EXCLUSIVE na Aliyefanyiwa SURPRISE ya GARI la MILIONI 70 na rafiki yake/UTAPENDA
Vložit
- čas přidán 12. 06. 2024
- Rick Media tumezungumza na Lucy Bridal na Jessy Collectiion ambao wote ni wafanyabiashara wakubwa Tanzania. Wawili hao wametrend sana mtandaoni baada ya Lucy kumpatia zawadi ya gari aina ya Harrier rafiki yake Jessy. Hawa hapa wanafunguka zaidi
_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe CZcams channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
#Zawadi #trendtanzania - Zábava
Hebu wakati mwingine tuwaze vitu positive ,ni vitu vipo na upendo Wa kweli upo kabisaa , Dada yangu mmoja alinipaga 10000 tu na nilikuwa na shida mnooo , lakini siku nyingine alikuja kwangu nikachoma mbuzi Wa 300000 najaribu tu kuonyesha toka 10 - 300000 , na na urafiki wetu unadumu hadi Leo na kuna mtu unaweza kuwaza cha kumlipa hadi unakosa ,mi ndivyo nimewatafsri na huenda hiyo hela ml 70 Kwa alietoa ni kama katoa laki 7 tu so tusianzishe negative way
Likes 204 wana akili kuliko wanao comment ujinga. Keep it up ladies mtafika mbali sana
Na mimi ni ndoto yangu hiyo gar adi nimeweka mbele ya simu yangu 😢mungu nibariki nipate
Mungu*
InshaAllah
Yaani kama mimi naipenda kufa iyo gar
Unaweza kuimiliki sana tu. Ni mipango na utekelezaji tu, pamoja na baraka zake Allah
Mungu hawatangulie katika hulafiki wenu nikama mimi nikimukubari mtu I can do anything
Wanataka watikise kwenye mitandao ili wauze vizur biashara zazo
Anyway pia Mimi nikimpenda MTU ndio Mambo yangu na Wala siposti
Kwa sasaiv ukiwa na urafki kam hu mzuri sana ma Sha Allah,,,kwan kwa sasa hakunaga urafki wengi ni wanafki na kuibiana mabwana tu na kurogana fitina
Jesca ana moyo wa upendo ❤❤❤
Sanaa hizo ili wa trend kwenye mitandao😅😅😅😅😅
Mungu awasaidie msigombane jamn nyie wadada saf san
Mungu aendelee kuwapigania, awaepushe na maadui.
Jitahidini ku-chant Isaya 54:17 kila siku maana dunia hadaa...
Sio kwamba wachaga ni wabahili ni wataftaji 😂 na ni watoaji mno 🎉🎉
Kabisa ni watoaji mno mno
Hii gari na ipenda sana hdi nikiona barbani naifurahi sna mpk basiii ,Mungu mwema Sana ipo vku ntakuwa nayo me
Watuache kidogo gari ya m70 unampa rafiki 😂 Kuna jambo behind 😂😂😂
Naomba urafiki na mimi na nyie😢❤ sirious
Mmmh tafuta wako
@@miriamdavis3893 kwani hao awafai
😂😂
Nimependa urafiki wen 🎉🎉🎉
Kwa wachaga ni kawaida sana
True
Watu muache wivu watu wanafanya kazii
Jessie anacheka vizuri sans😂😂
Mm ndot yang nim vutie mamang umeme t eh mung nipe uwo uwezo yaraaby
Mmh kuna jambo limejificha dunia imebadilika😜🙄😷😷milion 70 si ajabu mama ake hata nyumba kibanda hajamjengea
❤❤❤❤❤❤❤
Jesca, nimefanyane kz mahali
Anamfanyia suprise mumewe... Hii sentence😢😢kwahiyo yy ndio alikuwa mumeee mhhhh
Imenifikirishaaaa
🎉🎉🎉🎉🎉
Hongera jesca ,pia nimkalim sn tukijaga dukan kwako
Tulio soma nyuma ya miembe tunaijua iyo wala haitutixhi😁
Labda kama mmechanga mkanunuliana next time nae apate yake , tofaut na hapo msituchezee akili
Sio urafiki wa kibongo bongo
Ndio marafiki wenye upendo wapo,na waaminifu.
