Je,Wewe Una Maono Gani Kwenye Maisha Yako?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 11. 2020
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 266

  • @letsgobacktoafricafoundati1322

    Kua maskini ni chaguo la mtu🙌🏽🙌🏽

  • @fatmamwiru7574
    @fatmamwiru7574 Před 3 lety +22

    “Mafanikio yakweli yanatakiwa yakusogeze karibu na Mungu nasio kukutoa kwa Mungu”🙏.

  • @mcheshcomedy5809
    @mcheshcomedy5809 Před 3 lety +19

    Nipo WA Kwanza Leo kumeza doze ya Kaka Joel!!!😀

  • @anesansibert2968
    @anesansibert2968 Před 3 lety +5

    Jaman jaman ubalikiwe ili somo limekuja kwa ajili langu Mungu akupe maisha marefu

  • @rimepeter789
    @rimepeter789 Před 3 lety +11

    AMEN in JESUS NAME, I believe in this message, God bless you sir ❤🙏

  • @mmbatizaji8075
    @mmbatizaji8075 Před 3 lety +5

    Pamoja sana kaka, natumia Mb, zangu kwa usahihi kabisa

  • @OmaryShaban-tp9hd
    @OmaryShaban-tp9hd Před měsícem +1

    Asante mwalim wangu umenigusa kwakiasi kikubwa ....

  • @castorysosoma8540
    @castorysosoma8540 Před 3 lety +7

    Aisee hili somo bhana ni powerful sana natamani kila kijana angeliskia...
    Mungu akubariki sana kaka Joel...

    • @mkiryamadebe7678
      @mkiryamadebe7678 Před 3 lety

      Good massage

    • @kennytwinzi9032
      @kennytwinzi9032 Před 3 lety

      Casto...umeongea kama ninavotamanigi siku zote nikiona ujumbe mzuri natamani vijana au watu wote wausikie 👍

  • @yohanasimtenda748
    @yohanasimtenda748 Před 3 lety +12

    Brother unatupa maarifa makubwa sana, Yesu akutunze

  • @joycezacharia7598
    @joycezacharia7598 Před 3 lety +4

    Mungu zaidi kukutumia kufumbua macho ya kizazi hiki. Naamini ndiyo sababu yake kukuleta duniani. Kazi yako ni njema sana. Ubarikiwe na kuzidi. Natamani elimu hii ikiwafikia wengine live hapa Kigoma. Rev. Zacharia Andrea FPCT MWANGA KGOMA

    • @veronicabiaka4730
      @veronicabiaka4730 Před 3 lety

      Nipo kaka angu nami ni MU FPCT KATUBUKA... NAMFATILIAGA SANA.. NDIO MAANA NAMI NINA NDOTO YA KUFIKA MBALI PAMOJA NA WANAKIGOMA WOTE.. NA NIMEILETA FURSA KIGOMA TUPO JENGO LA NMB GOROFA YA KWANZA.. karibu sana kaka

  • @tukaesanatu2754
    @tukaesanatu2754 Před 11 měsíci +2

    Asante baba kwa somo lako

  • @breshnyanjwa3102
    @breshnyanjwa3102 Před 3 lety +3

    Praise be to God, may God add u more strength to do this

  • @leahmzulu1505
    @leahmzulu1505 Před 3 lety +5

    Only "VISION" Ahsante sanaaaa

  • @user-gg9xo8lf8w
    @user-gg9xo8lf8w Před 5 měsíci +1

    Thanks br again, I was not aware kwamba kusudi la maisha yangu ni zaidi ya mafanikio yangu binafsi, ooh, kumbe tumepishana na baraka za Mungu kwa sababu ya ubinafsi, nimejifunza kitu na ninaanza kufikiria wengine zaidi yangu binafsi, thanks, this is a kick towards my real vision. Stay blessed Joel, keep it up

  • @johnsonmarick45
    @johnsonmarick45 Před 3 lety +8

    Great talk, great learning bro

  • @markojohnwalinguzo4225
    @markojohnwalinguzo4225 Před 3 lety +3

    Mungu akuinue juuuuu zaidi mtumishi, yaani najuta kwa kutokukufahamu Mapema maana nimepoteza mda wangu mwingi kufuatilia visivyo vya msingi mpaka juzi nilipoona post Kali ya diamond alafu akanukuu imetoka kwako ndo nikaamka

  • @eselinabibuka9610
    @eselinabibuka9610 Před 2 lety

    Yes Pastor. God bless you!

  • @kenyantotoz4244
    @kenyantotoz4244 Před 3 lety +2

    MashaAllah mungu akuzidishie kaka,,, nimejiona mtu mtofauti kwa nasaha zako..... Mob love from kenya

  • @albertmwajega6266
    @albertmwajega6266 Před rokem +1

    Mungu amekupa kipawa kikubwa kaka ubarikiwe sana napenda kukufuatilia ktk mafundisho yako ubarikiwe sana.

