Jamani wenzangu tunaoangalia hizi video za huyu Joel, nikisema kuwa huyu ni mtu tuliozawadiwa na Mungu, kwakuwa Mungu alivyotuumba alijua udhaifu wetu na ndio katupa huyo ili atuondolee udhaifu tulio nao. Hivyo Tumuombee azidi kutusaidia kwa mafunzo anayotupa.
Tangu ni kujue kupitia CZcams siku ikipita bila kukusikiliza siku hio ita kua mbaya kwangu,siko tayari kabisa siku ipite bila kusikiliza mafunzo yako hata 1 hour! Barikiwa sana
Wooow!!.....ukuu wa Mungu ukazidi kukuinua zaid zaid na kunena kupitia jina lako na Mafunzo haya kaka JOEL🙏.....n wiki kadhaa nimeanza kukufuatilia japo nimekusikia mda mrefu ila leo 18/05/2024(Noted here) naamini imekua n mda,tarehe,saa na majira maalumu ya mwanzo wangu mpya📌 wa kuona my WEALTH LIFE UNTIL FOREVER ✍️📌🙏....Nimejifunza na kufunguka kwa Mengi mnooo hadi nimezidi kuona fahari na kheri zote🙏... nakushukuru sanaaa na haya maarifa yakazidi kuwa LEGACY FOR GENERATIONS TO COME🙏🥂👏👏👏👏💯💯💯💯💯💯💯❤️❤️❤️❤️✍️ Baada ya kuyafanyia kazi haya nitakuja na Utukufu na ushuuda wa ukuu wa Mungu zaid🙏🙏✍️🤝🥂
Niliite hili ni darasa la UKOMBOZI KWANGU umenitoa gizani, nimejielewa niko wapi na nifanye nini zaidi umenipa dira how to live better...nipo kwenye utekelezaji sasa ....shukrani sana🙏🔥🔥
Habari kaka sijui unanikumbuka nilikua nakufatilia toka 2018 niiazisha duka langu la chakula ulinielimisha sana na video zako mpaka sasa Alhamdulilah nipo sawa nimekaa roho inanisuta bila kukushukulu nimefanikiwa ka kiasi fulani japo malengo yangu hayajatimia hila kwa nilipo fika namshukulu Mungu nilianza na mtaji wa laki 5 hiyo ilikua na kodi ya duka pia nilipitia kipindi kigumu hila mtaji umekua naweza kulipia bila uwoga 🙏🙏🙏
Asante sana kuanzia sasa naanza kuishi katika kanuni ya kitajiri.. Kipato=>Mungu=>asset =>Matumizi.. kwa uwezo wa Mungu naamini nitaweza🙏 maana kweli nilikuwa kwenye maisha ya kupata, kutumia afu kama ikibaki ndo nifanyie malengo na haibaki kamwe🙌 nimefatilia mwanzo mwisho... Saa moja na dk 5
Thanks Bw .Joel nanauka keep moving you're more than Great the sky is your Limit am getting u very well from Turkana... please keep moving...the 🌟 is your Limit.... congratulations you're and exemplary speaker....
Nothing to say more than Be Blessed Brother Nanauka. It's true I was on my way to resign job coz of not having vision and Debt in Some Microfinance business
Ndugu nanauka mimi umenifurahisha Sana kwasababu watanzania 90% Wana matatizo haya, wewe ni dawa ya huakika kwa watanzania kwani wengi tumekwama hapa na migogoro mingi inatokana na hapa kwenye jamii...nafikiri need vizuri masomo haya yaingizwe kwenye mfumo rasmi wa kishule kuanzia darasa la 4 na kuendelea tutakuwa tumesaidia hii nchi, ueleo mdogo ni zaidi ya Corona au hiv ktk nchi hii..mungu akubariki zaidi..Asante sana
Asset ni viingizo au vyanzo vya pesa kama gari ya abiria, nyumba ya kukodisha na kadhalika, na liability ni aidha madeni au vitu vinavyotumia pesa kama vile simu ya mkononi kama huitumii kibiashara ni liability, ukiwa na deni ni liability. Asante kwa masomo ni elimu nzuri
Hi bro. Give them each one they own table. Most people are dustrict about life, they're trying to avoid to find money and to be prosper. I live in monetary systems as billionaires and millionaire ideas. Be bless once again.
