HISTORIA YA KWELI YA GENIUS GINIMBI, TAJIRI MLA BATA, ALIYEZIKWA KIBILIONEA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 06. 2023

Komentáře • 110

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 Před rokem +104

    Zipo siri nyingi sana nyuma mafanikio ya kila mtu !! Jitahidi sana nyuma ya mafanikio yako awepo Mungu !!

  • @laurenciamsheleja1873
    @laurenciamsheleja1873 Před rokem +28

    Ila Mungu Acha aitwe Mungu Ginimbi na mali zake bd alikufa na akaziacha tumtegemee Mungu sana haya yote ni ubatili tu

  • @Supershopdubai-ck8td
    @Supershopdubai-ck8td Před rokem +9

    Millard ayo gonga👊 kwaiyi historia yaginimbi mzibwabwe nilikuanampenda Sanaa umenikumbusha mbalisan from 🇧🇮🇧🇮 penda san 👊👊👊👊

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před rokem +2

    Subhannallah, lakini utajiri wake haukuweza kuokoa uhai wake 😢

  • @amanimanase8798
    @amanimanase8798 Před rokem +8

    Daah dunia hii kuna watu wana maamuzi magumu atari kwa sababu wanajua duniani tunapita kwahiyo wanaamua kula maisha kwanza duniani

    • @albertkatuga2434
      @albertkatuga2434 Před rokem

      Kula dunia alafu kwa Mungu ukaneemeka pia ni vizuri, kuliko iwe kinyume chake ni majuto 🥲

  • @FatumaIssa-kw3vv
    @FatumaIssa-kw3vv Před rokem +2

    Subhana'Allah

  • @saradaniel4579
    @saradaniel4579 Před 6 měsíci

    na katika maisha tunayoishi hakuna ambae amewahi kusema ukweli pesa anapataje.....
    .. R.I.P hero,mic him,man of vibe....!#ginimbiforafrica

  • @joozeycraft2361
    @joozeycraft2361 Před rokem +12

    Alijua atakufa mapema,alijua nini anafanya,alijua Bata zilikuwa dakika za mwisho,alijua hatma ya na maumivu ya ufanisi wake.
    Tunapenda Maisha ya ufahari,tena tuyapate kwa muda mfupi,hivyo basi Tamaa zetu,Mauti

    • @albertkatuga2434
      @albertkatuga2434 Před rokem +1

      Laiti tungekuwa tunajua Dunia ni pinje ya mchanga, tusingelipoteza muda na hii Dunia🥲🥲🥲🥲

  • @OfficialTeacherTz
    @OfficialTeacherTz Před rokem

    Kiingereza ni dili jiongeze ingia youtube yangu kasome BUREEEEEE utapata kazi ❤❤❤

  • @user-bl3rq8fj9u
    @user-bl3rq8fj9u Před 11 měsíci

    Yule boya anajiita amina chifu good love

  • @mrambadiana9678
    @mrambadiana9678 Před rokem +9

    We live Once bora ame enjoy ela zake May His Soul RIP

    • @HansBwoi
      @HansBwoi Před rokem

      We live everyday but we die once 😂

    • @shcraightup
      @shcraightup Před rokem +1

      No We live twice,
      The second Phase of life is Optional
      Ni wewe sasa kuchagua kumcha Mungu na kwenda Mbinguni au kumtukuza Ibilisi na kwenda naye Jehanum 🤷🏿‍♂️✊🏿✊🏿 UBARIKIWE 🦾🦾

  • @ShomaryGango-db4rv
    @ShomaryGango-db4rv Před rokem +7

    Dunia bhana utaleta jeuri lakini mwisho wake kifo

  • @vivianavivy3656
    @vivianavivy3656 Před rokem +10

    Ginimbii R.I.P

  • @visusajonas4354
    @visusajonas4354 Před rokem +14

    Dunia tunapita, tukia pamoja na Mungu baba inatosha

  • @lutenganolukali2122
    @lutenganolukali2122 Před rokem +6

    Kavu, kwahyo hyo ndo historia ya kweli au umesilimlia matukio yake?

