TARIQ KIPEMBA ALIYEMWAGIWA ACID, ASIMULIA UKWELI WAKE MWINGINE BAADA YA JICHO LAKE MOJA KUWEZA KUONA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 04. 2023

Komentáře • 1,2K

  • @fofo_Amigo254
    @fofo_Amigo254 Před rokem +125

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 no matter what he's still handsome
    Be strong bro😢

  • @queendollie8792
    @queendollie8792 Před rokem +99

    Dear Lord i come before you this evening am asking you to please give this young man hope, assurance, peace and faith in you, Lord Jesus umejibu maombi mengi ya watu nakuomba ukamjibu na huyu pia, wewe ni Mungu usiye shindwa, Mungu wa Musa, Abraham na Elijah nakuomba umtie nguvu na furaha kijana huyu, umejidhihirisha kwenye maisha yake kwa kumfanya kua hai inspite of everything he went through basi ukamfanye akutegemee wewe na kila mtu atakaye muona akapate kukuona wewe in Jesus Name Amen🙏

  • @Maria-cx4kn
    @Maria-cx4kn Před 5 měsíci +4

    We love you Tariq. Maneno yako yanabatiki watu wengi na yanafungua macho wanaojipoteza ufahamu…..wajue Mungu yupo anaona kila kitu na kila mtu atawajibishwa hapa hapa diniani kabla hata ya kwenda ahera. Kila chozi la mnyonge litalipiwa haki

  • @Maria-cx4kn
    @Maria-cx4kn Před 5 měsíci +3

    Tariq nimekusikiliza kwa makini wewe ni mwanaume hasa. Very smart, Jasiri mpenda haki na mwenye busara na hekima. Uko vizuri kichwani na moyoni na uko handsome Mungu akutetee zaidi na zaidi.
    Vita umeshaishinda wala usiogope kitu

  • @halimamashimba4424
    @halimamashimba4424 Před rokem +67

    Maneno yako ya mwisho yameniliza sana kijana 😭😭😭Mungu atakutetea na haki yako haitapotea mwenyezi Mungu akulinde tu sana na azidi kukupa aman ya moyo kama hivyo ulivyoona dah! Una amani mpaka raha, sijawahi ona mwenye haki ameachwa Amina Mungu yupo pamoja nawe ameshakushindia 🙏

    • @SamSung-do9xc
      @SamSung-do9xc Před rokem

      Pole sana taliq Allah akusimamie malipo ni hapa hapa nae atalipwa inshallah 😢

    • @mwananganzi
      @mwananganzi Před rokem

      Pole sana Tariq Jamani Mungu atakulipa INSHAALAH

  • @teckie__songsofworship6680

    To everyone watching and reading this may God bless you and your family and may thy Lord protect you from all evil plans and peaceful life be your portion in Jesus Mighty Name Amen 🙏🙏.

  • @xclusivebtz7516
    @xclusivebtz7516 Před rokem +87

    I feel his Tears😭😭😭😭 bro May our God of heaven heals and guides you

    • @GraceTemba-nx3mw
      @GraceTemba-nx3mw Před rokem

      😭😭😭

    • @melangongo6490
      @melangongo6490 Před rokem

      🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😭

    • @mariaokiring1519
      @mariaokiring1519 Před rokem

      his mission was to make him suffer alot OMG 😢😢😭😭😭 one thing I know there's God in heaven 😭😭😭😭

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama8869 Před rokem +28

    Pole sana mdogo Mungu yupo pamoja na ww 😭😭 huyo muhalifu alaaniwe daima

  • @messaabbas739
    @messaabbas739 Před rokem +71

    Allah kareem,,,you still handsome Tariq,,,,I pray for you broo,, INSHA'ALLAH 👏 and Allah he's with you

    • @musamsawanga9266
      @musamsawanga9266 Před rokem +2

      Tatizo atembea na wake za watu(Mario) na jamaa alishaonywa

    • @itNeza
      @itNeza Před rokem

      ​@@musamsawanga9266 Jamani na Wao Yani usoni Tuu ? 😢 Ila aliye onja anajua Mashini ilivyo anaweza akarudi tena kulamba asali. 😂

    • @messaabbas739
      @messaabbas739 Před rokem +1

      @@musamsawanga9266 ,,alitembea na mke wako ww mbwa ww,,,,,acha makasiriko,,,,,, and next do not comment on me this nonsense,,, better be quiet

