ASMAH aeleza UHUSIANO na BABALEVO ulivyomfanya BABA yake atake KUMFUTA kama MWANAE, kufikiria KUJIUA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 02. 2024
  • Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
    play.google.com/store/apps/de...
  • Zábava

Komentáře • 164

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 Před 5 měsíci +5

    Mami jifunze tofauti ya r and l but nimependa unavyojibu❤❤

  • @user-mr7gl5ox6u
    @user-mr7gl5ox6u Před 5 měsíci +12

    Hongera Asmah mahusiano mengine kujitafutia matatizo tu bora umeyaepuka

  • @moketuponake5270
    @moketuponake5270 Před 5 měsíci +1

    Songa mbele mdogowangu mambo ya mahusiano haujaanza wewe walikuwepo ni kawaida ushishangae nakiroho chako cha huruma Mungu atakupatia wakwako usijali ❤❤❤❤

  • @johnwilfred3920
    @johnwilfred3920 Před 5 měsíci +20

    Come ooon! Usioneshe kwapa kwenye interview hata kama ni pose la kuonesha confidence. Hiyo nguo sio ya pose hilo. Umeharibu interview, inaonekana chafu.

    • @bullychandy6509
      @bullychandy6509 Před 5 měsíci

      nahisi hakugundua hilo, ako alitafuta confidence

    • @ahmed59122
      @ahmed59122 Před 5 měsíci

      unaongea nini wewe mwanaume awi hinyo nguo yake inakuhusu nini .

  • @estermahenge-ks3dr
    @estermahenge-ks3dr Před 5 měsíci +2

    nimekapenda jaka kadada uwiii kako smat sana Mungu akujalie upate wako wa maisha❤

  • @Immahjr
    @Immahjr Před 4 měsíci +1

    Kufanya like, vile like napenda kufanya like eeee, 🙌

  • @sofiajumaa4538
    @sofiajumaa4538 Před 5 měsíci +4

    Dada kichwani yupo sawa kweli mashallah hongera asma unajua kujieleza

  • @user-ns1rq9tt1k
    @user-ns1rq9tt1k Před 5 měsíci +14

    L intead of R inanikata sana

  • @Queensagarika887
    @Queensagarika887 Před 5 měsíci +2

    A grl she is so smart 🙌🏼🥰

  • @kevinishailiza
    @kevinishailiza Před 5 měsíci +2

    Intelligent woman anajua kujibu maswali.

  • @user-oh5ty3nl3g
    @user-oh5ty3nl3g Před 4 měsíci

    Uko poa sana dada salute nyingi

  • @peternyambui7492
    @peternyambui7492 Před 5 měsíci

    Intelligent...! Very nice interview..❤

  • @bbng9475
    @bbng9475 Před 5 měsíci

    Bbng munguawenawewe kWakipajichako ❤❤❤bbng

  • @giftwieland6322
    @giftwieland6322 Před 5 měsíci +8

    Ni watano naombeni likes

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Před 5 měsíci +47

    Sky hawa vichwa maji waachiye wengine wawahoji we sio levo zao 😂

    • @giftwieland6322
      @giftwieland6322 Před 5 měsíci +13

      Kichwa maji ni ww ambaye ubongo wako haujui kuchakata😂hiv we upo sawa kwel

    • @KayagoAziza
      @KayagoAziza Před 5 měsíci +4

      Wivu Tu kwani ao unataka waje apo walianza aje

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 Před 5 měsíci +2

      @@giftwieland6322
      Hapana sipo sawa 😂😂😂😂

    • @soamShs-cp4dl
      @soamShs-cp4dl Před 5 měsíci +3

      Ukute chako ni tope tena ya moshi

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 Před 5 měsíci

      @@soamShs-cp4dl
      😄🤣

  • @hamisahodari9229
    @hamisahodari9229 Před 5 měsíci +4

    She is so smart Mashaa'Allah

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 Před měsícem

    Hilo la kutema cheche nimeliona anaongea KWA Nguvu sana ajifunze kuongea kwa upole itamsaidia sana ,Hilo la baba levo kama wameachana ni vizuri kuliko achukue mabwana za Wenyewe , Tamaa ni mbaya.🎉

  • @bobwhite9252
    @bobwhite9252 Před 5 měsíci +1

    Kwahyo mmeshindwa edit project..camera 1 inamove namna hyo..left right..sio sawa bro..inaumiza macho kinoma.

