Video není dostupné.
OmlouvĂĄme se.

Usiwe Mtumwa Anza Kuishi Ndoto Zako - Joel Arthur Nanauka

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 19. 11. 2018
  • đŸ”„đŸ”„đŸ”„ Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... đŸ”„đŸ”„đŸ”„

Komentáƙe • 264

  • @claraprosper8642
    @claraprosper8642 Pƙed 5 lety +14

    Asante kaka...Ni wachache sana wanaojua kwanini wanaishi na kufurahia maisha.. Tunashukuru kwa kuendelea kutukumbusha mana mabadiliko yanaanza ndani ya mtu.."Nothing changes until your mind changes".Asante.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety +3

      Refuse To Give Up
      #SeeYouAtThetop

    • @yahyahamza5934
      @yahyahamza5934 Pƙed 5 lety +1

      @@joelnanauka hongera kaka kwa somo zuri kwa kwel unatusaidia sana mungu akubarik na akutangulie pia

    • @ngwavi2886
      @ngwavi2886 Pƙed 3 lety

      Daaah mim nina utumwa wa Kazi

  • @successpathnetwork
    @successpathnetwork Pƙed 5 lety +26

    Asante kwa somo kubwa sana kaka. Jamii yetu sehemu kubwa ni wahanga wa mambo yote hayo uliyoeleza. May the God bless you in this my brother. #GoodStuff

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Pƙed rokem

    Nimekuw mtumwa miaka mingi kwenye mausiano yangu nikiofia nikiondoka nitaishije na watoto,kwa bahati mzuri mme wangu aliondoka na kututelekeza lakini Maisha yanaendelea🙏pili ninafanyia biashara kwenye chumba kinachonigalim Sana kiss naona aibu jamii watanionaje watadai naama ama ovyo,KUANZIA leo yar25 natok kwenye ich chumba,mwaka u 2023 nitakupa jibu naendeleaj,

  • @selemanimkonga8150
    @selemanimkonga8150 Pƙed 5 lety +11

    Tulioko kwenye utumwa wa mapenzi tu like hapa ili Noel atuone kwa pamoja

  • @partedward3277
    @partedward3277 Pƙed 4 lety

    Kwema braza joeli mimi naitwa godfrey beneth mimi siyo mara ya kwanza nami niko katika maisha nawaza sana nimekubali kufanya kazi porini kwny hifadhi ya ngorongoro lodge ila bado nahisi sirizishwi na hii kazi ninalengo la muda mrefu katika biashara bado nahitaji mchango wako mkubwa nitoke huku niishi katika malengo yangu. Ahsante nategemea mchango wa mawazo yako

  • @harusiabdallahhmwanajuma-sd2rz
    @harusiabdallahhmwanajuma-sd2rz Pƙed 8 měsĂ­ci

    Nisaidie Kakanguuuu NATAMANII Kutimiza Ndoto ZANGUU Ilahh Nashindwa Sababuu Mwenye Nampendahh Sanahh Amesemahh Hawezi Nioa Nikiwa Muigizaji Inhali Hiyo NDIO Ndoto YANGUU Nahh Piahh Nikipajiii Nlicho Pewahh Nahh Mungu

  • @laeticiamalando9452
    @laeticiamalando9452 Pƙed 5 lety +1

    Braza Joel mm nakuelewa San, mm na tatizo mpk muda mwngne nafkia kukata tamaa ya maisha,nimezaliwa mwaka 1987,nmesoma mpk chuo,lkn mwaka wa kwanza nldsco chuo,dream yangu nataka kuwa mtangazaj,mpk sas ndoto zangu zmekufa kabisa nifanye nn il nirud kwny ndoto yangu,na nlikuwa nksoma "mass communication" hapo chuo kikuu cha dar es salaam

  • @mobilesolution2413
    @mobilesolution2413 Pƙed 5 lety +4

    Daaah somo kubwa sana hili sehemu nyingine akuna kaka wewe umebalikiwa sna mungu azidi kukufungulia ufahamu zaidi. kitu nilicho jifunga utumwa wa kazi

  • @lucymgata9721
    @lucymgata9721 Pƙed 4 lety +1

    Kaka ahsante sana najifunza na hakika nimeanza kubadilika

  • @essaumbises5732
    @essaumbises5732 Pƙed 5 lety

    Asante Kaka Joel .ninataka niache kazi ni nayofanya Kwa sasa nianze kujiajiri mwenyewe je ntafanyaje Kwa sababu nimefanya hii kazi kwa muda mrefu Sana so ninaona tabu Sana

