UNAMPENDA LAKINI YEYE HAKUPENDI - JOEL NANAUKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 06. 2022
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 561

  • @user-hb8ph8fk5s
    @user-hb8ph8fk5s Před měsícem +4

    Nimechelewa kukujua japo nishapona maumivu ila 😢nikimtizama mtoto wake kumsahau inakua ngm jpo asahv ctaki ata ukarb nae mana hata malez ya mtot pia hayajui bc nikajivua mazima tumebakia na jina lake2🙌

  • @sarahilomo410
    @sarahilomo410 Před 2 lety +24

    Asante kwa somo zur mm yamenikuta na nimefuta namba zote zawad zake nimegawa zote hakuna kitu chake tena na amekula brock maana anakuwa msumbufu ilihal hana mapenzi ya kweli...ni zaid ya mwez sasa nina Amani na furaha ykutosha maisha yanaendelea vzr kabisaaa

  • @SHARIFAMAULID-w2e
    @SHARIFAMAULID-w2e Před 23 dny +3

    Wakati mwingine unapokua mtu wa kutendwa mara kwa mara inabidi ukae utafakari kwa kina , kwanza uanze kujisafisha wewe kimwili na kiroho ukishajikamilisha geukia upande wa ukoo pengine Kuna laana za ukoo ndo zinakutesa uwe mtu wa kutendwa mara kwa mara , lakini pia ujitafakari katika safari Yako ya kimahusiano pengine ulishawahi kumtendamtu bila sababu ya msingi halafu machozi yake mungu akayapokea na yakakuweka katika wakati mgumu Tena usiosameheka yote hayo inabidi tujiulize , usilaumutu kua mbona unakua wa kuachwa Kila wakati, jitafakari ukipata majibu mkimbilie mungu, Kila changamoto inakisababishi, Asante CHIEF JOEL

  • @leah1187
    @leah1187 Před 2 lety +18

    Somo lako limekuja wakati sahihi kwangu asnt Joel

    • @sherabomar6681
      @sherabomar6681 Před 2 lety +2

      Pole sana, hata mm nipo hapo ktk wkt mgum sana

  • @anethdaiman2089
    @anethdaiman2089 Před rokem +24

    Nimejikuta nakupenda napenda kufatilia darasa lako kwa sababa unauponya moyo wangu🙏Mungu akubariki

  • @shadrackmasagi9608
    @shadrackmasagi9608 Před 11 měsíci +4

    Umekuwa daktari wangu kwa kiasi kikubwa ktk somo hili nimejifunza mengi,ukweli nilikuwa namaumivu mengi kwa kutendwa vibaya na mtu niliye mpenda kwa kumaanisha lakini alicho nitenda najua mwenyewe,nimemtoa ktk mazingira magumu lakini alivyo nigeuka sihitaji kuelezea,akinikosea mimi ndie namuomba msamaha,ukweli nilikuwa mtumwa wa mapenzi kwake,ila kwa sasa sihitaji kukumbuka chochote kuhusu yeye na mimi kwa ajili ya usalama wa nafsi yangu,kwasababu nikiendelea kukumbuka nitajikuta nimekuwa na roho yakisasi kwake,lakini pia nataka kuishi maisha marefu,lakini pia naamini kisicho riziki hakiliki,ukikilazimisha kitakuua mwishowe

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 Před 2 lety +6

    Ebwanae imenitokea iyoo kaka daah sasaivi nipo mbali nae sana sasa ananitafuta yeye mie sina mpango nae tena nimesha mtoa moyon

  • @georgegervas614
    @georgegervas614 Před rokem +8

    this dude is super genius he was first student in tanzania

  • @shanilingenju3513
    @shanilingenju3513 Před 2 lety +17

    Raha ya mtu akikupenda wewe ni kumpenda zaid ndio ninavyo jua Mimi sasa we unamuonesha upendo ye anakuonesha maumivu that is not love

