo bila ata kufanyia wakaka zako au dada wala mom duh nyie munaroho gumu siyawezi jmn nakuaka muchonyo 😂😂

  • @ShamilaAthumani-f8v
    @ShamilaAthumani-f8v Před měsícem +2

    Huyu dada hakua oman tuulizeni ss tunao safiri huyo kataka umaarufu2. Anazalilisha wanao toka oman 🇴🇲 mana hawako kama yy mtu gani kapauka hivyo alafu oman unarud na kibegi cha kilo mbili😂😂😂

  • @OmanOman-ru4eu
    @OmanOman-ru4eu Před měsícem +3

    Ww mshezi tu 😂😂😂😂 kiredio unajua kazi zake anapost halafu ww useme amekudhalilisha acha ujinga ulikuwa natafuta umaarufu huna lolote halafu team strong tunajuana

    • @user-pg6jr7kp2w
      @user-pg6jr7kp2w Před měsícem

      Hakuwa Oman uyu team Oman tunajuana😂😂😂😂

  • @UmayyaNkya-ze3ri
    @UmayyaNkya-ze3ri Před měsícem +13

    Hakuna dada wa oman hapo lamda omani ya buza 😂😂

    • @user-oj5sb8dk1m
      @user-oj5sb8dk1m Před měsícem +1

      Kwakweli 😂😂😂😂😂 maana kazi za hku sio mchezo jmn anatoa pesa kweli khaaaaaaaaaaaa subutu labda aniroge 😂😂😂Mimi alafu uyu dada anadharau ety wanaume weupe waramba lipstick koma wewe mpenz wangu mweupe wewe chizi nini tna ananitunza vizuri ananijali kwendaaaaa huko ooooh 😅😅😅😅😅😅

    • @Mery-st4nu
      @Mery-st4nu Před měsícem

      Hata haelekei kaalikuwa oman na kibegi ka mtoto wa shule huna hata vitendea kazi afu nashangaa anamlaumu kiredio

    • @miriamdavis3893
      @miriamdavis3893 Před měsícem

      😂😂😂😂😂

    • @grasygrasy1701
      @grasygrasy1701 Před měsícem

      😂😅

  • @zuhuraathumani5560
    @zuhuraathumani5560 Před měsícem

    Kila siku tunaambiwa na kaka Sharifu jamani wakina dada kaeni kwakutulia fanyen malengo yenu hatusikii mwisho wake ndio huo duuh pole my Allah atakulipia

  • @MalkiasGwaltu
    @MalkiasGwaltu Před měsícem

    Mhhhhhhh wew mdada ..... mnafikia sana sisi kiredio tunampenda sana wew rudi Oman ya buza wew hamna kila kitu mshangazi wewe

  • @methodpeter1323
    @methodpeter1323 Před měsícem +3

    mtoe no za huyo dada Jamani Ni mzuri tunamhitaji

  • @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct

    Aisee kiledio anafundisha watu .mimi yamenikuta haya siitaji kumsikia mwanaume.pole my dear

  • @mwamvuamagongo8163
    @mwamvuamagongo8163 Před měsícem

    PART TWO PLEASE 😂

  • @Zauda-l6v
    @Zauda-l6v Před měsícem

    Acha kutuayibisha mwanamk ww 😊

  • @francismdima7249
    @francismdima7249 Před měsícem

    Kama kiredio angejua basi Frank asingekuja kwenye fumanizi,, kiredio alifanya kazi tu

  • @ElkanaNakida
    @ElkanaNakida Před měsícem +5

    Ulikuwa unataka isipostiwe ulikuwa unaonaje ya wenzako shenzi endelea kuchagua wanaume😂😂😂😂😂

  • @uwimanacamila2390
    @uwimanacamila2390 Před měsícem

    Hunashukrani kabisa nyangau unamblock aliekusaidia😢😢

  • @Husna-pn5gg
    @Husna-pn5gg Před měsícem

    uwong tu kuolewa Aaaah utok oman uwe vile ivi unaijua team strong wewee😂😂

    • @miriammseke
      @miriammseke Před měsícem

      Ajui team strong oman na Ile mikucha na nywele vile oman ipi iyoo😂tuliopo uku oman tunaelewa mazingira

