Wajue Maadui 4 Kwenye Maisha Yako

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 23. 01. 2021
  • đŸ”„đŸ”„đŸ”„ Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co đŸ”„đŸ”„đŸ”„

Komentáƙe • 379

  • @abdultandala9600
    @abdultandala9600 Pƙed 3 lety +10

    Nimekuelewa brother' ww nimkombozi wa fikra mungu akupe maisha marefuuuuu!

  • @samwelbashongana960
    @samwelbashongana960 Pƙed 3 lety +7

    Tangu nimepata kazi kwenye hii kampuni, nimekutana na maadui watatu wa kwanza. Ila Mungu kanipigania na sasa niko ktk kitengo ambacho, hawana access kubwa ya kuniathiri. Ila Namshukuru Mungu sana.

    • @merymanswet7724
      @merymanswet7724 Pƙed 3 lety

      Sasanasana uyu hamani uyu ndio yupo ananizingra

  • @lovenessmasai2204
    @lovenessmasai2204 Pƙed 3 lety +14

    Toka nimekujua kaka sijawahi ona kama napoteza MB zangu,thanks much stay blessed
    Mungu akupe mbawa za tai uruke mbaali na maadui wote,tuzidi tupate elimu zaidi.

    • @neemaemanuel7715
      @neemaemanuel7715 Pƙed rokem

      Kwanza asante Sana kwa kutupatia elimu kweli binafsi nashukur, mim nimeshakutana na Hawa maadui ila Adui Kaini daaa anatisha saana

  • @samwellishinu872
    @samwellishinu872 Pƙed 3 lety +5

    Mungu akupe maisha marefu maan umenipa hamasa zaidi juu ya ujasiri I thought that I was nothing in this world but through your videos,now I see the greatness inside me

  • @radhiafujdvinradhia4144
    @radhiafujdvinradhia4144 Pƙed 3 lety +5

    Daaaaahh yaani kaka Joel mm hao wote nimekuta nao pia nimebaki Na maumivu moyon ,Ila ninaamini kupitia makala zako nitapona kwa haraka zaidi ,pia nimepata njia ya kuwaepuka kaka,ubarikiwe kaka Joel kwa mafundisho yako maana napata faraja kubwa sn .....

  • @naomimasawe4571
    @naomimasawe4571 Pƙed 3 lety +7

    Dah!!! Haya yote yamenitokea kwenye maisha. Asante kwa mafundisho yako mazuri ndugu.

  • @AngelMassawe-nz9sk
    @AngelMassawe-nz9sk Pƙed 3 měsĂ­ci

    Namshukuru Mungu kwa ajili yako japo dunia imefika nyakati zilizosemwa Mungu hajatuacha ameleta watu kina Joel Mungu asante bado unatupenda ubarikiwe JOEL

  • @kidstvk
    @kidstvk Pƙed 3 lety +5

    Ikiwa ningejuwa hii miaka saba iliopita singekuwa jinsi nilivyo. Nimekutana na maadui wote hao maishani mwangu hadi sasa nina maumivu yalio sababishwa na maadui. Kwa kweli hili ni somo kubwa kwa wale hasa hawajakutana na baadhi ya maadui hawa. Hata na mimi itazidi tu kunifungua macho.
    Asante sana Joel N. Tuko pamoja sana kk nikiwa hapa đŸ‡ș🇾.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 3 lety

      đŸ™đŸ»đŸ™đŸ» pamoja sana

    • @groryrichard8367
      @groryrichard8367 Pƙed 3 lety

      kaka huwa nakuelewa sana mungu akubarki sana

    • @groryrichard8367
      @groryrichard8367 Pƙed 3 lety

      broo naomba utusaidie sana maana hao ndoo tuko nao ktk maisha yetu

  • @ponsianamataka4607
    @ponsianamataka4607 Pƙed rokem +1

    Asante sana kutusaidia zaidi na zaidi kufafanua, kuielewa Biblia na kuhusuanisha na maisha. Mungu akubariki sana.

