Thanks brother. Ila kwa nyongeza point nyingine epuka kupokea offer iwe ya chakula, kinywaji, lift n.k na hasa siku ya kwanza maana offer zingine huwa ni za mtego kwako.
naona kwamafunzo yako ujuziwako uwezaidi utupe njiya yaku patanisha watu waju na wachini asante 🙏 mungu akubariki zaidi neno sijawai ku ona hivi wewe niwa kwanza kupana funzo hapa chini yajuwa congratulations 👋
Kaka Joel nayafurahia sana mafundisho yako,nimekuwa nikiyafuatilia sana. Napata mafunzo mengi sna. Hili la kishikashika simu linatusumbua wengi,lkn nimeanza kubadilika. Ubarikiwe sn kwa kugusa maisha ya wengi.
Joel nimekuelewa vzr Sana mm nina ushuhuda Kuna mtu ambaye had Sasa n rafik kwa sababu tu nilipokutana naye kwa Mara ya kwanza nilionyesha kumsikilza kwa makin Hilo tu lilinipa point kubwa Sana na aliniambia kuwa watu weng hawana hiyo
Hi Joel, I'm your neighbour from Uganda.I came across your link on CZcams. Thanks for advising people and all your points are absolutely right. May God bless your work 🤲🤲🤝🙏🙏
Mimi nakushkuru sana yani Sina mda mrefu tangu nianze kufuatilia videos zako Ila binafsi naona mimebadirika sana tena sana asee Mungu akuzidishie icho ulicho nacho na akilinde 🙏
Kweli kabisa niliitwa na watu wawili kuongea nao niliwaona wa ajabu San walikuwa busy na simu zao wote mmi yangu niliuweka serince kwa kweli niliondok na nikawaambia kuwa siitaki kukutana nao tena wkiwa na shida nami wanipigiee ..kwa kweli kaka MUNGU AKUBALIKI KWA KUTUEMIISHA
kwanza mungu ajalie sote tuwe na afya njema ili tuweze kupewa elim tukiwa na afya njema nashukuru xana tangu nilipo anza kuku fuatiria kuna mengi nime jifunza kutoka kwako pia miaka 3 iliyo pita nili fuaata elim yko kweri nili weka nizam ya pesa hadi kubadili pare nilipo kuwa hadi wa tofauti baada ya hapo mwaka ulio fata nilikuwa wa tofauti na marengo yare pia nime pata mazara mno nashukuru elim yko ina nipa somo kubwa naanza mwanzo nikiwa wa tofauti sana niritupa marengo marengo yaka nitupa hivi akili imekuwa na nita simama tena mungu akupe afya njema ili uweze kutupa elim
Sir Joel,kiukweli nimevutia sana na Maelekezo yako hasa yamenifanya kubadili maisha na kupata matumaini ya mafanikio kunako maisha ya kesho. Nanilikua nashindwa kujua wapi nianzie tena baada ya kufeli kwa mara kadhaa ili kuanzisha mipango yenye kunipa mafanikio hasa pale ninapo ahirikiana na watu wasio sahihi Asante sana kaka❤
Yaani mimi nimeshaharibu point tatu zote zinanihusu,maana kuna mahali nimehamishwa kituo cha kazi, nilipoulizwa kuhusu boss wangu wa zamani,nikajibu simpende,nilipoulizwa kuhusu mazingira mapya nikamwambia boss wangu yaani sipapendi hapa,hata kidogo,duuu asante sana mentor wangu maana umenifunza kitu cha msingi sana
Dah mungu mwema yote hayo sijawahi kufanya makosa na spend mtu nikutane nae ayafanye kwenye jina apo ume patia ata me napenda mtu ataje jina langu vizur napenda mtu ajari muda wangu sio tunaongea Yuko busy na sim spend atu mweny misifa mingi . asante kwa kunikumbusha
Nimejifunza mengi ikiwemo kumsifia mtu (kum-compliment, au kum-appreciate) ni kitu napenda sijui kama kuna kosa kumwambia mtu, mfano. you look nice, and beautiful, I am happy to meet you...... (Msaada hapo kiongozi)
Brother Joel,,,habari yako,,,,kwa kweli nimekuwa nafatilia sana video zako,,,,,mimi nimewahi kosa mke kwakusemea cm yake na kucha tuu,,,,,,,yani sikuamini kilicho nitokea,,,,ahahaa
NZURI SANA JOEL ,LIMBUKO LIKIWA JEMA NA DONGE LOTE LINAKUWA JEMA .NA HAPO UMEZUNGUMZIA NAMNA TUNAPOKUTANA NA WALE AMBAO TUNAWEZA KUPATA FURSA TOKA KWAO INGAWA KILA MTU NI FURSA LAKINI JE KWA MARA YA KWANZA TUNAPOKUTANA NA WATU WANAOHITAJI FURSA TOKA KWETU NI YAPI YA KUEPUKA .SALUTE SIR JOEL.