  • @seefshamis5498
    @seefshamis5498 Před 3 lety +2

    Naitwa siffah nipo oman hakika asante sana Joel umenifanya niwe na maono madhbuti

  • @elijahanthony7667
    @elijahanthony7667 Před 2 lety

    Asante Sana kwa ujumbe huu Naamini nimeupata kwa wakati maalumu Naahidi kupitia Video hii utakuwa ni ushuhuda mkubwa Sana Ahsante Mungu akupe Baraka na Maarifa zaidi nimejifunza Mambo mengi kwa kina God First ....🙏🙏

  • @gilbertnduwayo5436
    @gilbertnduwayo5436 Před 8 měsíci

    Ubarikiwe kaka Nanauka Joel
    I’m very excited for your training, I hope we will be successful according to your knowledge bro!

  • @EMMANUELWILLIAM-vj2yw
    @EMMANUELWILLIAM-vj2yw Před 8 měsíci

    Long live brother Joel you have added the value to my vision one day I will be a great at a God's right time

  • @user-bz4vb8jy5y
    @user-bz4vb8jy5y Před 10 měsíci +12

    My brother mungu alikuleta kwajili ya watu wengi hapa Dunian na leo mm ni mmoja ya watu walio fanikiwa kufunguliwa na mafunzo yako.🙏🏾Muungu akupenguvu na maisha malefu ewe uzao mteule nami nipo nyuma ya mafundisho yako. Mungu amekuleta kwajili yangu ili nilishi kusudi langu kabla yako skujua nini maana ya kusudi maana nilikua nijikuta nimefanya kitu kama bahat kumbe ndilo kusud langu. Mungu akubaliki sana kaka ninapo pata changamoto hii video inaludisha memories zote zilizotaka kufutika🙏🏾 proud of you brother

  • @annamallya8756
    @annamallya8756 Před 3 lety

    Mwenyezi Mungu akubariki sana.najifunza mengi kupitia elimu unayotoa.🙏🙏🙏🙏🙏

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 Před 2 lety

    God bless you brother Joel Nanauka 🙏

  • @leonike-kj6hf
    @leonike-kj6hf Před rokem

    Amina Kubwa, nakupenda sana ❤ Mungu akuweke kwa ajili yetu🙏

  • @mathewmartin4413
    @mathewmartin4413 Před 3 lety +1

    Asante sana KK mungu. akubariki na kukupa maisha marefu

  • @upendowerema2247
    @upendowerema2247 Před 3 lety +5

    Asante my brother,Mungu azidi kukutumia na kukubariki,This is what I needed to hear

    • @isaacktweve630
      @isaacktweve630 Před 3 lety

      Nataka niwe mwanafunzi wako ,nitumie Contact.

  • @sesiliakisuba5272
    @sesiliakisuba5272 Před 3 lety

    Amen nimejifunza zaidi,Mungu akubariki sana

  • @isaacktweve630
    @isaacktweve630 Před 3 lety +3

    Man of God,Keep it up.

  • @carrencatherine2018
    @carrencatherine2018 Před 3 lety +1

    Asante Mungu kwa ajili ya Joel.

  • @samwelmahimbo3694
    @samwelmahimbo3694 Před 3 lety +1

    amen much blessing

  • @happynessmasere236
    @happynessmasere236 Před 3 lety +3

    Joe is Annointed..powerful.. Mungu akutunze kila siku.

  • @aminakiyungi94
    @aminakiyungi94 Před 2 lety +1

    Mungu akubarik mtumish vipindi vyako vimekuwa faraja kwangu sana

  • @Usawa_phonetech
    @Usawa_phonetech Před 3 lety +1

    Kuna tofauti kagi Kati ya Vision na Focus! Joel umenifanya niwe na maisha tofaut sana

  • @paulmasingisha3045
    @paulmasingisha3045 Před 3 lety

    Safi sana kijana mwenzangu na mwenyezi mungu akufikishe mbali zaidi kwa kutuelimisha

  • @user-jh6jf2vr4o
    @user-jh6jf2vr4o Před měsícem +1

    Mungu ni mwema ❤

  • @sungwandongo9445
    @sungwandongo9445 Před 3 lety +2

    God bless you!

  • @shabanihassan6626
    @shabanihassan6626 Před 3 lety

    Vzuri sana,nimekuelewa na naona maisha mazuri mbele yangu

  • @agnesssilvan3954
    @agnesssilvan3954 Před 3 lety +2

    Alright Joel...🕺🕺🕺 wewe ni UNSTOPPABLE.
    Nitaitetea ndoto yangu hadi itimie.

