Mungu zaidi kukutumia kufumbua macho ya kizazi hiki. Naamini ndiyo sababu yake kukuleta duniani. Kazi yako ni njema sana. Ubarikiwe na kuzidi. Natamani elimu hii ikiwafikia wengine live hapa Kigoma. Rev. Zacharia Andrea FPCT MWANGA KGOMA
Nipo kaka angu nami ni MU FPCT KATUBUKA... NAMFATILIAGA SANA.. NDIO MAANA NAMI NINA NDOTO YA KUFIKA MBALI PAMOJA NA WANAKIGOMA WOTE.. NA NIMEILETA FURSA KIGOMA TUPO JENGO LA NMB GOROFA YA KWANZA.. karibu sana kaka
Thanks br again, I was not aware kwamba kusudi la maisha yangu ni zaidi ya mafanikio yangu binafsi, ooh, kumbe tumepishana na baraka za Mungu kwa sababu ya ubinafsi, nimejifunza kitu na ninaanza kufikiria wengine zaidi yangu binafsi, thanks, this is a kick towards my real vision. Stay blessed Joel, keep it up
Mungu akuinue juuuuu zaidi mtumishi, yaani najuta kwa kutokukufahamu Mapema maana nimepoteza mda wangu mwingi kufuatilia visivyo vya msingi mpaka juzi nilipoona post Kali ya diamond alafu akanukuu imetoka kwako ndo nikaamka
Asante Sana kwa ujumbe huu Naamini nimeupata kwa wakati maalumu Naahidi kupitia Video hii utakuwa ni ushuhuda mkubwa Sana Ahsante Mungu akupe Baraka na Maarifa zaidi nimejifunza Mambo mengi kwa kina God First ....🙏🙏
My brother mungu alikuleta kwajili ya watu wengi hapa Dunian na leo mm ni mmoja ya watu walio fanikiwa kufunguliwa na mafunzo yako.🙏🏾Muungu akupenguvu na maisha malefu ewe uzao mteule nami nipo nyuma ya mafundisho yako. Mungu amekuleta kwajili yangu ili nilishi kusudi langu kabla yako skujua nini maana ya kusudi maana nilikua nijikuta nimefanya kitu kama bahat kumbe ndilo kusud langu. Mungu akubaliki sana kaka ninapo pata changamoto hii video inaludisha memories zote zilizotaka kufutika🙏🏾 proud of you brother
Mr Nanauka, kweli kazi unayofanaya yanafanya kazi kubwa sana katik maisha ya watu. Mimi mwenyewe ninakutazama sana usoni unapoongea,na sasa swali langu ni kuwa: kwanini unabadili ukubwa na shindo la sauti yako ikitegemea ukumbi unaohotubia? Mimi nina mradi wa kukuiga wewe na kuwa mzungumzaji bora kama wewe na labda kufikia kukuzidi wewe. Una mchango wowote unaweza kuchangia kwa swali langu? Mimi ninaitwa Ndulu Theodorick nikiwa USA. Asante kwa kazi zote ufanyazo.
Kua maskini ni chaguo la mtu🙌🏽🙌🏽
“Mafanikio yakweli yanatakiwa yakusogeze karibu na Mungu nasio kukutoa kwa Mungu”🙏.
Nipo WA Kwanza Leo kumeza doze ya Kaka Joel!!!😀
Jaman jaman ubalikiwe ili somo limekuja kwa ajili langu Mungu akupe maisha marefu
AMEN in JESUS NAME, I believe in this message, God bless you sir ❤🙏
Pamoja sana kaka, natumia Mb, zangu kwa usahihi kabisa
Asante mwalim wangu umenigusa kwakiasi kikubwa ....
Aisee hili somo bhana ni powerful sana natamani kila kijana angeliskia...
Mungu akubariki sana kaka Joel...
