Mambo 5 Ya Kufanya Kila Siku Kama Unataka Kufanikiwa

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 25. 07. 2024
  • đŸ”„đŸ”„đŸ”„ Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co đŸ”„đŸ”„đŸ”„

Komentáƙe • 311

  • @jimmymbella997
    @jimmymbella997 Pƙed 2 lety +3

    Hii ni kweli kaka, kitu kama hujakikamilisha huwez kukisahau kamwe muda wote utakikumbka, kama mm hapa kuna kitu nakiwaza mda wote sababu sijakikamilisha Asante kwa SoMo zuri❀đŸ’ȘđŸ’Ș

  • @godzidendera3027
    @godzidendera3027 Pƙed rokem +6

    Like za kutosha kama unamkubali huyu jamaa

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 Pƙed 4 lety +10

    My best Mentor of all the time JOEL may god bless you Bro #SeeYouatTheTop 🙏🙏

  • @grantmwakyusa1961
    @grantmwakyusa1961 Pƙed 3 lety +2

    Mentor #Joel thank you for your mentorship,, I am going to practice and live by doing this.

  • @daudkwalu3563
    @daudkwalu3563 Pƙed rokem +4

    Ubarikiwe sana mkuu kwa kuendelea kuiishi ndoto yako...Nakushauri unayesoma comment hii baada ya clip hii search clip yake tittle aliipa "Nguvu Iliyoko Katika Maono" hautajutia muda wako

  • @felisteravija1901
    @felisteravija1901 Pƙed 4 lety +1

    Ur my hero bro,kilasiku unaongelea maishayangu nashukuru mungu kukuweka ili unitibu mm.mungu akubariki na akuzidishie

  • @ericsaul4186
    @ericsaul4186 Pƙed 6 lety +7

    Yet another great educational talk. Big up Joel -:)))

  • @rahmahussein4019
    @rahmahussein4019 Pƙed 6 lety +2

    Powerful speech , thank you bro .

  • @brhchannel6618
    @brhchannel6618 Pƙed 6 lety +6

    Thanks I learn something from you brother.

  • @aidansemmanuel8546
    @aidansemmanuel8546 Pƙed 5 lety +7

    Brother ur a teach of life.

  • @msikitiibrahimu1990
    @msikitiibrahimu1990 Pƙed 5 lety +1

    thanks u so much my brother nmejifunza mengi sana kupitia wewe mungu akubark sana

  • @angeltairo6883
    @angeltairo6883 Pƙed 6 lety +1

    My mentor paster God bless you

  • @kpetres2872
    @kpetres2872 Pƙed 4 lety +33

    Nilitumia week mbili na sehemu nahangaika kumbembeleza mtu anikopeshe bila mafanikio, nilivoskiliza hapa TU nikajua maisha yangu yananihusu mmi kuyangaikia,, Leo hii nakwambia nachoma chapati na watu wametoa mwitikio naingiza kipatođŸ˜„đŸ˜„đŸ˜„đŸ˜„

  • @charlesoputi7101
    @charlesoputi7101 Pƙed 11 měsĂ­ci +1

    Watching it again and again be blessed brother joel @kenya

  • @judithmbwilo7470
    @judithmbwilo7470 Pƙed 5 lety

    Thanks so much brother, nimejifunza kitu kipya leo!

  • @johampangala1209
    @johampangala1209 Pƙed 3 lety +1

    Leo umeniponya magonjwa yoteee. Nilikuwa sijui hii chanel thanks bro.

  • @kambonajoseph924
    @kambonajoseph924 Pƙed 2 lety

    U really talk truthful in all God bless u

  • @anandepallangyo4177
    @anandepallangyo4177 Pƙed 3 lety +2

    Kaka wewe ni wa muhimu sana alooo your the best

  • @safinabambanya3065
    @safinabambanya3065 Pƙed 4 lety +6

    The concept is very helpful.. thank you brother you have awaken my mind

  • @clearvisionbusinessacademy1289

    Very educative . Excellent

  • @anastasiamainaministries2700

    Wow naskiziza 2020...nimependa Sana kutoka kenya

  • @JamedJames
    @JamedJames Pƙed 6 měsĂ­ci

    Big up broo, tns for tell us on how we can time time before time time us more tns

  • @adrianthobias296
    @adrianthobias296 Pƙed 5 lety +1

    Huo ndo ukweli wa maisha.Asante sana.'Furaha ni mtu na mazingira yake.

