VITU VINAVYOJENGA HESHIMA - JOEL NANAUKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 08. 2023
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 92

  • @charlesoputi7101
    @charlesoputi7101 Před 11 měsíci +5

    My son I know you are here in 2040. Please remember I was here in 2023 and this video changed my life the way its going to change your's. Be blessed brother joel

  • @nusrashaaban7407
    @nusrashaaban7407 Před 11 měsíci +3

    Ninatamani sana kujenga heshima ya kugusa maisha ya watu wengine kwa kuwasaidia katika kutatua matatizo yao

  • @SaimonKazimoto-xt1zo
    @SaimonKazimoto-xt1zo Před 11 měsíci +6

    Heshima ya tabia ya kuaminika na watu ndipo nilipo pia na heshima ya mafanikio ya kufanya biashara lakini natamani heshima ya biashara niiongeze zaidi kwa kusimamia vizuri biashara.mungu akubariki sana kaka joeli Kwa elimu nzuri.

  • @ExcitedFlamingos-ur4el
    @ExcitedFlamingos-ur4el Před 2 měsíci

    Nawapenda sana washauri wa maisha yetu hususani weye mungu akujaalie umri mwingi zaid ili uendelee kutufuza kama hivi

  • @MosesFikiriIbrahimu
    @MosesFikiriIbrahimu Před měsícem

    TALATA YAKO NI NZURI SANA
    KUENDELEA Kujenga.. Uaminifu wangu
    ■>>kusaidia watu wengine Ni Nzuri sana sana
    NZURI SANA HII IMENIJENGA SANA LEO KUJENGA
    HESHIMA YANGU PEKEE

  • @user-yv1po1vk3i
    @user-yv1po1vk3i Před 5 měsíci

    Nakupata vizuri sanaa joel asante kwa mafundisho yako

  • @AnordBazili
    @AnordBazili Před 11 měsíci +5

    Mungu abariki kaz ya mikono yako hakika wewe n mkombozi wetu🙏

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 11 měsíci +2

      Ameen Ahsante kwa baraka 🙏🏼

  • @furahasweya7433
    @furahasweya7433 Před 6 měsíci

    Ukosawa. Natamani heshima ya kuishinayo

  • @ramadhanalmashamza3458
    @ramadhanalmashamza3458 Před 11 měsíci +2

    Heshima ninayotamani kuijenga ni heshima ya kugusa maisha ya watu asante sana kaka Joel ubarikiwe sana

  • @frolencialupilya6209
    @frolencialupilya6209 Před 5 měsíci

    Learning is on going process, I'm still here learning, thank you brother.❤

  • @Lucasnathaniel-ug8cn
    @Lucasnathaniel-ug8cn Před 2 měsíci

    Ahsante Kwa elimu nzuri

  • @mohamedhaitham5844
    @mohamedhaitham5844 Před 7 měsíci

    Heshima inaletwa na mamb yafuatayo
    1.Matokeo au mafanikio
    2.Tabia/character/value/misimamo
    3.Aina ya watu unaoambatana nao!!
    4.Cheo/nafasi (heshima inayotokana na kiti ulichokalia ukiachia na heshima inaondoka)
    5.kugusa maisha ya watu/kusaidia/kuboresha maish ya watu

  • @fadhilidisanula840
    @fadhilidisanula840 Před 11 měsíci +1

    Heshima ya pili (2) na ya mwisho ni nzuri zaidi

  • @evancepillar3753
    @evancepillar3753 Před 11 měsíci +3

    Napenda sana Huduma yako Mtumishi, unagusa maisha ya watu wengi sana... andaa SEMINA TANGA TUNAHITAJI SANA HUDUMA YAKO BOSS

  • @user-mt8du5mf5v
    @user-mt8du5mf5v Před 4 měsíci

    Heshima ya kubaki nayo

  • @edgarmtekele6710
    @edgarmtekele6710 Před 7 měsíci

    Heshim ya kuwasaidia watu

  • @SaraUlaya-is2ch
    @SaraUlaya-is2ch Před 2 měsíci

    Kaka mi nakupenda sana

  • @melkenbeekpetronille9655
    @melkenbeekpetronille9655 Před 11 měsíci +1

    Ndungu miminaona kilakitu nineematu ni mingutu naonakilakitu kinawakati wake

  • @SaruniSimanga-dq2cu
    @SaruniSimanga-dq2cu Před 9 měsíci

    Mungu akubariki sana

  • @tulimoyomodestcollection9510
    @tulimoyomodestcollection9510 Před 10 měsíci

    Heshima kubwa kuliko zote ni kumcha Mungu

  • @rizikikweka5018
    @rizikikweka5018 Před 6 měsíci

    Kuna HESHIMA itaokanayo na UTAALAMU "Professional)-

  • @MeshackKondowe-re5us
    @MeshackKondowe-re5us Před 8 měsíci

    Nilinayo ni heshima ya kugusa maisha ya watu lkn natafuta heshima ya kimafanikio zaidi

