Tangu nimepata kazi kwenye hii kampuni, nimekutana na maadui watatu wa kwanza. Ila Mungu kanipigania na sasa niko ktk kitengo ambacho, hawana access kubwa ya kuniathiri. Ila Namshukuru Mungu sana.
Toka nimekujua kaka sijawahi ona kama napoteza MB zangu,thanks much stay blessed Mungu akupe mbawa za tai uruke mbaali na maadui wote,tuzidi tupate elimu zaidi.
Mungu akupe maisha marefu maan umenipa hamasa zaidi juu ya ujasiri I thought that I was nothing in this world but through your videos,now I see the greatness inside me
Daaaaahh yaani kaka Joel mm hao wote nimekuta nao pia nimebaki Na maumivu moyon ,Ila ninaamini kupitia makala zako nitapona kwa haraka zaidi ,pia nimepata njia ya kuwaepuka kaka,ubarikiwe kaka Joel kwa mafundisho yako maana napata faraja kubwa sn .....
Namshukuru Mungu kwa ajili yako japo dunia imefika nyakati zilizosemwa Mungu hajatuacha ameleta watu kina Joel Mungu asante bado unatupenda ubarikiwe JOEL
Ikiwa ningejuwa hii miaka saba iliopita singekuwa jinsi nilivyo. Nimekutana na maadui wote hao maishani mwangu hadi sasa nina maumivu yalio sababishwa na maadui. Kwa kweli hili ni somo kubwa kwa wale hasa hawajakutana na baadhi ya maadui hawa. Hata na mimi itazidi tu kunifungua macho. Asante sana Joel N. Tuko pamoja sana kk nikiwa hapa đșđž.
Asante kwa somo zuri sana.Huyo adui kaini nimekutana nae ameniumiza sana sana ila nimemgundua nimeamua kukaa nae mbli ,asante kwa kunikomboa fikira zangu ubarikiwe kwa somo zuri
Kwa kipindi ninachopitia inawezekana kabisa kwamba kuna adui. Ni nani adui wangu kusema ukweli sijui. mambo ni mengi na kama unavyo jua huu wakati hatuambatani na watu. Mimi nafuata ushauri wa Mungu kwamba nipende watu wote na kwamba adui wangu ni adui wa Mungu wangu, na naamini kwamba Mungu atamshughulikia. Ahsente kwa maeleyo ninajifunza mengi. ubarikiwe
Asante kaka !! adui yangu no moja Ni penina alikua karbu sana kila nitakachofanya anajifanya mwema kwangu kumbe ni Mt mbaya kwangu, no mbili ni kaini ni mtu ambaye nilikua nashea nae changamoto zangu za biashara anasikitika na mm kumbe ni muongo moyoni anajua anachokifanya na hata kama Nina shida na pesa kiasi ananipatia kumbe ni kaini hatari ila namshukulu mungu nimemfahamu
Nilichogundua ndio maan hata wealth people huwa hawapendi sana kuwa na watu ovyo ovyo.....nafkr ni kwa sababu ya kuminimize that enemies.......tunahitaji kumuomb sana mungu juu ya hili kwenye kuliepuka....
Kaka Joel mmh!yaani ni kweli kabisa !unachosema ndivyo ninavyokutana nao,mie nina adui Delila na Kaini,yaani tena wa karibu sana.Asante kwa kunifungua macho zaidi,yaani wakati mwingine unajiuliza kwani kuna shida gani?
Kaka kaka Mungu akubariki adui Kaini alinitesa saaaaaaana! Yaaaani walinitesa jamani ! Niliwapenda ndugu zangu wa damu niliwasidia! Ila mwisho wa siku hiiiiiii walichonifanya kina kaini! Hadi mamaangu , kumbe nilikuwa sijui kama huwa wananiombea mabaya ndugu zangu! Hadi wakanitamkia kabisa, una nini nawewe, mshahara wako wenyewe wakununua pedi tu! Anayesema hivyo, nimemsaidia jamani ! Uwiiiiii ni mdogo wangu kabisa! Nimelia jamani! Ndugu zangu wameniliza, nilipambana kusoma na wao hawakusoma! Basi uwiiiiiiii ! Jamani ila kwa sasa baada ya kujua vizri kwakweli nimeamua kupambana na maisha yangu huku nikifuata ushauri wako! Kwakwelinimekuja kwako wakati sahihi! Naomba nipone nina majeraha yanamwaga damu nyekundu mno! Halafu nilipoharibikiwa wakanitenga!!!! Wakamshawishi mpka mama, nae akanichukia, wakaingia mpka kwenye ndoa yangu! Mpka kwa majirani! Uwiiiii mwalimu! Itoshe tu kusema Mungu akuinue zaidi!
