Naitwa cosmas niko arusha nilifatili mafuzo yako 2019 mpaka leo nilikuwa Kwa mwenz naweka akiba 200000 na mpaka 100000 ila Kupitia mafunzo yako niliaza kuweka 600000 na leo hiii sitaki kuajiliwa niko kwenye prosess na kujiajili mwenyewe na ninasoma kitabu cha Timiza malengo Chenye Mbinu 60
Asante kaka Joel nilikua na madeni mpaka napata depression. Tanguy nianze kukufatilia nikajua jinsi ya kuepuka madeni.kwa sasa niko free nashukulu sana.
Makosa ya kuepuka ktk kutafuta uhuru wa kifedha 1. Kutokua na bajeti ya matumizi yako ya kila mwezi 2. Kuishi maisha ya mikopo au madeni 3. Kutokua na mkakati wa kubadilisha active kuwa passive income ...kutokua na mkakati wa kutengeneza pesa ukiwa umelala 4. Kutokua na mpango wa kuingia kwenye uhuru wa kifedha (financial freedom) ...Kutoa kua na clear plan of financial freedom
Kaka joel mm nmejiajili mwenyew ila napata kipato ambacho kina mudu mahitaj yangu binafsi na watu wangu wa karibu na akiba inabak ambayo naweza kufanya uwekezaji mwingne ila cjui nianzie wap kila wazo nalowaza naliona halifai naomba kujua ni kitabu chako gan nikisome ili niweze kuvuka kwenye ukuta huu.Ahsante.
Habari kaka samahan xana kwanza mungu akubar xana na akupe maisha maref nawesa sema umechangia xana me kua hapo nilipo kwa mawazo yako pia naomba kuwasiliana nawe kama hutojali make Nina mamb mengi xana naitaj ushaur wako kaka
1.bajet ya mwez ~ ainisha kwa vipengele 2.Epuka kuishi maisha ya madeni 3.kuwa na mkakati maalum wa kifedha 4. Mpango thabiti wa kupata uhuru wa kifedha ( kipato kinachotokana na uwekezaji kikidhi mahitaji Yako yote Barikiwa bro
Nathubutu kusema Dk Joel Mimi Nina shida amabapo nashindwa nifanye nn maana nilikua na Duka kubwa na nimekufuatilia Kwa muda na nimejijenga sana kupitia wewe lakini nimevunjiwa kama mara 3 Sasa nashindwa kuweka malengo ya kudumu ☝️☝️
Powerful stuff, a very useful lesson my good brother Joel
Ahsante sana kaka mkubwa
Nafulahiya visomo
Naitwa cosmas niko arusha nilifatili mafuzo yako 2019 mpaka leo nilikuwa Kwa mwenz naweka akiba 200000 na mpaka 100000 ila Kupitia mafunzo yako niliaza kuweka 600000 na leo hiii sitaki kuajiliwa niko kwenye prosess na kujiajili mwenyewe na ninasoma kitabu cha Timiza malengo Chenye Mbinu 60
Nikihitaji kitabu hicho nawezafanya vipi ili nipate mwongozo pia!?
Mimi pia nahitaji hicho kitabu
Shukurani sana mkuu napitia haya yote ila nitajifunza kupitia haya wenda nitabadili maisha yangu
Nashukuru Sana mungu akuweke nipo hapo ktk kuweka pesa Kwa baadae nashukuru Kwa hatua niliyopo mungu ni mwema
Asante joel nakufatilia kw..umakinanu... n... Alex..kutoka.... Kenya... mungu azidi kukubariki..xana.....
Asante kaka Joel nilikua na madeni mpaka napata depression. Tanguy nianze kukufatilia nikajua jinsi ya kuepuka madeni.kwa sasa niko free nashukulu sana.
Toka nianze kukusikiliza nimekuwa na Nidhamu ya kifedha sana na nipo napiga hatua najiona maisha marefu kaka💗
Hongera sana sana endelea hivyohivyo
Yan mm Kila nikipata Hela hata sijui inaenda wap pengine ningepat muda unipe ushauli Zaid ningefulahi mno
Makosa ya kuepuka ktk kutafuta uhuru wa kifedha
1. Kutokua na bajeti ya matumizi yako ya kila mwezi
2. Kuishi maisha ya mikopo au madeni
3. Kutokua na mkakati wa kubadilisha active kuwa passive income ...kutokua na mkakati wa kutengeneza pesa ukiwa umelala
4. Kutokua na mpango wa kuingia kwenye uhuru wa kifedha (financial freedom) ...Kutoa kua na clear plan of financial freedom
Uishi miak mingi Mungu akujalie afya utatupa ulichopewa na Mungu asante
Ameen Ameen
This guy is a genius
Wooow Asante sana MUNGU ATUTUNZIE wewe Life coach wetu🙏🙏🙏🙏
changamoto yangu MM. KAKA. nikuto kuwa nizamu. yakile ninacho kipatA
Wewe ni chaguo langu pekee la mwlmu wa elimu ambayo ckufundishwa God bless u much
akili yangu ililala kwasasa najitambua kwa masomo yako Joel nanauka asante mungu akubariki
We don't have financial money and you teaching us 🙏✔️
Be blessed kaka JOEL NANAUKA nakukubali sanaaa umekuwa chanzo Cha mabadiliko kwangu🙏🙏
Genius 💥
Ahsante kwa Elimu nzur sana Bos Mkubwa.
Barikiwa sana. Hakika Mungu ametupa zawadi kubwa sana wanzaninia.
