Nimechelewa kukujua japo nishapona maumivu ila 😢nikimtizama mtoto wake kumsahau inakua ngm jpo asahv ctaki ata ukarb nae mana hata malez ya mtot pia hayajui bc nikajivua mazima tumebakia na jina lake2🙌
Asante kwa somo zur mm yamenikuta na nimefuta namba zote zawad zake nimegawa zote hakuna kitu chake tena na amekula brock maana anakuwa msumbufu ilihal hana mapenzi ya kweli...ni zaid ya mwez sasa nina Amani na furaha ykutosha maisha yanaendelea vzr kabisaaa
Wakati mwingine unapokua mtu wa kutendwa mara kwa mara inabidi ukae utafakari kwa kina , kwanza uanze kujisafisha wewe kimwili na kiroho ukishajikamilisha geukia upande wa ukoo pengine Kuna laana za ukoo ndo zinakutesa uwe mtu wa kutendwa mara kwa mara , lakini pia ujitafakari katika safari Yako ya kimahusiano pengine ulishawahi kumtendamtu bila sababu ya msingi halafu machozi yake mungu akayapokea na yakakuweka katika wakati mgumu Tena usiosameheka yote hayo inabidi tujiulize , usilaumutu kua mbona unakua wa kuachwa Kila wakati, jitafakari ukipata majibu mkimbilie mungu, Kila changamoto inakisababishi, Asante CHIEF JOEL
Umekuwa daktari wangu kwa kiasi kikubwa ktk somo hili nimejifunza mengi,ukweli nilikuwa namaumivu mengi kwa kutendwa vibaya na mtu niliye mpenda kwa kumaanisha lakini alicho nitenda najua mwenyewe,nimemtoa ktk mazingira magumu lakini alivyo nigeuka sihitaji kuelezea,akinikosea mimi ndie namuomba msamaha,ukweli nilikuwa mtumwa wa mapenzi kwake,ila kwa sasa sihitaji kukumbuka chochote kuhusu yeye na mimi kwa ajili ya usalama wa nafsi yangu,kwasababu nikiendelea kukumbuka nitajikuta nimekuwa na roho yakisasi kwake,lakini pia nataka kuishi maisha marefu,lakini pia naamini kisicho riziki hakiliki,ukikilazimisha kitakuua mwishowe
Haki leo joel umenizungumzia mimi na kunifundisha somo ninalopitia kwa sasa kwenye maisha yangu duhh kaka yangu ubarikiwe sana na Mungu maana nimesubilia hili somo ili nijifunze jinsi gani nitapona🙏🙏🙏🙏
Hii ilinikuta brother nilicho kifanya ni kufuta namba yake ya simu lkn pia hata yeye nili mwambia kama kweli ana niheshimu afute namba yang.Nashukur alifanya hivyo na hajawahi knitafta tena na nimeoa tayari.
Ahsante sana Kwa somo lako hakika unatuponya wengi, mimi ilinitokea alionekana kunipenda ila baada ya mda aliniacha nkawa siwez kumsahau ila baada ya kuchukua maamuzi nkamua kufuta Kila chake , ila bado yeye aninitafuta na aliniacha , iyo Hali najikuta namrudia Bado ananiumiza na me nampenda Bado , kaka angu ili limekuwa tatizo kubwa sana kwangu
Asante doct ukweli mie nimesota sana niliachwa na ujauzito mpka nimejifungua hakutaka mazoea na mimi kabisa lakin nilijitahidi kumpotezea mpka saiv ndo naenda nikipona mara nyingi apenda kuangalia muv na kusikiliza music,,,dah ila namtoto wake ila sijalii naiman na kwa somo lako hili nitazidi kumwona wa kawaida tu..