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před rokem +2

    Tajiri wa dola 50 milion ame kufa akiwa miaka 36 daah kifo kiacheni

  • @anethteodos6208
    @anethteodos6208 Před rokem

    Yesu anatosha

  • @flackomasterbaddest4155
    @flackomasterbaddest4155 Před rokem +5

    Huyu jamaa aliishi 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾

  • @jasminimussa6214
    @jasminimussa6214 Před rokem

    Mbona walikiuka mashaliti yake sasa maana WATU hawakuvaa nguo nyeupe ila na yy angeondoka mwenyewe kwa nn aondoke na WATU wasio husika au walishiriki sanaaa katika kula naye ndiyo maana mmmh….🙌🏽

  • @geeva99
    @geeva99 Před rokem +9

    Kwamujibu wa hii video hakuwa tajiri, alikuwa mtu ambaye bado anaexperience hela, tajiri hawezi kuwa na historia kama hii, tajiri anazungumziwa kama kampuni au kipande fulani muhimu cha jamii na sio kama bar au night club

    • @lybuboyka1986
      @lybuboyka1986 Před rokem +2

      Exactly mamen

    • @jostamzxkaole3113
      @jostamzxkaole3113 Před 3 měsíci +1

      🤣🤣🤣🤣:we bhana kipind unaandika hii koment ulikua umeshika vitabu❓..#kwanza hii story aipate jamali april(profesa) ili tuifaidi vizuriii.. yaezakua alisaidia jamii namna frani

    • @geeva99
      @geeva99 Před 3 měsíci

      @@jostamzxkaole3113 😂😂😂😂

  • @methodmwenda1373
    @methodmwenda1373 Před rokem

    wait a minute@ founder

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Před 11 měsíci +1

    Umaarufu, udanganyifu wa mali vimefanya vijana wengi kuuza nafsi zao kwa lucifer. Ginimbi pamoja na kila alichokuwa amevuna amenufaika na nini?. What shall it profit a man to gain the whole world and get lost of his own soul?. Yesu yu karibu malangoni.

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před rokem

    Mmekumbuka nini leo hadi mnaleta habari za kadungule qma mnatabiri kitu😢😢

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 Před rokem

    Mbwembw kibao saiv yup kaburin🙄🙄

  • @michaeljames3480
    @michaeljames3480 Před 11 měsíci

    Freemason

  • @Mr_smart.code_10
    @Mr_smart.code_10 Před rokem +7

    Brother una sauti nzuri ila hujui kutupa content.. content yako nyepesi mno halafu hakuna point uliyo iweka hapo.. Millard ayo ni brand kubwa so jitahidi kutupa content heavy.. nimesikiliza hata ya muamari gadafi hamna kitu

    • @muhammad_alhinai
      @muhammad_alhinai Před rokem +1

      Sawa mwambie huyo Millard Ayo akuajiri wewe mwenye content nzuri basi 😂 unatupigia kelele tu unafoka foka.. Jifunze kukaa kimya kwenye mambo mengine.

