Hii ni kweli kaka, kitu kama hujakikamilisha huwez kukisahau kamwe muda wote utakikumbka, kama mm hapa kuna kitu nakiwaza mda wote sababu sijakikamilisha Asante kwa SoMo zuriâ€ïžđȘđȘ
Ubarikiwe sana mkuu kwa kuendelea kuiishi ndoto yako...Nakushauri unayesoma comment hii baada ya clip hii search clip yake tittle aliipa "Nguvu Iliyoko Katika Maono" hautajutia muda wako
Nilitumia week mbili na sehemu nahangaika kumbembeleza mtu anikopeshe bila mafanikio, nilivoskiliza hapa TU nikajua maisha yangu yananihusu mmi kuyangaikia,, Leo hii nakwambia nachoma chapati na watu wametoa mwitikio naingiza kipatođ„đ„đ„đ„
Kuna kitu kikubwa sana nimejifunza, hasa kupitia athari za kukosa furaha, husabibisha kushuka kwa kinga ya mwili, pale unaposhambuliwa na mgonjwa ya ajabu, na pengine unaweza kwenda hospitali kila mara kupima na kujikuta huna ugonjwa wowote wakati wewe unajisikia hoi. MATOKEO YAKE PIA HUWAZA TOFAUTI, AIDHA UMEROGWA AU IMANI ZINGINE TOFAUTI, PIA UWEZO WA KUJIAMINI HUPUNGUA. Ahsante sana Nanauka coach wangu ,napenda sana maomo yako na nafatilia sana. Nataka niwe mwanafunzi wako katika ile coaching programme, naomba utaratibu wa kujiunga.
Barikiwa Sana Joel kwa kazi nzuri naona mabadiliko makubwaaaa mnoo katika maisha yangu Japo Kuna sehemu kidogo ambayo bado unanisumbua cjapata muafaka wa wapi nianzie
Safi sana brother Joel, nimefurahi sana kusikia mafundisho yako. Mungu akubariki sana kwa kazi nzuri. Naamini umeokoa roho za watu wengi kwa hiki unachokifanya. Da! Be blessed bro
Asante sana brother joer una2fundisha mambo ya msingi na yenye ku2jenga maishan. Mungu akupe umri mlefu. Ili 2endelee kunufaika na mafundisho yako mazuli. Mimi Niko. Dar. Naitaji vitabu vyako je? Nitavipaje na nitavipata wapi?? Naomba unipe maerekezo jinsi ya kupata vitabu ntashukulu ssna bro joer.
umekuwa Furaha sana Na naamini Kupitia mafundisho yako Nitafanikiwa Zaidi#Joel Nanauka love You so much Brother..Naomba Mwongozo Naitaj kunzisha Biashara
Asante sana Nanauka kupitia wew leo maisha yangu yapo mazuri ndani ya ufaransa na kila siku nakusikiliza wew kabla ya kutoka kwenye miangaiko.. Hakuna mtu wa kunichezea akili yangu
Hii ni kweli kaka, kitu kama hujakikamilisha huwez kukisahau kamwe muda wote utakikumbka, kama mm hapa kuna kitu nakiwaza mda wote sababu sijakikamilisha Asante kwa SoMo zuriâ€ïžđȘđȘ
Like za kutosha kama unamkubali huyu jamaa
My best Mentor of all the time JOEL may god bless you Bro #SeeYouatTheTop đđ
Mentor #Joel thank you for your mentorship,, I am going to practice and live by doing this.
Ubarikiwe sana mkuu kwa kuendelea kuiishi ndoto yako...Nakushauri unayesoma comment hii baada ya clip hii search clip yake tittle aliipa "Nguvu Iliyoko Katika Maono" hautajutia muda wako
Ur my hero bro,kilasiku unaongelea maishayangu nashukuru mungu kukuweka ili unitibu mm.mungu akubariki na akuzidishie
Yet another great educational talk. Big up Joel -:)))
Powerful speech , thank you bro .
Thanks I learn something from you brother.
