ASMA KWENYE BATTLE EDITION

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 11. 2021
  • #asma#chekaTu#standupcomedy
  • Komedie

Komentáře • 38

  • @mtaalamwamambo2099
    @mtaalamwamambo2099 Před 2 lety +4

    Kama hauna uwezo wa kufikiri nzuri hauwez kumuekewa uyu Dada 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mr.nonino3629
    @mr.nonino3629 Před 2 lety +6

    real life observation jokes, 🙌
    she is the best female comedian in Tanzania,
    let's our 👀 be on her.

  • @mkaapwekekariakoo6417
    @mkaapwekekariakoo6417 Před 2 lety +3

    Safi Sana. Mwanzo mgumu lakini kikubwa Ni uthubutu. Nice

  • @lucamartin6584
    @lucamartin6584 Před 2 lety +5

    Ana madini sana huyu dada anashida kwenye kuyapangilia vile inavyotakiwa ku deliver, madini yake ni konki ila ana deliver kiwepesi kiasi kwamba watu hawaelewi na ndio maana hawacheki wanabaki kumuangalia kwa kutoelewa anacho deliver ......

  • @gemstoneskingdom1944
    @gemstoneskingdom1944 Před 2 lety +3

    Yuko vizuri. Kila mchekeshaji ana style yake.

  • @ramaalmas8118
    @ramaalmas8118 Před 2 lety +7

    Madini yapo,kuwasilisha kwa wahusika Ndio kidogo anashindwa ila big up Sana paka umefika hapo jambo kubwa sana....

  • @tinovedasto29
    @tinovedasto29 Před 2 lety +6

    Mnatumalizia MB zetu tu, hapa hakuna mchekeshaji

    • @restkalemile5274
      @restkalemile5274 Před 2 lety +2

      Huyu Dada wangemtoa tu afanye shuguli zingine, afungue hata Duka LA vitenge na mitandio.

  • @selemanjuma1595
    @selemanjuma1595 Před 2 lety +3

    Sema dada uchekeshaji wako ni kama mahubili vile

  • @nzamiltv4788
    @nzamiltv4788 Před 2 lety

    Dada Bado Anauoga_ Yupo vizuri sana_...

  • @hidayamotto7210
    @hidayamotto7210 Před 2 lety

    Anajuaaa Seema mpk uwe unafikira snaa

  • @zaburi2386
    @zaburi2386 Před 2 lety +2

    Office zenu zko wap mnilipe mb zangu

  • @tanzaniagospel
    @tanzaniagospel Před 2 lety +1

    Unajitahd dada,.... Big up

  • @SimuliziZaOscar
    @SimuliziZaOscar Před 2 lety +3

    Unajua huyu dada anakipaji cha kujichekesha, kucheka, kuchekeana, kuchekeshwa ila cha kuchekesha ni kumdanganyq

  • @theindustry6361
    @theindustry6361 Před 2 lety

    Mwenye akili zake. Safi sana

  • @mkutanopaul4773
    @mkutanopaul4773 Před 2 lety +2

    Finishing yake Bado kidogo. Na achangamke pia

  • @norregaraper5383
    @norregaraper5383 Před 2 lety +2

    Huyo ni 🔥🔥🔥

  • @dtv6734
    @dtv6734 Před 2 lety +2

    Cheka Tu Mnambeba saba huyu Pisi, , , , , Stand Up Comedy haiwezi......

  • @saidmasengo7988
    @saidmasengo7988 Před 2 lety +1

    Asma anahitaji kazi ya ziada ya training.....Lkn uwezo anao!!!!!kaona hadhira haijachangamka nayeye karidhika hivohivo

  • @zubedajumbe9881
    @zubedajumbe9881 Před 2 lety

    Leo kajitahidi napenda confidence yake itamfikissha mbali mno. Anatakiwa kupikwa atakuja kuwa balaa huyu dada

  • @anethgodwin5677
    @anethgodwin5677 Před 2 lety

    asma amaweza

  • @blackmamba7553
    @blackmamba7553 Před 2 lety

    Et Black Mamba😀😀😀

  • @petroleumexperts3442
    @petroleumexperts3442 Před 2 lety

    Nikisema huyu dada alibebwa naonekana nq roho mbaya😅
    Hqmna kazi apa. Namba nne alipewa bure, walishushwa watu kibqo wanaostqhiki, na bila kelele zetu mashabiki pale ilikua apewe namba tatu, Said anyimwe, anyways umebebwa umepata ajira kaza

  • @SalhinaShabani-ht1hg
    @SalhinaShabani-ht1hg Před 9 měsíci

    Wakorinto

  • @DjmubaTechServices
    @DjmubaTechServices Před 2 lety

    huyu ni mshindi wa ngp vile 😀

    • @khalossalim3723
      @khalossalim3723 Před 2 lety

      Azaboy walimtoa tu bure kwenye top 5 kumuweka huyu

  • @chicharito4201
    @chicharito4201 Před 2 lety +2

    UKWELI PROMO NA TULICHOKIONA DAH 🙆🏾‍♂️TUMEPIGWA
    SEMA AHITAHIDI

  • @lawrencemakafu4866
    @lawrencemakafu4866 Před 2 lety

    Great jokes but she was shaky

  • @emmanuelzao
    @emmanuelzao Před 2 lety

    😎

  • @laurentzacharia1563
    @laurentzacharia1563 Před 2 lety

    😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @Ratson57
    @Ratson57 Před 2 lety

    Apa tulipigwa

  • @calvinsanga8323
    @calvinsanga8323 Před 2 lety +1

    only she need is confidence that all

  • @restkalemile5274
    @restkalemile5274 Před 2 lety +1

    Huyu Dada wangemtoa tu afanye shuguli zingine, afungue hata Duka LA vitenge na mitandio.