Daaaah bro congralation for ur education maan nimejivunza ving xn kwa somo hili kiukwel kbx, mungu akujalie kwa kila jambo me naitwa Shukuru Robson Philip
habari mimi ni Julius Wandwi, namiliki duka la matumizi madogomadogo ya nyumbani, najitahidi kukufuatilia kaka hizi kanunu nataman kuzifuata, nashindwa sehem moja tu kujua kwa siku naingiza shingap kamafaida out of capital ili niweze kuzifuata kanuni hizi kwa uzuri maana pia inanishinda kupanga budget
Kaka joel Ahsante kunipa njia sahihi ya maisha yangu hakika tangu nime anza kuku fatilia hadi sasa nime badili maisha yangu kiasi kikubwa sana Mungu akupe Maalifa zaidi naomba gusa vipengere vyote kaka livyo baki.
asante sana bruh nipo chuo huu ni mwaka wa 3 nasomea international trade and economic but cjawah kufundishwa elimu simple na yenye mwanga wa maisha kama hii
kaka Joel asante sana kwa hii video kwakwel...nlilkua naulizia kama kuna uwezekano wa kuaupload mwendelezo wake maana wakat video inaanza ulisema ilikua semina ya siku 3..Asante sana na kaz njema
Jambo la kushkuru ni kwmba nimeyasoma haya kwenye vitabu vingi vya Mwalimu wa Fedha, Mr Robert Thero KIYOSAKI bado nipo na miaka 21 tu sasa iv na kuyaelewa mengi, pia kwenye Video hii nimejikumbusha yale nilioyasoma kwenye vitabu vyake💯I hope one day kwa uwezo wa Mungu tutafanikiwa🤲🏻Ushauri wangu usione uvivu kusoma kitabu. Noa ubongo wako kwa kuupa madini mengi kutokana na vipaombele vyako
Hizi madini adim sana nizakurudia kusikiliza hadi hizi kanuni nikae kichwani hili ni moja ya somo lililobora sana sana ,be blessed Joel kwa haya maarifa unayotupatia
Namshukulu rafkiangu saimoni majula kuninionesha kwamba Yuko mwalm mzuri sana wa uchumi ambaye ni joeli nanauka ,nimeanza kuona mabadiliko nilikua siweki akiba Sasa naweka from money formula Mungu akupe afya na uzma tele joeli nafamilia Yako
Kaka Asante sana kwa hili somo natamani liwafikie watu wengi zaidi,Maana ni somo ambalo linagusa maisha ya wengi hasa Vijana,Mungu akubariki sana kaka.
Kaka Joel Mungu akubariki na kukuongeza katika kile unachotufundisha kuna maarifa umeniongezea nilikuwa sina katika kutimiza malengo yangu na tofauti kati ya Rich& wealthy, Mungu akubariki and See you at the Top of Successful….
Asante sana kaka yangu mm ni mwanafunzi ninashukuru kwa somo lako nilikuwa sina nodamu ya fedha ila kupitia somo lako umenifundisha kitu kikubwa sana nashukuru
Yaan Mr. Joel nanauka apewe uongoz sehemu yoyote ile bas lazima uoene mabadiliko... 🔥 🔥 🤝🏻 🤝🏻🤝🏻🤝🏻 from zanzibar... Karibu NGULIIIIIIIIIIIIIIIIIIII.... 🤝🏻 🤝🏻🤝🏻🤝🏻
Hapana jamani bwana huyu asifungwe na chochote ili aweze kuwahudumia watu wote bila mipaka.Kaka Mungu akubariki,asiuache mguu wako usogezwe yeye akulindaye.
