MAMA YAKE MWIJAKU AFUNGUKA, AKIWA KWENYE MJENGO MPYA "NILISHAMKANYA, ASIINGILIE, MAISHA YA WATU"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 01. 2024

Komentáře • 77

  • @mchumiajuani1993
    @mchumiajuani1993 Před 6 měsíci +10

    Mama shkamooo, anajua kuongea kwa staha, asante sana mamangu

  • @mutalemwa-woerle
    @mutalemwa-woerle Před 6 měsíci +2

    Mwijaku ana mama mwenye busara sana mpaka amenifanya nimuangalie Mwijaku kwa jicho la pili…(I now think he is not who most think he is) Hongera Mama!

  • @rajimuashirafa8265
    @rajimuashirafa8265 Před 6 měsíci +12

    Mama kabarikiwa sanaa kuongea vizuri

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Před 6 měsíci +6

    Mashaalah mama ana ongea vizuri kwa hekima

  • @mawazoaliselemani
    @mawazoaliselemani Před 6 měsíci +4

    Mama yake mzuri Masha Allah,

  • @rerisamba
    @rerisamba Před 6 měsíci +2

    Wow mama mzuri sana anaongea vizuri sana anakaa roho safi

  • @alibinali_
    @alibinali_ Před 6 měsíci +1

    Masha'Allah Mama

  • @user-wb2xo2lv7n
    @user-wb2xo2lv7n Před 6 měsíci +2

    Mama unabusara sana kweli ❤

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 Před 6 měsíci +3

    Wewe ni mama bora sana nimekupenda bure

  • @nzeyimanamwavita1904
    @nzeyimanamwavita1904 Před 6 měsíci

    ManshaaAllah Mama

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Před 6 měsíci

    Mama mashallah ❤❤

  • @omanmct135
    @omanmct135 Před 6 měsíci

    Mashallllah

  • @beatricepallangyo2821
    @beatricepallangyo2821 Před 6 měsíci +2

    Hongera sana Mama!!!!

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 Před 6 měsíci

    MashaAllah mama mzuri hongera sana Mungu akutunze ❤❤❤❤

  • @renatusjeremiah
    @renatusjeremiah Před 6 měsíci +5

    Jamani hivi sasa hivi wazazi ni mama tu na baba tumewakosea nn watoto maana kila mtu mama mama kwa kweli wazaz wa kike mnatukera sana mnapotuchonganisha na watoto wetu ili nyie tu ndo muonekane wema na wazuri kwa watoto hili linaniumiza sana mimi kama mzaz wakiume

    • @jestinaluvanda-jm4tc
      @jestinaluvanda-jm4tc Před 6 měsíci

      Pole! mwanamke ni mrithi wa Neema. Hahitaji nguvu kuipata

    • @saniaidrisa3920
      @saniaidrisa3920 Před 6 měsíci

      Kuchukiwa mnakutengeneza wenyewe baadhi ya wanaume mnajiweka mbali sana na watoto wenu mnahisi ukali ndo heshima Sasa Kama baba unamnyanyasa mke mbele ya watoto, wakikuomba kitu unasema muombe mama yenu unampa mke pesa halafu yeye ndo awape watoto watoto hawajui kama wewe ndo umetoa wanajua ni mama,na mengine mengi yani wewe ukija ndani kila mtu anakimbilia chumbani Sasa hao watoto wakikua kupendwa sahau

    • @maryamudunga1094
      @maryamudunga1094 Před 6 měsíci

      😂😂😂😂😂ss ndo tupo

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Před 6 měsíci +3

    Mama mwenye busala zake mashallah❤️Hongera sana Mwijaku na męko 🙏🙏

  • @vincentmokenye4465
    @vincentmokenye4465 Před 6 měsíci +1

    Hongera jamani mama yupo vizuri

  • @starjay3052
    @starjay3052 Před 6 měsíci +1

    tanzania bado maisha magumu kwaiyo unaweza ukawa na elimu lakini ikawa ujinga tu bado akuna mifumo mizuli yakuwafanya wasomi wawe na ela ma profesa wenyewe wanaishia kwenye kujenga bah awo wenye alimu watatumiaje elim zao kua pesa we kama umepata bahati shukulu mungu

  • @Am-vo5cu
    @Am-vo5cu Před 6 měsíci

    Napenda watanzania. Hawaachi kumtaja Mwenyezi mungu. Mama shikamoo. Inshalla.

  • @simbajumanne9718
    @simbajumanne9718 Před 6 měsíci +1

    Hongeraa.lakin yumba aifik bilion 1.usiwakatoshe vijana😊

  • @saidnhoathuman1014
    @saidnhoathuman1014 Před 6 měsíci

    Hongera yake

  • @marianyange3013
    @marianyange3013 Před 6 měsíci

    Mama wa kizigua yuko vizuri,Hongera mama

  • @user-kz7ys5qw2h
    @user-kz7ys5qw2h Před 6 měsíci

    Mmmmmh cna hakika

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Před 6 měsíci +5

    Kwan mwinjaku asijenge kwa nn ridhiki anatoa mungu kujenga mbon nikawaida tuy mange aongee tuy lakin ndo kashajenga

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari2458 Před 6 měsíci +2

    Nyuma ya unaemjua kuna vitu usivyovijua

  • @user-me5ec4xp2j
    @user-me5ec4xp2j Před 6 měsíci

    Yupo vizuri Kama my mom alivo

  • @mawalasparepart6868
    @mawalasparepart6868 Před 6 měsíci +1

    Mama mwijaku mlembo sana

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 Před 6 měsíci +1

    Ktk yote nimependa neno mama kalitamka wala sio kwa ujanja wao nimungu tu.