  • @erickmdimu3587
    @erickmdimu3587 Před 3 lety +1

    Amina Kaka nimeelewa hii Kitu (Vision )

  • @shukranjulius5910
    @shukranjulius5910 Před 3 lety +1

    Amina kaka nimekuelewa maana nilikua nachelewa Mungu akubariki

  • @zebedayokatamaduni9676

    Amina nimekukumbuka mwl ,, bila shaka ulisha wahi kuja Nzega kkkt kwa ajili ya semina

  • @upendofrank4917
    @upendofrank4917 Před 3 lety

    Asante kaka unanikuza kiakili, mungu akubariki na akulinde bro 🙏

  • @agathamichael8818
    @agathamichael8818 Před rokem +1

    Mafanikio ya kwel yanatoka katika Mungu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @MwanzalimaLeonard
    @MwanzalimaLeonard Před měsícem

    Elimu hii ni muhim sana,vijana tutilie maanan kwani ni taa kwetu iwakayo kwa mwanga mzur!ubarikiwe sana mtoa somo!

  • @magaramakindika5647
    @magaramakindika5647 Před 2 lety +1

    Hakika 100% najifunza vingi sana kwako keep moving we are together brooo

  • @chieffofofoodinternational4102

    nashukuru Sana Kaka umenifanya nisikate tamaa na ninaweza na nitafika mbali mungu akubariki Sana

  • @juakalimkono7235
    @juakalimkono7235 Před 2 lety

    Yes, nimekuelewa nimekukubali uko vizuri.

  • @martinmhema4312
    @martinmhema4312 Před 3 lety +1

    My best motivational speaker ever #JOELNANAUKA thanks sana kwa maarifa yako

  • @rabanphotostudionyakanazi_4115
    @rabanphotostudionyakanazi_4115 Před 11 měsíci +1

    Barikiwa kwa somo zuri.pia hongera kwa Kazi ya graphics

  • @kivuquality242
    @kivuquality242 Před 3 lety +1

    Nafata Videos zako apa Congo...Bukavu...Ndugu Ubarikiwe sn

  • @aniki7232
    @aniki7232 Před měsícem

    Brother , nahisi kama Mungu alikuinua kwa ajili yengu mimi. Ubarikiwe sana.

  • @gideonkipruto3987
    @gideonkipruto3987 Před 3 lety

    Asante kwa huu ujumbe umenijenga sana

  • @user-jc6jl9tg1p
    @user-jc6jl9tg1p Před měsícem

    Amina baba balikiwa

  • @gwamakamwasamwaba7898
    @gwamakamwasamwaba7898 Před 3 lety +2

    May God bless you bro, I always appreciate all you bring to us!

  • @michaelmasanja5168
    @michaelmasanja5168 Před 3 lety +2

    Thank you bro

  • @henryludath3139
    @henryludath3139 Před 3 lety +1

    barikiwa Brother salute kwako,

  • @friminadonath5040
    @friminadonath5040 Před 4 měsíci

    Barikiwa sana Joel unanivusha sehemu kubwa saana ninapokea

  • @issakatety3535
    @issakatety3535 Před rokem

    Dah umenibadilisha sana kwenye haya maisha💪👏

  • @khadijakisingo7920
    @khadijakisingo7920 Před 2 lety +1

    Joel unanipa maarifa Hadi nashindwa nikuambie nn mungu akubariki zaidi🙏

  • @masomoyakarne5122
    @masomoyakarne5122 Před měsícem

    Ubarikiwe sana kaka Joel, unasaidia wengi

  • @sindbadmandu9459
    @sindbadmandu9459 Před 3 lety

    Go on brother you are here for us

  • @kristinakeneth5657
    @kristinakeneth5657 Před rokem

    Thank you God kwa kutupa Joel Nanauka 😢🙏🙏🙏

  • @user-on7od9dy3u
    @user-on7od9dy3u Před 9 měsíci

    ❤kaka mafundisho yaka yamenijenga na ya nikumbusha maisha yangu niliyo pitia

  • @theresiachigali9482
    @theresiachigali9482 Před 2 lety

    Amina umeamsha ndoto yangu mungu akubariki sana

  • @waziriissa7018
    @waziriissa7018 Před 3 lety

    Wew baba Kwanza mungu akubariki unanigusa Mimi wazir haa umupita mure mure dar

  • @applesherman8217
    @applesherman8217 Před 3 lety +6

    Wish you all the best brother. Kupitia wewe Umebadilisha Lifestyle yangu%

  • @ericksonsteve4075
    @ericksonsteve4075 Před rokem

    Amina sana mwamba anguh mungu ni mwema sana

  • @kulwagachu7435
    @kulwagachu7435 Před 3 lety +1

    Great speech bro..Keep it up

  • @eliashope1484
    @eliashope1484 Před 3 lety +1

    Barikiwa kwa ujumbe.

