BABA LEVO "Napata Tabu/Nalea Watoto peke yangu/Mama mtoto Kaniachia Mtoto Mdogo/Kaenda S.A
Vložit
- čas přidán 10. 01. 2023
- Rick Media tumefanya mahojiano na Baba Levo akiwa nyumbani kwake. amefunguka mambo mengi kama kulea familia peke yake, safari yake nje ya Tanzania n.k
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#BabaLevo - Zábava
Kaka baba Levo mungu akupe maisha marefu uwahudumie watoto vizuri.Binafsi nakupenda sana toka siku nyingi.Pia nafurahishwaga sana na vituko vyako kwani nahisi siku za kuishi kuongezeka kwangu.
Kitu nilichogundua huyu jamaa ni smart sana.
baba levo kumbe unajichetuaga.kumbe unautulivu na hekma za hali ya juu.nahongera una mtoto mzuri na hongera kwa kujali wanao wewe ni baba bora.
Nakuja nkulelee baba levo
🤣🤣🤣🤣
Baba levu nakupenda bure pia mimi niko single 🤣
Baba levo kama akulewa interview zako zinakuwa vert very Good
Anampenda kweli mwanae Mashaalah. Mwenyezi Mungu akukuzie wanao.
Waache kupanga viwanja vipo uku bei nzuri. Kiwanja nusu heka unajenga gorofa na hata ukitaka kuja nyumba ya wafanya kazi green nzuri. Hewa nzuri uzunguni. Unapata Kwa milioni kumi
HONGERA SANA baba levo, wanaume angalieni mfano huo.
Baba levo huwa anaongeo ukweli huyu jamaa
Umeonaeeee
Safi sana kumbe wewe sio Mwanaume wa hovyo
I like the interview and the answers its useful.
Hongera sana kwa kulea watoto wako Mungu akusaidie
Kumbe baba Levo unatulia hivo? Hongera mwanangu
Nimependa hapo kwenye mizagamuo
Kweli mwanamke anaondoka anamwache mtoto mdogo hivi hafai
Baba Levo nakukubali xanaa,co Mwinjaku hana mvuto
Fundi manyumbaaaa mkali wa interview Yani lazma uenjoy kwakufatiliya interview zake hahahahahah aise uyu jama mwamba sn
Rick Baba Levo Interview 4-5 kwa Mwezi Tuta Enjoy sana 🤗❤️👌
Hongera kwa malezi mazuri kwa mtoto wako
😀😀nice gal looking sharp
Hata ukimpenetretisha!!
Hee mashallah baba leo kumbe mtulivu hivo nimekupenda leo yani ule ushoti wako sometimes leo hakuna mashallah kuwa hivo hivo mpole na family yako 👪 💖
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
HUYU SASA NDO MWANAUME. ANA NIDHAMU KUBWA KWA WATOTO NA PIA KUKU BALI KUKEA MWANAE MDOGO KIASI HIKI DAH NIMEMUELEWA. USIDHARAU USIE MJUA
Very positive response from you @babalevo I like it
Big up Baba Levo
Kuhusu huduma ni kweli wahudumu wa sekta mbalimbali Tz ni changamoto sana. Nchi za wenzetu wahudumu wanajali sana kazi zao. Tz wadada wanavuta midomo utasema ndege donoa, wakaka sasa mmh
Safi sana mzazi
Yaani umetuharibia huyo baby girl yaani kapua kametanuka jamani 😊all in all she's beautiful ❤️❤️💅
🤣🤣🤣🤣🤣
Pua na masikio 😂
🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Baba levo me niko nikiwa mombsa kenya likoni....
Very real Guy....Always living best na life yake
Hongera baba levo upo real
JITAHD SAN KWA MWEZ MTUEEKEE INTERVIEW ZA HUYU JAMAA HATA MBL NI FULL KUCHEKAA
Kabisa yani
Nikiona stori yoyote ya baba Levi mtandaoni lazima niitazame
Thank you now confession time!
Nimempenda mtoto mzuri
Respect vi babalevo
Boss chawa kama chawa😂.
Baba levo nakukubali sana kiukweli
Baba ruby 👌🏽👌🏽👌🏽
Nakubar bro
Baba levo mizagamuwano uwiii
Baba Levo ujue ni la 7 B staki kuskia English 😃😃
Mmh kumbe huwa unatulia sana some time! Nakukubali sana fundi majumba
KAZI SAFA SANA AISEE
Lkn babalevo unajuaga kuvaa sana
Usije kumzagamua dada, baba levo
Ili jamaa nalikubali sana lipo mkweli sana
Broo mtaani kwetu tunafatilia sna interview zako uko vyema
Kumbe ndio maana mnadanganyika kwa kuiga ya kwenye movie lol! I knew it!
Hongera bro kwa kupenda watoto
Nakukubali *Baba levo*
ᵁᴹᴱ ᴮᴼᴸᴰ ᵛᴵᴾᴵ ᴴᴬᴾᴼ
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Baba levo mm hapa tutaleana kama watafuta
Baba levo kaskia yeye kijana katamani kucheka 😂😂😂
Daaa mtoto na Mama bwana.yani anaondoka anaacha mtoto mdogo
Hongera sana baba levo kwa kuwalea watoto wako, rubi nikarembo na copy yako .
