ASMAH aeleza UHUSIANO na BABALEVO ulivyomfanya BABA yake atake KUMFUTA kama MWANAE, kufikiria KUJIUA
Vložit
- čas přidán 22. 02. 2024
- Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.com/store/apps/de... - Zábava
Mami jifunze tofauti ya r and l but nimependa unavyojibu❤❤
Hongera Asmah mahusiano mengine kujitafutia matatizo tu bora umeyaepuka
Songa mbele mdogowangu mambo ya mahusiano haujaanza wewe walikuwepo ni kawaida ushishangae nakiroho chako cha huruma Mungu atakupatia wakwako usijali ❤❤❤❤
Come ooon! Usioneshe kwapa kwenye interview hata kama ni pose la kuonesha confidence. Hiyo nguo sio ya pose hilo. Umeharibu interview, inaonekana chafu.
nahisi hakugundua hilo, ako alitafuta confidence
unaongea nini wewe mwanaume awi hinyo nguo yake inakuhusu nini .
nimekapenda jaka kadada uwiii kako smat sana Mungu akujalie upate wako wa maisha❤
Kufanya like, vile like napenda kufanya like eeee, 🙌
Dada kichwani yupo sawa kweli mashallah hongera asma unajua kujieleza
L intead of R inanikata sana
intead ni nini ww pia😂
😂😂😂@@saidahj2543
@@saidahj2543tobaaaa😅😅😅😅😅😅😮
A grl she is so smart 🙌🏼🥰
Intelligent woman anajua kujibu maswali.
Uko poa sana dada salute nyingi
Intelligent...! Very nice interview..❤
Bbng munguawenawewe kWakipajichako ❤❤❤bbng
Ni watano naombeni likes
Sky hawa vichwa maji waachiye wengine wawahoji we sio levo zao 😂
Kichwa maji ni ww ambaye ubongo wako haujui kuchakata😂hiv we upo sawa kwel
Wivu Tu kwani ao unataka waje apo walianza aje
@@giftwieland6322
Hapana sipo sawa 😂😂😂😂
Ukute chako ni tope tena ya moshi
@@soamShs-cp4dl
😄🤣
She is so smart Mashaa'Allah
Hilo la kutema cheche nimeliona anaongea KWA Nguvu sana ajifunze kuongea kwa upole itamsaidia sana ,Hilo la baba levo kama wameachana ni vizuri kuliko achukue mabwana za Wenyewe , Tamaa ni mbaya.🎉
Kwahyo mmeshindwa edit project..camera 1 inamove namna hyo..left right..sio sawa bro..inaumiza macho kinoma.
Asmah, sema pole pole una tema mateee sana😂😂😂😂
Binti ana akili sana huyu na anaonekana na roho nzuri sana ndo maana baba levo alishindwa kufanya maamuzi
Nitaka kujua baada yakutoka Dar uliendelea na chuo Dodoma au ndio ukaacha maana SKY hakuuliza hilo swali
Acha dharau, binadamu wote ni sawa
Hizi interview nyngn sio level za sns bhana kuna watu wanafanya vitu vya maana endlea kuwatafut na kuwahoji bhna hawa achia hao underground bhana next Time fkria mara mbili sky
Kwa mentality hiyo hiyo vyombo vya habari viliacha kuwahoji the Ramadhani brothers kisa level zao ni ndogo Sana! Leo hii the ramadhani brothers wamekuwa wakubwa vyombo vya habari Hadi vinaona noma kuwapost! Tunahitaji kuwaona wakiwa kwenye level yoyote Ile halafu Asma sio mdogo!
@@suleymanmakiwa1651 huwez fanansha ambacho Wala vijana wanakfanya na ambacho anakfanya huyu wale wako na impact kubwa mara 1000 uklngnsha na huyu
Very true
kako smart kichwani....
Daslam😢😮. Safali dailkta . Yaan mnakera kweli kwanini Lakini R na L mnaharibu Sana
😅
Yani uko vizuri kuzibu
Akili kubwa Asma Mungu akusimamie unajitambua nakujielewa kila kitu kinatokea kwa sababu. Kaza buti fanya kazi .
kama hakuhitaji kuhojiwa kuhusu Baba Levo angesema kuliko majibu ya kifala.
Unajielewa dogo bigup
Sasa ajifunze wapi R inakaa na wapi L inakaa
Kabisa
Nimekua wa kwanza leo😂😂
Kuhalibu _ kuharibu
I like her😊
Leey ama Ray 😂😂😂😂 watanzania wako na shida bya R And L😅😅😅😅
Special hawa wabongo😂😂😂
MZIGO UMETUPIWA SAA 8 KASORO😊NILIKUWA NAUSUBIRI,,NA NILIKESHA NAO MBONA😊
I love you Asma
Babalevo alimaliza mausiano yaliyokua na jee wewe, uliya maliza ? She is dodging all the questions.
Eeehhh..okay..she is funny though😁
Huyu hiyo movie kachezaje mtu anachanganya L na R😂
@khalsasalim7930 50% ya watanzania mpaka viongozi wana hilo tatizo L na R kwao ni mtihani
ilo nitatizo la wengingi bwana aina shida kbs
@@estermahenge-ks3drSio jambo la kawaida
@@estermahenge-ks3dryaani we huoni shida !!
