Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Nanauka uko sawa kabisa pointi zako kila siku huwa ni zenye thamani na research zako huwa za hali ya juu kuliko maelezo.. thanks Broo kwa elimu bora
Ahsante sana nashuku
Joel ww ni wakipekee kabisa mungu akuzidishi nakuhusudu Sana Mr Joel thenk you
Mheshimiwa rais wetu pendwa plz sana mama mteue huyu kijana Joel Nnanauka umpe kazin serikalini tena wizarani huko atakusaidia sana.
Naomba mwenye link group la maarifa au joel naliomba plz
Mwanasiasa anawaza kuhusu uchaguzi ujao na kiongozi anawaza kuhusu kizazi kijacho 💪
Nanauka uko Vizuri nakupa big up Kama ni elimu una sycologe ya ziada
My mentor. See u at the top
Ubarikiwe kaka joele
Great conversation 👏🔥💯👍
Hopefully hii elimu itaangaliwa manake yote hayo yako kwenye jamii yetu
Uko sawa
Kizazi cheque mukifanya.haya mutakuwa na familia na taifa lenye focus.
Nmependa hiyo
Kweli kabisa
Kuna mambo nagundua tunakosea kila ninapomsikiliza joeli nanauka
Brother Joel umeongea ya maana sana hakika nitayafanyia kazi,,,Yesu atusaidie
Ameen Ameen
Upo. Sawa
Well program,matajiri wa Kiafrica hawawezi ku inspire watu coz wengi wao wamekwepa kodi iliwafanikiwe
Huyu jamaa sio wa kuteuliwa Wala kuajiriwa, anejitambua aajiriwi, ukitaka Joel asiende mbinguni ateuliwe ata Aya hutayasikia, yeye abakie hivyohivyo.
Yaan watu kama hawa ndo wenye kippawa cha uongozi
Leo mmeongea vitu vizito Sana Tanzania tuna watu wenye madini ila tunashindwa kuwatumia tuwache uswali
Wanapewa air time kina gigy money watu wenye akili hawaonwi
@@fahadfaraj6474 tunapenda ujinga ndio maana akili zinaxidi kuwa fupo
#Nje ya BOX
Nakuelewa Sana nanauka uko sahii kabisa
Nashukuru sana sana🙏🏼
Joel unanitesa sana!
Sema huyu jamaa inaonyesha anasoma Sana vitu
Barabaran wapo majeuri anakugonga na anakuambia hunifanyi kitu
Watu kama nanauka ndo wanafaa kua viongozi Kwenye nchi yetu
Hayoweza kudumu
Unasema ukweli sana.
Sasa elimu yako serikali Wana itambua vizuri? Na Kama Wana itambua Wana kuchuliaje?
Utashangaa tunazingatia wajinga tunaacha watu kama hawa wa maanaEe mungu tusaidie
Wazungu wanafanya hivyo.Hawana house girl
Ukraine: miaka 31 ya Uhuru katikati ya uvamizi wa Urusi,Miezi 6 tangu kuvamiwa >>>>> czcams.com/video/7SgW7K6R_B8/video.html
Nanauka uko sawa kabisa pointi zako kila siku huwa ni zenye thamani na research zako huwa za hali ya juu kuliko maelezo.. thanks Broo kwa elimu bora
Ahsante sana nashuku
Joel ww ni wakipekee kabisa mungu akuzidishi nakuhusudu Sana Mr Joel thenk you
Mheshimiwa rais wetu pendwa plz sana mama mteue huyu kijana Joel Nnanauka umpe kazin serikalini tena wizarani huko atakusaidia sana.
Naomba mwenye link group la maarifa au joel naliomba plz
Mwanasiasa anawaza kuhusu uchaguzi ujao na kiongozi anawaza kuhusu kizazi kijacho 💪
Nanauka uko Vizuri nakupa big up Kama ni elimu una sycologe ya ziada
My mentor. See u at the top
Ubarikiwe kaka joele
Great conversation 👏🔥💯👍
Hopefully hii elimu itaangaliwa manake yote hayo yako kwenye jamii yetu
Uko sawa
Kizazi cheque mukifanya.haya mutakuwa na familia na taifa lenye focus.
Nmependa hiyo
Kweli kabisa
Kuna mambo nagundua tunakosea kila ninapomsikiliza joeli nanauka
Brother Joel umeongea ya maana sana hakika nitayafanyia kazi,,,Yesu atusaidie
Ameen Ameen
Upo. Sawa
Well program,matajiri wa Kiafrica hawawezi ku inspire watu coz wengi wao wamekwepa kodi iliwafanikiwe
Huyu jamaa sio wa kuteuliwa Wala kuajiriwa, anejitambua aajiriwi, ukitaka Joel asiende mbinguni ateuliwe ata Aya hutayasikia, yeye abakie hivyohivyo.
Yaan watu kama hawa ndo wenye kippawa cha uongozi
Leo mmeongea vitu vizito Sana Tanzania tuna watu wenye madini ila tunashindwa kuwatumia tuwache uswali
Wanapewa air time kina gigy money watu wenye akili hawaonwi
@@fahadfaraj6474 tunapenda ujinga ndio maana akili zinaxidi kuwa fupo
#Nje ya BOX
Nakuelewa Sana nanauka uko sahii kabisa
Nashukuru sana sana🙏🏼
Joel unanitesa sana!
Sema huyu jamaa inaonyesha anasoma Sana vitu
Barabaran wapo majeuri anakugonga na anakuambia hunifanyi kitu
Watu kama nanauka ndo wanafaa kua viongozi Kwenye nchi yetu
Hayoweza kudumu
Unasema ukweli sana.
Sasa elimu yako serikali Wana itambua vizuri? Na Kama Wana itambua Wana kuchuliaje?
Utashangaa tunazingatia wajinga tunaacha watu kama hawa wa maana
Ee mungu tusaidie
Wazungu wanafanya hivyo.Hawana house girl
Ukraine: miaka 31 ya Uhuru katikati ya uvamizi wa Urusi,Miezi 6 tangu kuvamiwa >>>>> czcams.com/video/7SgW7K6R_B8/video.html