  • @NaitwaChongx
    @NaitwaChongx Před 2 lety +11

    Umeachwa wee Umeachwa..KUBALI KUBALI utampta wako mtapendana kwa dhati😂😂😂 Brother JOEL 🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼

  • @zaituniluboge8897
    @zaituniluboge8897 Před 2 lety +7

    Uko sahihi Joel Ila nashukuru kufatilia video zako nimekua nikimove on ,,,,,,,asante kakka joel mungu akutie nguvu na pumz ndefu kaka

  • @levinaboniephase1195
    @levinaboniephase1195 Před 2 lety +18

    Haki leo joel umenizungumzia mimi na kunifundisha somo ninalopitia kwa sasa kwenye maisha yangu duhh kaka yangu ubarikiwe sana na Mungu maana nimesubilia hili somo ili nijifunze jinsi gani nitapona🙏🙏🙏🙏

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 2 lety +7

      Amina, nakuombea uvuke salama na kwa ushindi pia.

    • @aminaally7116
      @aminaally7116 Před 2 lety +1

      Tupo wengi ndugu

    • @levinaboniephase1195
      @levinaboniephase1195 Před 2 lety

      @@aminaally7116 kweli mama kupitia haya mafunzo tunaweza kupona kabisa

    • @fayeezabdallah2217
      @fayeezabdallah2217 Před 2 lety

      @@joelnanauka kaka yng nisaidy namb yk ya simu kk

    • @sharonerick7729
      @sharonerick7729 Před 2 lety

      @@aminaally7116 nimefunguka akili niliona maamuzi ninayotaka kuyafanya nakosea kumbe nipo sahihi mim nakaa nae mbali nimekubali sipendwi Acha nikae nae mbali

  • @isacknguvumali3445
    @isacknguvumali3445 Před 2 lety +92

    Hii ilinikuta brother nilicho kifanya ni kufuta namba yake ya simu lkn pia hata yeye nili mwambia kama kweli ana niheshimu afute namba yang.Nashukur alifanya hivyo na hajawahi knitafta tena na nimeoa tayari.

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Před 2 lety +7

    Joel sema,sema usiogope sema,wahoo imenichekesha sanamungu akupe zaiidi

  • @francismtaki5979
    @francismtaki5979 Před 2 lety +27

    You are so good at educating people, I really appreciate what you have one day I will become one of you kind

  • @shamhamood755
    @shamhamood755 Před 2 lety +3

    Kwa kweli wewe ni mwalim wangu mengi unayofundisha yananipa faraja na fundisho kwangu

  • @emmanuelmwandu.3126
    @emmanuelmwandu.3126 Před rokem +5

    Ahsante sana. Umefanya nicheke kidogo, " si Kila anayefanya maziezi anajenga afya ya mwili" wengine wanajenga moyo.... Congraturation

  • @HariethNdunguru
    @HariethNdunguru Před 8 měsíci +3

    Kwa kweli maumivu niliyonayo nataman kubadilisha no ya simu l😢😢😢

  • @paulinedavid2524
    @paulinedavid2524 Před rokem +1

    Asantee kaka joel ni wengi tunapita iyo satuation inaumiza mnoo

  • @patrickmathias9452
    @patrickmathias9452 Před 2 lety +1

    Asante sana Kaka mimi pia ni muanga na hilo kwa somo lako naamini nimepata tiba halisi ubarikikiwe sana

  • @maggiechande20
    @maggiechande20 Před rokem +3

    Hongera sana Kijana kwa Elimu unayotupatia. Mungu Akubariki.

  • @lucywambui7725
    @lucywambui7725 Před rokem +3

    You are a blessing to me bro,be blessed too🙏🙏

  • @Udindigwa
    @Udindigwa Před 2 lety +5

    Mungu Asimame nawe Uzidi kutujenga mana unamchango Mkubwa SANA Katika hii Dunia Kaka angu

  • @cesiliasanjah4119
    @cesiliasanjah4119 Před 2 lety +1

    Ni kukaa kwenye maombi tu na kumtukuza Mungu baadae taratibu utapona.