Jamani wenzangu tunaoangalia hizi video za huyu Joel, nikisema kuwa huyu ni mtu tuliozawadiwa na Mungu, kwakuwa Mungu alivyotuumba alijua udhaifu wetu na ndio katupa huyo ili atuondolee udhaifu tulio nao. Hivyo Tumuombee azidi kutusaidia kwa mafunzo anayotupa.
Na nakuahidi lazima niwe namafanikio kupitia mafunzo yako na ipo siku nitakutafuta ndugu ubarikiwe sana 🙏
Tangu ni kujue kupitia CZcams siku ikipita bila kukusikiliza siku hio ita kua mbaya kwangu,siko tayari kabisa siku ipite bila kusikiliza mafunzo yako hata 1 hour! Barikiwa sana
Ni kweli anabadilisha fahamu za watu wanaojitambua.
plz tell me
Kweli kabisa jaman mwenye no ya bro Joel
@@comktc-zv2vx 0 0j
Hakika tunazidi kukuwa kimaalifu ubarikiwe sana🙏
Wooow!!.....ukuu wa Mungu ukazidi kukuinua zaid zaid na kunena kupitia jina lako na Mafunzo haya kaka JOEL🙏.....n wiki kadhaa nimeanza kukufuatilia japo nimekusikia mda mrefu ila leo 18/05/2024(Noted here) naamini imekua n mda,tarehe,saa na majira maalumu ya mwanzo wangu mpya📌 wa kuona my WEALTH LIFE UNTIL FOREVER ✍️📌🙏....Nimejifunza na kufunguka kwa Mengi mnooo hadi nimezidi kuona fahari na kheri zote🙏... nakushukuru sanaaa na haya maarifa yakazidi kuwa LEGACY FOR GENERATIONS TO COME🙏🥂👏👏👏👏💯💯💯💯💯💯💯❤️❤️❤️❤️✍️
Baada ya kuyafanyia kazi haya nitakuja na Utukufu na ushuuda wa ukuu wa Mungu zaid🙏🙏✍️🤝🥂
Watching from Burundi napenda sana mafunzo Yako! Mungu akubariki!
Joel!mtoto wa mama!!Mungu akubariki kwa huduma yako.
God bless you my brother,unazidi kunibadilisha katika maisha Kila ninapokusikiliza.
Niliite hili ni darasa la UKOMBOZI KWANGU umenitoa gizani, nimejielewa niko wapi na nifanye nini zaidi umenipa dira how to live better...nipo kwenye utekelezaji sasa ....shukrani sana🙏🔥🔥
Habari kaka sijui unanikumbuka nilikua nakufatilia toka 2018 niiazisha duka langu la chakula ulinielimisha sana na video zako mpaka sasa Alhamdulilah nipo sawa nimekaa roho inanisuta bila kukushukulu nimefanikiwa ka kiasi fulani japo malengo yangu hayajatimia hila kwa nilipo fika namshukulu Mungu nilianza na mtaji wa laki 5 hiyo ilikua na kodi ya duka pia nilipitia kipindi kigumu hila mtaji umekua naweza kulipia bila uwoga 🙏🙏🙏
Asante sana kuanzia sasa naanza kuishi katika kanuni ya kitajiri.. Kipato=>Mungu=>asset =>Matumizi.. kwa uwezo wa Mungu naamini nitaweza🙏 maana kweli nilikuwa kwenye maisha ya kupata, kutumia afu kama ikibaki ndo nifanyie malengo na haibaki kamwe🙌 nimefatilia mwanzo mwisho... Saa moja na dk 5
Thanks Bw .Joel nanauka keep moving you're more than Great the sky is your Limit am getting u very well from Turkana... please keep moving...the 🌟 is your Limit.... congratulations you're and exemplary speaker....
Nothing to say more than Be Blessed Brother Nanauka.
