Kaka Joel ubarikiwe, Nitakutafuta cku moja tukijaliwa uzima, Keep it up, unatuwakilisha vyema watanzania, Nami Ni miongoni mwa vijana wanaojivunia katka kutatua changamoto, miaka mitatu tokea Sasa nitakuwa billionea katka Nchi yangu ya Tz, inawezekana kabisa.
first of all i want to thank GOD for putting people like you in the this world,you change alot of peoples life due to what the world is going through right now many people are depressed and have anxiety and many problems but through this lessons and new topic which you bring here at every moment you real change people"s life..am from uk thanks for the lessons,keep pushing MR.JOEL NANAUKA
Hapo nitabeba vitu viwili kujenga kuaminika na pia kuwa ni mtu wa kusolve matatizo na kutoa masuluhishi, Ahsante sana mwalim umenibadilisha na hivi sasa kale ka tabia cha kughairisha mambo na kutumia muda vizuri nimeanza kuona mafanikio yake
Asante brother Joel umeniingizia kitu kipya kichwani wewe ni moja kati ya watu muhimu katika maisha yetu na kwa watanzania wanaotambua mchango wako ubarikiwe kaka.
Thanks Joel unaniimarisha kila iitwapo leo hivi nilivyo Leo unamchango mkubwa Sana katika maisha yangu. Mungu aendelee kukutunza ili kusudi la wewe kuwepo duniani litimie
Daaah sijui kwann nimechelewa kuona kaka thanks very much umenisaidia kwa namna moja nimejua kua uwaminifu ndo kila kitu nakuto kujiwekea kushindwa asante kaka
Allah akulipe KHERI Shujaa wetu na akulinde na kila Ovu,binafsi consistment and solution provide (najihsi Amani na furaha kumuondolea mtu Tatizo/shida)
Nakukubali sana unanijenga sana mwalim Joel nimejifunza vitu vipya katika maisha yangu mana kuna mambo tuapenda tufanyiwe lakini sisi hatufanyii wengine tunapenda tuaminiwe lakini hatuaminiki, kiukweli
Trust us Love N maneno 2 Tofaut Ambayo Yametoa Maana Kubwa As Me Naweza Sema Hio Ya Kwanza(Build trust) Imekuja Nisaidia Kweny Utoaji Huduma Maan Nmepata Jina Kutokan Na build Trust Japo Utaalamu wangu sio Heavy Kias Hiko Asee thank Mr Joel Nanauka Kwa Makubwa unafanya Ndani Ya Jamiii..
Ninamtukuza Mungu Kwa ajili yako mwalimu, you changed my life
I'm from Kenya 🇰🇪 and my life is changing through your teachings ❤️
Maisha yangu umeyabadilisha sana mungu anakutumia sana kaka
Kaka Joel ubarikiwe, Nitakutafuta cku moja tukijaliwa uzima, Keep it up, unatuwakilisha vyema watanzania, Nami Ni miongoni mwa vijana wanaojivunia katka kutatua changamoto, miaka mitatu tokea Sasa nitakuwa billionea katka Nchi yangu ya Tz, inawezekana kabisa.
This channel ni shule tosha! Asante sana Kaka Joel.
I'm learning more from your teachings be blessed 🙏🇹🇿
Asante sana mkuu,wewe ni mtumishi wa Mungu kabsa.Unatoa elimu nzuri sana kwa free with no charge
Great African influencer and soon worldly influencer
Uaminifu unalipa,nimeona mafanikio na baraka kupitia uaminifu .ahsante mwalimu, ubarikiwe sana
first of all i want to thank GOD for putting people like you in the this world,you change alot of peoples life due to what the world is going through right now many people are depressed and have anxiety and many problems but through this lessons and new topic which you bring here at every moment you real change people"s life..am from uk
thanks for the lessons,keep pushing MR.JOEL NANAUKA
Hapo nitabeba vitu viwili kujenga kuaminika na pia kuwa ni mtu wa kusolve matatizo na kutoa masuluhishi, Ahsante sana mwalim umenibadilisha na hivi sasa kale ka tabia cha kughairisha mambo na kutumia muda vizuri nimeanza kuona mafanikio yake
Thank you for the speeches you provide they really helped me to become the right person
Asante brother Joel umeniingizia kitu kipya kichwani wewe ni moja kati ya watu muhimu katika maisha yetu na kwa watanzania wanaotambua mchango wako ubarikiwe kaka.