  • @davidm1658
    @davidm1658 Před 5 měsíci +7

    Asmah, sema pole pole una tema mateee sana😂😂😂😂

  • @sophiaremmy6326
    @sophiaremmy6326 Před 5 měsíci +2

    Binti ana akili sana huyu na anaonekana na roho nzuri sana ndo maana baba levo alishindwa kufanya maamuzi

  • @janeschurmanns7364
    @janeschurmanns7364 Před 5 měsíci +1

    Nitaka kujua baada yakutoka Dar uliendelea na chuo Dodoma au ndio ukaacha maana SKY hakuuliza hilo swali

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 Před 5 měsíci +1

    Acha dharau, binadamu wote ni sawa

  • @HAKHASH312
    @HAKHASH312 Před 5 měsíci +7

    Hizi interview nyngn sio level za sns bhana kuna watu wanafanya vitu vya maana endlea kuwatafut na kuwahoji bhna hawa achia hao underground bhana next Time fkria mara mbili sky

    • @suleymanmakiwa1651
      @suleymanmakiwa1651 Před 5 měsíci +7

      Kwa mentality hiyo hiyo vyombo vya habari viliacha kuwahoji the Ramadhani brothers kisa level zao ni ndogo Sana! Leo hii the ramadhani brothers wamekuwa wakubwa vyombo vya habari Hadi vinaona noma kuwapost! Tunahitaji kuwaona wakiwa kwenye level yoyote Ile halafu Asma sio mdogo!

    • @HAKHASH312
      @HAKHASH312 Před 5 měsíci

      @@suleymanmakiwa1651 huwez fanansha ambacho Wala vijana wanakfanya na ambacho anakfanya huyu wale wako na impact kubwa mara 1000 uklngnsha na huyu

    • @BarbaraPatience-qt9cc
      @BarbaraPatience-qt9cc Před 5 měsíci

      Very true

  • @kilalomaerlymauya6632
    @kilalomaerlymauya6632 Před 4 měsíci

    kako smart kichwani....

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 Před 5 měsíci +1

    Daslam😢😮. Safali dailkta . Yaan mnakera kweli kwanini Lakini R na L mnaharibu Sana

  • @matonyadaniel
    @matonyadaniel Před 5 měsíci

    Yani uko vizuri kuzibu

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 Před 5 měsíci +6

    Akili kubwa Asma Mungu akusimamie unajitambua nakujielewa kila kitu kinatokea kwa sababu. Kaza buti fanya kazi .

  • @athumanii
    @athumanii Před 5 měsíci +3

    kama hakuhitaji kuhojiwa kuhusu Baba Levo angesema kuliko majibu ya kifala.

  • @MariamGundula
    @MariamGundula Před 5 měsíci +1

    Unajielewa dogo bigup

  • @aprilrosaliapanda4895
    @aprilrosaliapanda4895 Před 5 měsíci +13

    Sasa ajifunze wapi R inakaa na wapi L inakaa

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 Před 5 měsíci +1

    Nimekua wa kwanza leo😂😂

  • @victoriabayo7704
    @victoriabayo7704 Před 5 měsíci +5

    Kuhalibu _ kuharibu

  • @marymahanga6101
    @marymahanga6101 Před 5 měsíci

    I like her😊

  • @mariamkimtai693
    @mariamkimtai693 Před 5 měsíci +5

    Leey ama Ray 😂😂😂😂 watanzania wako na shida bya R And L😅😅😅😅

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Před 5 měsíci +3

    MZIGO UMETUPIWA SAA 8 KASORO😊NILIKUWA NAUSUBIRI,,NA NILIKESHA NAO MBONA😊

  • @user-nb6bw5co4n
    @user-nb6bw5co4n Před 5 měsíci

    I love you Asma

  • @vincej9275
    @vincej9275 Před 5 měsíci +1

    Babalevo alimaliza mausiano yaliyokua na jee wewe, uliya maliza ? She is dodging all the questions.

  • @m___ck799
    @m___ck799 Před 5 měsíci

    Eeehhh..okay..she is funny though😁

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 Před 5 měsíci +12

    Huyu hiyo movie kachezaje mtu anachanganya L na R😂

  • @MizeKombeSuleiman-id1rp
    @MizeKombeSuleiman-id1rp Před 5 měsíci +1

    Unajifanya uko smart lkn ww ni mjinga wakawaida ungekua smart umeletewa zawadi kutoka China 🇨🇳 ulipost ili iweje mbona ukukaa kimya ulikua wataka kumkomoa salma ukaishia vizawadi na imetokaaa io

