MAKOSA YA KIPESA YA KUEPUKA - JOEL NANAUKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 07. 2022
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 180

  • @ChrisMauki1
    @ChrisMauki1 Před 2 lety +34

    Powerful stuff, a very useful lesson my good brother Joel

  • @cosmassostenes4877
    @cosmassostenes4877 Před 2 lety +36

    Naitwa cosmas niko arusha nilifatili mafuzo yako 2019 mpaka leo nilikuwa Kwa mwenz naweka akiba 200000 na mpaka 100000 ila Kupitia mafunzo yako niliaza kuweka 600000 na leo hiii sitaki kuajiliwa niko kwenye prosess na kujiajili mwenyewe na ninasoma kitabu cha Timiza malengo Chenye Mbinu 60

  • @Eliroster
    @Eliroster Před 2 dny

    Shukurani sana mkuu napitia haya yote ila nitajifunza kupitia haya wenda nitabadili maisha yangu

  • @ashaidd2912
    @ashaidd2912 Před 2 lety +6

    Nashukuru Sana mungu akuweke nipo hapo ktk kuweka pesa Kwa baadae nashukuru Kwa hatua niliyopo mungu ni mwema

  • @brackskinyozi3280
    @brackskinyozi3280 Před 3 měsíci +1

    Asante joel nakufatilia kw..umakinanu... n... Alex..kutoka.... Kenya... mungu azidi kukubariki..xana.....

  • @ghfhfdtyfgggd6271
    @ghfhfdtyfgggd6271 Před 2 lety +3

    Asante kaka Joel nilikua na madeni mpaka napata depression. Tanguy nianze kukufatilia nikajua jinsi ya kuepuka madeni.kwa sasa niko free nashukulu sana.

  • @sandetete8781
    @sandetete8781 Před 2 lety +15

    Toka nianze kukusikiliza nimekuwa na Nidhamu ya kifedha sana na nipo napiga hatua najiona maisha marefu kaka💗

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před rokem +1

      Hongera sana sana endelea hivyohivyo

    • @frankmuhango4238
      @frankmuhango4238 Před rokem

      Yan mm Kila nikipata Hela hata sijui inaenda wap pengine ningepat muda unipe ushauli Zaid ningefulahi mno

  • @hassanjr5318
    @hassanjr5318 Před 2 lety +4

    Makosa ya kuepuka ktk kutafuta uhuru wa kifedha
    1. Kutokua na bajeti ya matumizi yako ya kila mwezi
    2. Kuishi maisha ya mikopo au madeni
    3. Kutokua na mkakati wa kubadilisha active kuwa passive income ...kutokua na mkakati wa kutengeneza pesa ukiwa umelala
    4. Kutokua na mpango wa kuingia kwenye uhuru wa kifedha (financial freedom) ...Kutoa kua na clear plan of financial freedom

  • @dramatz3106
    @dramatz3106 Před 2 lety +5

    Uishi miak mingi Mungu akujalie afya utatupa ulichopewa na Mungu asante

  • @jamomuthakacommedy5721
    @jamomuthakacommedy5721 Před rokem +3

    This guy is a genius

  • @givenjackson5449
    @givenjackson5449 Před 2 lety +12

    Wooow Asante sana MUNGU ATUTUNZIE wewe Life coach wetu🙏🙏🙏🙏

    • @vicentndiholeye1067
      @vicentndiholeye1067 Před rokem

      changamoto yangu MM. KAKA. nikuto kuwa nizamu. yakile ninacho kipatA

  • @user-rw5ex9dd4o
    @user-rw5ex9dd4o Před 4 měsíci

    Wewe ni chaguo langu pekee la mwlmu wa elimu ambayo ckufundishwa God bless u much

  • @EmmanuelMggs-ik9mk
    @EmmanuelMggs-ik9mk Před 6 měsíci

    akili yangu ililala kwasasa najitambua kwa masomo yako Joel nanauka asante mungu akubariki

  • @mohamedngota8535
    @mohamedngota8535 Před 2 lety +2

    We don't have financial money and you teaching us 🙏✔️

  • @AdeltrudaHilonga-cz7wz
    @AdeltrudaHilonga-cz7wz Před 8 měsíci

    Be blessed kaka JOEL NANAUKA nakukubali sanaaa umekuwa chanzo Cha mabadiliko kwangu🙏🙏

  • @davidmarik4633
    @davidmarik4633 Před 2 lety +3

    Genius 💥

  • @mohamedhamad2374
    @mohamedhamad2374 Před 2 lety +1

    Ahsante kwa Elimu nzur sana Bos Mkubwa.

