Hii ni speech ya kimataifa kaka Joel Nanauka. Hii ni speech inayoamsha akili zote zilizolala. Hii ni speech ambayo ni ya kusikiliza kila siku ya maisha inaamsha hisia na shauku. Hakika umekuwa bora sana kati ya WATU ambao ni bora hapa nchini kuamsha watu na kuhamaska kuchukua hatua. Mungu akubariki sana sana. Ahsante. by JULIUS Michael
Niliwahi kufeli mitihani ya secondary, nikawa narudia kuna baadhi ya ndugu waliniita kilaza😭💔, at the end nimepamba na nitapambana mpk sehemu iliyopiyiliza, na mpk sasa waliojiona wanaakili na waliojiona wanafaa ndio hao hao wanaonitumia text na kuniambia, wananiamini zaidi, hakika Mungu km alikuchagua uwe mkuu utakuwa tuu no matter what 😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Wawoo nilikuwepo iyo siku ,,,sikuwahi kuenda kwenye mkesha na nisinsinzie lkn kwa mara ya kwanza hii siku nilikesha na nilikuelewa kaka angu,,ubarikiwe sana
Dah!!! Hii Speech imenijenga tena na kunitoa machozi!!! Brother Joel Nanauka ninakufuatilia sana miaka mingi now!!! Speech zako zimenibadilishia maisha!!😢💪💪💪 Nilipata nguvu ya kuacha ajira 2019!!! bila kujua nini nitakwenda kufanya, Bt nilijifunza kutoka kwako na niliiamini nafsi yangu kile iliniambia kufanya, Now nimefikia hatua nzuri tu kibiashara💪💪💪 Mungu akutunze sana, na kukubarikia Kila uchao🙏🙏🙏
Mungu kakupa kipawa Cha pekee Kaka umenitoa chin sana katika mafundisho yako mpaka hapa nilipo ni kwa kufwatilia CZcams tu Kaka naomba uandae semina ya kuja Arusha ili nasi tupate kubarikiwa zid🙏🙏🙏🙏
Ahsante Mungu kwa ujumbe mzuri kupitia mtumishi wako nahisi iyi video ni jibu tosha ya yalio ni sibu mda huu hakika Mungu husema nasi kwa njia nyingi hata huyu, ujumbe ni moja wapo barikia sana kaka Joel.
Nakuelewa sana kaka Joel... kwa kweli leo nimepata amani hata nafsi yangu imeinuka na nimejiona mimi na ninajiweka ndani yako kaka Joel na kwa uweza wake Mungu nami nitakuwa.
Hakika mimi ninmshindi na malengo yangu yatatimia. Asante sana na Mungu anisaidie. Hakika dunia ni watu na ukiwaangalia watu watakichanganya. Nabadilisha fikra sasa nasonga mbele
You make my day kaka Joel yaaaaaan umenipa ukomavu wa akili leo pamoja na ubongo wangu MUNGU azidi kukuweka kaka yangu ✍️✍️✍️✍️✍️✍️ kuanzia Leo kitu naenda kujinenea aiseeeee nitakataa roho ya uoga
Hakika kaka mungu akuinue zaidi ya unavyofikiri hapa nilipo speech yako inaniliza nalia kwa sababu nimependa mnoo hivyo tutaonana juu form to day am the best in this world
Hii ni speech ya kimataifa kaka Joel Nanauka. Hii ni speech inayoamsha akili zote zilizolala. Hii ni speech ambayo ni ya kusikiliza kila siku ya maisha inaamsha hisia na shauku. Hakika umekuwa bora sana kati ya WATU ambao ni bora hapa nchini kuamsha watu na kuhamaska kuchukua hatua. Mungu akubariki sana sana. Ahsante. by JULIUS Michael
Ahsante sana brother Joel Nanauka mungu akubariki sana
"Unainua imani yangu kila wakati brooh!!!! Come on brooh Joel!!! Lini utakuja arusha kwa ajili ya kongamano!!!!tunakungoja pia huku
Niliwahi kufeli mitihani ya secondary, nikawa narudia kuna baadhi ya ndugu waliniita kilaza😭💔, at the end nimepamba na nitapambana mpk sehemu iliyopiyiliza, na mpk sasa waliojiona wanaakili na waliojiona wanafaa ndio hao hao wanaonitumia text na kuniambia, wananiamini zaidi, hakika Mungu km alikuchagua uwe mkuu utakuwa tuu no matter what 😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Naomba unicheki
Kuna kitu umeongea kimenigusa
A111
Hongera Sana!!!