  • @queenlinda255
    @queenlinda255 Před 5 měsíci +2

    Anajibu very short

  • @bettymbatta9626
    @bettymbatta9626 Před měsícem

    Hizo pillows I hope huwa zinafuliwa😁

  • @berthamahangila4462
    @berthamahangila4462 Před 5 měsíci

    😀😀😀😀😀😀uongo uongo 😀😀😀Asma anachekesha

  • @naimanimo4925
    @naimanimo4925 Před 5 měsíci +4

    😅😅😅 Leyi kigozi 😅😅 tell her to say Rayvanny or Rich

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 Před 5 měsíci +4

    Mambo nimoto 😂😂

  • @Realme-xm3sh
    @Realme-xm3sh Před 4 měsíci

    Spend kuona kwapa mie hasa na mwanamke jmn asma hebu tufunikie kwapa kwanza jmn mm

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 Před 5 měsíci +3

    Maisha yamenifanya niwe lili😂😂😂 lili laif

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 Před měsícem

    Acheni kumkata mtu mood kwapa la Asma linatatizo gani? Msikilize mtu anaongea nini,? Sio kuangalia makwapa na kadhalika na kadhalika ,heshimu mtu na alicho vaa,

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny Před 5 měsíci

    Huyu ni msichana anaejitambua Jamani anajua madhara ya ndoa za watu ,siku zote ukimfanyia mtu ubaya kumbuka unaupanda utameya tu

  • @Marjeby
    @Marjeby Před 5 měsíci +3

    R na L tatizo sana kwako Dada bado hujachelewa unaweza kulefix tu japo sio rahisi hivyo but jitahidi cz inazingua kichizi sana hiyo R na L aiseee

  • @josephm4233
    @josephm4233 Před 5 měsíci +1

    If possible tuwekee timestamps

  • @vivianlucas6389
    @vivianlucas6389 Před 5 měsíci +1

    Mh hujui

  • @edwarddaniel5683
    @edwarddaniel5683 Před 5 měsíci

    Dada Mzuri ila kumsikiliza anachosha maneno mengi anakosea matamshi

  • @janifajani8875
    @janifajani8875 Před 5 měsíci +1

    Sns jibu ulilo kuwa unalitaka ujakipata vizur😂😂😂😂😂😂

  • @bwanka
    @bwanka Před 5 měsíci +2

    expeeesheeni 😅

  • @husnathabiti4114
    @husnathabiti4114 Před 5 měsíci

    Aaammm good 😂😂

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 Před 5 měsíci

    Sky sky sky... Hizi interview tafta wakukaa hapo, you're too old for this brother ✨🙏🏼

    • @SimuliziNaSauti
      @SimuliziNaSauti  Před 5 měsíci

      Old people should interview old people? 😀😀 Never heard that kind of journalism

  • @nicksonmremi3412
    @nicksonmremi3412 Před 5 měsíci

    Kwahiyo baba levo ameshatanua ilo shimo liko mwaaaa duuh

  • @fevaline6635
    @fevaline6635 Před 5 měsíci

    Tuko kujudge r n L ili ni tatizo la wengi na anakithembe sio rahisi kwa watu wa ivo kutamka herufi nyingi

  • @erickothegreat8353
    @erickothegreat8353 Před 5 měsíci

    Tafuta backup ili uache lawama na watu wasio na ratiba na wewe.Hiyo sababu imezingua sana.

  • @victoriabayo7704
    @victoriabayo7704 Před 5 měsíci +3

    Daylekta

  • @user-vp7ew6rf8l
    @user-vp7ew6rf8l Před 5 měsíci

    Brother sky tuletee (hemed phd

  • @fatmazullu4933
    @fatmazullu4933 Před 5 měsíci

    Una ugomvi na herufi "R" dada hebu jifunze tu itapendeza!

  • @samchris1914
    @samchris1914 Před 5 měsíci

    Aahh kubabakee 😅

  • @MizeKombeSuleiman-id1rp
    @MizeKombeSuleiman-id1rp Před 5 měsíci +2

    Litaliti shooo

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 Před 5 měsíci +1

    Asmara jifunze kuingea L na R ni vitu 2 tofauti 😊

  • @chimamilion
    @chimamilion Před 5 měsíci

    Cjui kwann mnamtukana waja jmn nyie nayey nivitu viwili tofaut mnamjua hawajui roombya nachoyo mwachni bint wawatu

  • @derickdboy2207
    @derickdboy2207 Před 5 měsíci +1

    Kumbe ni kademu kenye akili

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Před 5 měsíci

    Huyu dada kabila gani mbona R na L anazituanga vile?!!

