Namna gani unaweza kuongeza kasi ya kutimiza maono yako

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 11. 2020
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 285

  • @jichofoundationtv6893
    @jichofoundationtv6893 Před 3 lety +18

    Hii ni speech ya kimataifa kaka Joel Nanauka. Hii ni speech inayoamsha akili zote zilizolala. Hii ni speech ambayo ni ya kusikiliza kila siku ya maisha inaamsha hisia na shauku. Hakika umekuwa bora sana kati ya WATU ambao ni bora hapa nchini kuamsha watu na kuhamaska kuchukua hatua. Mungu akubariki sana sana. Ahsante. by JULIUS Michael

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657 Před měsícem +1

    Ahsante sana brother Joel Nanauka mungu akubariki sana

  • @highzacknnko4002
    @highzacknnko4002 Před 3 lety +4

    "Unainua imani yangu kila wakati brooh!!!! Come on brooh Joel!!! Lini utakuja arusha kwa ajili ya kongamano!!!!tunakungoja pia huku

  • @salhaoman5002
    @salhaoman5002 Před 3 lety +30

    Niliwahi kufeli mitihani ya secondary, nikawa narudia kuna baadhi ya ndugu waliniita kilaza😭💔, at the end nimepamba na nitapambana mpk sehemu iliyopiyiliza, na mpk sasa waliojiona wanaakili na waliojiona wanafaa ndio hao hao wanaonitumia text na kuniambia, wananiamini zaidi, hakika Mungu km alikuchagua uwe mkuu utakuwa tuu no matter what 😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @merryjohn9520
    @merryjohn9520 Před 2 lety +1

    Barikiwaa mnoo, hakika na imani Mimi ni mtu mkubwa sio mda mrefuu🔥🔥🔥kwa jina la YESU kristo 👏👏👏👏

  • @denissanga454
    @denissanga454 Před 3 lety +2

    ajionavo mtu nafsini mwake ndivo alivo,uwezi kushindwa kabla ujakubali kushindwa, nimeelewa vizuli shuklan kwa somo zuli Mr nanauka.

  • @official_rayob.8351
    @official_rayob.8351 Před 11 měsíci +3

    nimeiskiliza kwa hisia sana hii

  • @anastaziagerad1646
    @anastaziagerad1646 Před 3 lety +3

    Wawoo nilikuwepo iyo siku ,,,sikuwahi kuenda kwenye mkesha na nisinsinzie lkn kwa mara ya kwanza hii siku nilikesha na nilikuelewa kaka angu,,ubarikiwe sana

  • @deboramuhoja1777
    @deboramuhoja1777 Před rokem +1

    Dah!!! Hii Speech imenijenga tena na kunitoa machozi!!! Brother Joel Nanauka ninakufuatilia sana miaka mingi now!!! Speech zako zimenibadilishia maisha!!😢💪💪💪 Nilipata nguvu ya kuacha ajira 2019!!! bila kujua nini nitakwenda kufanya, Bt nilijifunza kutoka kwako na niliiamini nafsi yangu kile iliniambia kufanya, Now nimefikia hatua nzuri tu kibiashara💪💪💪 Mungu akutunze sana, na kukubarikia Kila uchao🙏🙏🙏

  • @marymgore6714
    @marymgore6714 Před 3 lety +1

    Aiseee, nimekupenda bure toka vilindi vya moyo wangu,I wish ungekuwa Kaka yangu,umenifurahisha,umenipa ujasiri,umeniondoa ujinga,zaidi umenipa tumaini jipya,nachoweza kusema Mungu azidi kukutunza

  • @masterkeymwakalanje536
    @masterkeymwakalanje536 Před 2 lety +1

    Sawaaaaaa pastor

  • @trillhappybeautypoint9874

    Kina kitu kimechoma moyoni kwa kusikiliza maneno yako bro nakupenda sana na unaniongezea ujasiri wa kusonga mbele

  • @fettymdoe2100
    @fettymdoe2100 Před 3 lety +3

    hpna hii inataka kuntoa machozi kabisa daaaahhhh mwenyeazi MUNGU akuweke Mr joel

  • @franknachimbinya7688
    @franknachimbinya7688 Před 3 lety +7

    Ingawa tunapita katika magumu, lakini mungu ametupa mlango Wa kutokea means NANAUKA

  • @BilalHassan-jj8yo
    @BilalHassan-jj8yo Před 2 měsíci

    Amiin ishalaa nakutakia mema molaa akuzidishie barika maisan mwako ishalaa

  • @felsonsanga8502
    @felsonsanga8502 Před 7 měsíci

    Mchungaji Mungu amekubadilisha kiasi kwamba namshangaa Mungu sana

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 Před 3 lety

    Amina, kweli kuna nguvu kubwa ya kukiri kwa kinywa na matendo,by Mithali 18:20-22.

