UKOMAVU WA KIAKILI (MENTAL TOUGHNESS) - JOEL NANAUKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 12. 2023
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 281

  • @IbrahimuRamadhani-nc4mr
    @IbrahimuRamadhani-nc4mr Před 9 hodinami +1

    Ahsante MUNGU wangu muumba mbingu na nchi na vyote vilivyomo,na shukrani za kipekee zikuendee ww kaka Joel Ahsante sana Kwa mafundisho Yako yanazidi kuniimarisha kuwa Bora kila iitwapo Leo mungu akubariki sana nd I appreciate you ❤❤❤

  • @priscusaugust7251
    @priscusaugust7251 Před 6 měsíci +20

    Hivi mna uhakika Joel nanauka ni mtu wa kawaida?????? Kama ni mtu wa kawaida basi mungu kampendelea sana 😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎄🎊🎊🎊🎊

  • @cesiliamaneno9566
    @cesiliamaneno9566 Před 3 měsíci +4

    Mwanangu joel God bless you nimekua nikifatilia vipindi vyako nimegundua kuwa mungu anakusudi kubwa kwako ili kuwaokoa wana wa israel wa kizazi hiki sasa, joel wanangu mungu azidi kukulinda wazushi,natamani npate mawsiliano yko wanangu,kuna neno unisaidie,

  • @sikituukololo1161
    @sikituukololo1161 Před 6 měsíci +11

    51:42 Ninachokipata kwenye speech zako kinanipa nguvu sana. Mungu akubariki maana nimebadirika na kujifunza mengi.

  • @eliastanda9825
    @eliastanda9825 Před 6 měsíci +8

    Joel Joel Joel nmekuita Mara tatu saut yako Ni mwangaza mungu ambaliki mama ako🌟🌟🌟

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 Před 6 měsíci +26

    Sijawahi juta toka nikufarilie,nilikua natamani nisome lakini nilikatishwa shule nikiwa darasa la nne kutokana na maisha yetu,nikawa nafanya kazi za ndani nilichoka nikaolewa mume akanitesa sana nikaachana nae akanipokonya watoto ,Mungu akanijalia nikapata kazi ,omani hivi sasa nipo nchini Dubai hakika ni kwaneema ya Mungu nimeweza jenga na kumjengea mama yangu ninahitaji siku nifungue mgahawa mkubwa Dodoma naamani inawezekana kwa neema ya Mungu. Mungu akubariki sana @Joel Nanauka

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 6 měsíci +5

      Hongera sana sana, Pole kwa mapito magumu na hongera kwa ujasiri wa kuchukua hatua.
      Keep it up, Mungu aendelee kukupigania.

    • @priscusaugust7251
      @priscusaugust7251 Před 6 měsíci

      @@joelnanauka🎉

    • @petrosamwel2528
      @petrosamwel2528 Před 5 měsíci

      Hellow sir​@@joelnanauka

  • @zuwenayusuph3813
    @zuwenayusuph3813 Před 14 dny

    Nakupenda sana kaka Joel MUNGU akuinue zaidi MUNGU akuzidishie

  • @embmacrofinance2695
    @embmacrofinance2695 Před 4 měsíci +2

    Huyu ndo mentor wangu kitambo,,ndo kanifanya nafanikiwa...huyu jamaa anapaswa...akupe maisha marefu sna

  • @user-oe2vl4zm6m
    @user-oe2vl4zm6m Před 2 měsíci +1

    Joel Joel Joel you're special one nadhan inabidi serikali ikupe heshima inayo stahili

  • @user-uu6ei1ys3k
    @user-uu6ei1ys3k Před 4 měsíci +2

    Yani wewe Joel ulizariwa kwa ajiri yetu naamini kila anaekufatilia lazimaaaaa atoke atua hi nakupanda atua nyingine Mungu akubariki sanaaa❤❤❤

  • @wisdomofbooks6905
    @wisdomofbooks6905 Před 5 měsíci +2

    Kujiamini ni nguzo muhimu sana.Maisha ni mtihani usiyoisha maswali.Tunatakiwa kuwa imara Sana kiakili Ili tuweze kufanikisha malengo yetu.Mungu azidi kukubariki Joel Nanauka,Great Inspiration.

