i know Im asking randomly but does anyone know of a way to get back into an instagram account..? I was dumb lost my account password. I appreciate any tricks you can offer me.
Hakika kufanya jambo kwa ajili ya kufurahisha/ kulidhisha wengine ni kujibebesha mzigo mkubwa maishani kwani mwisho wa siku unajikuta wewe uko pale pale na wao wako vile vile. Nilichojifunza kwenye hili ni wewe kupigania ndoto zako kwanza. Asante sana Joel, barikiwa.
Ni mentor mzuri unayegusa sehemu kubwa ya maisha ya watu na hasa baadhi yetu kama wafanyakazi. siku moja, i wish to seek your audience, if you don`t mind brother. the philosphy of 18: 40:60 by David Meena matters a lot. Additionally, Dr. Maijin Louse's quote "many people are borne original but they die a copy". kiukwel bullets zote 7 ni muhimu na yinginezo nyingi.
impression, oooooooh!!! hii inanikuta Mara kwa Mara sometimes I do ili nimfurahishe mtu fulan Hapa lakn sas Nakuja kugundua kwamba hata nifanye nn siwez kumridhisha, Thank you very much for your thoughts this is the time for change #SeeYouAtTheTopToo
Asante sana kwa funzo ya leo, umeeleza vyema sana and nilicho gundua tokana na funzo hili ni kwamba; all are habits that one can choose to develope, or be discipline and change all of them, *Habit is more important than the intensity at first* take action to develope good habit instead of negative Thank you
Swala la akiba umenigusa sana maana Mimi nafanya kazi ya kuajiliwa kila nikipokea natuma zote nabaki mweupe mpaka nawaza nikiachishwa kazi ntaenda kufanya nini na hela yote nishatuma na ishatumika ngoja niaze kuweka akiba
kaka joeli fundisho hili limenigusa kwa asilimia 90 , jambo ambalo itabidi nilifanyie kazi ni kupoteza na kutumia pesa kiasi kikubwa kuliko ninayo ingiza per day nimekuewa blaza thank you
Kwa hiyari ninakufata ninapokuona, wala hujanifunga kamba ili kunikokota popote uendapo. Asante, kwasababu unanikumbusha yale yanihusuyo. Hivyo, ndio maana nakuona mpya kila siku, kabisa hunikifu kama chakula kisivyonikifu, yaani kila siku lazima nile ili nisife.
Kaka Joel mimi nafanya kazi na kipato changu ni 130000 na kuna mdada nina mahusiano naye na anataka nimsomeshe ufundi cherehani kwa muda wa miezi 6 na gharama yake ni 55000 kwa mwezi na mimi bado nina malengo ya kujiendeleza kwenye fani ya udereva na mpaka sasa hv nina PSV nahitaji kwenda mwaka huu na nikiangalia au nikichunguza kwa kina naona nikimsomesha mimi nitakwama na yeye nampenda sana, naomba ushauri nifanyeje kaka....?
kaka uko vizur aisee i like you speach,vp naweza kukupatajee,,ili tuchonge zaidii,maana naona speach yako imenikuna kinomaa noma Niko chuo kikuu mwaka wa pili makumira university arusha kitovu cha ualimuu,but uko vizr aisee
consumption mentality;hii kanuni Niko nayo lakini mwanzo niliona kama namaliza pesa lakini kwa sasa naifurahia kutokana na kazi ninayoifanya,tusiogope kuwekeza
Joel habari yako. Awali ya yote ahsante sana kwa viping vyako. kwa kweli unatoa msaada mkubwa sana ktk jamii. katika makosa saba ambayo uliyoyazungumzia . kwa upende wangu nimeliona jomba la kwa kwanza ( conception mentality) ndilo linalonitesa sana. lakini hebu nisaidie mimi kipato changu kwa mwezi ni 150,000/= je ni namna gani ninaweza kuiepuka dhara ya mwanzo ?
You're the best motivational speaker, asante sana kwa mafunzo mazuri
Powerful content as usual my brother. Mwelekeo na msimamo kwenye maisha ni vitu muhimu sana. Thank you Joel.
Nmekuona j NNE
nakukubal bro
i know Im asking randomly but does anyone know of a way to get back into an instagram account..?
I was dumb lost my account password. I appreciate any tricks you can offer me.
Jambo kuongeza ujuzi ni muhim sana
Uko vizuri mwalimu
Nitaanza na Kuacha maisha ya kuishi kwa kuwafurahisha wengine na kupoteza muda asante sana brother ubarikiwe
Key skill very important
Uko vizuri kaka
I was born to be a winner #SeeyouatThetop
Sijutii kabisa kukujua balikiwa sana
See you at the top!
