UCHAMBUZI WA KITABU “THINK AND GROW RICH”: HATUA 13 ZA KUBADILI MAISHA YAKO
Vložit
- čas přidán 26. 01. 2024
- Vitabu ni hazina. Kupitia vitabu akili zetu zinakutana na akili kubwa. Katika vitabu watu wenye mafanikio wanaongea nasisi, wanatupa mawazo yao na uzoefu wao katika mafanikio. Vitabu ni sauti ya watu ambao wako mbali nasisi na hatuwezi kukutana nao, ni sauti ya watu waliokufa wakituachia urithi na hazina ya mawazo yao.
Vitabu vinatupa usawa, na yeyote anae vitumia kwa usahihi na kuviamini vina muweka katika ulimwengu mmoja na watu wakubwa na mashuhuri wanaoishi na waliowahi kuishi katika hii dunia.
Haya sio maneno yangu, ni maneno ya William Channing, kama alivyonukuliwa na Ben Cason katika kitabu chake ya Think Big.
Naitwa MFAUME HASSAN, na karibu katika channel yangu ya SIRI ZA VITABU.
Nikufunulie siri zilizofichwa katika vitabu. Nikufunulie ubongo wa watu mashuhuri na waliofanikiwa.
Unaweza kufuatilia Siri za Vitabu
Instagram: siri_za_vitabu
Facebook: / sirizavitabu
Email: mfaumehassan@gmail.com
Contacts: 0745624754
Uchambuzi mazuri utakua muelezeaji nzur Kama video zako utapunguza hayo maelezo mengine yasiyo na mantiki zingatia mb
Shukran sana
🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Well bro ❤❤
Much thanks🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Congratulations kaka
Much thanks kaka🙏🏾
Asante kaka
🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Thanks🙏🙏
🙏🙏
Ninakipataje
0745624754
I love what you are doing.
Much thanks brother🙏🏾🙏🏾
Safi sana usiache
Shukran 🙏🏾🙏🏾
Ahsaante sana kaka ubarikiwe sana kwakweli nimejifunza mangi sana kupitia haya nafundisho yako ya Think and grow rich
Jambo zuri sana nafurahi kusikia hivyo
Vivi naweza kupataje hicho kitabu nimesoma vingi ila hicho bado
Nicheck kwa 0745624754
Je naweza kupata hichi kitabu cha THINK AND GROW RICH kwa lugha ya kiswahili
Hapana boss kwa bahati mbaya hakuna kilichotafsiriwa. Ila unaweza kufuatilia uchambuzi tunaofanya
Kaka kwasisi tusiojua kingereza tunasomaje hicho kitabu kipo cha kiswahili
Bahati mbaya Hakuna kilichotafsiriwa, ila unaweza kufuatilia uchambuzi wangu