  • @AishaOman-qz7tn
    @AishaOman-qz7tn Před 11 měsíci

    Mungu akuweke miaka 1000 kaka hakika umekuwa baraka sana kila ninavyo kusikiliza kuna kitu nachukua barikiw sana 🙏🙏🙏

  • @dazboy-sl7cm
    @dazboy-sl7cm Před 12 dny

    Nataka kuwa mtu mkubwa katika hii dunia hii nanauka mungu akubariki sana

  • @abdulrahmanis-hakka3347
    @abdulrahmanis-hakka3347 Před 3 lety +1

    Kaka Mungu amekufungulia kutuonesha njia tulio wengi sana. Kilichobàki ni kujisalimisha tu.

  • @user-os9nb8ub6k
    @user-os9nb8ub6k Před rokem

    Nimefulahi sana kwa maneno hayo na yameniingia kisawasawa lazima nibadilike sana kimaisha na namini sana ❤

  • @myahudichrisostom
    @myahudichrisostom Před rokem +2

    Najikuta sasa nataka kusikiliza kila unachozungumzia🙏🙏🙏,
    You are inspiring me into this field, hope you'll see me at the top where you are 💪

  • @MtazameKristoTv
    @MtazameKristoTv Před 2 měsíci

    Nakataa kuwa mtu wa chini ❤

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 Před 3 lety

    Mungu akuongezee maarifa, nitabadilisha mawazo mabaya, nakataaa kufeli

  • @polomondeniss5511
    @polomondeniss5511 Před 3 lety +2

    Ahsante Sana kwa elimu yako kiongozi, bwana akupe nguvu

  • @floraritha1454
    @floraritha1454 Před 3 lety +4

    Asante sana kaka Joel akika naona kuvuka kwa viwango vya juu sana kupitia mafundisho haya.

  • @nurdininanjota4056
    @nurdininanjota4056 Před rokem +1

    Nakupenda sana brother your the best 🇹🇿🙏.

  • @DiazPilipili
    @DiazPilipili Před 3 měsíci

    Mungu awabariki saaana na kukuzidishiya siku za kwishi

  • @DoctorEvarist
    @DoctorEvarist Před 8 měsíci

    Asante San kwa elimu yako father 🙏

  • @dainesimkombo9218
    @dainesimkombo9218 Před 3 lety +1

    Nakupenda sana maneno yako Kaka mungu ataniongoza siku zote za maisha yangu

  • @johansenjackson960
    @johansenjackson960 Před 3 lety +1

    Amen ubalikiwe sana

  • @VictorKamwera
    @VictorKamwera Před 3 měsíci

    Amina

  • @davidkengambi491
    @davidkengambi491 Před 3 lety +2

    Hii ni video ambayo imenijengea Kitu Kikubwa sana...na ninapenda Sana Kuisikiliza , Napenda Imani za hivi

  • @official_rayob.8351
    @official_rayob.8351 Před 11 měsíci +1

    upo makin sana kaka🎉

  • @mathiasjohn9979
    @mathiasjohn9979 Před 2 lety

    Kweli wewe ni kifaa cha Mungu,, najivunia Sana

  • @deogratiasmakali5099
    @deogratiasmakali5099 Před 2 lety

    Mafindisho Yako yanamibariki sana uwepo wako kwangu ni wamhim sana ahsante

  • @luluproches5107
    @luluproches5107 Před 3 lety

    Mungu kakupa kipawa Cha pekee Kaka umenitoa chin sana katika mafundisho yako mpaka hapa nilipo ni kwa kufwatilia CZcams tu Kaka naomba uandae semina ya kuja Arusha ili nasi tupate kubarikiwa zid🙏🙏🙏🙏

  • @uwimananadia6066
    @uwimananadia6066 Před 3 lety +2

    Ahsante Mungu kwa ujumbe mzuri kupitia mtumishi wako nahisi iyi video ni jibu tosha ya yalio ni sibu mda huu hakika Mungu husema nasi kwa njia nyingi hata huyu, ujumbe ni moja wapo barikia sana kaka Joel.

  • @work24onme
    @work24onme Před 6 měsíci

    Holy Spirit Amen 🙏🏼
    Asante sana mwalimu Joel, God Bless YOU, Amen 🙏🏼

  • @judithmwambe4767
    @judithmwambe4767 Před 3 lety

    Nakuelewa sana kaka Joel... kwa kweli leo nimepata amani hata nafsi yangu imeinuka na nimejiona mimi na ninajiweka ndani yako kaka Joel na kwa uweza wake Mungu nami nitakuwa.

