Heshima kwenye kazi ya mtu win win situation kwenye mambo ya pesa kwa mafanikio ya mtu ni muhimu hasa kwa wasanii Big up show kali sanaa More love in Tanzania✌✌✌
Interview nzuri sana una girlfriend? hiko chini ya carpet Hatuta kuliza jina lake 😂😂😂 Ndio ninaye 😂😂😂 Anaitwa nani? 😂😂😂 Vidox na Millard 😂😂 nyie Ni ma professor kweli kweli Hasa vidox Mbeya nyieee😂😂😂
Ila siyo nzuri kumtumia mtoto wa mwenzio,kama ningekuwa mim ningekushtaki mana umemchafua Kwajili yakupata maslahi yako,,jay usingeongea ukwer kuhusu ilo swali,,mana limealibu kama Paula angekushtaki ungemlipa,,,bongo bwana
NAKUPENDA m200+. Hongereni wenzetu👏👏
Kama unaamini anacho kisema jay merody like hapa
Uyu dogo anajua sana yuko vizuri sana tena sana. Big up millard video zako zipo quality mzuri sana.
Wakenya gonga like ya jay mwangi❤
Jay anajua kijielexa sana allah akufanyie wepesi bro
Atoe ngoma na otile brown
Mwanangu Mic za Millard ni balaaaa🔥🔥🔥
Shukrani sana Kdee
High Quality video aseee utadhani zile interview za mbele kama hot97 quality nzuri kinoma asee big up 🔥🔥🔥
Shukrani sana Waves
NAKUPENDA ni hit song, anastahili kabisa!
Kweli ukiwaaa na uchungu wa maisha kutoboaa ni lazima big up sanaa jay Mungu akusaidiee uendelee kupambana ❤️❤️❤️🌹🙏
We mtot wa mtuhumiwa nn😃😃
I luv tanzania Swahili, it's sound so nice from Kenya
Asanteee
This dude makes me wana visit Tanzania and learn the language. I don't know if it Swahili or not but I love it ❤
its swahili an African leading language welcome to tz beautiful people and strong culture
@@GivenTobago Unaboa
Madam president unazngua wakt mwngne mirrad anauliza ww unaingiza neno i like it nsio nn unazngua bana
Jay melody is fight bro komaa Beg up
Heshima kwenye kazi ya mtu
win win situation kwenye mambo ya pesa kwa mafanikio ya mtu ni muhimu hasa kwa wasanii
Big up show kali sanaa
More love in Tanzania✌✌✌
Vido ni mtu unauliza maswali mazuri muhimu
Kam unampend Jey melody ❤
😂😂😂...... He is very humble....
Nipe likes zangu 🎉
Jay anaweza sana uyo, big up ayo tv ❤❤
Kijana anajua tena anajua tena 🙌🙌
Interview nzuri sana una girlfriend?
hiko chini ya carpet
Hatuta kuliza jina lake 😂😂😂
Ndio ninaye 😂😂😂
Anaitwa nani? 😂😂😂
Vidox na Millard 😂😂 nyie
Ni ma professor kweli kweli
Hasa vidox Mbeya nyieee😂😂😂
Jay Melody calm guy naupenda mziki wako saana . Barikiwa
Hongera nyimbo ya hisia sn unajibu vzr sn
Big up jay melody 🇰🇪👏
Brilliant ana ongea vizuri sana
Jay ni mwana sana na anaheshimu watu sijikusahau se jama noma
Nampenda san Jey melody❤❤❤
Dah jamaa yuko straight,cool and calm.Safi sana
The best interview
asante sana Mape
Nampenda san Jey melody
Noma Sana kwako Jay Melody but same 2 Millard Ayo maswal yako ogy adi viewer nime enjoy
Yaan hakuna vibe zuri kama kujibiwa comment na millard ayo unaweza ukascreenshot ukapeleka status wote waone😀
😂😂😂😂
Next king
I always keep repeating to view this interview
Yani nimewatch interview adi ads sijaruka kitu kimetulia kabisa🎉
I love this contents 🥰
mic zipo quality hazina noise hata kidogo video quality big up brother millard ayo
Nakukubali Sana miradi
Bunju A jaymelod
So impressive 💯💯💯🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💥noma saana
big interview
Part 2 plz
Noma sana
Karibu sana bunju beach kumetulia sana napena kaz zako mungu akubariki
Mungu hazidi kukupigania nakusikiriza mno jy kazabuti ndogowangu nakuonambari sana
Et msalimie mama ako😂😂😂......ila uko humble jay
Millard Ayo always give me home vibe🔥🔥 R chuga❤️💯
he is not from chugaa actually
@@charliestyles5535 heee ni msukuma?