  • @simonrusigwa3024
    @simonrusigwa3024 Před 6 měsíci +4

    Kaka, sina la kusema. Hongera kwelikweli. Umeletwa na Mungu. Twende mbele. Kanyaga twende ndugu yangu. Bado hujafika nyumbani. Kwa kazi hii nzuri, bado unalala chini kabisa. Na godoro bado huna. See you kuleeeeee KING

  • @bina2557
    @bina2557 Před 10 dny

    Kaka Joel Nanauka you're the best in my life you're my mentor

  • @FransiscaJoseph-bg6vl
    @FransiscaJoseph-bg6vl Před 3 měsíci +2

    God bless you, it's very powerful speech

  • @davielubuyih-yh7sx
    @davielubuyih-yh7sx Před měsícem +1

    Mungu akubariki sana kaka Joel certified life coach.

  • @motiveperson143
    @motiveperson143 Před 6 měsíci +11

    I lost my parent at a young age, and the people I expected them to lift me up don't show. Now, I have 26 years. Indeed, I have a mental toughness, but I still wanna be extraordinary and wanna improve on these 7 tips . Life never goes easy but we human beings get tough.
    Thank you Joel 😊 this story made me cry.
    Let me know which seminar of yours can i join I really like your speech.

  • @NicksonKihindo-yn5ir
    @NicksonKihindo-yn5ir Před 4 měsíci +3

    Bro Tokea nianze kukufuatilia January 24 hii Maisha yangu yamebadilika Sana MUNGU akupe Maisha malefu kwa lengo LA kukomboa hiki kizazi Amen

    • @realemma2312
      @realemma2312 Před 3 měsíci

      Tuko wengi tunao mfatilia Kwa mwaka 2024

  • @bonifaceferdinand566
    @bonifaceferdinand566 Před 6 měsíci +5

    Asante kaka kwa elimu bora na maarifa unayotupatia,mungu akupe maisha marefu,kwani elimu unayotupatia huwezi kuipata sehemu nyingine bali ni kwako tu.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 6 měsíci

      Amen, ahsante sana kwa mrejesho🙏

  • @user-xt5vs7cm2k
    @user-xt5vs7cm2k Před 22 dny

    Mungu akupe maisha malefu sana

  • @monicakauky8914
    @monicakauky8914 Před 2 měsíci +1

    Hata mimi nilishawahi kukataliwa,lakini sasa niko vizuri sana.

  • @salhakyande3905
    @salhakyande3905 Před měsícem +1

    Joel! Nice having u

  • @Du_boiz_Mnyama
    @Du_boiz_Mnyama Před měsícem +3

    Imeisha imeisha. Imeishaje😂😂😂

  • @user-jq1ny9lx4e
    @user-jq1ny9lx4e Před 6 měsíci +1

    Historia ya familia yangu na historia yangu huwa kila siku nikiifikiria inanifanya niiue kweli Mungu anaishi

  • @ediphonceedwin1482
    @ediphonceedwin1482 Před 2 hodinami

    Nimejifunza kitu kipya asante

  • @user-ni3mk5xu2v
    @user-ni3mk5xu2v Před 6 měsíci +2

    Akuna mafanikio mazuri kama Yale uliambiawa Ayawezekani barikiwa sna kaka joel

  • @user-sc9ll5no3f
    @user-sc9ll5no3f Před 6 měsíci +1

    Kaka nakushukuru sana kwa mafundisho hakika wewe ni mtu wa mhimu sana kwangu hakika sijutii kukufatilia Mungu akubarik umenifundisha mengi

  • @langemwepesi
    @langemwepesi Před 6 měsíci +1

    Chenye napenda zaidi nikuwa tunachambuliwa kwa lugha ya mama tunanauka vizuri kabisa mbali lugha za kigeni hongera sana mkuu..

  • @user-ep1ll6tq8x
    @user-ep1ll6tq8x Před 6 měsíci +1

    Nimejifunza kitu kipya,asante sana

  • @TumainiChengula-dn5vx
    @TumainiChengula-dn5vx Před měsícem

    Barikiwa kaka Mungu akuzidishie

  • @felixngwasi9469
    @felixngwasi9469 Před 6 měsíci +2

    Bro Joel, hongera Sana, kila niangaliapo kazi zako, napata hamasa ya kuongeza bidii katika kuboresha kuyafanya yaleambayo ni kwa ajili ya wengine kupata kufungu nguliwa kwa uzuri wa kuyafikia malengo yao kadhalika na Mimi katika yangu, mwenyezi Mungu mwenye Rehema akuongoze na kukupigania daima katika kutimiza kusudia alilo kutuma

  • @user-um6oj8ci9i
    @user-um6oj8ci9i Před 23 dny

    Mimi nikijana ila nimejifunza vitu vingi sana kwako Joel nanauka na nitaendelea kujifunza❤❤

  • @user-ri3se1vj3i
    @user-ri3se1vj3i Před měsícem

    Amen Mtumishi wa Yehova

  • @zachariajacob6559
    @zachariajacob6559 Před 6 měsíci +10

    no retreat no surrender!! it is not over until its over !I feel impowered impressed with your strongest and fruitful speech!! in my journey to my future endeavour!! thank you in advance!!!!!