    • @sakinamsafiri8660
      @sakinamsafiri8660 Před rokem

      Ndio nyie nyie...hovyoooooo

    • @rosemkono
      @rosemkono Před rokem +1

      Mungu akusaidie may god bless you 😢😢😢😢😢😢

  • @user-fs7xc2bb5d
    @user-fs7xc2bb5d Před rokem +17

    Kwanza Alhamdllah Rabbllaamin kwa uwezo wake Mwenyeez Mungu kwa kukuwezesha kuona macho ni muhimu sana kabla hujafa hujaumbika dua zetu tunazoomba Allah ndie atakae muhukumu huyo shoga tumchangieni ili akufanyiwe na jicho lingine

  • @zahornassor5420
    @zahornassor5420 Před 9 dny +1

    Tariq pole sana , Dhuluma lazima ilipwe na ww Allah atakupa faraja huwezi amini

  • @marylazaro4625
    @marylazaro4625 Před rokem +5

    Huwenda aliyemfanyia Hivi yupo anaangalia hii interview ... Kama upo... Muombe Mungu msamaha... Tubu tu! Kisha kamuombe msamaha TARQ

  • @queensarah860
    @queensarah860 Před rokem +43

    Oh lord our savior, please watch over this man and heal him so that people will see your glory through his testimony 😢🙏🙏🙏❤️❤️❤️

  • @apynesnzisa5045
    @apynesnzisa5045 Před rokem +67

    Kweli mtu hajui kesho yake😢😢Eeeh Mwenyezi mungu tutangulie Kwa Kila jambo... Quick recovery

  • @abuuhafsin2224
    @abuuhafsin2224 Před rokem +23

    Dah, imeniliza hii, wanadamu tumekuwaje sijui, hv aliyemfanyia haya anajiskiaje sasa. Malipo ni hapa hapa duniani, Allah atawanyoosha tu, Dua zangu mbaya ziko juu Yao.

    • @salmaalimusa6809
      @salmaalimusa6809 Před rokem +1

      anafurahi maana alidhamiria Allah atamlipa😢😢

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 Před rokem

      Unajua ukiwa na maasi Sana Allah anakuacha hivyo wewe unakuwa na shetani hatua kwa hatua hivyo vitendo unavyovifanya vinatusha maana Allah hakuwekei hofu yeyote na shetani anakusifu kwa ushindi,yaani ni suala la kumuomba Allah asituache katika maisha yetu ni mtihani mzito sana

  • @ashajumakivugo4293
    @ashajumakivugo4293 Před rokem +16

    i believe whoever did never knew that Allah had bigger plans than him, still strong still handsome nothing has change just scars to remind you who you are bro

  • @gilbertnyangares7052
    @gilbertnyangares7052 Před rokem +16

    I found myself crying, Take easier broo, God has a reason why he restore your sight and He also will give u strength and hope. From Ke

  • @yasminjuma9146
    @yasminjuma9146 Před rokem +34

    Alllah mkubwa. Kwa uwezo wa Allah utaona macho yote amin

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 Před rokem +1

    Tariq! Baba Pole sana. Mtegemee Allah.
    You will stand on two feet.
    Allah naomba mlipie Tariq wetu kwa kumfedhehesha na kumuadhibu alofanya unyama huu.

  • @giftibrahim
    @giftibrahim Před rokem +11

    Ijumaa yaleo tuna muomba Allah akufanyie wepesi upone inshallah ila tuna muomba Allah kweny ramadhani hii uyu aliokufanyia unyama huuu Allah ampe pigo Mara 3 zaid binadam utu umeisha kabisa ila hapa tz yetu kupata Hak n mtihan snaa ila Allah akufanyie wepes tuko nyuma yako na tutachanga uone tena much love bro❤ ......

    • @husnaabuu8341
      @husnaabuu8341 Před rokem

      Allah nimuweza wa yote allah atakujaria utapona

  • @ufundi_tz
    @ufundi_tz Před rokem +41

    Alhamdulillah for this stage ... Allah ajarie shifaa inshaAllah ...

    • @atuluvalamo2772
      @atuluvalamo2772 Před rokem

      Jamani polesana kaka mungu akutunze akulejeshe kwenye Hali ya kawaida 🙏

  • @janethobadiah8062
    @janethobadiah8062 Před rokem +16

    Aiseeee naandika nafuta sina mengi.. Mungu baba wa mbinguni akutetee tu kaka yetu 😭😭😭

  • @Zai-vh7jd
    @Zai-vh7jd Před rokem +2

    Pole sana Tariq! Mungu akuponye. Raisi wetu Mama Samia tunaomba ingilia kati hili kijana atendewe haki mhalifu ahukumiwe. Tunakuamini mama kwa huruma yako. Mungu akulinde daima uwasaidue watanzania wanaoonewa na kukosa haki zao kama Tariq.