  • @beldinaabuya3532
    @beldinaabuya3532 Před 11 měsíci +1

    Ubarikiwe sana kwani wewe unagusa maisha ya watu wengi kwa nuru yako.

  • @eneliusmutegekindibalema8262
    @eneliusmutegekindibalema8262 Před 11 měsíci +2

    Kazi nayoifanya itanijengea Heshima Kaka Joel🙏🧎

  • @stanleyandrea5153
    @stanleyandrea5153 Před 11 měsíci

    Heshima yangu inatokana na vitu navyo vifanya hasa kwa upande wa biashara na pia kushauri watu

  • @BenjaminRajabu-xk7mc
    @BenjaminRajabu-xk7mc Před 8 dny

    Kaka mm nimejifunza mambo mengi sana kupitia kwako

  • @abdullahpongwa1537
    @abdullahpongwa1537 Před 11 měsíci +2

    Nakusikiliza miaka mingi sana kwa sababu Masomo yako huwa yananipa faraja sana
    Mungu akubaliki sana....

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 Před 10 měsíci

    Duh nusu nidondoke nikihofia heshima yangu imebebwa maana nimeisikiliza video nikiwa ofisin

  • @abrahammwambije2769
    @abrahammwambije2769 Před 11 měsíci

    Mimi Nina kupa heshima yako Kwa mafundisho Nina yo pokea Kila mara kutoka kwako Barikiwa sana Nina fanikiwa Nina imarika kimwili na kiroho.

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Před 11 měsíci

    Joel Mimi rafiki yangu Ni wewe! Niliangaika Sana kutafuta marafiki wanaoeshimika na wanaolieshimu Kama Mimi niligundua wapo tofauti na nikaamua niachane nao, nikajiambia nitabaki na Joel wa youtwib,ubarikiwe Sana natamani nikupigie simu nipokelewe na wewe nifurahi,

  • @user-kb1xk5cs2z
    @user-kb1xk5cs2z Před 9 měsíci

    Nayapenda sana mafundisho yako hakika huwa najifunza vitu vingi sana Kila niingiapo mtandaoni Kila somo ambalo nakutananalo natamani nijifunze vyote kwa pamoja MUNGU akubariki sana na kukutunza akupe maisha marefu baba

  • @violethmapunda3500
    @violethmapunda3500 Před 11 měsíci +2

    Mfano mzuri kwa makonda saiv hakuna anaemheshimu baada ya kutolewa 😂

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia9898 Před 11 měsíci +1

    Tunakuheshimu kwa sababu unatugusa sana

  • @furahasweya7433
    @furahasweya7433 Před 6 měsíci

    Hakika Mungu huwatumia wanadamu kufikisha ujumbe wake. Joel umekuwa kiungo kikubwa kati ya Mungu na wanadamu. Binafsi ninajifunza mengi kutoka ktk mafundisho yako na kila siku ya Mungu ninapata vitu vipya na kuijua dunia na watu wake. Natamani kupata vitabu vyako ili kujifunza zaidi ninavipataje? Kwa sasa nipo dar maeneno ya msasani beach.

  • @kelvinmwakatobe2174
    @kelvinmwakatobe2174 Před 11 měsíci

    Heshima ya biashara.. ndio njozi yangu pamoja na ya kusaidiwa wahitaji

  • @rahimaamour2756
    @rahimaamour2756 Před 10 měsíci

    Kaka kiukwe unanibalisha kutoka hatua moja kwenda hatua nyengine mungu akubariki akupe afya na uzima pia

  • @fredkangethe7497
    @fredkangethe7497 Před 10 měsíci

    Tutafutane kaka.

