My son I know you are here in 2040. Please remember I was here in 2023 and this video changed my life the way its going to change your's. Be blessed brother joel
Heshima ya tabia ya kuaminika na watu ndipo nilipo pia na heshima ya mafanikio ya kufanya biashara lakini natamani heshima ya biashara niiongeze zaidi kwa kusimamia vizuri biashara.mungu akubariki sana kaka joeli Kwa elimu nzuri.
TALATA YAKO NI NZURI SANA KUENDELEA Kujenga.. Uaminifu wangu ■>>kusaidia watu wengine Ni Nzuri sana sana NZURI SANA HII IMENIJENGA SANA LEO KUJENGA HESHIMA YANGU PEKEE
Heshima inaletwa na mamb yafuatayo 1.Matokeo au mafanikio 2.Tabia/character/value/misimamo 3.Aina ya watu unaoambatana nao!! 4.Cheo/nafasi (heshima inayotokana na kiti ulichokalia ukiachia na heshima inaondoka) 5.kugusa maisha ya watu/kusaidia/kuboresha maish ya watu
Joel Mimi rafiki yangu Ni wewe! Niliangaika Sana kutafuta marafiki wanaoeshimika na wanaolieshimu Kama Mimi niligundua wapo tofauti na nikaamua niachane nao, nikajiambia nitabaki na Joel wa youtwib,ubarikiwe Sana natamani nikupigie simu nipokelewe na wewe nifurahi,
Nayapenda sana mafundisho yako hakika huwa najifunza vitu vingi sana Kila niingiapo mtandaoni Kila somo ambalo nakutananalo natamani nijifunze vyote kwa pamoja MUNGU akubariki sana na kukutunza akupe maisha marefu baba
Hakika Mungu huwatumia wanadamu kufikisha ujumbe wake. Joel umekuwa kiungo kikubwa kati ya Mungu na wanadamu. Binafsi ninajifunza mengi kutoka ktk mafundisho yako na kila siku ya Mungu ninapata vitu vipya na kuijua dunia na watu wake. Natamani kupata vitabu vyako ili kujifunza zaidi ninavipataje? Kwa sasa nipo dar maeneno ya msasani beach.
Heshima ambayo naigundua kua jamii inanipa japo Mimi nilikua sijaingundua kwahiyo nitaitenda Ili iendelee kuwepo.kwahiyo nikitambua hivo nitakua nimeongeza asilimia za heshima yangu. E.nyama
Kupata heshima ni jambo zuri lakn mara nyingine kuna watu wanapata Hashima za kijinga kutokana na ujinga wao mfano utaskia mtu anamsifia muimbaji au anamuheshim muimbaji wakati huyu muimbaji ni muharibifu wa jamii Muhim kujijengea heshima katika mambo mema na sio kwa anasa za dunia Nazania nimefahamika
Brother kiukwel mi napenda kupiga picha na wewe ili nijijengee heshima mpaka niondoke duniani nakupenda sana brother sitaki kuppoteza heshima yangu✍️✍️✍️ 💯👍❤️❤️🇹🇿🙏.
Heshima ya kuambatana na watu! Ni kweli kabisa niliwahi kuahamia mahali nikakaa na wamama wenye watoto nikawa nawaona ni bora kumbe ni watu wasio kua na heshima mtaani hapo ninapokua nao kumbe watu wanatusema sana…..nilikuja kufunguka badae sanaa lakini tayari na mimi nilikua nmebebeshwa sifa zao mbaya! Niliumia sanaaa😢 na mpaka leo ni miaka zaid ya mitano sijawahi hata kusogeleana nao nikajifunza na imeniathiri mnoo nmekuwa mtu wa kukaa mwenyewe tuu na kujifungia…mda mwingi
Heshima ya tatu. Ya kuambatana na watu hata mm siku niliopiga picha na ww tokea june17 siku ya seminar Zanzibar nimeiweka profile na nimezidi kuheshimika kweli unayoongea yote ni perfect. Ahsante sana Mungu akubariki.
Heshima ya kuambatana na watu! Ni kweli kabisa niliwahi kuahamia mahali nikakaa na wamama wenye watoto nikawa nawaona ni bora kumbe ni watu wasio kua na heshima mtaani hapo ninapokua nao kumbe watu wanatusema sana…..nilikuja kufunguka badae sanaa lakini tayari na mimi nilikua nmebebeshwa sifa zao mbaya! Niliumia sanaaa😢 na mpaka leo ni miaka zaid ya mitano sijawahi hata kusogeleana nao nikajifunza na imeniathiri mnoo nmekuwa mtu wa kukaa mwenyewe tuu na kujifungia ndani….mda mwingi
My son I know you are here in 2040. Please remember I was here in 2023 and this video changed my life the way its going to change your's. Be blessed brother joel
Ninatamani sana kujenga heshima ya kugusa maisha ya watu wengine kwa kuwasaidia katika kutatua matatizo yao
Heshima ya tabia ya kuaminika na watu ndipo nilipo pia na heshima ya mafanikio ya kufanya biashara lakini natamani heshima ya biashara niiongeze zaidi kwa kusimamia vizuri biashara.mungu akubariki sana kaka joeli Kwa elimu nzuri.