  • @irenewilfred6072
    @irenewilfred6072 Před rokem +58

    Nimechoka kulia kwa Ajili yako Tariq,,, Acha Huyu Mungu tunaemuabudu aseme nao😢

  • @BarakaGwakisa-fv7pd
    @BarakaGwakisa-fv7pd Před rokem +5

    Mungu akikupa kilema uwa ana kupa na mwendo pia , fear not brother JESUS IS WITH YOU FOREVER. JUST LOOK ON HIM CAUSE HE'S A CAPABLE GOD.

  • @Neemakilimba
    @Neemakilimba Před rokem +27

    Kaka yangu Mungu anampango na wewe Rudi Msalabani ,Hata hivyo ulipofikia Ni Neema tu Love you my Brother

    • @HarimahtheAnny
      @HarimahtheAnny Před rokem

      Kwer😭😭😭😭🙏🙏🙏

    • @FatmaMbarouk-zp3ev
      @FatmaMbarouk-zp3ev Před rokem +3

      Msalaba Tena Allah atamuafu yy ni juu ya kila tunachokijua au kuwahi kukisikia

    • @sharifuahmed8340
      @sharifuahmed8340 Před rokem +5

      Msalaba wa nyokwe, wakt uyo muislam na pp yy anamtegemea muumba mbing na ARDHI na alieumba MITUME yte akiwemo yesu wenu

    • @user-dn7gn6ib4k
      @user-dn7gn6ib4k Před rokem

      ​@@FatmaMbarouk-zp3ev😂😂

    • @user-dn7gn6ib4k
      @user-dn7gn6ib4k Před rokem

      ​@@sharifuahmed8340 amni

  • @sein.208
    @sein.208 Před rokem +8

    SUBHANA ALLAH 😢😢😢
    POLE SANA KAKA. ALLAH AKUZIDISHIE SIHA NJEMA KILA KUKICHA. KILA KITU KINA ASBABU, HALIKUFIKI JAMBO ILA KWA #IDHINI YAKE MOLA...
    ALLAH NI MJUZI ZAIDI.
    UTAPONA BIIDHIN LLAH KAREEM.

  • @florencemlay9333
    @florencemlay9333 Před rokem +30

    Pole sana kaka yangu, Mwenyez Mungu atakupigania, is not easy at all to be in your situation but nina imani atakupa njia ya kutokea 🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @eliaichraymond1215
    @eliaichraymond1215 Před rokem +271

    Yesu mnazareti uliyemfufua Lazaro wa Bethania ninakuomba umponye kijana huyu na pia serikali iingilie kati haki itendeke,huyo shoga popote alipo asipate amani moyoni mwake,awe Kama kaini( Mungu na amwekee alama popote anapokwenda asipate amani moyoni wala furaha)

  • @ahmedimarusu-rp3bk
    @ahmedimarusu-rp3bk Před rokem +18

    😢😢😢😢 dah..mungu ata kusaidia kaka..siku hiz watu ni wengi kuliko binaadamu

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Před rokem +2

    Subra iwe nguzo yako Tarqe. Mwenyezi Mungu atakufuta machozi unayolia kipekee. Pole sana,sana ndugu.

  • @savioursimon458
    @savioursimon458 Před rokem +25

    Pole sana kaka yangu!! Tunamshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa ajili yako!! Mungu wetu ni mwenye haki na atatenda haki kwako!! Mungu ataleta neema na baraka zake utafanikiwa kupata matibabu, utakuwa sawa na utaishi kwa namna Mungu alivyopanga tangu uumbaji wake tumboni mwa mama yako. Nakuombea Mungu akuinulie kila mtu unaemuhitaji katika uponyaji wako wa mwili na hisia. Lawyers, Doctors, Therapists, Financial Help and everything that you need physically and emotionally. In Jesus' Name. Amen 🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @praisejonas5896
    @praisejonas5896 Před rokem +4

    Tarique ushuhuda wako umefanyika Tiba kwenye maisha ya watu wengi na kurudisha hofu ya Mungu kwetu Kama wanadamu, Mungu atakubariki na atakupanya kwasababu yeye ndio aliyekuumba na anakujua
    HAKUNA MTU AMBAYE NI BORA KULIKO MTU MWINGINE INATUFUNDISHA KWAMBA HAKUNA MWENYE HAKI ILA MUNGU.. ❤