Kaka wewe medicine tuna kunywa tuna pona kutoka hari yakuumwa umaskini mbaka kupona utajjri.asante mungu akubariki amina.
hakika kaka asante kwa elimu nzuri umebadilisha Maisha yangu kwa kiasi kikubwa
Hakika kufanya jambo kwa ajili ya kufurahisha/ kulidhisha wengine ni kujibebesha mzigo mkubwa maishani kwani mwisho wa siku unajikuta wewe uko pale pale na wao wako vile vile.
Nilichojifunza kwenye hili ni wewe kupigania ndoto zako kwanza. Asante sana Joel, barikiwa.
Ni mentor mzuri unayegusa sehemu kubwa ya maisha ya watu na hasa baadhi yetu kama wafanyakazi. siku moja, i wish to seek your audience, if you don`t mind brother. the philosphy of 18: 40:60 by David Meena matters a lot. Additionally, Dr. Maijin Louse's quote "many people are borne original but they die a copy". kiukwel bullets zote 7 ni muhimu na yinginezo nyingi.
aksante sana my brother, nimejifunza kufanya jambo kubwa ili kuonekana na watu,wakati kipato chako cha chini, Ni bora kubadilika sasa
Nimekuelewa mjomba
Ubarikiwe sana
impression, oooooooh!!! hii inanikuta Mara kwa Mara sometimes I do ili nimfurahishe mtu fulan Hapa lakn sas Nakuja kugundua kwamba hata nifanye nn siwez kumridhisha, Thank you very much for your thoughts this is the time for change #SeeYouAtTheTopToo
Kaka kiukweli nazidi kupata vitu vingi Asante kwakujitoa Mungu akuzidishie maradufu
Mungu amekujaalia kipaji Mashaa Allah siku zote unagusa maisha yangu najifuza mengi mno kupitia CZcams channel yako thanks
Mh hadi najichukia. Asante sana kaka
Kuachana Na Raha ya Vitu vya Muda Mfupii Kutengeneza Furaha Ya Muda Mrefu pamoja Na wasting Time Nashughulika Nazo!!Barikiwe Sana Kaka JOEL
Hakika nakuelewa sana na kukufuatilia kwangu naendelea kufaidika
mngu akulinde
Asante sana kwa kutufungua masikio
Shukrani sana kaka Joel
Joel asate sana Kwa umentorship wako I have been blessed. Can you expand it Further #3 delayed gratification please?
asante mentor, bless you
Hongera sana kaka,somo zuri sana,sio hili na masomo mengine mengi unazopost,keep on brother!!
All the best for me
asante kwa somo zuri be blessed
To Build a Key Skills...
ni kweli kaka joel mimi ni hiyo ya 1na hiyo ya 3 ila nitanzifanyiya kazi nintafaniki wa kwenye jambo nimejiwekeya katika maisha yangu
upo vizuri sana kwa uelemishaji
Unafundisha kweli
Thanks so much God bless you.
Asante sana kaka Joël tena umeniongezea ujuzi ,
Asante sana kwa namna umekuwa msaada kwa jamii.
Nilibarikiwa sana tangu ninekuona Mbeya na bado nazidi kubarikiwa
Mungu akutunze Mr Joel.
Mungu awe imara ktk maisha yako yote.
Thanks nice one..
Asante sana kwa funzo ya leo, umeeleza vyema sana and nilicho gundua tokana na funzo hili ni kwamba; all are habits that one can choose to develope, or be discipline and change all of them, *Habit is more important than the intensity at first* take action to develope good habit instead of negative
Thank you
Swala la akiba umenigusa sana maana Mimi nafanya kazi ya kuajiliwa kila nikipokea natuma zote nabaki mweupe mpaka nawaza nikiachishwa kazi ntaenda kufanya nini na hela yote nishatuma na ishatumika ngoja niaze kuweka akiba
kaka joel nanauka kweli fundissho hili ni nzuli sana it touched me very soon i will reach to the my goals
Thank you
Gud...napata somo kubwa sana...
Ahsante bro kwa kunitia nguvu ya kutenda
Ahsante sana kwa somo nzur
Mimi ni mhanga wa kupoteza MUDA naomba msaada
Asante
Akili kubwa sana bro thenx kwa darasa nijifunza kitu kubwa
U hit the point bro Joel
Somo zuri Sana thanx bro
Ni kweli kabisa kaka Joel.... Hapo katika kutumia pesa kuliko kuwekeza ni tatizo... Asante sana kaka...