It's true I was on my way to resign job coz of not having vision and Debt in Some Microfinance business
Ndugu nanauka mimi umenifurahisha Sana kwasababu watanzania 90% Wana matatizo haya, wewe ni dawa ya huakika kwa watanzania kwani wengi tumekwama hapa na migogoro mingi inatokana na hapa kwenye jamii...nafikiri need vizuri masomo haya yaingizwe kwenye mfumo rasmi wa kishule kuanzia darasa la 4 na kuendelea tutakuwa tumesaidia hii nchi, ueleo mdogo ni zaidi ya Corona au hiv ktk nchi hii..mungu akubariki zaidi..Asante sana
Asset ni viingizo au vyanzo vya pesa kama gari ya abiria, nyumba ya kukodisha na kadhalika, na liability ni aidha madeni au vitu vinavyotumia pesa kama vile simu ya mkononi kama huitumii kibiashara ni liability, ukiwa na deni ni liability. Asante kwa masomo ni elimu nzuri
Woooou ni mefunguka macho isee God bless u my brother
Aisee,Utukufu kwa Mungu juu yeye aliekupa Akili,Hekima,Maarifa na Busara nawe hukuona so kitu kuvikumbatia Ila kuvitoa kwa faida ya wengine
Be blessed for what your doing ..
Ahsante sana ndugu kwa semina nzuri, hakika umebadili mtazamo wangu, Mungu akubariki
Your course is so mavelous bro God blessing you
Nakupenda sana ankoo...kwsabab unatu inspire na kufany vtu flan ambavyo vinafaid km business....am apresiate u🙌
Hahaha!!! tutawapakata vizuri tu masikini mbinguni!!!! ......brother JOEL Mungu akubariki kwa maarifa haya na akuongezee zaidi maarifa zaidi
Mungu akubariki kwa mafundisho haya ni ya muhimu sana kwetu hasa ktk kizazi chetu Mungu atupe ufahamu na hekima zaidi
Thanks brother
Mafundicho mazuri sana
Nimejifunza kitu apa 🙏
Asante j ningeomba mawasiliano yako nikuulize baadhi ya vitu make vipindi vingine vimeishapita hivyo nahitaji muongozo wako
Ubarikiwe sana kwa mafundisho mazuri,maana ninakuelewa vizuri.
Ahsante sana ndugu joel Nanauka kwa elimu nzuri mungu akubariki
asanti Joel umenipadishi kiwango kigine kwa mafuzo mazuri na mimi nitayatedeya kazi kuakikisha niweju
dah!! 🤔🤔broo nimekuelewa sana sana asante kwa elim nzuri 🙏🙏
So blessed 🙌 😇
Asante sana mungu awazidishie kher nyingi na baraka nyngi ktk kaz zako
Joel Nanauka
Hongera sana nduguyangu.
Ninapenda sana mafunzo yako. Tukikuelawa lazima tupate mafanikio. Sasa inapo tokea mme yupo vizuri kwenye aseti lakinimke duu matunizi yani. Akiuza elfu 10. Anatumia nakukopa zaidi nakuahidi kua nitalipa lesho akitegemea akiuza siku inayo fuata alipe deni. Natamani mafunzo yangekua yanatolewa mahali peupe kila mmoja asikie akiwepo mwenza. Kila nikimwambia ananita mie mkoloni.
Hongera kwa kujifunza, endelea kumsaidia na yeye ajifunze pia.
Kipato, Mungu,Uwekezaji, Matumizi.......This is so powerful. You've moved me somewhere Joel.
Good subject
Nice lesson
Nimukukubali ujumbe unafika wazi wazi kwa lugha nyepesi. Safi Sanaaa.
Hi bro. Give them each one they own table. Most people are dustrict about life, they're trying to avoid to find money and to be prosper. I live in monetary systems as billionaires and millionaire ideas. Be bless once again.
Andante Sana kaka J. Nanauka Kwan somo La jinsi ya kuweka malengo Natakas kitabu cha Somo hilo
Ubarikiwe naomba msaada zaidi niko katavi mpanda
Daaaah bro congralation for ur education maan nimejivunza ving xn kwa somo hili kiukwel kbx, mungu akujalie kwa kila jambo me naitwa Shukuru Robson Philip
Nimekuelewa Sana mwalimu.
Powerful message 🔥🔥.
