EPUKA MAMBO HAYA - JOEL NANAUKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 09. 2022
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 197

  • @kyandovaireth4988
    @kyandovaireth4988 Před rokem +59

    Thanks brother. Ila kwa nyongeza point nyingine epuka kupokea offer iwe ya chakula, kinywaji, lift n.k na hasa siku ya kwanza maana offer zingine huwa ni za mtego kwako.

    • @frankmtei3017
      @frankmtei3017 Před rokem +7

      kama amekupa bila kumuomba ukakataa wakati mwingine inaweza kukuharibia pia

    • @dastanjonathan6902
      @dastanjonathan6902 Před rokem +2

      Mtengenezee ahisi km unashida(muhitaji) ila hauombi means unaweza zimudu ila akitoa ishi nayo pia ni kumheshimu

    • @dastanjonathan6902
      @dastanjonathan6902 Před rokem +1

      Mtengenezee ahisi km unashida(muhitaji) ila hauombi means unaweza zimudu ila akitoa ishi nayo pia ni kumheshimu

    • @allenmdimi8105
      @allenmdimi8105 Před rokem +2

      Kila siku napata kitu kipya kutoka kwako brother mungu akubariki sana

    • @zickmalik4901
      @zickmalik4901 Před rokem

      Hapana pokea kwan ukikataa utakuwa negative side

  • @MasungaGahima-es5ei
    @MasungaGahima-es5ei Před 4 dny

    Sehemu ya nne ishawahi kunikuta

  • @ashaidd2912
    @ashaidd2912 Před rokem +4

    Nashukuru Niko makini Kwa yote uliongea mungu akulinde sana we jembe

  • @fejam9223
    @fejam9223 Před rokem +5

    Kabisa hii kosa ya 5 iko deep sana mtu umekutana naye wewe umetingwa na simu... kitu kinakera SANA.. asanteeee kwa elimu na kutukumbusha haya

  • @assaaresi
    @assaaresi Před rokem +1

    naona kwamafunzo yako ujuziwako uwezaidi utupe njiya yaku patanisha watu waju na wachini asante
    🙏 mungu akubariki zaidi neno sijawai ku ona hivi wewe niwa kwanza kupana funzo hapa chini yajuwa
    congratulations 👋

  • @user-pr6yu5ez3j
    @user-pr6yu5ez3j Před měsícem

    Duuuh ndo naingia nahis statoka huku,kaka thanks umenifunza vitu vingi leo

  • @geofreyemanuelzakaria382

    Kaka Joel nayafurahia sana mafundisho yako,nimekuwa nikiyafuatilia sana.
    Napata mafunzo mengi sna.
    Hili la kishikashika simu linatusumbua wengi,lkn nimeanza kubadilika.
    Ubarikiwe sn kwa kugusa maisha ya wengi.

  • @ValeliaJames
    @ValeliaJames Před 21 dnem

    Nzuri hii imenifungua, kazi nzuri hongera

  • @drkimwaga9583
    @drkimwaga9583 Před rokem +1

    wow Ahsnt sana leader 🙏🏻

  • @VenanceRoy61
    @VenanceRoy61 Před 9 měsíci +1

    Asante kaka umenifungulia dunia

  • @michaelsakejo
    @michaelsakejo Před 2 měsíci

    uko vizuri ushauli wako ni mzuri asante

  • @user-ww2im4tw5j
    @user-ww2im4tw5j Před 4 měsíci

    God bless you Joel 🙏

  • @emmanuelpeter9022
    @emmanuelpeter9022 Před rokem +2

    Wwe ni best Kila wakt,, endelea kufundisha jamii,.