Mzee upendo sio hisia.....marekebisho tu! Watu wengi wanachanganya hisia na upendo....hisia hua zinabadirika kila dakika.....na hubadirishwa na vitu vingi ndani ya mwili...so upendo sio hisia, upendo ni nguvu inayotoka ndani ambayo hutokana na maamuzi. Asante
Dah ebana jamn tuseme ukweli huyu brother anatuokoa sana na ni asilimia zote wengi tunakumbwa na hili tatzo na hii hali inanikuta sasa nashindwa kufanya kazi , nashindwa kufanya chchte kwa ajili ya mwanamke nnaempenda kwa dhati lkn yeye haoni thamn yangu
Aiseee inauma sana kwakweli hii ilinikuta niliugua sitokuja kusahau kidogo nife uuuuwiiii namshukuru Mungu pekee kwakweli nilikaa sawa sema inanipa ugumu wakupenda tena sijui najionaje😭
Kaka Joel kiukwel mafundisho yako huwa yananilenga sana nina mzazi mwenzangu kiuhalisia nilimpenda sana yaani tuliweka malengo lkn saiv ana mke mwingine na nilikuwa najipa matumain lkn naona km inashindika ingawa anabaki kunipumbaza tu naona, Asante kwa somo zuri nimejifunza kitu
Habari jaman, hapa brother Nanauka ameongelea pale unapompenda mtu lkn yeye hakupendi, sasa kinacho nikuta mm Kwa sasa ni tofauti na hilo, mm ninampenda mwanamke na nimesha mwambia ukweli siku kadhaa zilizopita, alinikataa akidai tayar Yupo na mahusiano, lkn bado ananitafuta tunaongelea maisha na kadhalika, nahisi pengine haniamini lkn najiuliza nifanye nn ... Naomben ushauri
Kwa kweli hii hali ngumu sanaa nna mpnz wangu tumekuwa kwa mahusiano miaka 2 Nimegunduwa ana mpnz Mwingine naona fika hanipendi Naumia Sanaa Lkn nashindwa kumuacha Naona mafunzo yako yatansaidia
Umeeleza vizuri saana kaka yangu. Nondo za maana sana katika kukabiliana na msongo wa mawazo unaotokana na mapenzi. Yes kubali kwamba huyo mtu hana hisia nawe. Anakupenda kama kaka au dada tu na si kama mwandani. Wala huna kasoro yoyote isipokuwa ni hisia tu hazipo kwako. Tulia kuna siku naye atakuja akute hisia zimeisha, mrushe kichurachura akome.
MUNGU Ameumba vyombo vyake kwa ajili ya KUJENGA UFALME wake kwa ajili ya UTUKUFU WAKE.(Yeremia 17:1-27'10,14'Zaburi 19:12,51:1-19.Asante somo ni zuri kazi ni kuliishi, EL-SHADDAI=Waefeso 3:20
Hapo kwenye vitu hapo mfano mtu alikupa gari, unatakiwa umrudishie gari lake ila kutokana na ufukara wetu na ukute mtu alikupenda sababu ya vitu basi akishavuna hivyo vitu na akaondoka kwenye maisha yako ndo kwanza anakuona bwege wewe uliejitoa kwako. Hivyo tuwe na kiasi kwenye kutoa hizi zawadi mana kadiri unavyojitoa zaidi ndio utakavyoumia zaidi siku ukigundua kua hupendwi na mtu ameondoka kwenye maisha yako.
Asante sana kaka ila kama mtu huyo ni sister tupo naye kila siku ,mezani , nyumba moja ,kusali pamoja .inakuwaje nifanye nini nimejengewa chuki kwa sababu ya vipaji vyangu naomba ushauri
Asanti Sana nimefurahi atah Niko karibu kumweka block Kali sana 😂, uzuri nafurahi Sana Mimi sijawahi weka mtu 💯 kwa roho , because itakuja kukusumbua , Mimi Sina stress Niko free stress siwezi jipa pressure, namwomba mwenyezi mungu , asanti Sana kaka Mimi mwenyewe Niko kufikiria hivyo unavvyo sema , asanti Sana nimefurahi umetufunza Sana shukran
Nimechelewa kukujua japo nishapona maumivu ila 😢nikimtizama mtoto wake kumsahau inakua ngm jpo asahv ctaki ata ukarb nae mana hata malez ya mtot pia hayajui bc nikajivua mazima tumebakia na jina lake2🙌
Asante kwa somo zur mm yamenikuta na nimefuta namba zote zawad zake nimegawa zote hakuna kitu chake tena na amekula brock maana anakuwa msumbufu ilihal hana mapenzi ya kweli...ni zaid ya mwez sasa nina Amani na furaha ykutosha maisha yanaendelea vzr kabisaaa
