Ishi Katika Uwezo Wako Wa Kipekee Sehemu Ya Kwanza

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 16. 07. 2018
  • đŸ”„đŸ”„đŸ”„ Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co đŸ”„đŸ”„đŸ”„

Komentáƙe • 128

  • @nahorichenda7225
    @nahorichenda7225 Pƙed 5 lety +4

    Nafuatilia sana mafundisho yako. Naomba uwe my life coach.

  • @michaelkakuja893
    @michaelkakuja893 Pƙed 5 lety +3

    Excellent,,,,,!!! You are an invisible man who knows the secret of the secret world. Keep opening the eyes of God' s people.

  • @samsonkasaki4549
    @samsonkasaki4549 Pƙed 3 lety +2

    Ubarikiwe Sana Mkuu! You've a blessed mind. Thanks to Lord!

  • @LilianFelix-my1ew
    @LilianFelix-my1ew Pƙed měsĂ­cem

    Habar kaka Joel Nanauka.
    Nimejifunza kitu kikubwa Sanaa hasa kwenye eneo lakujiwekea akiba kaka.
    Nimeanza kujiwekea elfu kumi kila siku mpaka mwaka 2027 bila kuzitumia.nimetenga matumizi yangu na kuweka iyo akiba bila kuigusa kataka 2027 nipanue biashara yangu kwa izo akiba kaka.nitakua na million kumi naaa Mungu anisimamie kwailo .

  • @abdornephotidas3848
    @abdornephotidas3848 Pƙed 6 lety

    Dah!!! Joel unaweza sana, we ni kichwa. Hongera, Mungu akubariki.

  • @ashabakke4733
    @ashabakke4733 Pƙed 5 lety

    Asante sana. Kwa kweli itasaidia Sana. Wengine tunahitaji kusukumwa.

  • @stephanobusanda4668
    @stephanobusanda4668 Pƙed 6 lety +3

    I real understood, may God bls you

  • @chieffofofoodinternational4102
    @chieffofofoodinternational4102 Pƙed 6 měsĂ­ci

    nashukuru Sana kiongozi umefanya Sasa nijue muelekeo wangu wa maisha ni upi almost for years nimefanya kazi lakn hakuna nilicho ambulia but Sasa ni wakati wa kubadilika kwangu

  • @leodavid5714
    @leodavid5714 Pƙed 6 lety +3

    Great sound, lord bless you for everything, long life strong health

  • @bestcakes7098
    @bestcakes7098 Pƙed 6 lety +1

    Asante sana kaka, nafikiri nahitaji ushauri zaidi

  • @mericktamba7981
    @mericktamba7981 Pƙed 2 lety

    Thanxsss...brzaa.....đŸ’„đŸ’„đŸ’„đŸ’„đŸ’„đŸ’„đŸ’«đŸ’«đŸ’«

  • @mdtv2625
    @mdtv2625 Pƙed 6 lety +3

    you are so brilliant
    God will bless you, everyday you are coming with a new things and its a food for brain.

  • @kennedykagashani1818
    @kennedykagashani1818 Pƙed rokem

    Amina Brother Nanauka. I will become the best International Author and Speaker one day..!

  • @filbertsulusi8963
    @filbertsulusi8963 Pƙed 3 lety

    Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu kwakweli unaelimisha jamii vizuri sana.sio siri wengi tunaishi bila malengo

  • @reginaldipeter2272
    @reginaldipeter2272 Pƙed 2 lety +1

    Halleluyah Pastor Joel NANAUKA Naomba nikuone MTU WA MUNGU Nahitaji Ushauri wako nipo hapa DAR

    • @bitcoinandforex1001
      @bitcoinandforex1001 Pƙed 2 měsĂ­ci

      huyu sio pastor, ni coach 😊😊😊😊😊😊

  • @salumselemani1059
    @salumselemani1059 Pƙed 2 lety +1

    Wewe ni Mwamba xana Nanauka, kazi mzuri Mkuu.