  • @mariamkitaluka717
    @mariamkitaluka717 Před měsícem

    Joel nimekuelewa vzr Sana mm nina ushuhuda Kuna mtu ambaye had Sasa n rafik kwa sababu tu nilipokutana naye kwa Mara ya kwanza nilionyesha kumsikilza kwa makin Hilo tu lilinipa point kubwa Sana na aliniambia kuwa watu weng hawana hiyo

  • @manenolugendo6396
    @manenolugendo6396 Před rokem +8

    Uhalisia hapo nikuepuka kuongea sana Ahsante kwa ujumbe mkuu😐

  • @musaalsinawi3324
    @musaalsinawi3324 Před rokem +21

    Hi Joel, I'm your neighbour from Uganda.I came across your link on CZcams. Thanks for advising people and all your points are absolutely right. May God bless your work 🤲🤲🤝🙏🙏

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před rokem +4

      Thank you so Much Musa, lets keep on learning.

  • @dodgerwakitaa2658
    @dodgerwakitaa2658 Před rokem +2

    Nafuatilia sana hadi nifikie pale

  • @captainkomba4739
    @captainkomba4739 Před rokem +3

    Mimi nakushkuru sana yani Sina mda mrefu tangu nianze kufuatilia videos zako Ila binafsi naona mimebadirika sana tena sana asee Mungu akuzidishie icho ulicho nacho na akilinde 🙏

  • @DARIUSMUGANYIZI-xn6qz
    @DARIUSMUGANYIZI-xn6qz Před 2 měsíci

    Daah nakoseaga sana Ila asante kwa elimu nzuri mwalimu Leo nimejifunza ktu cha muhimu

  • @francis-chukwuchiduo8337

    Boy from Shangani PS. Proud bro.

  • @jameskitheka5791
    @jameskitheka5791 Před rokem +1

    Thanks sana,nimejifunza kitu may God akuzidishie.Nakufatilia nikiwa kenya 🇰🇪

  • @josephinekicheleri860
    @josephinekicheleri860 Před rokem +1

    Kweli kabisa niliitwa na watu wawili kuongea nao niliwaona wa ajabu San walikuwa busy na simu zao wote mmi yangu niliuweka serince kwa kweli niliondok na nikawaambia kuwa siitaki kukutana nao tena wkiwa na shida nami wanipigiee ..kwa kweli kaka MUNGU AKUBALIKI KWA KUTUEMIISHA

  • @user-be3uw9zj1g
    @user-be3uw9zj1g Před 4 měsíci

    Thanks. Bro kwa ujumbe mzuri

  • @josephinebitesigirwe5730

    kwakweli makosa haya tunayafanya mara nyingi yamkini somo hili limekuja kwa wakati kutusaidia asante sana mtumishi nakuombea mafuta zaidi

  • @ruthmoses6565
    @ruthmoses6565 Před rokem +1

    Huwa napenda nikitulia sana nikuskilize maana Kila neno unaloongea kwangu ni thaman tupu,Mungu kakubariki sana,, endelea kutuelimisha kaka

  • @user-sj9ob8vb3s
    @user-sj9ob8vb3s Před měsícem

    kwanza mungu ajalie sote tuwe na afya njema ili tuweze kupewa elim tukiwa na afya njema nashukuru xana tangu nilipo anza kuku fuatiria kuna mengi nime jifunza kutoka kwako pia miaka 3 iliyo pita nili fuaata elim yko kweri nili weka nizam ya pesa hadi kubadili pare nilipo kuwa hadi wa tofauti baada ya hapo mwaka ulio fata nilikuwa wa tofauti na marengo yare pia nime pata mazara mno nashukuru elim yko ina nipa somo kubwa naanza mwanzo nikiwa wa tofauti sana niritupa marengo marengo yaka nitupa hivi akili imekuwa na nita simama tena mungu akupe afya njema ili uweze kutupa elim

  • @omarimtau5162
    @omarimtau5162 Před rokem +5

    Ni pointi muhimu kuzijua kwa sector tofauti tofauti za kimaisha..
    Ahsanteee kwa kutuzindua mr nanauka..