Brother ur a teach of life.
thanks u so much my brother nmejifunza mengi sana kupitia wewe mungu akubark sana
My mentor paster God bless you
Nilitumia week mbili na sehemu nahangaika kumbembeleza mtu anikopeshe bila mafanikio, nilivoskiliza hapa TU nikajua maisha yangu yananihusu mmi kuyangaikia,, Leo hii nakwambia nachoma chapati na watu wametoa mwitikio naingiza kipatođ„đ„đ„đ„
Nakubali xana
Nimejifunza sana
Tunajifunza Sana bro!!
Watching it again and again be blessed brother joel @kenya
Thanks so much brother, nimejifunza kitu kipya leo!
Leo umeniponya magonjwa yoteee. Nilikuwa sijui hii chanel thanks bro.
U really talk truthful in all God bless u
Kaka wewe ni wa muhimu sana alooo your the best
The concept is very helpful.. thank you brother you have awaken my mind
Very educative . Excellent
Wow naskiziza 2020...nimependa Sana kutoka kenya
Big up broo, tns for tell us on how we can time time before time time us more tns
Huo ndo ukweli wa maisha.Asante sana.'Furaha ni mtu na mazingira yake.
Thanks my mentor be blessed
Kuna kitu kikubwa sana nimejifunza, hasa kupitia athari za kukosa furaha, husabibisha kushuka kwa kinga ya mwili, pale unaposhambuliwa na mgonjwa ya ajabu, na pengine unaweza kwenda hospitali kila mara kupima na kujikuta huna ugonjwa wowote wakati wewe unajisikia hoi. MATOKEO YAKE PIA HUWAZA TOFAUTI, AIDHA UMEROGWA AU IMANI ZINGINE TOFAUTI, PIA UWEZO WA KUJIAMINI HUPUNGUA. Ahsante sana Nanauka coach wangu ,napenda sana maomo yako na nafatilia sana. Nataka niwe mwanafunzi wako katika ile coaching programme, naomba utaratibu wa kujiunga.
safi xana brother coz unatufundisha mambo mengi sana,
Shukrani kwa mafundisho mazuri yenye faida maishani
point taken brother we will be together at the top
Asante sana kk umenielimisha sana Mungu azidi kukubarik
Elimu nzuri, big up Mr.
Asante sana kaka mungu akubariki your the super hero
Asante sana bro Unatusaidia sana katka mambo mbalimbali
ur absolutely perfect
Asante sana kwa mafundisho mazuri ya maamuzi kwa sehemu kuu tatu za maamuzi nimepati kitu kikubwa sana
Asante kaka, mungu akubariki sana, naamini nimejifunza kitu kutoka kwako
Ukweli katika maisha yangu yamekuwa ya kubahatisha yani sizingatii wajibu wangu ahsante sana
Golden hour....I will work on this one
Uko vzuri Mr Joel Nanauka nice talk
Mungu wetu azidi kukutunza zaidi maana toka nilipoanza kukusikiliza nimekua mtu wa tofauti sana yaani mpaka najishangaa mwenyeye
Barikiwa Sana Joel kwa kazi nzuri naona mabadiliko makubwaaaa mnoo katika maisha yangu
Japo Kuna sehemu kidogo ambayo bado unanisumbua cjapata muafaka wa wapi nianzie
Barikiwa kwa elimu nzuri
Asante sana Joel umenifunza mengi mungu akusaidie
Shukran brother
Very helpful
Ubarikiwe sana kwa mafundisho haya mazuri
Asante kaka kwa Elimu hii..