Umenena vyema kaka. Hata mimi nilimfurahia sana jamaa mmoja nilipokutana nae kwa mara ya kwanza, wakati tunaagana alitaja jina langu vizuri sana kuliko mtu yeyote niliewahi kukutana nae.
Thanks brother. Ila kwa nyongeza point nyingine epuka kupokea offer iwe ya chakula, kinywaji, lift n.k na hasa siku ya kwanza maana offer zingine huwa ni za mtego kwako.
kama amekupa bila kumuomba ukakataa wakati mwingine inaweza kukuharibia pia
Mtengenezee ahisi km unashida(muhitaji) ila hauombi means unaweza zimudu ila akitoa ishi nayo pia ni kumheshimu
Mtengenezee ahisi km unashida(muhitaji) ila hauombi means unaweza zimudu ila akitoa ishi nayo pia ni kumheshimu
Kila siku napata kitu kipya kutoka kwako brother mungu akubariki sana
Hapana pokea kwan ukikataa utakuwa negative side
Sehemu ya nne ishawahi kunikuta
Nashukuru Niko makini Kwa yote uliongea mungu akulinde sana we jembe
Kabisa hii kosa ya 5 iko deep sana mtu umekutana naye wewe umetingwa na simu... kitu kinakera SANA.. asanteeee kwa elimu na kutukumbusha haya
naona kwamafunzo yako ujuziwako uwezaidi utupe njiya yaku patanisha watu waju na wachini asante
🙏 mungu akubariki zaidi neno sijawai ku ona hivi wewe niwa kwanza kupana funzo hapa chini yajuwa
congratulations 👋
Duuuh ndo naingia nahis statoka huku,kaka thanks umenifunza vitu vingi leo
Kaka Joel nayafurahia sana mafundisho yako,nimekuwa nikiyafuatilia sana.
Napata mafunzo mengi sna.
Hili la kishikashika simu linatusumbua wengi,lkn nimeanza kubadilika.
Ubarikiwe sn kwa kugusa maisha ya wengi.
Nzuri hii imenifungua, kazi nzuri hongera
wow Ahsnt sana leader 🙏🏻
Asante kaka umenifungulia dunia
uko vizuri ushauli wako ni mzuri asante
God bless you Joel 🙏
Wwe ni best Kila wakt,, endelea kufundisha jamii,.
Joel nimekuelewa vzr Sana mm nina ushuhuda Kuna mtu ambaye had Sasa n rafik kwa sababu tu nilipokutana naye kwa Mara ya kwanza nilionyesha kumsikilza kwa makin Hilo tu lilinipa point kubwa Sana na aliniambia kuwa watu weng hawana hiyo
Uhalisia hapo nikuepuka kuongea sana Ahsante kwa ujumbe mkuu😐
Hi Joel, I'm your neighbour from Uganda.I came across your link on CZcams. Thanks for advising people and all your points are absolutely right. May God bless your work 🤲🤲🤝🙏🙏
Thank you so Much Musa, lets keep on learning.
Nafuatilia sana hadi nifikie pale
Mimi nakushkuru sana yani Sina mda mrefu tangu nianze kufuatilia videos zako Ila binafsi naona mimebadirika sana tena sana asee Mungu akuzidishie icho ulicho nacho na akilinde 🙏
Daah nakoseaga sana Ila asante kwa elimu nzuri mwalimu Leo nimejifunza ktu cha muhimu
Boy from Shangani PS. Proud bro.