  • @hellyfridy
    @hellyfridy Před 8 měsíci

    Ubarikiwe kwa darasa kwa kutoa elimu nzuri katika maisha. Ila mimi mtu akiongelea Timu ambayo siipendi siwezi hata kujizuia

  • @MustafaShomari-nh7pn
    @MustafaShomari-nh7pn Před 4 měsíci

    Shukrani sana brother joel nanauka yana dah naamini kwakazi yako malipoyaduniani ayakutoshi unafanya kazikubwa sana

  • @user-gd8lw7vk4d
    @user-gd8lw7vk4d Před 5 měsíci

    Sir Joel,kiukweli nimevutia sana na Maelekezo yako hasa yamenifanya kubadili maisha na kupata matumaini ya mafanikio kunako maisha ya kesho. Nanilikua nashindwa kujua wapi nianzie tena baada ya kufeli kwa mara kadhaa ili kuanzisha mipango yenye kunipa mafanikio hasa pale ninapo ahirikiana na watu wasio sahihi Asante sana kaka❤

  • @EmmanuelMoswala-pj4hu

    GOD BLESS YOU

  • @alikhamis6326
    @alikhamis6326 Před rokem +1

    Iyo kutamka jina brother imenigusa sana

  • @ElineAngel
    @ElineAngel Před 10 měsíci

    Nakuelewa sana , kaka joeli❤ , point zote nimezielewa mnoo ila ya MWISHO ni Nimezielewa zaidi.😊 ,God bless u broh

  • @hellenismail4351
    @hellenismail4351 Před rokem +2

    Mungu Akubariki na kukuinua zaidi my brother💕💕💕💕

  • @tanomarijani508
    @tanomarijani508 Před rokem

    Ahsant sana kaka kwa darasa,, je ni vitu gani vya kuepuka endapo mtu atahitaji fursa kutoka kwako..

  • @user-zp7nz9vj6m
    @user-zp7nz9vj6m Před 10 měsíci

    Hongera sana kaka mana hii ndo njia nzuri ya kutumia mitandao ktk kutoa elimu.Asante

  • @fredricksamsonmathias
    @fredricksamsonmathias Před 6 měsíci

    I got you bro

  • @farajamtifu4155
    @farajamtifu4155 Před rokem +4

    Yaani mimi nimeshaharibu point tatu zote zinanihusu,maana kuna mahali nimehamishwa kituo cha kazi, nilipoulizwa kuhusu boss wangu wa zamani,nikajibu simpende,nilipoulizwa kuhusu mazingira mapya nikamwambia boss wangu yaani sipapendi hapa,hata kidogo,duuu asante sana mentor wangu maana umenifunza kitu cha msingi sana

    • @frankmtei3017
      @frankmtei3017 Před rokem +3

      Ukuhitaji kufundishwa kujibu hayo maswali kiusahihi, ulitakiwa kutumia akili yako vzr tu,,

  • @neemaryan9947
    @neemaryan9947 Před rokem +1

    Asante kaka Joel kwa kutuelimisha nimekua nikifanya makosa mengi nikijua nipo sahihi,, imebidi nitazame Mara mbili video hii ili kuelewa zaidi.

  • @halimahleema5165
    @halimahleema5165 Před rokem

    Thanks teacher yote uliosema yanatuhusu Kwa nija moja au nyingine

  • @mjumbemwanda9666
    @mjumbemwanda9666 Před rokem +2

    Very very informative

  • @joliea2956
    @joliea2956 Před rokem +1

    Asante,,nlichokua nakosea nikujieleza maisha ,hapo umenielemisha,from kenya in Saudi 🇸🇦

