Dear Lord i come before you this evening am asking you to please give this young man hope, assurance, peace and faith in you, Lord Jesus umejibu maombi mengi ya watu nakuomba ukamjibu na huyu pia, wewe ni Mungu usiye shindwa, Mungu wa Musa, Abraham na Elijah nakuomba umtie nguvu na furaha kijana huyu, umejidhihirisha kwenye maisha yake kwa kumfanya kua hai inspite of everything he went through basi ukamfanye akutegemee wewe na kila mtu atakaye muona akapate kukuona wewe in Jesus Name Amen🙏
We love you Tariq. Maneno yako yanabatiki watu wengi na yanafungua macho wanaojipoteza ufahamu…..wajue Mungu yupo anaona kila kitu na kila mtu atawajibishwa hapa hapa diniani kabla hata ya kwenda ahera. Kila chozi la mnyonge litalipiwa haki
Tariq nimekusikiliza kwa makini wewe ni mwanaume hasa. Very smart, Jasiri mpenda haki na mwenye busara na hekima. Uko vizuri kichwani na moyoni na uko handsome Mungu akutetee zaidi na zaidi. Vita umeshaishinda wala usiogope kitu
Maneno yako ya mwisho yameniliza sana kijana 😭😭😭Mungu atakutetea na haki yako haitapotea mwenyezi Mungu akulinde tu sana na azidi kukupa aman ya moyo kama hivyo ulivyoona dah! Una amani mpaka raha, sijawahi ona mwenye haki ameachwa Amina Mungu yupo pamoja nawe ameshakushindia 🙏
To everyone watching and reading this may God bless you and your family and may thy Lord protect you from all evil plans and peaceful life be your portion in Jesus Mighty Name Amen 🙏🙏.
Kwanza Alhamdllah Rabbllaamin kwa uwezo wake Mwenyeez Mungu kwa kukuwezesha kuona macho ni muhimu sana kabla hujafa hujaumbika dua zetu tunazoomba Allah ndie atakae muhukumu huyo shoga tumchangieni ili akufanyiwe na jicho lingine
Dah, imeniliza hii, wanadamu tumekuwaje sijui, hv aliyemfanyia haya anajiskiaje sasa. Malipo ni hapa hapa duniani, Allah atawanyoosha tu, Dua zangu mbaya ziko juu Yao.
Unajua ukiwa na maasi Sana Allah anakuacha hivyo wewe unakuwa na shetani hatua kwa hatua hivyo vitendo unavyovifanya vinatusha maana Allah hakuwekei hofu yeyote na shetani anakusifu kwa ushindi,yaani ni suala la kumuomba Allah asituache katika maisha yetu ni mtihani mzito sana
i believe whoever did never knew that Allah had bigger plans than him, still strong still handsome nothing has change just scars to remind you who you are bro
Ijumaa yaleo tuna muomba Allah akufanyie wepesi upone inshallah ila tuna muomba Allah kweny ramadhani hii uyu aliokufanyia unyama huuu Allah ampe pigo Mara 3 zaid binadam utu umeisha kabisa ila hapa tz yetu kupata Hak n mtihan snaa ila Allah akufanyie wepes tuko nyuma yako na tutachanga uone tena much love bro❤ ......
Pole sana Tariq! Mungu akuponye. Raisi wetu Mama Samia tunaomba ingilia kati hili kijana atendewe haki mhalifu ahukumiwe. Tunakuamini mama kwa huruma yako. Mungu akulinde daima uwasaidue watanzania wanaoonewa na kukosa haki zao kama Tariq.
SUBHANA ALLAH 😢😢😢 POLE SANA KAKA. ALLAH AKUZIDISHIE SIHA NJEMA KILA KUKICHA. KILA KITU KINA ASBABU, HALIKUFIKI JAMBO ILA KWA #IDHINI YAKE MOLA... ALLAH NI MJUZI ZAIDI. UTAPONA BIIDHIN LLAH KAREEM.
Yesu mnazareti uliyemfufua Lazaro wa Bethania ninakuomba umponye kijana huyu na pia serikali iingilie kati haki itendeke,huyo shoga popote alipo asipate amani moyoni mwake,awe Kama kaini( Mungu na amwekee alama popote anapokwenda asipate amani moyoni wala furaha)
Pole sana kaka yangu!! Tunamshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa ajili yako!! Mungu wetu ni mwenye haki na atatenda haki kwako!! Mungu ataleta neema na baraka zake utafanikiwa kupata matibabu, utakuwa sawa na utaishi kwa namna Mungu alivyopanga tangu uumbaji wake tumboni mwa mama yako. Nakuombea Mungu akuinulie kila mtu unaemuhitaji katika uponyaji wako wa mwili na hisia. Lawyers, Doctors, Therapists, Financial Help and everything that you need physically and emotionally. In Jesus' Name. Amen 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Tarique ushuhuda wako umefanyika Tiba kwenye maisha ya watu wengi na kurudisha hofu ya Mungu kwetu Kama wanadamu, Mungu atakubariki na atakupanya kwasababu yeye ndio aliyekuumba na anakujua HAKUNA MTU AMBAYE NI BORA KULIKO MTU MWINGINE INATUFUNDISHA KWAMBA HAKUNA MWENYE HAKI ILA MUNGU.. ❤
Watu ni wanyama Aki 😢😢 wivu ni kitu baya sana Mungu ni mwema utaendelea na kupokea miujiza Mahandui wahaibike but kikulacho kinguoni mwako mungu akulinde popote utakuawepo 🙏🏼
Nina uhakika mtu ulomfanyia ukatili huyu kaka huna ani zaidi Sana nakuomba utubu usipofanya hivyo wewe na filia yako yote mtateseka sana gharama na muda maumivu anayoyapata mtalipa lazima mnywee kikombe chake mungu ndo faraja yake pole mdogowangu kikubwa uzima.