  • @neemacharles8133
    @neemacharles8133 Pƙed 5 lety +6

    asante sana brother kadri siku zinavyoenda naona maisha yangu yanabadilika kupitia video zako Mungu akubariki sana

  • @isackmaloha-vk7hm
    @isackmaloha-vk7hm Pƙed rokem

    Nimekuerewa sans kaka na nakupenda na katika hili nimegundua utumwawangu na nimeamua kuchukua hatua kuanzia leo

  • @dorahmatitu2554
    @dorahmatitu2554 Pƙed rokem

    Asante sana kaka. Ushauli mzr mno utumwa n Mtihan mkubwa kiukwer. Umenifumbua sana inanibidi nichukue hatua. Mungu atusaidie sana. Ubarikiwe sana my kaka.

  • @malalezengo4405
    @malalezengo4405 Pƙed 5 lety +3

    asate sana mwalimh wetu ubarkiwe sana

  • @speciozakaloli
    @speciozakaloli Pƙed 14 dny

    Kweli kabisa

  • @greadyhebron3469
    @greadyhebron3469 Pƙed 4 lety

    Asante sana brother umenifungua sana akili mm niko katika utumwa wa mahusiano yaan nashindwa kabisa kua katika njia yangu ya kutimiza malengo

  • @judemazho9612
    @judemazho9612 Pƙed 5 lety +5

    Aaaa true, I enjoy doing what am doing for 10+ years, but I feel like I should be advancing in high scale but..... Courage.. Sina Kabisa, kusema Ukweli.....

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety +1

      Refuse To Give Up
      #SeeYouAtThetop

    • @judemazho9612
      @judemazho9612 Pƙed 5 lety

      @@joelnanauka
      Thank you, will not give up in Jesus Name!

  • @thearobart4248
    @thearobart4248 Pƙed 2 lety

    MUNGU atubarikie sana Mwalimu wetu. Somo zuri

  • @bitemwita6809
    @bitemwita6809 Pƙed 5 lety +1

    nashukuru kwa somo ila mimi nilishajikomboa na mafundisho yako ndo yaliyonibadilisha ahsante sana

  • @ngubwene
    @ngubwene Pƙed 5 lety +4

    Maneno yenye Busara na Hekima .
    Ubarikiwe mno Sir Joel

  • @clarajames3151
    @clarajames3151 Pƙed 5 lety +5

    Dah, asante sana ata mim huwanimtumwa wakurthisha watu kwel, itabid nibadilike brother

  • @gracegrace2561
    @gracegrace2561 Pƙed 5 měsĂ­ci

    Asante sana kaka mungu azidi kukulinda akupe maisha marefu

  • @mwambauliohai5043
    @mwambauliohai5043 Pƙed 5 lety

    utumwa wa kuridhisha watu hii kitu naona kilikuwa kinaninyemelea.Asante kwa somo

  • @mahmodsaid8632
    @mahmodsaid8632 Pƙed 4 lety

    Ubalikiwe sana ndugu najifunza mengi tangiya nilivyokufaham shuklani

  • @babalois7240
    @babalois7240 Pƙed 5 lety +4

    Ameen Sir #Nanauka... Kukataa Utmwa,Mungu azidi kufungua fikra zetu

  • @fatmaa8557
    @fatmaa8557 Pƙed 5 lety +3

    Kabisa kaka,nashukuru nilishagundua utumwa c uwezi sasa am happy ktk mahusiano yang,tisha sana kaka Joel

  • @mussajoshua8118
    @mussajoshua8118 Pƙed 5 lety +1

    Nimeelewa

  • @nurdinhamzahamza8758
    @nurdinhamzahamza8758 Pƙed 5 lety

    Hongera kaka acha mungu akubariki Ameen

  • @eltonmnunga8228
    @eltonmnunga8228 Pƙed 4 lety

    Great, nashukuru kwa hilo kaka. Ni kweli kbisa, Mimi mwenyewe ni mtumwa wa eneo mojawapo,l. Umenisaidie kujitathmn, kuamua na kuchua hatua

  • @hassanibakary8042
    @hassanibakary8042 Pƙed 2 lety

    Hi bro , nimeanza kufuatilia video zako mwaka huu na nimekuwa inspired , sijui kama utaisoma hii comment ila big up, kwenye utumwa wa kazi ndo shida hapo, tunafanya kazi sio kama tunzipenda ila hali ya kiuchumi ndo sababu.

