Msomi mkubwa namna hii anaamini Yesu na anaongea mambo kwa upeo mkubwa, Mungu wangu niondolee huu moyo wa jiwe, nipe kukuamini wewe na kufuata mapenzi yako Amen!
Joel Nanauka wew ni zaidi ya Pastor, Kwa Hakika Leo ninatoka katika kila aina ya utumwa kwa haya mahubiri na mafundisho Yako kupitia DAMU YA YESU,Ubarikiwe sana, Leo kwa mara ya kwanza ninacomment
Hallelujah yani n madini madini madini ❤❤ooh Yesu mwema awatunze n kwel tunaiundermine damu ya Yesu ,Mungu atusamehe sana.Mungu awatunze pst Nanauka na Dr Ipyana
Hii DAMU ya YESU ni halisi jamani nimeongeza kitu coz nimetumia sana hii damu nimepata utajiri kwa muda mfupi sana adi watu wanaiita freemaso ila ni DAMU sasa naitumia niweze kuolewa 🎉
Nimesikiliza, nilikuwa napita pagumu mno, nikafanyia kazi Damu ya Yesu nimevuka kwa kishindo na kuanzia niliposikia sitamani kuacha kuomba kupitia damu ya Yesu na nategemea mambo makubwa mna
MUNGU awabariki watumishi wa MUNGU kwa kutufunulia maandiko yenye kutujenga kwa viwango vya juu kabisa.... Asanteni, Again MUNGU awabariki sana, musichoke kutuhubiria .... #DAMU YA YESU..... #BabaParoko .... God is alive, God is super
Amen, Asante Yesu kwaajili ya watumishi wako hawa, kaka Joel nilikuwa nakufahamu upande mmoja tu, upande huu wa kiroho nilikuwa sijakujua kaka upo vizuri, huo upako najingamanisha nao kwa jina la Yesu na Damu ya Yesu Kristo. Waooo ❤
Praise the Almighty GOD, this is powerful lesson we need to understand,to live within , to dominate and to be champions over everything. BLESSED THE JESUS CHRIST. 🙏
Msomi mkubwa namna hii anaamini Yesu na anaongea mambo kwa upeo mkubwa, Mungu wangu niondolee huu moyo wa jiwe, nipe kukuamini wewe na kufuata mapenzi yako Amen!
asante sana brother kwa neno la uzima
Bado Mungu ana vijana anaojivunia kama kina Yusufu.I love Joel Arthur Nanauka and Dr.Ipyana! Mmebarikiwa ❤
Wow this is more than powerful 🙏🏼🙏🏼Damu ya yesu itunenee mema 🙏🏼🙏🏼
Sijawahi comment maisha yangu yote ila leo wacha ni comment ❤❤
Joel Nanauka wew ni zaidi ya Pastor, Kwa Hakika Leo ninatoka katika kila aina ya utumwa kwa haya mahubiri na mafundisho Yako kupitia DAMU YA YESU,Ubarikiwe sana, Leo kwa mara ya kwanza ninacomment
Huu ni ufunuo wathamani saana tuu!!❤
Hallelujah yani n madini madini madini ❤❤ooh Yesu mwema awatunze n kwel tunaiundermine damu ya Yesu ,Mungu atusamehe sana.Mungu awatunze pst Nanauka na Dr Ipyana
Leo nime elewa maana ya Damu ya yesu kristo Mungu aku bariki sana mpendwa 🎉🎉🎉🎉🇨🇩
Sauti hatusikii chochote. From Kenya
Yesu ni mzuri mno
Ubarikiwe sana mtumishi
Glory to God. This revelation is so powerful. Thank you Dr. Ipyana & Joel Nanauka!
Amen, Glory to God ... Mungu awabariki sana Dr na Joel
Amen Damu ya yesu inene mema kwa maisha yangu ktk ji na la yesu
Amen joel nanauka vs dk ipyana
Glory to God, ni wakati wetu wa kutawala ulimwengu kupitia Damu ya Yesu
Damu ya Yesu, inakupa provision
Damu ya Yesu inene mema juu ya maisha yangu.Napokea jina jipya katika jina la Yesu. Ameen
Hii DAMU ya YESU ni halisi jamani nimeongeza kitu coz nimetumia sana hii damu nimepata utajiri kwa muda mfupi sana adi watu wanaiita freemaso ila ni DAMU sasa naitumia niweze kuolewa 🎉
Am here
😂
😂Amina
Nipo Hapa
Mbona bado sijaanza kutumia damu sio wewe@@user-kt9qg1mo6l
Hallelujah 🙌 🙌🙌🙌🙌
Mmmmh so powerful,thank you for this
Nimebarikiwa sana na ujumbe huu kutoka kwa mwl na pastor joel
Ubariwe munooooo
Amen and amen
Ameeen Ameen Ameen
I am blessed
Mhh powerful powerful wow what a revelation man of God ufunuo 5:12
Joel & doctor mbarikiwe Yesu amewaleta vijana wenywe hakili ya kiungu wenywe Roho wa Mungu ndani Yao ohhh nimeunuliwa Sana
Nimesikiliza, nilikuwa napita pagumu mno, nikafanyia kazi Damu ya Yesu nimevuka kwa kishindo na kuanzia niliposikia sitamani kuacha kuomba kupitia damu ya Yesu na nategemea mambo makubwa mna
Duuuuu huyu mchungaji ni moto mwingne aiseee YESU akutunze mchungaji na Dr.pia mbarikiwe na YESU🙏🙏❤❤
Nimebarikiwa mno mno Asante sana Pastor nimepokea
Asante sana kwa mafundisho yako imefanya ni amke kiroho more grace
MUNGU awabariki watumishi wa MUNGU kwa kutufunulia maandiko yenye kutujenga kwa viwango vya juu kabisa.... Asanteni, Again MUNGU awabariki sana, musichoke kutuhubiria .... #DAMU YA YESU..... #BabaParoko .... God is alive, God is super
Oh the blood of Jesus come through for me and my family.