  • @daudidaniel230
    @daudidaniel230 Před 2 lety

    Ahsante sana kwa fundisho hili.
    Limenitia nguvu sana na nitajibadilisha ninavyojiona.
    Akili yangu na maisha yangu vitakuwa na nilivyondani yangu.

  • @winfridaadam7951
    @winfridaadam7951 Před rokem

    Ameeeen barikiwaa sanaa Mtumishi wa Mungu 🙏🙏

  • @neemakweli461
    @neemakweli461 Před 2 lety

    Asante sana ,ubarikiwe mtumishi wa MUNGU.

  • @fiyzolee8503
    @fiyzolee8503 Před 3 lety +2

    Kaka joel

  • @sangasadick3350
    @sangasadick3350 Před 3 lety

    nmejifunza kumtanguliza #Mungu na kubadili nnavojiona

  • @andrewkszinza7047
    @andrewkszinza7047 Před 3 lety

    Wow am changing my mind to more postive....groly be to GOD

  • @ireneinnocent4128
    @ireneinnocent4128 Před rokem

    Hakika mimi ninmshindi na malengo yangu yatatimia. Asante sana na Mungu anisaidie. Hakika dunia ni watu na ukiwaangalia watu watakichanganya. Nabadilisha fikra sasa nasonga mbele

  • @jkyamba3200
    @jkyamba3200 Před 3 lety

    Nimebarikiwa na hili neno kwa kweli.. ubarikiwe na MUNGU

  • @RoseMandai
    @RoseMandai Před 3 měsíci

    Mungu aliyeumba mbingu na nchi aendelee kukutunza

  • @lauradeogratias3055
    @lauradeogratias3055 Před rokem +1

    I am glad for you man of God

  • @user-wh5co1oc4s
    @user-wh5co1oc4s Před 2 měsíci

    sema nn bro 👊👊👊

  • @user-ft2me7xz1z
    @user-ft2me7xz1z Před 5 měsíci

    Congratulations kaka yangu

  • @thelesiapaulo7790
    @thelesiapaulo7790 Před 3 lety +1

    Bwana akuongezee maarifa zaidii,Asnte sana wanoa vichwa vya wengi broo

  • @michaeltimoth366
    @michaeltimoth366 Před 2 lety

    Word....nabadilisha nnavyojiona

  • @lilymatoli7117
    @lilymatoli7117 Před 3 lety +6

    Joel your among best motive speakers I have seen

  • @winifridaleo4443
    @winifridaleo4443 Před 3 lety +1

    Mungu azidi kukuinua zaidi kaka nimebarikiwa sana

  • @aminaothman2136
    @aminaothman2136 Před 8 měsíci

    Shukran najikuta mie kabisa

  • @chotark1881
    @chotark1881 Před rokem

    huyu jamaa alistahili kuwa mchungaji mwema kabisa , hongera kaka nakukubali sana

  • @festoelias7884
    @festoelias7884 Před 3 lety

    Asante sana ubarikiwe na Mungu

  • @imanndambo2918
    @imanndambo2918 Před 3 lety +1

    Unanibariki sana kaka Joel.Mungu aendelee Kuku bariki

  • @barikikimaro9165
    @barikikimaro9165 Před 3 lety +1

    Kaka joel kwakweli MUNGU akubariki sana kwa mafundisho mazuri unayotupa

  • @lucyjuma8478
    @lucyjuma8478 Před 2 lety

    Ninasababu Ya Kusema Ahsanteeee Sana Broo Ubarikiwe Sanaaaa. Mwenyezi Mungu Akuinue

  • @irenekweka7905
    @irenekweka7905 Před rokem

    So blessed today to here ths..I needed ths

  • @breshnyanjwa3102
    @breshnyanjwa3102 Před 3 lety

    Oooh God I'm denying all the delays in my life I'm nt a failure

  • @mwajumayunus2041
    @mwajumayunus2041 Před 3 lety +1

    You make my day kaka Joel yaaaaaan umenipa ukomavu wa akili leo pamoja na ubongo wangu MUNGU azidi kukuweka kaka yangu ✍️✍️✍️✍️✍️✍️ kuanzia Leo kitu naenda kujinenea aiseeeee nitakataa roho ya uoga

  • @visionelectricals
    @visionelectricals Před 2 lety +1

    Thanks so much

  • @hellyfridy
    @hellyfridy Před 8 měsíci

    Be blessed. Amen🙏🙏

  • @hawamusumba431
    @hawamusumba431 Před 2 lety

    Am the Head nt atail in Jesus name na jitangazia ngambo ya pili

  • @neemaprisca7126
    @neemaprisca7126 Před 3 lety

    Asante sana presenter,unanitia moyo sana,hakika aonavyo MTU nafsini mwake ndivyo alivyo