  • @user-wn3xk5kg8w
    @user-wn3xk5kg8w Před 6 měsíci +1

    Umenifunza kuwa imara mungu akubariki sana bro

  • @susanolambo9723
    @susanolambo9723 Před 2 měsíci

    Funzo zuri sana ktk maisha. Jitahidi sana kuifikia new generation taifa litapona

  • @maryjulius5923
    @maryjulius5923 Před 6 měsíci +2

    Hakika nimejikuta mpyaaaa baaada ya hili somo MUNGU wangu akutunze saaana kwaaajili ya utukufu wake

  • @user-wy6re9be2g
    @user-wy6re9be2g Před 6 měsíci +3

    Thank you very much Mr Joel Nanauka...
    Umeletwa kwangu katika kipindi sahihi..,,
    Sijutii kabisa kuangalia Video hii mwanzo mwisho,,
    Nimejifunza mambo mengi na nimepata Nguvu ya kuendelea na Maisha ingawa nimepitia mambo mengi sana Mwaka huu ikiwemo kupoteza Mzazi, kufeli chuo, kupoteza mitaji katika uwekezaji....
    But I believe One Day Mambo yatajipa tuu,, Mungu ni mwema and I'm grateful ninaishi 💪

  • @dorothclement5859
    @dorothclement5859 Před 4 měsíci +1

    A wonderful being.. the heaven send guy.

  • @isacklaizer6776
    @isacklaizer6776 Před 6 měsíci +2

    Joel Arthur Nanauka...Top Academy safi, ila plan kufungua Chuo kabisa, ili hizi shule ziweze kuwa na mtaala rasmi, ambao hautakufa na kuondoka na wewe...Thanks for sharing this with us.

  • @AgnessSosthenes
    @AgnessSosthenes Před 27 dny

    Daima sitakata tamaaa💪

  • @priscarichard9719
    @priscarichard9719 Před 6 měsíci +4

    Suala la emotional toughness. Asante sana🙏🏽. Emotional situation ina affect hadi uvaaji na muonekano pia🙌🏽. Ubarikiwe mno Joel Nanauka

  • @angelinamagambo8733
    @angelinamagambo8733 Před 6 měsíci +1

    Mungu akubariki kupitia masomo yako nimevuka vipindi vigumu na leo mm ni mama mshindi hakika nitaendelea kuamin yote ninayoyaona moyoni mwangu na ninaiman yanatokea.

  • @SaimonKazimoto-xt1zo
    @SaimonKazimoto-xt1zo Před 6 měsíci +1

    Nmeikuta hii leo live nmefurahi sana nipo pamoja na wewe kaka joel

  • @thomasjoseph3178
    @thomasjoseph3178 Před 6 měsíci +1

    Asante sana kwa mafundisho mazuri. Naamini hatma za wengi zimepata mwanga. Ubarikiwe sana Joel Nanauka

  • @ndalahwashija6278
    @ndalahwashija6278 Před 5 měsíci

    Nimepata nguvu ya kusimama tena kwenye malengo Yangu kupitia somo hili hakika nimejifunza mambo Mengi
    Ubarikiwe sana Mwalimu

  • @abeldicken8949
    @abeldicken8949 Před 6 měsíci +1

    1:02:57 "Kuwa na furaha ni maamzi yako wewe mwenyewe ". Nimeipenda.

  • @mtumishiraymond2001
    @mtumishiraymond2001 Před 2 měsíci

    Amina

  • @marymkamwa3779
    @marymkamwa3779 Před 6 měsíci +4

    Knowing you at my Fifties 😂nabaki kusema "It is never late"my success is in my mind.
    May God keep you for this generation.

    • @iamqacha
      @iamqacha Před 4 měsíci

      Keep going no matter the age🙏

  • @saumumagazine-tc4cp
    @saumumagazine-tc4cp Před 6 měsíci +2

    Mungu hakulinde
    Umenitoa mbali maneno yako ni zaidi ya faraja.

  • @mathewnguyaki
    @mathewnguyaki Před 6 měsíci +1

    Asante sana mtumishi 🙏

  • @ramadhanimtozeni8030
    @ramadhanimtozeni8030 Před 6 měsíci +2

    What a powerful presentation! May God bless you.