Good massage
Casto...umeongea kama ninavotamanigi siku zote nikiona ujumbe mzuri natamani vijana au watu wote wausikie 👍
Brother unatupa maarifa makubwa sana, Yesu akutunze
Mungu zaidi kukutumia kufumbua macho ya kizazi hiki. Naamini ndiyo sababu yake kukuleta duniani. Kazi yako ni njema sana. Ubarikiwe na kuzidi. Natamani elimu hii ikiwafikia wengine live hapa Kigoma. Rev. Zacharia Andrea FPCT MWANGA KGOMA
Nipo kaka angu nami ni MU FPCT KATUBUKA... NAMFATILIAGA SANA.. NDIO MAANA NAMI NINA NDOTO YA KUFIKA MBALI PAMOJA NA WANAKIGOMA WOTE.. NA NIMEILETA FURSA KIGOMA TUPO JENGO LA NMB GOROFA YA KWANZA.. karibu sana kaka
Asante baba kwa somo lako
Praise be to God, may God add u more strength to do this
Only "VISION" Ahsante sanaaaa
Thanks br again, I was not aware kwamba kusudi la maisha yangu ni zaidi ya mafanikio yangu binafsi, ooh, kumbe tumepishana na baraka za Mungu kwa sababu ya ubinafsi, nimejifunza kitu na ninaanza kufikiria wengine zaidi yangu binafsi, thanks, this is a kick towards my real vision. Stay blessed Joel, keep it up
Great talk, great learning bro
Mungu akuinue juuuuu zaidi mtumishi, yaani najuta kwa kutokukufahamu Mapema maana nimepoteza mda wangu mwingi kufuatilia visivyo vya msingi mpaka juzi nilipoona post Kali ya diamond alafu akanukuu imetoka kwako ndo nikaamka
Yes Pastor. God bless you!
MashaAllah mungu akuzidishie kaka,,, nimejiona mtu mtofauti kwa nasaha zako..... Mob love from kenya
Mungu amekupa kipawa kikubwa kaka ubarikiwe sana napenda kukufuatilia ktk mafundisho yako ubarikiwe sana.
Naitwa siffah nipo oman hakika asante sana Joel umenifanya niwe na maono madhbuti
Asante Sana kwa ujumbe huu Naamini nimeupata kwa wakati maalumu Naahidi kupitia Video hii utakuwa ni ushuhuda mkubwa Sana Ahsante Mungu akupe Baraka na Maarifa zaidi nimejifunza Mambo mengi kwa kina God First ....🙏🙏
Ubarikiwe kaka Nanauka Joel
I’m very excited for your training, I hope we will be successful according to your knowledge bro!
Long live brother Joel you have added the value to my vision one day I will be a great at a God's right time
My brother mungu alikuleta kwajili ya watu wengi hapa Dunian na leo mm ni mmoja ya watu walio fanikiwa kufunguliwa na mafunzo yako.🙏🏾Muungu akupenguvu na maisha malefu ewe uzao mteule nami nipo nyuma ya mafundisho yako. Mungu amekuleta kwajili yangu ili nilishi kusudi langu kabla yako skujua nini maana ya kusudi maana nilikua nijikuta nimefanya kitu kama bahat kumbe ndilo kusud langu. Mungu akubaliki sana kaka ninapo pata changamoto hii video inaludisha memories zote zilizotaka kufutika🙏🏾 proud of you brother
Mwenyezi Mungu akubariki sana.najifunza mengi kupitia elimu unayotoa.🙏🙏🙏🙏🙏
God bless you brother Joel Nanauka 🙏
Amina Kubwa, nakupenda sana ❤ Mungu akuweke kwa ajili yetu🙏
Asante sana KK mungu. akubariki na kukupa maisha marefu
Asante my brother,Mungu azidi kukutumia na kukubariki,This is what I needed to hear
Nataka niwe mwanafunzi wako ,nitumie Contact.
Amen nimejifunza zaidi,Mungu akubariki sana
Man of God,Keep it up.
Asante Mungu kwa ajili ya Joel.
amen much blessing
Joe is Annointed..powerful.. Mungu akutunze kila siku.
God blessing us
Mungu akubarik mtumish vipindi vyako vimekuwa faraja kwangu sana
Kuna tofauti kagi Kati ya Vision na Focus! Joel umenifanya niwe na maisha tofaut sana
Safi sana kijana mwenzangu na mwenyezi mungu akufikishe mbali zaidi kwa kutuelimisha
Mungu ni mwema ❤
God bless you!
Vzuri sana,nimekuelewa na naona maisha mazuri mbele yangu
Alright Joel...🕺🕺🕺 wewe ni UNSTOPPABLE.
Nitaitetea ndoto yangu hadi itimie.