Ahsante san Consultant wangu. Trust ni kitu kikubwa sana ahsante sana kwa kutukumbusha.
Asante 🙏🙏 sana na Mungu akubariki zaidi kwa hichi unacho kifanya
Asante kheri na Baraka zitiririke kwako.
Mimi nitaendeleza kutengeneza Uaminifu.
In every stage in my life style I apply your different ways you teach us
Thanks Joel unaniimarisha kila iitwapo leo hivi nilivyo Leo unamchango mkubwa Sana katika maisha yangu. Mungu aendelee kukutunza ili kusudi la wewe kuwepo duniani litimie
Kaka mimi ni mwanachuo but nasomea koz amaboyo haikua ndoto yangu dah!! Nateseka sana,kimawazo.nifanyeje ili hiii hali iiishe?
My Bro Joel my Mentor, unani inspire kila iitwapo leo
Mungu akubariki sana sana
Thank you for your advice
Thnk u 4presentatation, i wanna start w/soln prov n Build trust
Daaah sijui kwann nimechelewa kuona kaka thanks very much umenisaidia kwa namna moja nimejua kua uwaminifu ndo kila kitu nakuto kujiwekea kushindwa asante kaka
thank you so much brother blessing
This man is a genious❤Ni kweli kabisa
Waooooow asantè sana kaka nimekupata na nimekuelewa
Asante bro hakuna kitu nnachokipenda kutoka moyoni mwangu km kua nimuaminifu yaani broo umeongea point nzuri sn
Shukrani ubarikiwe sana
Asante nimekuelewa
جزاك الله خيرا اخي
Asante sana,tatizo langu ni kufanya vitu kwa muendelezo nitajitahi aisee
Yoh are the blessings of the world. Mungu akubariki sana kaka Joel
Asante sana Mungu akubariki.mimi nitaanza na specialist
Ahsante sana wew Mtu wa kutusaidia kila wakati
Nakuthamini sana Ubarikiwe
Ubarikiwe...kazi yako ni njema
Hongera sana kaka Joel.kwa mafundisho mazuri
Ubarikiwe sana kaka hakika nimejifunza katika eneo hili hakika certainity nitaofanyia kaz
Asante Mwalimu wangu
Thanks Joel for being a great imfluencer to many. Karibu kenya.
Daaaa unaereweka sana kaka nanza biud trast
Nafikiri kuanza na zote ili kujenga uwezo wa mvuto kwa jamii muhimu
Shukran Mwalimu
Napenda sana mafundisho wako, Mungu akutete na akusaidie ktk yote.
Asante teacher kwa kunibadilisha
Asante kwa elimu
duh mmh kichwa hicho Mungu anajua mwenyewe uko vizuri bro
You are a blessing to this generation🙏🇨🇩🇨🇩 Mungu akupe maisha marefu Sanaa
Asante Mwalimu Wangu Joel
Naanza na speciality Joel asante sana nimejifunza mambo ya muhim sana
Mungu aku Lipe kila la kheri. Imani yangu tuta kutana siku moja nikiwa kwenye level kubwa ya mafanikio kwa knowledge nnayo ipata kwa mafunzo yako🙏🙏🙏🙏
Asante na MUNGU akubariki
yaan sina cha kusema zaid ya mungu akubariki mwalimu
Nashkuru kwa kua bhdo unaendelea kunijenga kwa namna moja ahsante sana
Great lesson 🎉
Nimejifunza kaka Mungu akubariki sana. Natamani nitumie njia zote Ili niwe Bora zaidi.