  • @emmanuelmakomango6577
    @emmanuelmakomango6577 Před 2 lety +1

    Barikiwa sana. Hakika Mungu ametupa zawadi kubwa sana wanzaninia.

  • @fadhilikiyungi1741
    @fadhilikiyungi1741 Před 2 lety

    Thank you joel nanao niko nyuma yako

  • @kasabamedia5332
    @kasabamedia5332 Před 2 lety +3

    Good message, brother be blessed

  • @user-ue3rc9nd4n
    @user-ue3rc9nd4n Před 5 měsíci +1

    Allah akuongonze

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 Před rokem

    Hakika umekua mbaraka kwa wengi Mungu azidi kukubariki zaidi kaka @Joel

  • @costarsokoni
    @costarsokoni Před 2 lety

    Asante sana naku soma vizuli kaka

  • @lugendondayanse4910
    @lugendondayanse4910 Před rokem

    God bless you Br Joel

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 Před 2 lety +1

    asante studios

  • @danchibomnyama5461
    @danchibomnyama5461 Před 2 lety

    Asante san kaka Joel kwa somo lako je nawezaje kuekeza kweny makampuni yakiserekali au makampuni ya kibinafsi

  • @feisalhamza1589
    @feisalhamza1589 Před rokem

    Thanks brother Joel.

  • @worldboyzteamcyg4000
    @worldboyzteamcyg4000 Před 2 lety +1

    Naomba unifundish jisi yakuanza biashiala ukiwa na mtaji mdogo

  • @suzanakaijanangoma703

    Asante Sana Kaka. Napambana Sana bado kupata mpango madhibuti wa kuelekea kwenye Uhuru wa kifedha

  • @mathewmekemanuel1113
    @mathewmekemanuel1113 Před 2 lety +2

    Somo zuri mwalimu

  • @jlxninejninekapinga4614

    Thank you mwalimu mukuu

  • @richardmoris8571
    @richardmoris8571 Před rokem

    Ahsante kwakuiona ufaulu was kifedha.

  • @godloveall.2564
    @godloveall.2564 Před rokem

    Shukrani Sana rafiki yangu MUNGU akubariki Sana

  • @mussakhamis2377
    @mussakhamis2377 Před 2 lety

    Thank broo uko uzur

  • @neemashirima6121
    @neemashirima6121 Před 2 lety

    Asante kwa SoMo limenitoa mahali Fulani kaka.

  • @mikehjackson8146
    @mikehjackson8146 Před 2 lety

    Kaka joel mm nmejiajili mwenyew ila napata kipato ambacho kina mudu mahitaj yangu binafsi na watu wangu wa karibu na akiba inabak ambayo naweza kufanya uwekezaji mwingne ila cjui nianzie wap kila wazo nalowaza naliona halifai naomba kujua ni kitabu chako gan nikisome ili niweze kuvuka kwenye ukuta huu.Ahsante.

