Aina Tano (5) Za Nguvu Zinazoleta Mafanikio - Joel Nanauka

SdĂ­let
VloĹľit
  • ÄŤas pĹ™idán 28. 11. 2018
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 200

  • @maryammaram2612
    @maryammaram2612 PĹ™ed 5 lety +29

    Nguvu zote ni nzuri bali mi ningependa kuwa katika EXPANT POWER nataka kuwa na kujikita zaidi katika kitu ninachotaka kukianzisha nataka baada ya miez au miaka niwe mtaalam zaidi juu ya hili ninalotaka kuanza kulifanya.. Ubarikiwe Kaka Joel unatufumbua masikio tunasonga mbele đź‘Ťđź‘Ťđź‘Ť

  • @farmpridetz8974
    @farmpridetz8974 PĹ™ed 5 lety +11

    Barikiwa” natengneza nguvu ya kuwa Guru kwenye maswala ya ufugaji wa kuku na incubators Hp nitafika kwa jina la Yesu

  • @ramafrica9016
    @ramafrica9016 PĹ™ed 5 lety +2

    Somo zuri kiongoz,napenda kujifunza zaidi kupitia vipindi,vyako kutokana haya maisha yapo kwy kujifunza zaidi

  • @ramadhanalmashamza3458
    @ramadhanalmashamza3458 PĹ™ed rokem +1

    Asante sana kaka mimi nataka kutumia EXPANT POWER katika kitu ninachotaka kusomea asante sana kaka Mungu akubariki

  • @ipyanathomas4254
    @ipyanathomas4254 PĹ™ed 2 lety

    Nahitaji sana kuwa na Expert power mana nimekuwa Mtu wakunichangia ya san kwenye kazi bila kuwa na utaalam wowote na nashkuru Mungu ni referent power nnayo

  • @nasmafarmsltd9146
    @nasmafarmsltd9146 PĹ™ed 5 lety +1

    expect power nataka niwe mtaalamu wa ufugaj wa kuku wa kienyeji wa mayai na wa nyama ila watu hunikatisha tamaa na kuzid kuua ñďòto ýàñģù ushaur wako kaka angu il nitimize ñďòto ýàñģù hyo ndo passion yangu

  • @kenethkunambi8684
    @kenethkunambi8684 PĹ™ed 5 lety +4

    Unakuwa na nguvu zote au baadhi Ila persistence na continuation ni kikwazo...tatizo kwangu

  • @antigonimathew5090
    @antigonimathew5090 PĹ™ed 4 lety

    Nashukuru sana kwa elimu hii...ningepeñda kujuana na watu waliyofanikiwa kibiashara.

  • @khadijakisingo7920
    @khadijakisingo7920 PĹ™ed rokem

    Haipiti cku bila kukusikiliza kaka Joel nanauka ktk ratiba zng za Kila cku napenda kukusikiliza asubuh wkt wa break na jioni Kuna vitu vikubwa sana najifunza kwako

  • @festorymlekwas4050
    @festorymlekwas4050 PĹ™ed 5 lety +2

    Nguvu ya kutengeneza hapo kwa upande wangu ni CONNECTION POWER ,kwani mbinu hiii itasaidia Mengi sana

  • @joseefaidabutu6467
    @joseefaidabutu6467 PĹ™ed 5 lety +3

    Asante sana, mimi natamani niwe na conection power

  • @pr.ndaturuem.9809
    @pr.ndaturuem.9809 PĹ™ed 5 lety

    Nafurahia sana kwa masomo yako, kuna jambo natamani kushare na wewe, ukipata muda tuwasiliane, ubarikiwe na Bwana

  • @zenahaji6310
    @zenahaji6310 PĹ™ed 3 lety

    Mungu akuzidishie nguvu na hekima mm ni miongoni mwa watu uliowatoa sehemu moja na kunipeleka sehemu nyengine nakupenda Sana na nakubali Sana umenitia nguvu Sana pale nilipokqta tamaa