Uongoooooo😂
Me Yasinta walyuba naipend san hii gari, Mungu mwema Sana
Me Yasinta pia naipenda sana hii gari daah😢😢😢
Nimewapenda na mimi nipendeni niwe rafiki yenu
@ jessie collection
Wema na kajala baada ya kugombana
Kiki izoo
watakuwa wanakiwanda chamagari ndo maana katoka zawadi yagari
Yale yale ya diamond na wema qupewa gar na martin qadinda😂😂😂😂
Wote na wakuchekacheka Hadi raha
Mmmh hakuna kitu kama hicho uongooooo
Content tuu iyo Amna kitu apo bn
Labda wawe wapenzi bila hvyo n ngumu
😂😂😂haswaaaa
Kinachofata ni ndege au meli
Shoga angu jamani na mm anisaprize gari.😂😂😂
Labda box yamukeo
Hamna kitu hapo, labda in wapenzi
Umewaza kama mimi
Dada na lipstick zake ana domo kam kapu😂😂
😂😂😂jmn
Alafu ni binti wadogo sana 😊😊😊😊😊😊
Wamefanana mpaka kucheka sasa
Aise halafu huyu alie pewa zawadi ana maduka makubwa kariakoo yn na ni bint tu
Hyo ndo mumeo sasa.
kabisa,ni ushetani mtupu
😅😅😅 mliwafungisha ndoa. Tofautisha kati ya rafiki wa maana na marafiki wapumbavu. Hawa ndo marafiki kwenye Raha na kwenye shida. Ukiwa intelligent utaelewa
Kuna kitu nyuma ya pazia hapo ni mr and mrs coment yangu isiguswe😂😂😂
Hii challenge wakifanya wanaume 😂😂 utasema mmoja kaleft 😂😂
😂😂😂umeona eee na tukumbuke wasichana wanayo iyo michezo
😂😂😂😂😂😂jmn
@@nancyg8664 sanaaa
Hawa ni brenda wanasagan yani kakunwa haswa mpk katoa gari ila kuna wanaume unampa mibuno 😂😂 mpk unameza pain killer hata baskeli hanunui😂😂
Waache ujinga wasagaji hao hakuna lolote wanatuharibia watoto Hawa wadada
Mie mwenyewe nagopa sijui lakini
@@arafaomari1832 true, hiyo ni implementation ya kazi ya ibilisi
Mawazo finyu
Acha upumbavu
Nani mwanaume?
😅😅😅
😂😂😂😂😂huyo aliyenunua gari ndio mume
Au vimashine
unauliza tena?
😂😂😂😂😂😂jmn
Waongo tu hawa malaya tu uchafu mtupu
Wasagaji TU Hao!!!😢😢
Na kama awachanji awawez jua ilo😂
Huyu dada atakua anautajiri wa kichaw. Sasa ww chekelea 2 ukizan ni mapenzi ya kweli..subir kutokewa kafara..million sabin sio mchezo
Wivu
@@miriamdavis3893 wa mkundu wako
true
Umaskini mimi nilishiriki kwa kias kikubwa kwenye harus ya rfk yangu.
fikra za hovyo, africa tutachkua muda kuendlea mana kila kitu kwet ni uchaw
Usiwanunulie wazazu wako gari,uje ununulie bestfriend
Nakataaa
Umejuaje Kama wazaz wake hawana punguza wivu na makasiriko fanya Kaz pesa zipo
Isije kuwa ni wasagaji
jicho lako la tatu lipo wazi
Sio vizur ni urafiki wa kweli tu
😂😂😂😂😂😂
Mchaga huyu naemjua.wachaga hata buku linauma..hilo gar litakutokeq piano 😢
Huwajui wachaga wew
@@PyramidSupply-mx1oe mimi ni mchaga Og
Ila ww jmn khaa😂
Mim rafiki angu alinipa bangi ni kamatwa
😂😂😂😂
MaMa weeeeeeeeee😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂hukuwa na rafiki ulikuwa na shetani mwenye cheo cha urafiki
😂😂😂😂😂😂😂😂
Ila Bongo🤦🏾♀️