Jinsi ya kuweka malengo na kufanikiwa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 09. 2020
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 481

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 Před 3 lety +14

    Jamani wenzangu tunaoangalia hizi video za huyu Joel, nikisema kuwa huyu ni mtu tuliozawadiwa na Mungu, kwakuwa Mungu alivyotuumba alijua udhaifu wetu na ndio katupa huyo ili atuondolee udhaifu tulio nao. Hivyo Tumuombee azidi kutusaidia kwa mafunzo anayotupa.

  • @mussamgande2530
    @mussamgande2530 Před 3 lety +18

    Na nakuahidi lazima niwe namafanikio kupitia mafunzo yako na ipo siku nitakutafuta ndugu ubarikiwe sana 🙏

  • @kingwilliam1807
    @kingwilliam1807 Před 3 lety +47

    Tangu ni kujue kupitia CZcams siku ikipita bila kukusikiliza siku hio ita kua mbaya kwangu,siko tayari kabisa siku ipite bila kusikiliza mafunzo yako hata 1 hour! Barikiwa sana

  • @annagloriaroman30
    @annagloriaroman30 Před 2 měsíci +2

    Wooow!!.....ukuu wa Mungu ukazidi kukuinua zaid zaid na kunena kupitia jina lako na Mafunzo haya kaka JOEL🙏.....n wiki kadhaa nimeanza kukufuatilia japo nimekusikia mda mrefu ila leo 18/05/2024(Noted here) naamini imekua n mda,tarehe,saa na majira maalumu ya mwanzo wangu mpya📌 wa kuona my WEALTH LIFE UNTIL FOREVER ✍️📌🙏....Nimejifunza na kufunguka kwa Mengi mnooo hadi nimezidi kuona fahari na kheri zote🙏... nakushukuru sanaaa na haya maarifa yakazidi kuwa LEGACY FOR GENERATIONS TO COME🙏🥂👏👏👏👏💯💯💯💯💯💯💯❤️❤️❤️❤️✍️
    Baada ya kuyafanyia kazi haya nitakuja na Utukufu na ushuuda wa ukuu wa Mungu zaid🙏🙏✍️🤝🥂

  • @ElvisIrakoze-pj8ym
    @ElvisIrakoze-pj8ym Před 5 měsíci +5

    Watching from Burundi napenda sana mafunzo Yako! Mungu akubariki!

  • @nickjenericks5414
    @nickjenericks5414 Před 3 lety +9

    Joel!mtoto wa mama!!Mungu akubariki kwa huduma yako.

  • @mrbaraka4326
    @mrbaraka4326 Před 3 lety +7

    God bless you my brother,unazidi kunibadilisha katika maisha Kila ninapokusikiliza.

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 Před 3 lety +3

    Niliite hili ni darasa la UKOMBOZI KWANGU umenitoa gizani, nimejielewa niko wapi na nifanye nini zaidi umenipa dira how to live better...nipo kwenye utekelezaji sasa ....shukrani sana🙏🔥🔥

  • @officiallycyra6944
    @officiallycyra6944 Před 3 lety +3

    Habari kaka sijui unanikumbuka nilikua nakufatilia toka 2018 niiazisha duka langu la chakula ulinielimisha sana na video zako mpaka sasa Alhamdulilah nipo sawa nimekaa roho inanisuta bila kukushukulu nimefanikiwa ka kiasi fulani japo malengo yangu hayajatimia hila kwa nilipo fika namshukulu Mungu nilianza na mtaji wa laki 5 hiyo ilikua na kodi ya duka pia nilipitia kipindi kigumu hila mtaji umekua naweza kulipia bila uwoga 🙏🙏🙏

  • @twaybachellah914
    @twaybachellah914 Před 3 lety +3

    Asante sana kuanzia sasa naanza kuishi katika kanuni ya kitajiri.. Kipato=>Mungu=>asset =>Matumizi.. kwa uwezo wa Mungu naamini nitaweza🙏 maana kweli nilikuwa kwenye maisha ya kupata, kutumia afu kama ikibaki ndo nifanyie malengo na haibaki kamwe🙌 nimefatilia mwanzo mwisho... Saa moja na dk 5

  • @JoramEkaale
    @JoramEkaale Před 3 měsíci

    Thanks Bw .Joel nanauka keep moving you're more than Great the sky is your Limit am getting u very well from Turkana... please keep moving...the 🌟 is your Limit.... congratulations you're and exemplary speaker....

