UNAWEZAJE KUONGOZA BILA KUTUMIA CHEO AU NAFASI - JOELNANAUKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 09. 2023
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 58

  • @leonidafatson882
    @leonidafatson882 Před 10 měsíci +23

    The problem of being a lion in the jungle is that no one will ask you in the morning how are you doing. Kwasababu huwa tuna amini simba haumwi ,simba hachoki , simba haishiwi nguvu, simba Hana matatizo. So if you're strongest person in your family, hakuna mtu atapata muda wa kukuuliza unaendeleaje afya yako, hakuna mtu atakuuliza ulifanya checkup, kwasababu wana amini wewe ni mtu imara na hodari. Matokeo yake you will spend a good time of your life kwenye investment ya watu wengine, alafu utagundua wewe huja invest kwako na muda unapohitaji watu wengine, hawatajitoa kama wewe ulivyojitoa kwao. Alafu utalaumu na kulaani. Lakini tatizo hapo sio Lao ni lako. Binadamu ni wabinafsi so put yourself first wengine watakuja baada ya wewe kuwa umekuwa settled.

  • @charlesoputi7101
    @charlesoputi7101 Před 10 měsíci +6

    Though it was women conference but we men also have benefited a lot especially me here. God bless you brother. @kenya

  • @juliusjohnii7823
    @juliusjohnii7823 Před 10 měsíci +4

    Kadri ninavyokusikiliza hatua zangu zinaimalika saaana,,💪💪💪👏👏👏🤝🤝🤝 kira la heri kutoka kwa Mungu liwe juu yako,,, amen.

  • @upendoloondokalembekela7748
    @upendoloondokalembekela7748 Před 22 hodinami

    I am appreciate you letting me know that ,you’re doing great job,be blessed.

  • @amanigeorge-xe2gb
    @amanigeorge-xe2gb Před 10 měsíci +3

    Nimependa hii sa moja lakujifunza

  • @neemamaganga9774
    @neemamaganga9774 Před 10 měsíci +4

    Mimi nilikuwa ninadhani watu kama Joel wangepewa nafasi kubwa katika kuelimisha jamii. Mfano kwa sasa wanatumiwa wasanii kuburudisha tu wanaimba nyimbo za matusi tu ambazo hazina mchango mzuri kwenye ubongo wa watu .

    • @neemamaganga9774
      @neemamaganga9774 Před 10 měsíci +1

      Serikali ingewatumia watu kama Joel walau hata mara chache kutembea nao kwenye maeneo tofauti kwenye washa. Wangesaidia vijana wengi kujifunza vitu. Nakumbuka siku ya madawa ya kulevya alichukuliwa diamond kuburudisha ambapo hata nyimbo alizoimba haziendani na kupinga matumizi ya madawa ya kulevya. Badala yake msanii anakuwepo kama ushawishi wa watu kufika ila hakuna wanachojifunza.

  • @lazarorojha7042
    @lazarorojha7042 Před 10 měsíci +4

    Hakika MB zangu hazijaenda Bure nimejifunza mengi xaaana kutoka kwako Nanauka

  • @OmaryShaban-tp9hd
    @OmaryShaban-tp9hd Před měsícem

    Asante sanaa kwakuniongezea kitu ....
    Wewe ndiee kioo changu ,naomba nikuitee mwalim wangu naitaji nijifunze vingi kuoitia ww

  • @BukelebeTv
    @BukelebeTv Před 9 měsíci +2

    Kaka Joel Mungu akubariki sana

  • @Yohana-tt3sn
    @Yohana-tt3sn Před 10 měsíci +2

    Neem iwe juu Yako Joel

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před 7 měsíci +1

    Kwanza mungu kwanza alafu ndo mtu sahihi

  • @isaacmwailinga8921
    @isaacmwailinga8921 Před 8 měsíci +1

    Ahsante Sana kaka
    You're Future Awaits You

  • @Udindigwa
    @Udindigwa Před 10 měsíci +3

    Mwenyezi Mungu Asimame Nawe Uzidi Kutujenga Unamchango Mkubwa SANA Ndani Ya Nch Yetu Ya Tanzania na Hata Nje Ya Tanzania

  • @marthabrayson7328
    @marthabrayson7328 Před 10 měsíci +2

    Aiiiiiiiih! Blue ni mimi kabisa😂 asantee kwa somo zuri👏 Mungu akulinde tuendelee kupata madini

  • @user-ux3vl6rj9j
    @user-ux3vl6rj9j Před 10 měsíci +2

    Naskia vzur San kwa maneno yako

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz Před měsícem

    Mashaalah

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 Před 10 měsíci +2

    Mungu akubariki sana

  • @jasminenorman3744
    @jasminenorman3744 Před měsícem

    You are a full package

  • @KichereTheDataScientist
    @KichereTheDataScientist Před 10 měsíci +2

    thanks much

  • @alyaniabdallahmwalimu2785
    @alyaniabdallahmwalimu2785 Před 10 měsíci +1

    Stay blessed
    Mafunzo yamenyooka JN.