God bless you, servants of God
damu y yesu inene mema kwenye maisha yangu katika jina la yesu kristo Amen
Aiseeeeeee, Asante Mungu, Damu ya Yesu imeniponya…
Nimebarikiwa sana Mungu awabariki sana Watumishi wa Bwana
Nilimsikiliza vizuri kabsa Pastor Joel,hakika MUNGU atanipa umiliki wa viwanja majumba magari 🙌💪.
Unapokea Kwa DAMU YA YESU
Amen mubarikiwe sanaa watumishi
This is another level kweli Mungu ana watu wake mbarikiwe sana
My God My Lord, Nanauka umenifunza mambo ya ajabu mno.
Amen ❤❤❤
Joel ww n genius
Oooh God this is powerful , hallelujah . Praise the living God
Vizuri tunafurahia uwepo wako kaka Joel
Mungu ni mwema nitafanyia kazi kuanzia leo
Amen Ubarikiwe, Sana Mungu ni Mwema Sana.
I am loving this!
Daaaaah huu ufunuo jaman umenipa ufaham mwngne Mungu awabark sana watumish
Halleluya
Jina langu halitanuka Bali litanukia na kung'aa kwa damu ya Yesu
Ni kweli kabisa Damu ya Yesu inanguvu Sana
Kipindi bora kabisa. Watanzania tumebarikiwa.
Mungu awabàriki Santa nimejifunza kitu
Duh hivi vitu ndivyo tunavitaka kwenye kizazi chetu
My God my God,😢 i received it ❤️🎉
Hallelujah 😢😢uwi
Yaan hapa shetani kafilisika Moja kwa Moja
Mungu awatunze
Muda ulikua mchache, Dr naomba umelete tena nanauka, ajamalizia pale ambapo Damu inakua inagusa, kasema Ardhi, Anga, bado kimoja, please aje 🙏🙏
Godbless pastor joel Nanauka
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu Ipyana ..........
Tusaidie kumuita mwalimu Mgisa Mtebe .......anaujumbe wa kiMungu juu yetu vijana
Damu ya Yesu ni halisi na kweli,Amen and Amen,Mungu awabariki sana,ninapokea🙏
Hii ni Injili halisi yenye kupenya
Damu yaYesu initakase kila history yangu yote mbaya. Damu ya Yesu inene mema kwenye maisha yangu
Damu ya yesu inene mema juu ya masomo yangu na maisha yangu Kwa ujmla🙏🙏🙏🙏
This is so deep.Thanks and God bless.
Amen watumishi mbarikiwe sana, damu ya Yesu iendelee kunena mema
Amina MUNGU awainue wengi kama wewe dunia itambue damu ya YESU inanguvu kuliko kitu chochote dunia barikiwa sana.
Oh my God I've learnt alot....😢
Jaman mnafanyia wapi hiki kipindi nihudhurie
Amen, Asante Yesu kwaajili ya watumishi wako hawa, kaka Joel nilikuwa nakufahamu upande mmoja tu, upande huu wa kiroho nilikuwa sijakujua kaka upo vizuri, huo upako najingamanisha nao kwa jina la Yesu na Damu ya Yesu Kristo. Waooo ❤
Namuinua Yesu sijaona mtu akipinga....Damu ya Yesu oooh ni zaidi ya ya tunavyoelewa wala tunavyoweka kuelezea,Mungu akubariki Joel
Huyu ndugu Joel amepewa upeo wa ajabu sana
Praise the Almighty GOD, this is powerful lesson we need to understand,to live within , to dominate and to be champions over everything.
BLESSED THE JESUS CHRIST. 🙏
You people are smart and annointed!
Two giants, appreciate you two
🥲🥲 nimefrahi sana jamani MUNGU awabaliki sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ila uyu jamaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mithali 8:12 ❤️
More bless sana Watumishi WA MUNGU KAZI yenu ni nzuri sana
Tunaitaji hii serious iendelee dr
Nimebarikiwa sana,Mungu azidi kuwatunzaaa
Hakika Mungu ni mkuu
Huu ni ufunuo wa kiungu
damu ya Yesu ! damu Yesu ! damu Yesu !
NGOJA NAKAE NA MUNGU VIZURI MM KUSUDI NIPATA KUITUMIA DAMU YA YESU VIZURI MAANA ZAMBI INATUKOSESA KUMILIKI DAMU YA YESU
Mungu azidi kukubariki
Nimejifunza mengi Jesus
Nimebarikiwa na hili somo kabisq
A blessing,
ubarikiwe sana amen
The real enlightened.
Doctor ubalikiwe sana
Nimejifunza kitu kikubwa sana leo
Ooh my God😢😢
Kwani hii anafanyaga wap Dr Ipyana maana naitaman kweli 😢
Ubarikiwe Joel nanauka
Ameeen Ameeen , Yesu Nakupendaa.
Ninawashukulu saana kwamufunzo munao tufunza
Barikiweni sana ninyi watu🤝🤝
Mambo kama haya mambo nipendayo mm