  • @qatarworls1902
    @qatarworls1902 Před rokem +13

    Watu ni wanyama
    Aki 😢😢 wivu ni kitu baya sana
    Mungu ni mwema utaendelea na kupokea miujiza
    Mahandui wahaibike but kikulacho kinguoni mwako mungu akulinde popote utakuawepo 🙏🏼

  • @fridakakiko1217
    @fridakakiko1217 Před rokem +2

    mama samia msaidie huyu kijana inaumiza sana na tuzidi kuomba mungu ampe afya njema

  • @nancywanjiku1554
    @nancywanjiku1554 Před rokem +11

    Healing is your potion much love from kenya

  • @hanifa9153
    @hanifa9153 Před rokem +44

    Am so sorry my brother Allah akupe amani ya moyo akfute machungu yako😢 inshaallah utakua sawa kwa uwezo wa mungu

    • @aminaluliho8456
      @aminaluliho8456 Před rokem

      Mungu ni mwema talking awo mbwa mung awape adhab za kabli 😂😂😂😂

    • @marosgodfrey2089
      @marosgodfrey2089 Před rokem

      @@aminaluliho8456 wq2w

    • @PaulinaSemindu-ob3de
      @PaulinaSemindu-ob3de Před rokem +1

      Hakika maisha haya jmn" ukiona watu wanakuchukia mtaan hama bado mapema Hujui kesho yako" pole Sana kaka angu malipo n hapa hapa dunian

    • @hanifa9153
      @hanifa9153 Před rokem

      @@aminaluliho8456 sasa mbona umemaliza nakcheka we nae

    • @ZainaNdijah
      @ZainaNdijah Před rokem +1

      Nina uhakika mtu ulomfanyia ukatili huyu kaka huna ani zaidi Sana nakuomba utubu usipofanya hivyo wewe na filia yako yote mtateseka sana gharama na muda maumivu anayoyapata mtalipa lazima mnywee kikombe chake mungu ndo faraja yake pole mdogowangu kikubwa uzima.

  • @andrewemmanuel1861
    @andrewemmanuel1861 Před rokem +3

    Polee Sana'a bro
    Watanzaniaa tunakuombeaa uwenamiakaa ming akupewepesiii wa maisha ......

  • @lyidiamrema7294
    @lyidiamrema7294 Před rokem +25

    Mama yetu Samia msaidie huyu kaka nimtanzania pia hakupenda kuwa hivi na aliefanya hivi yupo huru inaumiza sana jaman

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 Před rokem +49

    Still ur handsome tareq ❤️

  • @carolinemariki4029
    @carolinemariki4029 Před rokem +7

    Jamani wanasheria wetu mko wapi jamani mtoe msaada .. JUSTICE FOR TARIQ...

    • @amytullah2175
      @amytullah2175 Před rokem +1

      Hii ni criminal wanashika wanasheria wa serikali na police dear😢 Yaani imeniuma sana

  • @mwanduelizabeth2282
    @mwanduelizabeth2282 Před rokem +12

    😭😭😭pole Sana Kaka Yesu akuponye Kama alivyomponya kipofu aliyekuwa haoni tangu kuzaliwa kwake na wewe akuponye uweze kupona na kuona tena.

  • @janejonathan9846
    @janejonathan9846 Před rokem +2

    Pole sana jaman Tariq Yesu Kristo atakuponya amini tu,ila Mungu atahukumu kwa haki kwaalie kufanyia ukatili huo,hadi umeharibika hivyo jaman binadam tunabadirika sana

  • @nibigirahassina9308
    @nibigirahassina9308 Před rokem +3

    Nimefurahi kusikiya unasema alhamdulillah mwenyezi mungu akufanyiye wepesi

  • @mariamzkinogo6775
    @mariamzkinogo6775 Před rokem +71

    And he still look handsome and attractive ❤😢😢

    • @amanimanase8798
      @amanimanase8798 Před rokem +5

      Wabaya ndo nyie sasa handsome ya nyokho badala ya kumuombea apone mnaanza ushetani wenu inawezekana ndo nyie wanawake mlotaka mmbadilishe sura kwa kumng'ang'ania kwa uzr wake wamalaya nyie

    • @kingkapessahofficial6716
      @kingkapessahofficial6716 Před rokem +5

      Bdo ana confedence god is great

    • @brownie_dee8655
      @brownie_dee8655 Před rokem +8

      @@amanimanase8798 umemwelewa vby,amesema ht km walimmwagia acid kuharibu sura yake wamefail coz bado ni mdhur vilevile...