Karibu sana
Ahsante sana mwl nimeipata sna naitaji kujifunza zaidi kutoka kwako ahsante
habari mimi ni Julius Wandwi, namiliki duka la matumizi madogomadogo ya nyumbani, najitahidi kukufuatilia kaka hizi kanunu nataman kuzifuata, nashindwa sehem moja tu kujua kwa siku naingiza shingap kamafaida out of capital ili niweze kuzifuata kanuni hizi kwa uzuri maana pia inanishinda kupanga budget
Asante kwa mafundisho yako ,,,mungu akubariki
Allah akulipe kheri,nafurahia elimu yako na umeamsha ndoto zangu nyingi
You are simply, the best!!!
MvMVX
Watching for 3rd time and still learning @kenya
Asante kaka nimepata elimu kubwa kwenye mada hii ,nitatumia ili nisonge mbele ,asante
Waooooo l really love this
Asante sana kwa elimu nzuri ya fedha.
Brother Joel Asante sana kwa moyo wako huu was kujitolea. Binafsi unanisaidia sana TU, ila nikuombe series ya hizi lecture iendelee
Sawa, tutajitahidi iendelee
Kiukweli Joel unatusaidia sana
@@joelnanauka Joel kitabu Cha Timiza malengo nakipataje😥😥.
Kaka hakika semina zako zinatusaidia sana tunashukuru sana mr joel Kwa elimu yako nzuri sana
Thanks a lot brother.....! Be blessed
Very very,very Good lecture or lesson.
Shukran sana nakufuatilia sana nami nitakuletea matokeo yangu
See me at the top bro after a short time;I pray that God bless you more 🙏🙏
Asantee sana nanauka Mimi sijawai weza kitu hiki na kinaniumiza sana naitajiii kujifuza zaidi,,
Asante sana MUNGU AKUBARIKI sana
Shukran ndugu mungu akuongezee killa laa kheeri🙏
Nakuelewa kaka ubarikiwe🙏🏾🙏🏾🙏🏾
God bless you, nimepata darasa kubwa sana
Amen nimebarikiwa SANA kuanzia leo naanza kubadilika
Ww ni mwalimu mzuri sana umenifundisha mambo makubwa ktk maisha yangu
Kaka joel Ahsante kunipa njia sahihi ya maisha yangu hakika tangu nime anza kuku fatilia hadi sasa nime badili maisha yangu kiasi kikubwa sana Mungu akupe Maalifa zaidi naomba gusa vipengere vyote kaka livyo baki.
Ameen, nafurahi sana kusikia hivyo
Watching from Burundi napenda sana mafunzo Yako! Mungu akubariki! 31:12 31:13
asante sana bruh nipo chuo huu ni mwaka wa 3 nasomea international trade and economic but cjawah kufundishwa elimu simple na yenye mwanga wa maisha kama hii
Nakupata vizuli Sana Joel je nifanyeje uje utupe elimu hi songwe
Thax so much bro to feed our mind
May GOD bless you sir,,,,,,,,, I've learned a lot.
kaka Joel asante sana kwa hii video kwakwel...nlilkua naulizia kama kuna uwezekano wa kuaupload mwendelezo wake maana wakat video inaanza ulisema ilikua semina ya siku 3..Asante sana na kaz njema
Asante sana, unafundisha vizuri sana
U kill it bro ........ Asanteeee sanaaa
Ubarikiwe sana kwa somo Zuri sana
Jambo la kushkuru ni kwmba nimeyasoma haya kwenye vitabu vingi vya Mwalimu wa Fedha, Mr Robert Thero KIYOSAKI bado nipo na miaka 21 tu sasa iv na kuyaelewa mengi, pia kwenye Video hii nimejikumbusha yale nilioyasoma kwenye vitabu vyake💯I hope one day kwa uwezo wa Mungu tutafanikiwa🤲🏻Ushauri wangu usione uvivu kusoma kitabu. Noa ubongo wako kwa kuupa madini mengi kutokana na vipaombele vyako
Great advise
Good speech mr #Joel Nanauka
Asante sana Mungu ukubariki
asante sana kwa mafundisho yako mazuri
Nashukuru sana kwa somo nzuri Mungu azidi kukulinda uendelee na jukumu hili....
