Makosa Saba (7) Ambayo Watu Wengi Wanafanya Kuwakosesha Fursa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 01. 2019
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 150

  • @abdallahissa2839
    @abdallahissa2839 Před 4 lety +3

    You're the best motivational speaker, asante sana kwa mafunzo mazuri

  • @successpathnetwork
    @successpathnetwork Před 5 lety +15

    Powerful content as usual my brother. Mwelekeo na msimamo kwenye maisha ni vitu muhimu sana. Thank you Joel.

    • @shedrackbenjamin7917
      @shedrackbenjamin7917 Před 5 lety

      Nmekuona j NNE

    • @paulpanga8017
      @paulpanga8017 Před 5 lety

      nakukubal bro

    • @luccajesus8382
      @luccajesus8382 Před 2 lety

      i know Im asking randomly but does anyone know of a way to get back into an instagram account..?
      I was dumb lost my account password. I appreciate any tricks you can offer me.

    • @jifunzetv8231
      @jifunzetv8231 Před 2 lety +1

      Jambo kuongeza ujuzi ni muhim sana

  • @melejilembeu8077
    @melejilembeu8077 Před 7 měsíci

    Uko vizuri mwalimu

  • @ramadhanalmashamza3458

    Nitaanza na Kuacha maisha ya kuishi kwa kuwafurahisha wengine na kupoteza muda asante sana brother ubarikiwe

  • @charlesmatias5678
    @charlesmatias5678 Před 4 lety +1

    Key skill very important

  • @busagalafrank689
    @busagalafrank689 Před rokem

    Uko vizuri kaka

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 Před 4 lety +2

    I was born to be a winner #SeeyouatThetop

  • @marthazakayo9787
    @marthazakayo9787 Před 4 lety

    Sijutii kabisa kukujua balikiwa sana

  • @canny255
    @canny255 Před 5 lety +3

    See you at the top!

  • @hellychavdy5531
    @hellychavdy5531 Před 5 lety +2

    Kaka wewe medicine tuna kunywa tuna pona kutoka hari yakuumwa umaskini mbaka kupona utajjri.asante mungu akubariki amina.

  • @piusgiringa409
    @piusgiringa409 Před 5 lety +3

    hakika kaka asante kwa elimu nzuri umebadilisha Maisha yangu kwa kiasi kikubwa

  • @beatricemapembe8941
    @beatricemapembe8941 Před 5 lety

    Hakika kufanya jambo kwa ajili ya kufurahisha/ kulidhisha wengine ni kujibebesha mzigo mkubwa maishani kwani mwisho wa siku unajikuta wewe uko pale pale na wao wako vile vile.
    Nilichojifunza kwenye hili ni wewe kupigania ndoto zako kwanza. Asante sana Joel, barikiwa.

  • @hmutabuzi4438
    @hmutabuzi4438 Před 4 lety +1

    Ni mentor mzuri unayegusa sehemu kubwa ya maisha ya watu na hasa baadhi yetu kama wafanyakazi. siku moja, i wish to seek your audience, if you don`t mind brother. the philosphy of 18: 40:60 by David Meena matters a lot. Additionally, Dr. Maijin Louse's quote "many people are borne original but they die a copy". kiukwel bullets zote 7 ni muhimu na yinginezo nyingi.

  • @eugenfredrick2328
    @eugenfredrick2328 Před 5 lety +2

    aksante sana my brother, nimejifunza kufanya jambo kubwa ili kuonekana na watu,wakati kipato chako cha chini, Ni bora kubadilika sasa

  • @alihaji9576
    @alihaji9576 Před rokem +1

    Nimekuelewa mjomba

  • @feedomcharles4722
    @feedomcharles4722 Před 4 lety

    Ubarikiwe sana

  • @phanuelpaul3785
    @phanuelpaul3785 Před 5 lety +1

    impression, oooooooh!!! hii inanikuta Mara kwa Mara sometimes I do ili nimfurahishe mtu fulan Hapa lakn sas Nakuja kugundua kwamba hata nifanye nn siwez kumridhisha, Thank you very much for your thoughts this is the time for change #SeeYouAtTheTopToo

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 Před 2 lety

    Kaka kiukweli nazidi kupata vitu vingi Asante kwakujitoa Mungu akuzidishie maradufu

  • @safiaabubakar1120
    @safiaabubakar1120 Před 5 lety +1

    Mungu amekujaalia kipaji Mashaa Allah siku zote unagusa maisha yangu najifuza mengi mno kupitia CZcams channel yako thanks

