Video není dostupné.
OmlouvĂĄme se.

Wanaume Wanaokimbiwa na Wanawake - Joel Nanauka

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 21. 07. 2021
  • đŸ”„đŸ”„đŸ”„ Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... đŸ”„đŸ”„đŸ”„

Komentáƙe • 268

  • @shamimually1484
    @shamimually1484 Pƙed 3 lety +20

    Ni Kweli kabisa mwalimu, ila kuna wanaume wengine ambao hawana maamuzi na misimamo yao

  • @nickrose9560
    @nickrose9560 Pƙed 28 dny

    Mungu akuweke we baba hii ni zaid ya point mamas boy hii inatesa mnoo

  • @patrickkomu3198
    @patrickkomu3198 Pƙed 3 lety +16

    Yaan mume wangu ni wa Mama's boy, Mr right, egonomic, controlling ni matatizo kwa kweli, inabidi unamfanya mtu mwanaume wa mbegu tu hakuna lingine

  • @meryanmwailakale670
    @meryanmwailakale670 Pƙed 3 lety +12

    MUNGU akupe maisha marefu kaka joel, najifunza mengi sanaaaaaaaaa na masomo yako

  • @khadijajuma7142
    @khadijajuma7142 Pƙed 3 lety +4

    Aisee hawa Perfect ni shidaaa. Nishakutana nae aisee na juzi tu nimeamua kunyanyua mikono aende japo Nampenda sana. Ila kila ukizoom huko mbele itakuaje ni mtihani. Maana kila kitu utakua ww ndo chanzo,simu unapiga ww hapokei, ukiuchuna unakuja kuambiwa Una kiburi kisa hujamcheki 😁😁😁na atakuambia nakupigia simu hupokei wakati hakuna simu yake iliyoingia kha đŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁAkiwa na tatizo ww uwe bize nae, na usipokua bize nae anaona humjali, ila ww ukiwa na tatizo hata ukiumwa hana mda wakukucheki hata kukujulia hali mpk akijisikia. Jamani mahusiano na hawa viumbe ni magumu mweeeh. Na ukilalamika kwa kutokujali kwake kibao kinarudishwa kwako unajikuta ww ndo unaomba msamaha đŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁUbinafsi mwingi mno kwa hawa viumbe. Hadi unajiuliza kama ww tu hakujali ndo atajali ndugu zako, jibu unapata hakuna. Mwee
    Haya maisha stress tupu,bora niendelee kupata stress yakutafuta pesa. Watoto wa mama mkwe ni ugonjwa wa moyo.

    • @salehsaleh548
      @salehsaleh548 Pƙed 3 lety

      Hehehe aisee hii hatariii

    • @khadijajuma7142
      @khadijajuma7142 Pƙed 3 lety +2

      @@salehsaleh548 😂😂😂😂😂Hatari kweli, unaweza kufa huku umesimama. Yaani mpenzi wa hivi ni kwikwiii, hawatakagi kuambiwa wamekosea, afu wasiri waliopitiliza, hawapendi kuulizwa sana đŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Ługomvi tu ndo hawawezi ila kununa mtashindana hata kama kosa lake. Hawajui kubembeleza, wanachojua wao ni wao tu wabembelezwe, aidha umemkosea au kakukosea utarudi ujishushe ww, ktk wanaume hawajui kuomba msamaha ni hawa!!! Yaani akili yake inamtuma yuko Perfect kila kitu kukuomba msamaha kwake dhambi. Na kusamehe kwa dhati ile nimekusamehe yaishe kweli huo ni mtiti mwengine 😂😂😂😂😂Anaorodhesha makosa balaaa, unakuja kushangaa kitu cha miaka ulishasahau yeye kipo stoo kipyaaaa,unakumbushwa hadi unashangaa afu eti mlishaongea akadai yameisha đŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Łafu wanakuaga na fake smile.Yaani nilimsoma tabia zake kama kitabu, afu nikimuangalia nacheka.

    • @salehsaleh548
      @salehsaleh548 Pƙed 3 lety

      @@khadijajuma7142 nimekueelwaa sasa kwa sasa umeamuwa kuwa peke yako au umrpata mwingine😀😀😀

    • @khadijajuma7142
      @khadijajuma7142 Pƙed 3 lety +1

      @@salehsaleh548 😅😅😅saa hizi nirudie tena stress. Acha tu niangalie maisha yangu kwakweli nisijekufa kabla ya mda loh.