Ameen
Be Blessed
thank you nimejifunza kitu kwako mungu akubariki
Hizi madini adim sana nizakurudia kusikiliza hadi hizi kanuni nikae kichwani hili ni moja ya somo lililobora sana sana ,be blessed Joel kwa haya maarifa unayotupatia
Thenks so much broo now naelewa Zaid kuhusu bishara
Ahsante kwa mafundisho yako
Ubarikiwe sana sana kwa mafundisho mazuri
Namshukulu rafkiangu saimoni majula kuninionesha kwamba Yuko mwalm mzuri sana wa uchumi ambaye ni joeli nanauka ,nimeanza kuona mabadiliko nilikua siweki akiba Sasa naweka from money formula Mungu akupe afya na uzma tele joeli nafamilia Yako
💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯 asante Sana mkubwa Kwa somo lako na mungu hakutie nguvu huzidi kutufundisha
Kaka Asante sana kwa hili somo natamani liwafikie watu wengi zaidi,Maana ni somo ambalo linagusa maisha ya wengi hasa Vijana,Mungu akubariki sana kaka.
Ameen, tuendelee kushare
Kaka Joel Mungu akubariki na kukuongeza katika kile unachotufundisha kuna maarifa umeniongezea nilikuwa sina katika kutimiza malengo yangu na tofauti kati ya Rich& wealthy, Mungu akubariki and See you at the Top of Successful….
Safi sanaaa,tuendelee kujifunza
Asante sana kaka yangu mm ni mwanafunzi ninashukuru kwa somo lako nilikuwa sina nodamu ya fedha ila kupitia somo lako umenifundisha kitu kikubwa sana nashukuru
Yaan Mr. Joel nanauka apewe uongoz sehemu yoyote ile bas lazima uoene mabadiliko... 🔥 🔥 🤝🏻 🤝🏻🤝🏻🤝🏻 from zanzibar... Karibu NGULIIIIIIIIIIIIIIIIIIII.... 🤝🏻 🤝🏻🤝🏻🤝🏻
Nashukuru sana 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 naamini nitakuja Zanzibar na tutaonana.
@@joelnanauka inshaallah tunakusubir ..God bless you
Hapana jamani bwana huyu asifungwe na chochote ili aweze kuwahudumia watu wote bila mipaka.Kaka Mungu akubariki,asiuache mguu wako usogezwe yeye akulindaye.
Hi bro. Feed us more knowledge about money and investment. I follow you more time, honestly I love it. Be bless bro.
Shukrani xana bro mungu akujalie
So impressive brother, keep it up
We kaka mungu akubariki unanibadilisha sana🙏👏
Waao! More enjoyable. be blessing
nakuelewa sana kaka
Asante kwa somo zur naahid kufanyia kazi na nitatoa ushuhuda
Mie ninao ushuhuda mwingi tu kupitia yeye, mungu ambarik sana kiongoz huyu jamani🙏
Ahsante sana kaka Nanauka nimefanya jambo kupitia kazi zako siku moja nitakuambia.Ushuhuda huu wa mafanikio
Barikiwa kwa mafundisho mazuri
Ishi maisha marefu Mungu ajitwalie utukufu kupitia hay mafunzo maisha ya wengi yatabadilika🙏🙏
Asante Sana kwa ushaur wako unatujenga
Mungu akupe maisha marefu
Asante joel Kenya needs you...Ave shared your vedio to some and they like you .God bless you
Mungu akulipe kheri sikupata kujifunza vitu vakimsingi kamahivi tangia nimeanza kujifunza mungu akupe umrimrefu uzidi kutufunza
Nakuombeaga sana Mungu aendelee kukupa maisha marefu na mazuri maana unafanyika Baraka kwangu na najengeka kil ninapo kusikia mwalim JOEL
Sawaah kaka big training
Uko vizuri Sana mwalimu