  • @frankmangera9599
    @frankmangera9599 Před rokem

    Nothing to say more than Be Blessed Brother Nanauka.
    It's true I was on my way to resign job coz of not having vision and Debt in Some Microfinance business

  • @cleophacendiege8888
    @cleophacendiege8888 Před 3 lety +1

    Ndugu nanauka mimi umenifurahisha Sana kwasababu watanzania 90% Wana matatizo haya, wewe ni dawa ya huakika kwa watanzania kwani wengi tumekwama hapa na migogoro mingi inatokana na hapa kwenye jamii...nafikiri need vizuri masomo haya yaingizwe kwenye mfumo rasmi wa kishule kuanzia darasa la 4 na kuendelea tutakuwa tumesaidia hii nchi, ueleo mdogo ni zaidi ya Corona au hiv ktk nchi hii..mungu akubariki zaidi..Asante sana

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 Před 3 lety +2

    Asset ni viingizo au vyanzo vya pesa kama gari ya abiria, nyumba ya kukodisha na kadhalika, na liability ni aidha madeni au vitu vinavyotumia pesa kama vile simu ya mkononi kama huitumii kibiashara ni liability, ukiwa na deni ni liability. Asante kwa masomo ni elimu nzuri

  • @user-tw8im4zv3y
    @user-tw8im4zv3y Před 3 měsíci +1

    Woooou ni mefunguka macho isee God bless u my brother

  • @marymgore6714
    @marymgore6714 Před 3 lety +3

    Aisee,Utukufu kwa Mungu juu yeye aliekupa Akili,Hekima,Maarifa na Busara nawe hukuona so kitu kuvikumbatia Ila kuvitoa kwa faida ya wengine

  • @petermsangi2701
    @petermsangi2701 Před 8 měsíci +1

    Be blessed for what your doing ..

  • @user-lm2ne2zm4f
    @user-lm2ne2zm4f Před 3 měsíci

    Ahsante sana ndugu kwa semina nzuri, hakika umebadili mtazamo wangu, Mungu akubariki

  • @yuscopambakali610
    @yuscopambakali610 Před 2 lety +5

    Your course is so mavelous bro God blessing you

  • @lujjibondo3182
    @lujjibondo3182 Před 3 lety +2

    Nakupenda sana ankoo...kwsabab unatu inspire na kufany vtu flan ambavyo vinafaid km business....am apresiate u🙌

  • @eliasmakeja4827
    @eliasmakeja4827 Před 2 lety

    Hahaha!!! tutawapakata vizuri tu masikini mbinguni!!!! ......brother JOEL Mungu akubariki kwa maarifa haya na akuongezee zaidi maarifa zaidi

  • @loycep7785
    @loycep7785 Před 3 lety

    Mungu akubariki kwa mafundisho haya ni ya muhimu sana kwetu hasa ktk kizazi chetu Mungu atupe ufahamu na hekima zaidi

  • @alicekasambala1050
    @alicekasambala1050 Před 3 lety +1

    Thanks brother
    Mafundicho mazuri sana
    Nimejifunza kitu apa 🙏

  • @yuzoujini27
    @yuzoujini27 Před 3 lety +2

    Asante j ningeomba mawasiliano yako nikuulize baadhi ya vitu make vipindi vingine vimeishapita hivyo nahitaji muongozo wako

  • @yudandugulile4684
    @yudandugulile4684 Před 2 lety

    Ubarikiwe sana kwa mafundisho mazuri,maana ninakuelewa vizuri.