  • @mwl.sologotv8138
    @mwl.sologotv8138 Pƙed 5 lety +2

    umenibadirisha Sana brother, barikiwa Sana zaid ya hapo ili wengi tufikie Malemgo yetu kupitia wewe. Maneno yako yanamulika mafanikio. You are My best insperational speaker Ever !!!

  • @pendokaburu7231
    @pendokaburu7231 Pƙed 5 lety

    Yaani umenigusa kwenye utumwa wa mahusiano sana sana ,,nisaidie

  • @linetnekesa7328
    @linetnekesa7328 Pƙed 5 lety +1

    shukurani kaka Joel

  • @justinmmbando5386
    @justinmmbando5386 Pƙed 5 lety +4

    Asante huu utumwa wa kisasa kabisa yaani bila fimbo wala mnyororo naamka asubuhi saa 10 unaelekea utumwani.
    Asante nanauka naanza kulifanyia kazi

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Pƙed 2 lety +1

    Congratulations MY brother wewe ni wathaamani sana nime Kuwa mpy now?!?

  • @alphamenson3784
    @alphamenson3784 Pƙed 5 lety +6

    Thank yo bro...diz is how i start ma great mornin....all glory goes to God

  • @deboramenard1855
    @deboramenard1855 Pƙed rokem

    Asante sana yaani yaani umeongea na Mimi kabisa Mungu akubariki

  • @victoriastephano4075
    @victoriastephano4075 Pƙed 4 lety

    yaan kaka angu umenigusa Sanaa daaah

  • @alsam4881
    @alsam4881 Pƙed 5 lety

    Asante kwa kutuelimisha,kuna ndugu yangu mmoja yupo ktk utumwa wa kazi,yeye anashirikiana na shemeji yake ktk biashara na kila siku anapewa posho ya sh. 5000 tu na kazi anaifanya yeye zaidi kuliko shemeji yake,na pesa zinazopatikana anachukuwa shemeji yake zote lakini mzigo wa biashara walichanga pamoja,Na nimeshajaribu kumshauri aondoke hapo sababu shemeji yake anamtumilia tu na mwisho wa siku hapati chochote zaidi ya posho,Na shemeji yake anamdanganya na kumwambia kila tunavyopata pesa tuongeze mzigo ili biashara ikuwe,ni kweli wanaongeza mzigo lakini pesa nyingi inaenda kwenye mikono ya shemeji yake huyo,maana kila siku anatowa sh. 12,000 kwa matumizi ya nyumbani kwake halafu anajifanya yeye kuchukuwa posho ya sh. 5,000 na ndugu yangu anapewa sh. 5,000,Sasa huyo ndugu yangu anaogopa kuondoka kwenye utumwa huo sababu anasema ni bora hapo anapata japo posho na anapata kula kwa siku lakini hana maendeleo maana sasa ni mwaka mzima umeshatimia,Hata sijui nimshauri vipi ili athubutu kuondoka na kuanza biashara yake mwenyewe.Naomba ushauri wako.

  • @muniraahmed8794
    @muniraahmed8794 Pƙed 2 lety

    Hongera kwa kutuelimisha. 😘

  • @salomemahenge1612
    @salomemahenge1612 Pƙed 3 lety

    Asante kakang daaah Mungu akubarikii sana🙋 mausiano ndo ilikua utumwa wangu mkubwa

  • @alexjulius7320
    @alexjulius7320 Pƙed 4 lety +1

    Upo sahihi Kaka, Mimi Ni mtumwa wa Namba mbili (kufanya Jambo nisilolipenda)

  • @sabatomjungu9727
    @sabatomjungu9727 Pƙed 5 lety +3

    Safi Sana ahsante kwa somo zuri

  • @maryhewasi8391
    @maryhewasi8391 Pƙed 5 lety

    Nikweli kaka mimi nimojawapo wamtu ambaye nimtumwa naomba unisaidie namna yakutoka Kaka nashukuru kwamafundisho yako

  • @agnesbruno7396
    @agnesbruno7396 Pƙed 4 lety

    Napenda sana mafundisho yako

  • @amirimsofe2460
    @amirimsofe2460 Pƙed 5 lety

    Elimu yako nimeipenda sana kaka kwakweli kama mtu akikufuatilia vizuri na kuchagua ndoto yako hakika unafanikiwa hakuna ambaye yeye kapangiwa umaskini umasikini wako ni wewe mwenyewe hakika asante sana kwa elimu ya bure brother

  • @exzaverymichale7673
    @exzaverymichale7673 Pƙed 5 lety +1

    Safi sana kaka!