Jamani daah natamani nikiwa mkubwa nije kuwa kama weee jay ilike it
Good jy
Ila siyo nzuri kumtumia mtoto wa mwenzio,kama ningekuwa mim ningekushtaki mana umemchafua Kwajili yakupata maslahi yako,,jay usingeongea ukwer kuhusu ilo swali,,mana limealibu kama Paula angekushtaki ungemlipa,,,bongo bwana
Yaan nguo hzo ndio tunavaa sis
That nice bro
Bunju A secondary school
Namupenda sana na napenda kazi zake pia
Nakupenda Ali kiba ft dj sbu
Mic zako milard ni 🔥🔥
Wa kwanza leo😅😅
Time matters alot
Uwakika katika kazi yako onger
Vido upo poa Kaka🔥
Sema kuna kauvimbaji frani ivi Kwa j
Lazima kwasababu anatafuta Hela kwa jasho lake hapewi na mtu kwann asivimbe Sasa anamwogopa nani😂😂
Hahahaha daaaah hatari mjuba
Jamani million 200 kw pesa za Kenya 🇰🇪 vp maana daa hio pesa kenya si unaezatamba nayo 😂
Hapa bongo ungetamba tuuu
Kwel watu wanatoka mbali ni kupambana tu ndo chu, umuhmu
❤❤
kumbe CIO mkenya huyu ,, nilishangaa ako na Kiswahili poa Sana 😂😂
Hamjamuuliza yule jamaa anaempa promo wa Kenya anaepiga hela ktk birthday wishes kwa kutumia wimbo wake
ila bado sjamuelewa vzr frida
Vaku jaymelod
🎉
Jay ana akili nyingi atafika mbali sana kama alivyo Diamond
Mondi alifika wapi😅😅😅 kubadanganya tu
@@Inzaghi809 chuki zitakuua unaendekeza chuki upo huko mbeya vijijini unampigia nan kelele shenz 🚮
Umezionea wapi ww .!???
Nampenda xan Jey melody
Ila pale kwa zumaridi ulichemka😊😂😂😂
pesa ipo
Jay once again 💥
Bonge moja la interview
What language is he speaking. Sound awesome
Swahili
Thanks @@celinaphysoo4919
Mavakuu
Sasa imeishajeee😂
Uyoo sauti unatia shaka
Muogope MUNGU usiwe mtu wa kuhukumuhukumu
@@dannylinguist15 hukum yangu nini apo
@@mozasalum8742 Sauti yake imekupa mashaka gani?
Vizuri💖💖🎇❤️💕💕🤩✌️👍👍👍
😂😂usione natabasam ufanye ututolee
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
🥰🥰🥰🤸🏼♀️🤸🏼♀️
Uyo jamaa kichwa made wanni
he's my imaginary boyfriend😊😊
Hahahahaha seriously?? 😀😁
😂😂😂😂😂
Dooh
Huna lolote umezisikia hvo mil 200😂😂😂
Uil get imaginary 200 M 😟😟😟😟😟😟😟😟
Video editor umeyumba... Hizo picha kuganda ganda kwa nini unaziweka kwenye video
Harmonize ndo kamzulumu Jay Melody wimbo wake
Rayvanny huyo
Nyimbo gn aloiba
Tunamtaka pia conboi cannabino humuuu bruuh
200M sijui nianze kuimba maana kipaji ni nacho plus mwonekano
Mgao ni mkubwa sana, sio kwamba ana pata yote, Kuna rundo la watu nyuma
@@gilbertfuria5817 ukute kaambulia M 14
Manager nipo 😂😂😂😂
😂😂😂
💙💙💙🤍🤍🤍
Wasanii muache uongo, milion miambili ungekaa hapo unakokaa,
kama kuna maeneo kiwanja tu 100m sasa mia mbili sio hela aisee
na ana familia ndugu kwahiyo usiongelee sana maisha ya mtu usiyemjua
Watu wanaingiza milioni 500 au zaidi we unasema nn😂😂😂 mziki unapesa kama utauheshimu
Tafuta hela bro uwache kupangia za waume wenzako
Tuna jamboletu
czcams.com/video/SaxV7o1gIzE/video.html
Sharif melody 😂
You had taken a wrong route bro
😂😂😂😂😂😂
Next king
😂😂😂😂😂