  • @mafanikiogidioni5148
    @mafanikiogidioni5148 Před 2 lety

    Mungu akubaliki

  • @johnmulelamuthoka2310

    Ni kweli ndeni si poa ju ata uwezi kaa na amani

  • @NestroySeme
    @NestroySeme Před měsícem

    Ntajalibu hyo kaka naan n nzul

  • @yoshuasaiba4652
    @yoshuasaiba4652 Před 2 lety

    Asante 🙏 coach

  • @leticiampeka1488
    @leticiampeka1488 Před 2 lety +4

    Perfect timing...thanks brother, stay blessed

  • @ntidenderezajamal2073

    Asnt sn mwamba wang muhenga wang mungu akubariki sn na sn

  • @masheyn
    @masheyn Před 2 lety +1

    Nimekuelewa sana mkuu dah

  • @hellyfridy
    @hellyfridy Před 8 měsíci

    Be blessed🙏🙏

  • @wilbertmlyuka5723
    @wilbertmlyuka5723 Před rokem

    Hakika nilishakuelewa sana Joel

  • @priscashairock2679
    @priscashairock2679 Před 6 měsíci

    Good message stay blessed our mentor

  • @jacksondarema5654
    @jacksondarema5654 Před rokem

    Habari kaka samahan xana kwanza mungu akubar xana na akupe maisha maref nawesa sema umechangia xana me kua hapo nilipo kwa mawazo yako pia naomba kuwasiliana nawe kama hutojali make Nina mamb mengi xana naitaj ushaur wako kaka

  • @salehabdallah2737
    @salehabdallah2737 Před rokem

    Bro j we ni nowma sanaaa right personal kwa hii motivation upo njema mung akupe umei mrefu tuzidi kufaidika na uwepo wako maisha marefuuuu tunakuombea

  • @lovenesslukas5360
    @lovenesslukas5360 Před rokem

    Ahsantee sana, ubarikiwe

  • @user-fz7lh8im8q
    @user-fz7lh8im8q Před 10 měsíci

    Najikuta kweny mabadiliko makubwa zaid pale ninapo sikiliza masomo yako na zaidi kweny kusomaaa najifunz mengi saaan kaka joel

  • @msabwarashidi2628
    @msabwarashidi2628 Před rokem

    Aksante sana kaka kwa kunipa elimu bora sana

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 Před rokem

    Ahsante sana, umenijenga,

  • @evamwashiuya3314
    @evamwashiuya3314 Před rokem

    Asante.kwa.somo.zuli.nimejifunza.sana.kaka

  • @fyogelajohn2250
    @fyogelajohn2250 Před rokem

    Joel big up sana brother ♥️🤝

  • @mwanaidijiran3296
    @mwanaidijiran3296 Před rokem

    Iko poa sana kamanda!

  • @shackshd1512
    @shackshd1512 Před 2 lety

    My mentor

  • @user-bj8dm7ri5d
    @user-bj8dm7ri5d Před 5 měsíci

    Asantee uko vizuri nimeioenda mafundisho Yako ubarikiwe

  • @johnnyjoshua5049
    @johnnyjoshua5049 Před 2 lety

    Asante Brother

  • @marympemba2137
    @marympemba2137 Před rokem

    Kweli kabisa, kunapesa ya leo, na kesho Hilo ni jambo muhimu sana

  • @lovenoor988
    @lovenoor988 Před 2 lety +1

    Ahsante kaka 👏

  • @beatrixmalakasuka1214
    @beatrixmalakasuka1214 Před 2 lety

    Fact kaka

  • @veronicamwautenga7394
    @veronicamwautenga7394 Před 7 měsíci

    Barikiwa SoMo zur sana

  • @princekapocho2132
    @princekapocho2132 Před 9 měsíci

    Asante sana

  • @mathiasjumanne9053
    @mathiasjumanne9053 Před 5 měsíci

    Asante sana nimejifunza kaka Joel

  • @frankdommy415
    @frankdommy415 Před rokem

    uishi maisha marefu bro joel

  • @user-of5sk5yy6q
    @user-of5sk5yy6q Před 8 měsíci

    Asante mtaalam

  • @hekimaBukuku-mu3js
    @hekimaBukuku-mu3js Před rokem

    Asante kaka nimejifunz kitu kwako

  • @ShadyaJuma-vo8fk
    @ShadyaJuma-vo8fk Před 10 měsíci

    NtaZa Leo kaka

  • @wilbertmlyuka5723
    @wilbertmlyuka5723 Před 2 lety

    Hakika upo vizuri

  • @beckanismone6324
    @beckanismone6324 Před rokem

    good teacher

  • @kuruthumukondo7149
    @kuruthumukondo7149 Před 8 měsíci

    Shukrani kaka

  • @khadijakisingo7920
    @khadijakisingo7920 Před rokem

    Joel nakukubali sana

  • @sibitasoinda7908
    @sibitasoinda7908 Před rokem

    1.bajet ya mwez ~ ainisha kwa vipengele
    2.Epuka kuishi maisha ya madeni
    3.kuwa na mkakati maalum wa kifedha
    4. Mpango thabiti wa kupata uhuru wa kifedha ( kipato kinachotokana na uwekezaji kikidhi mahitaji Yako yote
    Barikiwa bro

