Nguvu zote ni nzuri bali mi ningependa kuwa katika EXPANT POWER nataka kuwa na kujikita zaidi katika kitu ninachotaka kukianzisha nataka baada ya miez au miaka niwe mtaalam zaidi juu ya hili ninalotaka kuanza kulifanya.. Ubarikiwe Kaka Joel unatufumbua masikio tunasonga mbele đź‘Ťđź‘Ťđź‘Ť
Nahitaji sana kuwa na Expert power mana nimekuwa Mtu wakunichangia ya san kwenye kazi bila kuwa na utaalam wowote na nashkuru Mungu ni referent power nnayo
expect power nataka niwe mtaalamu wa ufugaj wa kuku wa kienyeji wa mayai na wa nyama ila watu hunikatisha tamaa na kuzid kuua ñďòto ýà ñģù ushaur wako kaka angu il nitimize ñďòto ýà ñģù hyo ndo passion yangu
Haipiti cku bila kukusikiliza kaka Joel nanauka ktk ratiba zng za Kila cku napenda kukusikiliza asubuh wkt wa break na jioni Kuna vitu vikubwa sana najifunza kwako
Mungu akuzidishie nguvu na hekima mm ni miongoni mwa watu uliowatoa sehemu moja na kunipeleka sehemu nyengine nakupenda Sana na nakubali Sana umenitia nguvu Sana pale nilipokqta tamaa
Asante sana kwa kutengeneza video hili, Nikitazama mazingira yangu,sina connection power,sina legitimate power, but I will never give up developing my expert power, I will never loose my referent power and through my skills and specialisation,I believe I will be able to hold my referent power too Thx Joel Nanauka,your messages always has an impact in my life ❤❤❤
connection power ndo nahitaji zaidi na naomba unisaidie lkn pia expert power tayari nina general knowledge ninachohitaji ni specific knowledge na namna ya kupata watu maalum ktk hiyo specific area
Asant San nimejifunza mengi kupitia video hi. Ymkn ngv zote ni nzr ,me natamani Sana kuwa na ngv ya expart power Natamani kujifunza mengi na kuwa na ujuhi wa kutatua jmb kwa ulahisi bila kuumiza kichwa sn.
Cohesive, legitimate,Expant etc maneno haya hayana tafsir yake kwa kiswahili mbali na maelezo yake,Sio wote tunajua kizungu kaka. Elimu hii tunayoipata hapa twahitaji kuelimisha na wenzetu waipate,
Kaka Joel mm nipo ktk hiyo expert power coz Nina skills ambazo nahitaji kufanya how should I communicate with you ili unifundishe deeply according to my skill
Nilikuwa nakufatilia sana katika kila video unayopost kweli ninakushukuru sana nimejifunza mengi saana ahsante sana lkn naomba unisaidie kitu kimoja ambacho mpaka Leo ninakifanya lkn sijui nnafanya kivipi ambacho ni studying techniques or how to study kwa sababa mm bado ni mwanafunzi
Nguvu zote ni nzuri bali mi ningependa kuwa katika EXPANT POWER nataka kuwa na kujikita zaidi katika kitu ninachotaka kukianzisha nataka baada ya miez au miaka niwe mtaalam zaidi juu ya hili ninalotaka kuanza kulifanya.. Ubarikiwe Kaka Joel unatufumbua masikio tunasonga mbele đź‘Ťđź‘Ťđź‘Ť
Hallelujah
ubalikiw
Maryam Maram
For my self I prefer to use a expert power
Barikiwa” natengneza nguvu ya kuwa Guru kwenye maswala ya ufugaji wa kuku na incubators Hp nitafika kwa jina la Yesu
Somo zuri kiongoz,napenda kujifunza zaidi kupitia vipindi,vyako kutokana haya maisha yapo kwy kujifunza zaidi
Asante sana kaka mimi nataka kutumia EXPANT POWER katika kitu ninachotaka kusomea asante sana kaka Mungu akubariki
Nahitaji sana kuwa na Expert power mana nimekuwa Mtu wakunichangia ya san kwenye kazi bila kuwa na utaalam wowote na nashkuru Mungu ni referent power nnayo
expect power nataka niwe mtaalamu wa ufugaj wa kuku wa kienyeji wa mayai na wa nyama ila watu hunikatisha tamaa na kuzid kuua ñďòto ýà ñģù ushaur wako kaka angu il nitimize ñďòto ýà ñģù hyo ndo passion yangu
Unakuwa na nguvu zote au baadhi Ila persistence na continuation ni kikwazo...tatizo kwangu
Nashukuru sana kwa elimu hii...ningepeñda kujuana na watu waliyofanikiwa kibiashara.