  • @silverboy3065
    @silverboy3065 Před 2 lety +18

    Sometimes unatakiwa ukubaliane na unacho kiona maana ukilizia kutoka moyoni ya kwamba mtu akupendi aitokutesa trust me 😌

    • @niwawlymruma8724
      @niwawlymruma8724 Před rokem +1

      Kwel

    • @Teddy-fq5oc
      @Teddy-fq5oc Před rokem

      Hakika

    • @RizikiMarie
      @RizikiMarie Před rokem

      Sasa kama kwa wale walio olewa kwa watu wasio wapenda waliolewa juu ya wazazi lakini waoa awakuwapenda wanaume wafanyeje sasa

  • @doricejovinig
    @doricejovinig Před 11 měsíci

    Ahsante sana Kwa somo lako hakika unatuponya wengi, mimi ilinitokea alionekana kunipenda ila baada ya mda aliniacha nkawa siwez kumsahau ila baada ya kuchukua maamuzi nkamua kufuta Kila chake , ila bado yeye aninitafuta na aliniacha , iyo Hali najikuta namrudia Bado ananiumiza na me nampenda Bado , kaka angu ili limekuwa tatizo kubwa sana kwangu

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 Před 2 lety +10

    Kabisa hasa kupenda kwa sana asiekupenda ni ngumu sana!!

    • @sarahsaimon4095
      @sarahsaimon4095 Před rokem

      Yani sana, kumpata mtu akupende nikazi sana. Mungu atusamehe sana

  • @CatheMunuo
    @CatheMunuo Před 21 dnem

    Asante doct ukweli mie nimesota sana niliachwa na ujauzito mpka nimejifungua hakutaka mazoea na mimi kabisa lakin nilijitahidi kumpotezea mpka saiv ndo naenda nikipona mara nyingi apenda kuangalia muv na kusikiliza music,,,dah ila namtoto wake ila sijalii naiman na kwa somo lako hili nitazidi kumwona wa kawaida tu..

  • @mutaluckson5370
    @mutaluckson5370 Před rokem +1

    Asante sana,akika nimejifunza Vingi saana kupitia wew,mwenyezi mungu akubariki saaana🙏

  • @ladywitney4361
    @ladywitney4361 Před 2 lety +1

    Yah vyote ulivyoongea hp ni kweli na nilitumia njia hiyo nimejikuta nimekuwa sawa pka najishagaa....Asante cna mr joel

  • @user-mt9gc2yp7j
    @user-mt9gc2yp7j Před 7 dny

    Asnte kkangu ndo tunayo pitia hayo.

  • @joycekapoli
    @joycekapoli Před 16 dny

    Kusikiliza nyimbo
    Kuimba
    Kusifu kufuta namba ikiwezekana kuacha kabisa mawasiliano yaan kumkaushia
    Kama ilivo elezwa unakua poa2.

  • @josephlyimo4977
    @josephlyimo4977 Před 2 lety +1

    Asante sana Bro.. Mungu azidi kukubariki

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před 2 lety +28

    Ahsante sana 😍Alfu kaka Uje kutu fundisha na, afya! Ya akili 🤦‍♀️maana ai wezekena' umpend mtu wakati 'Yeye a kupenda!??? 💔

    • @immanuelmwaipopo1605
      @immanuelmwaipopo1605 Před rokem +1

      Kupenda sio jambo la akili

    • @bahatimallya32
      @bahatimallya32 Před rokem +1

      Umenikumbusha kitu kweli kuna sababu kubwa sana ya kuitibu akili kila mtu ana sitaili yake ya ukichaa kwahiyo hilo somo lije maana atujielewi

    • @abdulyshabany8502
      @abdulyshabany8502 Před rokem +1

      Jaman mm Kuna kaka nampenda nimemueleza lkn naona Kam vile bd hajanielewa nfanyaj

    • @sarahsaimon4095
      @sarahsaimon4095 Před rokem

      ​@@abdulyshabany8502 Huyo akupendi alf unakubali vp ww kumweleza hisia zako wakati ni mwanamke?. Eeeb acha utampata wako tu. Huko nikujipunguzia thaman km mwanamke.