  • @familylove5417
    @familylove5417 Před 5 měsíci

    Ila Huyu sio wakufanya interview na sky

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 Před 5 měsíci

    Huyu pumbavu ndio alikuwa anamsumbua mama Rubby pumbafu huyu

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 Před 5 měsíci +4

    Ruru..ley kigosi..😂

  • @fatmakhalef3450
    @fatmakhalef3450 Před 5 měsíci

    I love sns. But hawa watu wasojua kutofaulisha letter R na L . Siwezi kuskuliza

  • @stanleynaally8703
    @stanleynaally8703 Před 5 měsíci +2

    Ukaamua kutaja umeme kabisa

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Před 5 měsíci

    Unajibu vibaya

  • @kennedymaster2000
    @kennedymaster2000 Před 3 měsíci

    Huo mndomo alikuwa ananyonya nini ?

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 Před 5 měsíci +2

    Na ww ulijionesha sn 😂😂😂 na kujisemesha Ukiendelea utapata laana

  • @bingwasports
    @bingwasports Před 5 měsíci +2

    tambaza ni form 5 na 6 hakunaga O level pale..

  • @Commentsplus
    @Commentsplus Před 5 měsíci

    Ku ---mako zakufikia

  • @Lashymreal96
    @Lashymreal96 Před 5 měsíci +2

    Sky mnawork mpaka usiku huu 🙌🙌🙌🙌

    • @jomedia-rx9zh
      @jomedia-rx9zh Před 5 měsíci

      Asma ni genius nimependa anajitambua na anaheshimu wazazi amelelewa vizuri!Allah atakulipa inshaalah

  • @mercypeledawson1622
    @mercypeledawson1622 Před 5 měsíci

    Eti "like"😂😂😂

  • @ussnamanuel116
    @ussnamanuel116 Před 5 měsíci +3

    Eiza mumeisikia?

  • @Alic665
    @Alic665 Před 5 měsíci

    L na R sasa😂

  • @jomedia-rx9zh
    @jomedia-rx9zh Před 5 měsíci

    Tarehe 8/3 ndio womens day sio 8/8

  • @mercypeledawson1622
    @mercypeledawson1622 Před 5 měsíci +1

    Mambo ya vokesheni 😅

    • @bwanka
      @bwanka Před 5 měsíci

      expesheeeeeeni je😅

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 5 měsíci

      ​@@bwanka😂😂😂😂😂😂

  • @user-ci1sv3ij7q
    @user-ci1sv3ij7q Před 5 měsíci

    Mbona anaonekana mjamzito

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 Před 5 měsíci

    Siliaz 😢serious

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 5 měsíci

      Si waongee tu kiswahili😅😅😅😅😅😅

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 Před 5 měsíci

    Asmah una akili sana

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Před 5 měsíci

    Nahizo cope sasa duuh mtihan san

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Před 5 měsíci

    Hivi kwanini ulitanuwe kwapa lako hivyo!?😒

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Před 5 měsíci +1

    Ila akili ipo

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 Před 5 měsíci +2

    Ujitambue SS ww mdada

  • @roselynngallo1872
    @roselynngallo1872 Před 5 měsíci

    Ifike mahali hawa watu wajue matumizi ya L na R

  • @victoriabayo7704
    @victoriabayo7704 Před 5 měsíci +2

    Tofautisha kati r na l

    • @happiness.focus.8023
      @happiness.focus.8023 Před 5 měsíci

      hakn kit kinanip shid kama mtu anaetumia r kweny l n l kweny r yn meseg Huw sielew kwa kwel

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 5 měsíci

      ​@@happiness.focus.8023huwa sisisomi na kama inaulazima itanisumbua sana kuielewa

  • @avelinakomba721
    @avelinakomba721 Před 5 měsíci

    Ilikuwa kiki tu.

    • @LeeLian95
      @LeeLian95 Před 5 měsíci +1

      Kama huzijui kiki tulia, hiyo
      Sio kiki

  • @Am-vo5cu
    @Am-vo5cu Před 5 měsíci

    Dada unjanja utaacha lini. Wajibu maswali ni kama hutaki mbona . Ulilazimishwa Kuja kwa media. Kwenda mjuaji wewe.

  • @Thadeus97
    @Thadeus97 Před 5 měsíci

    R na L

  • @user-gj2mm3ko8m
    @user-gj2mm3ko8m Před 5 měsíci +1

    😂😂Pole ILA wewe muongo.

  • @yohanesimbeye-b3g
    @yohanesimbeye-b3g Před 6 dny

    O

  • @zainabzain3434
    @zainabzain3434 Před 5 měsíci

    Likwapa wazi bidada