  • @annadavid101
    @annadavid101 Před 4 lety

    Mh hadi najichukia. Asante sana kaka

  • @davidtvonline6020
    @davidtvonline6020 Před 5 lety

    Kuachana Na Raha ya Vitu vya Muda Mfupii Kutengeneza Furaha Ya Muda Mrefu pamoja Na wasting Time Nashughulika Nazo!!Barikiwe Sana Kaka JOEL

  • @josephmichael9555
    @josephmichael9555 Před 2 lety

    Hakika nakuelewa sana na kukufuatilia kwangu naendelea kufaidika

  • @johariphilemon8630
    @johariphilemon8630 Před 3 lety

    mngu akulinde

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_ Před 4 lety

    Asante sana kwa kutufungua masikio

  • @eveswai5501
    @eveswai5501 Před 3 lety

    Shukrani sana kaka Joel

  • @judemazho9612
    @judemazho9612 Před 5 lety +3

    Joel asate sana Kwa umentorship wako I have been blessed. Can you expand it Further #3 delayed gratification please?

  • @sarajngonyani
    @sarajngonyani Před 5 lety +2

    asante mentor, bless you

  • @nathanielsteven539
    @nathanielsteven539 Před 5 lety +1

    Hongera sana kaka,somo zuri sana,sio hili na masomo mengine mengi unazopost,keep on brother!!

  • @alexbushishi8342
    @alexbushishi8342 Před 4 lety

    All the best for me

  • @maggiepeter8936
    @maggiepeter8936 Před 5 lety +1

    asante kwa somo zuri be blessed

  • @michaeldidas8534
    @michaeldidas8534 Před 5 lety +3

    To Build a Key Skills...

  • @douglasradley6698
    @douglasradley6698 Před 5 lety

    ni kweli kaka joel mimi ni hiyo ya 1na hiyo ya 3 ila nitanzifanyiya kazi nintafaniki wa kwenye jambo nimejiwekeya katika maisha yangu

  • @gabrielmapunda4958
    @gabrielmapunda4958 Před 4 lety

    upo vizuri sana kwa uelemishaji

  • @loycharles5299
    @loycharles5299 Před 4 lety

    Unafundisha kweli

  • @nizigamabosco2095
    @nizigamabosco2095 Před 3 lety

    Thanks so much God bless you.

  • @joseefaidabutu6467
    @joseefaidabutu6467 Před 5 lety

    Asante sana kaka Joël tena umeniongezea ujuzi ,

  • @gwakisamwakilema
    @gwakisamwakilema Před 5 lety

    Asante sana kwa namna umekuwa msaada kwa jamii.
    Nilibarikiwa sana tangu ninekuona Mbeya na bado nazidi kubarikiwa
    Mungu akutunze Mr Joel.

  • @petersamson3725
    @petersamson3725 Před 5 lety

    Mungu awe imara ktk maisha yako yote.

  • @dullahkigoda478
    @dullahkigoda478 Před 5 lety

    Thanks nice one..

  • @msleny6767
    @msleny6767 Před 5 lety

    Asante sana kwa funzo ya leo, umeeleza vyema sana and nilicho gundua tokana na funzo hili ni kwamba; all are habits that one can choose to develope, or be discipline and change all of them, *Habit is more important than the intensity at first* take action to develope good habit instead of negative
    Thank you

  • @mwajumamwishehe3423
    @mwajumamwishehe3423 Před 5 lety

    Swala la akiba umenigusa sana maana Mimi nafanya kazi ya kuajiliwa kila nikipokea natuma zote nabaki mweupe mpaka nawaza nikiachishwa kazi ntaenda kufanya nini na hela yote nishatuma na ishatumika ngoja niaze kuweka akiba

  • @douglasradley6698
    @douglasradley6698 Před 5 lety

    kaka joel nanauka kweli fundissho hili ni nzuli sana it touched me very soon i will reach to the my goals

  • @mwanashagladys4581
    @mwanashagladys4581 Před 2 lety

    Thank you

  • @sadathmfugwa7650
    @sadathmfugwa7650 Před 5 lety

    Gud...napata somo kubwa sana...