@@MiriamAbdallah k
Unajifanya uko smart lkn ww ni mjinga wakawaida ungekua smart umeletewa zawadi kutoka China 🇨🇳 ulipost ili iweje mbona ukukaa kimya ulikua wataka kumkomoa salma ukaishia vizawadi na imetokaaa io
Anajibu very short
Hizo pillows I hope huwa zinafuliwa😁
😀😀😀😀😀😀uongo uongo 😀😀😀Asma anachekesha
😅😅😅 Leyi kigozi 😅😅 tell her to say Rayvanny or Rich
L na r ni tatizo...na inaboa kweli
Na makwapa yote yako nje aibu tupu 😂😂
Walei walei wa Lei kigosi😂😂
Mambo nimoto 😂😂
Spend kuona kwapa mie hasa na mwanamke jmn asma hebu tufunikie kwapa kwanza jmn mm
Maisha yamenifanya niwe lili😂😂😂 lili laif
😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂
😢😢😢😢😢😎
Acheni kumkata mtu mood kwapa la Asma linatatizo gani? Msikilize mtu anaongea nini,? Sio kuangalia makwapa na kadhalika na kadhalika ,heshimu mtu na alicho vaa,
Huyu ni msichana anaejitambua Jamani anajua madhara ya ndoa za watu ,siku zote ukimfanyia mtu ubaya kumbuka unaupanda utameya tu
R na L tatizo sana kwako Dada bado hujachelewa unaweza kulefix tu japo sio rahisi hivyo but jitahidi cz inazingua kichizi sana hiyo R na L aiseee
Hata Ww Unatatzo La R Na L Ni Refix Sio Lefix 😂
😅😢😂
Refix au lefix we mwenyew ndo wale wale
@@anuaryfernandez7230kipofu anamwokoza kipofu mwenzie😅😅😅😅😅😅
Nyani haoni kundule😂😂😂
If possible tuwekee timestamps
Mh hujui
Dada Mzuri ila kumsikiliza anachosha maneno mengi anakosea matamshi
Sns jibu ulilo kuwa unalitaka ujakipata vizur😂😂😂😂😂😂
expeeesheeni 😅
Aaammm good 😂😂
Sky sky sky... Hizi interview tafta wakukaa hapo, you're too old for this brother ✨🙏🏼
Old people should interview old people? 😀😀 Never heard that kind of journalism
Kwahiyo baba levo ameshatanua ilo shimo liko mwaaaa duuh
Tuko kujudge r n L ili ni tatizo la wengi na anakithembe sio rahisi kwa watu wa ivo kutamka herufi nyingi
Tafuta backup ili uache lawama na watu wasio na ratiba na wewe.Hiyo sababu imezingua sana.
Daylekta
Brother sky tuletee (hemed phd
Una ugomvi na herufi "R" dada hebu jifunze tu itapendeza!
Aahh kubabakee 😅
Litaliti shooo
Asmara jifunze kuingea L na R ni vitu 2 tofauti 😊
Baizewei😂
Kuingea na wewe ndio Nini? Mimi umenipoteza
Cjui kwann mnamtukana waja jmn nyie nayey nivitu viwili tofaut mnamjua hawajui roombya nachoyo mwachni bint wawatu
Kumbe ni kademu kenye akili
Huyu dada kabila gani mbona R na L anazituanga vile?!!
Ila Huyu sio wakufanya interview na sky
Huyu pumbavu ndio alikuwa anamsumbua mama Rubby pumbafu huyu
Ruru..ley kigosi..😂
😂😂😂
Mpaka Sky kashtuka na iyo Ley 😢😂😅
@@Mimy_keys 🤣🤣🤣
@@Mimy_keys😢😢😢😢😢😢🤣🤣🤣🤣
I love sns. But hawa watu wasojua kutofaulisha letter R na L . Siwezi kuskuliza
Kumbe tuko wengi wanakera sana
Ukaamua kutaja umeme kabisa
Unajibu vibaya
Huo mndomo alikuwa ananyonya nini ?
Na ww ulijionesha sn 😂😂😂 na kujisemesha Ukiendelea utapata laana
tambaza ni form 5 na 6 hakunaga O level pale..
Ku ---mako zakufikia
Sky mnawork mpaka usiku huu 🙌🙌🙌🙌
Asma ni genius nimependa anajitambua na anaheshimu wazazi amelelewa vizuri!Allah atakulipa inshaalah
Eti "like"😂😂😂
Eiza mumeisikia?
😂😂😂😂😂😂😂
L na R sasa😂
Tarehe 8/3 ndio womens day sio 8/8
Mambo ya vokesheni 😅
expesheeeeeeni je😅
@@bwanka😂😂😂😂😂😂
Mbona anaonekana mjamzito
Siliaz 😢serious
Si waongee tu kiswahili😅😅😅😅😅😅
Asmah una akili sana
Nahizo cope sasa duuh mtihan san
Hivi kwanini ulitanuwe kwapa lako hivyo!?😒
😅😅😅
Ila akili ipo
Ujitambue SS ww mdada
Me simjui ujue ndo namuon alifanyje
Ifike mahali hawa watu wajue matumizi ya L na R
Yaani ndugu wanaudhi sana
Tofautisha kati r na l
hakn kit kinanip shid kama mtu anaetumia r kweny l n l kweny r yn meseg Huw sielew kwa kwel
@@happiness.focus.8023huwa sisisomi na kama inaulazima itanisumbua sana kuielewa
Ilikuwa kiki tu.
Kama huzijui kiki tulia, hiyo
Sio kiki
Dada unjanja utaacha lini. Wajibu maswali ni kama hutaki mbona . Ulilazimishwa Kuja kwa media. Kwenda mjuaji wewe.
R na L
😂😂Pole ILA wewe muongo.
O
Likwapa wazi bidada