  • @buyeginkwabi8409
    @buyeginkwabi8409 Pƙed 3 lety +1

    I appreciate......Natamani pia kufahamu tunawezaje kuishi nao au kukabiliana nao wasilete madhara kwetu....Thank you very much.....

  • @tressamakunzo2203
    @tressamakunzo2203 Pƙed 3 lety +16

    Kaka wote hao ekutana nao,wmenifanya nilie sana na kukosa tumaini ila now namwamini Mungu tyu ndio rafiki mzazi mshauri ubarikiwe kaka Joel😓😓

  • @godfreymwanache668
    @godfreymwanache668 Pƙed 3 lety +1

    Brother be blessed sana MUNGU anakutumia kuwakomboa vijana katika fikra na uchumi

  • @raphaelassenga554
    @raphaelassenga554 Pƙed rokem

    Yes...you are a great Man... perfect

  • @jamesibrahim8849
    @jamesibrahim8849 Pƙed 3 lety +3

    Kwangu Mimi takribani mahadui wote wanne wamegusa maisha yangu. Ndio maana mpaka sasa sijui nani wakumwamini. Tunashukuru sana kwa somo na Mada hii

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 Pƙed rokem

    Duh shukrani Sana nimejifunza

  • @nickvonmusic
    @nickvonmusic Pƙed 2 lety

    Asante Mungu ,kwa zawadi hii ..kutoka kwa kaka Joel Nanauka

  • @willysteyofficial4450
    @willysteyofficial4450 Pƙed 2 lety

    Asante sana kwa mafundisho yako nimejuwa aina za maadui

  • @abelntobi382
    @abelntobi382 Pƙed 3 lety +1

    Thanks kwa elimu yako kubwaa

  • @jumamabruck7846
    @jumamabruck7846 Pƙed 3 lety +1

    😭😭😭😭😭uwiih Kain na Delila Penina Ni mtu mmoja ana tabia za hao wote .....ila nimejifunza Asante...

  • @JenniferKimath-px5fo
    @JenniferKimath-px5fo Pƙed 9 měsĂ­ci

    Asante Kwa mafundisho mazuri jinsi ya kukaa na marafiki Mungu akutunze na kukupa mafunuo zaidi.

  • @user-xi4pd1yw7o
    @user-xi4pd1yw7o Pƙed 7 měsĂ­ci

    Jomn uyu Kaka namuelewa mmpk namuelewa tena mashallah Allah akupe siha na afya ilokua mzr

  • @FrolaMbembela-lt8jy
    @FrolaMbembela-lt8jy Pƙed 2 měsĂ­ci

    Jamani sina chakusema mungu pekee ndiyo tumaini langu pekee mungu akubaliki kaka endelea kututia moyo tulio vijika đŸ™đŸŒđŸ™đŸŒ

  • @upendonsemwa4573
    @upendonsemwa4573 Pƙed 2 lety

    Asante kwa somo zuri sana.Huyo adui kaini nimekutana nae ameniumiza sana sana ila nimemgundua nimeamua kukaa nae mbli ,asante kwa kunikomboa fikira zangu ubarikiwe kwa somo zuri

  • @emmanuelbenjamin4656
    @emmanuelbenjamin4656 Pƙed 2 lety +1

    You are a professor of the reality.

  • @vumiliajulias6625
    @vumiliajulias6625 Pƙed 2 lety

    Asante kwa ujumbe ubarikiwe

  • @josephinajosephu6859
    @josephinajosephu6859 Pƙed 3 lety

    Cna cha kusema juu yako♄♄♄mungu akuweke zaid uzid kutupa madini🙏🙏🙏yang dua tu my lovely broo🙏🙏🙏

  • @daniellepari4525
    @daniellepari4525 Pƙed 3 lety

    Ahsante sana Nanauka kwa mafunzo yako mungu akupe maisha marefu enye uzima ndaniake đŸ€ž

  • @hamissitta7062
    @hamissitta7062 Pƙed 3 lety +1

    Ni kweli kaka maana unayoyazungumza kwenye makala hii nayaona ktk mazingira ya kaz, nakutana na kila aina ya maadui hawa, asante mungu akubarki!