  • @daniellepari4525
    @daniellepari4525 Před 2 lety

    Ahsante sana ndugu joel Nanauka kwa elimu nzuri mungu akubariki

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 Před 3 lety

    asanti Joel umenipadishi kiwango kigine kwa mafuzo mazuri na mimi nitayatedeya kazi kuakikisha niweju

  • @hamissramadhan3484
    @hamissramadhan3484 Před 3 lety +2

    dah!! 🤔🤔broo nimekuelewa sana sana asante kwa elim nzuri 🙏🙏

  • @daisymtitu6375
    @daisymtitu6375 Před 2 lety +3

    So blessed 🙌 😇

  • @haseanatnsanya2079
    @haseanatnsanya2079 Před 3 lety

    Asante sana mungu awazidishie kher nyingi na baraka nyngi ktk kaz zako

  • @mcongomakete3064
    @mcongomakete3064 Před 3 lety +7

    Joel Nanauka
    Hongera sana nduguyangu.
    Ninapenda sana mafunzo yako. Tukikuelawa lazima tupate mafanikio. Sasa inapo tokea mme yupo vizuri kwenye aseti lakinimke duu matunizi yani. Akiuza elfu 10. Anatumia nakukopa zaidi nakuahidi kua nitalipa lesho akitegemea akiuza siku inayo fuata alipe deni. Natamani mafunzo yangekua yanatolewa mahali peupe kila mmoja asikie akiwepo mwenza. Kila nikimwambia ananita mie mkoloni.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 3 lety +2

      Hongera kwa kujifunza, endelea kumsaidia na yeye ajifunze pia.

  • @zamaradimpogole6239
    @zamaradimpogole6239 Před 10 měsíci +5

    Kipato, Mungu,Uwekezaji, Matumizi.......This is so powerful. You've moved me somewhere Joel.

  • @hamisikisinzah8113
    @hamisikisinzah8113 Před 3 lety +2

    Nimukukubali ujumbe unafika wazi wazi kwa lugha nyepesi. Safi Sanaaa.

  • @hamisilumona7163
    @hamisilumona7163 Před 3 lety +1

    Hi bro. Give them each one they own table. Most people are dustrict about life, they're trying to avoid to find money and to be prosper. I live in monetary systems as billionaires and millionaire ideas. Be bless once again.

  • @saidmalifedha4140
    @saidmalifedha4140 Před 3 lety

    Andante Sana kaka J. Nanauka Kwan somo La jinsi ya kuweka malengo Natakas kitabu cha Somo hilo

  • @gracesizya8127
    @gracesizya8127 Před rokem +1

    Ubarikiwe naomba msaada zaidi niko katavi mpanda

  • @shukurobson1201
    @shukurobson1201 Před 3 lety +1

    Daaaah bro congralation for ur education maan nimejivunza ving xn kwa somo hili kiukwel kbx, mungu akujalie kwa kila jambo me naitwa Shukuru Robson Philip

  • @yusuphkaungo2255
    @yusuphkaungo2255 Před 3 lety +16

    Nimekuelewa Sana mwalimu.
    Powerful message 🔥🔥.

  • @salehemhedu4578
    @salehemhedu4578 Před 3 lety

    Ahsante sana mwl nimeipata sna naitaji kujifunza zaidi kutoka kwako ahsante

  • @WANDWI-fn3uq
    @WANDWI-fn3uq Před 2 měsíci +1

    habari mimi ni Julius Wandwi, namiliki duka la matumizi madogomadogo ya nyumbani, najitahidi kukufuatilia kaka hizi kanunu nataman kuzifuata, nashindwa sehem moja tu kujua kwa siku naingiza shingap kamafaida out of capital ili niweze kuzifuata kanuni hizi kwa uzuri maana pia inanishinda kupanga budget

  • @mercyhenry1054
    @mercyhenry1054 Před 2 lety

    Asante kwa mafundisho yako ,,,mungu akubariki

  • @mohamedkudura8114
    @mohamedkudura8114 Před 2 lety

    Allah akulipe kheri,nafurahia elimu yako na umeamsha ndoto zangu nyingi

  • @amosbwire4201
    @amosbwire4201 Před 3 lety +5

    You are simply, the best!!!