Wakati mwingine unapokua mtu wa kutendwa mara kwa mara inabidi ukae utafakari kwa kina , kwanza uanze kujisafisha wewe kimwili na kiroho ukishajikamilisha geukia upande wa ukoo pengine Kuna laana za ukoo ndo zinakutesa uwe mtu wa kutendwa mara kwa mara , lakini pia ujitafakari katika safari Yako ya kimahusiano pengine ulishawahi kumtendamtu bila sababu ya msingi halafu machozi yake mungu akayapokea na yakakuweka katika wakati mgumu Tena usiosameheka yote hayo inabidi tujiulize , usilaumutu kua mbona unakua wa kuachwa Kila wakati, jitafakari ukipata majibu mkimbilie mungu, Kila changamoto inakisababishi, Asante CHIEF JOEL
Somo lako limekuja wakati sahihi kwangu asnt Joel
Pole sana, hata mm nipo hapo ktk wkt mgum sana
Nimejikuta nakupenda napenda kufatilia darasa lako kwa sababa unauponya moyo wangu🙏Mungu akubariki
Hello
Umekuwa daktari wangu kwa kiasi kikubwa ktk somo hili nimejifunza mengi,ukweli nilikuwa namaumivu mengi kwa kutendwa vibaya na mtu niliye mpenda kwa kumaanisha lakini alicho nitenda najua mwenyewe,nimemtoa ktk mazingira magumu lakini alivyo nigeuka sihitaji kuelezea,akinikosea mimi ndie namuomba msamaha,ukweli nilikuwa mtumwa wa mapenzi kwake,ila kwa sasa sihitaji kukumbuka chochote kuhusu yeye na mimi kwa ajili ya usalama wa nafsi yangu,kwasababu nikiendelea kukumbuka nitajikuta nimekuwa na roho yakisasi kwake,lakini pia nataka kuishi maisha marefu,lakini pia naamini kisicho riziki hakiliki,ukikilazimisha kitakuua mwishowe
Ebwanae imenitokea iyoo kaka daah sasaivi nipo mbali nae sana sasa ananitafuta yeye mie sina mpango nae tena nimesha mtoa moyon
this dude is super genius he was first student in tanzania
Raha ya mtu akikupenda wewe ni kumpenda zaid ndio ninavyo jua Mimi sasa we unamuonesha upendo ye anakuonesha maumivu that is not love
Umenena
Ni kujipendekeza kabsa.mapenzi nikupendana
Umeachwa wee Umeachwa..KUBALI KUBALI utampta wako mtapendana kwa dhati😂😂😂 Brother JOEL 🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
😂
Uko sahihi Joel Ila nashukuru kufatilia video zako nimekua nikimove on ,,,,,,,asante kakka joel mungu akutie nguvu na pumz ndefu kaka
Haki leo joel umenizungumzia mimi na kunifundisha somo ninalopitia kwa sasa kwenye maisha yangu duhh kaka yangu ubarikiwe sana na Mungu maana nimesubilia hili somo ili nijifunze jinsi gani nitapona🙏🙏🙏🙏
Amina, nakuombea uvuke salama na kwa ushindi pia.
Tupo wengi ndugu
@@aminaally7116 kweli mama kupitia haya mafunzo tunaweza kupona kabisa
@@joelnanauka kaka yng nisaidy namb yk ya simu kk
@@aminaally7116 nimefunguka akili niliona maamuzi ninayotaka kuyafanya nakosea kumbe nipo sahihi mim nakaa nae mbali nimekubali sipendwi Acha nikae nae mbali
Hii ilinikuta brother nilicho kifanya ni kufuta namba yake ya simu lkn pia hata yeye nili mwambia kama kweli ana niheshimu afute namba yang.Nashukur alifanya hivyo na hajawahi knitafta tena na nimeoa tayari.
Good
Safi
Maashallahu Alla akubrk uko vzr
Ulifanya cha maana
❤
Joel sema,sema usiogope sema,wahoo imenichekesha sanamungu akupe zaiidi
You are so good at educating people, I really appreciate what you have one day I will become one of you kind
Kwa kweli wewe ni mwalim wangu mengi unayofundisha yananipa faraja na fundisho kwangu
Ahsante sana. Umefanya nicheke kidogo, " si Kila anayefanya maziezi anajenga afya ya mwili" wengine wanajenga moyo.... Congraturation
Kwa kweli maumivu niliyonayo nataman kubadilisha no ya simu l😢😢😢
😢😢😢
Asantee kaka joel ni wengi tunapita iyo satuation inaumiza mnoo
Asante sana Kaka mimi pia ni muanga na hilo kwa somo lako naamini nimepata tiba halisi ubarikikiwe sana
Hongera sana Kijana kwa Elimu unayotupatia. Mungu Akubariki.
