Njia 4 Za Kuongeza Thamani Yako Ili Ulipwe Zaidi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 04. 2018
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 64

  • @mobilesolution2413
    @mobilesolution2413 Před 6 lety +11

    kaka joel wewe mtu wa pekee sna kwenye dunia mungu azidi kukupa afya na maisha marefu natumaini utasaidia wengi BIG UP

  • @edwardgodfrey6283
    @edwardgodfrey6283 Před 5 lety +2

    Napenda sana mafundisho yako maana kila unachofundisha unagusa sehem fulani ya maisha yangu thenks sana brother.Mungu akupe maarifa zaidi.

  • @kennytwinzi821
    @kennytwinzi821 Před 5 lety +2

    Kama kuna BAADHI ya video za J.Nanauka unazirudia kuzicheck kama hii hapa gonga like kabisaaa!!!...Kaka Mungu aendelee kukuweka hai ili uendelee kuona mafanikio unayoyasababisha kwa vijana wanaojielewa #joelNanauka.

  • @felixbakari4845
    @felixbakari4845 Před 5 lety +3

    Daaaaa kaka nakuelewa sana nataka uwe life coach wangu and my mentor japo kwa sisi waajiriwa wa serikalini changamoto ni nyingi katika kujiongezea thamani

  • @priscilerehemasongolo7233

    Asante sana kwa mafundisho mazuri Mungu azidi kukutia nguvu na kukuongezea ujuzi ili uendelee kutufundisha

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 Před 3 lety

    Madarasa yako yamenibadilsha kwa Asilmia 70 nashukuru sana Mwenyez Mungu akulinde daima uwe vyema.

  • @valentinamussa4212
    @valentinamussa4212 Před 5 lety +2

    Asante sana kaka joel kwa ushauri mzuri,na kutufundisha njia ya mafanikio nakushukuru sana binafsi umenisaidia kwenye maisha yangu kimaisha kifkra na kiakili na ninayafanyia kazi,nimeona mwanga

  • @DjaroArungu
    @DjaroArungu Před 5 lety +16

    Hii ya Utangazaji hata mim nliitumia sna.
    Nlikuwa natangaza Mwenyewe Geto wenzangu wakinicheka.
    Nasoma magazeti kwa sauti kama Mtangazaji, nasoma taarifa za Habari, nafanya vipindi vya burudani nk.
    Now ni Mtangazaji mkubwa mwenye Tuzo nyingi tu.

  • @muhsinsalum2305
    @muhsinsalum2305 Před 5 lety +1

    Nakukubali kiumbe we mwisho

  • @assamwakasanga3570
    @assamwakasanga3570 Před 6 lety +2

    Asantee San Kaka Joel Arthur nanauka Mungu akubariki na azidi kukupa ufaham wakutuletea mawazo mapya kila wakati....nasi tunapata Vitu muhimu kutoka kwako imladi Tuwe tunayafanyia kazi mawazo yako tutafanikiwa zaidi na zaidi

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga3535 Před 6 lety +4

    Hii ni zaidi ya darasa big up Mr nanauka

  • @yohanaamos6860
    @yohanaamos6860 Před 5 lety +1

    safi sana brother nimekusikiliza kwa makini sana unafundisha vizuri sana

  • @basamtz8674
    @basamtz8674 Před 6 lety +1

    Yani nakubali sana kazi kako nimemaliza vitabu vyako viwili naitaji nifuate vingine hongera Sana kakaangu

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 Před 3 lety

    Madarasa yako yamenibadilsha kwa Asilmia 100 , nashukuru sana Mwenyez Mungu akulinde daima uwe vyema.

  • @Usawa_phonetech
    @Usawa_phonetech Před 4 lety

    Asliamia 90% ya maisha au maendleo nilionayo umesababisha ww kwa kukusikiliza na nazani napata wazo na fursa nzur kwa kukuskilza na kutimiza kwa vitendo Bless mr i wish

  • @edwardgodfrey6283
    @edwardgodfrey6283 Před 5 lety +2

    Habari brother, nimejifanza kitu katika Somo hili na nimebaki na swali nikaona nikuulize Je, nikitaka kutengenza marafiki wapya ambao naweza kushauriana nao maswala ya kimaendeleo napaswa kufanyaje

  • @lucasdafyoso5263
    @lucasdafyoso5263 Před 5 lety +1

    Bro Joel uko vzr unanpa motivation kubwa sana hi unaweza pata VP furaha ukiwa na maumiv

  • @malalezengo4405
    @malalezengo4405 Před 6 lety +4

    aise umesema uhakika sana mwalimu daahh hongre sana

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe326 Před 5 lety +1

    Asant sana mwalimu joel nanauka

  • @michaelshayo187
    @michaelshayo187 Před 3 lety

    Ahsante bro kwa masomo mazuri sana

  • @LSA-23
    @LSA-23 Před 6 lety +4

    Asante bro

  • @user-zb4fe8oj6e
    @user-zb4fe8oj6e Před 2 měsíci

    Asante sana kaka najikutaga nakuelewa sana yaan

  • @biubwaahmadi40
    @biubwaahmadi40 Před 6 lety +1

    Asante sana Joel.
    Nitayafanyia kazi
    Hakika ni zaidi ya darasa.

