🎉🎉❤bro i promise nitakuwa mtu mkubwa apa nchini na nitakua wealth lkn naomba uifadhi hii text nitakapo kutana na wew nitataka uirudie hii text sir. GOD BLESS U
Amina Amina, Naona uyu n mimi ntasonga mbele na juu Zaid in Jesus name, Bidii pekee haiwezi kukupeleka mbali bila Mungu, Mungu na Bidii usiviache, see You at the Top
Kwa kutumia hii Semina naweka rekodi hapa,nitakuja kuandika ushuhuda mrefu sana.Sioni sababu ya kulala,naamka nimpige Mike Tyson.Naamka kuisaka Goals zangu kama Oxygen.
Mungu mwenyezi naomba ukilinde kichwa hiki kwa faida ya kizazi kijacho.Joel,kila herufi unayoitoa kwenye kinywa chako ina thamani kuliko dhahabu yenye kilo 20.Asante sana.
Kaka nimekufuatiria kwa mda sasa wa mwaka na miezi toka ninalize elimu yangu ya secondary lakin bado naendelea nimejifunza mengi Sana toka kwako naomba unifundishe kuhusu kutengeneza fedha ukiwa chuon
🎉🎉❤bro i promise nitakuwa mtu mkubwa apa nchini na nitakua wealth lkn naomba uifadhi hii text nitakapo kutana na wew nitataka uirudie hii text sir. GOD BLESS U
Ur the best broo best of luck ✊🏿keep on moving
Nahiifadhi, nasubiria ukubwa wako🙏
Amina
Acha kuota mchana ww amka
Napenda Sana vile ukitoa somo unaingia kweye somo moja kwa moja huna Mambo mengi ya kumchosha msikilizaji
Naona jinsi nnavopiga hatua Kwa kufatilia elimu yako Asante sana
Safi prof joel nanauka.naendelea kujifunza Niko Nairobi,kenya
really I see you "at the top" napata uelewa zaidi kupitia lesson zako
Mungu akubariki sana kakaangu umefanyika baraka sana
Amina Amina, Naona uyu n mimi ntasonga mbele na juu Zaid in Jesus name, Bidii pekee haiwezi kukupeleka mbali bila Mungu, Mungu na Bidii usiviache, see You at the Top
I'm from Drc🇨🇩🇨🇩🇨🇩,i just like your speech too much🎉❤
Asanteee sana Mr joelnanauka nimebarikiwa sana rafiki Angu
Asante kaka Joel mungu azidi kukubariki nimejifunza kitu kw..hii.. video asante sana 🙏🙏🇧🇭🇧🇭
Amen,mimi nina 48yrs but i believe ican do something after many years of making Mistakes in life,see you at the top!
Mungu awe nawe ndg
Napata nguvu mno ninapokusikiliza, mungu akubariki sana.
Ubarikiwe sana bro 😊
I'm from Comoro, Mr Joel you are the true meaning of a life coach God bless you👑🙏
Thank you so much, let’s keep on learning 🙏🙏🙏
Be blessed my mentor nakufatilia since2019 nkiwa form four najifunza kitu .....2024 ni mwaka wangu God be be with me......🔥🔥God bless you 🙏
Nitaijurisha Dunia kuwa thamani yangu inaitajika sehemu furani one day maana wakati sahihi utakapo fika ❤
Asante sana Kaka Joel Nanauka Hakika elimu yako inaniongezea hatua saaana,Najikuta nasonga mbele kwa ujasiri mkubwa kila siku❤🎉
Asante sana Joel 🙏🙏🙏🙏
God bless you
Asante kwa somo ziri
Speaker Pekee ninaemkubali dunia nzima ni Mr Joel Nanauka 🎉
asante sana kaka umenipa somo kubwa sana naanza kuyafanyia kazi sasa ili niweze kuishinda hofu yangu Mungu akubariki sana🙌🙏
Shukrani kaka❤❤
Shukrani sana kaka Joel 🙏🏽🙏🏽, kila siku nifunza mambo mapya. Hakika kila siku nakuza maarifa na fikra zangu kupitia kwako.
