🔴
Vložit
- čas přidán 18. 09. 2023
- 🔴#LIVE: BABALEVO ON THE SWITCH MUDA HUU NDANI YA WASAFI FM -19/09/2023
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
This BabaLevo is genius, kweli mwijaku hafai kwenye mambo ya mondi, ubunifu wakuongea kwakutafuta kiki au vyovyote vile yule mwijaku hafai. Wasafibet yenyewe alikuwa ambassador but alikuwa hafanyi promo kama ipasavyo kwakuvuta Watu Wa BET... Ulifanya vizuri kumtoa mwijaku.
Ukiwa na chuki hutoweza kumuelewa Babalevo
Hapo kulukuga sasa😂😂😂 baba levo bwana nakupendaga sana huwa haupepesi maneno❤❤❤
Baba levo Yuko humble sana and then genius trust me
Mambo jmn long time
Ohhh faidha wetu we love you♥️
Ila baba levo bana interview yake lazima ukufurahishe muda wote😂
😂😂😂😂 Baba levo ana akili sanaaa
I love this guy maaan 😂😂😂😂🤣🤣 Baba Levoo ❤️❤️🤣🤣🤣
Ah baba levo, yaani mpaka unajua mambo yetu wa Congolais 🇨🇩 ? 😂😂😂😂 LUKUGA kabisa😂😂😂😂
Straight and clear, B levo B
Baba levo nakukubali sanaa
nakukubar xan baba levo ww ni msema ukweli unasifa ya kuwa rais
Huyu mwamba ata angekua anaongea ata masaa kumi mimi namsikiliza
😂huwa sikosi kipindi chake cha jana na leo
Anaongea vzur sana
Eti kuihamisha Sinza nzima 😅😅
Abigail Amecheka Mpaka Kicheko Cha Kesho😂😂😂
Mtu hatare sana b leve baba
Baba levo huwa hakuachi hvhv kwenye intervyu yake lazima ucheke😂😂😂
Sema iyo intervyu yako sijuw inamaanisha nini
@@bouchofundishokesha2759 inamaanisha mahojiano🤣🤣🤣
an na akiri zako kbs unahoj ety hyo interview unahs nn xi bora ungezaliwa mange2 wahun tukukamie.....tukuwekee pamp nyuma
Baba levo always say the truth 😂
Baba levo chukua mauwa yko angali uko hai🔥😂👐
B LEVO 🎉 respect bro🔥👊🏿
Bi Levo baba 🎉🎉🎉
Ila huyuuu akili nyingi sana😂😂🙌
Mwinjaku anazingua
Ilaaaaaaa ba levo mmmmmm!!!!! Aya bana
Ammy ameshindwa kujizuia amecheka kulia😂😂😂
Babalevo Rukuga ni neno la kirundi apana kicongomani. kwel iyo hewa ikakutana nziyani ndani ya Tanganyika itakupereka kwenye intake kwel.
Baba levo 😂😂😂 nakukubali sana mzeee wng👊🏿🔥 waende marekani 🤣🤣
Unaegemea gari😂😂😂😂
Nakupa iyo we BBLB
🦁🦁🦁
akili ming b levo chawa mkwel
Bi levo baa fundi majumbaa lenyewe ,,iheheheheee,,,,
✌️👊👍。
Jonalucas and Chris Brown
@babalevo unazungumzia 400 mi na shida ya jiwe mbili tu, mwenzi unakatika sasa 🤔😥
Hiyo nikweli sana
B lavel Ba fundi mijumba 😄😄😄😄
Editor si atoe matangazo
Lukuka htr sn 🎉😂😂
🔥🔥🔥🔥
Jana na leo
B levo Ba😅😅😅❤
Kidada kinakela ichoooo khaaaa
Ilajamaa ananifraiya
Haelewag
Lukuguga iyo naifamu kitu kibaya saaaana icho sikia kwa mweziye kisikukuti 😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣iyo imeendaaaaaaa
Mwijaku ni mwehu yule anafika wakati wa kushika vifua vya wanaume
😂
Mafuta ndio yeye😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Baba levo akili mingi
😁😁ngoma imebumaaaaa🤣🤣 cku 4 laki 6 unagundu wew
Ambao hai kubuma niyipi? Acha chuki masikini wewe mbona ya Ali imeka week 2 ndo imefika 1m
Afu angalia imepostiwa Chanel gani.
Malaya wewe nyoko nyoko na watu wenu
Kwa baba levo iyo laki 6 ni nyingi mno
@julianaMushi-nq3kc: na hiyo ku buma ndio ilimtowa Alikiba trending 😂😂
𝘼𝙠𝙞𝙡𝙞 𝙣𝙮𝙞𝙣𝙜𝙞 𝙨𝙖𝙣𝙖 𝘽.𝙇𝙚𝙫𝙤