  • @YoshuaNdaje-lc9hg
    @YoshuaNdaje-lc9hg Před 11 měsíci

    Tunakushukulu kwa mafundisho yako Yana tufanya tuwe wenye kujiami

  • @194summer
    @194summer Před 11 měsíci

    Heshima yangu ni kiongozi ninae gusa maisha ya watu

  • @emilyjoshua8093
    @emilyjoshua8093 Před 11 měsíci +1

    Kama vile Uhuru Kenyatta sai haeshimiwi mpaka anapokonywa walinzi juu c president tena

  • @user-je5ju4xj9i
    @user-je5ju4xj9i Před 11 měsíci

    M heshima nilinayo ni ya tabia 😊

  • @JasmineAlly
    @JasmineAlly Před 11 měsíci

    Heshima ambayo naigundua kua jamii inanipa japo Mimi nilikua sijaingundua kwahiyo nitaitenda Ili iendelee kuwepo.kwahiyo nikitambua hivo nitakua nimeongeza asilimia za heshima yangu. E.nyama

  • @enoshmukama4783
    @enoshmukama4783 Před 11 měsíci

    Mungu akubariki sana natafuta heshima ya kugusa maisha ya watu

  • @saumuyahaya8959
    @saumuyahaya8959 Před 11 měsíci

    Asante kwa kunielimisha

  • @sistermtambo938
    @sistermtambo938 Před 11 měsíci

    Honestly sina maneno mengi but Mungu akubariki sanaaa unanigusa sanaaa najiona kabisa nabadilikaa

  • @MichaelChanya
    @MichaelChanya Před 11 měsíci +2

    Thanks again for your lesson

  • @elijahap7871
    @elijahap7871 Před 11 měsíci +3

    Kiukweli mwaka huu Mwl. joelNanauka unafanya kazi sana💯🙌

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 11 měsíci

      Nashukuru sana sana

    • @fredkangethe7497
      @fredkangethe7497 Před 10 měsíci

      ​@@joelnanaukawewe mkurugenzi tutafutane ndugu. Niko Kenya Nairobi

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 Před 11 měsíci

    Kaka @Joel Mungu akubariki zaidi

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 Před 11 měsíci

    Kupata heshima ni jambo zuri lakn mara nyingine kuna watu wanapata Hashima za kijinga kutokana na ujinga wao mfano utaskia mtu anamsifia muimbaji au anamuheshim muimbaji wakati huyu muimbaji ni muharibifu wa jamii
    Muhim kujijengea heshima katika mambo mema na sio kwa anasa za dunia
    Nazania nimefahamika

  • @johnbanda6601
    @johnbanda6601 Před 11 měsíci

    Nashukuru kaka

  • @herbertkanuni8629
    @herbertkanuni8629 Před 11 měsíci +1

    Good lesson!!! God bless you

  • @ggvv9970
    @ggvv9970 Před 11 měsíci

    Asante.....Yakuwakusa watu

  • @alitoufik5477
    @alitoufik5477 Před 11 měsíci

    The Genius nakuelewa sana mkuu

  • @philmonnem7294
    @philmonnem7294 Před 11 měsíci

    Mungu azidi kukutunza

  • @nassoromussa2423
    @nassoromussa2423 Před 11 měsíci

    Heshima ya 'KITI' inahadaa sana!

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před 11 měsíci

    Awesome Ahsante sana 💓

  • @michaeljm730
    @michaeljm730 Před 11 měsíci +2

    Tunajifunza sana 🙏 kupitia wewe

  • @Musaibrahimu
    @Musaibrahimu Před 11 měsíci

    MWALIMU Uko Vinzuri Sana MASOMO YAKO NAYAPENDA Sana maana Umenitoa MBALI Sana.
    "Video vyako vimenisaidia Sana
    IBRAHIMU KUTOKA ARUSHA

  • @nurdininanjota4056
    @nurdininanjota4056 Před 11 měsíci

    Brother kiukwel mi napenda kupiga picha na wewe ili nijijengee heshima mpaka niondoke duniani nakupenda sana brother sitaki kuppoteza heshima yangu✍️✍️✍️ 💯👍❤️❤️🇹🇿🙏.