  • @ndeke_154
    @ndeke_154 PĹ™ed 5 lety +2

    Powerful. Thank you my brother

  • @elizaberthswai3522
    @elizaberthswai3522 PĹ™ed 5 lety +2

    Ninaona hizo nguvu zote tayari unazo kaka Joel, siyo kwa passion hiyo ya kutaka kuwaona watu at the top, I love you Muheshimiwa

  • @msleny6767
    @msleny6767 PĹ™ed 5 lety +6

    Asante sana kwa kutengeneza video hili,
    Nikitazama mazingira yangu,sina connection power,sina legitimate power, but I will never give up developing my expert power, I will never loose my referent power and through my skills and specialisation,I believe I will be able to hold my referent power too
    Thx Joel Nanauka,your messages always has an impact in my life ❤❤❤

  • @matendoandrewmgeni1135
    @matendoandrewmgeni1135 PĹ™ed 5 lety

    network power aisee hii nilishaianzaga lakini sikua najua kwamba ni muhimu na sio vibaya kuitafuta! asante nanauka

  • @wigengeazizi3801
    @wigengeazizi3801 PĹ™ed 5 lety +2

    Thanks brother nahitaj sana connect power network

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  PĹ™ed 5 lety

      Vizuri Ndugu Anza Leo
      #SeeYouAtTheTop

  • @salmadalaquimane5303
    @salmadalaquimane5303 PĹ™ed 5 lety +2

    Nakuewaga sana kka love u

  • @jacklinemashenene5976
    @jacklinemashenene5976 PĹ™ed 3 lety

    Namshukuru Mungu kwa kukutumia ww ili nijue anasema nn namimi umenisaidia kuishi kwenye uwezo wangu wakipekee Mungu akubaliki sana kaka joel

  • @mussaali4702
    @mussaali4702 PĹ™ed 5 lety

    We noma kaka nakukubli San mim nahitaji kua mfany biashar hebu niambie n kitu gan ambacho natkiw kufanya

  • @King_Kev78
    @King_Kev78 PĹ™ed 5 lety +1

    Joel asante sana. Mimi ningependa kutengeneza zaidi nguvu ya kwanza.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  PĹ™ed 5 lety

      Vizuri Ndugu Anza Leo
      #SeeYouAtTheTop

  • @bitemwita6809
    @bitemwita6809 PĹ™ed 5 lety +3

    connection power ndo nahitaji zaidi na naomba unisaidie lkn pia expert power tayari nina general knowledge ninachohitaji ni specific knowledge na namna ya kupata watu maalum ktk hiyo specific area

  • @idutathomasmaige2113
    @idutathomasmaige2113 PĹ™ed 5 lety

    The power of expert nimeipenda zaidi

  • @mwajumayunus2041
    @mwajumayunus2041 PĹ™ed 5 lety +5

    my morning lesson for today be blessed my Broo your the best

  • @niholausbarnaba3314
    @niholausbarnaba3314 PĹ™ed 5 lety +1

    nguvu katika somo la chemistry

  • @rollahngimbwa6978
    @rollahngimbwa6978 PĹ™ed 11 mÄ›sĂ­ci

    Asant San nimejifunza mengi kupitia video hi.
    Ymkn ngv zote ni nzr ,me natamani Sana kuwa na ngv ya expart power
    Natamani kujifunza mengi na kuwa na ujuhi wa kutatua jmb kwa ulahisi bila kuumiza kichwa sn.

  • @gastormichael7677
    @gastormichael7677 PĹ™ed 5 lety +2

    Connection power
    Ndg Joel mungu akubariki sana kwa masomo yako mazuri.

  • @gabrielmwakalasya4379
    @gabrielmwakalasya4379 PĹ™ed 5 lety

    Mimi nataka kuitengeneza kuvu ya Coherent Power. Mimi ni muimbaji so I find that the majority of people Loving me so much

  • @elishasundu9338
    @elishasundu9338 PĹ™ed 3 lety

    Njema Kaka Sana Kaka Mungu akubarikiii

  • @emmanuelyusuph9057
    @emmanuelyusuph9057 PĹ™ed 5 lety +2

    nahtaji sana expert power, asante bro joel

  • @imsalauriani7254
    @imsalauriani7254 PĹ™ed rokem

    Asante kwa kuendelea kutupa madini mimi nahitaji connection ya watu.