  • @esthetbabu7481
    @esthetbabu7481 Pƙed 3 lety

    Thank you for good reason

  • @monicacharles1443
    @monicacharles1443 Pƙed 3 lety +2

    Naona kuna mmoja kabeba kombe kaka Joel maana aina zote 4 zinamuhusu, namshukuru Mungu nimemjua, ubarikiwe Kaka

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 3 lety

      😂😂😂 eti kombe

    • @monicacharles1443
      @monicacharles1443 Pƙed 3 lety

      @@joelnanauka ndio maana kabeba yooote 😅😅😅

  • @SmilingBabyPenguin-sp9ro
    @SmilingBabyPenguin-sp9ro Pƙed 5 měsĂ­ci

    Asante sana brow nimikubari waminitokeya watu kamawo

  • @tommykailanga730
    @tommykailanga730 Pƙed 2 lety

    Asee! Hiii imenigusa sana kama Unanijuwa Mungu akutangulie popote Uwendaka!Joel Nanauka.

  • @aminatundondege9384
    @aminatundondege9384 Pƙed 3 lety +1

    Na ni kweli lazima kuomba Mungu sana,ili akujuze na kukuepusha maadui hao,ni hatari!

  • @Meck25554
    @Meck25554 Pƙed 2 lety

    Asante Kwa mafundisho

  • @bombokojunior7479
    @bombokojunior7479 Pƙed 3 lety

    Asante sana Joel 🙏

  • @annamwanzonje5627
    @annamwanzonje5627 Pƙed 3 lety

    Thank Joel

  • @rebeccamukonyi3489
    @rebeccamukonyi3489 Pƙed rokem

    Amen 🙏🙏🙏 nikweli.nimejifunza utofauti wa maadui

  • @user-we4pv3hj2w
    @user-we4pv3hj2w Pƙed 6 měsĂ­ci

    Asante kaka joel

  • @alykhalifani25
    @alykhalifani25 Pƙed 2 lety

    very good advise

  • @tupokengwala2027
    @tupokengwala2027 Pƙed 3 lety +1

    Asante kwa kutujuza

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 Pƙed 2 lety

    Umenitoa mbali sana my brother from another mother ubarikiwe Sana mpaka ushangae

  • @elizabethkhagile7530
    @elizabethkhagile7530 Pƙed rokem

    Dah,,,,ahsante Sana, hasa haps nibora kua mwenyewe mwenyewe tu

  • @hellenachola9808
    @hellenachola9808 Pƙed 3 lety +4

    God is able in every seasons

  • @josephmuhoji3813
    @josephmuhoji3813 Pƙed 2 lety

    Asante braza nimeelew

  • @MaarifaZaidimz
    @MaarifaZaidimz Pƙed 3 lety +1

    Kaka God bless you kwa kweli Mungu amekuleta kwa kusudi hapa Tanzania

  • @saifalhabsi4829
    @saifalhabsi4829 Pƙed 3 lety

    Dh kaka asante sana nakuelewa hayo yote unayo yasema yapo kweri mungu akubaliki kutukumbusha na kutuelimisha

  • @issahategekimana7232
    @issahategekimana7232 Pƙed 3 lety

    Asante sana kwakutuonya

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 Pƙed 11 měsĂ­ci

    Nskupenda sana kwa elimu unayotupa kwa kwelibinatisaidia sana asante sana kaka. Mungu akubariki. Amin

  • @matrugnawangaeli4815
    @matrugnawangaeli4815 Pƙed 3 lety

    Kwa kipindi ninachopitia inawezekana kabisa kwamba kuna adui. Ni nani adui wangu kusema ukweli sijui. mambo ni mengi na kama unavyo jua huu wakati hatuambatani na watu. Mimi nafuata ushauri wa Mungu kwamba nipende watu wote na kwamba adui wangu ni adui wa Mungu wangu, na naamini kwamba Mungu atamshughulikia. Ahsente kwa maeleyo ninajifunza mengi. ubarikiwe