Pole sana jaman Tariq Yesu Kristo atakuponya amini tu,ila Mungu atahukumu kwa haki kwaalie kufanyia ukatili huo,hadi umeharibika hivyo jaman binadam tunabadirika sana
Wabaya ndo nyie sasa handsome ya nyokho badala ya kumuombea apone mnaanza ushetani wenu inawezekana ndo nyie wanawake mlotaka mmbadilishe sura kwa kumng'ang'ania kwa uzr wake wamalaya nyie
Yaani machozi yanakaribia kunitoka jmn tunaomba haki itendeke serikali ifuatilie huyu mtanzania atendewe haki. Yeyote aliyefanya hivi hatoishi kwa amani katika hii dunia
Pole sana Tariq usijali mungu wako anakuoenda atakufanyia wepesi. Unonekana kuwa kujana mzuri kabisa mwenye maadili mazuri. Usiohope sababu mungu anakuoenda sana
Naomba kupitia wewe Tojo za watu zibadilike zimgeukie mungu. Tutendeane haki kwa heshima ya Mungu mpenda haki. Pesa za damu chafu zisichafue mikoni yetu. Kiuuchuna kimya huku tunaacha haki inapindishwa haimpendezi Mungu. Mwenye sauti na aseme kwa sauti kwa haki ya kimungu
Tariq Kama mungu mekuwezesha Kufika hapa Salam umeweza kuona tena basi ujue ana makusidi makubwa sana juu yako, Hatakuachia njiani, utapona kabisa na uhahubiri utukufu wake mbele ya umati. Utahubiri amani, uwajibikaji, madhara ya rushwa, visasi, kazi za shetani, upendo nk ikiwa Kama mfano hai. Mungu kujalie ufungue watu macho na mioyo imwelekee mungu wa kweli
Ndugu yetu na kijana mwenzetu Pole sana tena sana kwa yote yaliyokukuta!!!Naomba niseme tu kuwa Mungu U pamoja nawe Daima,Sasa jiandae kwa ushindi Mkubwa ambao Mungu amekuandalia mbele ya safari yako ya mafanikio. Simama na tembea kifua mbele kwani Mungu yupo pamoja nawe Daima.
Binadamu tumwogope Mwenyezi Mungu. Ni vema tukaoneana huruma badala ya kufanyiana unyama. Duniani tunapita hapa. Pole sana Tariq Allah Akujalie upone haraka. Mwenyezi Mungu Atakulipa.
Allah Amekuvusha Kwa hilo Na Atakuvusha na pengine tena Biidhnillah,Bro Msamehe na Nina Imani Allah Amekuandalia Mazuri zaidi Ya Huo Mtihani Aliokupa In Sha Allah. Allah Akupe Uzima na Swiha njema Allahumma Amin
Wahusika wote ambao wameamua kukaa upande wa pesa na kuacha utu basi wajue mungu wetu yuko kazini hizo pesa zitawatokea puani siku si nyingi. Lazima watachapwa kwa fimbo ya mungu wataguswa pale panapowaumiza zaidi. They will pay with their blood
Mungu asante kwa kujibu maombi ya watanzania. Mungu ni mwema kaka umepona. Tufanyie kisasi wewe mfalme wangu dhidi ya hawa watu/ team ya wanyama waliofanya haya.Hakuna usiloweza Mungu wetu😭😭 Ww ndio Mungu mwenye haki peke yako tunakuomba sana utusaidie kwa hili. Tariq achana na kesi za duniani utaumizwa moyo tu. Acha Mungu pekee atende kaka. Duniani hapa 😭😭😭 Hata ungetenda nini hukupaswa hii adhabu. Kaka Mungu hatakuacha kamwe Pia tujitahidi watanzania wenzangu kwa chochote kumfanyia Tariq wepesi.
Usijali kaka angu Allah atakuponya ila aliekufanyia ilo jambo ajue utavyomfanyia mwezako na ww litakurudia muda wowote kama si leo kesho atambue ilo mm sina cha kukupa kaka cha kukupa ni kukuombea dua kaka angu Allah akubariki sana
Very unfair may justice prevail, huyo mtu kifo kisimpate aishi maisha yake yote akilipia aliyomfanyia mwenzake from his|her kids na wazazi wake na kila mtu anaemzunguka nimelaani.