  • @ebenernnko3339
    @ebenernnko3339 Pƙed 5 lety

    Kweli kaka Mimi nimtumwa maana nimeajiriwa lkn nimeshindwa kuacha kazi Wakati mm Nina biashara ambayo nimeajiri watu7 lkn mshaara wangu auwezi kuwalipa biashara ndio inawalipa Naomba Ushauri

  • @samohazakwani6899
    @samohazakwani6899 Pƙed 5 lety +1

    Asante sana kwa elimu yako unayotupa

  • @mancharedaniel4751
    @mancharedaniel4751 Pƙed 4 lety

    Mimi ni mfanyakazi wa serikali na sipendi hii kazi toka nikiwa chuo na sasa niko kazini ila naumia sana kuona bado ninaendelea kutumika kwa hii Nazi kwani naona sitafikia malengo yangu, UTUMWA WA KAZI. Naamini IPO siku nitatoka katika utumwa huu.

  • @citymaxbookshoptanzania2924

    Kweli kabisa Joel hilo ni jambo kubwa sana na utumwa umetufanya tushidwe kupiga hatua kwasababu tunaangalia watu wanasema nini na kutaka nini Joel respect sana kiukweli wewe ni baraka katka nchi.

  • @eliazalyemmanuel9478
    @eliazalyemmanuel9478 Pƙed 5 lety

    kwakweli kaka maneno haya yako vizuli ubarikiwe

  • @eliapendakileo4787
    @eliapendakileo4787 Pƙed 4 lety

    Nzuriii

  • @gembegeelias1254
    @gembegeelias1254 Pƙed 5 lety

    naendelea kubalikiwa na masom yako kaka nanauka. swal lang kwak naweza kutofautisha ndoto na msisimko au maono

  • @albeleenalberto158
    @albeleenalberto158 Pƙed 5 lety

    Tunakupenda

  • @athumanimganga370
    @athumanimganga370 Pƙed 5 lety +1

    Asante kk kwa ushauri

  • @ayshaal6957
    @ayshaal6957 Pƙed 5 lety

    Utumwa wa kazi

  • @Rashsany
    @Rashsany Pƙed 5 lety

    Utumwa wakaz teacher

  • @arthurmwakanyamale7651
    @arthurmwakanyamale7651 Pƙed 5 lety +1

    Asante sana mkuu

  • @mercygikaara9338
    @mercygikaara9338 Pƙed 5 lety +4

    Kazi yenye nafanya siipendi kabisa nimekuwa mtumwa natamani kuiasha ni fanye jambo lingine

  • @ndayizeyedesire8767
    @ndayizeyedesire8767 Pƙed 5 lety +2

    Asante sana nami pia maisha yangu anabadirika sna juuu video zakooo mungu akuwezesheye maisha yako Teacher

  • @mwanamkasihabibu9915
    @mwanamkasihabibu9915 Pƙed 5 lety +1

    Shukran Kaka mie ya 1 na 3 znansumbua nfanyeje il ntoke.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety

      Refuse To Give Up
      Nimekupa Na Jinsi Ya Kutoka Hapo Kwenye Video
      #SeeYouAtThetop

  • @diyaosman8992
    @diyaosman8992 Pƙed 5 lety +1

    Asante kaka ubarikiwe

  • @joseefaidabutu6467
    @joseefaidabutu6467 Pƙed 5 lety +1

    Umenijenga kaka

  • @sulleneytv3625
    @sulleneytv3625 Pƙed 5 lety

    Nzri sana

  • @omanjalan582
    @omanjalan582 Pƙed rokem

    Asante mr Joel

  • @hildegathhaule1471
    @hildegathhaule1471 Pƙed 5 lety

    amina kaka joel

  • @aminaissa4681
    @aminaissa4681 Pƙed 5 lety

    Naitwa AMINA issa ....Niko nje ya Tanzania nafanya kz nisiyoipenda ....naomba ushauri wako...

  • @bensonjohn5400
    @bensonjohn5400 Pƙed 2 lety

    Nice

  • @shanious9727
    @shanious9727 Pƙed 5 lety

    Dah aiseeh

  • @safiaabubakar1120
    @safiaabubakar1120 Pƙed 5 lety +1

    Utumwa hii ndio sababu wengine ilotufanya tuhame nchi zetu hili janga kubwa kwenye family zetu marafi zetu