Nawapenda sana washauri wa maisha yetu hususani weye mungu akujaalie umri mwingi zaid ili uendelee kutufuza kama hivi
TALATA YAKO NI NZURI SANA
KUENDELEA Kujenga.. Uaminifu wangu
■>>kusaidia watu wengine Ni Nzuri sana sana
NZURI SANA HII IMENIJENGA SANA LEO KUJENGA
HESHIMA YANGU PEKEE
Nakupata vizuri sanaa joel asante kwa mafundisho yako
Mungu abariki kaz ya mikono yako hakika wewe n mkombozi wetu🙏
Ameen Ahsante kwa baraka 🙏🏼
Ukosawa. Natamani heshima ya kuishinayo
Heshima ninayotamani kuijenga ni heshima ya kugusa maisha ya watu asante sana kaka Joel ubarikiwe sana
Learning is on going process, I'm still here learning, thank you brother.❤
Ahsante Kwa elimu nzuri
Heshima inaletwa na mamb yafuatayo
1.Matokeo au mafanikio
2.Tabia/character/value/misimamo
3.Aina ya watu unaoambatana nao!!
4.Cheo/nafasi (heshima inayotokana na kiti ulichokalia ukiachia na heshima inaondoka)
5.kugusa maisha ya watu/kusaidia/kuboresha maish ya watu
Heshima ya pili (2) na ya mwisho ni nzuri zaidi
Napenda sana Huduma yako Mtumishi, unagusa maisha ya watu wengi sana... andaa SEMINA TANGA TUNAHITAJI SANA HUDUMA YAKO BOSS
Heshima ya kubaki nayo
Heshim ya kuwasaidia watu
Kaka mi nakupenda sana
Ndungu miminaona kilakitu nineematu ni mingutu naonakilakitu kinawakati wake
Mungu akubariki sana
Heshima kubwa kuliko zote ni kumcha Mungu
Kuna HESHIMA itaokanayo na UTAALAMU "Professional)-
Nilinayo ni heshima ya kugusa maisha ya watu lkn natafuta heshima ya kimafanikio zaidi
Ubarikiwe sana kwani wewe unagusa maisha ya watu wengi kwa nuru yako.
Kazi nayoifanya itanijengea Heshima Kaka Joel🙏🧎
Safi snaaaa
Heshima yangu inatokana na vitu navyo vifanya hasa kwa upande wa biashara na pia kushauri watu
Kaka mm nimejifunza mambo mengi sana kupitia kwako
Nakusikiliza miaka mingi sana kwa sababu Masomo yako huwa yananipa faraja sana
Mungu akubaliki sana....
Ameen Ameeen
Duh nusu nidondoke nikihofia heshima yangu imebebwa maana nimeisikiliza video nikiwa ofisin
Mimi Nina kupa heshima yako Kwa mafundisho Nina yo pokea Kila mara kutoka kwako Barikiwa sana Nina fanikiwa Nina imarika kimwili na kiroho.
Joel Mimi rafiki yangu Ni wewe! Niliangaika Sana kutafuta marafiki wanaoeshimika na wanaolieshimu Kama Mimi niligundua wapo tofauti na nikaamua niachane nao, nikajiambia nitabaki na Joel wa youtwib,ubarikiwe Sana natamani nikupigie simu nipokelewe na wewe nifurahi,
Nayapenda sana mafundisho yako hakika huwa najifunza vitu vingi sana Kila niingiapo mtandaoni Kila somo ambalo nakutananalo natamani nijifunze vyote kwa pamoja MUNGU akubariki sana na kukutunza akupe maisha marefu baba
Mfano mzuri kwa makonda saiv hakuna anaemheshimu baada ya kutolewa 😂
Tunakuheshimu kwa sababu unatugusa sana
Ahsante sana
Hakika Mungu huwatumia wanadamu kufikisha ujumbe wake. Joel umekuwa kiungo kikubwa kati ya Mungu na wanadamu. Binafsi ninajifunza mengi kutoka ktk mafundisho yako na kila siku ya Mungu ninapata vitu vipya na kuijua dunia na watu wake. Natamani kupata vitabu vyako ili kujifunza zaidi ninavipataje? Kwa sasa nipo dar maeneno ya msasani beach.
Heshima ya biashara.. ndio njozi yangu pamoja na ya kusaidiwa wahitaji
Kaka kiukwe unanibalisha kutoka hatua moja kwenda hatua nyengine mungu akubariki akupe afya na uzima pia
Tutafutane kaka.