Sure, brother thanks sana kwâ kujifunza vitu vingi leo
Asante mr. Joel
Allah akulipe KHERI Shujaa wetu na akulinde na kila Ovu,binafsi consistment and solution provide (najihsi Amani na furaha kumuondolea mtu Tatizo/shida)
You bult my spirits of reading More Books my hope Siku moja uwe Mentor! Napenda siku ni katika position yako
Hii ulioielezea mwisho mi nimependa Sana ahsante Sana mungu akubariki kaka
Joel mungu akubariki. .... unakitu change kitofauti sana
Haya unayofundisha ni madini kwa kweli. Ahsante kwa masomo mazuri ya kutujenga. Barikiwa
I'm blessed...!!
Actually najitahidi sana kubuild myself kwenye areas zote hizo nne na nimekuwa Bora na ninazidi kujiimarisha
I like your idea
Thank you brother
Nakukubali sana kaka Joel Nanauka mungu akupe maisha marefu zaidi
Specialty na solution provider
Nakukubali sana unanijenga sana mwalim Joel nimejifunza vitu vipya katika maisha yangu mana kuna mambo tuapenda tufanyiwe lakini sisi hatufanyii wengine tunapenda tuaminiwe lakini hatuaminiki, kiukweli
Hiya une niya maana sana mwalimu Mungu akubariki sana 🎉🎉✍️🇨🇩
Kaka ahsante sana nimepata hiyo message kwa uzuri sana
Am appreciate you
Thanks bro
Mungu akubariki sana mwl na kukupa maarifa zaidi
Ubarikiwe sana somo zuri
Moja ya somo muhimu sana kaka.... Ahsante sana
Mungu akubaliki sana brother
Asante mwalim joeli
Solution provider and consistency in value delivery. Be blessed man of God
Kuamika , safiiii
Asee brother mungu akubaliki sana
Love and trust n vitu viwili tofaut!
Mm ndaenda kutengeneza kuwa mwaminifu mbele ya watu💪🏽💪🏽
Upo vizur asante kwa somo
You are right Bro!
Thanks kaka Joel, TRUST is my weapon huwa ndiyo nasimama siku zote ktk maisha.
unajua sana kaka nilikua mbilula now kuptia elmu yko huez amn nina biashara nzur kabsaa
Trust us Love N maneno 2 Tofaut Ambayo Yametoa Maana Kubwa As Me Naweza Sema Hio Ya Kwanza(Build trust) Imekuja Nisaidia Kweny Utoaji Huduma Maan Nmepata Jina Kutokan Na build Trust Japo Utaalamu wangu sio Heavy Kias Hiko Asee thank Mr Joel Nanauka Kwa Makubwa unafanya Ndani Ya Jamiii..
Thanks bro Joel nanauka
Zote nimuhimu ubarikiwe sana💕
Thanks
Safi kabisa , ujumbe muhimu
Shukran sana kupitia elimu yako na imetusaidia pakubwa
Ubarikiwe sana
Nabalikiwa sana mungu akutunze kaka
Trust is better start up discipline which will reflect many things
When I face people with the solution will listen me.. Asante Sana JOEL NANAUKA.......
Nimeipenda iyo
GENIUS
Epic teaching
Thanks sir,umefanyika daraja ktk malengo yangu
Nashukuru tangu niamenza kukufuatilia naona kabisa natendea kazi mambo yangu maana kuna vujitabia nilikuwa navyo ila naona naviacha
God bless you
Ubarikiwe sana mtumishi umenijega pakubwa
Solution provider, i want to start with that
Mungu akusaidie uzidi kutupa elimu brother
Ujumbe mzuri, natamani tukutane kwa maongzi
Mwaka huu nitakuwa tofauti sana kaka
Mungu azidi kuku weka Sana kaka Joely
Tunakupenda!