  • @EuniceWai-cq3gi
    @EuniceWai-cq3gi Před měsícem

    We wauliza begi na passport ili iwessa we kama waona rahisi nenda alafu ukirudi uwe na mabegi ishirini

  • @MariamRashid-sm5zw
    @MariamRashid-sm5zw Před měsícem

    nikweli muwongo ajakuwa omam 😊

  • @DoreenOmmy-gw3op
    @DoreenOmmy-gw3op Před 4 dny

    Sasa kiredio siulimuita mwenyew

  • @user-kq9fc4gg8r
    @user-kq9fc4gg8r Před měsícem

    W dada nimpuuz Tena mpumbavu hujielew hayo umeyataka ww Sasa hapo kiredio anae kosa gan

  • @victoriarichard8761
    @victoriarichard8761 Před měsícem

    Sasa kama alishawahi kumuhoji miezi minne iliyopita alimuhoji akiwa wapi mbona kasema miaka miwili yuko oman. Duh hii content ya ovyo mmh uongo upo live kabisa 🙌

  • @NdeguleMaliwatta
    @NdeguleMaliwatta Před měsícem +2

    Huyu mwanamke ni Chizi.

  • @careenjohn9480
    @careenjohn9480 Před měsícem

    Uyo dada apeleke uko kwani keredio anajua taarifa za kil mtu ulimtAfuta peke yako

  • @DoreenOmmy-gw3op
    @DoreenOmmy-gw3op Před 4 dny

    😀😀😀 sasa ulitaka asipost wakazi ndio kazi yake

  • @Hajer-be2kh
    @Hajer-be2kh Před měsícem

    Huyu si ni sasha muigizaji anaechipukia sahv?😢 yani wanaumbuka wenyew

  • @SalmaAthuman-hp3en
    @SalmaAthuman-hp3en Před měsícem

    Yaaan huyo frenk mwenyewe 😂kweli mapenzi upofu nilizani mwanaume mwenyewe wahovyo

  • @consolathJacob
    @consolathJacob Před měsícem

    Wew umesha block kiredio leo watu wamtafute ten kiredio ili wajue kama wanamapenz hv una wehu kichwan ww😂😂😂😂

  • @richardmartin1534
    @richardmartin1534 Před měsícem

    Hahah jaman mwambie Sasha tupo huku wanaume weusi alaf waaminifu😂😂

  • @ShekhaHamoud
    @ShekhaHamoud Před měsícem

    Muogo km katoka oman zingeonekana kidogo ayuwa nyingi lunga kidogo tungeamini hii ni kiki tu

  • @vaimrosso-ik7ih
    @vaimrosso-ik7ih Před měsícem

    Usituchoshe banaaaaa ungetrend saa ngap

  • @user-zj2gc2zj2c
    @user-zj2gc2zj2c Před měsícem

    Mwanzo ulimwambia kiredio una miaka mitatu oman!! Vp leo useme miaka miwili?

  • @driecullen
    @driecullen Před měsícem +1

    Mwishoni kakubali😂😂😂

  • @annalaurenti5439
    @annalaurenti5439 Před měsícem

    Dada Muongo sana Ajatoka Omani walipanga tu hao kwaza Eti kiledio Alivyo fika airport Akampigia cm uyo dada sasa Alini Alitoa wapi na Wife ipo juu ukishuka Chini Akuna wifi

  • @saeaaa8571
    @saeaaa8571 Před měsícem

    We naye kam mwehu promax vile, Yan kiredio umtafut mwenyew halaf leo uje mlaumu uko sawa kweli wew au