  • @frademyindustry3751
    @frademyindustry3751 Pƙed 3 měsĂ­ci

    God be with you

  • @nagiphasuleimani9246
    @nagiphasuleimani9246 Pƙed rokem

    Yàaani advice zako ni dawa na tiba tosha M/Mungu akuzidishie Kwa kile ulichonacho kaka angu 🙏.

  • @merryhussen2775
    @merryhussen2775 Pƙed 3 lety

    Asante kaka !! adui yangu no moja Ni penina alikua karbu sana kila nitakachofanya anajifanya mwema kwangu kumbe ni Mt mbaya kwangu, no mbili ni kaini ni mtu ambaye nilikua nashea nae changamoto zangu za biashara anasikitika na mm kumbe ni muongo moyoni anajua anachokifanya na hata kama Nina shida na pesa kiasi ananipatia kumbe ni kaini hatari ila namshukulu mungu nimemfahamu

  • @josej9888
    @josej9888 Pƙed rokem +1

    Tunaishi nao Sana hao.

  • @officialmagreth479
    @officialmagreth479 Pƙed 11 měsĂ­ci

    Ur blessed

  • @johntaino6411
    @johntaino6411 Pƙed 2 lety

    Asante kaka uzidi kuwa bora na uje na mada ya ujana maji ya moto.

  • @user-gv4pc9if2u
    @user-gv4pc9if2u Pƙed 2 měsĂ­ci

    Unapendwa na MUNGU BABA siyo bure uwezo huo alikuandaa kwa namna yake I trust you our Kaka

  • @charlesfaida1515
    @charlesfaida1515 Pƙed 3 lety +1

    Asante Sana Bro Joel Nanauka MUNGU aendelee kukulinda Sana 🙏

  • @henryludath3139
    @henryludath3139 Pƙed 3 lety

    Asante bro

  • @salehali4saleh19
    @salehali4saleh19 Pƙed 3 lety +10

    Hao wote nishakutana nao ila nimewapiga na chini na kwa sasa naishi peke yangu naamini rafiki wa kweli ni Allah

  • @rpgmovies.350
    @rpgmovies.350 Pƙed 3 lety

    Nipo nao maadui wa namna hiyo wote kabisa kama ulijua ulijua bro asante sana.

  • @upperclass68
    @upperclass68 Pƙed měsĂ­cem

    aisee somo la leo limenigusa sana kaka joel endelea hivyohivyo

  • @safiaomar429
    @safiaomar429 Pƙed 3 lety

    Hey . You are a good conseiller

  • @momkabura8955
    @momkabura8955 Pƙed 2 měsĂ­ci

    Kaka hakika asante sana wapo na tupo nao mimi nimeshawaham kwa sasa nipo mbali nao sana na naendelea kuondokana nao

  • @beatricemshubi479
    @beatricemshubi479 Pƙed rokem

    God bless u mom nimekuta a sana na kain na penina

  • @ramadhanalmashamza3458
    @ramadhanalmashamza3458 Pƙed 10 měsĂ­ci +1

    Ubarikiwe sana kaka

  • @leilalusekelo153
    @leilalusekelo153 Pƙed rokem +1

    Daah wote hao tunaishi nao kwa akili sana maana ukikaa vibaya tu🐍🐍 kaka Joel Mungu akubariki sana nazid kujifunza zaid

  • @kuruthumcharles626
    @kuruthumcharles626 Pƙed 3 lety

    asante kutufumbua macho delila mbaya sana unajua mwenzio kumbe mbaya du

  • @cecylianhumbi2672
    @cecylianhumbi2672 Pƙed 3 lety

    Nimekutana nao Sana hasa adui hamani,,, ubarikiwe sana kwa masomo mazuri

  • @_benytz1573
    @_benytz1573 Pƙed 3 lety

    Nilichogundua ndio maan hata wealth people huwa hawapendi sana kuwa na watu ovyo ovyo.....nafkr ni kwa sababu ya kuminimize that enemies.......tunahitaji kumuomb sana mungu juu ya hili kwenye kuliepuka....