    • @musers9699
      @musers9699 Před rokem +2

      @@muhammad_alhinai ana haki ya kumkosoa kwa sababu yeye ni subscriber wake

    • @chrisswaller960
      @chrisswaller960 Před rokem

      Fanya yakwako sasa mjomba 😂😂😂😂 alafu tafuta ela ,,,

    • @user-ct3pq1lh1m
      @user-ct3pq1lh1m Před rokem

      Nyumbu ww fany ww

    • @Yussuf3145
      @Yussuf3145 Před rokem +2

      kweli hakutueleza alichokiandika

  • @gadesbaba
    @gadesbaba Před rokem

    Mema Alio yafanya ndiyo yatakayo muokoa alipo

  • @DottoManzi-nj5lj
    @DottoManzi-nj5lj Před 11 měsíci

    Kama kuna masikini na matajiri wapo pia

  • @lameckmagunya7013
    @lameckmagunya7013 Před rokem

    Du huyu jamaa alikuw tajir san

  • @eliyamgaya6860
    @eliyamgaya6860 Před 11 měsíci

    R I P king 👑 of south: poverty die

  • @donaldkiza2493
    @donaldkiza2493 Před rokem +4

    Sasa wewe umesema historia ya Kweli mbona unatuchanganya . Wewe umeongea kuhusu Kula Bata tu duh kweli umenimalizia MB zangu. Kwani story hiyo ya Kula Bata Kila mtu anaijua, nilifikiri una jipya 😂😂😂 umetuingiza cha kike

    • @alphamedia8624
      @alphamedia8624 Před rokem

      Kabisa mb zetu zimeenda bure mbona maisha yake mengine hajasema
      Mbona hajasema magari yake yalivyowaka Moto na mengine kuzima ghafla siku ya mazishi

    • @janeongala6684
      @janeongala6684 Před rokem

      😂😂😂😂😂 ww unawaza mb zako tu umenichekesha sana😂😂😂😂😂

    • @justinembatta1785
      @justinembatta1785 Před rokem

      😂😂😂

  • @seiflugendo7141
    @seiflugendo7141 Před rokem

    Leo analiwa na wadudu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣.

  • @helpmerunaway2651
    @helpmerunaway2651 Před rokem

    Eti gari aina ya whaaat .?😂😂😂

  • @witneskilinda5034
    @witneskilinda5034 Před rokem

    huyo alikuwa mwabudu shetwani

  • @colletatesha5265
    @colletatesha5265 Před rokem +1

    Sio msafi maganda ya champaigne anatupatupa ovyo

  • @hamadmohamed3056
    @hamadmohamed3056 Před rokem

    Unaweza zikwa kibilionea unakokwenda ukapokelewa Kwa Adhabu kali

  • @SilivestaTesha-xg1si
    @SilivestaTesha-xg1si Před rokem

    Tutakutana huko kuzimu

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 Před rokem

    Wakati zimbabwe mafukara, kibao yy abachezea hela

  • @allyjumaally8353
    @allyjumaally8353 Před rokem

    Hapo ndy utaskia acha wewe walikuepo

  • @samwelmushi6162
    @samwelmushi6162 Před rokem

    Ushetani mtupu

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 Před rokem

    Alikua atakufa kutokana na masharti na baba yake alikua anakaa nae mbali anamjua mwanae ni zombie

  • @renatusmahombwe3093
    @renatusmahombwe3093 Před rokem +1

    Mzee vipi Ginimbi shusha madini acha hizo

  • @AbdulGermany210
    @AbdulGermany210 Před rokem

    Iligonga mti sio mtu

  • @mpingeally923
    @mpingeally923 Před rokem

    Siyo ajari wewe achane utapeli wa strori uyu jamaaa shemeji yake ndio vice president afu alikuwa mkuu wa majeshi uyo shemeji yake , kwasababu shemeji yake ndo mkuu wa majeshi viongozi wa serikari walimtumia ginimbi kuiba hela za serikari na kuwekeza kwa ginimbi,ginimbi aliuawa kwa kupigwa bomu na gari stori zimefichwa fichwa

    • @samchabwas3712
      @samchabwas3712 Před rokem

      Sio kwamba alikuwa anamiliki mali za kishetani.? au inakuaje hapo tena?

  • @josephk90
    @josephk90 Před rokem +1

    Post ya ovyo kabisa, ndo historia gani hii tena miaka mitatu baada ya kifo😮

  • @SilivestaTesha-xg1si
    @SilivestaTesha-xg1si Před rokem +1

    Tutakukuta huko kuzimu mkuu

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 Před rokem

    Binadam bhna wakipata umaarufu tu na vipesaa bas wanasahau kma kuna kifoo.MUNGU