Hi
Kweli zipo izo sehemu kula bula
😂😂😂 Acha ushamba maji ni maji tu
Huyo mtoto ni wako kweli hayo mapua
Kumbe wewe mitoto yako unailea vizuri lakini hutaki tu kumuona boss wako anawalea watoto wake kazi tu kuwa kandia wazazi wenza wa boss wenu hovyooo
👌👌👌👌👌
😂😂😂😂😂 babalevo na Mwijaku ni machizi wawili
Wapendanao
Eti mizagamuwo iyeee iyee😆😆😆
Baba levo buana jinga kweli 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kweli niwako maana hzo pua daah
Anaongeaga ukweli.
Watt bad wadog
Ndomana naku pendag😅😅😅😅kumbe una akili
Dada hakitaki 🤣🤣🤣
Pro max
Tisha
Nko hapa nije nkusaide kulea jmn kaka nko hapa bna
Eti kusambuka😂
Kweli kwenye masingira tuko tofat kabisa
Mi nachekaga tunapo kwenye mizagamuano😂😂😂😂😂😂😂
😂😂
Your kids will see this intervew in future mind some words
Punguza serious sio kila ktu cha kuchambua
Eti 24milion uongo usioelezeka🙌🙌🙌
Sasa milion mbili kwa mwez ni shingap kwa mwaka.....Ebu punguzeni ushamba na mtembee muone bei za aptment hiyo b levo kasema bei ya chini sana ila kwakuwa huna ela unaumia na kuona wivu ebu tembea ujue vitu acha kubweteka
Elewa wanachongea....iyo pesa ni kwa mwaka
Watu wengine lakini @haniffajaphari8901 listen keenly then comment you look ignorant when you just shout
Et tuactor kuwa wehuu afu mwijaku anata kuwa mwehu kwellii 😂😂😂
😂
BABA LEVEL NAOMBA NIJE NIWALEE HAO WATOT UNILIP
Uwauwe
Shetani ataki ndoa
Mtoto kafanana na baba yake
Yaan kuna wasanii wakihojiwa huwa napenda sana Interview zao wakwaza Baba levo wa Pili Gigy Money na Watatu Maimatha yaan hata awe amehojiwa masaa mawili naangalia na sichoki.
umemsagau na jumalokole
umemsahau jumalokole
@@dayanamsofe5854 Na Dr Kumbuka🔥🔥🔥🔥🔥
Kakuachia watoto coz kakuona akili zako kitoto..
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wap Apo niende
WEWE MAMA RUDI KULEAMTOTO WAKO .MTOTO ASILELEWE NA MAMA MWINGINE. INATEGEMEA NA MOYO WA MAMA MWINGINE.WENGINE WANAROHO NZURI WENGINE NI WANYAMA.
😁😁
Bonge la bwana
MWIJAKU NI MSHAMBA SANA KALIINGIA JIJI KWA PUPA. DAR ES SALAAM WATOTO WA MJINI HAWAPIGI KELELE KAMA ZA MWIJAKU NA WATU WAMESAFIRI DUNIA NZIMA. MWIJAKU ANATUKANA WATU KWA KWENDA UTURUKI. TURKEY IS NOT EUROPE ☺️ LOCATED IN A MIDDLE EAST. TURKEY IS MEDITERRANEAN TERRITORIES NOT IN EUROPE. HAWAKO KWENYE UMOJA WA NCHI ZA ULAYA. MWIJAKU AACHE MAKELELE YAKE. NILIKUWA EUROPE EUROPE 😆😆😆
Baba levo ongera unaongea mazima
Baba levo mtoto wa kike unampa sura yako. Atakua pic kweli Ahahahaaa. Ila wakati mwine unaongea kama Baba. Wakati mwingine unaongea Kama dem hebu Tulia hapo kwenye ubaba
Kwamb wee Ni mrembo San au
@@jacklinemichael3311 baba Levo ni mrembo Ahahahaaa
Utalea waha wote na warundi kwasababu ni ndugu zako waha ni warundi yes or no
Acha ubaguzi baba levo Tanzania achana na mabo yamakabila
sasa apo umeongea nini?mbona ujumbe wako haueleweki
CZcams
Ukimuona mtu mcheshi sana hata akili nyingi
Mtoto hapewi soda jmn chungeni afya za watoto
Case
Kidogo its ok... Too much is harmful
Ila bia sawa🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣Wehuul ili tupate pesa 🤣🤣😂
Mkewako kule maji yashingo waliomshawishi wamemchapa ngumi mchomoko
Njoo kwangu nikupendee wanao Mzee mwenzangu mapenz haya Kila mtu analia tu jamani Kuna nini
Weeeeee
@@famoustim64 hahahaha 🤣🤣
@@famoustim64 hahahaha 🤣🤣
@@majomamajoma8776 majoma please take me back. Majoma 1 and 2 tena zote ni range
@@famoustim64 please speak Swahili I dn eng
C amekuoana akili zako ndogo ndio maana kakutoroka. Ameenda kukanyagwa na mwenye akili timamu.
Sasa huyo ni msanii
baba levo mtoto wamefanana na mama dangote hataree
Ww 🤣🤣🤣🤣
Ohoooo😂
😁😁
na happ bado ujamzalia Domo jeukizaa nae
😄😄😄😄😄😄😄
Tuwache zalau ukijiona wew nishoga usichukilie kila mtu yupo hivyo ukumbuke maisha sio kila mtu atakuwa boc baba levo atakuwa chawa wa mondi nawew au mzazi wako anaweza kuwa chawa wamwengin. Kikubwa mkono uwende kiywani popote ulipo ajiliwa juwa wew nichawa2 ndio mana unapangiwa muda wakuingia
@@rashidgogo5558 kwan hakusema huusu kuzaa na Domo au?
@@karimjuma4019 alisema angekuwa zuchu