  • @Eliasphilipoh
    @Eliasphilipoh Pƙed měsĂ­cem

    Daaaaah thanks brother nimeelew man me student issue iyo inanikuta sana tu, So now nishaipata "5rules" ❀

  • @eliasbufula6290
    @eliasbufula6290 Pƙed 5 lety

    Safi sana umenigusa vizuri muno.

  • @rizikifumao3685
    @rizikifumao3685 Pƙed 6 lety +1

    Asante kaka kwa kunijaza maarifa

  • @enockkagomba1261
    @enockkagomba1261 Pƙed 4 lety +2

    Asante my mentor

  • @pamafdebossgal9108
    @pamafdebossgal9108 Pƙed 6 lety +1

    shukran bro

  • @mtumesamsonyoutube5051
    @mtumesamsonyoutube5051 Pƙed 6 lety +4

    Uko sahihi barikiwa sana

  • @upendofrank4917
    @upendofrank4917 Pƙed 4 lety +1

    thanks so much brother

  • @emakiwalwakwanzatz8204
    @emakiwalwakwanzatz8204 Pƙed 5 lety

    Shukran sana kaka nimejifunza mengi sana toka kwako

  • @mabulakenedy704
    @mabulakenedy704 Pƙed 5 lety

    Ubarikiwe sana bro upo vzr

  • @user-ve8wj4pl1b
    @user-ve8wj4pl1b Pƙed 5 měsĂ­ci

    Habar mkuu kweli nimeipenda na mm nataka kuanza kuweka malengo na muda japo sahiv nimeajiriwa

  • @maryraphael7810
    @maryraphael7810 Pƙed 6 lety +5

    asante,kaka ila studio si muache kupigapiga Ka mziki kwani lazima,kanaondoa kumuelewa MTU vizuri.

  • @anteliusygregory7715
    @anteliusygregory7715 Pƙed 4 lety +1

    Respect sir

  • @edwinmtawa563
    @edwinmtawa563 Pƙed 3 lety

    Ahsante mwalimu wang

  • @kivaulakivaula8354
    @kivaulakivaula8354 Pƙed 3 lety

    Madini adimu haya bro, asante sana

  • @nehemiabalibutsa3319
    @nehemiabalibutsa3319 Pƙed 5 lety

    Asante kaka.

  • @christianjuniortiger38
    @christianjuniortiger38 Pƙed 5 lety

    Mungu akubariki sana

  • @lucyemmanuel4236
    @lucyemmanuel4236 Pƙed 6 lety

    Asante kaka j

  • @sipembapaul8262
    @sipembapaul8262 Pƙed 6 lety

    Uko vizuri sana

  • @MasungaGahima-es5ei
    @MasungaGahima-es5ei Pƙed 5 dny

    Mwl ubarikiwe

  • @florahnguma1458
    @florahnguma1458 Pƙed 2 lety

    Your the best

  • @user-pg8rb1bq6y
    @user-pg8rb1bq6y Pƙed 6 měsĂ­ci

    god bless you brother by carlos

  • @jamesricardo7557
    @jamesricardo7557 Pƙed rokem

    Nimeelewa Sana hii sasa Mimi kwaupande wangu Mungu amenijalia vipawa vingi nitajuaje nikipawa gani mafanikio yangu yalipo teacher J nanauke nisaidie.

  • @marigemsando1678
    @marigemsando1678 Pƙed 3 lety

    God bless you broo.

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Pƙed 2 lety

    Ahsante mkuu

  • @kelvinkisigiro1556
    @kelvinkisigiro1556 Pƙed 5 lety

    Kaka Joel umenisaidia kujifunza vitu tofauti kwenye sasa ninafikiri nje ya box, Mungu akubariki kaka

  • @simonfredy2324
    @simonfredy2324 Pƙed 6 lety +3

    Shukran Sana kaka.....!!