You are a blessing to me bro,be blessed too🙏🙏
Mungu Asimame nawe Uzidi kutujenga mana unamchango Mkubwa SANA Katika hii Dunia Kaka angu
Ni kukaa kwenye maombi tu na kumtukuza Mungu baadae taratibu utapona.
Sometimes unatakiwa ukubaliane na unacho kiona maana ukilizia kutoka moyoni ya kwamba mtu akupendi aitokutesa trust me 😌
Kwel
Hakika
Sasa kama kwa wale walio olewa kwa watu wasio wapenda waliolewa juu ya wazazi lakini waoa awakuwapenda wanaume wafanyeje sasa
Ahsante sana Kwa somo lako hakika unatuponya wengi, mimi ilinitokea alionekana kunipenda ila baada ya mda aliniacha nkawa siwez kumsahau ila baada ya kuchukua maamuzi nkamua kufuta Kila chake , ila bado yeye aninitafuta na aliniacha , iyo Hali najikuta namrudia Bado ananiumiza na me nampenda Bado , kaka angu ili limekuwa tatizo kubwa sana kwangu
Kabisa hasa kupenda kwa sana asiekupenda ni ngumu sana!!
Yani sana, kumpata mtu akupende nikazi sana. Mungu atusamehe sana
Asante doct ukweli mie nimesota sana niliachwa na ujauzito mpka nimejifungua hakutaka mazoea na mimi kabisa lakin nilijitahidi kumpotezea mpka saiv ndo naenda nikipona mara nyingi apenda kuangalia muv na kusikiliza music,,,dah ila namtoto wake ila sijalii naiman na kwa somo lako hili nitazidi kumwona wa kawaida tu..
Asante sana,akika nimejifunza Vingi saana kupitia wew,mwenyezi mungu akubariki saaana🙏
Yah vyote ulivyoongea hp ni kweli na nilitumia njia hiyo nimejikuta nimekuwa sawa pka najishagaa....Asante cna mr joel
Asnte kkangu ndo tunayo pitia hayo.
Kusikiliza nyimbo
Kuimba
Kusifu kufuta namba ikiwezekana kuacha kabisa mawasiliano yaan kumkaushia
Kama ilivo elezwa unakua poa2.
Asante sana Bro.. Mungu azidi kukubariki
Ahsante sana 😍Alfu kaka Uje kutu fundisha na, afya! Ya akili 🤦♀️maana ai wezekena' umpend mtu wakati 'Yeye a kupenda!??? 💔
Kupenda sio jambo la akili
Umenikumbusha kitu kweli kuna sababu kubwa sana ya kuitibu akili kila mtu ana sitaili yake ya ukichaa kwahiyo hilo somo lije maana atujielewi
Jaman mm Kuna kaka nampenda nimemueleza lkn naona Kam vile bd hajanielewa nfanyaj
@@abdulyshabany8502 Huyo akupendi alf unakubali vp ww kumweleza hisia zako wakati ni mwanamke?. Eeeb acha utampata wako tu. Huko nikujipunguzia thaman km mwanamke.
@@sarahsaimon4095👀
Thank you brother J
Kuna ki2 nimejifunza thanks brooh halki kama iyo ilisha nitokea nimejua namna ya kukabiliana nayo.
Shukran Ndugu Nan 📚📚📚📚📚📚📚📚📚 mazuri hayo 🎙️...............
Mungu hazidi kuwapa mafunuo kaka
Congrats brother I learn something from ur lesson 👍
Mzee upendo sio hisia.....marekebisho tu! Watu wengi wanachanganya hisia na upendo....hisia hua zinabadirika kila dakika.....na hubadirishwa na vitu vingi ndani ya mwili...so upendo sio hisia, upendo ni nguvu inayotoka ndani ambayo hutokana na maamuzi. Asante
Asante sana kwa somo hii linanisaidia Sana
Dah ebana jamn tuseme ukweli huyu brother anatuokoa sana na ni asilimia zote wengi tunakumbwa na hili tatzo na hii hali inanikuta sasa nashindwa kufanya kazi , nashindwa kufanya chchte kwa ajili ya mwanamke nnaempenda kwa dhati lkn yeye haoni thamn yangu
Asante mpendwa Umeongea ukweli! Ubarikiwe. 🙏
Aiseee inauma sana kwakweli hii ilinikuta niliugua sitokuja kusahau kidogo nife uuuuwiiii namshukuru Mungu pekee kwakweli nilikaa sawa sema inanipa ugumu wakupenda tena sijui najionaje😭
God give you long life
Unanisaidia sana Joel, Mwenyezi Mungu akubariki.Unatusaidia sana kwa hizi elimu.