#See You At The Top
thanks bro umenisaidia kitu furani......
kaka joeli fundisho hili limenigusa kwa asilimia 90 , jambo ambalo itabidi nilifanyie kazi ni kupoteza na kutumia pesa kiasi kikubwa kuliko ninayo ingiza per day nimekuewa blaza thank you
Safi Sana mwalimu wangu
Asante sana Mwalim
Nataka nianze kuwa mtu mwenye muelekeo
Mmmm stay bleced bro.....maana consuption mentality inanihusu kabisa....Mungu azidi kukutumia .
Kaka vizuri xana uko makini
Aisee umesoma saikoloji kabisa uko sahihi
Daily unatutoa kwenye dhambi ya ujinga na umasikini mi. saivi nishajua nielekee wapi thanks brother.
salute dude
Thankx Sir Kwa tiba ya #AKILI Tunazidi kusonga kwa kasi sana.
Kwa hiyari ninakufata ninapokuona, wala hujanifunga kamba ili kunikokota popote uendapo. Asante, kwasababu unanikumbusha yale yanihusuyo. Hivyo, ndio maana nakuona mpya kila siku, kabisa hunikifu kama chakula kisivyonikifu, yaani kila siku lazima nile ili nisife.
Nimeipenda
ahxanteee brother
Darasa tosha #SeeYouAtTheTop
Nimekuwa mtoro darasan but now am back sir..
Kaka Somo Lako..linanifanya...kilasiku,,,niwe.Mpya# thanks Broh#
Makini sana
Asante kaka Nanauka Umenijenga kimaisha
Asante bro kwa kutunyoosha
Nakuelewa sana bro
Kaka Joel mimi nafanya kazi na kipato changu ni 130000 na kuna mdada nina mahusiano naye na anataka nimsomeshe ufundi cherehani kwa muda wa miezi 6 na gharama yake ni 55000 kwa mwezi na mimi bado nina malengo ya kujiendeleza kwenye fani ya udereva na mpaka sasa hv nina PSV nahitaji kwenda mwaka huu na nikiangalia au nikichunguza kwa kina naona nikimsomesha mimi nitakwama na yeye nampenda sana, naomba ushauri nifanyeje kaka....?
Gharama zangu mpaka kuhitimu si chini ya 1m (1,000, 000)
Nakupa pongezi kakngu kwa ushauri wako
asante sana Mtumishi
Asante kaka joeli kwa elimu unayotupatia,mim impression life style ndo naona ni changamoto kwa sis vjanaa
Mungu akubaliki kaka
Ahsante Sana kaka
kaka uko vizur aisee i like you speach,vp naweza kukupatajee,,ili tuchonge zaidii,maana naona speach yako imenikuna kinomaa noma Niko chuo kikuu mwaka wa pili makumira university arusha kitovu cha ualimuu,but uko vizr aisee
barikiwa sana
Nice nimependa sana somo limenigusa
Thank you brother very nice
Leo nimejifunza kitu kikubwa sana
Ila na mm nataka niwe author,but god bless u my brother.
How do I get your books on soc copy !
Kweli kabisa
consumption mentality;hii kanuni Niko nayo lakini mwanzo niliona kama namaliza pesa lakini kwa sasa naifurahia kutokana na kazi ninayoifanya,tusiogope kuwekeza
Asante sana kwa elimu unayo tupatia, lakini kama inawezekana tunaomba ututengenezee group la WhatsApp kwa ajili ya kupata mafundisho yako vema.
Ujumbe mzito sana kwa wenye kujifunza tutaendelea kusikiliza na kuelewa somo je Vitabu vyako vipi kwa Lugha ya Kishwahili au?.
Ahsante sana kwa ufanuzi wako wa fursa, Mimi npo arusha nitapata wapi hicho kitabu chako?
Vp kaka napataje vtabu
Ni kwel baadh znanihusu
Nakuelewag sana kaka barkiwa
Hellow niunge kwa group by No 0711693459
Asante kaka Joel kwa somo zuriii...ubarikiwe
Karibu sana mary
@@joelnanauka Asante saaana Joel
Joel habari yako. Awali ya yote ahsante sana kwa viping vyako. kwa kweli unatoa msaada mkubwa sana ktk jamii. katika makosa saba ambayo uliyoyazungumzia . kwa upende wangu nimeliona jomba la kwa kwanza ( conception mentality) ndilo linalonitesa sana. lakini hebu nisaidie mimi kipato changu kwa mwezi ni 150,000/= je ni namna gani ninaweza kuiepuka dhara ya mwanzo ?
Umetisha sana kaka
Safi sana kaka ,ubarikiwe sana
Much respect mkuu
💊
Nmekuelew vyema Kaka
Asante sana kaka Joel ila Arusha tunapataje vitabu vyako maana maktaba nying havipatikan??
Responsibility