Duuuh! Natamani huu ujumbe ungenijia tokea mwaka 2019. Nadhani maisha yangu yangekuwa tofauti sana. Ila kila kitu na mda wake, huu ndo mda wangu! Asante Hamasika tv kwa ujumbe huu, nimeelewa!
Kaka unaweza sana naitwa silyvester Patrick Nami nakipaji cha namnà hiyo lakini sina mtu wa kuniongoza wakunitia hasira nikafanya makubwa nafanya kipindi kwenye moja ya radio hapa tz naomba nisaidie
Thanks bro,,, wewe ni darasa huru kwa watu wetu
Mungu akubariki mno ... Najifunza mengi sana!
Hakika solution is the best way of making connection kaka unakipaji congratulation God bless you
Nimekubali bro Joel.
Ila kukupata ni changamoto sana sana.....
Asante gbaba langu kupitia wewe nazidi kunanauka💜✊👊💯☑
Duuuh! Natamani huu ujumbe ungenijia tokea mwaka 2019. Nadhani maisha yangu yangekuwa tofauti sana. Ila kila kitu na mda wake, huu ndo mda wangu! Asante Hamasika tv kwa ujumbe huu, nimeelewa!
Masomo yako yananielimisha vizuri kaka big up sana.
Too smart bro😮😮😮😮 physically & mentally
Woooh!!! Asante sana mtumishi! Barikiwa nimepata majibu ya maswali yangu mengi!
Allah bless u joel
My brother I have got a good experience from you may God bless u BT I need to meet with you brother plz
Nzuri Sana hii Asante nimejifunza
Asante fether.
Asante sna kwa maarifa hya
Mungu akubaliki sana mwalimu
Amina mtumishi barikiwa sana sana!
great tips
ubarikiwe saaana ndugu
Kaka unaweza sana naitwa silyvester Patrick Nami nakipaji cha namnà hiyo lakini sina mtu wa kuniongoza wakunitia hasira nikafanya makubwa nafanya kipindi kwenye moja ya radio hapa tz naomba nisaidie
Thank you... I will grow up
Soo great
Mungu hakubariki sana 🙏🙏❤️
Mungu endrelea kumulinda na kumtunza Joel Nanauka ili tuendeleekuvuna toka kwake.
Mtumishi ubarikiwe.
Asante kaka Joel nanauka
Thank u bro, but what about goals and dreams , what the differences?
Nabarikiwa sana
Ok teacher hapa nimekuelewa nilikua najiuliza kwamba utaujuaje wakati sahihi
best channel
Thanks so much for this
God blessed you
Wewe nikiongozi wangu pia
Exactly
Yes
Wawa kabisa
2020 nimejifunza kupeleka solution
Darasa lako Bomba sana
Masomo mazuri sana
Bro nakubali
Asante sana kaka kwa somo zuli
Barikiwa saana mafunzo mazuri saana
Nimemuonaa nyawandaa mwalimu wangu wa english advancee hah
Mafundisho yakovizuri sana ubalikiwe
Unatufanya Tujue Tusivyo vijua Thanks Bro
Naomba namba yako kaka
Uishi miaka mingi kaka
Mimi ninashida na Vitabu vyako ntavipateje????? Naishi ubungo Dar
🎉
mimi Hadi Leo siijui purpose
Hii semina unatoa kwa shule au mkutano
NaFulahi kuku sikiliza ni najiFuza sana kupitia kwako ubalikiwe kaka
Aiseee ukweli ulio tukuka
@joelnanauka hukoseagi kocha wa maisha
m u n g u n m w e ma
Naomba nitumie namba yako kaka
Ujasili ndio naomb unisaidie
Nahitaj vitabu vyako napataje...
Kaka dicholeo
Siku zote nanauka huwa anatoa madin konki