  • @user-cb4dg1uc8x
    @user-cb4dg1uc8x Před 10 měsíci

    Kaka masomo yako yamenisaidia na kunifumbua akili kaka 😊😊 aksante,,,,san

  • @vuaikitwana2752
    @vuaikitwana2752 Před 9 měsíci

    Good job brother

  • @user-rw8cg1ij2q
    @user-rw8cg1ij2q Před 2 měsíci

    Nakubariiii mkuu endelea kutukomboaaa

  • @malindisamwel7630
    @malindisamwel7630 Před 2 lety

    Ameeee

  • @user-or8ir2fz5z
    @user-or8ir2fz5z Před 2 měsíci

    Upo vizuri mungu akubariki

  • @albinashindayi9212
    @albinashindayi9212 Před rokem

    Asante

  • @GraceKivolwe
    @GraceKivolwe Před 2 měsíci

    Ubarikiwe sana mafunzo mazuri

  • @abibusaidy5899
    @abibusaidy5899 Před rokem

    Dah kwanza nashukuru kwa kaka changamoto yangu ata nikiwa na pesa natafuta niwekeze kwenye kazi gan

  • @abdulrahmaniselemani8569

    Kupata uhuru wa kifedha.

  • @williamrinus7793
    @williamrinus7793 Před rokem

    Barikiwa

  • @paschalmakono6854
    @paschalmakono6854 Před 2 lety

    Ushauri mzuri sana, nahisi ndicho chanzo cha kutofanikiwa kwa wengi.

  • @modestshikilana4610
    @modestshikilana4610 Před 2 lety

    Asante sana kwa kutupatia shule nzuri

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před rokem

      Karibu sana, tuendelee Kushare na wengine

  • @BM_Smart2-6
    @BM_Smart2-6 Před 2 lety +1

    Basic facts with big results!!. Thanks a lot Bro..

  • @omarjuma1794
    @omarjuma1794 Před 2 lety

    #JoelNanauka Jenius by Discovery

  • @KenzoTembo
    @KenzoTembo Před 3 měsíci

    Ubarikiwe san

  • @janeflorencesajjabi1545

    MUNGU AKUBARIKI

  • @ramadhanikibana6456
    @ramadhanikibana6456 Před 2 měsíci

    Bro ubarikiwe sana.....

  • @ngendakumanasalumdiki2847

    Video muhimu saana. Asante

  • @lukwelehassan7714
    @lukwelehassan7714 Před 6 měsíci

    Hujawahi kutuangusha toka uanze

  • @melesianageorge2012
    @melesianageorge2012 Před 2 lety

    Mungu akubariki Sanaa azidi kukupa maarifa zaidi

  • @hamisjuma8524
    @hamisjuma8524 Před 2 lety

    Namepata Kitu Kutoka Kwenye Hii Mada Kifupi Nmekuelewa💯💯

  • @petermgoben8283
    @petermgoben8283 Před rokem

    Nathubutu kusema Dk Joel Mimi Nina shida amabapo nashindwa nifanye nn maana nilikua na Duka kubwa na nimekufuatilia Kwa muda na nimejijenga sana kupitia wewe lakini nimevunjiwa kama mara 3 Sasa nashindwa kuweka malengo ya kudumu ☝️☝️

  • @ramadhaniathumani2636

    Fact

  • @musasabuu2808
    @musasabuu2808 Před 2 lety

    Dar ofisi yako inapatikana wap

  • @noelpeter2130
    @noelpeter2130 Před 2 lety +1

    🙏💫

  • @IvonaDenis-un8hl
    @IvonaDenis-un8hl Před rokem

    Nakushuku kaka

  • @salehabdallah2737
    @salehabdallah2737 Před rokem

    Watu hawa wa muhim jaman tuwaombee mung afya njema na umri mrefu .haya masomo yanatufanya tuwe matajiri jmn .