    • @salehsaleh548
      @salehsaleh548 Pƙed 3 lety

      @@khadijajuma7142 ukipata kama mm utafurahi na maisha yako😊😊😊

  • @mariahungwi6352
    @mariahungwi6352 Pƙed 2 lety +2

    Halafu kuna wazembe na wasiotambua nafasi zao kwenye maisha ya mwanamke na familia

  • @faridaaloyce7672
    @faridaaloyce7672 Pƙed 2 lety +1

    Hapo kwa badboy...uwiii nimeamua kumuepuka watoto watano kila mtu na mama yake...mmi hapana.

  • @rachellyeme3097
    @rachellyeme3097 Pƙed 3 lety +1

    Yaani ni aliyekua mume wangu kabisa na nimemkimbia kweli si utani japo hatujadivoce bado na sitegemei kurudiana kabisaaa

  • @josephkashalu4173
    @josephkashalu4173 Pƙed 3 lety +2

    Daaaah ahsante Sana kwa mafundisho pia mm ni mmoja wa wanaume niliepoteza mwanamke nmpendae kwa tabia zangu na mifumo yangu ya maisha

  • @josephsimpamba8528
    @josephsimpamba8528 Pƙed 3 lety +9

    I now know where I stand time for change

  • @akshots_tz
    @akshots_tz Pƙed 3 lety +2

    hahaha hawa bad boy nimecheka sana, asante kwa somo mwalimu..

  • @kumekuchaonlinetv
    @kumekuchaonlinetv Pƙed 3 lety +5

    Haaaa! Haaa! Mada nzuri sana hii,saluti kwako aisee!

  • @rosemarygelas1473
    @rosemarygelas1473 Pƙed 3 měsĂ­ci

    Asante kwa elimu nzuri , wakwangu ni no 4 na tano uwii ni mtihani sana

  • @magdalenacharles5615
    @magdalenacharles5615 Pƙed 3 lety +1

    Aisee ....

  • @ladymarry
    @ladymarry Pƙed 2 lety +1

    Asante saana kaka Joel Nanauka kwa Elimu nzuri.wapo saana na wengne tunapata taabu kuwarudisha kwenye mstari kwan wameshikiria wanavyomin wao kuwa ndio viko sahihi na wasijue ht kama wanaumiza wenza wao ht jamii iliyowazunguka pia..na wanajichelewesha hata bila kujua, ni neema ya Mungu tuu ndo huwafanya waelewe baadae na wengne hufungwq ufahamu kabisa mpk wanazingua kaburini.đŸ™đŸœđŸ™đŸœđŸ™đŸœđŸ™đŸœshukran kwako na Mungu akubariki hujawahi niboa kwenye mafundisho yako..

  • @meshackevance9959
    @meshackevance9959 Pƙed 3 lety +7

    Iv hii clip ulilekodi mwanzo mwisho đŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Ł maana penye bad boy nimecheka kwa saut đŸ€ŁđŸ€Ł
    Ahsante mwalimu 🙏🙏👏👏👏

  • @sarahjackson8755
    @sarahjackson8755 Pƙed 2 lety +1

    Yaani hizo sifa zoote ulizodadavua hapo zinamuhusu Mr right wangu😭zoote jamanii

  • @estherndola4900
    @estherndola4900 Pƙed rokem

    Kuna mwamba mmoja yeye ni controlling type of a person, Mr right na egocentric Harafu ndo mume sasa.. hali inakuwa ngumu sana.. đŸ™ŒđŸŒđŸ™ŒđŸŒđŸ™ŒđŸŒ

  • @vicentndiholeye1067
    @vicentndiholeye1067 Pƙed 2 lety +1

    kweli kaka tutajilekebisha asnte sana kwaushauli

  • @sweetbertmligo9637
    @sweetbertmligo9637 Pƙed 3 lety +1

    Wambie na wadada hao,nao wapo wanaosumbua balaa!

  • @matrugnawangaeli4815
    @matrugnawangaeli4815 Pƙed 3 lety +2

    Asante Joe, katika mafunzo inepata fundisho tosha. kwani uuhusiano sio kitu rahisi. Ikiwa ina deal na ndungu, jamaa na marafiki. hakika uuhusiano wa ndoa una changamoto nyingi. Hawa wanaume wa aina hii tukonao katka safari. Je una ushauri gani. Naomba uelezee tu kijumla.