Haipiti cku bila kukusikiliza kaka Joel nanauka ktk ratiba zng za Kila cku napenda kukusikiliza asubuh wkt wa break na jioni Kuna vitu vikubwa sana najifunza kwako
Nguvu ya kutengeneza hapo kwa upande wangu ni CONNECTION POWER ,kwani mbinu hiii itasaidia Mengi sana
Good
Asante sana, mimi natamani niwe na conection power
Nafurahia sana kwa masomo yako, kuna jambo natamani kushare na wewe, ukipata muda tuwasiliane, ubarikiwe na Bwana
Mungu akuzidishie nguvu na hekima mm ni miongoni mwa watu uliowatoa sehemu moja na kunipeleka sehemu nyengine nakupenda Sana na nakubali Sana umenitia nguvu Sana pale nilipokqta tamaa
Powerful. Thank you my brother
Ninaona hizo nguvu zote tayari unazo kaka Joel, siyo kwa passion hiyo ya kutaka kuwaona watu at the top, I love you Muheshimiwa
Asante Nashukuru
#SeeYouAtTheTop
Asante sana kwa kutengeneza video hili,
Nikitazama mazingira yangu,sina connection power,sina legitimate power, but I will never give up developing my expert power, I will never loose my referent power and through my skills and specialisation,I believe I will be able to hold my referent power too
Thx Joel Nanauka,your messages always has an impact in my life ❤❤❤
#SeeYouAtTheTop
network power aisee hii nilishaianzaga lakini sikua najua kwamba ni muhimu na sio vibaya kuitafuta! asante nanauka
Thanks brother nahitaj sana connect power network
Vizuri Ndugu Anza Leo
#SeeYouAtTheTop
Nakuewaga sana kka love u
Namshukuru Mungu kwa kukutumia ww ili nijue anasema nn namimi umenisaidia kuishi kwenye uwezo wangu wakipekee Mungu akubaliki sana kaka joel
We noma kaka nakukubli San mim nahitaji kua mfany biashar hebu niambie n kitu gan ambacho natkiw kufanya
Joel asante sana. Mimi ningependa kutengeneza zaidi nguvu ya kwanza.
Vizuri Ndugu Anza Leo
#SeeYouAtTheTop
connection power ndo nahitaji zaidi na naomba unisaidie lkn pia expert power tayari nina general knowledge ninachohitaji ni specific knowledge na namna ya kupata watu maalum ktk hiyo specific area
The power of expert nimeipenda zaidi
my morning lesson for today be blessed my Broo your the best
Thanks
#SeeYouAtTheTop
nguvu katika somo la chemistry
Asant San nimejifunza mengi kupitia video hi.
Ymkn ngv zote ni nzr ,me natamani Sana kuwa na ngv ya expart power
Natamani kujifunza mengi na kuwa na ujuhi wa kutatua jmb kwa ulahisi bila kuumiza kichwa sn.
Connection power
Ndg Joel mungu akubariki sana kwa masomo yako mazuri.
#SeeYouAtTheTop
Mimi nataka kuitengeneza kuvu ya Coherent Power. Mimi ni muimbaji so I find that the majority of people Loving me so much
Njema Kaka Sana Kaka Mungu akubarikiii
nahtaji sana expert power, asante bro joel
Good
Asante kwa kuendelea kutupa madini mimi nahitaji connection ya watu.
Naipenda zaidi connection power,nahisi inanisaidia mno, naipenda niifuatilie Zaidi.
For me ineed expert power for sure
Vizuri Ndugu Anza Leo
#SeeYouAtTheTop
Nataka connection power na wewe Joel uwe sehem ya connection yangu
asante ndogo wangu, nahitaji expert & connecting power. be blessed.
Vizuri Ndugu Anza Leo
#SeeYouAtTheTop
Ubarikiwe kwa somo nzuri
Hongera sana kaka kwa mafunzo mazuri.
natengeneza nguvu ya kuwa mrekebishaji magari bora
Vizuri Weka Nguvu Katika Eneo Hilo
#SeeYouAtTheTop
Asante kaka expert power
M nnahitaji kutenge neza connection power,nna amin katika ilo
Vizuri Anza Leo
Nimejifunza kitu hapa
Me nahitaji nguvu namba 1 iwe hiyo nd inanifaaa
Shukran kk, I think exp power & connection power
Good
#SeeYouAtTheTop
God bless you much
Connection power kaka yangu
Asante Sana Kaka Joel
Nguvu ya Network ndio ninayohitaji
Nishauri juu ya hili.