God bless you kaka Joel🙏🏽🙏🏽
Life transforming thank you Nanauka
Love it, najifunza kitu hapa
Ubarikiwe sana sitachoka kukufuatilia
👏👏 mentor
Asante sana kaka
Good motivation
Nashukuru kwa mafundisho yako bro
Kaka Joel unatisha, ubarkiwe sana. Utatuvusha.
Kaziyako ni zuri sana kaka Mungu akubariki sana
Mungu Amemleta Abraham kwa wanaIstraeli❤❤
God bless you
Najifunza mno...
Maisha yangu yamebadilika
Hili somo lina nibariki nalirudia kila wakati
Jamaa anaonekana ni msomaji mzuri wa vitabu. ❤
Be blessed brother 🙏
Barikiwa ndugu
Naendelea kukufatilia❤❤❤
Tunakuchukuru sana
this is the best Joel,you are transforming so many lives out here for real ,God bless you abundantly
Bro uko vzir sna ❤❤
Nzr
Kaka zawadi Yako mungu akupe kibali zaidi
Asante
I didn't know there's something like Baby friends.....kenya is well represented
Noted.see me at the TOP
Asant sana kwa somo zuri,.tumekuona Mwanza airport leo,tulifrahi.
Nashukuru sana sana 👏🏽👏🏽
😂😂😂 yaaan kaka Mungu akubariki sana wallah. Unapoint nzur sana. Shukran sana
Kwa kutumia hii Semina naweka rekodi hapa,nitakuja kuandika ushuhuda mrefu sana.Sioni sababu ya kulala,naamka nimpige Mike Tyson.Naamka kuisaka Goals zangu kama Oxygen.
Mimi waleo ni wathamani sitatumika bure kuanzialeo mimi ni thamani hii miezi 6 iliyoboki nitakuwa wathamani
Ndugu yangu wewe ni baraka kwa wengi
Sanaa❤
Mm N mtu mkubwa sana na nitakuwa tajiri ndani ya miaka mitano Ii kufikia mwaka 2030 lazma niwe tajiri mkubwa Tz
🙏
Nimebarikiwa kupitia hisemina naaza kuandaa ushindi
NASHUKURU TU MAANA NAJIFUNZA
Kaka nimekuelewa
Pamoja na kuku fuatilia video zako za kila siku sasa nina hitaji kuhudhulia kwenye semina zako sija jua taratibu zako za simina zako.
Hata mm kuanzia sasa naanza kuishinda hofu yangu
Kaka Mimi nakufatilia sana toka 2019 naninapambana sana wakati unakuja ntatoa nilichokua nafanya kupitia masomo yako
Mungu mwenyezi naomba ukilinde kichwa hiki kwa faida ya kizazi kijacho.Joel,kila herufi unayoitoa kwenye kinywa chako ina thamani kuliko dhahabu yenye kilo 20.Asante sana.
Ameen Ameeen Ahsante sana sana🙏
Mm sikufatilii tu bali nafanya n unacho kifundishaa naamin nitakua mtu wa tofauti sana miaka kumi ijayo i will be the best na mungu anisaidie 🙏
Kaka nimekufuatiria kwa mda sasa wa mwaka na miezi toka ninalize elimu yangu ya secondary lakin bado naendelea nimejifunza mengi Sana toka kwako naomba unifundishe kuhusu kutengeneza fedha ukiwa chuon
Ni vyema kama serikal ikikupa nafasi wew na tim yako kutoa hii elimu mashulen o-level na advance kwa form 4 na 6 itakua nzur zaid
Naomba namba zako
👏👏👏👏👏👏🎉🎉🎉🎉🇨🇩
NIKIWA NAKUSIKILIZA youtube NI KAMA VILE TUKOWOTE DARASANI . SICHOKI KUKUSIKILIZA . UBARIKIWE SAAANA ,P6
Kuanzia Leo mwaka huu nitaruka Kama tai❤🎉
kupitia ww lazm niwe Tajiri 2026, nitakua nimekuza jina lang
😂😂😂😂😂Eti chura alikuwa kiziwi alijuwa anapewa moyo❤kumbe walikua wanamcheka😂😂😂😂
Nimesikiza hadi mwisho MM sio kuku ila MM ni tai
🙏