Put the children apart hawahusiki kwa malipo ya mzazi wao sio sawa hata Mungu ataepusha hilo watoto n malaika wanazaliwa hawajui lolote iweje wao waje walipe madhambi ya mzazi wao i pray for the innocent child Mungu huyu alie hai asiesinzia hapo aepushe ALAANIWE MUHUSIKA NA YEYOTE ALIEHUSIKA KWA NAMNA YOYOTE JUU YA HILI🙌
😢😢😢 Daaa It's So Depressing but what I can assure you man #Tariq this perpetrator won't get away with it..god is faithful and trust the process. This is one of the greatest interviews that are so touching...ayo congratulations keep inspiring generation.❤
Tariq MUNGU ndie mwenye kujua hatima ya kila mtu tnakuombea MUNGU akupe amani ya moyo na Imani juu ya MUNGU omba uzima, kisasi ni juu yake pole sana mdogo wangu
Pole Sana kakaangu. So painful. I know the pain your going through 😢. Huyu Hakimu msenge sana kudadeq zake mbwa. Hii nchi na Rushwa. Hakimu mwenyez Mungu akusamehe tu mbwa wewe
Mungu simama baba,huyu kaka simjui lakin,Mungu naomba umtoe kabla ya huyu kaka🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭😭Millard Ayo Mungu akupe maisha marefu na huyu mtangazaji ana busara sana
Pole sana kaka Mungu bado anamipangi na ww ndiyo maana mpaka sasa bado upo hai na bado ataendelea kudhihirika kwa Hili kumbuka m'beba maono hafi hautakifa Bali utaishi mpaka mpango wa Mungu utakapo timia kikubwa usisahau kuomba Rehema kila siku Mungu wetu hajawahi kushindwa na chochote 🙏🙏
Broo M/mugu akufanyie wepesi katika kila zito kwako,,, akupe subra na akupe mwisho mwema Inshaa Allah maana duniani tunapita tu hakuna wakusalia,,,,kuna mengi ya kujifunza kupitia hili tukumbuke kufanya ibada na kumshkuru sana Allah kwa neema alizo tupa kuanzia kupumua kuona kuskia na kila kitu bila kulipia chochote,,, ndugu yetu anaona ila jicho halitakiwi kuingia maji wala vumbi ni mtihani sana,,, ila kwa Mungu hakuna kubwa amjaalie apone awe kama awali...inahuzunisha kwa kweli dah
hapo ulikofikiya nikwa neema za mungu usijali kaka tuko pamoja na wewe usijione wa tofauti hakuna kilichoharibika hata kidogo kuwa na amani sisi niwatanzania wenzako tutazidi kukusapoti mungu ni mwema sana kwa hatua uliofikiya inaumiza sana usijali ndugu yetu kaka yetu tunakuombeya kila leo kwa mungu
Alhamdulillah una uhai kwasabb hakuna kinachogharim kama uhai mungu ni huyu huyu Alhamdulillah aliekupa huo mtihani ndo anajua anakuandaa na nini usilalamike ukakufuru stay positive only your heart matter hakuna kiangazi kilochokosa masika only God knows ❤
😪we love you man.. we pray and hope that you recover from this. Utapona kaka yetu🙏🏽 Eh Mungu mponye kaka huyu.. my heart is bleeding.. this was so so cruel 😪
Kaka sisi watanzania wenzako tunamshukuru mungu kwa wewe kuona japo kwa jicho moja tunakuomba usijinyanyapae sisi tupo pamoja na wewe hii nimitihani tumeumbiwa wanaadam kwa upandewetu sisi watanzania wenzako tumekupokea kwa moyo mmoja
Daaah alokufanyia hivo mungu atampa alichokitafta naamin malipo hapa hapa kweny uso wa dunia mtu Ana kufanya uteseke kweny maisha yako yote bora mtu akuue tyuu kabisa hii sio adhabu ni unyama kabisa
Ikiwa huyo kaka anamwamini mungu,bas aachane na mambo ya kesi, yeye amuachie mungu tu ndio atatoa hukumu ya kweli, daima siku zote mwambie mungu tu,lkn hao watu popote walipo hawatapata amani,kwa jina la yesu wasipate amani milele
Talifa hii naomba mungu sana ifikie mama etu mama Samia amsaidie huyu mpiga kula mtanzania mwenzetu Tanzania tusifanyiane hivi wote ni ndugu mungu akupe walizi kaka utembe na usalama.
This is very very sad and what makes the matter even worse is that the person who did this to him is walking free and bragging that he bribed the system while the victim continues to suffer. Hakika hizi nchi zetu ufisadi umeharibu sana maisha ya watu wengi. Hakuna haki bila pesa.
Ohooo my god pole sana tariq mungu akusaidie upone kabisa na azid kukupa maisha marefu uyo aliye kufanyia hvyo ni mnyama mungu amlaani na anaitaji adhabu
Duh pole broo hakika binadamu tuna roho mbaya sana mwenyezi Mungu akufanyie wepesi upone insha'Allah na aliesababisha uharibifu juu yko akakose amani ya moyo maisha yke yote
Pole sana baba angu amini kwamba mungu yupo na huyo aliyekufanyia hvo na yeye atafanyiwa hvo hvo na ndo maana biblia imeandika ukiua Kwa upanga na wewe utauwawa Kwa upanga...Mungu akulinde upone haraka watanzania tuko pamoja na wewe maumivu Yako n maumivu yetu pia
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 no matter what he's still handsome
Be strong bro😢
Wamemuonea wivu bwana 😢😭 hii ni wivu kabisa!