Amina Kaka nimeelewa hii Kitu (Vision )
Amina kaka nimekuelewa maana nilikua nachelewa Mungu akubariki
Amina nimekukumbuka mwl ,, bila shaka ulisha wahi kuja Nzega kkkt kwa ajili ya semina
Asante kaka unanikuza kiakili, mungu akubariki na akulinde bro 🙏
Mafanikio ya kwel yanatoka katika Mungu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Elimu hii ni muhim sana,vijana tutilie maanan kwani ni taa kwetu iwakayo kwa mwanga mzur!ubarikiwe sana mtoa somo!
Hakika 100% najifunza vingi sana kwako keep moving we are together brooo
nashukuru Sana Kaka umenifanya nisikate tamaa na ninaweza na nitafika mbali mungu akubariki Sana
Yes, nimekuelewa nimekukubali uko vizuri.
My best motivational speaker ever #JOELNANAUKA thanks sana kwa maarifa yako
Kaka big up mungu azidi kukutumia mda wote
Barikiwa kwa somo zuri.pia hongera kwa Kazi ya graphics
Nafata Videos zako apa Congo...Bukavu...Ndugu Ubarikiwe sn
Brother , nahisi kama Mungu alikuinua kwa ajili yengu mimi. Ubarikiwe sana.
Asante kwa huu ujumbe umenijenga sana
Amina baba balikiwa
May God bless you bro, I always appreciate all you bring to us!
Sante sana
Thank you bro
barikiwa Brother salute kwako,
Barikiwa sana Joel unanivusha sehemu kubwa saana ninapokea
Dah umenibadilisha sana kwenye haya maisha💪👏
Joel unanipa maarifa Hadi nashindwa nikuambie nn mungu akubariki zaidi🙏
Ubarikiwe sana kaka Joel, unasaidia wengi
Go on brother you are here for us
Thank you God kwa kutupa Joel Nanauka 😢🙏🙏🙏
❤kaka mafundisho yaka yamenijenga na ya nikumbusha maisha yangu niliyo pitia
Amina umeamsha ndoto yangu mungu akubariki sana
Wew baba Kwanza mungu akubariki unanigusa Mimi wazir haa umupita mure mure dar
Wish you all the best brother. Kupitia wewe Umebadilisha Lifestyle yangu%
Thenkyou!
Nabarikwa sana na mafundisho yako
Amina sana mwamba anguh mungu ni mwema sana
Great speech bro..Keep it up
Barikiwa kwa ujumbe.
asante sana kaka...unanitia moyo sana...
Good preaching
A Powerful speech
Ahsante
Nahitaji. VISION
Nakupenda sana kaka joel nanauka nikikusikiliza napata nguvu mpya
One of your best speeches
God bless you
Mungu akubariki sana
I like what ever u highlight known u for 2 days only
Mr Nanauka, kweli kazi unayofanaya yanafanya kazi kubwa sana katik maisha ya watu. Mimi mwenyewe ninakutazama sana usoni unapoongea,na sasa swali langu ni kuwa: kwanini unabadili ukubwa na shindo la sauti yako ikitegemea ukumbi unaohotubia?
Mimi nina mradi wa kukuiga wewe na kuwa mzungumzaji bora kama wewe na labda kufikia kukuzidi wewe. Una mchango wowote unaweza kuchangia kwa swali langu?
Mimi ninaitwa Ndulu Theodorick nikiwa USA.
Asante kwa kazi zote ufanyazo.
Mungu akuweke brother hili somo limenigusa na hakika sitoacha kukufatilia
Ahsante kaka kwa madini yako 🙏🙏🙏🙏🙏
Barikiwa sana kaka yaani kila siku lazima nisikilize clips zako ,nikipata changamoto yoyote naingia huku mambo yangu yanakaa vizuri
Mngu akubaliki sana akuongeze cku zakuishi ,kwahili tutasongambele❤
Hakika!
Mungu na azidi kukutumia Kwa VIWANGO vya kwake❤
Hatujaja duniani, kuzurura, nimeipenda hiyo!
Broh Asante sana
Asante Sana mchungaji
Asante sana
Ubarikiwe brooo.kila nikiamka.lazima nitafute video yako.yyt niitizame ndio nianze siku yangu
Màisha mrefu kaka umebadirisha life langu God bless u
Ahsante kwa elimu hii kaka joeli
Exactly Broh
Tunashukuru saaana kwakuona namashahuri unayo tupa,Mungu akuongezeye Siku zakuhishi m'pendwa professa.🙏🙏🙏
Hongera kaka Joel Mungu akuhifadhi
Mungu akubariki sana kwa somo hilo.
Uko vizuri kaka Mungu akubariki zaidi
Mashalah