  • @charlesoputi7101
    @charlesoputi7101 Před rokem +2

    Watching for 3rd time and still learning @kenya

  • @shubirarutaihwa4829
    @shubirarutaihwa4829 Před 3 lety +1

    Asante kaka nimepata elimu kubwa kwenye mada hii ,nitatumia ili nisonge mbele ,asante

  • @hosianamosha389
    @hosianamosha389 Před 3 lety +1

    Waooooo l really love this

  • @mariamwikedzi1638
    @mariamwikedzi1638 Před 5 měsíci

    Asante sana kwa elimu nzuri ya fedha.

  • @geraldjoel5727
    @geraldjoel5727 Před 3 lety +14

    Brother Joel Asante sana kwa moyo wako huu was kujitolea. Binafsi unanisaidia sana TU, ila nikuombe series ya hizi lecture iendelee

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 3 lety +1

      Sawa, tutajitahidi iendelee

    • @frankgabriely9294
      @frankgabriely9294 Před 3 lety

      Kiukweli Joel unatusaidia sana

    • @kpetres2872
      @kpetres2872 Před 3 lety

      @@joelnanauka Joel kitabu Cha Timiza malengo nakipataje😥😥.

    • @midundonabitymidundo5019
      @midundonabitymidundo5019 Před 3 lety

      Kaka hakika semina zako zinatusaidia sana tunashukuru sana mr joel Kwa elimu yako nzuri sana

  • @mugishaflorence8590
    @mugishaflorence8590 Před 2 lety

    Thanks a lot brother.....! Be blessed

  • @hamisikisinzah8113
    @hamisikisinzah8113 Před 3 lety +10

    Very very,very Good lecture or lesson.

  • @SalmaSalma-sd5we
    @SalmaSalma-sd5we Před 3 lety

    Shukran sana nakufuatilia sana nami nitakuletea matokeo yangu

  • @rahelgoodluck3641
    @rahelgoodluck3641 Před 3 lety

    See me at the top bro after a short time;I pray that God bless you more 🙏🙏

  • @AnnaThom-cj4yt
    @AnnaThom-cj4yt Před 3 měsíci

    Asantee sana nanauka Mimi sijawai weza kitu hiki na kinaniumiza sana naitajiii kujifuza zaidi,,

  • @Cutephina
    @Cutephina Před 3 měsíci +2

    Asante sana MUNGU AKUBARIKI sana

  • @omarmohamednur645
    @omarmohamednur645 Před 2 lety

    Shukran ndugu mungu akuongezee killa laa kheeri🙏

  • @agathamichael8818
    @agathamichael8818 Před 3 lety +3

    Nakuelewa kaka ubarikiwe🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @martinmollel1423
    @martinmollel1423 Před rokem

    God bless you, nimepata darasa kubwa sana

  • @giselamndeme7776
    @giselamndeme7776 Před 6 měsíci

    Amen nimebarikiwa SANA kuanzia leo naanza kubadilika

  • @SophiaMalley-kw7pi
    @SophiaMalley-kw7pi Před 8 měsíci

    Ww ni mwalimu mzuri sana umenifundisha mambo makubwa ktk maisha yangu

  • @patkentz
    @patkentz Před 3 lety +4

    Kaka joel Ahsante kunipa njia sahihi ya maisha yangu hakika tangu nime anza kuku fatilia hadi sasa nime badili maisha yangu kiasi kikubwa sana Mungu akupe Maalifa zaidi naomba gusa vipengere vyote kaka livyo baki.

  • @ElvisIrakoze-pj8ym
    @ElvisIrakoze-pj8ym Před 5 měsíci

    Watching from Burundi napenda sana mafunzo Yako! Mungu akubariki! 31:12 31:13

  • @xinyingmiao4996
    @xinyingmiao4996 Před 3 lety +2

    asante sana bruh nipo chuo huu ni mwaka wa 3 nasomea international trade and economic but cjawah kufundishwa elimu simple na yenye mwanga wa maisha kama hii

  • @chugaboy2162
    @chugaboy2162 Před 3 lety

    Thax so much bro to feed our mind

  • @maserogisunte1809
    @maserogisunte1809 Před 2 lety +4

    May GOD bless you sir,,,,,,,,, I've learned a lot.