Thanks sana,nimejifunza kitu may God akuzidishie.Nakufatilia nikiwa kenya 🇰🇪
Kweli kabisa niliitwa na watu wawili kuongea nao niliwaona wa ajabu San walikuwa busy na simu zao wote mmi yangu niliuweka serince kwa kweli niliondok na nikawaambia kuwa siitaki kukutana nao tena wkiwa na shida nami wanipigiee ..kwa kweli kaka MUNGU AKUBALIKI KWA KUTUEMIISHA
Thanks. Bro kwa ujumbe mzuri
kwakweli makosa haya tunayafanya mara nyingi yamkini somo hili limekuja kwa wakati kutusaidia asante sana mtumishi nakuombea mafuta zaidi
Huwa napenda nikitulia sana nikuskilize maana Kila neno unaloongea kwangu ni thaman tupu,Mungu kakubariki sana,, endelea kutuelimisha kaka
kwanza mungu ajalie sote tuwe na afya njema ili tuweze kupewa elim tukiwa na afya njema nashukuru xana tangu nilipo anza kuku fuatiria kuna mengi nime jifunza kutoka kwako pia miaka 3 iliyo pita nili fuaata elim yko kweri nili weka nizam ya pesa hadi kubadili pare nilipo kuwa hadi wa tofauti baada ya hapo mwaka ulio fata nilikuwa wa tofauti na marengo yare pia nime pata mazara mno nashukuru elim yko ina nipa somo kubwa naanza mwanzo nikiwa wa tofauti sana niritupa marengo marengo yaka nitupa hivi akili imekuwa na nita simama tena mungu akupe afya njema ili uweze kutupa elim
Ni pointi muhimu kuzijua kwa sector tofauti tofauti za kimaisha..
Ahsanteee kwa kutuzindua mr nanauka..
Ahsante sanaa
Ubarikiwe kwa darasa kwa kutoa elimu nzuri katika maisha. Ila mimi mtu akiongelea Timu ambayo siipendi siwezi hata kujizuia
Shukrani sana brother joel nanauka yana dah naamini kwakazi yako malipoyaduniani ayakutoshi unafanya kazikubwa sana
Sir Joel,kiukweli nimevutia sana na Maelekezo yako hasa yamenifanya kubadili maisha na kupata matumaini ya mafanikio kunako maisha ya kesho. Nanilikua nashindwa kujua wapi nianzie tena baada ya kufeli kwa mara kadhaa ili kuanzisha mipango yenye kunipa mafanikio hasa pale ninapo ahirikiana na watu wasio sahihi Asante sana kaka❤
GOD BLESS YOU
Iyo kutamka jina brother imenigusa sana
Nakuelewa sana , kaka joeli❤ , point zote nimezielewa mnoo ila ya MWISHO ni Nimezielewa zaidi.😊 ,God bless u broh
Mungu Akubariki na kukuinua zaidi my brother💕💕💕💕
Ahsant sana kaka kwa darasa,, je ni vitu gani vya kuepuka endapo mtu atahitaji fursa kutoka kwako..
Hongera sana kaka mana hii ndo njia nzuri ya kutumia mitandao ktk kutoa elimu.Asante
I got you bro
Yaani mimi nimeshaharibu point tatu zote zinanihusu,maana kuna mahali nimehamishwa kituo cha kazi, nilipoulizwa kuhusu boss wangu wa zamani,nikajibu simpende,nilipoulizwa kuhusu mazingira mapya nikamwambia boss wangu yaani sipapendi hapa,hata kidogo,duuu asante sana mentor wangu maana umenifunza kitu cha msingi sana
Ukuhitaji kufundishwa kujibu hayo maswali kiusahihi, ulitakiwa kutumia akili yako vzr tu,,
Asante kaka Joel kwa kutuelimisha nimekua nikifanya makosa mengi nikijua nipo sahihi,, imebidi nitazame Mara mbili video hii ili kuelewa zaidi.
Thanks teacher yote uliosema yanatuhusu Kwa nija moja au nyingine
Very very informative
Asante,,nlichokua nakosea nikujieleza maisha ,hapo umenielemisha,from kenya in Saudi 🇸🇦
Your blessed Kaka ❤❤❤ thanks😊
Asante Sana kwa somo zuri Kaka Joel
Noted🙏
Blessed Joel Arthur Nanauka
Najifunzavitumighi sana kwako mughuakupe ufahamu zaidi
Thanks so much, may good Lord bless you 🙏
Very insightful 👏
Thank you very much. I have gained a lot from this video
Hongera mkuu 200K subscribers na mimi nimo humo🤝
asante bradha Joely kwa elimu hii
Nimejifunza kitu hapa barikiwa Sana mentor wangu
Ahsante kaka Joel Nanauka
Habari joel ninaneno yakuuliza unaeza nipa nafasi
Asante sana.
umefundisha kitu cha muhim sana.