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Před 6 měsíci

    Mwinjaku umewafunga wengi midomo. Tunamsubiri baba Levo

  • @MichaelJames-tp6co
    @MichaelJames-tp6co Před 6 měsíci

    Huyu mama mashallaaa mama amejawa na hekma

  • @RehemaMasunga-ml7kt
    @RehemaMasunga-ml7kt Před 6 měsíci +3

    Hata mimi nitajenga kama hiyo Mungu anisaidie

  • @mwanahamisinyenzi-vo6mj
    @mwanahamisinyenzi-vo6mj Před 6 měsíci

    Nimekupenda bureee

  • @happyminja-kb1ow
    @happyminja-kb1ow Před 6 měsíci

    Kama ni pesa ya jasho sio ya short Kati MUNGU ambariki aisee

  • @kilimanjaro77international26

    Bado mbichi huyu Dada, tulete mang'ombe?

  • @venusmakbel4679
    @venusmakbel4679 Před 6 měsíci

    Mi najiuliza kitu kitu kimoja ile nyumba ina vyumba vitatu tu kimoja cha mwanae kingine cha kwake na kingine kafanya ofisi hakuna chumba cha wageni😊 au dada wa kazi atalala kwa matiasi😂😂

  • @kilimanjaro77international26

    Banda la njiwa

  • @user-mb4si9nm3c
    @user-mb4si9nm3c Před 6 měsíci

    Kwahiyo mange na mwenye nyumba Nani atakuwa mkweli na mange akisema sio yake ndio ataaminika hatuombeane kheri jamani

  • @mathewungani9724
    @mathewungani9724 Před 6 měsíci +1

    Huu ni Ushamba

  • @angelsblackboard8008
    @angelsblackboard8008 Před 6 měsíci +1

    Subiri Mange atatupa za ndani.

    • @aisharamdan8358
      @aisharamdan8358 Před 6 měsíci

      Zandani kwamba nyumba sio yake au

    • @bakariomari8758
      @bakariomari8758 Před 6 měsíci

      Yaani maskini unawatoa ufahamu ndio maana mnarogana sana watz

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 Před 6 měsíci +1

      Hahahahaaa yaan mtu mzima usubiri mange aje kukuambia nyimba ni yake au la. Ama kweli kiazi

    • @rosemuhandoofficial5676
      @rosemuhandoofficial5676 Před 6 měsíci

      Kwa kweli​@@bakariomari8758

  • @ShekiyaoHussein-ki4ty
    @ShekiyaoHussein-ki4ty Před 6 měsíci

    Mama nimempenda kwa mazungumzo yake Mashalla

  • @mawalasparepart6868
    @mawalasparepart6868 Před 6 měsíci

    Kumbe mama mwijuku pisi kali

  • @omanmct135
    @omanmct135 Před 6 měsíci +1

    Maskin wamwche kilamtu nariski yake mungu kampa

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Před 6 měsíci

    Mange njooo.huku utuhakikishie hili jambo

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 Před 6 měsíci

      Weunamtumikia shetani ndio maana wamuamini mange kimavi

    • @user-uc8ei8kn3l
      @user-uc8ei8kn3l Před 6 měsíci

      😂😂😂😂😂kabsa kimambi wap

  • @KALULUALLI
    @KALULUALLI Před 6 měsíci

    DOTTO MAGAR ATATWAMBIA NYUMBA YA NANI TUNAMSUBIRI

    • @victoremanuel29
      @victoremanuel29 Před 6 měsíci

      Ameshajibu huko kuwa amechafua kiwanja hiyo siyo nyumba😂😂😂

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 Před 6 měsíci +1

    Dada wa Taifa karibu Kuna huyu Jamaa analidanganya Taifa

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Před 6 měsíci

    Dada mange njoo bwana huku kuna jambo hatuna uhakika nalo njoo utie neno😂

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Před 6 měsíci

    Dada mange njoo bwana huku kuna jambo hatuna uhakika nalo njoo utie neno😂

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 Před 6 měsíci +3

      Wivu

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 Před 6 měsíci

      @@fatmafatu1128 wivu au tuhakikishiwe wivu wanini sasa wakati mie mwenyewe japo kibanda ila sidaiwikodi upo

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 Před 6 měsíci

      @@fatmafatu1128 ukae.kwakutulia

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 Před 6 měsíci

      @@sofitanzanian955 acha uswahili uhakikishiwe kama nani? Endelea kukaa kwenu eti hudaiwi Kodi umeulizwa nanani kama wadaiwa au lah fata maisha yako yakubangaiza acha roho ya kisokoro kwino,

    • @aaa64sa13
      @aaa64sa13 Před 6 měsíci

      Fikra na Akili zako ni ndogo sana.