  • @mwarikimwariki2653
    @mwarikimwariki2653 Před 9 měsíci +1

    Sawa

  • @omanjalan582
    @omanjalan582 Před 10 měsíci +1

    Asante sana mr joel hua nakuelewa saana

  • @ailennkya892
    @ailennkya892 Před 10 měsíci +3

    God bless you life coach

  • @user-ru1in1sl9d
    @user-ru1in1sl9d Před 4 měsíci

    Nimependa sana hili somo bro!Mungu akubariki sana

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Před 10 měsíci +2

    Ahsante

  • @sweetbertmbowe3284
    @sweetbertmbowe3284 Před 6 měsíci

    Nice mdogo wangu,nakuelewa sana

  • @rabanphotostudionyakanazi_4115
    @rabanphotostudionyakanazi_4115 Před 10 měsíci +2

    We joel jamani..

  • @hildahmathew7800
    @hildahmathew7800 Před 8 měsíci

    Asante kwa somo zuri.....nahitaji kujifunza zaidi kuhusu negotion

  • @user-qn7xd2uu8j
    @user-qn7xd2uu8j Před 10 měsíci +2

    Asante sana kaka

  • @davidtumbo7034
    @davidtumbo7034 Před 7 měsíci +1

    blessings👏

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 Před 6 měsíci

    ❤❤ Ubarikiwe mnoooo

  • @user-cx3xg9vq2d
    @user-cx3xg9vq2d Před 10 měsíci +1

    Asante

  • @MCmakore
    @MCmakore Před 10 měsíci +1

    Mwalimu ahsante

  • @dennisrwelamira1259
    @dennisrwelamira1259 Před 6 měsíci

    Kweli mdogo wangu unakipaji. Nimefurahia presentations zako. Kweli nimenufaika

  • @user-jh6jf2vr4o
    @user-jh6jf2vr4o Před 4 dny

  • @nkwabison
    @nkwabison Před 10 měsíci +2

    ☑️

  • @husseinsalehe9511
    @husseinsalehe9511 Před 10 měsíci +1

    wow

  • @-mv5f
    @-mv5f Před 3 měsíci

    Ni mwamba huyu

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj Před 10 měsíci +2

    Asante sana

  • @user-hd4tg3wt1u
    @user-hd4tg3wt1u Před 5 měsíci

    hum vrement 😮

  • @lampadshigonko3006
    @lampadshigonko3006 Před 10 měsíci +1

    mimi napenda nihudhurie mikutano ila sjui inafanyika wap

  • @muddyhamza9606
    @muddyhamza9606 Před 9 měsíci

    Nimejipata kumbe mimi Blue na Gold😂

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před 10 měsíci

    ✍️

  • @jasminerashidi2782
    @jasminerashidi2782 Před 6 měsíci

    Pastor Joel mie nqpataje Hilo darasa lako na ili hali sipo Tanzania

  • @ismailmussa3327
    @ismailmussa3327 Před 6 měsíci

    Napendekeza uwe unauza ideas za vitabu vyako kwa Makampuni au Mashirika ya Movies na Tamthilia naimani kuna mabadiliko tutayaona kwenye tasnia ya filamu Tanzania

    • @user-yb7kx7hk9i
      @user-yb7kx7hk9i Před měsícem

      I totally agree yaan management yake iwatafute

  • @byishimongirvmufasha6973
    @byishimongirvmufasha6973 Před 10 měsíci +3

    Joel nanauka tunakufuatilia American tunatamani sikumoja use huku tukuone.

    • @titusk.kariuki5510
      @titusk.kariuki5510 Před 10 měsíci

      Akifika nijulishe.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 10 měsíci +1

      Namahukuru Mungu, tuendelee kuombeana nitafika siku
      Moja

    • @fredkangethe7497
      @fredkangethe7497 Před 10 měsíci +1

      ​@@joelnanaukahuku Kenya na ujuaji wetu twakuthamini sana

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 10 měsíci

      @@fredkangethe7497nashukuru sanaa