  • @ludovickmwikwabe5129
    @ludovickmwikwabe5129 PĹ™ed 5 lety

    Naipenda zaidi connection power,nahisi inanisaidia mno, naipenda niifuatilie Zaidi.

  • @gablesladyfashionanddesign1409

    For me ineed expert power for sure

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  PĹ™ed 5 lety

      Vizuri Ndugu Anza Leo
      #SeeYouAtTheTop

  • @sahachi397
    @sahachi397 PĹ™ed rokem

    Nataka connection power na wewe Joel uwe sehem ya connection yangu

  • @jescakabogo730
    @jescakabogo730 PĹ™ed 5 lety +2

    asante ndogo wangu, nahitaji expert & connecting power. be blessed.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  PĹ™ed 5 lety

      Vizuri Ndugu Anza Leo
      #SeeYouAtTheTop

  • @joseefaidabutu7294
    @joseefaidabutu7294 PĹ™ed 4 lety

    Ubarikiwe kwa somo nzuri

  • @yohanageorgekika2240
    @yohanageorgekika2240 PĹ™ed 2 lety

    Hongera sana kaka kwa mafunzo mazuri.

  • @msengisimoni2087
    @msengisimoni2087 PĹ™ed 5 lety +2

    natengeneza nguvu ya kuwa mrekebishaji magari bora

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  PĹ™ed 5 lety

      Vizuri Weka Nguvu Katika Eneo Hilo
      #SeeYouAtTheTop

  • @nicksonmaftah102
    @nicksonmaftah102 PĹ™ed 5 lety

    Asante kaka expert power

  • @theresiabukuku9821
    @theresiabukuku9821 PĹ™ed 5 lety +2

    M nnahitaji kutenge neza connection power,nna amin katika ilo

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe326 PĹ™ed 2 lety +1

    Nimejifunza kitu hapa

  • @zenahcharles7640
    @zenahcharles7640 PĹ™ed 4 lety +1

    Me nahitaji nguvu namba 1 iwe hiyo nd inanifaaa

  • @zulatantalising6636
    @zulatantalising6636 PĹ™ed 5 lety +4

    Shukran kk, I think exp power & connection power

  • @elizaberthswai3522
    @elizaberthswai3522 PĹ™ed 5 lety +2

    God bless you much

  • @evalyata2697
    @evalyata2697 PĹ™ed 3 lety

    Connection power kaka yangu

  • @justinmmbando5386
    @justinmmbando5386 PĹ™ed 5 lety +1

    Asante Sana Kaka Joel
    Nguvu ya Network ndio ninayohitaji
    Nishauri juu ya hili.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  PĹ™ed 5 lety +1

      Vizuri Ndugu Anza Leo
      #SeeYouAtTheTop

  • @selehmaniz5065
    @selehmaniz5065 PĹ™ed 4 lety

    Asant brother me nahitaji mtu mwenye connection power

  • @kennedywabwire8772
    @kennedywabwire8772 PĹ™ed 5 lety +3

    asante. good topic in life

  • @worshipertv9968
    @worshipertv9968 PĹ™ed 5 lety +2

    Nimekuelewa vizur

  • @malalezengo4405
    @malalezengo4405 PĹ™ed 5 lety +1

    safi sana joel wetu ubarikiwe sana kwa masomo yako

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  PĹ™ed 5 lety

      Vizuri Ndugu Anza Leo
      #SeeYouAtTheTop

  • @youngtone4333
    @youngtone4333 PĹ™ed rokem

    Great master mind

  • @mosseschristian1650
    @mosseschristian1650 PĹ™ed 3 lety

    Thanks broh

  • @fadhilrehan5129
    @fadhilrehan5129 PĹ™ed 5 lety +1

    Asante ubarikiwe

  • @mariamsimon2235
    @mariamsimon2235 PĹ™ed 4 lety

    Nataman zaid na expant power na connection power naomba ushaur nifanyeje

  • @sabatomjungu9727
    @sabatomjungu9727 PĹ™ed 5 lety +2

    Ahsante ,Iyo ya nne inabidi kuizingatia sana kwa sababu ninayo lakin na ya tatu itabidi kuanza kuifanyia kazi pia