Kweli kabisa Mimi ninandugu yangu ila utasjabu unakuta mtu ananiulizia anataka tuonane akiulizwa tu huwaambia jamaa amesafiri mara unapokutana nahuyo anayekutafta anabaki na mshangao kweli.
Nimekuelewa brother' ww nimkombozi wa fikra mungu akupe maisha marefuuuuu!
Tangu nimepata kazi kwenye hii kampuni, nimekutana na maadui watatu wa kwanza. Ila Mungu kanipigania na sasa niko ktk kitengo ambacho, hawana access kubwa ya kuniathiri. Ila Namshukuru Mungu sana.
Sasanasana uyu hamani uyu ndio yupo ananizingra
Toka nimekujua kaka sijawahi ona kama napoteza MB zangu,thanks much stay blessed
Mungu akupe mbawa za tai uruke mbaali na maadui wote,tuzidi tupate elimu zaidi.
Kwanza asante Sana kwa kutupatia elimu kweli binafsi nashukur, mim nimeshakutana na Hawa maadui ila Adui Kaini daaa anatisha saana
Mungu akupe maisha marefu maan umenipa hamasa zaidi juu ya ujasiri I thought that I was nothing in this world but through your videos,now I see the greatness inside me
Daaaaahh yaani kaka Joel mm hao wote nimekuta nao pia nimebaki Na maumivu moyon ,Ila ninaamini kupitia makala zako nitapona kwa haraka zaidi ,pia nimepata njia ya kuwaepuka kaka,ubarikiwe kaka Joel kwa mafundisho yako maana napata faraja kubwa sn .....
Dah!!! Haya yote yamenitokea kwenye maisha. Asante kwa mafundisho yako mazuri ndugu.
Sawa brother
Namshukuru Mungu kwa ajili yako japo dunia imefika nyakati zilizosemwa Mungu hajatuacha ameleta watu kina Joel Mungu asante bado unatupenda ubarikiwe JOEL
Ikiwa ningejuwa hii miaka saba iliopita singekuwa jinsi nilivyo. Nimekutana na maadui wote hao maishani mwangu hadi sasa nina maumivu yalio sababishwa na maadui. Kwa kweli hili ni somo kubwa kwa wale hasa hawajakutana na baadhi ya maadui hawa. Hata na mimi itazidi tu kunifungua macho.
Asante sana Joel N. Tuko pamoja sana kk nikiwa hapa đșđž.
đđ»đđ» pamoja sana
kaka huwa nakuelewa sana mungu akubarki sana
broo naomba utusaidie sana maana hao ndoo tuko nao ktk maisha yetu
Asante sana kutusaidia zaidi na zaidi kufafanua, kuielewa Biblia na kuhusuanisha na maisha. Mungu akubariki sana.
I appreciate......Natamani pia kufahamu tunawezaje kuishi nao au kukabiliana nao wasilete madhara kwetu....Thank you very much.....
Kaka wote hao ekutana nao,wmenifanya nilie sana na kukosa tumaini ila now namwamini Mungu tyu ndio rafiki mzazi mshauri ubarikiwe kaka Joelđđ
Nilishakutana nao maadui hao nilichofanya ni kuwapuuza
@@saidiramadhani2883 yaan wanachochea ungovi pia na roho za chuki
Usilie
Adui penina nomekutana NAYE nimuepukaje
Haman pia NAYE nomekutana NAYE hasa KWENYE mambo ya kiroho
Brother be blessed sana MUNGU anakutumia kuwakomboa vijana katika fikra na uchumi
Yes...you are a great Man... perfect
Kwangu Mimi takribani mahadui wote wanne wamegusa maisha yangu. Ndio maana mpaka sasa sijui nani wakumwamini. Tunashukuru sana kwa somo na Mada hii
Hao tunao huku mtaani
Duh shukrani Sana nimejifunza
Asante Mungu ,kwa zawadi hii ..kutoka kwa kaka Joel Nanauka
Asante sana kwa mafundisho yako nimejuwa aina za maadui
Thanks kwa elimu yako kubwaa
đđđđđuwiih Kain na Delila Penina Ni mtu mmoja ana tabia za hao wote .....ila nimejifunza Asante...
Asante Kwa mafundisho mazuri jinsi ya kukaa na marafiki Mungu akutunze na kukupa mafunuo zaidi.
Jomn uyu Kaka namuelewa mmpk namuelewa tena mashallah Allah akupe siha na afya ilokua mzr
Jamani sina chakusema mungu pekee ndiyo tumaini langu pekee mungu akubaliki kaka endelea kututia moyo tulio vijika đđŒđđŒ
Asante kwa somo zuri sana.Huyo adui kaini nimekutana nae ameniumiza sana sana ila nimemgundua nimeamua kukaa nae mbli ,asante kwa kunikomboa fikira zangu ubarikiwe kwa somo zuri
You are a professor of the reality.