Dear Lord i come before you this evening am asking you to please give this young man hope, assurance, peace and faith in you, Lord Jesus umejibu maombi mengi ya watu nakuomba ukamjibu na huyu pia, wewe ni Mungu usiye shindwa, Mungu wa Musa, Abraham na Elijah nakuomba umtie nguvu na furaha kijana huyu, umejidhihirisha kwenye maisha yake kwa kumfanya kua hai inspite of everything he went through basi ukamfanye akutegemee wewe na kila mtu atakaye muona akapate kukuona wewe in Jesus Name Amen🙏
Amiin ya rabby...nimelia kama mtoto mdogo
Amen.Mungu ni mkuu
Ameen, Ameen
Amen amen and amen 😭😭😭
Amina
We love you Tariq. Maneno yako yanabatiki watu wengi na yanafungua macho wanaojipoteza ufahamu…..wajue Mungu yupo anaona kila kitu na kila mtu atawajibishwa hapa hapa diniani kabla hata ya kwenda ahera. Kila chozi la mnyonge litalipiwa haki
Tariq nimekusikiliza kwa makini wewe ni mwanaume hasa. Very smart, Jasiri mpenda haki na mwenye busara na hekima. Uko vizuri kichwani na moyoni na uko handsome Mungu akutetee zaidi na zaidi.
Vita umeshaishinda wala usiogope kitu
Maneno yako ya mwisho yameniliza sana kijana 😭😭😭Mungu atakutetea na haki yako haitapotea mwenyezi Mungu akulinde tu sana na azidi kukupa aman ya moyo kama hivyo ulivyoona dah! Una amani mpaka raha, sijawahi ona mwenye haki ameachwa Amina Mungu yupo pamoja nawe ameshakushindia 🙏
Pole sana taliq Allah akusimamie malipo ni hapa hapa nae atalipwa inshallah 😢
Pole sana Tariq Jamani Mungu atakulipa INSHAALAH
To everyone watching and reading this may God bless you and your family and may thy Lord protect you from all evil plans and peaceful life be your portion in Jesus Mighty Name Amen 🙏🙏.
Amen
Amen
Amen 🙏 you too dear, May the blessing of the Lord be your portion 🙌
I feel his Tears😭😭😭😭 bro May our God of heaven heals and guides you
😭😭😭
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😭
his mission was to make him suffer alot OMG 😢😢😭😭😭 one thing I know there's God in heaven 😭😭😭😭
Pole sana mdogo Mungu yupo pamoja na ww 😭😭 huyo muhalifu alaaniwe daima
Allah kareem,,,you still handsome Tariq,,,,I pray for you broo,, INSHA'ALLAH 👏 and Allah he's with you
Tatizo atembea na wake za watu(Mario) na jamaa alishaonywa
@@musamsawanga9266 Jamani na Wao Yani usoni Tuu ? 😢 Ila aliye onja anajua Mashini ilivyo anaweza akarudi tena kulamba asali. 😂
@@musamsawanga9266 ,,alitembea na mke wako ww mbwa ww,,,,,acha makasiriko,,,,,, and next do not comment on me this nonsense,,, better be quiet
Ndio nyie nyie...hovyoooooo
Mungu akusaidie may god bless you 😢😢😢😢😢😢
Kwanza Alhamdllah Rabbllaamin kwa uwezo wake Mwenyeez Mungu kwa kukuwezesha kuona macho ni muhimu sana kabla hujafa hujaumbika dua zetu tunazoomba Allah ndie atakae muhukumu huyo shoga tumchangieni ili akufanyiwe na jicho lingine
Tariq pole sana , Dhuluma lazima ilipwe na ww Allah atakupa faraja huwezi amini
Huwenda aliyemfanyia Hivi yupo anaangalia hii interview ... Kama upo... Muombe Mungu msamaha... Tubu tu! Kisha kamuombe msamaha TARQ
Oh lord our savior, please watch over this man and heal him so that people will see your glory through his testimony 😢🙏🙏🙏❤️❤️❤️
Kweli mtu hajui kesho yake😢😢Eeeh Mwenyezi mungu tutangulie Kwa Kila jambo... Quick recovery
ee mungu wa mbinguni msaidie huyu kaka
Dah, imeniliza hii, wanadamu tumekuwaje sijui, hv aliyemfanyia haya anajiskiaje sasa. Malipo ni hapa hapa duniani, Allah atawanyoosha tu, Dua zangu mbaya ziko juu Yao.
anafurahi maana alidhamiria Allah atamlipa😢😢
Unajua ukiwa na maasi Sana Allah anakuacha hivyo wewe unakuwa na shetani hatua kwa hatua hivyo vitendo unavyovifanya vinatusha maana Allah hakuwekei hofu yeyote na shetani anakusifu kwa ushindi,yaani ni suala la kumuomba Allah asituache katika maisha yetu ni mtihani mzito sana
i believe whoever did never knew that Allah had bigger plans than him, still strong still handsome nothing has change just scars to remind you who you are bro
I found myself crying, Take easier broo, God has a reason why he restore your sight and He also will give u strength and hope. From Ke
Alllah mkubwa. Kwa uwezo wa Allah utaona macho yote amin
Tariq! Baba Pole sana. Mtegemee Allah.
You will stand on two feet.
Allah naomba mlipie Tariq wetu kwa kumfedhehesha na kumuadhibu alofanya unyama huu.