  • @SabrinaHussein-w6v
    @SabrinaHussein-w6v Před měsícem

    Kiredìo ana kosa

  • @MauSame-o2w
    @MauSame-o2w Před měsícem

    Umesema ulipo ondoka bongo ulishakua nae naweweumekaa omani miakamitatu vipiukonae miakamiwili ukiwamuongo usisahau nasuralake baya

  • @user-zl7ze5se9c
    @user-zl7ze5se9c Před měsícem +1

    Wewe dada mjunga tena mpumbavu ni mwanamke mwenzangu lakini hauko sawa wewe mwenyewe umemtafuta mtangazaji kiledio yeye ni kazi yake ndio maana kaposti watu tujifunze kiledio ana makosa yoyote ungetaka hivyo ungeenda kufumania peke yako muwache kiledio afanye kazi yake vizuri

  • @Shadia544
    @Shadia544 Před měsícem

    Kwendraaaaaa acha uongo mbwa wewe sema tuu utalitaka kujulikana tuuu uongo tuu kuoga AAAAH 😂😂😂

  • @user-zj9wj3qe3i
    @user-zj9wj3qe3i Před měsícem

    Duh huyo dada anaishi wapi ??

  • @user-pg6jr7kp2w
    @user-pg6jr7kp2w Před měsícem

    Ujapenda na ulimtafuta mwenyewe weh mjinga nn😂😂😂

  • @silahimumsuya9664
    @silahimumsuya9664 Před měsícem

    Alafu Dadaangu yule dada ulie mkuta na mpenzi wako ana lisabufa likubwa kumbe kalipandisha na hela zako 😢😢😢

  • @MagrethFrancis-uq4eg
    @MagrethFrancis-uq4eg Před měsícem

    Hili limetufundisha wewe ni mjinga kwa nini uudumie mwanaume, mkome kulealea, chukueni wanaume si wakiume ukome😊

  • @KulthumBibi-sm8sq
    @KulthumBibi-sm8sq Před měsícem

    Awaache zake kiredio hio nikazi yake ndipo anapo patia riski wacha mambo wwe

  • @CosmaJoxeph-x8v
    @CosmaJoxeph-x8v Před měsícem

    Oya hapa tumepigwa kinoma 😅😅

  • @KassimuAyoub
    @KassimuAyoub Před měsícem

    Mpuuz huyu sasa kiredio alimtafta yy au yy ndo almtafta kiredio. Ata hvyo kiredio bila kupost atakula kwa frenk au. Ajichukie yy kwanza

  • @salisali3738
    @salisali3738 Před měsícem

    Liongo hili limetaka tu lipate kiki ya kuulizwa na midia Oman ipi ulio toka ww umepauka vile liwigi mpaka kwenye kope

  • @HattaHatta-pk7hr
    @HattaHatta-pk7hr Před měsícem

    Mnapenda kutuzuga omani yawapi umetoka wewe acha uwongo team strong tujuane hapa

  • @user-xs2xm3dj9y
    @user-xs2xm3dj9y Před měsícem

    Nmejifuunzaa dada

  • @user-ix5uo6ks7j
    @user-ix5uo6ks7j Před měsícem

    Kiredio sion akiwa na makosa juu nkazi yake kwanini asirekodi

  • @KINGTZMOVIEex6nz
    @KINGTZMOVIEex6nz Před měsícem

    sasa miaka yote hiyo yeye ange ishije bila ata mwanamke

  • @user-yo4bl5pc1x
    @user-yo4bl5pc1x Před měsícem +5

    Namie nilitaka kushangaa miaka 2 Oman urudi na kibegi Cha mkononi huo ni uongo simuamini Tena kiredio😂

  • @kabonakabona8121
    @kabonakabona8121 Před měsícem

    😂😂😂😂😂 we dada umeyataka kwani kiredio alikutafuta au ww ndo ulimtafuta

  • @AsiaJuma-mn7se
    @AsiaJuma-mn7se Před měsícem

    Wewe mnafiki hautaki kupostiwa je uyo anaekuhoji apo unatarajia atafanya nn mshenz uyu ee tena hajielewi unachokiongea hata haueleweki