Asante kwa ujumbe ubarikiwe
Cna cha kusema juu yakoâ„ïžâ„ïžâ„ïžmungu akuweke zaid uzid kutupa madiniđđđyang dua tu my lovely broođđđ
Ahsante sana Nanauka kwa mafunzo yako mungu akupe maisha marefu enye uzima ndaniake đ€
Ni kweli kaka maana unayoyazungumza kwenye makala hii nayaona ktk mazingira ya kaz, nakutana na kila aina ya maadui hawa, asante mungu akubarki!
Thank you for good reason
Naona kuna mmoja kabeba kombe kaka Joel maana aina zote 4 zinamuhusu, namshukuru Mungu nimemjua, ubarikiwe Kaka
đđđ eti kombe
@@joelnanauka ndio maana kabeba yooote đ đ đ
Asante sana brow nimikubari waminitokeya watu kamawo
Asee! Hiii imenigusa sana kama Unanijuwa Mungu akutangulie popote Uwendaka!Joel Nanauka.
Na ni kweli lazima kuomba Mungu sana,ili akujuze na kukuepusha maadui hao,ni hatari!
Asante Kwa mafundisho
Asante sana Joel đ
Thank Joel
Amen đđđ nikweli.nimejifunza utofauti wa maadui
Asante kaka joel
very good advise
Asante kwa kutujuza
Umenitoa mbali sana my brother from another mother ubarikiwe Sana mpaka ushangae
Dah,,,,ahsante Sana, hasa haps nibora kua mwenyewe mwenyewe tu
God is able in every seasons
Asante braza nimeelew
Kaka God bless you kwa kweli Mungu amekuleta kwa kusudi hapa Tanzania
Dh kaka asante sana nakuelewa hayo yote unayo yasema yapo kweri mungu akubaliki kutukumbusha na kutuelimisha
Asante sana kwakutuonya
Nskupenda sana kwa elimu unayotupa kwa kwelibinatisaidia sana asante sana kaka. Mungu akubariki. Amin
Kwa kipindi ninachopitia inawezekana kabisa kwamba kuna adui. Ni nani adui wangu kusema ukweli sijui. mambo ni mengi na kama unavyo jua huu wakati hatuambatani na watu. Mimi nafuata ushauri wa Mungu kwamba nipende watu wote na kwamba adui wangu ni adui wa Mungu wangu, na naamini kwamba Mungu atamshughulikia. Ahsente kwa maeleyo ninajifunza mengi. ubarikiwe
God be with you
YĂ aani advice zako ni dawa na tiba tosha M/Mungu akuzidishie Kwa kile ulichonacho kaka angu đ.
Asante kaka !! adui yangu no moja Ni penina alikua karbu sana kila nitakachofanya anajifanya mwema kwangu kumbe ni Mt mbaya kwangu, no mbili ni kaini ni mtu ambaye nilikua nashea nae changamoto zangu za biashara anasikitika na mm kumbe ni muongo moyoni anajua anachokifanya na hata kama Nina shida na pesa kiasi ananipatia kumbe ni kaini hatari ila namshukulu mungu nimemfahamu
Tunaishi nao Sana hao.
Ur blessed
Asante kaka uzidi kuwa bora na uje na mada ya ujana maji ya moto.
Unapendwa na MUNGU BABA siyo bure uwezo huo alikuandaa kwa namna yake I trust you our Kaka
Asante Sana Bro Joel Nanauka MUNGU aendelee kukulinda Sana đ
Ameen, Charles
Asante bro
Hao wote nishakutana nao ila nimewapiga na chini na kwa sasa naishi peke yangu naamini rafiki wa kweli ni Allah
Nipo nao maadui wa namna hiyo wote kabisa kama ulijua ulijua bro asante sana.
aisee somo la leo limenigusa sana kaka joel endelea hivyohivyo
Hey . You are a good conseiller
Kaka hakika asante sana wapo na tupo nao mimi nimeshawaham kwa sasa nipo mbali nao sana na naendelea kuondokana nao
God bless u mom nimekuta a sana na kain na penina
Ubarikiwe sana kaka
Daah wote hao tunaishi nao kwa akili sana maana ukikaa vibaya tuđđ kaka Joel Mungu akubariki sana nazid kujifunza zaid
asante kutufumbua macho delila mbaya sana unajua mwenzio kumbe mbaya du
Nimekutana nao Sana hasa adui hamani,,, ubarikiwe sana kwa masomo mazuri
Nilichogundua ndio maan hata wealth people huwa hawapendi sana kuwa na watu ovyo ovyo.....nafkr ni kwa sababu ya kuminimize that enemies.......tunahitaji kumuomb sana mungu juu ya hili kwenye kuliepuka....