  • @markosimonntilla8225
    @markosimonntilla8225 Před 3 lety

    kaka Joel asante sana kwa hii video kwakwel...nlilkua naulizia kama kuna uwezekano wa kuaupload mwendelezo wake maana wakat video inaanza ulisema ilikua semina ya siku 3..Asante sana na kaz njema

  • @theresiamhina9714
    @theresiamhina9714 Před 3 lety

    Asante sana, unafundisha vizuri sana

  • @qubyackim4688
    @qubyackim4688 Před 2 lety

    U kill it bro ........ Asanteeee sanaaa

  • @alisrupia9532
    @alisrupia9532 Před 6 měsíci

    Ubarikiwe sana kwa somo Zuri sana

  • @yunusmbaroukmbarouk5150
    @yunusmbaroukmbarouk5150 Před 2 lety +2

    Jambo la kushkuru ni kwmba nimeyasoma haya kwenye vitabu vingi vya Mwalimu wa Fedha, Mr Robert Thero KIYOSAKI bado nipo na miaka 21 tu sasa iv na kuyaelewa mengi, pia kwenye Video hii nimejikumbusha yale nilioyasoma kwenye vitabu vyake💯I hope one day kwa uwezo wa Mungu tutafanikiwa🤲🏻Ushauri wangu usione uvivu kusoma kitabu. Noa ubongo wako kwa kuupa madini mengi kutokana na vipaombele vyako

  • @revocatusbyamungu149
    @revocatusbyamungu149 Před 3 lety +1

    Great advise

  • @GUARDCLEVERTV
    @GUARDCLEVERTV Před 3 lety +1

    Good speech mr #Joel Nanauka

  • @noelmwakiposa7220
    @noelmwakiposa7220 Před 3 lety

    Asante sana Mungu ukubariki

  • @reineskomugisha8653
    @reineskomugisha8653 Před 2 lety +1

    asante sana kwa mafundisho yako mazuri

  • @nemmymtango3682
    @nemmymtango3682 Před 3 lety +1

    Nashukuru sana kwa somo nzuri Mungu azidi kukulinda uendelee na jukumu hili....

  • @winiejohn7020
    @winiejohn7020 Před 3 lety +2

    Be Blessed

  • @chieffofofoodinternational4102

    thank you nimejifunza kitu kwako mungu akubariki

  • @hosianamosha389
    @hosianamosha389 Před 2 lety +1

    Hizi madini adim sana nizakurudia kusikiliza hadi hizi kanuni nikae kichwani hili ni moja ya somo lililobora sana sana ,be blessed Joel kwa haya maarifa unayotupatia

  • @ukhtymwana4998
    @ukhtymwana4998 Před 2 lety

    Ahsante kwa mafundisho yako

  • @hellenngwilla550
    @hellenngwilla550 Před rokem

    Ubarikiwe sana sana kwa mafundisho mazuri

  • @user-yd7vr9cn1c
    @user-yd7vr9cn1c Před 10 měsíci

    Namshukulu rafkiangu saimoni majula kuninionesha kwamba Yuko mwalm mzuri sana wa uchumi ambaye ni joeli nanauka ,nimeanza kuona mabadiliko nilikua siweki akiba Sasa naweka from money formula Mungu akupe afya na uzma tele joeli nafamilia Yako

  • @RamadhanMtaki-sw1gx
    @RamadhanMtaki-sw1gx Před 10 měsíci +1

    💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯 asante Sana mkubwa Kwa somo lako na mungu hakutie nguvu huzidi kutufundisha

  • @henryjulius1608
    @henryjulius1608 Před 3 lety +3

    Kaka Asante sana kwa hili somo natamani liwafikie watu wengi zaidi,Maana ni somo ambalo linagusa maisha ya wengi hasa Vijana,Mungu akubariki sana kaka.

  • @fahari1genius902
    @fahari1genius902 Před 3 lety +1

    Kaka Joel Mungu akubariki na kukuongeza katika kile unachotufundisha kuna maarifa umeniongezea nilikuwa sina katika kutimiza malengo yangu na tofauti kati ya Rich& wealthy, Mungu akubariki and See you at the Top of Successful….