  • @user-ev3tj2sh5k
    @user-ev3tj2sh5k Před měsícem

    Uyo muongo ajatoka omani na kijibeg kile angeonyesha tiket kama kweli

  • @silahimumsuya9664
    @silahimumsuya9664 Před měsícem

    Sister mshukuru kiredio katoa funzo kubwa sana kwa wengine ila kiredio hana kosa usim block

  • @RajabuMbotoni
    @RajabuMbotoni Před měsícem

    Jamani kumbe sisi weusi mali kumbe atujajitambua tu

  • @CynthiaIrakoze-tj9ve
    @CynthiaIrakoze-tj9ve Před měsícem +1

    Ww mdada siwalilekodi ukopale

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 Před měsícem

    Ile story ni ya kutengeneza tuu ushutiwe mwanzo mwisho alafu ujifanye haujutaka upostiwe

  • @Queen-be1uf
    @Queen-be1uf Před měsícem

    Alimtafutia nini? Ni kiki ndio maana hakutaka arekodi. Alitaka yeye atrendi na kafanikiwa. Hana oman aliyotoka. Deal limeenda hilo. Na ndio maana hakutaka arekodi alipokuja frank kwa sababu ni waongo wamepanga. Na pengine frank kamwambia ila mimi nisionyeshwe sura. Kwa sababu wote tuliwaona ila alipoingia frank tuu ndo usirekodi usirekodi

  • @NaahJr
    @NaahJr Před měsícem

    Haya endeleeni na challenge zenu hizo mtakufa kwa presha kimewaramba 🤣🤣 me siku nakutana na kiredio sitak hata salam yake an mtajua wenyewe bwana 😂😂😂😂 mapenzi mapenzi taften hela we upo Oman unatarajia mtu yupo TZ miaka2 akusubirie we malaika,kwanza kiredio hana kosa lolote hapo huyo mdada alimtafta kiredio mwenyew na unalipia challenge ya kupost ina bei yake na ambayo sio ya kupostiwa ina bei yake sasa yeye labda kalipia hela inayoruhusu video kupostiwa kwanza kabla ya challenge unaulizwa kama unataka ipostiwe amah laah 😂🙌sasa mwenzetu alitak aonekane social media ndo kimemramba

  • @OmanBahla-ow8px
    @OmanBahla-ow8px Před měsícem +1

    Wewe dada nimsenge tu kama ulikuwa unafanya comedy un

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Před měsícem

    Sasa kwanini ulimtafuta wakati unajua lazima apost! M ndio maana siku amini lile tukio maana hata kipindi unashuka airport hukuwa nama pegi nalile begi ulikuwa nalo lilikuwa tupu😅

  • @user-st1zs1ng2x
    @user-st1zs1ng2x Před měsícem

    Tokaa apaa tujifunze nini uongo 😂😂😂😂utoke oman uringe makiki ya kipuuzi

  • @johanneskallya364
    @johanneskallya364 Před měsícem

    Kwani mpaka anamtafuta Kiredio hakujua kuwa kazi zake zinafanyika vipi?

  • @StellahSaid
    @StellahSaid Před měsícem

    we dada wa ajabuu😂 kwan kaz ya kiredio hujuii had ukainuaa cm yakoo ukampigia!!cjaonaa kosa la kiredio!

  • @AshfaynahAbdul-cz9io
    @AshfaynahAbdul-cz9io Před měsícem

    We acha nyodo bana hao weupe pia hawaja vutiwa na we Kama kulelewa mbona fren mweus we umemlea

  • @ElinikeSoi
    @ElinikeSoi Před měsícem

    Mara kiredio mnafki mara tumtaftr😢

  • @user-er5ld7ft6k
    @user-er5ld7ft6k Před měsícem

    Weeee kichaa kweli wewe wakati ww mwenyewe ndo ulimtafuta kwann asipost na ile ndo kazi yake