Ahsante
God bless you 🙏
Asante kwa Somo zuri Mimi ndiyo Niko kuya pitia hayo kira nikitaka kumuacha nashindwa kabisa
Kaka ukitufundisha sana kuhusu mahusiano utaokoa ndoa nyingi sana hasa zilizopo kwenye migogoro mungu akubariki sana
Asante wekaka sasachangamoto nilionayo nimme naeishinaye nisaidie nifanyeje naomba msaada wako
Kaka Joel kiukwel mafundisho yako huwa yananilenga sana nina mzazi mwenzangu kiuhalisia nilimpenda sana yaani tuliweka malengo lkn saiv ana mke mwingine na nilikuwa najipa matumain lkn naona km inashindika ingawa anabaki kunipumbaza tu naona, Asante kwa somo zuri nimejifunza kitu
Habari jaman, hapa brother Nanauka ameongelea pale unapompenda mtu lkn yeye hakupendi,
sasa kinacho nikuta mm Kwa sasa ni tofauti na hilo, mm ninampenda mwanamke na nimesha mwambia ukweli siku kadhaa zilizopita, alinikataa akidai tayar Yupo na mahusiano, lkn bado ananitafuta tunaongelea maisha na kadhalika, nahisi pengine haniamini lkn najiuliza nifanye nn ... Naomben ushauri
Be Blessed brother 🙏
Kwa kweli hii hali ngumu sanaa nna mpnz wangu tumekuwa kwa mahusiano miaka 2 Nimegunduwa ana mpnz Mwingine naona fika hanipendi Naumia Sanaa Lkn nashindwa kumuacha Naona mafunzo yako yatansaidia
Yaani siyo kwa mateso haya nimegundua kitu Mungu akubari sana
Barikiwa Kaka Joel,Nimejifunza. Ingawa kweli Ni kitu kigumu Sana💔Ila mafundisho Kama haya kweli yanahitajika Sana
Nimejifunza. Ingawa natamani kupata uponyaji zaidi natamani kupata ushauri zaidi
Mungu akubariki sana mafundisho yako yananipa kupiga hatua moja zaidi
Umeeleza vizuri saana kaka yangu. Nondo za maana sana katika kukabiliana na msongo wa mawazo unaotokana na mapenzi. Yes kubali kwamba huyo mtu hana hisia nawe. Anakupenda kama kaka au dada tu na si kama mwandani. Wala huna kasoro yoyote isipokuwa ni hisia tu hazipo kwako. Tulia kuna siku naye atakuja akute hisia zimeisha, mrushe kichurachura akome.
Asee umenigusa sana Joel mung akubarik sana
Mungu akupe Uhai Mrefuu
Ubarikiwe sana masomo Yako yamenitengeneza kivingine kabisa,nipo vizuri sana, naomba tuwasiliane,
Thanks mr I Know moreeeeeee💪💪💪
Asante sana mwalimu kwa shule hii barikiwa sana
Asante kaka kwa somo zuri ✊💯
MUNGU Ameumba vyombo vyake kwa ajili ya KUJENGA UFALME wake kwa ajili ya UTUKUFU WAKE.(Yeremia 17:1-27'10,14'Zaburi 19:12,51:1-19.Asante somo ni zuri kazi ni kuliishi, EL-SHADDAI=Waefeso 3:20
Mungu akubariki umetoa tiba asante
Duh , yaani mahusiano yangu Mimi na mpenzi Wangu yalipo fikia mungu nishahidi jamani.
😂😂Mungu akupe nguvu
Ahsante mwalim Kwa mafundisho yako
Nmejifunza kitu God bless you 🙏
😂😂😂😂😂😂😂😂 axant mwalim ila inaum
Asante Sana KK hayo mm yamenikuta Yani nmeumia mnoo
Kaka, Mungu akubariki huwa najifunza vitu vingi kikubwa zaidi huwa unatoa elimu ya kuonya,kushauri na kunibadilisha.be blessed.