  • @enockkagomba1261
    @enockkagomba1261 Pƙed 5 lety

    Thanks my mentor be blessed

  • @kahwaanacleth5564
    @kahwaanacleth5564 Pƙed 5 lety +1

    Kuna kitu kikubwa sana nimejifunza, hasa kupitia athari za kukosa furaha, husabibisha kushuka kwa kinga ya mwili, pale unaposhambuliwa na mgonjwa ya ajabu, na pengine unaweza kwenda hospitali kila mara kupima na kujikuta huna ugonjwa wowote wakati wewe unajisikia hoi. MATOKEO YAKE PIA HUWAZA TOFAUTI, AIDHA UMEROGWA AU IMANI ZINGINE TOFAUTI, PIA UWEZO WA KUJIAMINI HUPUNGUA. Ahsante sana Nanauka coach wangu ,napenda sana maomo yako na nafatilia sana. Nataka niwe mwanafunzi wako katika ile coaching programme, naomba utaratibu wa kujiunga.

  • @richmahegah7740
    @richmahegah7740 Pƙed 6 lety

    safi xana brother coz unatufundisha mambo mengi sana,

  • @aminathoya4265
    @aminathoya4265 Pƙed 6 lety

    Shukrani kwa mafundisho mazuri yenye faida maishani

  • @mosimgeni2086
    @mosimgeni2086 Pƙed 5 lety +1

    point taken brother we will be together at the top

  • @emmanueljohn3387
    @emmanueljohn3387 Pƙed 2 lety

    Asante sana kk umenielimisha sana Mungu azidi kukubarik

  • @geofreykomba1007
    @geofreykomba1007 Pƙed 5 lety

    Elimu nzuri, big up Mr.

  • @ramadhanalmashamza3458
    @ramadhanalmashamza3458 Pƙed rokem

    Asante sana kaka mungu akubariki your the super hero

  • @a.p.monlinetv3561
    @a.p.monlinetv3561 Pƙed 4 lety

    Asante sana bro Unatusaidia sana katka mambo mbalimbali

  • @eddymama7036
    @eddymama7036 Pƙed 6 lety +1

    ur absolutely perfect

  • @veronicamnubi9085
    @veronicamnubi9085 Pƙed 3 lety +1

    Asante sana kwa mafundisho mazuri ya maamuzi kwa sehemu kuu tatu za maamuzi nimepati kitu kikubwa sana

  • @lidyampazi8167
    @lidyampazi8167 Pƙed 4 lety

    Asante kaka, mungu akubariki sana, naamini nimejifunza kitu kutoka kwako

  • @gindupeter9163
    @gindupeter9163 Pƙed 5 lety +1

    Ukweli katika maisha yangu yamekuwa ya kubahatisha yani sizingatii wajibu wangu ahsante sana

  • @michaeltimoth366
    @michaeltimoth366 Pƙed 2 lety

    Golden hour....I will work on this one

  • @aminaibrahim3656
    @aminaibrahim3656 Pƙed 3 lety

    Uko vzuri Mr Joel Nanauka nice talk

  • @erikalutevele8362
    @erikalutevele8362 Pƙed 2 lety +1

    Mungu wetu azidi kukutunza zaidi maana toka nilipoanza kukusikiliza nimekua mtu wa tofauti sana yaani mpaka najishangaa mwenyeye

  • @esthermichael3221
    @esthermichael3221 Pƙed 4 lety +3

    Barikiwa Sana Joel kwa kazi nzuri naona mabadiliko makubwaaaa mnoo katika maisha yangu
    Japo Kuna sehemu kidogo ambayo bado unanisumbua cjapata muafaka wa wapi nianzie

  • @sheilachemutai5971
    @sheilachemutai5971 Pƙed 2 lety

    Asante sana Joel umenifunza mengi mungu akusaidie

  • @hunterjungle6343
    @hunterjungle6343 Pƙed rokem

    Shukran brother

  • @fikikenya1401
    @fikikenya1401 Pƙed 3 lety +1

    Very helpful

  • @sumafrank4427
    @sumafrank4427 Pƙed 6 lety

    Ubarikiwe sana kwa mafundisho haya mazuri

  • @ellysilwani9287
    @ellysilwani9287 Pƙed 4 lety +1

    Asante kaka kwa Elimu hii..