Shukrani ndugu umetoa elimu muhimu kabisa, itasaidia hakika.
Asante sana kk joel
Dah mungu mwema yote hayo sijawahi kufanya makosa na spend mtu nikutane nae ayafanye kwenye jina apo ume patia ata me napenda mtu ataje jina langu vizur napenda mtu ajari muda wangu sio tunaongea Yuko busy na sim spend atu mweny misifa mingi . asante kwa kunikumbusha
Thanks Brother Joel .. makosa yote hayo . Am there You help me alot 🙏🏽
Joel mwana wa nanauka unatisha
Asante ndugu kwa ushauri, barikiwe.
Nimekupta sana bro joel kutoka iringa mafinga
GOD BLESS YOU JOEL
Asante sana my mentor nimeongeza kitu kwenye safari yangu🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Thanks for your lecture sir am always there listening and learning.
Shukrani Sana mkubwa mungu hawe nawe
Nimejifunza mengi ikiwemo kumsifia mtu (kum-compliment, au kum-appreciate) ni kitu napenda sijui kama kuna kosa kumwambia mtu, mfano. you look nice, and beautiful, I am happy to meet you...... (Msaada hapo kiongozi)
Nakumbuka tu kua mkuu wetu wa shule alikua mama Nannauka
It's educative video, thanks for sharing
Asante sana brother Joel
Najifunzaaaaa🙏
Thanks for your wise word Sir, tunajifunza vitu vingi kwenye mafunzo yako. From 🇧🇮
Barikiwa xana mr Joel Nanauk
Brother Joel,,,habari yako,,,,kwa kweli nimekuwa nafatilia sana video zako,,,,,mimi nimewahi kosa mke kwakusemea cm yake na kucha tuu,,,,,,,yani sikuamini kilicho nitokea,,,,ahahaa
Daaah...🥺😅
🙏🙏🙏 uncle joel
Thanks Joel
Leo ndo nimeanza kukujilua umekuwa rolmodel wangu
Video bora ya mwaka
Appreciate it
Una creativity jamaa angu
I love your job
NZURI SANA JOEL ,LIMBUKO LIKIWA JEMA NA DONGE LOTE LINAKUWA JEMA .NA HAPO UMEZUNGUMZIA NAMNA TUNAPOKUTANA NA WALE AMBAO TUNAWEZA KUPATA FURSA TOKA KWAO INGAWA KILA MTU NI FURSA LAKINI JE KWA MARA YA KWANZA TUNAPOKUTANA NA WATU WANAOHITAJI FURSA TOKA KWETU NI YAPI YA KUEPUKA .SALUTE SIR JOEL.
❤️❤️ my brother 🙏
Nimekupata brother,, thanks
Kabisa
Umenena vyema kaka. Hata mimi nilimfurahia sana jamaa mmoja nilipokutana nae kwa mara ya kwanza, wakati tunaagana alitaja jina langu vizuri sana kuliko mtu yeyote niliewahi kukutana nae.
ABAHADIIIIIIIIIIIIIII
Hujazungumzia point nyingine demu kukuomba nyingii kisa tu umeonyesha kumpenda,pesa unayoombwa ni kama umetozwa faini ya kumpenda
Kila mara nipo pamoja nawewe bro na nimejifunza mambo mengi sana mungu akuweke zaidi kwa faida ya wengine
“kuongea sana/ Ujuaji” mbaya sana hii.
Asante sana bro Joeli
Asante saana👏🙏
Hongeraa snaaa
Be blessed bro
Ushauri kwa wasiokukubali ndio tatizo kubwa
Powerful
Nakubali sana kaka mungu akubariki
Umenijuza vingi sana kaka 🙏🙏🙏
Mimi ni mwanafunzi mzur yani umekiwa furaha kwangu asante kaka
Duuuuh Safi sana....Mimi sio mara ya kwanza ata sasa mtu namchukia nkiwa naongea nae na call ye anaongea namimi uku ana chat pia namchukia..