Ijumaa yaleo tuna muomba Allah akufanyie wepesi upone inshallah ila tuna muomba Allah kweny ramadhani hii uyu aliokufanyia unyama huuu Allah ampe pigo Mara 3 zaid binadam utu umeisha kabisa ila hapa tz yetu kupata Hak n mtihan snaa ila Allah akufanyie wepes tuko nyuma yako na tutachanga uone tena much love bro❤ ......
Allah nimuweza wa yote allah atakujaria utapona
Alhamdulillah for this stage ... Allah ajarie shifaa inshaAllah ...
Jamani polesana kaka mungu akutunze akulejeshe kwenye Hali ya kawaida 🙏
Aiseeee naandika nafuta sina mengi.. Mungu baba wa mbinguni akutetee tu kaka yetu 😭😭😭
Pole sana Tariq! Mungu akuponye. Raisi wetu Mama Samia tunaomba ingilia kati hili kijana atendewe haki mhalifu ahukumiwe. Tunakuamini mama kwa huruma yako. Mungu akulinde daima uwasaidue watanzania wanaoonewa na kukosa haki zao kama Tariq.
Nimechoka kulia kwa Ajili yako Tariq,,, Acha Huyu Mungu tunaemuabudu aseme nao😢
Mungu akikupa kilema uwa ana kupa na mwendo pia , fear not brother JESUS IS WITH YOU FOREVER. JUST LOOK ON HIM CAUSE HE'S A CAPABLE GOD.
Kaka yangu Mungu anampango na wewe Rudi Msalabani ,Hata hivyo ulipofikia Ni Neema tu Love you my Brother
Kwer😭😭😭😭🙏🙏🙏
Msalaba Tena Allah atamuafu yy ni juu ya kila tunachokijua au kuwahi kukisikia
Msalaba wa nyokwe, wakt uyo muislam na pp yy anamtegemea muumba mbing na ARDHI na alieumba MITUME yte akiwemo yesu wenu
@@FatmaMbarouk-zp3ev😂😂
@@sharifuahmed8340 amni
SUBHANA ALLAH 😢😢😢
POLE SANA KAKA. ALLAH AKUZIDISHIE SIHA NJEMA KILA KUKICHA. KILA KITU KINA ASBABU, HALIKUFIKI JAMBO ILA KWA #IDHINI YAKE MOLA...
ALLAH NI MJUZI ZAIDI.
UTAPONA BIIDHIN LLAH KAREEM.
Pole sana kaka yangu, Mwenyez Mungu atakupigania, is not easy at all to be in your situation but nina imani atakupa njia ya kutokea 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Mungu akuponye kaka 🙏🙏🙏
Yesu mnazareti uliyemfufua Lazaro wa Bethania ninakuomba umponye kijana huyu na pia serikali iingilie kati haki itendeke,huyo shoga popote alipo asipate amani moyoni mwake,awe Kama kaini( Mungu na amwekee alama popote anapokwenda asipate amani moyoni wala furaha)
@@yohana1242 kaa kmy kw usiyoyajua
@@reginaldminja9880 Mmmmm!!!
Mungu ni mwema utaona kaka jipe moyo
Eliach umeongea vizuri na unaonyeaha huna ukabila huna udini na moyo ulonao na hayo ulosema ni maneno ambayo hayaanguki
Ameen
😢😢😢😢 dah..mungu ata kusaidia kaka..siku hiz watu ni wengi kuliko binaadamu
Subra iwe nguzo yako Tarqe. Mwenyezi Mungu atakufuta machozi unayolia kipekee. Pole sana,sana ndugu.
Pole sana kaka yangu!! Tunamshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa ajili yako!! Mungu wetu ni mwenye haki na atatenda haki kwako!! Mungu ataleta neema na baraka zake utafanikiwa kupata matibabu, utakuwa sawa na utaishi kwa namna Mungu alivyopanga tangu uumbaji wake tumboni mwa mama yako. Nakuombea Mungu akuinulie kila mtu unaemuhitaji katika uponyaji wako wa mwili na hisia. Lawyers, Doctors, Therapists, Financial Help and everything that you need physically and emotionally. In Jesus' Name. Amen 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Amen🙏🙏🙏
Amina
😢😢😢
Tarique ushuhuda wako umefanyika Tiba kwenye maisha ya watu wengi na kurudisha hofu ya Mungu kwetu Kama wanadamu, Mungu atakubariki na atakupanya kwasababu yeye ndio aliyekuumba na anakujua
HAKUNA MTU AMBAYE NI BORA KULIKO MTU MWINGINE INATUFUNDISHA KWAMBA HAKUNA MWENYE HAKI ILA MUNGU.. ❤
Watu ni wanyama
Aki 😢😢 wivu ni kitu baya sana
Mungu ni mwema utaendelea na kupokea miujiza
Mahandui wahaibike but kikulacho kinguoni mwako mungu akulinde popote utakuawepo 🙏🏼
Sorry my brother God can protect you and forgive brother
mama samia msaidie huyu kijana inaumiza sana na tuzidi kuomba mungu ampe afya njema
Healing is your potion much love from kenya
Am so sorry my brother Allah akupe amani ya moyo akfute machungu yako😢 inshaallah utakua sawa kwa uwezo wa mungu
Mungu ni mwema talking awo mbwa mung awape adhab za kabli 😂😂😂😂
@@aminaluliho8456 wq2w
Hakika maisha haya jmn" ukiona watu wanakuchukia mtaan hama bado mapema Hujui kesho yako" pole Sana kaka angu malipo n hapa hapa dunian
@@aminaluliho8456 sasa mbona umemaliza nakcheka we nae
Nina uhakika mtu ulomfanyia ukatili huyu kaka huna ani zaidi Sana nakuomba utubu usipofanya hivyo wewe na filia yako yote mtateseka sana gharama na muda maumivu anayoyapata mtalipa lazima mnywee kikombe chake mungu ndo faraja yake pole mdogowangu kikubwa uzima.