Thank you joel nanao niko nyuma yako
Good message, brother be blessed
Allah akuongonze
Hakika umekua mbaraka kwa wengi Mungu azidi kukubariki zaidi kaka @Joel
Asante sana naku soma vizuli kaka
God bless you Br Joel
asante studios
Asante san kaka Joel kwa somo lako je nawezaje kuekeza kweny makampuni yakiserekali au makampuni ya kibinafsi
Thanks brother Joel.
Naomba unifundish jisi yakuanza biashiala ukiwa na mtaji mdogo
Asante Sana Kaka. Napambana Sana bado kupata mpango madhibuti wa kuelekea kwenye Uhuru wa kifedha
Somo zuri mwalimu
Thank you mwalimu mukuu
Ahsante kwakuiona ufaulu was kifedha.
Shukrani Sana rafiki yangu MUNGU akubariki Sana
Thank broo uko uzur
Asante kwa SoMo limenitoa mahali Fulani kaka.
Kaka joel mm nmejiajili mwenyew ila napata kipato ambacho kina mudu mahitaj yangu binafsi na watu wangu wa karibu na akiba inabak ambayo naweza kufanya uwekezaji mwingne ila cjui nianzie wap kila wazo nalowaza naliona halifai naomba kujua ni kitabu chako gan nikisome ili niweze kuvuka kwenye ukuta huu.Ahsante.
Mungu akubaliki
Ni kweli ndeni si poa ju ata uwezi kaa na amani
Ntajalibu hyo kaka naan n nzul
Asante 🙏 coach
Perfect timing...thanks brother, stay blessed
Asnt sn mwamba wang muhenga wang mungu akubariki sn na sn
Nimekuelewa sana mkuu dah
Be blessed🙏🙏
Hakika nilishakuelewa sana Joel
Good message stay blessed our mentor
Habari kaka samahan xana kwanza mungu akubar xana na akupe maisha maref nawesa sema umechangia xana me kua hapo nilipo kwa mawazo yako pia naomba kuwasiliana nawe kama hutojali make Nina mamb mengi xana naitaj ushaur wako kaka
Bro j we ni nowma sanaaa right personal kwa hii motivation upo njema mung akupe umei mrefu tuzidi kufaidika na uwepo wako maisha marefuuuu tunakuombea
Ahsantee sana, ubarikiwe
Najikuta kweny mabadiliko makubwa zaid pale ninapo sikiliza masomo yako na zaidi kweny kusomaaa najifunz mengi saaan kaka joel
Aksante sana kaka kwa kunipa elimu bora sana
Ahsante sana, umenijenga,
Asante.kwa.somo.zuli.nimejifunza.sana.kaka
Joel big up sana brother ♥️🤝
Iko poa sana kamanda!
My mentor
Asantee uko vizuri nimeioenda mafundisho Yako ubarikiwe
Asante Brother
Kweli kabisa, kunapesa ya leo, na kesho Hilo ni jambo muhimu sana
Ahsante kaka 👏
Fact kaka
Barikiwa SoMo zur sana
Asante sana
Asante sana nimejifunza kaka Joel
uishi maisha marefu bro joel
Asante mtaalam
Asante kaka nimejifunz kitu kwako
NtaZa Leo kaka
Hakika upo vizuri
good teacher
Shukrani kaka
Joel nakukubali sana
1.bajet ya mwez ~ ainisha kwa vipengele
2.Epuka kuishi maisha ya madeni
3.kuwa na mkakati maalum wa kifedha
4. Mpango thabiti wa kupata uhuru wa kifedha ( kipato kinachotokana na uwekezaji kikidhi mahitaji Yako yote
Barikiwa bro
Kaka masomo yako yamenisaidia na kunifumbua akili kaka 😊😊 aksante,,,,san
Good job brother
Nakubariiii mkuu endelea kutukomboaaa
Ameeee
Upo vizuri mungu akubariki
Asante
Ubarikiwe sana mafunzo mazuri
Dah kwanza nashukuru kwa kaka changamoto yangu ata nikiwa na pesa natafuta niwekeze kwenye kazi gan
Kupata uhuru wa kifedha.
Barikiwa
Ushauri mzuri sana, nahisi ndicho chanzo cha kutofanikiwa kwa wengi.
Sawa sawa
Asante sana kwa kutupatia shule nzuri
Karibu sana, tuendelee Kushare na wengine
Basic facts with big results!!. Thanks a lot Bro..
Karibu sana
#JoelNanauka Jenius by Discovery
Ubarikiwe san
MUNGU AKUBARIKI
Bro ubarikiwe sana.....
Video muhimu saana. Asante
Share na wengine
Hujawahi kutuangusha toka uanze
Mungu akubariki Sanaa azidi kukupa maarifa zaidi
Ameen Ameen
Namepata Kitu Kutoka Kwenye Hii Mada Kifupi Nmekuelewa💯💯
Hongera sana sana
Nathubutu kusema Dk Joel Mimi Nina shida amabapo nashindwa nifanye nn maana nilikua na Duka kubwa na nimekufuatilia Kwa muda na nimejijenga sana kupitia wewe lakini nimevunjiwa kama mara 3 Sasa nashindwa kuweka malengo ya kudumu ☝️☝️
Fact
Dar ofisi yako inapatikana wap
🙏💫
Nakushuku kaka
Watu hawa wa muhim jaman tuwaombee mung afya njema na umri mrefu .haya masomo yanatufanya tuwe matajiri jmn .