  • @sabatomjungu9727
    @sabatomjungu9727 Před 5 lety

    Ahsante bro kwa kunitia nguvu ya kutenda

  • @shanisaidy5033
    @shanisaidy5033 Před 5 lety

    Ahsante sana kwa somo nzur

  • @emadonad3893
    @emadonad3893 Před 2 lety

    Mimi ni mhanga wa kupoteza MUDA naomba msaada

  • @philomenajolam8516
    @philomenajolam8516 Před 3 lety

    Asante

  • @mbwanaomary7537
    @mbwanaomary7537 Před 5 lety

    Akili kubwa sana bro thenx kwa darasa nijifunza kitu kubwa

  • @ibzanruheta
    @ibzanruheta Před 5 lety

    U hit the point bro Joel

  • @temekeict7618
    @temekeict7618 Před 5 lety

    Somo zuri Sana thanx bro

  • @misskwileka1956
    @misskwileka1956 Před 5 lety

    Ni kweli kabisa kaka Joel.... Hapo katika kutumia pesa kuliko kuwekeza ni tatizo... Asante sana kaka...
    #See You At The Top

  • @josephhenry1274
    @josephhenry1274 Před 5 lety

    thanks bro umenisaidia kitu furani......

  • @denissanga454
    @denissanga454 Před 5 lety

    kaka joeli fundisho hili limenigusa kwa asilimia 90 , jambo ambalo itabidi nilifanyie kazi ni kupoteza na kutumia pesa kiasi kikubwa kuliko ninayo ingiza per day nimekuewa blaza thank you

  • @basamtz8674
    @basamtz8674 Před 5 lety

    Safi Sana mwalimu wangu

  • @ndayizeyedesire8767
    @ndayizeyedesire8767 Před 5 lety

    Asante sana Mwalim

  • @buruhanimtonya1621
    @buruhanimtonya1621 Před 4 lety

    Nataka nianze kuwa mtu mwenye muelekeo

  • @eliachavala2095
    @eliachavala2095 Před 5 lety

    Mmmm stay bleced bro.....maana consuption mentality inanihusu kabisa....Mungu azidi kukutumia .

  • @sadamofficialtz
    @sadamofficialtz Před 5 lety

    Kaka vizuri xana uko makini

  • @editordominick6879
    @editordominick6879 Před 5 lety

    Aisee umesoma saikoloji kabisa uko sahihi

  • @issahamadi4734
    @issahamadi4734 Před 3 lety

    Daily unatutoa kwenye dhambi ya ujinga na umasikini mi. saivi nishajua nielekee wapi thanks brother.

  • @blasiokajuna
    @blasiokajuna Před 5 lety

    salute dude

  • @babalois7240
    @babalois7240 Před 5 lety

    Thankx Sir Kwa tiba ya #AKILI Tunazidi kusonga kwa kasi sana.

  • @sumiodilo1180
    @sumiodilo1180 Před 5 lety

    Kwa hiyari ninakufata ninapokuona, wala hujanifunga kamba ili kunikokota popote uendapo. Asante, kwasababu unanikumbusha yale yanihusuyo. Hivyo, ndio maana nakuona mpya kila siku, kabisa hunikifu kama chakula kisivyonikifu, yaani kila siku lazima nile ili nisife.

  • @charleserasto3749
    @charleserasto3749 Před 5 lety

    Nimeipenda

  • @heriethkambanyuma6835
    @heriethkambanyuma6835 Před 5 lety

    ahxanteee brother

  • @charlzzesonconsciousness6685

    Darasa tosha #SeeYouAtTheTop

  • @cheddykipingu8087
    @cheddykipingu8087 Před 5 lety +1

    Nimekuwa mtoro darasan but now am back sir..

  • @josephboniface6209
    @josephboniface6209 Před 4 lety

    Kaka Somo Lako..linanifanya...kilasiku,,,niwe.Mpya# thanks Broh#

  • @eliasayasini1466
    @eliasayasini1466 Před 5 lety

    Makini sana

  • @dawhacker2216
    @dawhacker2216 Před 5 lety

    Asante kaka Nanauka Umenijenga kimaisha

  • @tresorshujaa5725
    @tresorshujaa5725 Před 5 lety

    Asante bro kwa kutunyoosha

  • @edwineedison6291
    @edwineedison6291 Před 5 lety

    Nakuelewa sana bro

  • @ezrommkambati2948
    @ezrommkambati2948 Před 5 lety +5

    Kaka Joel mimi nafanya kazi na kipato changu ni 130000 na kuna mdada nina mahusiano naye na anataka nimsomeshe ufundi cherehani kwa muda wa miezi 6 na gharama yake ni 55000 kwa mwezi na mimi bado nina malengo ya kujiendeleza kwenye fani ya udereva na mpaka sasa hv nina PSV nahitaji kwenda mwaka huu na nikiangalia au nikichunguza kwa kina naona nikimsomesha mimi nitakwama na yeye nampenda sana, naomba ushauri nifanyeje kaka....?

