EXCLUSIVE na Aliyefanyiwa SURPRISE ya GARI la MILIONI 70 na rafiki yake/UTAPENDA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 06. 2024
  • Rick Media tumezungumza na Lucy Bridal na Jessy Collectiion ambao wote ni wafanyabiashara wakubwa Tanzania. Wawili hao wametrend sana mtandaoni baada ya Lucy kumpatia zawadi ya gari aina ya Harrier rafiki yake Jessy. Hawa hapa wanafunguka zaidi
    _________________________________________________________________________________
    Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe CZcams channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
    _________________________________________________________________________________
    Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
    #Zawadi #trendtanzania
  • Zábava

Komentáře • 114

  • @kanankirannko6174
    @kanankirannko6174 Před 28 dny +6

    Hebu wakati mwingine tuwaze vitu positive ,ni vitu vipo na upendo Wa kweli upo kabisaa , Dada yangu mmoja alinipaga 10000 tu na nilikuwa na shida mnooo , lakini siku nyingine alikuja kwangu nikachoma mbuzi Wa 300000 najaribu tu kuonyesha toka 10 - 300000 , na na urafiki wetu unadumu hadi Leo na kuna mtu unaweza kuwaza cha kumlipa hadi unakosa ,mi ndivyo nimewatafsri na huenda hiyo hela ml 70 Kwa alietoa ni kama katoa laki 7 tu so tusianzishe negative way

  • @trecygohy7847
    @trecygohy7847 Před měsícem +9

    Likes 204 wana akili kuliko wanao comment ujinga. Keep it up ladies mtafika mbali sana

  • @pillyramadhani3726
    @pillyramadhani3726 Před měsícem +24

    Na mimi ni ndoto yangu hiyo gar adi nimeweka mbele ya simu yangu 😢mungu nibariki nipate

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Před měsícem +5

    Mungu hawatangulie katika hulafiki wenu nikama mimi nikimukubari mtu I can do anything

  • @josephmaganga9948
    @josephmaganga9948 Před měsícem +13

    Wanataka watikise kwenye mitandao ili wauze vizur biashara zazo

  • @charleshotay8229
    @charleshotay8229 Před měsícem +6

    Anyway pia Mimi nikimpenda MTU ndio Mambo yangu na Wala siposti

  • @user-mi7cd8ch1b
    @user-mi7cd8ch1b Před měsícem +4

    Kwa sasaiv ukiwa na urafki kam hu mzuri sana ma Sha Allah,,,kwan kwa sasa hakunaga urafki wengi ni wanafki na kuibiana mabwana tu na kurogana fitina

  • @pendo8082
    @pendo8082 Před měsícem +3

    Jesca ana moyo wa upendo ❤❤❤

  • @user-ib3sl7wg5u
    @user-ib3sl7wg5u Před měsícem +3

    Sanaa hizo ili wa trend kwenye mitandao😅😅😅😅😅

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c Před měsícem +7

    Mungu awasaidie msigombane jamn nyie wadada saf san

  • @israeluronu9958
    @israeluronu9958 Před měsícem +9

    Mungu aendelee kuwapigania, awaepushe na maadui.

    • @Eleonora-ei6yx
      @Eleonora-ei6yx Před měsícem

      Jitahidini ku-chant Isaya 54:17 kila siku maana dunia hadaa...

  • @DM.2200
    @DM.2200 Před měsícem +20

    Sio kwamba wachaga ni wabahili ni wataftaji 😂 na ni watoaji mno 🎉🎉

    • @Agath45
      @Agath45 Před měsícem +2

      Kabisa ni watoaji mno mno

  • @user-uu1nx8lj7f
    @user-uu1nx8lj7f Před měsícem +1

    Hii gari na ipenda sana hdi nikiona barbani naifurahi sna mpk basiii ,Mungu mwema Sana ipo vku ntakuwa nayo me

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 Před měsícem +4

    Watuache kidogo gari ya m70 unampa rafiki 😂 Kuna jambo behind 😂😂😂

  • @pillyramadhani3726
    @pillyramadhani3726 Před měsícem +7

    Naomba urafiki na mimi na nyie😢❤ sirious

  • @DM.2200
    @DM.2200 Před měsícem +4

    Nimependa urafiki wen 🎉🎉🎉

  • @miriamdavis3893
    @miriamdavis3893 Před měsícem +7

    Kwa wachaga ni kawaida sana

  • @Agath45
    @Agath45 Před měsícem +6

    Watu muache wivu watu wanafanya kazii

  • @lizzyshoo8084
    @lizzyshoo8084 Před měsícem

    Jessie anacheka vizuri sans😂😂

  • @ShuwenaShuwenaMbarouk
    @ShuwenaShuwenaMbarouk Před 18 dny

    Mm ndot yang nim vutie mamang umeme t eh mung nipe uwo uwezo yaraaby

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de Před měsícem +1

    Mmh kuna jambo limejificha dunia imebadilika😜🙄😷😷milion 70 si ajabu mama ake hata nyumba kibanda hajamjengea

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 Před měsícem

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @solomonkitonka6904
    @solomonkitonka6904 Před měsícem

    Jesca, nimefanyane kz mahali

  • @mwitaagness455
    @mwitaagness455 Před měsícem +3

    Anamfanyia suprise mumewe... Hii sentence😢😢kwahiyo yy ndio alikuwa mumeee mhhhh

  • @UpendoNkya-ym8os
    @UpendoNkya-ym8os Před měsícem +3

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-oy2fi5qz9n
    @user-oy2fi5qz9n Před měsícem

    Hongera jesca ,pia nimkalim sn tukijaga dukan kwako

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs Před měsícem +1

    Tulio soma nyuma ya miembe tunaijua iyo wala haitutixhi😁

  • @elieshishamy9622
    @elieshishamy9622 Před měsícem +1

    Labda kama mmechanga mkanunuliana next time nae apate yake , tofaut na hapo msituchezee akili

  • @givenessdavid3743
    @givenessdavid3743 Před měsícem

    Sio urafiki wa kibongo bongo

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 Před měsícem

    Ndio marafiki wenye upendo wapo,na waaminifu.