  • @blada_mich
    @blada_mich Před 6 měsíci +3

    Leo ndio nimepata bahati ya kusikiliza kiongoz wangu live 🙏🙏

  • @charlesakomba8103
    @charlesakomba8103 Před 5 měsíci

    kwakweli nimejifunza mengi sana kutoka kwako, Mungu akutanguliye katika safari hii, umetusaidiya wengi kwakweli

  • @selemanmasau2096
    @selemanmasau2096 Před 6 měsíci

    Ni kwa neema tu.Mungu akubariki.

  • @TudamsheB
    @TudamsheB Před 6 měsíci +7

    Kweli mimi naona hivyo ,kuna jambo nalifanya nimelianza 2008 wakati nahitimu kidato cha nne hakuna alie niamini mpaka wakasema siko timamu 2016 nikaanza utekelezaji wengi pamoja na ndugu wakaproove maneno ya kuwa siko sawa , 2018 nikaanza kujenga wao wakashauli ninunue usafiri nikajibu moyoni hawaoni ila wataona 2022 nikaomesha utofauti wa maono wakanza kunikwepa nina ofice yangu wengi wananiona tofauti na wanatoa shuhuda na nimfano kwa kufauru kwa ninayo yafanya ( sasa nanauka nimemuona 2023 naona huyu ni mtu / mwalimu wangu tangu 2008 maana yote yaliyo nkuta ndo ansisitiza zaidi nikama ananiona nkiwa nasikiliza nakufuata joel mpaka ulipo unipokee ) yaani nimekusiliza 2023 tuu ume nitosha wewe

  • @mathewjiday190
    @mathewjiday190 Před 6 měsíci

    Ahsante kwa mafundisho mzuri yamenikomaza since day one nakufatilia💯💯

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 Před 6 měsíci +2

    What a powerful presentation God bless you bro uwa natulia lisaa na zaidi kupata masomo yako hapa CZcams

  • @AsiaAsia-sv6ok
    @AsiaAsia-sv6ok Před 6 měsíci

    Shukran kaka Joel Mungu akutunze kwa ajili yetu

  • @user-ly6cm6lp3h
    @user-ly6cm6lp3h Před 6 měsíci

    Nashukuru sana mtumishi wa Mungu umebadilisha fikra na mawazo yangu na nmezidi kuwa jasiri🤍

  • @harunikayuni34tv
    @harunikayuni34tv Před 6 měsíci

    Hakika Nimejifunza Mambo Muhimu sanaaa Shukulani sanaa Mr Joel Nakufwatilia sanaa Kiongozi

  • @hyasintajoseph2589
    @hyasintajoseph2589 Před 4 měsíci

    Yaaan joel Mungu akubariki tu. Nimejifunza sana

  • @user-ib9lv7mx5z
    @user-ib9lv7mx5z Před 5 měsíci

    Brother joel nilikutana na wewe karibu na mwaka tower z o office, nilisau kukuomba picha
    Am so excited to see
    One day i will meet you again if god wish

  • @rosemarynyato6535
    @rosemarynyato6535 Před 6 měsíci

    Thank you so much sir,,and God bless you,,binafsi nimejifunza

  • @jameskileo5292
    @jameskileo5292 Před měsícem

    POWERFUL MESSAGE (NAKUMBUKA KISA CHA SEVEN UP)

  • @Teacherdavidmasterclass1010
    @Teacherdavidmasterclass1010 Před 5 měsíci

    Mungu akulinde kaka Joeli tunajifunza mengi kupitia wewe

  • @eliudikijuzi4909
    @eliudikijuzi4909 Před 6 měsíci +1

    Thenx brother my GOD BLESS YOU

  • @LucyMwasu
    @LucyMwasu Před 6 měsíci

    Asante ndugu yangu kwa mafundisho mazuri Sana
    Mungu akubariki

  • @user-iz9ci4rs3d
    @user-iz9ci4rs3d Před 5 měsíci

    Tunabarkiwa sana na elimu yako brother Mungu akupe maono zaid na zaid 🎉🎉🎉

  • @daudisausi6206
    @daudisausi6206 Před 23 dny

    thanks mkuu nimepata kitu sasa naweza kuendelea nilipoishia.

  • @danielgodfrey2449
    @danielgodfrey2449 Před 5 měsíci

    thanks for a such wonderful speech

  • @user-lr5gs1mh7c
    @user-lr5gs1mh7c Před 2 měsíci

    Asate sana

  • @DaudiSwai
    @DaudiSwai Před 6 měsíci +1

    Umemaliza kila kitu Prof🙌🙌🙌🙌

  • @user-fv7mi7qx9j
    @user-fv7mi7qx9j Před 6 měsíci

    Asante sana mungu akubariki

  • @Pendezabylydia
    @Pendezabylydia Před 6 měsíci +12

    As long as I breathe I’ll never give up in my life 🙏

  • @josephlazaro253
    @josephlazaro253 Před 6 měsíci +2

    Big up sana Brother you are doing very excellent JOB.
    Kukataliwa meaning rejection test your commitment. VERY POWERFUL POINT NIMECHUKUA.