Polee Sana'a bro
Watanzaniaa tunakuombeaa uwenamiakaa ming akupewepesiii wa maisha ......
Mama yetu Samia msaidie huyu kaka nimtanzania pia hakupenda kuwa hivi na aliefanya hivi yupo huru inaumiza sana jaman
PoLe Mungu Akuponye kijana na Akulinde
kweli kabisa yan sio poa kabisa😢
Still ur handsome tareq ❤️
😢😢😢😢😢
😢😢Mungu atamponya
Yes
Shame on those who did this! Our boy is still handsome
Girls mmawazia tu u handsome
Jamani wanasheria wetu mko wapi jamani mtoe msaada .. JUSTICE FOR TARIQ...
Hii ni criminal wanashika wanasheria wa serikali na police dear😢 Yaani imeniuma sana
😭😭😭pole Sana Kaka Yesu akuponye Kama alivyomponya kipofu aliyekuwa haoni tangu kuzaliwa kwake na wewe akuponye uweze kupona na kuona tena.
Amen
Amen
Pole sana jaman Tariq Yesu Kristo atakuponya amini tu,ila Mungu atahukumu kwa haki kwaalie kufanyia ukatili huo,hadi umeharibika hivyo jaman binadam tunabadirika sana
Nimefurahi kusikiya unasema alhamdulillah mwenyezi mungu akufanyiye wepesi
And he still look handsome and attractive ❤😢😢
Wabaya ndo nyie sasa handsome ya nyokho badala ya kumuombea apone mnaanza ushetani wenu inawezekana ndo nyie wanawake mlotaka mmbadilishe sura kwa kumng'ang'ania kwa uzr wake wamalaya nyie
Bdo ana confedence god is great
@@amanimanase8798 umemwelewa vby,amesema ht km walimmwagia acid kuharibu sura yake wamefail coz bado ni mdhur vilevile...
@@amanimanase8798 umemwelewa vibaya ajamanisha hivyo ulivyowaza wewe
@@amanimanase8798 lakini hajasema Kwa ubaya....
Malipo hapa hapa duniani!!! 😌Mshtakie MUNGU tu,!!!
Yaani machozi yanakaribia kunitoka jmn tunaomba haki itendeke serikali ifuatilie huyu mtanzania atendewe haki. Yeyote aliyefanya hivi hatoishi kwa amani katika hii dunia
Pole sana Tariq usijali mungu wako anakuoenda atakufanyia wepesi. Unonekana kuwa kujana mzuri kabisa mwenye maadili mazuri.
Usiohope sababu mungu anakuoenda sana
Naomba kupitia wewe Tojo za watu zibadilike zimgeukie mungu. Tutendeane haki kwa heshima ya Mungu mpenda haki. Pesa za damu chafu zisichafue mikoni yetu. Kiuuchuna kimya huku tunaacha haki inapindishwa haimpendezi Mungu. Mwenye sauti na aseme kwa sauti kwa haki ya kimungu
Nimejikuta nalia na kujiskia homa ktk mwili wangu pole kaka Allah ni muweza wakila Jambo akupe wepesi in'sha'Allah
Its sad 😥 may God be with him all the time 👏🙏
Uko sahihi kabisa kaka. Watu tumeweka mbele pesa kuliko utu.
Pole sana naamini watu pamoja na ushetani wa mioyo yao ujimbe wameupata.
Tariq Kama mungu mekuwezesha Kufika hapa Salam umeweza kuona tena basi ujue ana makusidi makubwa sana juu yako, Hatakuachia njiani, utapona kabisa na uhahubiri utukufu wake mbele ya umati. Utahubiri amani, uwajibikaji, madhara ya rushwa, visasi, kazi za shetani, upendo nk ikiwa Kama mfano hai. Mungu kujalie ufungue watu macho na mioyo imwelekee mungu wa kweli
Pole tarek mungu mkubwa Sana andika namba Apo ya sim mungu mkubwa umepona baba umepona mungu aliye juu ashindwi. Ameeen
Ndugu yetu na kijana mwenzetu Pole sana tena sana kwa yote yaliyokukuta!!!Naomba niseme tu kuwa Mungu U pamoja nawe Daima,Sasa jiandae kwa ushindi Mkubwa ambao Mungu amekuandalia mbele ya safari yako ya mafanikio.
Simama na tembea kifua mbele kwani Mungu yupo pamoja nawe Daima.
Pole Sana Kaka watu wanaroho mbaya Sana mlaaniwe nakizaz chenu mliosababisha ulemav wamwenzenu
Am from dubai ur words zimefanya nitokwe na machozi God bless you
Binadamu tumwogope Mwenyezi Mungu. Ni vema tukaoneana huruma badala ya kufanyiana unyama. Duniani tunapita hapa. Pole sana Tariq Allah Akujalie upone haraka. Mwenyezi Mungu Atakulipa.