  • @denismtui7833
    @denismtui7833 Před 3 lety +4

    Blessed Nanauka 🙏

  • @paschalinasulle6233
    @paschalinasulle6233 Před 3 lety

    Hakika kaka mungu akuinue zaidi ya unavyofikiri hapa nilipo speech yako inaniliza nalia kwa sababu nimependa mnoo hivyo tutaonana juu form to day am the best in this world

  • @emmanuelziro4205
    @emmanuelziro4205 Před 11 měsíci

    Blessed are the wise speakers,I love you brother,let my goal accomplished through your motivational speaking to me

  • @sadickchatila2130
    @sadickchatila2130 Před 3 lety

    Amina mtumishi neno LA Leo linaenda kubadilisha maisha yangu ubarikiwe sana

  • @elijahanthony7667
    @elijahanthony7667 Před 2 lety

    Wow the God of mercy is working

  • @barakaephraimu7503
    @barakaephraimu7503 Před rokem

    Ubarikiwe sana Joel ww n Lulu ya Tanzania najifunza mengi juu yako

  • @user-pi1st6pj3w
    @user-pi1st6pj3w Před 12 dny

    Thanks Mr Joel

  • @joelparmwat6029
    @joelparmwat6029 Před 5 měsíci

    Amen god bless you 🙏🙏

  • @makandaigarobi4765
    @makandaigarobi4765 Před rokem +1

    Asante

  • @tinawangwe2332
    @tinawangwe2332 Před 3 lety +1

    Ubarikiwe sana mtumish wa Mungu

  • @abdullahbarwani8306
    @abdullahbarwani8306 Před 3 lety +1

    Kazi nzuri sana kaka asante

  • @YohanaMvungi-zm6gh
    @YohanaMvungi-zm6gh Před rokem

    Unjua sana kaka

  • @richardmisogalya9499
    @richardmisogalya9499 Před 3 lety

    Barikiwa uwe na maisha marefu

  • @rozimwasi6137
    @rozimwasi6137 Před 3 lety

    Asante sana kaka joeli na mungu azidi kukubarik na ulioyasema yaendelee kukaa ndani ya moyo ili niendele kuwa na miutisha katika kutimiza ndoto zangu

  • @lucymathias9045
    @lucymathias9045 Před rokem

    Powerful speech🙏joelnanauka

  • @johariphilemon8630
    @johariphilemon8630 Před 3 lety

    j mungu akuinue zaidi namimi niko nyuma yako

  • @gaudencemagwaja6195
    @gaudencemagwaja6195 Před 3 lety

    Braza I real admire u, kongore

  • @anishiemgala8203
    @anishiemgala8203 Před 2 lety

    Ubarikiwe Sana,Nimejifunza kitu🙏

  • @zainabozainaty6188
    @zainabozainaty6188 Před 3 lety

    Ukweli kabisa asanteni endelea kutupa elimu ili tufikie malengo yetu mungu akubariki sana🙏🙏🙏

  • @ednaednamillanzinia2826
    @ednaednamillanzinia2826 Před rokem +3

    Inspiration, aleluyah

  • @amakamraqterry5920
    @amakamraqterry5920 Před 2 lety

    Amen mtumishi thanks

  • @eliezermtokoma4134
    @eliezermtokoma4134 Před 3 lety +2

    MUNGU akutunze saana

  • @bobog9732
    @bobog9732 Před 3 lety

    💋❤👏👏 Mungu akupe maisha marefu

  • @priscajoseph261
    @priscajoseph261 Před rokem

    Nitafaulu,sitaaibika,mi ni mshindi na mwenye nguvu

  • @gastomasawe9176
    @gastomasawe9176 Před 2 lety

    Jamaa upo vizuri Sana aisee Kwa mafunzo

  • @fedharmmark6398
    @fedharmmark6398 Před 3 lety

    Ubarikiwe xana Mkuu

  • @user-sn2in5oi9c
    @user-sn2in5oi9c Před 11 měsíci

    Asante postor

  • @kenyantotoz4244
    @kenyantotoz4244 Před 3 lety +1

    Sauti peke yake ni Baraka kwako,,, congratulations bro

  • @allyshabani7791
    @allyshabani7791 Před 3 lety +1

    Asante sana brother

  • @getrudeelibariki1002
    @getrudeelibariki1002 Před 3 lety

    Asante sana kaka Joel...MUNGU akubariki🙌

  • @pialafrance7922
    @pialafrance7922 Před rokem

    😢😢😢😢Barikiwa sana mpendwa hakika nmejifunza mno😢