EXCLUSIVE: ASMAH anayetajwa Kutoka Kimapenzi na BABA LEVO afunguka ukweli wote
Vložit
- čas přidán 31. 05. 2023
- Kwa mara ya kwanza mrembo anayetajwa kutoka kimapenzi na Baba Levo Asmah afunguka juu ya tetesi za kuchepuka na mtangazaji huyo wa wasafi Fm
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#BabaLevo - Zábava
Sikuzote kina asma tuna kaujeuri flani hivi, sikupingi wajina wangu❤️❤️😂
mtangazaji anajua kuuliza maswali
Background tune iko vzr , Mtangazaji ana utulivu asee uko vzr Rick
Kama unakubalikuwa. Anae hoji ni wamoto anae hojiwa naye ni wamoto
Hovyoo sandonn hvyo anajiona mzuri au mapoz yamezid ameharibu mfyuu hajui kujib na kunogesha interview Rick unajua kubalance source nmekupenda
Huyu dada ktk interview anajua ku handle maswali, mtangzaj Yuko vzr lakn ASMA salute, kamfundishe na FEISAL kuhandle interview quiz
She is so Nice.
Namkubali sana Rick 😂😂😂😂😂😂
Brother uko vizuri
❤ASMA
Interview za "cjui" zinaboa😢😮
Sijui
Dada bado mdogo ayo mambo yatakukuta tu
Asma mwenyewe huyu.fyuuuu.mbona mama rubby mzuri Sana.
Mi sijui mxiiuuu
Hii imeliwa kabisa
hivi hamuwezi kuwa na maic 2 ??
B-LEVO BA, anamla?
Naamini wanawake kwenye kila kitu lazima tuchezewe ndo tufike levo flani angalia zuchu kaingia wasafi kalambwa na mondi asma kuingia cheka tu kalambwa na baba levo na wasanii kibao wa kike wakitaka kutoka lazima walambwe ni wachache wanao acha hii ni hatari na ndo maana mondi ataki mwanae tifa kuwa msanii kkkkk
😂😂😂😂😂😂ety bado mdogo hayo majibu nimeyakumbali
Aende aka pime afya yake huyo.
Huyu hajui kujibu, kila kitu sijui
Huyo anaonekana badi Mtoto sema kizuri
Hizo L na R mtihani
Uongo Fake News hio...huo mama akaletwa ili amhalibie jina Baba Levo.... Baba Levo for life💪💪💪
Nkwel baba levo alisema Tena hawaja achana
Acha ushamba we ngosha sasa baba levo mwenyewe ndo kasema anatoka na asma na nyumba kampangia we mshamba wa wapi? 😂😂😂😂
Kwani baba levo ana u handsome gani au ana hela gani
@@othmanhamad4626 kumbe wew kudat na mtu adi awe handsome au pesa 🤣🤣🤣kweli we mkundu 🤣🤣🤣
@@ilovejesus666😂😂 mbona MKUNDU lakn
😅😅😅😅😂😂😂🤣anaongea na hasira mwana dada
Nimekubali majibu yako
huyu dada fala kweli hata kanavyo jibu hakaeleweki
Malehemu 😂😂
11:48 MVHEKESHAJI GANI HATA KUONGEA HAWEZI
Mtagazaji ume muchanganya vip ume kuelewa pita nae
😷😷😷🚶♀️
Asmah kiboko
Ww malaya tu kama malaya wengine
Et akatak kuongea
Dalislam ndio wapi
Kule ambako mpenzi wake sekulukamba alienda akarudi Toka MJINI na ujauzito
Dalisalam
Chuo na morning speech
Morning speech is available at college maybe you mistook her or maybe she is lying really indeed ..
At university there Is nothing like morning speech
College and university differ
Duh! Morning speech chuo mwongo sana uyu
Nipeni like zanqu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣👌🏽
Hata zuchu aligomaa wee mwisho wa siku mambo hayajifichi ndo hivyo hivyo kwa huyu shoga etuuu yana mwisho
Ivi wanahabari wa Tanzania mnanini mnanini lakini mbona niwapumbavu sana
Wamekukosea nini
Mwanaume uchiti ila uweshimu mkewako ila ujinga sana
Kwan mkewake nae c alichit akasamehewa kaakwakutulia 😅
English ni ngumu kwa watanzania fest wah
Nyinyi Kenya mnajua English inawasaidia na nini ,mlichojaliwa nyinyi ukabila tu mixuuuu😂😂😂
Mwandishi 😂😂 nouma kwa kuhoji
Boring
Kitoto kijuli nakupenda bule 😂
P
P
Asma na Esma ni jina moja?
Ndiyo
Yes
Kadada kenywe kabayaaa
We nikichaa subiri fimbo Yako Dunia tunapita
Sema jamaa umetisha sana apo umejua kumbana kipande iko kajiganyaga kanyaga 😅😅😅😅 muandishi shikamoo dakika tu nimegundua kit alitaka kujarib kukataa lakin anajikuta anakubali anaonekana anataman trending iendee ila ajui anaisimamia vip 😅
Fungeni hii TV,tafuteni contents nzuri za watu ambao wanateseka mayatima,daaahhh fungeni hii chanel mbovu kabisa.
Kwanin usifungue na wew
@i😅lovejesus666
Mtagazaji ume muchanganya vip ume kuelewa pita nae