  • @ShemsaKombo
    @ShemsaKombo Pƙed 23 dny

    Asante kwa ushauri wake mzur

  • @HassanHassan-qo2yu
    @HassanHassan-qo2yu Pƙed 3 lety +1

    Nakuaminia bro Sana kaz nzuri

  • @alfredodhiambo4473
    @alfredodhiambo4473 Pƙed 3 lety +1

    Nmefurahia mafunzo yako kuna mengi najua sasa naomba mungu azidi kukupea iyo hekima let God use you to heal broken hearts

  • @tonygabriel5112
    @tonygabriel5112 Pƙed 5 lety +1

    nakuelewa sana, mentor wangu

  • @merykyungai2551
    @merykyungai2551 Pƙed 5 měsĂ­ci

    Professional always we love you

  • @jacksonkidawile1475
    @jacksonkidawile1475 Pƙed rokem +1

    Huyu mwamba ruge mtupu kasoro jina tu đŸ€đŸ€đŸ€đŸ€ nakubali kaka madini yako yana penya ubongon kwangu

  • @mariamatiku5634
    @mariamatiku5634 Pƙed 2 lety

    Powerful speech bro

  • @rizikimoshi4798
    @rizikimoshi4798 Pƙed 5 lety

    nashukuru bro kwa masomo yako hakika mungu hatakulipa

  • @johampangala1209
    @johampangala1209 Pƙed 3 lety +1

    Ahsante sana ubalikiwe

  • @shideashidea5570
    @shideashidea5570 Pƙed 5 lety

    Joel Mungu akubariki sana maana hekima hii n kubwa sana kutufundisha yale ambayo yanatupa Nuru ya kusonga mbele

  • @anordgodibless1361
    @anordgodibless1361 Pƙed 3 lety +1

    Mungu akubariki Kaka mafundisho yako ni tiba tosha

  • @gindupeter9163
    @gindupeter9163 Pƙed 5 lety +1

    Nashukuru Sana kukujua naimani umenisaidia pakubwa Sana! Of course I will be there for you and I don't want to go back in my life !

  • @nextcomin475
    @nextcomin475 Pƙed měsĂ­cem

    Appreciated

  • @yoramdogezah8000
    @yoramdogezah8000 Pƙed 5 lety

    Nimeipenda Joel, keep it up nimeokota kitu bro!

  • @alicempuya5238
    @alicempuya5238 Pƙed 2 lety

    Unanibariki Sana, na wewe Mungu akubariki

  • @shawingideon5676
    @shawingideon5676 Pƙed 5 lety

    God bless you brother

  • @basamtz8674
    @basamtz8674 Pƙed 6 lety +1

    Napenda sana nakukubari Sana kaka

  • @hammerQ954
    @hammerQ954 Pƙed 5 lety

    Asante sana bro joelđŸ€œđŸ€›

  • @justinasebastian3907
    @justinasebastian3907 Pƙed 4 lety

    Penda xana bro god bless u

  • @sarahmhina4359
    @sarahmhina4359 Pƙed 5 lety +1

    Safi sana brother Joel, nimefurahi sana kusikia mafundisho yako. Mungu akubariki sana kwa kazi nzuri. Naamini umeokoa roho za watu wengi kwa hiki unachokifanya. Da! Be blessed bro

  • @felisterabed7436
    @felisterabed7436 Pƙed 5 měsĂ­ci

    Ukweli mtupu jisemee be blessed Kaka

  • @janethandrea87
    @janethandrea87 Pƙed 2 lety

    Kaka Asante sana yaan nimejifunza nafanyia kaz

  • @ramadhanmohamed7668
    @ramadhanmohamed7668 Pƙed 5 lety

    Asante sana brother joer una2fundisha mambo ya msingi na yenye ku2jenga maishan. Mungu akupe umri mlefu. Ili 2endelee kunufaika na mafundisho yako mazuli. Mimi Niko. Dar. Naitaji vitabu vyako je? Nitavipaje na nitavipata wapi?? Naomba unipe maerekezo jinsi ya kupata vitabu ntashukulu ssna bro joer.

  • @jenisanga2281
    @jenisanga2281 Pƙed 3 lety +1

    My God bless u

  • @malalezengo4405
    @malalezengo4405 Pƙed 6 lety

    hongera sana nanauka wetu mwalimu wamaana sana umenibadilisha sana

  • @robertshemaonge6000
    @robertshemaonge6000 Pƙed 5 lety

    nashukuru sana kwa kutupa iman ya maisha

  • @mericktamba7981
    @mericktamba7981 Pƙed 2 lety

    Niceee brazzzzzaa đŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ’«đŸ’«đŸ’«đŸ’«đŸ’«

  • @majaranyonyo2125
    @majaranyonyo2125 Pƙed 3 lety +1

    Vizur xn brother

  • @trillhappybeautypoint9874
    @trillhappybeautypoint9874 Pƙed 3 lety +2

    Kaka Mungu akuinue kwa viwango vya juu sana coz nafatilia sana masomo yako na ninasonga mbele.