  • @swalharajab8365
    @swalharajab8365 Před měsícem

    Huyu mshenzy naomba account yake nikamchambe huko huko ....maan hapa hatoon comment yangu shenzy kabisaa😂....embu atupishe huko na ka beg kakee cha take away😂😂nyoko wew oman where oman which ...oaman hiii tulipo au oman ya tandika😂😂....mwone vile

  • @medardchenge
    @medardchenge Před měsícem

    Kiredio hana kosa , maana wewe ndiye uliye mutafta

  • @salama1113
    @salama1113 Před měsícem

    Kwani kiredio alikuomba c ww mwenyewe ulimtafuta

  • @rithajerome1070
    @rithajerome1070 Před měsícem

    Kiredio Hana makosa apo dada umejichanganya w mwenyew

  • @julianachuwa2804
    @julianachuwa2804 Před měsícem

    Ungekuwa unataka iwe Siri ulimuuita kiredio wa nini km siyo umbea wako

  • @MwanaidyHamis-rg1pu
    @MwanaidyHamis-rg1pu Před měsícem

    wenikichaa kweli kiredio ulimtafuta wanini kwani hujui Kaz ya kiredio ulitaka kurekodiwa mwenyewe co usimlaumu kiredio hiyo ni Kaz yake

  • @NaimahKhalifasalim
    @NaimahKhalifasalim Před měsícem

    Timu oman tunajijua hii sura tu sijawah kuiona 😅😅😅 achen kudanganya watu

  • @suzankafwemba1919
    @suzankafwemba1919 Před měsícem

    Huy dada mwongo jaman afu lile beg lilikuwa halina kitu ndan embu tizamen vizur walivyokuwa wanalibeba alitaka ku trend kupitia kiredio,, wanotoaka oma huwa hawaj na begi moja tena jepesi vile

  • @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct

    Point mwanaume mweupe anapenda kulelewa

  • @KeiOmaromar
    @KeiOmaromar Před měsícem

    Tujifunze mara ngp wkt kila siku tunaona matukio mnayofnywa km nyny wenye upwiru wa mapenz😂😂😂😂😂kwnz oman urud na kibeg kimoja km umetoka sokoni😂😂😂😂😂ila hamonise😮

  • @user-lg9sx7fk1b
    @user-lg9sx7fk1b Před měsícem

    Kiredio kucheka cheka nitabia yake yule hakuwa anajua chochote

  • @mustymasoud5214
    @mustymasoud5214 Před měsícem

    Atuonesh passport yake yeny muhur wa EXIT oman

  • @user-xd6sh2ds3u
    @user-xd6sh2ds3u Před měsícem

    Acha kumlaumu kiredio bure,,, kwan ulitumwa umtafute??... Na mpaka umtafute si ulikuwa ushajua kaz ya kiredio ni ku shut na kupost

  • @sondalasalumu5423
    @sondalasalumu5423 Před měsícem +1

    Kama kiredio angekua hapost wewe ungemjuaje acha ujinga wewe

  • @AshfaynahAbdul-cz9io
    @AshfaynahAbdul-cz9io Před měsícem

    Jaman labda hakua ananunua nguo posa apewa frenk😀😀😀😀

  • @monicaalute3143
    @monicaalute3143 Před měsícem

    Huu mchongo sio kweli

  • @babasandra638
    @babasandra638 Před měsícem

    Hata kiredio alipokua anaingia airport alisema mama samia alitupa uhuru content creaters kushoot airport bila shida,so icho kilikua kipindi muache kutubebe ufala

  • @user-jx4rx6jy6y
    @user-jx4rx6jy6y Před měsícem

    Omani hii ninayo ijua mm subutu kwaza tukilud lazima mabegi yakufa mtu napia hapo mlangon alipo tokea nikila mtuanaingia tu kwenda kupokea watu yani ningemuona kule ndani kabisa kwenye kukaguliwa aa ningekubali kwahapo hamnidanganyi hata kidogo 😂😂😂