  • @luciasoko9026
    @luciasoko9026 Pƙed měsĂ­cem

    ,Mimi ninaye mwenye Tabia kama hiz karibia zote

  • @CKMO
    @CKMO Pƙed 3 lety +1

    Yaaaah sijui nisemeje ili nifahamike yani mimi mume wangu ni gubu yani ni lawama tuu 24/7

    • @fhyubhhh2881
      @fhyubhhh2881 Pƙed 2 lety +1

      Pole mtu asieridhika ujue pia hana huruma

  • @mcnyoka
    @mcnyoka Pƙed 3 lety +2

    First Joel nijibu nivimbe

  • @claramrosso2566
    @claramrosso2566 Pƙed rokem

    Jamoni imebidi nicheke manake kila aina ilotajwa yupo Mungu akubariki brother

  • @mwalimudismasherman
    @mwalimudismasherman Pƙed 3 lety +4

    Mpaka mnasherekea Anniversary ya miaka23 ni lazima atakuwa ameshatambulisha watoto 14, Bad boys wote wakimbiwe tu😂😂😂

  • @dianahonge8512
    @dianahonge8512 Pƙed 2 lety

    Mwanang hilo neno man kuna wanaume wanakeraaaaaaaaa uuuwiiiii

  • @PiusJusta
    @PiusJusta Pƙed 2 lety

    Jamani me ninae uyu mwenye tabia ya mwisho nikishindwa nitaleta majibu

  • @vanessasalema6087
    @vanessasalema6087 Pƙed 5 měsĂ­ci

    Noted.

  • @OdenGreen
    @OdenGreen Pƙed měsĂ­cem

    Ukweli mtupuu

  • @ashaally5883
    @ashaally5883 Pƙed 2 lety +1

    Asante kaka mume wangu alikua na sifa ya kwanza na ya pili sana nashukur mungu nilishajitoa kwake now niko napambana na hali yangu natafuta kuliishi kusudio langu 😊😊😊😊😊

  • @user-dk3ss9ts7n
    @user-dk3ss9ts7n Pƙed 4 měsĂ­ci

    Njoo.chukue huyu wakwang anamsikiliza mama yk

  • @ashudahiza7871
    @ashudahiza7871 Pƙed 2 lety

    Nimefanyiwa hayo mengi sana na huyo yote nashukur nimetoka

  • @mndambacomedian4127
    @mndambacomedian4127 Pƙed 3 lety +2

    joel master of life me sipo kati ya haina hizo ila nimeona watu wa namna ya aina ya mwisho na asante mungu akubalik

  • @daniekasenga4678
    @daniekasenga4678 Pƙed 2 lety

    Aiseee ndiooo maaana ,
    No: 3 Self Righteous & No:4 ,
    Sasa namba 2 huyu tunamsaidiaje sababu namjua jamaa yangu mmoja yupo hivi .

  • @janethjames6514
    @janethjames6514 Pƙed rokem

    jaman mme wangu iyo nne na tano jaman nateseka san 😱😱😱

  • @heno10brown99
    @heno10brown99 Pƙed 2 lety

    Daa Safi sana bro uko sawa udanganyi mana mi nilimpoteza mwanamke niliye kuwa nampenda saaana mpakaleo kwa tabia zangu za kipuzi wape soma na wanawake wawe wanatukweka wazi mapema siyo mtu mmeisha achana kaisha olewa ndipo ana kwambia ulikuwa una nimela 123 inauza sana

  • @user-wk1ix1gm1p
    @user-wk1ix1gm1p Pƙed 2 lety +1

    Mmoja anayote hayo kaka Joel , nimekutana nae vyote hivyo anavyo

  • @fridahk96
    @fridahk96 Pƙed rokem

    Sidhaani Kama wanajiona kuwa wako hivyo Ila ni wengi sana

  • @erikalutevele8362
    @erikalutevele8362 Pƙed 2 lety

    Mmh Mungu tu ndo anajua maana ni shida

  • @enockshayo9688
    @enockshayo9688 Pƙed 2 lety

    Vijana ambao hawajaoa basi wajifunze kwa hili ndio wajitoe kwa miguu ya mama zao na wasimamie nyumba zao wenyewe.