  • @rehemadavid2680
    @rehemadavid2680 Před 2 lety

    Asante sana kaka yangu mm ni mwanafunzi ninashukuru kwa somo lako nilikuwa sina nodamu ya fedha ila kupitia somo lako umenifundisha kitu kikubwa sana nashukuru

  • @abdlhaleem8380
    @abdlhaleem8380 Před 3 lety +4

    Yaan Mr. Joel nanauka apewe uongoz sehemu yoyote ile bas lazima uoene mabadiliko... 🔥 🔥 🤝🏻 🤝🏻🤝🏻🤝🏻 from zanzibar... Karibu NGULIIIIIIIIIIIIIIIIIIII.... 🤝🏻 🤝🏻🤝🏻🤝🏻

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 3 lety

      Nashukuru sana 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 naamini nitakuja Zanzibar na tutaonana.

    • @ramadhanrashidali7056
      @ramadhanrashidali7056 Před 3 lety

      @@joelnanauka inshaallah tunakusubir ..God bless you

    • @nrwawanndeny7394
      @nrwawanndeny7394 Před 3 lety

      Hapana jamani bwana huyu asifungwe na chochote ili aweze kuwahudumia watu wote bila mipaka.Kaka Mungu akubariki,asiuache mguu wako usogezwe yeye akulindaye.

  • @hamisilumona7163
    @hamisilumona7163 Před 3 lety +16

    Hi bro. Feed us more knowledge about money and investment. I follow you more time, honestly I love it. Be bless bro.

  • @modestshikilana4610
    @modestshikilana4610 Před 2 lety +1

    So impressive brother, keep it up

  • @khadijakisingo7920
    @khadijakisingo7920 Před 3 lety

    We kaka mungu akubariki unanibadilisha sana🙏👏

  • @einothmathayo9776
    @einothmathayo9776 Před 3 lety

    Waao! More enjoyable. be blessing

  • @mariamhinda6710
    @mariamhinda6710 Před 3 lety +1

    Asante kwa somo zur naahid kufanyia kazi na nitatoa ushuhuda

    • @mwanaidimsemo6321
      @mwanaidimsemo6321 Před 3 lety

      Mie ninao ushuhuda mwingi tu kupitia yeye, mungu ambarik sana kiongoz huyu jamani🙏

  • @mussadionizi9418
    @mussadionizi9418 Před 3 lety +3

    Ahsante sana kaka Nanauka nimefanya jambo kupitia kazi zako siku moja nitakuambia.Ushuhuda huu wa mafanikio

  • @kitulatv9937
    @kitulatv9937 Před 2 lety

    Barikiwa kwa mafundisho mazuri

  • @olivermfinanga1268
    @olivermfinanga1268 Před 3 lety

    Ishi maisha marefu Mungu ajitwalie utukufu kupitia hay mafunzo maisha ya wengi yatabadilika🙏🙏

  • @mariammashimba4311
    @mariammashimba4311 Před 3 lety

    Asante Sana kwa ushaur wako unatujenga

  • @gervaslevocatus886
    @gervaslevocatus886 Před 3 lety

    Mungu akupe maisha marefu

  • @anastasiamainaministries2700

    Asante joel Kenya needs you...Ave shared your vedio to some and they like you .God bless you

  • @zizuhmanizo2570
    @zizuhmanizo2570 Před 3 lety +1

    Mungu akulipe kheri sikupata kujifunza vitu vakimsingi kamahivi tangia nimeanza kujifunza mungu akupe umrimrefu uzidi kutufunza

  • @user-we1wt2kg8m
    @user-we1wt2kg8m Před rokem +1

    Nakuombeaga sana Mungu aendelee kukupa maisha marefu na mazuri maana unafanyika Baraka kwangu na najengeka kil ninapo kusikia mwalim JOEL

  • @godlistenminja4765
    @godlistenminja4765 Před 3 lety +1

    Sawaah kaka big training

  • @kobelochamanga9757
    @kobelochamanga9757 Před 3 lety

    Uko vizuri Sana mwalimu