    • @simonmalegesi414
      @simonmalegesi414 Před 9 měsíci

      ​@@sarahsaimon4095👀

  • @rosemofuga8101
    @rosemofuga8101 Před 2 lety +2

    Thank you brother J

  • @user-qh9yd9xk1x
    @user-qh9yd9xk1x Před 18 dny

    Kuna ki2 nimejifunza thanks brooh halki kama iyo ilisha nitokea nimejua namna ya kukabiliana nayo.

  • @timothykengere2535
    @timothykengere2535 Před 2 lety +1

    Shukran Ndugu Nan 📚📚📚📚📚📚📚📚📚 mazuri hayo 🎙️...............

  • @QueenMollel-sh8rx
    @QueenMollel-sh8rx Před 8 dny

    Mungu hazidi kuwapa mafunuo kaka

  • @elilumbamkumbo1676
    @elilumbamkumbo1676 Před rokem +2

    Congrats brother I learn something from ur lesson 👍

  • @richardboaz-mashagospel2346

    Mzee upendo sio hisia.....marekebisho tu! Watu wengi wanachanganya hisia na upendo....hisia hua zinabadirika kila dakika.....na hubadirishwa na vitu vingi ndani ya mwili...so upendo sio hisia, upendo ni nguvu inayotoka ndani ambayo hutokana na maamuzi. Asante

  • @mixhaomary4499
    @mixhaomary4499 Před 2 lety +1

    Asante sana kwa somo hii linanisaidia Sana

  • @rommydeevan8543
    @rommydeevan8543 Před rokem +2

    Dah ebana jamn tuseme ukweli huyu brother anatuokoa sana na ni asilimia zote wengi tunakumbwa na hili tatzo na hii hali inanikuta sasa nashindwa kufanya kazi , nashindwa kufanya chchte kwa ajili ya mwanamke nnaempenda kwa dhati lkn yeye haoni thamn yangu

  • @obedimunguachiza8434
    @obedimunguachiza8434 Před rokem

    Asante mpendwa Umeongea ukweli! Ubarikiwe. 🙏

  • @Divebeautyafricanhairstyles

    Aiseee inauma sana kwakweli hii ilinikuta niliugua sitokuja kusahau kidogo nife uuuuwiiii namshukuru Mungu pekee kwakweli nilikaa sawa sema inanipa ugumu wakupenda tena sijui najionaje😭

  • @emmygoleho2191
    @emmygoleho2191 Před 2 lety +1

    God give you long life

  • @theresiamwandara7990
    @theresiamwandara7990 Před rokem +3

    Unanisaidia sana Joel, Mwenyezi Mungu akubariki.Unatusaidia sana kwa hizi elimu.

  • @shamhamood755
    @shamhamood755 Před 2 lety +1

    God bless you 🙏

  • @nassongalaxy7807
    @nassongalaxy7807 Před rokem

    Asante kwa Somo zuri Mimi ndiyo Niko kuya pitia hayo kira nikitaka kumuacha nashindwa kabisa

  • @geophreygwarasa6789
    @geophreygwarasa6789 Před 2 lety +1

    Kaka ukitufundisha sana kuhusu mahusiano utaokoa ndoa nyingi sana hasa zilizopo kwenye migogoro mungu akubariki sana

  • @ayoubbornface2003
    @ayoubbornface2003 Před rokem

    Asante wekaka sasachangamoto nilionayo nimme naeishinaye nisaidie nifanyeje naomba msaada wako

