Video není dostupné.
Omlouváme se.

Jinsi Ya Kuongeza KIPATO CHAKO SEHEMU YA KWANZA (PAR 01)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 08. 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Komentáře • 36

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 Před 6 lety +6

    Tunaomba mafundisho ya VIKOBA Mbona mimi sioni faida wanayopata wanavikundi zaidi ya kuwadumaza akili ya kujizoesha kujitunzia akiba.. tupe somo la hii VIKOBA.

  • @brownonlinetv4823
    @brownonlinetv4823 Před 6 lety +2

    Aisee sikuwahi kufikiria kama kuna watanzania wenye akili namna hii.vizuri sana mtaalamu Joel Nanauka

  • @humphreyerasmus7990
    @humphreyerasmus7990 Před 3 lety

    Makini

  • @kulwa_tz
    @kulwa_tz Před rokem

    Good

  • @loyceakuku6019
    @loyceakuku6019 Před 2 lety

    Haki Nanaukwa nimekusikiliza vizuri sana, umenipa funza. Nimekuelewa, vizuri sana, ,ni Loyce Akuku kutoka Kenya, asante kunielimisha, ,, kweli nimepoteza hela nyingi sana kwa muda mrefu sana , ingawaje kipato changu ni kichache sana

  • @agnesssilvan3954
    @agnesssilvan3954 Před 3 lety +1

    Somo zuri sanaaa

  • @aishaomar4318
    @aishaomar4318 Před 6 lety

    Nimekusoma sana .ubarikiwe

  • @priscilerehemasongolo7233

    Ubarikiwe sana kaka

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga3535 Před 6 lety

    Nakushukuru sana bro Joel kwa hii elim

  • @robertgwelela6581
    @robertgwelela6581 Před 6 lety +1

    Asante sana Mwl Nanauka. Mungu akupe maisha marefu. Maana tunajifunza mengi kupitia wewe.

  • @omaiim4014
    @omaiim4014 Před 4 lety

    Ahsante kaka joel

    • @prosperchristopha3257
      @prosperchristopha3257 Před 2 lety

      Asant Mr Joel kwa mafundisho yako sasa nimekua mtu wa tofauti sasa napataje vitabu? na uko wapi?

  • @jacksonmwanyika5697
    @jacksonmwanyika5697 Před 6 lety

    Nashukuru mheshimiwa Joel

  • @professorjoma2364
    @professorjoma2364 Před 6 lety +2

    Nanauka is profesional

  • @Mwalimu_seleman
    @Mwalimu_seleman Před 6 lety

    Asante sana. Kila napotazama mafunzo haya ninapata hamasa kubwa sana ya kuendelea kuyatafuta mafanikio. Ubarikiwe zaidi mara dufu ya sisi tupokeao mafunzo haya tunvyobarikiwa.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 6 lety

      King /Suka nashukuru kwa kufuatilia.Tuendelee Kujifunza pamoja

  • @aishaomar4318
    @aishaomar4318 Před 6 lety +1

    Watangazaji mnaboa

  • @issarashed1444
    @issarashed1444 Před 6 lety

    Asante bro

  • @godfreymalima9502
    @godfreymalima9502 Před 6 lety +2

    Kaka nanauka kwa video kama hizi ambao haurekodii kwenye studio yako. Naomba uwe unawaomba audio ya kipindi hicho uitumie. Au kama inakosekana uwe unaandaa mtu wa kukurekodi kupitia redio fm. Au ile mic unayoitumiaga studioni kwako weka hata upande wako wa kushoto isionekane uitumie. Hii itaongeza ubora wa sauti wa kazi zako.

  • @erastowanjala1279
    @erastowanjala1279 Před 4 lety

    Nitawezake kupata vitabu vyako??

  • @professorjoma2364
    @professorjoma2364 Před 6 lety +1

    Nakwelewa mkuu ila tatzo mfno badala ya kueka akiba 30000 uisahau unaeka laki unaikumbuka asubui na jioni nnalaki benki unajikuta unaitumia ila.ingeeka 30000 ungeisahau mpaka utakapo eka nyingine

  • @rayajuma301
    @rayajuma301 Před 4 lety

    Kaka nakukubali naomba namba yako

  • @binally2796
    @binally2796 Před 6 lety

    Mr. Mm niko Zanzibar ninahitaji vitabu vyako nitavipataje?

  • @newbornhaule1635
    @newbornhaule1635 Před 6 lety

    Asante kaka hivi vipi naweza kupata VITABU VYAKO???

  • @jacksonmwanyika5697
    @jacksonmwanyika5697 Před 6 lety +2

    kaka Joel sisi baadhi ya wanafunzi huwa wengi wetu tunatamani kutumia boom kufanya biashara ili kuwa na kipato lakini Mimi nmejaribu kufanya baadhi ya vitu. lakini kumekuwa na changamoto hasa katika usimamizi na unajikuta umeingia hasara sasa tufanyaje sisi watu wa namna hii na tuna kosa muda wa kusimamia??

    • @mlunguonlinetv2067
      @mlunguonlinetv2067 Před 6 lety

      Hakuna biashara ambayo haina changamoto. hivyo uchaguzi wa ni aina gani ya biashara unataka kufany kwa mazingira ya chuo ni kitu cha msingi sana
      Nakushauri kitu kimoja fanya part time business like photography, event planner, kuuza nguo za kufanyia presentation kwa wanafunzinzi na zingine. ahsante

    • @shukranjulius9526
      @shukranjulius9526 Před 2 lety

      @@mlunguonlinetv2067 wazo zuri sana kaka barikiwa zaidi

  • @asajileshem8235
    @asajileshem8235 Před 4 lety

    Jins gani unaexpose your talent

  • @babalois7240
    @babalois7240 Před 6 lety

    Sir Nanauka,Hongera kwa Kazi kubwa na Nzuri..
    Kitabu cha TIMIZA MALENGO nakipataje..
    My contact 0769296472

  • @deusmjinja5883
    @deusmjinja5883 Před 5 lety

    Nawezaje kupata vitabu vyako?

  • @omaiim4014
    @omaiim4014 Před 4 lety

    Naendelea kujifunza lakin kaka angu nilisha kuomba namba yakotokea mda naona hunijibu me ni hasna

  • @asajileshem8235
    @asajileshem8235 Před 4 lety

    Jins gani unaexpose your talent

  • @professorjoma2364
    @professorjoma2364 Před 6 lety

    Nakwelewa mkuu ila tatzo mfno badala ya kueka akiba 30000 uisahau unaeka laki unaikumbuka asubui na jioni nnalaki benki unajikuta unaitumia ila.ingeeka 30000 ungeisahau mpaka utakapo eka nyingine