Kaka Joel Nanauka mungu Akupe maisha marefu sana kaka mimi nipo japan lakini Unanifundisha mambo mengisana mwezi wa8 Nitakuja na nitajitaidi nikutafute 🙏🏿
Mumenitoa mbali sana kaka Nanauka sichoki kukufatilia zikipita siku tatu sijakusikiliza huwa nahisi kuumwa nilitaka kukata tamaa ukanipa moyo naiona kesho yangu nzuri kupitia speech zako Mungu akutunze and see you at the top
Mimi nitakua nimeserve millions of money na ntafungua biashara ya pili mwez wA 12 trh 31 ntakuja hapa hapa serve my comment ....n this is possible due to the ebook of money formula najilipa sio tu 5% but 10% each day. Bless u bro.
Ahsante sana kwa elimu mwalimu, ila naomba hiyo sautu ya music inayosikika uibadilishe kama itakupendeza wazo hili, tafuta muziki mwingine mzuri maana sauti ikikutana na music nzuri somo au simuluzi inakuwa na ladha zaidi. Ahsante sana
@@user-ut7ul5bv6b unaposoma au kumsikiliza mtu jaribu kwanza kuelewa ulicho kisoma au ulicho kisikia kabla hujajibu, soma ili uwelewe nasio usome ili ujibu
Mungu Akubariki Sana ufikie viwango vikubwa kama vya akina Dr. Myles Munroe. Unaiwakilisha vema Sana nchi yetu ya Tanzania Hakika Tunajivunia Ume kuwa Masada Mkubwa Sana kwa nchi yetu na Dunia nzima kwa Ujumla. See you at the Top I❤ that.
Saa nyingine nenda direct kwa mada wengine bundle ni za shida kk mm nakubali sanaa lkn siku hizi kambe watufunza kingereza sio km pale mwanzo ulikuwa good coach lkn umekuwa postor na translation umesawai km ww life coach
Watu wenye malengo na wenye ndoto ngumu Yan ukiwaza kwa akili ya kawaida unaona kabisa it's impossible Ila tunaforce mpaka ijulikane, gonga like hapa and let's see each other at the top
Nakuelewa sanaa Joel birthday mate wangu lazima nitembee kwenye vision zangu
Every day i used to sharpen my life from your teachings,,,May our almighty God bless you.
Kaka Joel Nanauka mungu Akupe maisha marefu sana kaka mimi nipo japan lakini Unanifundisha mambo mengisana mwezi wa8 Nitakuja na nitajitaidi nikutafute 🙏🏿
Joel wewe umezid kunifanya niweze kupanga malengo na natarajia kuwa billionare inshaallah joel napenda kaz zako
🤣 🤣 🤣 billionaire?
Huamni au usicheke huwezi kujua kesho ya mtu watu wana jipanga wewe@@lampadshigonko3006
Ameen 🙏
Insha Allah
Amen
Ahsante Sana, Mungu akubariki na azidi kukuinua viwango hadi viwango hakika umekuwa baraka.
Mumenitoa mbali sana kaka Nanauka sichoki kukufatilia zikipita siku tatu sijakusikiliza huwa nahisi kuumwa nilitaka kukata tamaa ukanipa moyo naiona kesho yangu nzuri kupitia speech zako Mungu akutunze and see you at the top
Kaka Joel usiwe unajificha jamani tumezoea kukuona ukiwa unafundisha pia Asante kwa somo zuri🎉🎉
Msshallah unaupiga mwingi brother
Mungu akubariki pastor Joel,zikomo
Wewe ndio maono yangu daaah
Kwanza mimi,2026 lazima tukutane,,yan na changanyikiwa kabx,from burundi
Tuombe uzima, Mungu atatufanikisha🙏
Mimi nitakua nimeserve millions of money na ntafungua biashara ya pili mwez wA 12 trh 31 ntakuja hapa hapa serve my comment ....n this is possible due to the ebook of money formula najilipa sio tu 5% but 10% each day. Bless u bro.
Big congratulations👏🏽👏🏽👏🏽 tunasubiria ushuhuda wako zaidi
Asante sana kwa mafunzo tangia nianze kukusikiza nimepata mafunzo mengi sana
Mungu akupe maisha marefu kaka ❤
Noted.
Nafurahi coz today nimeamka mapema kumsikiliza bro wangu, now I have seen my self at the top
Wow, hongera sanaa🙏
Naamini Sanaa katika masomo haya nauhakika baada ya mda flani sitakua hapa nilipo Mana matokeo nayaona Mungu Akubariki🙏
Barikiwa Sana Mr.J.N
Asante nimejifunza kitu
Ahsante kaka ubarikiwe xana xana mungu azidi kukuinua.