  • @thuwaibawadi9672
    @thuwaibawadi9672 Před 3 lety +1

    asante sana kaka...unanitia moyo sana...

  • @titonimu4291
    @titonimu4291 Před 3 lety

    Good preaching

  • @ezrayavanijosias
    @ezrayavanijosias Před 10 měsíci

    A Powerful speech

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Před 2 lety

    Ahsante
    Nahitaji. VISION

  • @froridaanthony3278
    @froridaanthony3278 Před 3 lety +1

    Nakupenda sana kaka joel nanauka nikikusikiliza napata nguvu mpya

  • @josephnyanga5172
    @josephnyanga5172 Před 2 lety

    One of your best speeches

  • @user-tp5mz9bi1u
    @user-tp5mz9bi1u Před 6 měsíci

    God bless you

  • @naomienos7933
    @naomienos7933 Před 2 lety +1

    Mungu akubariki sana

  • @mwanaishabadi7568
    @mwanaishabadi7568 Před 8 měsíci

    I like what ever u highlight known u for 2 days only

  • @ndulutheodorick4322
    @ndulutheodorick4322 Před 3 lety

    Mr Nanauka, kweli kazi unayofanaya yanafanya kazi kubwa sana katik maisha ya watu. Mimi mwenyewe ninakutazama sana usoni unapoongea,na sasa swali langu ni kuwa: kwanini unabadili ukubwa na shindo la sauti yako ikitegemea ukumbi unaohotubia?
    Mimi nina mradi wa kukuiga wewe na kuwa mzungumzaji bora kama wewe na labda kufikia kukuzidi wewe. Una mchango wowote unaweza kuchangia kwa swali langu?
    Mimi ninaitwa Ndulu Theodorick nikiwa USA.
    Asante kwa kazi zote ufanyazo.

  • @JescaFesto
    @JescaFesto Před 3 měsíci

    Mungu akuweke brother hili somo limenigusa na hakika sitoacha kukufatilia

  • @majeshijaphet918
    @majeshijaphet918 Před 3 lety

    Ahsante kaka kwa madini yako 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @meleajohnkisaka7969
    @meleajohnkisaka7969 Před 3 lety +1

    Barikiwa sana kaka yaani kila siku lazima nisikilize clips zako ,nikipata changamoto yoyote naingia huku mambo yangu yanakaa vizuri

  • @user-ni3nw6mt8y
    @user-ni3nw6mt8y Před 4 měsíci

    Mngu akubaliki sana akuongeze cku zakuishi ,kwahili tutasongambele❤

  • @user-gf9er5zi6i
    @user-gf9er5zi6i Před 3 měsíci

    Hakika!
    Mungu na azidi kukutumia Kwa VIWANGO vya kwake❤

  • @frankmtei3017
    @frankmtei3017 Před 3 lety +5

    Hatujaja duniani, kuzurura, nimeipenda hiyo!

  • @tecnospark4260
    @tecnospark4260 Před 3 lety

    Broh Asante sana

  • @halimahleema5165
    @halimahleema5165 Před rokem

    Asante Sana mchungaji

  • @gamatv3221
    @gamatv3221 Před 5 měsíci

    Asante sana

  • @sudaisathman3831
    @sudaisathman3831 Před rokem

    Ubarikiwe brooo.kila nikiamka.lazima nitafute video yako.yyt niitizame ndio nianze siku yangu

  • @VincentToto-xj2bo
    @VincentToto-xj2bo Před rokem

    Màisha mrefu kaka umebadirisha life langu God bless u

  • @benjaminonpiano304
    @benjaminonpiano304 Před 3 lety

    Ahsante kwa elimu hii kaka joeli

  • @dickystudios
    @dickystudios Před 9 měsíci

    Exactly Broh

  • @wababyamungu2646
    @wababyamungu2646 Před 2 lety

    Tunashukuru saaana kwakuona namashahuri unayo tupa,Mungu akuongezeye Siku zakuhishi m'pendwa professa.🙏🙏🙏

  • @bahatimtitu7560
    @bahatimtitu7560 Před rokem

    Hongera kaka Joel Mungu akuhifadhi

  • @rabanphotostudionyakanazi_4115

    Mungu akubariki sana kwa somo hilo.

  • @hopejafarson4347
    @hopejafarson4347 Před 3 lety

    Uko vizuri kaka Mungu akubariki zaidi

  • @SadickZahoro
    @SadickZahoro Před 7 měsíci

    Mashalah