  • @kwangukazungu8299
    @kwangukazungu8299 Před rokem

    Kaka Joel kiukwel mafundisho yako huwa yananilenga sana nina mzazi mwenzangu kiuhalisia nilimpenda sana yaani tuliweka malengo lkn saiv ana mke mwingine na nilikuwa najipa matumain lkn naona km inashindika ingawa anabaki kunipumbaza tu naona, Asante kwa somo zuri nimejifunza kitu

  • @Lifeofkafoi
    @Lifeofkafoi Před rokem

    Habari jaman, hapa brother Nanauka ameongelea pale unapompenda mtu lkn yeye hakupendi,
    sasa kinacho nikuta mm Kwa sasa ni tofauti na hilo, mm ninampenda mwanamke na nimesha mwambia ukweli siku kadhaa zilizopita, alinikataa akidai tayar Yupo na mahusiano, lkn bado ananitafuta tunaongelea maisha na kadhalika, nahisi pengine haniamini lkn najiuliza nifanye nn ... Naomben ushauri

  • @glorymathew182
    @glorymathew182 Před rokem +1

    Be Blessed brother 🙏

  • @salmamalika5871
    @salmamalika5871 Před rokem

    Kwa kweli hii hali ngumu sanaa nna mpnz wangu tumekuwa kwa mahusiano miaka 2 Nimegunduwa ana mpnz Mwingine naona fika hanipendi Naumia Sanaa Lkn nashindwa kumuacha Naona mafunzo yako yatansaidia

  • @theresiamateru6426
    @theresiamateru6426 Před rokem

    Yaani siyo kwa mateso haya nimegundua kitu Mungu akubari sana

  • @gracemhaya3707
    @gracemhaya3707 Před rokem +3

    Barikiwa Kaka Joel,Nimejifunza. Ingawa kweli Ni kitu kigumu Sana💔Ila mafundisho Kama haya kweli yanahitajika Sana

    • @neemagodfrey5798
      @neemagodfrey5798 Před rokem

      Nimejifunza. Ingawa natamani kupata uponyaji zaidi natamani kupata ushauri zaidi

  • @letionlengima6299
    @letionlengima6299 Před rokem

    Mungu akubariki sana mafundisho yako yananipa kupiga hatua moja zaidi

  • @evastesheni8024
    @evastesheni8024 Před 2 lety +1

    Umeeleza vizuri saana kaka yangu. Nondo za maana sana katika kukabiliana na msongo wa mawazo unaotokana na mapenzi. Yes kubali kwamba huyo mtu hana hisia nawe. Anakupenda kama kaka au dada tu na si kama mwandani. Wala huna kasoro yoyote isipokuwa ni hisia tu hazipo kwako. Tulia kuna siku naye atakuja akute hisia zimeisha, mrushe kichurachura akome.

  • @antonyjrc5792
    @antonyjrc5792 Před 2 lety

    Asee umenigusa sana Joel mung akubarik sana

  • @abdhemed5470
    @abdhemed5470 Před 2 lety +1

    Mungu akupe Uhai Mrefuu

  • @issackmbigo906
    @issackmbigo906 Před rokem

    Ubarikiwe sana masomo Yako yamenitengeneza kivingine kabisa,nipo vizuri sana, naomba tuwasiliane,

  • @user-zk8lf6rg5t
    @user-zk8lf6rg5t Před 5 měsíci +1

    Thanks mr I Know moreeeeeee💪💪💪

  • @anzurunimakala9686
    @anzurunimakala9686 Před rokem

    Asante sana mwalimu kwa shule hii barikiwa sana

  • @richardvalson4313
    @richardvalson4313 Před 2 lety

    Asante kaka kwa somo zuri ✊💯

  • @reginaldipeter2272
    @reginaldipeter2272 Před rokem +1

    MUNGU Ameumba vyombo vyake kwa ajili ya KUJENGA UFALME wake kwa ajili ya UTUKUFU WAKE.(Yeremia 17:1-27'10,14'Zaburi 19:12,51:1-19.Asante somo ni zuri kazi ni kuliishi, EL-SHADDAI=Waefeso 3:20

  • @priscaemily1124
    @priscaemily1124 Před 2 lety +1

    Mungu akubariki umetoa tiba asante

  • @zawadisadick4323
    @zawadisadick4323 Před 2 lety +3

    Duh , yaani mahusiano yangu Mimi na mpenzi Wangu yalipo fikia mungu nishahidi jamani.