Mungu akubariki kaka umeokoa maisha yangu,nilikuwa nateseka sana kwa sasa naendelea vizuri
Mambo
Sasa kama umeolewa huyo mtu unaishi naye unafanyaje
Nashukuru nimekuelewa 🙏
so great bro you teachs for really
Fact brother 💯
Nimekuwa nikisikiliza sana nyimbo na pia kufuta no yake vile kufanya mazoezi ila mazingira bado yamekuwa changamoto cjui unanisaidiaje
Napitia magumu sana sijui jifanyaje kila nikijaribu kukaa mbali nae nshindwa
Be blessed 🙏 kakangu
Daaaaah umenifurahisha kwelii ulivo imba Apooo🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥🙌🙌🌹
😂😂😂 umependa uimbaji wangu
Hiyo nyimbo kweli naimbaga
Nilikua na msongo wa mawazo hususani juu ya mada hii ya mahusiano lkn baada ya somo hili akili yangu kunakitu imekitua hakinitesi tena
Be blessed with this song
czcams.com/video/syQCeCNTHRo/video.html
Hapo kwenye vitu hapo mfano mtu alikupa gari, unatakiwa umrudishie gari lake ila kutokana na ufukara wetu na ukute mtu alikupenda sababu ya vitu basi akishavuna hivyo vitu na akaondoka kwenye maisha yako ndo kwanza anakuona bwege wewe uliejitoa kwako. Hivyo tuwe na kiasi kwenye kutoa hizi zawadi mana kadiri unavyojitoa zaidi ndio utakavyoumia zaidi siku ukigundua kua hupendwi na mtu ameondoka kwenye maisha yako.
Ubarikiwe sana kaka Joel tunajifunza vitu vingi kutoka kwako, sasa kama nimezaa nae na mtt kafanana nae itakuaj 😌😌
Shida ndo inakuja hapo naumia sana sjui la kufanya
Asante sana kaka ila kama mtu huyo ni sister tupo naye kila siku ,mezani , nyumba moja ,kusali pamoja .inakuwaje nifanye nini nimejengewa chuki kwa sababu ya vipaji vyangu naomba ushauri
Mtoto wangu, kila nikimwangalia basi namkumbuka sana jamaa, no way yaani
Amena Amena alleluia
Mungu akubariki sana brother Joel kwa somo zuri na lenye mantiki kubwa..hakika wew ni zaid ya mwalimu sabab unagusa sana maisha ya watu nikiwemo mimi.
Kweli kabsa hakuna binadam mwenye akili timamu ajapitia haya mambo
Mungu akubariki kaka
Mungu akubariki kw mafunzo yko aki nimeyapenda
Kweli kaka hiyo imenipata Mara kibao Sana daaah upo good sana
Mungu akubariki
Absolutely Yes
Barikiwa sana kaka somo zuri sana limenivusha mahali
😭😭😭😭😭😭😭 umeongea kabisa maisha yalivo kaka akika nimejifunza kitu kamwe sitoumia tena
Daaaaaa kumbe tupo wengi sana tunapitia hii hali
Tutor, well done!!!
Elimu nzuri ubarikiwe 🙏
Hili limenikuta lakini niliamua kuanza maisha mapya kwa kukubali
I'm agree with you bro🙂
Very nice kaka Joel
Ahsanteeeee Sana kakayangu hii inanitesa Sana
Ahsante kaka Mungu akubariki sana, umenifundisha nimepata kitu kipya kwenye maisha uangu
Ahsante kwa kushukuru Tausi
@@joelnanauka nahitaji namba zako za whatssap maana nimetuma 5000 kwa kutaka ofa ya watoto Afrika )muamala ntakutumia whatssap nikipata nambazko
Asanti Sana nimefurahi atah Niko karibu kumweka block Kali sana 😂, uzuri nafurahi Sana Mimi sijawahi weka mtu 💯 kwa roho , because itakuja kukusumbua , Mimi Sina stress Niko free stress siwezi jipa pressure, namwomba mwenyezi mungu , asanti Sana kaka Mimi mwenyewe Niko kufikiria hivyo unavvyo sema , asanti Sana nimefurahi umetufunza Sana shukran
Nashukuru kutuponya ila ni ngum hasa yule wa karibu