    • @ainsesseverest1136
      @ainsesseverest1136 Před rokem

      ​@@amanimanase8798 umemwelewa vibaya ajamanisha hivyo ulivyowaza wewe

    • @user-sq7pz9ex5g
      @user-sq7pz9ex5g Před rokem

      ​@@amanimanase8798 lakini hajasema Kwa ubaya....

  • @latifamchekenje6718
    @latifamchekenje6718 Před rokem +18

    Malipo hapa hapa duniani!!! 😌Mshtakie MUNGU tu,!!!

    • @edjenmakwai2310
      @edjenmakwai2310 Před rokem

      Yaani machozi yanakaribia kunitoka jmn tunaomba haki itendeke serikali ifuatilie huyu mtanzania atendewe haki. Yeyote aliyefanya hivi hatoishi kwa amani katika hii dunia

  • @Maria-cx4kn
    @Maria-cx4kn Před 5 měsíci +1

    Pole sana Tariq usijali mungu wako anakuoenda atakufanyia wepesi. Unonekana kuwa kujana mzuri kabisa mwenye maadili mazuri.
    Usiohope sababu mungu anakuoenda sana

  • @Maria-cx4kn
    @Maria-cx4kn Před 5 měsíci +1

    Naomba kupitia wewe Tojo za watu zibadilike zimgeukie mungu. Tutendeane haki kwa heshima ya Mungu mpenda haki. Pesa za damu chafu zisichafue mikoni yetu. Kiuuchuna kimya huku tunaacha haki inapindishwa haimpendezi Mungu. Mwenye sauti na aseme kwa sauti kwa haki ya kimungu

  • @najmasaid7057
    @najmasaid7057 Před rokem +4

    Nimejikuta nalia na kujiskia homa ktk mwili wangu pole kaka Allah ni muweza wakila Jambo akupe wepesi in'sha'Allah

  • @ireneimbuhira7759
    @ireneimbuhira7759 Před rokem +10

    Its sad 😥 may God be with him all the time 👏🙏

  • @Maria-cx4kn
    @Maria-cx4kn Před 5 měsíci +1

    Uko sahihi kabisa kaka. Watu tumeweka mbele pesa kuliko utu.
    Pole sana naamini watu pamoja na ushetani wa mioyo yao ujimbe wameupata.

  • @Maria-cx4kn
    @Maria-cx4kn Před 5 měsíci +1

    Tariq Kama mungu mekuwezesha Kufika hapa Salam umeweza kuona tena basi ujue ana makusidi makubwa sana juu yako, Hatakuachia njiani, utapona kabisa na uhahubiri utukufu wake mbele ya umati. Utahubiri amani, uwajibikaji, madhara ya rushwa, visasi, kazi za shetani, upendo nk ikiwa Kama mfano hai. Mungu kujalie ufungue watu macho na mioyo imwelekee mungu wa kweli

  • @dainesskyando1850
    @dainesskyando1850 Před rokem +15

    Pole tarek mungu mkubwa Sana andika namba Apo ya sim mungu mkubwa umepona baba umepona mungu aliye juu ashindwi. Ameeen

  • @furahamwakalukwa
    @furahamwakalukwa Před rokem +11

    Ndugu yetu na kijana mwenzetu Pole sana tena sana kwa yote yaliyokukuta!!!Naomba niseme tu kuwa Mungu U pamoja nawe Daima,Sasa jiandae kwa ushindi Mkubwa ambao Mungu amekuandalia mbele ya safari yako ya mafanikio.
    Simama na tembea kifua mbele kwani Mungu yupo pamoja nawe Daima.

    • @ashuraissa7044
      @ashuraissa7044 Před rokem +1

      Pole Sana Kaka watu wanaroho mbaya Sana mlaaniwe nakizaz chenu mliosababisha ulemav wamwenzenu

    • @mariamantes4203
      @mariamantes4203 Před rokem +1

      Am from dubai ur words zimefanya nitokwe na machozi God bless you

  • @shukurukoll7269
    @shukurukoll7269 Před rokem +1

    Binadamu tumwogope Mwenyezi Mungu. Ni vema tukaoneana huruma badala ya kufanyiana unyama. Duniani tunapita hapa. Pole sana Tariq Allah Akujalie upone haraka. Mwenyezi Mungu Atakulipa.