Allah Amekuvusha Kwa hilo Na Atakuvusha na pengine tena Biidhnillah,Bro Msamehe na Nina Imani Allah Amekuandalia Mazuri zaidi Ya Huo Mtihani Aliokupa In Sha Allah.
Allah Akupe Uzima na Swiha njema Allahumma Amin
Pole sna Kaka Tariq yote muachie Allah atakulipia kw uyo mwenye amekufanyia ivo pole sna 😢 usisahau kila hatua dua 🤲
Mungu yu pamoja nae. Aamini tu atakuwa sawa na atarejea katika hali yake. Amen 🙏
Wahusika wote ambao wameamua kukaa upande wa pesa na kuacha utu basi wajue mungu wetu yuko kazini hizo pesa zitawatokea puani siku si nyingi.
Lazima watachapwa kwa fimbo ya mungu wataguswa pale panapowaumiza zaidi.
They will pay with their blood
* Yaaani kama hujakusudiwa kufa, hautakufa hata shetani asimame mbele yako!
Pole sana Tariq
Mungu asante kwa kujibu maombi ya watanzania. Mungu ni mwema kaka umepona.
Tufanyie kisasi wewe mfalme wangu dhidi ya hawa watu/ team ya wanyama waliofanya haya.Hakuna usiloweza Mungu wetu😭😭
Ww ndio Mungu mwenye haki peke yako tunakuomba sana utusaidie kwa hili. Tariq achana na kesi za duniani utaumizwa moyo tu. Acha Mungu pekee atende kaka. Duniani hapa 😭😭😭
Hata ungetenda nini hukupaswa hii adhabu. Kaka Mungu hatakuacha kamwe
Pia tujitahidi watanzania wenzangu kwa chochote kumfanyia Tariq wepesi.
Allahu Akbar alhamdhulilah Allah qarim😢😢😢😢inshaAllah everything gonna be fine
Pole sana kijana daaaaa. Watu wabaya siku hizii. Wivuuu tuuu wa MAENDELEO
Usijali kaka angu Allah atakuponya ila aliekufanyia ilo jambo ajue utavyomfanyia mwezako na ww litakurudia muda wowote kama si leo kesho atambue ilo mm sina cha kukupa kaka cha kukupa ni kukuombea dua kaka angu Allah akubariki sana
Very unfair may justice prevail, huyo mtu kifo kisimpate aishi maisha yake yote akilipia aliyomfanyia mwenzake from his|her kids na wazazi wake na kila mtu anaemzunguka nimelaani.
Put the children apart hawahusiki kwa malipo ya mzazi wao sio sawa hata Mungu ataepusha hilo watoto n malaika wanazaliwa hawajui lolote iweje wao waje walipe madhambi ya mzazi wao i pray for the innocent child Mungu huyu alie hai asiesinzia hapo aepushe ALAANIWE MUHUSIKA NA YEYOTE ALIEHUSIKA KWA NAMNA YOYOTE JUU YA HILI🙌
😢😢😢 Daaa It's So Depressing but what I can assure you man #Tariq this perpetrator won't get away with it..god is faithful and trust the process. This is one of the greatest interviews that are so touching...ayo congratulations keep inspiring generation.❤
Tariq MUNGU ndie mwenye kujua hatima ya kila mtu tnakuombea MUNGU akupe amani ya moyo na Imani juu ya MUNGU omba uzima, kisasi ni juu yake pole sana mdogo wangu
Pole Sana kakaangu. So painful. I know the pain your going through 😢. Huyu Hakimu msenge sana kudadeq zake mbwa. Hii nchi na Rushwa. Hakimu mwenyez Mungu akusamehe tu mbwa wewe
Mungu simama baba,huyu kaka simjui lakin,Mungu naomba umtoe kabla ya huyu kaka🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭😭Millard Ayo Mungu akupe maisha marefu na huyu mtangazaji ana busara sana
Mungu Baba katika Jina la Yesu Azidi kukupigania.
Pole sana kaka Mungu bado anamipangi na ww ndiyo maana mpaka sasa bado upo hai na bado ataendelea kudhihirika kwa Hili kumbuka m'beba maono hafi hautakifa Bali utaishi mpaka mpango wa Mungu utakapo timia kikubwa usisahau kuomba Rehema kila siku Mungu wetu hajawahi kushindwa na chochote 🙏🙏
Pole sana aisee binadamu sisi ni watu wabaya sana pole pole na pole sana😭😭😭😭
Pole sana Allah akupe shufaa kikubwa kumshukuru mwenyezi mungu
Broo M/mugu akufanyie wepesi katika kila zito kwako,,, akupe subra na akupe mwisho mwema Inshaa Allah maana duniani tunapita tu hakuna wakusalia,,,,kuna mengi ya kujifunza kupitia hili tukumbuke kufanya ibada na kumshkuru sana Allah kwa neema alizo tupa kuanzia kupumua kuona kuskia na kila kitu bila kulipia chochote,,, ndugu yetu anaona ila jicho halitakiwi kuingia maji wala vumbi ni mtihani sana,,, ila kwa Mungu hakuna kubwa amjaalie apone awe kama awali...inahuzunisha kwa kweli dah
Allah akutie nguvu ,subira na imani. Sisi hatuwezi isipokuwa Mungu pekee ndo muweza. God bless you.