Hii comment imenitoa machozi , maana nimekumbuka mbali sana
Barikiwaa mnoo, hakika na imani Mimi ni mtu mkubwa sio mda mrefuu🔥🔥🔥kwa jina la YESU kristo 👏👏👏👏
ajionavo mtu nafsini mwake ndivo alivo,uwezi kushindwa kabla ujakubali kushindwa, nimeelewa vizuli shuklan kwa somo zuli Mr nanauka.
nimeiskiliza kwa hisia sana hii
Wawoo nilikuwepo iyo siku ,,,sikuwahi kuenda kwenye mkesha na nisinsinzie lkn kwa mara ya kwanza hii siku nilikesha na nilikuelewa kaka angu,,ubarikiwe sana
Dah!!! Hii Speech imenijenga tena na kunitoa machozi!!! Brother Joel Nanauka ninakufuatilia sana miaka mingi now!!! Speech zako zimenibadilishia maisha!!😢💪💪💪 Nilipata nguvu ya kuacha ajira 2019!!! bila kujua nini nitakwenda kufanya, Bt nilijifunza kutoka kwako na niliiamini nafsi yangu kile iliniambia kufanya, Now nimefikia hatua nzuri tu kibiashara💪💪💪 Mungu akutunze sana, na kukubarikia Kila uchao🙏🙏🙏
Aiseee, nimekupenda bure toka vilindi vya moyo wangu,I wish ungekuwa Kaka yangu,umenifurahisha,umenipa ujasiri,umeniondoa ujinga,zaidi umenipa tumaini jipya,nachoweza kusema Mungu azidi kukutunza
Amen Amen Amen 🙏
Sawaaaaaa pastor
Kina kitu kimechoma moyoni kwa kusikiliza maneno yako bro nakupenda sana na unaniongezea ujasiri wa kusonga mbele
hpna hii inataka kuntoa machozi kabisa daaaahhhh mwenyeazi MUNGU akuweke Mr joel
Amen,Songa mbele
Ingawa tunapita katika magumu, lakini mungu ametupa mlango Wa kutokea means NANAUKA
Amiin ishalaa nakutakia mema molaa akuzidishie barika maisan mwako ishalaa
Mchungaji Mungu amekubadilisha kiasi kwamba namshangaa Mungu sana
Amina, kweli kuna nguvu kubwa ya kukiri kwa kinywa na matendo,by Mithali 18:20-22.
Mungu akuweke miaka 1000 kaka hakika umekuwa baraka sana kila ninavyo kusikiliza kuna kitu nachukua barikiw sana 🙏🙏🙏
Nataka kuwa mtu mkubwa katika hii dunia hii nanauka mungu akubariki sana
Kaka Mungu amekufungulia kutuonesha njia tulio wengi sana. Kilichobàki ni kujisalimisha tu.
Nimefulahi sana kwa maneno hayo na yameniingia kisawasawa lazima nibadilike sana kimaisha na namini sana ❤
Najikuta sasa nataka kusikiliza kila unachozungumzia🙏🙏🙏,
You are inspiring me into this field, hope you'll see me at the top where you are 💪
Nakataa kuwa mtu wa chini ❤
Mungu akuongezee maarifa, nitabadilisha mawazo mabaya, nakataaa kufeli
Ahsante Sana kwa elimu yako kiongozi, bwana akupe nguvu
Asante sana kaka Joel akika naona kuvuka kwa viwango vya juu sana kupitia mafundisho haya.
Stand room
Nakupenda sana brother your the best 🇹🇿🙏.
Mungu awabariki saaana na kukuzidishiya siku za kwishi
Asante San kwa elimu yako father 🙏
Nakupenda sana maneno yako Kaka mungu ataniongoza siku zote za maisha yangu
Amen ubalikiwe sana
Amina
Hii ni video ambayo imenijengea Kitu Kikubwa sana...na ninapenda Sana Kuisikiliza , Napenda Imani za hivi
Nashukuru Sana🙏
upo makin sana kaka🎉
Kweli wewe ni kifaa cha Mungu,, najivunia Sana
Mafindisho Yako yanamibariki sana uwepo wako kwangu ni wamhim sana ahsante
Mungu kakupa kipawa Cha pekee Kaka umenitoa chin sana katika mafundisho yako mpaka hapa nilipo ni kwa kufwatilia CZcams tu Kaka naomba uandae semina ya kuja Arusha ili nasi tupate kubarikiwa zid🙏🙏🙏🙏
Ahsante Mungu kwa ujumbe mzuri kupitia mtumishi wako nahisi iyi video ni jibu tosha ya yalio ni sibu mda huu hakika Mungu husema nasi kwa njia nyingi hata huyu, ujumbe ni moja wapo barikia sana kaka Joel.
Ameen,Utukufu kwa Mungu
Nanauka uko bize Sana kuihidumua jamii mungu akubariki
Holy Spirit Amen 🙏🏼
Asante sana mwalimu Joel, God Bless YOU, Amen 🙏🏼
Nakuelewa sana kaka Joel... kwa kweli leo nimepata amani hata nafsi yangu imeinuka na nimejiona mimi na ninajiweka ndani yako kaka Joel na kwa uweza wake Mungu nami nitakuwa.
