Jinsi ya kufanikiwa | Njia za mafanikio | Siri ya mafanikio | Ramani ya Maisha 1| Best ways

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 03. 2023
  • Katika video hii utajifunza kuwa kila mtu anaweza kuwa milionea lakini ili kuwa bilionea unahitaji maarifa kutoka katika ramani ya maisha yako,
    Vile vile utajifunza kwa nini wengi hufanikiwa kisha mambo kuharibika na pia utatambua ya kwamba mafanikio bila maarifa ni sawa kupandisha maji mlima.
    Jiunge na channel hii kuweza kuamka kiakili, kimwili na kiroho na ukatae na ufungue njia zako mbadala za mafanikio na ushangaze watu waliodhani huna uwezo wa kupata mafanikio

Komentáře • 39

  • @danieldaudi1283
    @danieldaudi1283 Před rokem +5

    Kwenye biblia kitabu cha mithali kinaelezea kuhusu maisha na mustakabali wa kila mmoja ktk maisha

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  Před rokem +2

      Asante akiweka comment mwingine mwenye maelezo ya kutosha tutapin ya kwake. Asante.

    • @emmanuelmusa1061
      @emmanuelmusa1061 Před rokem

      Na kwakuongezea katika kitabu cha KUMBUKUMBU YA TOLATI 8:18 ) imefafanua kwa kina zaid kama hivi= Bali utamkumbuka Bwana, Mungu wako, maana ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri; ili alifanye imara agano lake alilowapa baba zako, kama hivi leo.
      But thou shalt remember the LORD thy God: for it is he that giveth thee power to get wealth, that he may establish his covenant which he sware unto thy fathers, as it is this day.

  • @frankdaud311
    @frankdaud311 Před 10 měsíci +1

    Nimependa ufafanuzi wako umezungumza ukweli mtupu hongera sana tupo pamoja.

  • @emmanuelmusa1061
    @emmanuelmusa1061 Před rokem +5

    KWENYE BIBILIA (WAFILIPI 4:19 INASEMA HIVI) Na Mungu wangu atawajazeni kila mnachokihitaji kwa kadiri ya utajiri wake, katika utukufu, ndani ya Kristo Yesu.
    But my God shall supply all your need according to his riches in glory by Christ Jesus.

  • @eminenceboy8386
    @eminenceboy8386 Před rokem +1

    Amina 🙏🙏

  • @user-gs4zg1vv7v
    @user-gs4zg1vv7v Před 4 měsíci

    asante kwa elimu yako

  • @rutatv8358
    @rutatv8358 Před rokem

    New vision

  • @OnesmoJumanne
    @OnesmoJumanne Před 3 měsíci

    Asante sana mwalimu kila siku umezidi kuwa bora zaidi ya jana

  • @Amina-dn1dr
    @Amina-dn1dr Před rokem

    Shukrani shukrani kwa elmu kubwa unayo tupatia

  • @brightonjohnson
    @brightonjohnson Před rokem +2

    Well noted kaka

  • @josephmutuku9214
    @josephmutuku9214 Před rokem +1

    Asante sana kaka kwa elimu yako

  • @emmanuelmusa1061
    @emmanuelmusa1061 Před rokem +2

    ZABURI 24:1-2 PSALMS) (Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya Bwana, Dunia na wote wakaao ndani yake.
    The earth is the LORD's, and the fulness thereof; the world, and they that dwell therein.

  • @user-yl6jz5ek3j
    @user-yl6jz5ek3j Před 3 měsíci

    Good

  • @zabronjohn-ec4xr
    @zabronjohn-ec4xr Před 5 měsíci

    Namba ya simu kaka

  • @deus-iv2sp
    @deus-iv2sp Před rokem

    Chanzo utajiri

  • @ngongomamy2968
    @ngongomamy2968 Před rokem +1

    ni kweli

  • @muranisalim3572
    @muranisalim3572 Před rokem +2

    Fact

  • @Direct-0000
    @Direct-0000 Před rokem +1

    Size of your success will be measured by strength of your desire

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  Před rokem

      Why don't you start a video for this cc quote? Stop emberrasing yourself. This is a Swahili channel for East African community and those who speaks Swahili around the global. So you better use a language that can help every individual around this planet who speaks swahili to understand your quote and not being like a linguilistic slave..... also we respect your point of view but this channel is not for debates sorry.

    • @Direct-0000
      @Direct-0000 Před rokem

      To be a higher performer you have to think big and take big action,if you think small and do nothing you will remain small

  • @DENISEVANS-yq1qq
    @DENISEVANS-yq1qq Před 7 měsíci

    Nitajuaje mwelekeo wangu wa maisha,ambapo mm ni mkulima,na kama nikifaham nitajuaje kazi yangu maalum ya kufanya ili. Inipe mafaniko?pia nashukulu sana kwa elim unayo itoa,mungu azid kukujalia maarifa makubwa zaidi ya hayo unayotupa.

  • @geoffreymwangi6627
    @geoffreymwangi6627 Před rokem +1

    Sasa wewe takupata vipi.Nigependa tuungeee mengi.

  • @MajutoShabani-qu1hl
    @MajutoShabani-qu1hl Před 8 měsíci

    Tuna.shida.na.nanba.ya.sm

  • @user-re3eu5mr4g
    @user-re3eu5mr4g Před 5 měsíci

    unafanyafanyaje irikuwona jichorata2