Pole sana TARIQ allah atakufanyia wepes utapona hakuna aijuae kesho hata sisi hatujui kesho yetu allah atufanyie wepes
Polesana Allah will make it easy for you my dear brother
hapo ulikofikiya nikwa neema za mungu usijali kaka tuko pamoja na wewe usijione wa tofauti hakuna kilichoharibika hata kidogo kuwa na amani sisi niwatanzania wenzako tutazidi kukusapoti mungu ni mwema sana kwa hatua uliofikiya inaumiza sana usijali ndugu yetu kaka yetu tunakuombeya kila leo kwa mungu
Pole kaka ,,hakika mungu ni mwema,,binadamu siyo wema ishi na watu vzr
Alhamdulillah una uhai kwasabb hakuna kinachogharim kama uhai mungu ni huyu huyu Alhamdulillah aliekupa huo mtihani ndo anajua anakuandaa na nini usilalamike ukakufuru stay positive only your heart matter hakuna kiangazi kilochokosa masika only God knows ❤
He is still very handsome and even more than before
😪we love you man.. we pray and hope that you recover from this.
Utapona kaka yetu🙏🏽
Eh Mungu mponye kaka huyu..
my heart is bleeding..
this was so so cruel 😪
😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
Utapona. Baba yesu akufunike kwa damu yake
@@paulinanyanzala9072 amen
Dah! 😮 Poleh sana Tariq. Be protected and blessed. Naamini utapona na utaona tena na maisha yatasonga tu. Maxwow Artist. Naamini tutaonan a tena.
Amina Mtumishi, Umeongea vzr sana Mungu anajua maumivu unayopitia na atakusaidia. AMINA
Kaka sisi watanzania wenzako tunamshukuru mungu kwa wewe kuona japo kwa jicho moja tunakuomba usijinyanyapae sisi tupo pamoja na wewe hii nimitihani tumeumbiwa wanaadam kwa upandewetu sisi watanzania wenzako tumekupokea kwa moyo mmoja
InshaAllah
Naam
Amen
Broo nikuambie tu pmoja na hali yako ulio nayo wallah swali swala tano halafu shikamana na Allah wallah hutauzunika
kweli kbsa🙏
Daaah alokufanyia hivo mungu atampa alichokitafta naamin malipo hapa hapa kweny uso wa dunia mtu Ana kufanya uteseke kweny maisha yako yote bora mtu akuue tyuu kabisa hii sio adhabu ni unyama kabisa
May you be healed in Jesus Name🙏 bado nakuombea na sitaacha🙏 you are going to be fine
Ikiwa huyo kaka anamwamini mungu,bas aachane na mambo ya kesi, yeye amuachie mungu tu ndio atatoa hukumu ya kweli, daima siku zote mwambie mungu tu,lkn hao watu popote walipo hawatapata amani,kwa jina la yesu wasipate amani milele
amina
tena adhabu ya mungu ni kubwa hakuna anaweza kupinga mungu wa mbinguni mponye kabisa huyu kaka mpe wepesi
kwa kila jambo
Wivu ni kitu kibaya sana ila malipo ni hapa hapa Mungu akuinue sana 🙏
People are so wicked. Kwanini umfanyie mwenzio hivi? Pole sana kaka Mungu anakupenda nae atakuponya kikamilifu one day..
Talifa hii naomba mungu sana ifikie mama etu mama Samia amsaidie huyu mpiga kula mtanzania mwenzetu Tanzania tusifanyiane hivi wote ni ndugu mungu akupe walizi kaka utembe na usalama.
Subhanaallah hujafa hujaumbika mwenyezi mungu ndie anaejuwa kila linalotupata viumbe vyake alhamdulilah rabillamin
This is very very sad and what makes the matter even worse is that the person who did this to him is walking free and bragging that he bribed the system while the victim continues to suffer. Hakika hizi nchi zetu ufisadi umeharibu sana maisha ya watu wengi. Hakuna haki bila pesa.
Kweli kabisa ni mambo ya africa too
Dah wamemtesa huyu kijana walahi si kwa adhabu hii mungu anawaona 😭😭nakuombea upone tariq🤲
Pole tariq 🫶🏻❤ Mungu yupamoja nawe na tunakuombea urud kama zamani pole broo, Binadam tumekuw wanyama zaid ya shetani loooooh🙌🙌🙌🙌
Ohooo my god pole sana tariq mungu akusaidie upone kabisa na azid kukupa maisha marefu uyo aliye kufanyia hvyo ni mnyama mungu amlaani na anaitaji adhabu
Du jamaa alikukatiri sana pole sana brother🙏🇹🇿
Daahhh! this is devastating, I hope u find peace within urself. 🙏🏽
Duh pole broo hakika binadamu tuna roho mbaya sana mwenyezi Mungu akufanyie wepesi upone insha'Allah na aliesababisha uharibifu juu yko akakose amani ya moyo maisha yke yote
Pole sana baba angu amini kwamba mungu yupo na huyo aliyekufanyia hvo na yeye atafanyiwa hvo hvo na ndo maana biblia imeandika ukiua Kwa upanga na wewe utauwawa Kwa upanga...Mungu akulinde upone haraka watanzania tuko pamoja na wewe maumivu Yako n maumivu yetu pia