  • @aminatundondege9384
    @aminatundondege9384 Pƙed 3 lety

    Kaka Joel mmh!yaani ni kweli kabisa !unachosema ndivyo ninavyokutana nao,mie nina adui Delila na Kaini,yaani tena wa karibu sana.Asante kwa kunifungua macho zaidi,yaani wakati mwingine unajiuliza kwani kuna shida gani?

  • @kelvooonowbert7427
    @kelvooonowbert7427 Pƙed rokem

    Asante mwalim

  • @justinmsigwa1791
    @justinmsigwa1791 Pƙed 3 lety

    Mungu akuzidishie nguvu Zaid coz masomo yako kwakweli yanamafunzo makubwa Sana mkuu

  • @SHILECKIZACHARIA
    @SHILECKIZACHARIA Pƙed měsĂ­cem

    Kaka kaka Mungu akubariki adui Kaini alinitesa saaaaaaana! Yaaaani walinitesa jamani ! Niliwapenda ndugu zangu wa damu niliwasidia! Ila mwisho wa siku hiiiiiii walichonifanya kina kaini! Hadi mamaangu , kumbe nilikuwa sijui kama huwa wananiombea mabaya ndugu zangu! Hadi wakanitamkia kabisa, una nini nawewe, mshahara wako wenyewe wakununua pedi tu! Anayesema hivyo, nimemsaidia jamani ! Uwiiiiii ni mdogo wangu kabisa! Nimelia jamani! Ndugu zangu wameniliza, nilipambana kusoma na wao hawakusoma! Basi uwiiiiiiii ! Jamani ila kwa sasa baada ya kujua vizri kwakweli nimeamua kupambana na maisha yangu huku nikifuata ushauri wako! Kwakwelinimekuja kwako wakati sahihi! Naomba nipone nina majeraha yanamwaga damu nyekundu mno! Halafu nilipoharibikiwa wakanitenga!!!! Wakamshawishi mpka mama, nae akanichukia, wakaingia mpka kwenye ndoa yangu! Mpka kwa majirani! Uwiiiii mwalimu! Itoshe tu kusema Mungu akuinue zaidi!

  • @otiliahaule5180
    @otiliahaule5180 Pƙed 3 lety +1

    Mungu wambinguni naomba uniepushie maadui zangu

  • @aishanasri7561
    @aishanasri7561 Pƙed 2 lety

    Nafurahishwa katika mafundisho yako

  • @niriacatering172
    @niriacatering172 Pƙed 3 lety

    Asante sanaa

  • @anordjohn6624
    @anordjohn6624 Pƙed 2 lety

    God bless you kaka maisha yangu yameanza kubadilika kupitia videos zako ninazo ziangalia Kila siku

  • @meijomakeseni4747
    @meijomakeseni4747 Pƙed 2 lety

    Ubarikiwe mpendwa joel

  • @anisetaberi3093
    @anisetaberi3093 Pƙed 3 lety +6

    Kaka kaka be blessed umekuwa msaada sana in mylife

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 3 lety +1

      Nashukuru sana, tuendelee kujifunza

    • @latiphakiwelu8394
      @latiphakiwelu8394 Pƙed 2 lety

      @@joelnanauka kweli mtumishi wa mungu jmn ni kweli kbs MUNGU niponye

    • @latiphakiwelu8394
      @latiphakiwelu8394 Pƙed 2 lety

      @@joelnanauka minimewahi kukutana nap wote Mtumishi wa MuNGU

  • @barakacharo5967
    @barakacharo5967 Pƙed 2 lety

    Uko sawa bro 🙏nimewaona sana watu kama hao .