Ahsante sana kwa fundisho hili.
Limenitia nguvu sana na nitajibadilisha ninavyojiona.
Akili yangu na maisha yangu vitakuwa na nilivyondani yangu.
Ameeeen barikiwaa sanaa Mtumishi wa Mungu 🙏🙏
Asante sana ,ubarikiwe mtumishi wa MUNGU.
Kaka joel
nmejifunza kumtanguliza #Mungu na kubadili nnavojiona
Wow am changing my mind to more postive....groly be to GOD
Hakika mimi ninmshindi na malengo yangu yatatimia. Asante sana na Mungu anisaidie. Hakika dunia ni watu na ukiwaangalia watu watakichanganya. Nabadilisha fikra sasa nasonga mbele
Na ww umefatilia hiki kipind leo km mm hakika tutafanikiwa
Nimebarikiwa na hili neno kwa kweli.. ubarikiwe na MUNGU
Mungu aliyeumba mbingu na nchi aendelee kukutunza
I am glad for you man of God
sema nn bro 👊👊👊
Congratulations kaka yangu
Bwana akuongezee maarifa zaidii,Asnte sana wanoa vichwa vya wengi broo
Word....nabadilisha nnavyojiona
Joel your among best motive speakers I have seen
Help me your nomber plz..
Mungu azidi kukuinua zaidi kaka nimebarikiwa sana
Shukran najikuta mie kabisa
huyu jamaa alistahili kuwa mchungaji mwema kabisa , hongera kaka nakukubali sana
Asante sana ubarikiwe na Mungu
Unanibariki sana kaka Joel.Mungu aendelee Kuku bariki
Kaka joel kwakweli MUNGU akubariki sana kwa mafundisho mazuri unayotupa
Ameen Bariki
Ninasababu Ya Kusema Ahsanteeee Sana Broo Ubarikiwe Sanaaaa. Mwenyezi Mungu Akuinue
So blessed today to here ths..I needed ths
Oooh God I'm denying all the delays in my life I'm nt a failure
You make my day kaka Joel yaaaaaan umenipa ukomavu wa akili leo pamoja na ubongo wangu MUNGU azidi kukuweka kaka yangu ✍️✍️✍️✍️✍️✍️ kuanzia Leo kitu naenda kujinenea aiseeeee nitakataa roho ya uoga
Thanks so much
Be blessed. Amen🙏🙏
Am the Head nt atail in Jesus name na jitangazia ngambo ya pili
Asante sana presenter,unanitia moyo sana,hakika aonavyo MTU nafsini mwake ndivyo alivyo
Blessed Nanauka 🙏
Hakika kaka mungu akuinue zaidi ya unavyofikiri hapa nilipo speech yako inaniliza nalia kwa sababu nimependa mnoo hivyo tutaonana juu form to day am the best in this world
Blessed are the wise speakers,I love you brother,let my goal accomplished through your motivational speaking to me
Amina mtumishi neno LA Leo linaenda kubadilisha maisha yangu ubarikiwe sana
Nitapata vip hiki kitabu
Wow the God of mercy is working
Ubarikiwe sana Joel ww n Lulu ya Tanzania najifunza mengi juu yako
Thanks Mr Joel
Amen god bless you 🙏🙏
Asante
Ubarikiwe sana mtumish wa Mungu
Ameen,🙏
Kazi nzuri sana kaka asante
Unjua sana kaka
Barikiwa uwe na maisha marefu
Asante sana kaka joeli na mungu azidi kukubarik na ulioyasema yaendelee kukaa ndani ya moyo ili niendele kuwa na miutisha katika kutimiza ndoto zangu
Powerful speech🙏joelnanauka
j mungu akuinue zaidi namimi niko nyuma yako
Braza I real admire u, kongore
Ubarikiwe Sana,Nimejifunza kitu🙏
Ukweli kabisa asanteni endelea kutupa elimu ili tufikie malengo yetu mungu akubariki sana🙏🙏🙏
Inspiration, aleluyah
Still learning be blessed brother @kenya
Amen mtumishi thanks
MUNGU akutunze saana
Ameen
💋❤👏👏 Mungu akupe maisha marefu
Nitafaulu,sitaaibika,mi ni mshindi na mwenye nguvu
Jamaa upo vizuri Sana aisee Kwa mafunzo
Ubarikiwe xana Mkuu
Asante postor
Sauti peke yake ni Baraka kwako,,, congratulations bro
Asante sana brother
Asante sana kaka Joel...MUNGU akubariki🙌
😢😢😢😢Barikiwa sana mpendwa hakika nmejifunza mno😢