Kaka Joel mmh!yaani ni kweli kabisa !unachosema ndivyo ninavyokutana nao,mie nina adui Delila na Kaini,yaani tena wa karibu sana.Asante kwa kunifungua macho zaidi,yaani wakati mwingine unajiuliza kwani kuna shida gani?
Asante mwalim
Mungu akuzidishie nguvu Zaid coz masomo yako kwakweli yanamafunzo makubwa Sana mkuu
Kaka kaka Mungu akubariki adui Kaini alinitesa saaaaaaana! Yaaaani walinitesa jamani ! Niliwapenda ndugu zangu wa damu niliwasidia! Ila mwisho wa siku hiiiiiii walichonifanya kina kaini! Hadi mamaangu , kumbe nilikuwa sijui kama huwa wananiombea mabaya ndugu zangu! Hadi wakanitamkia kabisa, una nini nawewe, mshahara wako wenyewe wakununua pedi tu! Anayesema hivyo, nimemsaidia jamani ! Uwiiiiii ni mdogo wangu kabisa! Nimelia jamani! Ndugu zangu wameniliza, nilipambana kusoma na wao hawakusoma! Basi uwiiiiiiii ! Jamani ila kwa sasa baada ya kujua vizri kwakweli nimeamua kupambana na maisha yangu huku nikifuata ushauri wako! Kwakwelinimekuja kwako wakati sahihi! Naomba nipone nina majeraha yanamwaga damu nyekundu mno! Halafu nilipoharibikiwa wakanitenga!!!! Wakamshawishi mpka mama, nae akanichukia, wakaingia mpka kwenye ndoa yangu! Mpka kwa majirani! Uwiiiii mwalimu! Itoshe tu kusema Mungu akuinue zaidi!
Mungu wambinguni naomba uniepushie maadui zangu
Ameen
Nafurahishwa katika mafundisho yako
Asante sanaa
God bless you kaka maisha yangu yameanza kubadilika kupitia videos zako ninazo ziangalia Kila siku
Ubarikiwe mpendwa joel
Kaka kaka be blessed umekuwa msaada sana in mylife
Nashukuru sana, tuendelee kujifunza
@@joelnanauka kweli mtumishi wa mungu jmn ni kweli kbs MUNGU niponye
@@joelnanauka minimewahi kukutana nap wote Mtumishi wa MuNGU
Uko sawa bro đnimewaona sana watu kama hao .
Kwa kweli haya yote nimesha kutana nayo. Huyu wa nne nimekaa naye muda mrefu sana,ila Mungu alikua upande wangu.
Niaje unaweza kujilinda hao aina zamaadui nanivipi unaweza ukawapiganishe kwakuwakomeshe ili wasije wakayaharishe maisha yako ,nafurahiya masomo yako muchungaji.
Mwalimu ahsante Sana huyo adui wa tatu alikuwa ni mama yangu mkubwa,aisee alisimama ila hakuweza mungu akanipa ushindi.
Mungu awe msaada wa ulinzi wa maisha yetu
Ubarikiwe sana kaka,najifunza mengi sana.Mwenyezi Mungu akujaalie maisha marefu
Ni kweli kabisa
Asante sana
Asante sana kaka mimi ote hao nakutana nao
Haya nakutana nayo JEHOVAH NISS ,WARUMI 8:37 Atatushindia Mungu akuinulie watu sahihi wa kukuombea Siku zote
Aise kaka Joel Mungu asogeze uwepo wako ktk tasinia hii ili watu wake Mungu na wale wanaovutwa kuwa wabaya tubadilike.
Thank you
Nimekutana na kaini,Delila na hamani hivi Sasa ananitesa sanaaa
Umetisha kaka Amini watu Hawa wapo Sana wanaturudisha nyuma
Jaman kweli umenifundisha Sana kuhusu Hawa maadui hasa huyu Kain. Napenina mungu akupu miaka mingi uendelee kutufundisha hakika wewe no doctor
Yaaan ninao wote aise. Dahhh. Joel. Bg up kaka
Shukrani kaka kwa tupa elimu
Asante kaka
Mimi nimekutana na hao maadui wote wanne Asante kwa kunipatia elimu
Yani kweli kabisaa wanawivuu sana
Yaani nimejifunza kaka asante sana
Kweli kabisa Mimi ninandugu yangu ila utasjabu unakuta mtu ananiulizia anataka tuonane akiulizwa tu huwaambia jamaa amesafiri mara unapokutana nahuyo anayekutafta anabaki na mshangao kweli.