  • @user-oq6iu4uh6w
    @user-oq6iu4uh6w Před 11 měsíci +1

    Amen

  • @kijamalimi7507
    @kijamalimi7507 Před 11 měsíci

    God bless you

  • @eliasmugume254
    @eliasmugume254 Před 11 měsíci

    Asante Sana Mwalimu kwaushauri Mkubwa

  • @Monamona-lt6zi
    @Monamona-lt6zi Před 11 měsíci

    Heshima ya kuambatana na watu! Ni kweli kabisa niliwahi kuahamia mahali nikakaa na wamama wenye watoto nikawa nawaona ni bora kumbe ni watu wasio kua na heshima mtaani hapo ninapokua nao kumbe watu wanatusema sana…..nilikuja kufunguka badae sanaa lakini tayari na mimi nilikua nmebebeshwa sifa zao mbaya! Niliumia sanaaa😢 na mpaka leo ni miaka zaid ya mitano sijawahi hata kusogeleana nao nikajifunza na imeniathiri mnoo nmekuwa mtu wa kukaa mwenyewe tuu na kujifungia…mda mwingi

    • @happynescostat7420
      @happynescostat7420 Před 11 měsíci

      Naomba niwe rafiki yako ata Mimi niliwai kuwa karibu na watu Fulani nikidhan Ni watu WENYE eshima,niligundua Ni watu wa ovyo,

  • @khadijakisingo7920
    @khadijakisingo7920 Před 11 měsíci

    Barikiwa Sana Joel

  • @julianalaly2095
    @julianalaly2095 Před 11 měsíci

    Amina

  • @CleophasMwanga
    @CleophasMwanga Před 11 měsíci +1

    Thanks

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj Před 11 měsíci

    Asante sana

  • @user-op2nm9op4d
    @user-op2nm9op4d Před 11 měsíci

    Nashukur bro

  • @dafrosasaturuminmarandu1095
    @dafrosasaturuminmarandu1095 Před 11 měsíci

    Noted.

  • @user-wu3qk3lh3d
    @user-wu3qk3lh3d Před 10 měsíci

    Jee nawezaje kujenga heshima??

  • @user-ql5ut4yb7l
    @user-ql5ut4yb7l Před 11 měsíci +1

    👏👏🙏🙏

  • @tegemeawilliammsewa1950
    @tegemeawilliammsewa1950 Před 11 měsíci

    Kweli kabisa

  • @shubiblessus3535
    @shubiblessus3535 Před 11 měsíci

    Hongerae sana mtaalam!
    Hakika unaitumia vizuri talanta yako kuinua na kujenga jamii mpya.
    Mungu atulinde

  • @violethmapunda3500
    @violethmapunda3500 Před 11 měsíci

    See u at the top.

  • @AbdulkadirHaji-dd4uu
    @AbdulkadirHaji-dd4uu Před 11 měsíci

    Heshima ya tatu. Ya kuambatana na watu hata mm siku niliopiga picha na ww tokea june17 siku ya seminar Zanzibar nimeiweka profile na nimezidi kuheshimika kweli unayoongea yote ni perfect. Ahsante sana Mungu akubariki.

    • @abeidmbarouk6280
      @abeidmbarouk6280 Před 11 měsíci

      Abdul from zanzbr tutaftane ndugu yangu

    • @Monamona-lt6zi
      @Monamona-lt6zi Před 11 měsíci

      Heshima ya kuambatana na watu! Ni kweli kabisa niliwahi kuahamia mahali nikakaa na wamama wenye watoto nikawa nawaona ni bora kumbe ni watu wasio kua na heshima mtaani hapo ninapokua nao kumbe watu wanatusema sana…..nilikuja kufunguka badae sanaa lakini tayari na mimi nilikua nmebebeshwa sifa zao mbaya! Niliumia sanaaa😢 na mpaka leo ni miaka zaid ya mitano sijawahi hata kusogeleana nao nikajifunza na imeniathiri mnoo nmekuwa mtu wa kukaa mwenyewe tuu na kujifungia ndani….mda mwingi

  • @abeidmbarouk6280
    @abeidmbarouk6280 Před 11 měsíci

    See u at the top

  • @greysonclastus2805
    @greysonclastus2805 Před 11 měsíci

    Hadi sasa nimefundisha bure watu 5 , wawili tayari wamejiajili . Ni kweli ninapoishi naheshimika kwa moyo huo wa kufundisha bure TAILORING.

  • @Binflory_
    @Binflory_ Před 11 měsíci

  • @sircomplextz
    @sircomplextz Před 11 měsíci

    ubarikiwe kaka Joel

  • @sircomplextz
    @sircomplextz Před 11 měsíci

    ubarikiwe kaka Joel