  • @magrethjoseph589
    @magrethjoseph589 Pƙed 3 lety +1

    Ubarikiwe sana kaka angu

  • @joshuakaminyoge4954
    @joshuakaminyoge4954 Pƙed 4 lety +1

    Joel nanauka kuna siku nitakushuhudia kubadili Mindset na maisha kwa insparation zako
    Mungu akubariki

  • @zulferabour607
    @zulferabour607 Pƙed 5 lety +1

    daaaaaah yan n kwel kbsaaaa lkn kuptia ww nmejfunz meng wallah......nkpnd w kaka...mungu akupe umr mref uzd kutufundshaaaaaaaa

  • @helenmark7965
    @helenmark7965 Pƙed 6 lety

    Thanks Brother for your advise tumekufaham vizuri sana

  • @christelle9690
    @christelle9690 Pƙed 4 lety

    God bless you sir

  • @amnasalumu7534
    @amnasalumu7534 Pƙed 6 lety +3

    nashukuru sana maana unibadili kimtazamo kila siku

  • @mwitowainjili7225
    @mwitowainjili7225 Pƙed 2 lety +1

    God bless you

  • @nkakenychannel2831
    @nkakenychannel2831 Pƙed 2 lety +2

    MUNGU aendelee kukutunza kaka umefanyika msaada mkubwa sana kwenye maisha yangu

  • @khadijarashid5548
    @khadijarashid5548 Pƙed 5 lety

    Kazi nzur Sana bro unanilisha madin

  • @keflentito8052
    @keflentito8052 Pƙed 5 lety

    Barikiwa sana my kaka Joel

  • @davidandrewmarius3454
    @davidandrewmarius3454 Pƙed 6 lety +3

    umekuwa Furaha sana Na naamini Kupitia mafundisho yako Nitafanikiwa Zaidi#Joel Nanauka love You so much Brother..Naomba Mwongozo Naitaj kunzisha Biashara

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 6 lety +1

      David Andrew Marius ahsante david;pamoja sana

    • @davidandrewmarius3454
      @davidandrewmarius3454 Pƙed 6 lety

      +Joel Nanauka aksante sana Barikiwa mno mno Sana'a..Naomba mwongozo Nianzaje biashara wazo nalo

  • @maikobaudy5979
    @maikobaudy5979 Pƙed 4 lety

    Hongela sana kaka

  • @thomasboso3081
    @thomasboso3081 Pƙed 4 lety

    Asante Jo

  • @coachsportif9533
    @coachsportif9533 Pƙed 4 lety +1

    Asante sana Nanauka kupitia wew leo maisha yangu yapo mazuri ndani ya ufaransa na kila siku nakusikiliza wew kabla ya kutoka kwenye miangaiko..
    Hakuna mtu wa kunichezea akili yangu

  • @elishatitus2111
    @elishatitus2111 Pƙed 4 lety +5

    GOD bless

  • @virgosixthemoon9652
    @virgosixthemoon9652 Pƙed rokem

    Amazing education

  • @hassanrashid8182
    @hassanrashid8182 Pƙed 2 lety

    Thank you JN

  • @mkuzapoultryfarm9886
    @mkuzapoultryfarm9886 Pƙed 6 lety

    uko vizuri san bro

  • @violethndowo-fr3rc
    @violethndowo-fr3rc Pƙed 2 měsĂ­ci

    Nakushukur kakaang mana unatusaidi weng

  • @yassinlisa6168
    @yassinlisa6168 Pƙed 3 lety +1

    Nafurahi sana kusikiliza kwa Kiswahili 😊

  • @Tom-1717
    @Tom-1717 Pƙed rokem

    Nakufatilia pia nakuelewa sana nafanyia kaz maneno yko ipo siku ntakufata mbele ya macho yko

  • @johnsonemmanuelbenedicto2038

    Asante saana s6jui nikulipe nini dhaa aise mungu akuongezee kipaji

  • @athumanikigolo8753
    @athumanikigolo8753 Pƙed 3 lety +1

    Hongera cna kk

  • @gloriahakizimana9112
    @gloriahakizimana9112 Pƙed 4 lety

    Asante sana

  • @aishaoman6159
    @aishaoman6159 Pƙed 5 lety

    ubarikiwe kaka Kwa mafundisho yako

  • @ombeniseifu726
    @ombeniseifu726 Pƙed 5 lety

    asantee xana kwa ushauli mzuli