  • @mengicacoconut8144
    @mengicacoconut8144 Před 5 lety +1

    Thanks, point ya pili imenigusaaa mnoo, God bless you much

  • @chrissmalloy9
    @chrissmalloy9 Před 5 lety +1

    Kabisa bro

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před 2 lety

    UBARIKIWE SANA

  • @hamisimgaya7889
    @hamisimgaya7889 Před 5 lety +2

    Nakukubli xana nanauka

  • @bitemwita6809
    @bitemwita6809 Před 5 lety +2

    nashukuru sana kwa somo,na ninaanza kufanyia kazi sasa hivi vitu,nilivyojifunza ila mm nimekuchagua wewe kaka joel uwe mentor wangu naomba sana na nitafurahi zaidi ombi langu likikubaliwa 0763 207124

  • @ostazclassic3370
    @ostazclassic3370 Před 6 lety +1

    From America tupo pamoja sana

  • @robertgwelela6581
    @robertgwelela6581 Před 6 lety +1

    Asante mwl nimekuelewa vzuri.

  • @hasanihamisi555
    @hasanihamisi555 Před 3 lety

    Nakukubal mwamba

  • @eliudikijuzi4909
    @eliudikijuzi4909 Před 2 lety

    Thanks my GOD BLESS YOU.

  • @thomasboso3081
    @thomasboso3081 Před 3 lety

    Asante saaana Jo

  • @gosbertrutayega4546
    @gosbertrutayega4546 Před 5 lety

    Nakuelewa sana kaka Joel, Mungu akubariki sana

  • @boniphacemwakasanga2613
    @boniphacemwakasanga2613 Před 5 lety +1

    Kaka nakukubali sana nahitaji kitabu chako ntapataje..

  • @alamnyopo9739
    @alamnyopo9739 Před 6 lety

    Nmejifunza kitu,,,asante....

  • @brhchannel6618
    @brhchannel6618 Před 6 lety +2

    Thanks sana Brother.

  • @salumrwamlaza6622
    @salumrwamlaza6622 Před 6 lety +1

    Nashukur mkuu 254

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_ Před 4 lety

    Asante kwa somo zuri maana kuna madini nyeti nimepata hapo

  • @yusuphmohamedy1316
    @yusuphmohamedy1316 Před 6 lety +1

    Asante sana mungu akupe maisha marefu ndg

  • @omaiim4014
    @omaiim4014 Před 4 lety

    Ahsante sana kaka joel

  • @naomiuronu5328
    @naomiuronu5328 Před 3 lety

    My all time inspiration

  • @mubamdetele6055
    @mubamdetele6055 Před 4 lety

    Nimekuelewa sana

  • @mekujose8532
    @mekujose8532 Před 4 lety

    Broo uko vizuri.

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 Před 3 lety

    Bless you always

  • @washhjojo4840
    @washhjojo4840 Před 6 lety +2

    But sometimes kujitolea nanauka unatumika vibaya sana maana watu hawafuanani ndiposa ufanikiwe unavyosema

  • @didachidy1325
    @didachidy1325 Před 3 lety

    Mm nataka uniongoze broo, Baada ya mwaka moja tu naona nitakuwa taji

  • @jamil1547
    @jamil1547 Před 6 lety

    ahsante

  • @samirahassan3154
    @samirahassan3154 Před 6 lety +1

    Asante KAKA

  • @bakarkingwaba5505
    @bakarkingwaba5505 Před 4 lety +1

    Binafsi Naona Kuna Haja Serikali
    Kuajili Watu Kama Nyie Ili mtufikie
    Coz si Wote Wanatumia Smartphone

  • @mwajumamusa3352
    @mwajumamusa3352 Před 4 lety

    Mmwatu wengine utafanya vitu kwauwezo wako ulionao ila waohawatokuthamini nahata ujitolee utaambiwiwa unajipendekeza

  • @subiraomar4771
    @subiraomar4771 Před 5 lety

    Asante

  • @sundaymariba360
    @sundaymariba360 Před 6 lety +1

    Asante sana my brother

  • @esmabina8290
    @esmabina8290 Před rokem

    Jiamin Zaid ya hivyo bro

  • @alphaopenschool2249
    @alphaopenschool2249 Před 5 lety +1

    nmekuelewa endelea kunisaidia nahitaji namba yako naipataje kuna ushaur binafc nataka

  • @priscilerehemasongolo7233

    Wewe ni mtaalu kabisa

  • @mosesdaniel600
    @mosesdaniel600 Před 6 lety +9

    WATU KAMA HAWA NDIO WANATAKIWA WAWE WASHAULI WA MAGUFULI, BY DASH KOMBO

  • @eliudwiston4206
    @eliudwiston4206 Před 5 lety

    Yaani kaka unaongea mulemule ,,,,Mimi ni supervisor katika kampuni fulani na sina muda mwingi kwenye uongozi sasa bidhaa tunayoiuza ni 65000 kwa mtu mmoja sasa mabosi zangu walipokea oda ya watu 14 ila wanataka kwa shilingi 40000 kwa mtu mmojamabosi zangu wakawakatalia kwamba haiwezekani waliponiletea kwasababu ni kitengo nnachosimamia mimi nikawambia inawezeka na tutapata faida zaid nikakaa nao mezani nikawapigia hesabu ya cost na faida wakakubali kiukweli najivunia sana hii kwani ni wewe ndio uliyenibadilisha mara nyingi nakusikiliza sana