  • @jaccquelinemakungu1777
    @jaccquelinemakungu1777 Pƙed rokem

    Kuna wanaodharau wanawake na kuwapa maneno mabaya

  • @RahmaYusuph-eh4ry
    @RahmaYusuph-eh4ry Pƙed 24 dny

    😂😂😂😂😂😂 mimi cna lakusema ila mada ya leo nimzuri sanaaa

  • @rayansaldivar2796
    @rayansaldivar2796 Pƙed rokem

    Mimi nikutana na number 5. Aise ............ Nipo karibu ya kukimbia

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 Pƙed 3 lety +1

    No 4&5 ndiye niyenae Sasa ! Keeeero

  • @furahairene1829
    @furahairene1829 Pƙed 3 lety

    Hawa watu kweli n wanaume wabaya Sana,lakn wenye wako tyr kubadilika Basi hudumu katika ndoa pia

  • @keniajama3631
    @keniajama3631 Pƙed rokem

    Asante Sana kaka kwa mafunzo mazuri mimi nilikimbia kulingana na tabia kama izo.

  • @stephenthuranira5619
    @stephenthuranira5619 Pƙed rokem

    Nina chembĂšchembe za 3 and 4 wooi mungu saidia

  • @user-oq4fv5ed7u
    @user-oq4fv5ed7u Pƙed měsĂ­cem

    Emeen Mungu nisaidie

  • @ndugwahamisi1470
    @ndugwahamisi1470 Pƙed rokem

    Asante

  • @MariamBahat
    @MariamBahat Pƙed 4 měsĂ­ci

    Mimi ni huyo no5 nifanyeje hayuko care katika mambo yangu lakini yako anataka yawe no1 kwangu mm hataki kujua

  • @anthonywilliam3977
    @anthonywilliam3977 Pƙed 3 lety +1

    Hongera sana

  • @hawanamanga9097
    @hawanamanga9097 Pƙed 2 lety

    Asante sana kaka Joel nami pia ni mhanga wa hapo kwenye bad boy na egomatic kweli ni shida sana nimevumilia sasa nimechoka namwache aendelee na maisha yake

  • @ggvv9970
    @ggvv9970 Pƙed rokem

    Minajipata kila nimpataye nimoja waapo sijui nifanyenje 😂😂😂😂 ndio uwa nakufatilia ili nijiliwaze❀

  • @lydiaedwin3998
    @lydiaedwin3998 Pƙed 3 lety

    Huyo mume wangu kabisaa, anajali yakwako tuu, hata misiba ikitokea kwetu atakama amepokea mshahara. Hawezi kusapot chochote Ila itokee jiran wa Kijijin kwao kaumwa ata kukopa atakopa

  • @sarahcharles2473
    @sarahcharles2473 Pƙed 2 lety

    Asant kwa somo zr

  • @devothasimbi6495
    @devothasimbi6495 Pƙed 3 lety +3

    Jamani Mimi wangu anazo zoooote nimemkata tena mahakamani na Hana hĂąta rushusa ya kufika kwangu,hasa na nne na ya mwisho Kwa ujumla vyote anavyoa anavyo sio rahisi kuishi na mwanamme wa aina hiyo.

    • @kumekuchaonlinetv
      @kumekuchaonlinetv Pƙed 2 lety

      Devotha kwa nn usimsamehe ili maisha yaendelee? Hamkubahatika kupata watoto?

    • @kumekuchaonlinetv
      @kumekuchaonlinetv Pƙed 2 lety

      Devotha kwa nn usimsamehe ili maisha yaendelee? Hamkubahatika kupata watoto?

    • @devothasimbi6495
      @devothasimbi6495 Pƙed 2 lety

      @@kumekuchaonlinetv Nina watoto naye wawili n'a wa tatu wake kutokea kwa mwanamke mwingine.tena WA kwake Hugo ninayebkuanzia akiwa na miaka Saba SASA ana miaka kumi naa Tano je huo si msamaha . Ada Kula maradhi mimi n'a shule sio lelemama .Mama wa moto Hana habari.