Vizuri Ndugu Anza Leo
#SeeYouAtTheTop
Asant brother me nahitaji mtu mwenye connection power
asante. good topic in life
#SeeYouAtTheTop
Nimekuelewa vizur
safi sana joel wetu ubarikiwe sana kwa masomo yako
Vizuri Ndugu Anza Leo
#SeeYouAtTheTop
Great master mind
Thanks broh
Asante ubarikiwe
Nataman zaid na expant power na connection power naomba ushaur nifanyeje
Ahsante ,Iyo ya nne inabidi kuizingatia sana kwa sababu ninayo lakin na ya tatu itabidi kuanza kuifanyia kazi pia
Anza Leo
#SeeYouAtTheTop
@@joelnanauka sawa Kaka sitohitaji kuchelewa
Asante sana kaka ww ni shujaa wangu sijuti kukufuatilia
#SeeYouAtTheTop
asant sana
asante kwa somo zuri
Natamani sana kupata vitabu yako
Connection power is the best to me
Connection power and referent power are best power to reach our target.
thanks brother
Naisi nipo ivyooo yan natafutwa na watu juu ya ujuzi nilio nao ila cjajua jinc ya kupata pesaaa nisaidie.
Mtu mwenye connection power teacher!
Vizuri Ndugu Anza Leo
#SeeYouAtTheTop
Asant Sana
Mungu akubariki kaka
Hello!!asante kwa vipindi vyako mungu akubariki kaka!mimi naitaji kupata expart power na conection power
Expert power ndo jambo la msng
Good
#SeeYouAtTheTop
Joel Nanauka Mungu akubariki tunapata kitu katika masomo yako naomba uni - add katika group yk 0767 -860840 Mpangala
Thanks brother
Asante sana kaka
Cohesive, legitimate,Expant etc maneno haya hayana tafsir yake kwa kiswahili mbali na maelezo yake,Sio wote tunajua kizungu kaka. Elimu hii tunayoipata hapa twahitaji kuelimisha na wenzetu waipate,
Thank you brother!
Natamani nguvu ya expert power najua itanifikisha mbalu
Shukran
Nguvu zote . ziko vizuri. Ila nahitaji nguvu ya kujulikana kwa faida
Connection Power 🔥
Hakika maneno ya kweli kaka
Kaka Joel mm nipo ktk hiyo expert power coz Nina skills ambazo nahitaji kufanya how should I communicate with you ili unifundishe deeply according to my skill
Expert Power and Connection Power
Connection and network power
Thenk u joer
mm ningependa kuwa Expart Wa masuala ya welding fabrication
expart power kaka
Kaka ubalikiwe
Nilikuwa nakufatilia sana katika kila video unayopost kweli ninakushukuru sana nimejifunza mengi saana ahsante sana lkn naomba unisaidie kitu kimoja ambacho mpaka Leo ninakifanya lkn sijui nnafanya kivipi ambacho ni studying techniques or how to study kwa sababa mm bado ni mwanafunzi
Ktk maisha yangu nahitaji networking mi nina utaalamu wa kufuga kuku
Connection power
Nahitaji kuwa na Connection powers,,, nifanyaje? Maana ni mgumu kuanzisha connection na watu.&Ahsante kwa somo zuri.
Ninataka brain power
Asante
Kaka nimezpenda nguvu ya Kwanza natamani kuwa mfugaji was kuku lakini pakuanzia pananipa shida Sana nifanyeje kaka
I've charisma and I need legitimate power ( position )
me nahitaj network power bro
Expert power
asante brother mm ninataka niwe na expert power sababu mm ni daktari kwa hiyo niwe na mikakati gani niweze kuijenga?
Kweli, na maneno yote ni ya busara..
Dizaini kama akuelewa hivi
Nguvu ya mtu mwenye network
Jinsi gani naweza kuwasiliana na wewe bro
I live outside the county.I'm trying to reach you.Which are the best way to reach you.
Ahsante
Legitimate power nitengeneze zangu binafsi nitaazaje?