Unajua mpaka unaboa Mungu akubariki❤❤❤🎉🎉
Mungu awenawe
Somo Zuri sana bro, Bado napambana nipate clear vision
Hongera xana braza
Ahsante sana kwa elimu mwalimu, ila naomba hiyo sautu ya music inayosikika uibadilishe kama itakupendeza wazo hili, tafuta muziki mwingine mzuri maana sauti ikikutana na music nzuri somo au simuluzi inakuwa na ladha zaidi. Ahsante sana
Akina sisi tuna enjoy zaidi tumuona hasa huwa nahisi nipo nae karibu akinipa advice
Usichokijua ni kwamba mziki wowote ambao hauna sound ama vocal ni special kaajili ya kutuliza akili yako,Ufahamu wako na usiwaze mambo mengine..
@@user-ut7ul5bv6b unaposoma au kumsikiliza mtu jaribu kwanza kuelewa ulicho kisoma au ulicho kisikia kabla hujajibu, soma ili uwelewe nasio usome ili ujibu
Amen amen 🙏🙏
Ahsante sana sana🙏
Akika unanijenga sana brother 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amin kaka
Mungu akubaliki sana Mr Joel ,
Thanks brother Joel Nanauka you were born to help many
Asante Sana mtumishi barikiwa mno
Elimu nzuri
Asant bro
Gud message Bro 👍
uzudi barikiwa Kaka
Thank u my brother ❤❤
MAONO🔥🔥🔥🔥
Joel Nanauka ,, nakupenda sana kaka for real me binafsi umenikuwa life coach wangu katika maisha yangu
Nanauka wewe ni mwalimu wangu
Nashukuru tuendelee kujifunza🙏
Mimi naomba mungu anijalie ning'ae kwenye biashara yangu
Amen
Asante sana ❤
Amen amen❤ Joel nanauka
See you at the rop, you changed people's lives bro, God bless you
Ameen Ameen
Shukrani sana
Haya madini ya siku yatolewa siku hizi karibuni so valuable
Ahsante sana, nisaidie kushare🙏
Barikiwa sana kaka joel
Ameen, ahsante sana🙏
This Morning Today kuna kitu kizuri nimejifunza toka kwako MWL WANGU JOEL NANAUKA....
Nashukuru sana tuendelee kujifunza🙏
Asante kaka joel, hkika nimejifunza kitu🙏🏽. Mwenyezi mng akutunze daima ufike mbali zaidi , akukirimie afya ilo imala sikhu zote. Balikiwa mnoo kaka Joel 🙏🏽🙏🏽
Ameen Ameen 🙏
Ahsante kaka joel tunazidi kujinza🙏
Ameen Ameen
Thanks bro
Ahsant sana kaka Joel kwa upeo wako tunazidi kupata maarifa kupitia wewe, Mungu azidi kukubariki kwa yote
Ameen Ameen
Mungu Akubariki Sana ufikie viwango vikubwa kama vya akina Dr. Myles Munroe. Unaiwakilisha vema Sana nchi yetu ya Tanzania Hakika Tunajivunia Ume kuwa Masada Mkubwa Sana kwa nchi yetu na Dunia nzima kwa Ujumla. See you at the Top I❤ that.
Nashukuru sana, na ahsante kwa dua njema🙏🙏
See me at the top
Ahsante kaka joel
Mungu akulinde❤❤❤❤❤
Ameeen🙏🙏🙏
Amen baba,mungu akubariki
Ameen ahsante sana sana
Umenijenga sana kaka
From south Africa Durban sijachelewa sana mwalimu Asante limenifikia
Hongera sana sanaa🙏
its my honour to meet you for more guidence❤❤
Mungu atatusaidia tutaonana🙏
Asante
❤❤❤
Bora ukose macho lakini uwe na maono.
KAZIYAKO NI NJEMAMNO,, NASHAURI VITABU UVITOE VIIIIINGI VISAMBAZE KATIKA NCHIYETU MAARIFAHAYA YATAINUA WATANZANIA WEENGI
Ameen nitajitahidi kufanya hivyo🙏🙏
Vizuri brother nanauka.. But ningependa uwe unakuja na bonus ya online books ktk kila video ambazo tunaweza kuwa tunalipia.. GOD bless you
❤
💪🏿
Bro Nanauka unajua adi unakela
Any way mungu aendelee kukuweka ili uendelee kutuelimisha
Ameen Ahsante sana sana🙏🙏
Saa nyingine nenda direct kwa mada wengine bundle ni za shida kk mm nakubali sanaa lkn siku hizi kambe watufunza kingereza sio km pale mwanzo ulikuwa good coach lkn umekuwa postor na translation umesawai km ww life coach
🎉
#See me at the top
Broo nawitaji wa ebook of money formula nitapataje?❤
Bro mimi changamoto yangu naomba uniphundixhe jisi yakutengeza bajeti
Kuna video ipo CZcams namna yakupanga bajet na kitabu chat money formula tafuta vyote hvo vitakusaidia...
Umenifanya nimfaham Helen Keller
Watu wenye malengo na wenye ndoto ngumu Yan ukiwaza kwa akili ya kawaida unaona kabisa it's impossible Ila tunaforce mpaka ijulikane, gonga like hapa and let's see each other at the top
See You At The Top
Hivi mtu ambae hana maino je afanye nini awe na maono?