  • @johansenmax4784
    @johansenmax4784 Před 2 lety

    Ahsante mwalim Kwa mafundisho yako

  • @estermuna6802
    @estermuna6802 Před rokem +1

    Nmejifunza kitu God bless you 🙏

    • @Frp21
      @Frp21 Před 2 měsíci

      😂😂😂😂😂😂😂😂 axant mwalim ila inaum

  • @user-zu2dc2bj6z
    @user-zu2dc2bj6z Před 4 měsíci

    Asante Sana KK hayo mm yamenikuta Yani nmeumia mnoo

  • @neemamaganga9774
    @neemamaganga9774 Před 2 lety

    Kaka, Mungu akubariki huwa najifunza vitu vingi kikubwa zaidi huwa unatoa elimu ya kuonya,kushauri na kunibadilisha.be blessed.

  • @Dimitry-cb5tb
    @Dimitry-cb5tb Před rokem +5

    Mungu akubariki kaka umeokoa maisha yangu,nilikuwa nateseka sana kwa sasa naendelea vizuri

  • @AbiudMohamedy-lq5nb
    @AbiudMohamedy-lq5nb Před rokem

    Nashukuru nimekuelewa 🙏

  • @levifoto.
    @levifoto. Před rokem

    so great bro you teachs for really

  • @khadijashabaninimba7890
    @khadijashabaninimba7890 Před 2 lety +2

    Fact brother 💯

  • @salumsaid8515
    @salumsaid8515 Před 7 měsíci

    Nimekuwa nikisikiliza sana nyimbo na pia kufuta no yake vile kufanya mazoezi ila mazingira bado yamekuwa changamoto cjui unanisaidiaje

  • @ZainabuAbubakari-mj1po
    @ZainabuAbubakari-mj1po Před 2 měsíci

    Napitia magumu sana sijui jifanyaje kila nikijaribu kukaa mbali nae nshindwa

  • @TrizahBhoke
    @TrizahBhoke Před 8 měsíci

    Be blessed 🙏 kakangu

  • @vicentmlumba591
    @vicentmlumba591 Před 2 lety +5

    Daaaaah umenifurahisha kwelii ulivo imba Apooo🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥🙌🙌🌹

  • @angasyegemwampulo2761
    @angasyegemwampulo2761 Před 2 lety +8

    Nilikua na msongo wa mawazo hususani juu ya mada hii ya mahusiano lkn baada ya somo hili akili yangu kunakitu imekitua hakinitesi tena

    • @lilianjames7537
      @lilianjames7537 Před rokem

      Be blessed with this song
      czcams.com/video/syQCeCNTHRo/video.html

  • @mariahungwi6352
    @mariahungwi6352 Před 2 lety

    Hapo kwenye vitu hapo mfano mtu alikupa gari, unatakiwa umrudishie gari lake ila kutokana na ufukara wetu na ukute mtu alikupenda sababu ya vitu basi akishavuna hivyo vitu na akaondoka kwenye maisha yako ndo kwanza anakuona bwege wewe uliejitoa kwako. Hivyo tuwe na kiasi kwenye kutoa hizi zawadi mana kadiri unavyojitoa zaidi ndio utakavyoumia zaidi siku ukigundua kua hupendwi na mtu ameondoka kwenye maisha yako.