    • @kumekuchaonlinetv
      @kumekuchaonlinetv Pƙed 2 lety

      @@devothasimbi6495 Duuuhh! Kwa kweli wewe ni mke mwema sana,yaani umeweza kulea hata mtoto wa mwenziyo-MWENYEZI MUNGU ATAKULIPA MARA ELFU ZAIDI!! 👏👏👏👏🙏🙏🙏🙏🙏

    • @devothasimbi6495
      @devothasimbi6495 Pƙed 2 lety

      @@kumekuchaonlinetv Amina sio kwa uwezo wangu ni nguvu ya Mungu .

  • @akidasalim3859
    @akidasalim3859 Pƙed 3 lety

    Kwa hiyo kosa ni karibu na mama yk

  • @johnsonkibadeni5053
    @johnsonkibadeni5053 Pƙed 3 lety +1

    Bad boy balaa aiseee😂😂

  • @emeraldmaeda6792
    @emeraldmaeda6792 Pƙed 2 lety +1

    JOEL am married to the last on the list and its a nightmare najaribu kuwaeleza ndugu ninacho pitia ina kuwa ngumu nime shukuru ume fafanuwa kwa kiswahili kizuri ili niki share waelewe halafu hawa shauriki watu wa namna hiyo ni ngumu sana

  • @SonySony-hx5yd
    @SonySony-hx5yd Pƙed rokem

    Yeah nlikutan namwanaume ,anokufanya mtumwa,anauza viwanja nammbo kibao hkushrikishi ,taarifa unaziskia kwa mama ake au dada zake,au rafiki yake,nliona haina haja tulimwagikana

  • @emmamoshi855
    @emmamoshi855 Pƙed 2 lety +1

    Umenigusa nimemkimbia mume wangu kwa tabia ya Mama's boy

    • @kumekuchaonlinetv
      @kumekuchaonlinetv Pƙed 2 lety

      Emma msamehe bana ili maisha yaendelee!! 😁😁😋😋

  • @hamidaa3886
    @hamidaa3886 Pƙed 2 lety

    Yes no 4 na no 5 imeshanifikiya Ma Shaa Allah Asante sana Nashkuru nimepata faida sana

  • @kitengealmas4085
    @kitengealmas4085 Pƙed rokem

    Iyo ya mwisho ni majanga nimemuacha nimeshindwa

  • @gracejonh4022
    @gracejonh4022 Pƙed 2 lety

    Hapo kwa akina bad boy ni kituko mh bora na mama 's boy 😄😄😄😄

  • @salomesaedy8186
    @salomesaedy8186 Pƙed rokem

    Khaaaaa😂

  • @farajhassan1775
    @farajhassan1775 Pƙed 3 lety +1

    Asante kwa ujumbe mzuri Mungu akubariki kaka Joel 🙏

  • @great-african903
    @great-african903 Pƙed 2 lety

    Hapo hapo kwa badest boy

  • @glorianyambua1348
    @glorianyambua1348 Pƙed 2 měsĂ­ci

    MUNGU akubariki sana,, tangu njue channel yako nmesaidika sana na kujua aina za watu na category zao

  • @ahz6907
    @ahz6907 Pƙed 3 lety +1

    Ututumie na ya aina ya wanawake wanaokimbiwa na wanaume

  • @jonaskahatano7249
    @jonaskahatano7249 Pƙed 2 lety

    No.4 ya kwangu kabisaa.

  • @magrethjohn4929
    @magrethjohn4929 Pƙed rokem +1

    Duuuh uncle joel huyo Mr perfect ni hatar sana siyo uongo sikujal km nlmpeleka kwe2 kudadeki yaliponishinda nikasepa na tulikaa kwenye relationship kwa 6 years tangu chuo lakin sikujal

  • @faudhiatmasoud4025
    @faudhiatmasoud4025 Pƙed rokem +2

    Hawa Mr perfect na egomaniac ni bora ya wooote kuliko hawa..yan you better be single than get into the fire of mr perfect and hawa egomaniac men..yan i repeat hii ni type ya ovyoooooo kuliko zoteeeeđŸ€š

  • @teklakibamtura2534
    @teklakibamtura2534 Pƙed rokem

    Perfect man kama Adam hawa wapo wengi.