  • @sund2553
    @sund2553 Před měsícem +1

    Uongoooooo😂

  • @user-uu1nx8lj7f
    @user-uu1nx8lj7f Před měsícem +1

    Me Yasinta walyuba naipend san hii gari, Mungu mwema Sana

  • @thabealaizer3313
    @thabealaizer3313 Před měsícem

    Nimewapenda na mimi nipendeni niwe rafiki yenu
    @ jessie collection

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Před měsícem +1

    Wema na kajala baada ya kugombana

  • @OmariNgurangwa
    @OmariNgurangwa Před měsícem

    Kiki izoo

  • @nesanellymwasote6040
    @nesanellymwasote6040 Před měsícem

    watakuwa wanakiwanda chamagari ndo maana katoka zawadi yagari

  • @fauziasultanikilewa7602
    @fauziasultanikilewa7602 Před měsícem

    Yale yale ya diamond na wema qupewa gar na martin qadinda😂😂😂😂

  • @angelherman3217
    @angelherman3217 Před měsícem

    Wote na wakuchekacheka Hadi raha

  • @JasminEddy-cc3tx
    @JasminEddy-cc3tx Před měsícem +1

    Mmmh hakuna kitu kama hicho uongooooo

  • @KRIPHMWAKILOVOKO-rd7wy
    @KRIPHMWAKILOVOKO-rd7wy Před měsícem

    Content tuu iyo Amna kitu apo bn

  • @eestermos9933
    @eestermos9933 Před měsícem +2

    Labda wawe wapenzi bila hvyo n ngumu

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Před měsícem

    Kinachofata ni ndege au meli

  • @allanakomba2348
    @allanakomba2348 Před měsícem +3

    Shoga angu jamani na mm anisaprize gari.😂😂😂

  • @ordafabian5172
    @ordafabian5172 Před měsícem

    Hamna kitu hapo, labda in wapenzi

  • @omeraJR
    @omeraJR Před měsícem +1

    Dada na lipstick zake ana domo kam kapu😂😂

  • @esterdoriye8377
    @esterdoriye8377 Před měsícem +3

    Alafu ni binti wadogo sana 😊😊😊😊😊😊

    • @esterdoriye8377
      @esterdoriye8377 Před měsícem +2

      Wamefanana mpaka kucheka sasa

    • @meryamabdullah2081
      @meryamabdullah2081 Před měsícem +2

      Aise halafu huyu alie pewa zawadi ana maduka makubwa kariakoo yn na ni bint tu

  • @leonardjackson269
    @leonardjackson269 Před měsícem +2

    Hyo ndo mumeo sasa.

    • @julianapeason6254
      @julianapeason6254 Před měsícem

      kabisa,ni ushetani mtupu

    • @trecygohy7847
      @trecygohy7847 Před měsícem +2

      😅😅😅 mliwafungisha ndoa. Tofautisha kati ya rafiki wa maana na marafiki wapumbavu. Hawa ndo marafiki kwenye Raha na kwenye shida. Ukiwa intelligent utaelewa

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 Před měsícem

    Kuna kitu nyuma ya pazia hapo ni mr and mrs coment yangu isiguswe😂😂😂

  • @Chakol123-k7s
    @Chakol123-k7s Před měsícem +3

    Hii challenge wakifanya wanaume 😂😂 utasema mmoja kaleft 😂😂

  • @Chakol123-k7s
    @Chakol123-k7s Před měsícem +7

    Hawa ni brenda wanasagan yani kakunwa haswa mpk katoa gari ila kuna wanaume unampa mibuno 😂😂 mpk unameza pain killer hata baskeli hanunui😂😂

  • @user-cr7vi4qp9c
    @user-cr7vi4qp9c Před měsícem

    Nani mwanaume?

  • @bongaitan7475
    @bongaitan7475 Před měsícem

    Au vimashine

  • @PanyaBuku-qo7tu
    @PanyaBuku-qo7tu Před měsícem

    Waongo tu hawa malaya tu uchafu mtupu

  • @evancemoevt8597
    @evancemoevt8597 Před měsícem

    Wasagaji TU Hao!!!😢😢

  • @esterpaul5856
    @esterpaul5856 Před měsícem +1

    Huyu dada atakua anautajiri wa kichaw. Sasa ww chekelea 2 ukizan ni mapenzi ya kweli..subir kutokewa kafara..million sabin sio mchezo

  • @user-cy4fk2je3f
    @user-cy4fk2je3f Před měsícem

    Usiwanunulie wazazu wako gari,uje ununulie bestfriend
    Nakataaa

    • @enockmaige8936
      @enockmaige8936 Před měsícem +2

      Umejuaje Kama wazaz wake hawana punguza wivu na makasiriko fanya Kaz pesa zipo

  • @Balozikijana25
    @Balozikijana25 Před měsícem

    Isije kuwa ni wasagaji

  • @esterpaul5856
    @esterpaul5856 Před měsícem

    Mchaga huyu naemjua.wachaga hata buku linauma..hilo gar litakutokeq piano 😢

  • @eliambowe2576
    @eliambowe2576 Před měsícem

    Mim rafiki angu alinipa bangi ni kamatwa

  • @Marzzzzzz20
    @Marzzzzzz20 Před měsícem

    Ila Bongo🤦🏾‍♀️