Tunakushukulu kwa mafundisho yako Yana tufanya tuwe wenye kujiami
Heshima yangu ni kiongozi ninae gusa maisha ya watu
Kama vile Uhuru Kenyatta sai haeshimiwi mpaka anapokonywa walinzi juu c president tena
M heshima nilinayo ni ya tabia 😊
Heshima ambayo naigundua kua jamii inanipa japo Mimi nilikua sijaingundua kwahiyo nitaitenda Ili iendelee kuwepo.kwahiyo nikitambua hivo nitakua nimeongeza asilimia za heshima yangu. E.nyama
Mungu akubariki sana natafuta heshima ya kugusa maisha ya watu
Asante kwa kunielimisha
Honestly sina maneno mengi but Mungu akubariki sanaaa unanigusa sanaaa najiona kabisa nabadilikaa
Thanks again for your lesson
Kiukweli mwaka huu Mwl. joelNanauka unafanya kazi sana💯🙌
Nashukuru sana sana
@@joelnanaukawewe mkurugenzi tutafutane ndugu. Niko Kenya Nairobi
Kaka @Joel Mungu akubariki zaidi
Kupata heshima ni jambo zuri lakn mara nyingine kuna watu wanapata Hashima za kijinga kutokana na ujinga wao mfano utaskia mtu anamsifia muimbaji au anamuheshim muimbaji wakati huyu muimbaji ni muharibifu wa jamii
Muhim kujijengea heshima katika mambo mema na sio kwa anasa za dunia
Nazania nimefahamika
Nashukuru kaka
Good lesson!!! God bless you
Asante.....Yakuwakusa watu
The Genius nakuelewa sana mkuu
Mungu azidi kukutunza
Heshima ya 'KITI' inahadaa sana!
Awesome Ahsante sana 💓
Tunajifunza sana 🙏 kupitia wewe
Uko sahihi kaka
Nashukuru sana kwa mrejesho
MWALIMU Uko Vinzuri Sana MASOMO YAKO NAYAPENDA Sana maana Umenitoa MBALI Sana.
"Video vyako vimenisaidia Sana
IBRAHIMU KUTOKA ARUSHA
Brother kiukwel mi napenda kupiga picha na wewe ili nijijengee heshima mpaka niondoke duniani nakupenda sana brother sitaki kuppoteza heshima yangu✍️✍️✍️ 💯👍❤️❤️🇹🇿🙏.
Amen
God bless you
Asante Sana Mwalimu kwaushauri Mkubwa
Heshima ya kuambatana na watu! Ni kweli kabisa niliwahi kuahamia mahali nikakaa na wamama wenye watoto nikawa nawaona ni bora kumbe ni watu wasio kua na heshima mtaani hapo ninapokua nao kumbe watu wanatusema sana…..nilikuja kufunguka badae sanaa lakini tayari na mimi nilikua nmebebeshwa sifa zao mbaya! Niliumia sanaaa😢 na mpaka leo ni miaka zaid ya mitano sijawahi hata kusogeleana nao nikajifunza na imeniathiri mnoo nmekuwa mtu wa kukaa mwenyewe tuu na kujifungia…mda mwingi
Naomba niwe rafiki yako ata Mimi niliwai kuwa karibu na watu Fulani nikidhan Ni watu WENYE eshima,niligundua Ni watu wa ovyo,
Barikiwa Sana Joel
Amina
Thanks
Asante sana
Nashukur bro
Noted.
Jee nawezaje kujenga heshima??
👏👏🙏🙏
Kweli kabisa
Hongerae sana mtaalam!
Hakika unaitumia vizuri talanta yako kuinua na kujenga jamii mpya.
Mungu atulinde
See u at the top.
Heshima ya tatu. Ya kuambatana na watu hata mm siku niliopiga picha na ww tokea june17 siku ya seminar Zanzibar nimeiweka profile na nimezidi kuheshimika kweli unayoongea yote ni perfect. Ahsante sana Mungu akubariki.
Abdul from zanzbr tutaftane ndugu yangu
Heshima ya kuambatana na watu! Ni kweli kabisa niliwahi kuahamia mahali nikakaa na wamama wenye watoto nikawa nawaona ni bora kumbe ni watu wasio kua na heshima mtaani hapo ninapokua nao kumbe watu wanatusema sana…..nilikuja kufunguka badae sanaa lakini tayari na mimi nilikua nmebebeshwa sifa zao mbaya! Niliumia sanaaa😢 na mpaka leo ni miaka zaid ya mitano sijawahi hata kusogeleana nao nikajifunza na imeniathiri mnoo nmekuwa mtu wa kukaa mwenyewe tuu na kujifungia ndani….mda mwingi
See u at the top
Hadi sasa nimefundisha bure watu 5 , wawili tayari wamejiajili . Ni kweli ninapoishi naheshimika kwa moyo huo wa kufundisha bure TAILORING.
Heshima ya kufundisha
✍
ubarikiwe kaka Joel
ubarikiwe kaka Joel