  • @glorianyambua1348
    @glorianyambua1348 Pƙed 2 měsĂ­ci

    Kweli kuna watu wana tabia hizo, mimi nlikuwa na mume Ana tabia hizo zote ilibidii nmtoroke

  • @rahmahalhaithamiy2432
    @rahmahalhaithamiy2432 Pƙed 3 lety

    Ni kwel kabisa

  • @mwanashahussein6829
    @mwanashahussein6829 Pƙed rokem

    Hi yaani nilipitia nanishakimbia tayari nasasa naongopa kudeti tena maana sijui nitapata waaina ngani tena

  • @ninjaisma7983
    @ninjaisma7983 Pƙed 3 lety

    Ongelea kuhusu wanawake sasa wanaokimbiwa na wanaume..utakuwa umefanya haki

  • @annajohn1978
    @annajohn1978 Pƙed 2 lety

    Hizo zote anazo mume wangu nasasa hivi nimemkimbia Mana inakufanya ujione mfu.

  • @pendojeremiah9111
    @pendojeremiah9111 Pƙed 2 lety

    Me nilishawahi kukutana na Mama's boy kiukweli nilimwacha ndani y mwezi mmoja,for sure wanakerađŸ€ŁđŸ€Ł

  • @kitengealmas4085
    @kitengealmas4085 Pƙed rokem

    Hiyo ya mwisho yamenikuta mimi nilivumilia kwa miaka 17 nimeshindwa nimeondoka asante mtumishi

  • @tatu3tatu549
    @tatu3tatu549 Pƙed 2 lety

    Yaani hapo umeniingele mimi

  • @user-ky4rb2lg3h
    @user-ky4rb2lg3h Pƙed 4 měsĂ­ci

    Yupo huku mmoja

  • @saikolojiaonline8403
    @saikolojiaonline8403 Pƙed 3 lety

    Kongole kwako brother kazi nzuri barikiwa sana

  • @gracejonh4022
    @gracejonh4022 Pƙed 2 lety

    Sifa ulizotaja Kuna wanaume wengine wamebeba sifa mbili au tatu mtu unakuta ni mbinafs kupita kias pia yeye si mkosaji pia unakuta ajui kujisimamia mpaka asimamiwe na mama yake kaka zake au wengine ata marafiki yaan ni kero mwanzo mwisho

  • @mwakalukwafredy3720
    @mwakalukwafredy3720 Pƙed 3 lety

    Nakushukuru sana kwa elimu hii nzuri ila nami nimecheka hapo kwa badboy

  • @nursechunga4470
    @nursechunga4470 Pƙed 3 lety

    Asante Kaka Joel, wanaume Hawa wapo kaka

  • @revolutionfilmsproduction9643

    😅 umenifurahisha Sana kaka, kweli hayo yapo. Mimi nilijionea hao watoto wa Mama

  • @Alama_Tv_online
    @Alama_Tv_online Pƙed 3 lety +8

    Hao bad boys jamani.đŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Ł jamaa anarudi kwa miguu wakati nyumbani alitoka na gari

  • @tausimatala1529
    @tausimatala1529 Pƙed 2 lety

    Jamani mume wangu yupo ivyo ila inauma

  • @moudmgomo5742
    @moudmgomo5742 Pƙed 2 lety

    mamas boy. najiona hapo

  • @jonaskahatano7249
    @jonaskahatano7249 Pƙed 2 lety

    Niko no 4.

  • @magrethmushi9731
    @magrethmushi9731 Pƙed 3 lety

    Nimejifunza kitu mwalimu

  • @neemamsaki1111
    @neemamsaki1111 Pƙed rokem

    My coach Mungu akubariki

  • @dorisilukinja4507
    @dorisilukinja4507 Pƙed 2 lety

    Mwanaume maraya je akimbiwi

  • @Leah-oz8us
    @Leah-oz8us Pƙed rokem

    Na 3 ndo naitelembelea kwasasa

  • @mussadismass9306
    @mussadismass9306 Pƙed 2 lety

    Hapo misipo ila nimekuelewa barkiwa san

  • @emmymo2683
    @emmymo2683 Pƙed 3 lety +2

    Mimi ndoa yangu ndoivoivo Yani Kama ulikuwepo nyumbani kwangu

  • @isayamaswayaga5914
    @isayamaswayaga5914 Pƙed rokem

    Bro umetisha Mungu aendelee kukusaidia

  • @benjaminleonard5470
    @benjaminleonard5470 Pƙed 2 lety

    Zungumzia na wanawake