  • @zainabomar5512
    @zainabomar5512 Pƙed 5 lety +1

    Asante kk

  • @oscargervas4587
    @oscargervas4587 Pƙed 3 lety

    You're good staff

  • @sofiakhamis202
    @sofiakhamis202 Pƙed 5 lety

    Asante sana ubarikiwe

  • @husnauthman7609
    @husnauthman7609 Pƙed 5 lety +1

    Thax sanaaa

  • @safiyasafiya5014
    @safiyasafiya5014 Pƙed 5 lety +4

    Umenigusa sana kaka mpaka machozi yamenitoka

  • @eunicesaumu7486
    @eunicesaumu7486 Pƙed 5 lety +4

    Thank you for opening my mind brother be blessed

  • @majaliwaminane6548
    @majaliwaminane6548 Pƙed 3 lety

    See you at the top

  • @estherwambui2678
    @estherwambui2678 Pƙed 5 lety

    Hii imenisaidia sana niko kwa utukwa wa kazi
    Kazi nzuri unafanya kaka Joel

  • @abubakarabubakar3482
    @abubakarabubakar3482 Pƙed 3 lety

    Bigup broo

  • @jackrinebenard5773
    @jackrinebenard5773 Pƙed 5 lety

    Abar mungu awabariki sana kwa elimu mnayo tupatia Piah karibun tena dodoma sido

  • @aliali3805
    @aliali3805 Pƙed 5 lety

    Mi ninautumwa wa kazi na mapenzi

  • @mariammariam2475
    @mariammariam2475 Pƙed 5 lety +2

    Asante na leo nimekuwa wa3 kukomente anywy mimi Utumwa nilio nao ni kufanya kazi ambayo sikutalajia kuifanya ila naifanya kwa sababu ya ugumu wa Maisha, Asante kaka sasa nitaanza kufanya Maamuz yangu.

  • @mwanakhamiskhamis3115
    @mwanakhamiskhamis3115 Pƙed 3 lety

    Sijui cha kufanya

  • @husnauthman7609
    @husnauthman7609 Pƙed 5 lety +2

    Utumwa me nipo ugaibun nafanya kaz japo cpend lakn najua ipo cku yataisha

  • @fatimaladha4876
    @fatimaladha4876 Pƙed 5 lety

    Mungu hakupe Maisha malefu uendelee kuelimisha Thank you

  • @hassanmsuya9057
    @hassanmsuya9057 Pƙed 5 lety

    Kaka nime kufwatilia nashukuru mungu kwa kwakukupa uwezo kama huo maana umetuelimisha wengi mungu akubariki kaka

  • @nuwatatv3838
    @nuwatatv3838 Pƙed 5 lety +1

    Nimeipenda

  • @jacobnduya798
    @jacobnduya798 Pƙed 3 lety

    Asante sana kwa lecture nzuri! Mimi ninapanga kuwa tofauti na watu hasa ninao kaa nao

  • @josephpatrick1792
    @josephpatrick1792 Pƙed 5 lety

    ushauri/elim unayotoa ina impact kubwa ,binafsi i can diagnose /evaluate my self . big up brother!

  • @Rashsany
    @Rashsany Pƙed 5 lety

    Asnte sna teacher nimepata ujacri san baada y kuangalia hii video kwanzia leo naamua kutoka katika utumwa wakaz..! Thanks teacher

  • @didyouknow7472
    @didyouknow7472 Pƙed 5 lety +1

    Asante bro.

  • @samwelrobert9687
    @samwelrobert9687 Pƙed 5 lety

    Asante kwa Somo bro JN nimekupata vyema na nitalifanyia kaz na kuelimisha wengine pia

  • @mariamogelasanayohana7442

    mimi kweri nimekuwa mutu mwa wakwajiriwa

  • @franciscolesilwa9406
    @franciscolesilwa9406 Pƙed 4 lety

    Nashukuru kwa elimu yako lakini Mimi binafsi naomba niweze kupata elimu zaidi juu ya namna ya kuondokana na utumwa wote was aina tatu tafadhali

  • @rajabuakbarismail1193
    @rajabuakbarismail1193 Pƙed 5 lety

    Kaka upo sahihi

  • @orestkisanga7886
    @orestkisanga7886 Pƙed 5 lety

    Hii nzuri unavyoandika kwa ufafanuz ktk video tofauti na awali

  • @latifahaji1663
    @latifahaji1663 Pƙed 4 lety

    Asante sana kaka nimejifunza jambo kubwa kutoka kwako,sikuwahi kujua mwanzoni.🙏

  • @Alama_Tv_online
    @Alama_Tv_online Pƙed 5 lety

    Kwa kweli nimeona kama unanisema Mimi katika utumwa wa kwanza ... Nitajitahidi kuchukua hatua

  • @erickathanas
    @erickathanas Pƙed rokem

    ❀ thanks sana