  • @aishamohad1155
    @aishamohad1155 Před 4 lety

    Nakupa pongezi kakngu kwa ushauri wako

  • @mathewmassawe5982
    @mathewmassawe5982 Před 5 lety

    asante sana Mtumishi

  • @johnluhwa8342
    @johnluhwa8342 Před 5 lety

    Asante kaka joeli kwa elimu unayotupatia,mim impression life style ndo naona ni changamoto kwa sis vjanaa

  • @michaellungwe6507
    @michaellungwe6507 Před 5 lety

    Mungu akubaliki kaka

  • @frankfiretz
    @frankfiretz Před 5 lety

    Ahsante Sana kaka

  • @reganleonard582
    @reganleonard582 Před 5 lety

    kaka uko vizur aisee i like you speach,vp naweza kukupatajee,,ili tuchonge zaidii,maana naona speach yako imenikuna kinomaa noma Niko chuo kikuu mwaka wa pili makumira university arusha kitovu cha ualimuu,but uko vizr aisee

  • @meddygregory9038
    @meddygregory9038 Před 5 lety

    barikiwa sana

  • @octavianprosper2295
    @octavianprosper2295 Před 5 lety

    Nice nimependa sana somo limenigusa

  • @debrahmwaswala9044
    @debrahmwaswala9044 Před 5 lety

    Leo nimejifunza kitu kikubwa sana

  • @wilondjabinyams5925
    @wilondjabinyams5925 Před 4 lety

    Ila na mm nataka niwe author,but god bless u my brother.

  • @williamgitenge
    @williamgitenge Před 4 lety +1

    How do I get your books on soc copy !

  • @aaaavvvv4261
    @aaaavvvv4261 Před 5 lety

    Kweli kabisa

  • @msengisimoni2087
    @msengisimoni2087 Před 5 lety

    consumption mentality;hii kanuni Niko nayo lakini mwanzo niliona kama namaliza pesa lakini kwa sasa naifurahia kutokana na kazi ninayoifanya,tusiogope kuwekeza

  • @madarakaenock9171
    @madarakaenock9171 Před 5 lety

    Asante sana kwa elimu unayo tupatia, lakini kama inawezekana tunaomba ututengenezee group la WhatsApp kwa ajili ya kupata mafundisho yako vema.

  • @manenolugendo6396
    @manenolugendo6396 Před 5 lety

    Ujumbe mzito sana kwa wenye kujifunza tutaendelea kusikiliza na kuelewa somo je Vitabu vyako vipi kwa Lugha ya Kishwahili au?.

  • @charlespiusmmushi145
    @charlespiusmmushi145 Před 5 lety

    Ahsante sana kwa ufanuzi wako wa fursa, Mimi npo arusha nitapata wapi hicho kitabu chako?

  • @feedomcharles4722
    @feedomcharles4722 Před 4 lety

    Vp kaka napataje vtabu

  • @mwanamkasihabibu9915
    @mwanamkasihabibu9915 Před 5 lety

    Ni kwel baadh znanihusu

  • @carolkimaros143
    @carolkimaros143 Před 5 lety

    Nakuelewag sana kaka barkiwa

  • @maryclement7425
    @maryclement7425 Před 5 lety +1

    Asante kaka Joel kwa somo zuriii...ubarikiwe

  • @mussaameir5230
    @mussaameir5230 Před 3 lety

    Joel habari yako. Awali ya yote ahsante sana kwa viping vyako. kwa kweli unatoa msaada mkubwa sana ktk jamii. katika makosa saba ambayo uliyoyazungumzia . kwa upende wangu nimeliona jomba la kwa kwanza ( conception mentality) ndilo linalonitesa sana. lakini hebu nisaidie mimi kipato changu kwa mwezi ni 150,000/= je ni namna gani ninaweza kuiepuka dhara ya mwanzo ?

  • @hilarygodfrey5862
    @hilarygodfrey5862 Před 5 lety

    Umetisha sana kaka

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 Před 5 lety

    Much respect mkuu

  • @stanleygeofrey6277
    @stanleygeofrey6277 Před 5 lety

    Nmekuelew vyema Kaka

  • @muntarmubaraka71
    @muntarmubaraka71 Před 5 lety

    Asante sana kaka Joel ila Arusha tunapataje vitabu vyako maana maktaba nying havipatikan??

  • @awamkhalid5361
    @awamkhalid5361 Před 5 lety

    Responsibility