  • @wilfredlukumay6311
    @wilfredlukumay6311 Pƙed rokem +1

    Kwa kweli haya yote nimesha kutana nayo. Huyu wa nne nimekaa naye muda mrefu sana,ila Mungu alikua upande wangu.

  • @MwambaDidier-wq4qu
    @MwambaDidier-wq4qu Pƙed 5 měsĂ­ci

    Niaje unaweza kujilinda hao aina zamaadui nanivipi unaweza ukawapiganishe kwakuwakomeshe ili wasije wakayaharishe maisha yako ,nafurahiya masomo yako muchungaji.

  • @almannahcompany2365
    @almannahcompany2365 Pƙed rokem

    Mwalimu ahsante Sana huyo adui wa tatu alikuwa ni mama yangu mkubwa,aisee alisimama ila hakuweza mungu akanipa ushindi.

  • @Bintilundo3362
    @Bintilundo3362 Pƙed 2 lety

    Mungu awe msaada wa ulinzi wa maisha yetu

  • @annamallya8756
    @annamallya8756 Pƙed 3 lety

    Ubarikiwe sana kaka,najifunza mengi sana.Mwenyezi Mungu akujaalie maisha marefu

  • @jeanbb1385
    @jeanbb1385 Pƙed 3 lety

    Asante sana

  • @mwajumamwishehe2743
    @mwajumamwishehe2743 Pƙed 3 lety

    Asante sana kaka mimi ote hao nakutana nao

  • @reginaldipeter2272
    @reginaldipeter2272 Pƙed 2 lety

    Haya nakutana nayo JEHOVAH NISS ,WARUMI 8:37 Atatushindia Mungu akuinulie watu sahihi wa kukuombea Siku zote

  • @lotionetv2833
    @lotionetv2833 Pƙed 3 lety

    Aise kaka Joel Mungu asogeze uwepo wako ktk tasinia hii ili watu wake Mungu na wale wanaovutwa kuwa wabaya tubadilike.

  • @s.j3futureprediction287
    @s.j3futureprediction287 Pƙed 2 lety

    Thank you

  • @neemaamon4960
    @neemaamon4960 Pƙed 3 lety +3

    Nimekutana na kaini,Delila na hamani hivi Sasa ananitesa sanaaa

  • @imaniisaya8377
    @imaniisaya8377 Pƙed 3 lety

    Umetisha kaka Amini watu Hawa wapo Sana wanaturudisha nyuma

  • @levinalyimo6240
    @levinalyimo6240 Pƙed rokem

    Jaman kweli umenifundisha Sana kuhusu Hawa maadui hasa huyu Kain. Napenina mungu akupu miaka mingi uendelee kutufundisha hakika wewe no doctor

  • @phocuskifaluka9027
    @phocuskifaluka9027 Pƙed rokem

    Yaaan ninao wote aise. Dahhh. Joel. Bg up kaka

  • @aash4145
    @aash4145 Pƙed rokem

    Shukrani kaka kwa tupa elimu

  • @MajengoNyuki-vz2wb
    @MajengoNyuki-vz2wb Pƙed rokem

    Asante kaka

  • @irenewanyonyi5923
    @irenewanyonyi5923 Pƙed 3 lety

    Mimi nimekutana na hao maadui wote wanne Asante kwa kunipatia elimu

  • @hadijajohn7434
    @hadijajohn7434 Pƙed 2 lety

    Yani kweli kabisaa wanawivuu sana

  • @lucianambalamwezi1864
    @lucianambalamwezi1864 Pƙed 2 lety

    Yaani nimejifunza kaka asante sana

  • @user-qy7wv3xv4o
    @user-qy7wv3xv4o Pƙed měsĂ­cem

    Kweli kabisa Mimi ninandugu yangu ila utasjabu unakuta mtu ananiulizia anataka tuonane akiulizwa tu huwaambia jamaa amesafiri mara unapokutana nahuyo anayekutafta anabaki na mshangao kweli.