  • @mody-guyngido2792
    @mody-guyngido2792 Před rokem +2

    Allah Amekuvusha Kwa hilo Na Atakuvusha na pengine tena Biidhnillah,Bro Msamehe na Nina Imani Allah Amekuandalia Mazuri zaidi Ya Huo Mtihani Aliokupa In Sha Allah.
    Allah Akupe Uzima na Swiha njema Allahumma Amin

  • @Sham-vj4er
    @Sham-vj4er Před rokem +4

    Pole sna Kaka Tariq yote muachie Allah atakulipia kw uyo mwenye amekufanyia ivo pole sna 😢 usisahau kila hatua dua 🤲

  • @benancejohn1198
    @benancejohn1198 Před rokem +4

    Mungu yu pamoja nae. Aamini tu atakuwa sawa na atarejea katika hali yake. Amen 🙏

  • @Maria-cx4kn
    @Maria-cx4kn Před 5 měsíci +2

    Wahusika wote ambao wameamua kukaa upande wa pesa na kuacha utu basi wajue mungu wetu yuko kazini hizo pesa zitawatokea puani siku si nyingi.
    Lazima watachapwa kwa fimbo ya mungu wataguswa pale panapowaumiza zaidi.
    They will pay with their blood

  • @DorisZephania-ci8ym
    @DorisZephania-ci8ym Před 2 měsíci +1

    * Yaaani kama hujakusudiwa kufa, hautakufa hata shetani asimame mbele yako!
    Pole sana Tariq

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Před rokem +6

    Mungu asante kwa kujibu maombi ya watanzania. Mungu ni mwema kaka umepona.
    Tufanyie kisasi wewe mfalme wangu dhidi ya hawa watu/ team ya wanyama waliofanya haya.Hakuna usiloweza Mungu wetu😭😭
    Ww ndio Mungu mwenye haki peke yako tunakuomba sana utusaidie kwa hili. Tariq achana na kesi za duniani utaumizwa moyo tu. Acha Mungu pekee atende kaka. Duniani hapa 😭😭😭
    Hata ungetenda nini hukupaswa hii adhabu. Kaka Mungu hatakuacha kamwe
    Pia tujitahidi watanzania wenzangu kwa chochote kumfanyia Tariq wepesi.

  • @fatmasaid7093
    @fatmasaid7093 Před rokem +5

    Allahu Akbar alhamdhulilah Allah qarim😢😢😢😢inshaAllah everything gonna be fine

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Před rokem +1

    Pole sana kijana daaaaa. Watu wabaya siku hizii. Wivuuu tuuu wa MAENDELEO

  • @ALIKHAMIS-un4fv
    @ALIKHAMIS-un4fv Před rokem

    Usijali kaka angu Allah atakuponya ila aliekufanyia ilo jambo ajue utavyomfanyia mwezako na ww litakurudia muda wowote kama si leo kesho atambue ilo mm sina cha kukupa kaka cha kukupa ni kukuombea dua kaka angu Allah akubariki sana

  • @glowingspirit606
    @glowingspirit606 Před rokem +17

    Very unfair may justice prevail, huyo mtu kifo kisimpate aishi maisha yake yote akilipia aliyomfanyia mwenzake from his|her kids na wazazi wake na kila mtu anaemzunguka nimelaani.

    • @bryson0772
      @bryson0772 Před rokem +4

      Put the children apart hawahusiki kwa malipo ya mzazi wao sio sawa hata Mungu ataepusha hilo watoto n malaika wanazaliwa hawajui lolote iweje wao waje walipe madhambi ya mzazi wao i pray for the innocent child Mungu huyu alie hai asiesinzia hapo aepushe ALAANIWE MUHUSIKA NA YEYOTE ALIEHUSIKA KWA NAMNA YOYOTE JUU YA HILI🙌

  • @LavishHatTV
    @LavishHatTV Před rokem +5

    😢😢😢 Daaa It's So Depressing but what I can assure you man #Tariq this perpetrator won't get away with it..god is faithful and trust the process. This is one of the greatest interviews that are so touching...ayo congratulations keep inspiring generation.❤

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla7471 Před rokem +1

    Tariq MUNGU ndie mwenye kujua hatima ya kila mtu tnakuombea MUNGU akupe amani ya moyo na Imani juu ya MUNGU omba uzima, kisasi ni juu yake pole sana mdogo wangu

  • @kenya560
    @kenya560 Před rokem +1

    Pole Sana kakaangu. So painful. I know the pain your going through 😢. Huyu Hakimu msenge sana kudadeq zake mbwa. Hii nchi na Rushwa. Hakimu mwenyez Mungu akusamehe tu mbwa wewe

  • @GraceTemba-nx3mw
    @GraceTemba-nx3mw Před rokem +5

    Mungu simama baba,huyu kaka simjui lakin,Mungu naomba umtoe kabla ya huyu kaka🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭😭Millard Ayo Mungu akupe maisha marefu na huyu mtangazaji ana busara sana

  • @evarinenathaniel9838
    @evarinenathaniel9838 Před rokem +4

    Mungu Baba katika Jina la Yesu Azidi kukupigania.