Asante kwa ushauri wake mzur
Nakuaminia bro Sana kaz nzuri
Nmefurahia mafunzo yako kuna mengi najua sasa naomba mungu azidi kukupea iyo hekima let God use you to heal broken hearts
nakuelewa sana, mentor wangu
Professional always we love you
Huyu mwamba ruge mtupu kasoro jina tu đ€đ€đ€đ€ nakubali kaka madini yako yana penya ubongon kwangu
Powerful speech bro
nashukuru bro kwa masomo yako hakika mungu hatakulipa
Ahsante sana ubalikiwe
Joel Mungu akubariki sana maana hekima hii n kubwa sana kutufundisha yale ambayo yanatupa Nuru ya kusonga mbele
Mungu akubariki Kaka mafundisho yako ni tiba tosha
Nashukuru Sana kukujua naimani umenisaidia pakubwa Sana! Of course I will be there for you and I don't want to go back in my life !
Appreciated
Nimeipenda Joel, keep it up nimeokota kitu bro!
Unanibariki Sana, na wewe Mungu akubariki
God bless you brother
Napenda sana nakukubari Sana kaka
Asante sana bro joelđ€đ€
Penda xana bro god bless u
Safi sana brother Joel, nimefurahi sana kusikia mafundisho yako. Mungu akubariki sana kwa kazi nzuri. Naamini umeokoa roho za watu wengi kwa hiki unachokifanya. Da! Be blessed bro
asante sana kaka
Ukweli mtupu jisemee be blessed Kaka
Kaka Asante sana yaan nimejifunza nafanyia kaz
Asante sana brother joer una2fundisha mambo ya msingi na yenye ku2jenga maishan. Mungu akupe umri mlefu. Ili 2endelee kunufaika na mafundisho yako mazuli. Mimi Niko. Dar. Naitaji vitabu vyako je? Nitavipaje na nitavipata wapi?? Naomba unipe maerekezo jinsi ya kupata vitabu ntashukulu ssna bro joer.
My God bless u
hongera sana nanauka wetu mwalimu wamaana sana umenibadilisha sana
nashukuru sana kwa kutupa iman ya maisha
Niceee brazzzzzaa đ„đ„đ„đ„đ„đ„đ„đ«đ«đ«đ«đ«
Vizur xn brother
Kaka Mungu akuinue kwa viwango vya juu sana coz nafatilia sana masomo yako na ninasonga mbele.
Mamb dada uko sehem gan dada
Ubarikiwe sana kaka angu
Joel nanauka kuna siku nitakushuhudia kubadili Mindset na maisha kwa insparation zako
Mungu akubariki
daaaaaah yan n kwel kbsaaaa lkn kuptia ww nmejfunz meng wallah......nkpnd w kaka...mungu akupe umr mref uzd kutufundshaaaaaaaa
Thanks Brother for your advise tumekufaham vizuri sana
God bless you sir
nashukuru sana maana unibadili kimtazamo kila siku
God bless you
MUNGU aendelee kukutunza kaka umefanyika msaada mkubwa sana kwenye maisha yangu
Kazi nzur Sana bro unanilisha madin
Barikiwa sana my kaka Joel
umekuwa Furaha sana Na naamini Kupitia mafundisho yako Nitafanikiwa Zaidi#Joel Nanauka love You so much Brother..Naomba Mwongozo Naitaj kunzisha Biashara
David Andrew Marius ahsante david;pamoja sana
+Joel Nanauka aksante sana Barikiwa mno mno Sana'a..Naomba mwongozo Nianzaje biashara wazo nalo
Hongela sana kaka
Asante Jo
Asante sana Nanauka kupitia wew leo maisha yangu yapo mazuri ndani ya ufaransa na kila siku nakusikiliza wew kabla ya kutoka kwenye miangaiko..
Hakuna mtu wa kunichezea akili yangu
Japhet Paul hongera sanaaaa
GOD bless
Amazing education
Thank you JN
uko vizuri san bro
Nakushukur kakaang mana unatusaidi weng
Nafurahi sana kusikiliza kwa Kiswahili đ
Nakufatilia pia nakuelewa sana nafanyia kaz maneno yko ipo siku ntakufata mbele ya macho yko
Asante saana s6jui nikulipe nini dhaa aise mungu akuongezee kipaji
Hongera cna kk
Asante sana
ubarikiwe kaka Kwa mafundisho yako
asantee xana kwa ushauli mzuli