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 Před 4 měsíci

    Wafanya kazi za ndani hasa mlioko nje nawapenda Sana Sana sana hongereni Kwa ujasili japo mwanzo sio kitu chepesi lakini Kwa msaada wa Mungu Maisha yetu ni sawa na wasomi maana tuna alama za kuonyesha ktk utendaji kazi wetu tuzidi kupambana tu Mimi nimwenzenu Mungu hajatuacha labda tumuache sisi

  • @abrahammwambije2769
    @abrahammwambije2769 Před 6 měsíci +2

    Kaka joeli uko vizuri Nina tamani kuwa kama wewe kwenye misimamo

  • @user-lj4eq3gj4j
    @user-lj4eq3gj4j Před 5 měsíci

    I love the message. Asante sana

  • @rajabukingwande4567
    @rajabukingwande4567 Před 6 měsíci

    Blessed top life coaching

  • @therlmahweezle5529
    @therlmahweezle5529 Před 5 měsíci

    Thanks for the powerful speech

  • @masudibaja
    @masudibaja Před 6 měsíci

    Kaka Joel Mungu akubariki zaidi

  • @AvelinaMossy
    @AvelinaMossy Před měsícem

    Ubalikiwe sana kaka,yananijenga sana mafundisho yako.

  • @mostyhodari2145
    @mostyhodari2145 Před 6 měsíci

    Sina Cha kusema Mungu akubariki

  • @allanjohn719
    @allanjohn719 Před 6 měsíci

    JOEL MUNGU AKUINUE SANA NA MAFANIKIO YAKUANDAE KWA AJILI YA KUSIMAMA KWA UPANDE WA MUNGU UWABARIKI WENGINE SANA

  • @user-ho8sc3eb5g
    @user-ho8sc3eb5g Před 5 měsíci

    Good advice prfsr Joel thank you to make me sense

  • @ThereziaDanielKajuna
    @ThereziaDanielKajuna Před 6 měsíci

    Mungu akutunze vyema mwalim wetu

  • @AdelinaKakese-ym9px
    @AdelinaKakese-ym9px Před 6 měsíci +1

    Asante sana ninavuka sasa

  • @user-by5tk4vi5h
    @user-by5tk4vi5h Před 4 měsíci +1

    Be blessed brother 🙏

  • @yokimrossie3536
    @yokimrossie3536 Před 6 měsíci

    Nakuelewa sana kaka Joel 🙏

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657 Před 6 měsíci +2

    Tuko pamoja sana kaka

  • @AdmiringOffroadCar-zx2rp
    @AdmiringOffroadCar-zx2rp Před 6 měsíci

    somo zuri barikiwa 🙏

  • @clianusalfred1400
    @clianusalfred1400 Před 6 měsíci

    Mungu akutunze 🙏🏻🙏🏻

  • @norberthamlowe2363
    @norberthamlowe2363 Před 5 měsíci +1

    Asante professor. Very pure words. Filled by wisdom. Live long brother. As a society, we need your teachings. Keep going!

  • @HusnaSultan-rm9fq
    @HusnaSultan-rm9fq Před 5 měsíci

    Joel..nitakuja kutoa ushuuhuda live 💪💪❤❤barikiwa kaka

  • @josephlazaro253
    @josephlazaro253 Před 6 měsíci +1

    Maumivu ya kukataliwa ni madogo sana kuliko maumivu ya kutofanya ulichotakiwa kukifanya.KUKATALIWA MAANA YAKE HUJAELEWEKA KABORESHE TENA ULICHO LETA.When you learn more you earn more.

  • @user-np3jm3pz4h
    @user-np3jm3pz4h Před 6 měsíci

    Your actually my role model

  • @caphrenjoseph3603
    @caphrenjoseph3603 Před 5 měsíci

    Ooo Thank you so much Joel

  • @user-ms7ch2dv9s
    @user-ms7ch2dv9s Před 6 měsíci

    Hakika mungu akubariki mafunzo Yako yananifanya nipigie hatua Zaid ya Jana🤝💪

  • @jesusismyeverything1630
    @jesusismyeverything1630 Před 6 měsíci

    Brother thank you very much❤

  • @CECILIAMAGANGA-sk8md
    @CECILIAMAGANGA-sk8md Před 6 měsíci +2

    Mungu azid kukubaliki