  • @ednahmwasyoghe7376
    @ednahmwasyoghe7376 Před rokem

    Pole sana kaka Mungu bado anamipangi na ww ndiyo maana mpaka sasa bado upo hai na bado ataendelea kudhihirika kwa Hili kumbuka m'beba maono hafi hautakifa Bali utaishi mpaka mpango wa Mungu utakapo timia kikubwa usisahau kuomba Rehema kila siku Mungu wetu hajawahi kushindwa na chochote 🙏🙏

  • @stanleymartin2943
    @stanleymartin2943 Před rokem +9

    Pole sana aisee binadamu sisi ni watu wabaya sana pole pole na pole sana😭😭😭😭

  • @sanurahaji5194
    @sanurahaji5194 Před rokem +3

    Pole sana Allah akupe shufaa kikubwa kumshukuru mwenyezi mungu

  • @salimkassim6020
    @salimkassim6020 Před rokem +3

    Broo M/mugu akufanyie wepesi katika kila zito kwako,,, akupe subra na akupe mwisho mwema Inshaa Allah maana duniani tunapita tu hakuna wakusalia,,,,kuna mengi ya kujifunza kupitia hili tukumbuke kufanya ibada na kumshkuru sana Allah kwa neema alizo tupa kuanzia kupumua kuona kuskia na kila kitu bila kulipia chochote,,, ndugu yetu anaona ila jicho halitakiwi kuingia maji wala vumbi ni mtihani sana,,, ila kwa Mungu hakuna kubwa amjaalie apone awe kama awali...inahuzunisha kwa kweli dah

  • @shantalismailhassan9878
    @shantalismailhassan9878 Před rokem +1

    Allah akutie nguvu ,subira na imani. Sisi hatuwezi isipokuwa Mungu pekee ndo muweza. God bless you.

  • @rehemasharifu8985
    @rehemasharifu8985 Před rokem +2

    Pole sana TARIQ allah atakufanyia wepes utapona hakuna aijuae kesho hata sisi hatujui kesho yetu allah atufanyie wepes

  • @nibigirahassina9308
    @nibigirahassina9308 Před rokem +3

    Polesana Allah will make it easy for you my dear brother

  • @irenelukumay877
    @irenelukumay877 Před rokem +3

    hapo ulikofikiya nikwa neema za mungu usijali kaka tuko pamoja na wewe usijione wa tofauti hakuna kilichoharibika hata kidogo kuwa na amani sisi niwatanzania wenzako tutazidi kukusapoti mungu ni mwema sana kwa hatua uliofikiya inaumiza sana usijali ndugu yetu kaka yetu tunakuombeya kila leo kwa mungu

  • @emmanueltemu3606
    @emmanueltemu3606 Před 7 měsíci

    Pole kaka ,,hakika mungu ni mwema,,binadamu siyo wema ishi na watu vzr

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 Před rokem +2

    Alhamdulillah una uhai kwasabb hakuna kinachogharim kama uhai mungu ni huyu huyu Alhamdulillah aliekupa huo mtihani ndo anajua anakuandaa na nini usilalamike ukakufuru stay positive only your heart matter hakuna kiangazi kilochokosa masika only God knows ❤

  • @nyawiragathigi1992
    @nyawiragathigi1992 Před rokem +4

    He is still very handsome and even more than before

  • @Moregun619
    @Moregun619 Před rokem +22

    😪we love you man.. we pray and hope that you recover from this.
    Utapona kaka yetu🙏🏽
    Eh Mungu mponye kaka huyu..
    my heart is bleeding..
    this was so so cruel 😪

  • @user-bw1in4ho2b
    @user-bw1in4ho2b Před rokem

    Dah! 😮 Poleh sana Tariq. Be protected and blessed. Naamini utapona na utaona tena na maisha yatasonga tu. Maxwow Artist. Naamini tutaonan a tena.