  • @addysiwall4427
    @addysiwall4427 Před rokem +1

    Your blessed Kaka ❤❤❤ thanks😊

  • @doreenlyimo4142
    @doreenlyimo4142 Před rokem

    Asante Sana kwa somo zuri Kaka Joel

  • @yohanasimtenda748
    @yohanasimtenda748 Před rokem +2

    Noted🙏

  • @jacobkilimba748
    @jacobkilimba748 Před rokem +1

    Blessed Joel Arthur Nanauka

  • @bernadetachari7648
    @bernadetachari7648 Před rokem

    Najifunzavitumighi sana kwako mughuakupe ufahamu zaidi

  • @victoriamerura9382
    @victoriamerura9382 Před rokem +3

    Thanks so much, may good Lord bless you 🙏

  • @demitriagibure9073
    @demitriagibure9073 Před rokem +2

    Very insightful 👏

  • @eliassimeo1616
    @eliassimeo1616 Před rokem +4

    Thank you very much. I have gained a lot from this video

  • @mcnyoka6420
    @mcnyoka6420 Před rokem +2

    Hongera mkuu 200K subscribers na mimi nimo humo🤝

  • @housemanagmentfinishing1151

    asante bradha Joely kwa elimu hii

  • @justinebaada9079
    @justinebaada9079 Před rokem

    Nimejifunza kitu hapa barikiwa Sana mentor wangu

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 Před rokem +2

    Ahsante kaka Joel Nanauka

  • @Alexnderlique123-ze7mh

    Habari joel ninaneno yakuuliza unaeza nipa nafasi

  • @davidmushi2212
    @davidmushi2212 Před rokem

    Asante sana.
    umefundisha kitu cha muhim sana.

  • @selenganyagawa1358
    @selenganyagawa1358 Před rokem

    Shukrani ndugu umetoa elimu muhimu kabisa, itasaidia hakika.

  • @elizabethlyimo5783
    @elizabethlyimo5783 Před rokem

    Asante sana kk joel

  • @salvinamakindi473
    @salvinamakindi473 Před rokem

    Dah mungu mwema yote hayo sijawahi kufanya makosa na spend mtu nikutane nae ayafanye kwenye jina apo ume patia ata me napenda mtu ataje jina langu vizur napenda mtu ajari muda wangu sio tunaongea Yuko busy na sim spend atu mweny misifa mingi . asante kwa kunikumbusha

  • @evancebartlomeo
    @evancebartlomeo Před rokem

    Thanks Brother Joel .. makosa yote hayo . Am there You help me alot 🙏🏽

  • @danielshekiyao706
    @danielshekiyao706 Před rokem

    Joel mwana wa nanauka unatisha

  • @obedimunguachiza8434
    @obedimunguachiza8434 Před rokem

    Asante ndugu kwa ushauri, barikiwe.

  • @paulyusuph7572
    @paulyusuph7572 Před rokem

    Nimekupta sana bro joel kutoka iringa mafinga

  • @user-uj1dg2is2u
    @user-uj1dg2is2u Před 5 měsíci

    GOD BLESS YOU JOEL

  • @sophykitale9981
    @sophykitale9981 Před rokem +1

    Asante sana my mentor nimeongeza kitu kwenye safari yangu🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @dannyhimhim5567
    @dannyhimhim5567 Před rokem +1

    Thanks for your lecture sir am always there listening and learning.

  • @RamadhanMtaki-sw1gx
    @RamadhanMtaki-sw1gx Před 9 měsíci

    Shukrani Sana mkubwa mungu hawe nawe

  • @festoamos_tz
    @festoamos_tz Před rokem

    Nimejifunza mengi ikiwemo kumsifia mtu (kum-compliment, au kum-appreciate) ni kitu napenda sijui kama kuna kosa kumwambia mtu, mfano. you look nice, and beautiful, I am happy to meet you...... (Msaada hapo kiongozi)

  • @dodgerwakitaa2658
    @dodgerwakitaa2658 Před rokem

    Nakumbuka tu kua mkuu wetu wa shule alikua mama Nannauka

  • @agneskayange2804
    @agneskayange2804 Před rokem

    It's educative video, thanks for sharing

  • @lameckamoke3823
    @lameckamoke3823 Před rokem

    Asante sana brother Joel

  • @lizzybahati3739
    @lizzybahati3739 Před rokem

    Najifunzaaaaa🙏

  • @yvesniyongabo9437
    @yvesniyongabo9437 Před rokem

    Thanks for your wise word Sir, tunajifunza vitu vingi kwenye mafunzo yako. From 🇧🇮

  • @yekoniafanuel4071
    @yekoniafanuel4071 Před rokem

    Barikiwa xana mr Joel Nanauk

  • @isayandege1837
    @isayandege1837 Před rokem +4

    Brother Joel,,,habari yako,,,,kwa kweli nimekuwa nafatilia sana video zako,,,,,mimi nimewahi kosa mke kwakusemea cm yake na kucha tuu,,,,,,,yani sikuamini kilicho nitokea,,,,ahahaa