  • @ashaally5883
    @ashaally5883 Před 2 lety +3

    Ubarikiwe sana kaka Joel tunajifunza vitu vingi kutoka kwako, sasa kama nimezaa nae na mtt kafanana nae itakuaj 😌😌

  • @janemwita8615
    @janemwita8615 Před rokem

    Asante sana kaka ila kama mtu huyo ni sister tupo naye kila siku ,mezani , nyumba moja ,kusali pamoja .inakuwaje nifanye nini nimejengewa chuki kwa sababu ya vipaji vyangu naomba ushauri

  • @Switielie
    @Switielie Před 4 měsíci

    Mtoto wangu, kila nikimwangalia basi namkumbuka sana jamaa, no way yaani

  • @kizajacqueline8583
    @kizajacqueline8583 Před 2 lety

    Amena Amena alleluia

  • @paschaltimotheo5441
    @paschaltimotheo5441 Před 2 lety +16

    Mungu akubariki sana brother Joel kwa somo zuri na lenye mantiki kubwa..hakika wew ni zaid ya mwalimu sabab unagusa sana maisha ya watu nikiwemo mimi.

    • @bahatimallya32
      @bahatimallya32 Před rokem

      Kweli kabsa hakuna binadam mwenye akili timamu ajapitia haya mambo

    • @joyceshiyo7257
      @joyceshiyo7257 Před rokem

      Mungu akubariki kaka

    • @appsplay4324
      @appsplay4324 Před rokem

      Mungu akubariki kw mafunzo yko aki nimeyapenda

  • @user-od9jk1yq1e
    @user-od9jk1yq1e Před rokem

    Kweli kaka hiyo imenipata Mara kibao Sana daaah upo good sana

  • @tusubilegetecksonmkumbwa693

    Mungu akubariki

  • @rinusdaniel9634
    @rinusdaniel9634 Před 2 lety

    Absolutely Yes

  • @user-wg8hi7qt7h
    @user-wg8hi7qt7h Před 11 měsíci

    Barikiwa sana kaka somo zuri sana limenivusha mahali

  • @ritharamsy4709
    @ritharamsy4709 Před 2 lety +9

    😭😭😭😭😭😭😭 umeongea kabisa maisha yalivo kaka akika nimejifunza kitu kamwe sitoumia tena

  • @eliudjoachm6041
    @eliudjoachm6041 Před 2 lety +4

    Tutor, well done!!!

  • @hashkhantantrasiraji118

    Elimu nzuri ubarikiwe 🙏

  • @gloriachao9735
    @gloriachao9735 Před 2 lety

    Hili limenikuta lakini niliamua kuanza maisha mapya kwa kukubali

  • @rundamollel2928
    @rundamollel2928 Před rokem

    I'm agree with you bro🙂

  • @adellahkidee714
    @adellahkidee714 Před 2 lety +2

    Very nice kaka Joel

  • @razalophilemon4822
    @razalophilemon4822 Před rokem

    Ahsanteeeee Sana kakayangu hii inanitesa Sana

  • @tausisalum4052
    @tausisalum4052 Před 2 lety +8

    Ahsante kaka Mungu akubariki sana, umenifundisha nimepata kitu kipya kwenye maisha uangu

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 2 lety +1

      Ahsante kwa kushukuru Tausi

    • @sule5716
      @sule5716 Před 2 lety

      @@joelnanauka nahitaji namba zako za whatssap maana nimetuma 5000 kwa kutaka ofa ya watoto Afrika )muamala ntakutumia whatssap nikipata nambazko

  • @halimaanab8393
    @halimaanab8393 Před rokem

    Asanti Sana nimefurahi atah Niko karibu kumweka block Kali sana 😂, uzuri nafurahi Sana Mimi sijawahi weka mtu 💯 kwa roho , because itakuja kukusumbua , Mimi Sina stress Niko free stress siwezi jipa pressure, namwomba mwenyezi mungu , asanti Sana kaka Mimi mwenyewe Niko kufikiria hivyo unavvyo sema , asanti Sana nimefurahi umetufunza Sana shukran

  • @user-qz6cg3hr4w
    @user-qz6cg3hr4w Před 3 měsíci

    Nashukuru kutuponya ila ni ngum hasa yule wa karibu