  • @najmachami547
    @najmachami547 PĹ™ed 5 lety

    Asante sana kaka ww ni shujaa wangu sijuti kukufuatilia

  • @barakasullesh8635
    @barakasullesh8635 PĹ™ed 5 lety

    asant sana

  • @sandacksai250
    @sandacksai250 PĹ™ed 5 lety

    asante kwa somo zuri

  • @FSanja
    @FSanja PĹ™ed 5 lety

    Natamani sana kupata vitabu yako

  • @zuhuraabdillah6941
    @zuhuraabdillah6941 PĹ™ed 5 lety

    Connection power is the best to me

  • @kenedynkana3693
    @kenedynkana3693 PĹ™ed rokem

    Connection power and referent power are best power to reach our target.

  • @telesiamkumbwa8888
    @telesiamkumbwa8888 PĹ™ed 5 lety

    thanks brother

  • @Maulidfundi
    @Maulidfundi PĹ™ed 5 lety +1

    Naisi nipo ivyooo yan natafutwa na watu juu ya ujuzi nilio nao ila cjajua jinc ya kupata pesaaa nisaidie.

  • @sannyverse1967
    @sannyverse1967 PĹ™ed 5 lety +1

    Mtu mwenye connection power teacher!

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  PĹ™ed 5 lety

      Vizuri Ndugu Anza Leo
      #SeeYouAtTheTop

  • @deboramenard1855
    @deboramenard1855 PĹ™ed 2 lety

    Asant Sana

  • @hilarygodfrey5862
    @hilarygodfrey5862 PĹ™ed 5 lety

    Mungu akubariki kaka

  • @raphaelbruno2743
    @raphaelbruno2743 PĹ™ed 4 lety

    Hello!!asante kwa vipindi vyako mungu akubariki kaka!mimi naitaji kupata expart power na conection power

  • @awamkhalid5361
    @awamkhalid5361 PĹ™ed 5 lety +3

    Expert power ndo jambo la msng

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  PĹ™ed 5 lety

      Good
      #SeeYouAtTheTop

    • @dianampangala7060
      @dianampangala7060 PĹ™ed 5 lety

      Joel Nanauka Mungu akubariki tunapata kitu katika masomo yako naomba uni - add katika group yk 0767 -860840 Mpangala

  • @saidbaiya9524
    @saidbaiya9524 PĹ™ed 5 lety

    Thanks brother

  • @user-zr8en6lg1y
    @user-zr8en6lg1y PĹ™ed 10 mÄ›sĂ­ci

    Asante sana kaka

  • @naomikalebi4332
    @naomikalebi4332 PĹ™ed 3 lety

    Cohesive, legitimate,Expant etc maneno haya hayana tafsir yake kwa kiswahili mbali na maelezo yake,Sio wote tunajua kizungu kaka. Elimu hii tunayoipata hapa twahitaji kuelimisha na wenzetu waipate,

  • @athumankikwete9707
    @athumankikwete9707 PĹ™ed 5 lety +3

    Thank you brother!