  • @magrethjohn4929
    @magrethjohn4929 Před rokem +2

    🙏🙏🙏 uncle joel

  • @wangesematiko7714
    @wangesematiko7714 Před rokem

    Thanks Joel

  • @officialbntrasool5223

    Leo ndo nimeanza kukujilua umekuwa rolmodel wangu

  • @evodizzle
    @evodizzle Před rokem +1

    Video bora ya mwaka

  • @roberthenerico5963
    @roberthenerico5963 Před rokem +1

    Appreciate it

  • @stuntkizzy
    @stuntkizzy Před rokem

    Una creativity jamaa angu

  • @davidmwakasumba742
    @davidmwakasumba742 Před rokem

    I love your job

  • @emanuelchanya5182
    @emanuelchanya5182 Před rokem

    NZURI SANA JOEL ,LIMBUKO LIKIWA JEMA NA DONGE LOTE LINAKUWA JEMA .NA HAPO UMEZUNGUMZIA NAMNA TUNAPOKUTANA NA WALE AMBAO TUNAWEZA KUPATA FURSA TOKA KWAO INGAWA KILA MTU NI FURSA LAKINI JE KWA MARA YA KWANZA TUNAPOKUTANA NA WATU WANAOHITAJI FURSA TOKA KWETU NI YAPI YA KUEPUKA .SALUTE SIR JOEL.

  • @deuxmsigala5010
    @deuxmsigala5010 Před rokem

    ❤️❤️ my brother 🙏

  • @dastandomition7665
    @dastandomition7665 Před rokem

    Nimekupata brother,, thanks

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 Před 11 měsíci

    Kabisa

  • @muttae2
    @muttae2 Před rokem +4

    Umenena vyema kaka. Hata mimi nilimfurahia sana jamaa mmoja nilipokutana nae kwa mara ya kwanza, wakati tunaagana alitaja jina langu vizuri sana kuliko mtu yeyote niliewahi kukutana nae.

  • @advocateishengoma1088

    Hujazungumzia point nyingine demu kukuomba nyingii kisa tu umeonyesha kumpenda,pesa unayoombwa ni kama umetozwa faini ya kumpenda

  • @Suka_Dm_Guy
    @Suka_Dm_Guy Před rokem

    Kila mara nipo pamoja nawewe bro na nimejifunza mambo mengi sana mungu akuweke zaidi kwa faida ya wengine

  • @Bbwaoy
    @Bbwaoy Před rokem

    “kuongea sana/ Ujuaji” mbaya sana hii.

  • @frankdismack7760
    @frankdismack7760 Před rokem

    Asante sana bro Joeli

  • @mutaluckson5370
    @mutaluckson5370 Před rokem

    Asante saana👏🙏

  • @idrisanassor7744
    @idrisanassor7744 Před 7 měsíci

    Hongeraa snaaa

  • @shanteesaid9831
    @shanteesaid9831 Před rokem

    Be blessed bro

  • @RedemptaShio-yi9dx
    @RedemptaShio-yi9dx Před 6 měsíci

    Ushauri kwa wasiokukubali ndio tatizo kubwa

  • @dicksonmwano9822
    @dicksonmwano9822 Před rokem +1

    Powerful

  • @mgesjames6162
    @mgesjames6162 Před rokem +1

    Nakubali sana kaka mungu akubariki

  • @Djrayv_tz
    @Djrayv_tz Před rokem

    Umenijuza vingi sana kaka 🙏🙏🙏

  • @scolakalindu8077
    @scolakalindu8077 Před rokem

    Mimi ni mwanafunzi mzur yani umekiwa furaha kwangu asante kaka

  • @ggvv9970
    @ggvv9970 Před rokem

    Duuuuh Safi sana....Mimi sio mara ya kwanza ata sasa mtu namchukia nkiwa naongea nae na call ye anaongea namimi uku ana chat pia namchukia..