  • @mussatete2618
    @mussatete2618 Před rokem

    Amina Mtumishi, Umeongea vzr sana Mungu anajua maumivu unayopitia na atakusaidia. AMINA

  • @mauldabdalah2168
    @mauldabdalah2168 Před rokem +24

    Kaka sisi watanzania wenzako tunamshukuru mungu kwa wewe kuona japo kwa jicho moja tunakuomba usijinyanyapae sisi tupo pamoja na wewe hii nimitihani tumeumbiwa wanaadam kwa upandewetu sisi watanzania wenzako tumekupokea kwa moyo mmoja

  • @ahmadsalim6782
    @ahmadsalim6782 Před rokem +9

    Broo nikuambie tu pmoja na hali yako ulio nayo wallah swali swala tano halafu shikamana na Allah wallah hutauzunika

  • @mohamedyally58
    @mohamedyally58 Před rokem +3

    Daaah alokufanyia hivo mungu atampa alichokitafta naamin malipo hapa hapa kweny uso wa dunia mtu Ana kufanya uteseke kweny maisha yako yote bora mtu akuue tyuu kabisa hii sio adhabu ni unyama kabisa

  • @ester283
    @ester283 Před rokem +3

    May you be healed in Jesus Name🙏 bado nakuombea na sitaacha🙏 you are going to be fine

  • @wakywenaky3674
    @wakywenaky3674 Před rokem +9

    Ikiwa huyo kaka anamwamini mungu,bas aachane na mambo ya kesi, yeye amuachie mungu tu ndio atatoa hukumu ya kweli, daima siku zote mwambie mungu tu,lkn hao watu popote walipo hawatapata amani,kwa jina la yesu wasipate amani milele

    • @vailethmaji2158
      @vailethmaji2158 Před rokem

      amina
      tena adhabu ya mungu ni kubwa hakuna anaweza kupinga mungu wa mbinguni mponye kabisa huyu kaka mpe wepesi
      kwa kila jambo

    • @malaikalihuda2831
      @malaikalihuda2831 Před rokem

      Wivu ni kitu kibaya sana ila malipo ni hapa hapa Mungu akuinue sana 🙏

  • @caritasmushi8896
    @caritasmushi8896 Před rokem +4

    People are so wicked. Kwanini umfanyie mwenzio hivi? Pole sana kaka Mungu anakupenda nae atakuponya kikamilifu one day..

  • @hboywasasa
    @hboywasasa Před rokem +1

    Talifa hii naomba mungu sana ifikie mama etu mama Samia amsaidie huyu mpiga kula mtanzania mwenzetu Tanzania tusifanyiane hivi wote ni ndugu mungu akupe walizi kaka utembe na usalama.

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 Před rokem

    Subhanaallah hujafa hujaumbika mwenyezi mungu ndie anaejuwa kila linalotupata viumbe vyake alhamdulilah rabillamin

  • @vincej9275
    @vincej9275 Před rokem +19

    This is very very sad and what makes the matter even worse is that the person who did this to him is walking free and bragging that he bribed the system while the victim continues to suffer. Hakika hizi nchi zetu ufisadi umeharibu sana maisha ya watu wengi. Hakuna haki bila pesa.

  • @aishaissa2512
    @aishaissa2512 Před rokem +4

    Dah wamemtesa huyu kijana walahi si kwa adhabu hii mungu anawaona 😭😭nakuombea upone tariq🤲

  • @jacklineernest3155
    @jacklineernest3155 Před rokem

    Pole tariq 🫶🏻❤ Mungu yupamoja nawe na tunakuombea urud kama zamani pole broo, Binadam tumekuw wanyama zaid ya shetani loooooh🙌🙌🙌🙌

  • @annulista2444
    @annulista2444 Před rokem

    Ohooo my god pole sana tariq mungu akusaidie upone kabisa na azid kukupa maisha marefu uyo aliye kufanyia hvyo ni mnyama mungu amlaani na anaitaji adhabu

  • @mandajamaly4843
    @mandajamaly4843 Před rokem +6

    Du jamaa alikukatiri sana pole sana brother🙏🇹🇿

  • @arnoldsosa96
    @arnoldsosa96 Před rokem +7

    Daahhh! this is devastating, I hope u find peace within urself. 🙏🏽

  • @getrudathomas535
    @getrudathomas535 Před rokem

    Duh pole broo hakika binadamu tuna roho mbaya sana mwenyezi Mungu akufanyie wepesi upone insha'Allah na aliesababisha uharibifu juu yko akakose amani ya moyo maisha yke yote

  • @lulually4864
    @lulually4864 Před rokem

    Pole sana baba angu amini kwamba mungu yupo na huyo aliyekufanyia hvo na yeye atafanyiwa hvo hvo na ndo maana biblia imeandika ukiua Kwa upanga na wewe utauwawa Kwa upanga...Mungu akulinde upone haraka watanzania tuko pamoja na wewe maumivu Yako n maumivu yetu pia