  • @egonkasiano7822
    @egonkasiano7822 PĹ™ed 5 lety

    Shukran

  • @jamesrichard4543
    @jamesrichard4543 PĹ™ed 5 lety

    Nguvu zote . ziko vizuri. Ila nahitaji nguvu ya kujulikana kwa faida

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 PĹ™ed 4 lety +1

    Connection Power 🔥

  • @aaaavvvv4261
    @aaaavvvv4261 PĹ™ed 5 lety

    Hakika maneno ya kweli kaka

  • @rebecamlindwa2913
    @rebecamlindwa2913 PĹ™ed 5 lety +1

    Kaka Joel mm nipo ktk hiyo expert power coz Nina skills ambazo nahitaji kufanya how should I communicate with you ili unifundishe deeply according to my skill

  • @chrissnoti798
    @chrissnoti798 PĹ™ed rokem

    Expert Power and Connection Power

  • @womanhappness
    @womanhappness PĹ™ed 5 lety

    Connection and network power

  • @user-ve1nh9it3k
    @user-ve1nh9it3k PĹ™ed 6 mÄ›sĂ­ci

    Thenk u joer

  • @salumtamopa5480
    @salumtamopa5480 PĹ™ed 5 lety +1

    mm ningependa kuwa Expart Wa masuala ya welding fabrication

  • @anethnico4537
    @anethnico4537 PĹ™ed 5 lety

    expart power kaka

  • @johariphilemon8630
    @johariphilemon8630 PĹ™ed 3 lety

    Kaka ubalikiwe

  • @denmat4118
    @denmat4118 PĹ™ed 5 lety +1

    Nilikuwa nakufatilia sana katika kila video unayopost kweli ninakushukuru sana nimejifunza mengi saana ahsante sana lkn naomba unisaidie kitu kimoja ambacho mpaka Leo ninakifanya lkn sijui nnafanya kivipi ambacho ni studying techniques or how to study kwa sababa mm bado ni mwanafunzi

  • @epifaniamzena1077
    @epifaniamzena1077 PĹ™ed rokem

    Ktk maisha yangu nahitaji networking mi nina utaalamu wa kufuga kuku

  • @gregorykavenuke2700
    @gregorykavenuke2700 PĹ™ed 3 lety

    Connection power

  • @meshackngadango6855
    @meshackngadango6855 PĹ™ed 5 lety +3

    Nahitaji kuwa na Connection powers,,, nifanyaje? Maana ni mgumu kuanzisha connection na watu.&Ahsante kwa somo zuri.

  • @danielmkahala8643
    @danielmkahala8643 PĹ™ed 5 lety +1

    Asante

  • @awadhimaramshamaramsha1910
    @awadhimaramshamaramsha1910 PĹ™ed 5 lety

    Kaka nimezpenda nguvu ya Kwanza natamani kuwa mfugaji was kuku lakini pakuanzia pananipa shida Sana nifanyeje kaka

  • @isackmagidanga9906
    @isackmagidanga9906 PĹ™ed rokem

    I've charisma and I need legitimate power ( position )

  • @emagorromo6418
    @emagorromo6418 PĹ™ed 4 lety

    me nahitaj network power bro

  • @ayubunnko4177
    @ayubunnko4177 PĹ™ed rokem

    Expert power

  • @burhansalum6214
    @burhansalum6214 PĹ™ed 5 lety +2

    asante brother mm ninataka niwe na expert power sababu mm ni daktari kwa hiyo niwe na mikakati gani niweze kuijenga?

  • @zahramunir8596
    @zahramunir8596 PĹ™ed 5 lety

    Kweli, na maneno yote ni ya busara..

  • @angeljabir8608
    @angeljabir8608 PĹ™ed 5 lety +1

    Dizaini kama akuelewa hivi

  • @sylvesterlaurent5365
    @sylvesterlaurent5365 PĹ™ed 3 lety

    Nguvu ya mtu mwenye network

  • @xavialonso3819
    @xavialonso3819 PĹ™ed 5 lety +2

    Jinsi gani naweza kuwasiliana na wewe bro

    • @xavialonso3819
      @xavialonso3819 PĹ™ed 5 lety

      I live outside the county.I'm trying to reach you.Which are the best way to reach you.

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 PĹ™ed 2 lety

    Ahsante

  • @khamismakame3764
    @khamismakame3764 PĹ™ed 5 lety +2

    Legitimate power nitengeneze zangu binafsi nitaazaje?