  • @josephstar240
    @josephstar240 Pƙed 4 lety +1

    Napea madini mengi kutoka kwako, Asante una badirisha sehemu kubwa ya life style yangu

    • @mcheshcomedy5809
      @mcheshcomedy5809 Pƙed 3 lety +1

      Nauza mosquite killer lamp 🚿 njoo watssap 0788562260 Andika LAMP

  • @korirkiprop5188
    @korirkiprop5188 Pƙed 5 lety +1

    best motivational advice my brother

  • @niyonzimafafa2501
    @niyonzimafafa2501 Pƙed 3 lety

    Asante sana

  • @dulaismail6463
    @dulaismail6463 Pƙed 5 lety

    Napenda saaana kujifunza naamin ntafanukiwa

  • @vicentwilbert9567
    @vicentwilbert9567 Pƙed 5 lety

    Kaka mungu akubariki sana na nakutakia viatu vyako

  • @yaseenbaltazar4320
    @yaseenbaltazar4320 Pƙed 3 lety

    I got u brother

  • @hekimamgeni5831
    @hekimamgeni5831 Pƙed 4 lety

    Asante kaka

  • @esternyella6939
    @esternyella6939 Pƙed 5 lety

    ni kweli kaka Joel

  • @munahhaji474
    @munahhaji474 Pƙed 6 lety +2

    Barikiwa joel unanifanya kila siku kujifunza kupitia ww

  • @Usawa_phonetech
    @Usawa_phonetech Pƙed 5 lety

    Hongera

  • @sarahmhina4359
    @sarahmhina4359 Pƙed 5 lety

    Barikiwa sana

  • @charlesmarwa5914
    @charlesmarwa5914 Pƙed 6 lety +2

    kaka joel una madini ya thamani kila siku unakuja na madini kuntu!ubarikiwe sana uzidi kutuelemisha ntakutafuta kaka!

  • @laanyukoone9480
    @laanyukoone9480 Pƙed rokem

    Natamani sana siku moja ningekutana na wewe lives nafikiri nitaweza kubadilika na kuishi kusudi langu kwa Mungu. Kama una class la kuwamentor nisaidie.

  • @feedomcharles4722
    @feedomcharles4722 Pƙed 4 lety +1

    ubarikiwe

  • @josephkesoy6225
    @josephkesoy6225 Pƙed 3 lety

    Safi

  • @kelvinkisigiro1556
    @kelvinkisigiro1556 Pƙed 5 lety

    Nimejifunza vitu tofauti kwenye maisha sasa ninafikiri nje ya box,, Mungu akubariki sana,ili tuweze kubadilisha Tanzania đŸ‡č🇿 yetu na kuwa miongoni mwa nchi bora duniani
 →

  • @rithamtui8865
    @rithamtui8865 Pƙed 5 lety

    dahh!! ukoo vzury kaka naomba namba zako

  • @manmaster536
    @manmaster536 Pƙed rokem

    Sawaaaaaa

  • @rehemagunda3968
    @rehemagunda3968 Pƙed 3 lety

    Kweli kaka

  • @emmanuelslvestery9340
    @emmanuelslvestery9340 Pƙed 5 lety

    yes

  • @bernadetachari7648
    @bernadetachari7648 Pƙed rokem

    Hapa nimejifuza mambomeghi sana yani kweli waeleweka kakanghu mughuakuzidishiye neema kwamafunzoyako

  • @anethnico4537
    @anethnico4537 Pƙed 5 lety +1

    da imeisha bado hajamaliza yaani ubalikiwe tunaomba hivi kama utatengeneza dvd utatusaidia sana

  • @Mr_Sangwa
    @Mr_Sangwa Pƙed rokem

    Joel mimi najenga biashara yangu mtandaoni je nifanyaje ili nijenge core genius yangu mtandaoni

  • @user-sq6kn2nm2z
    @user-sq6kn2nm2z Pƙed 6 měsĂ­ci

    Mimi ni mwanafunzi nilikuwa nafaula physics kuliko wote hadi maks 90 lakini saivi na feli physics sijui sababu

  • @claraprosper8642
    @claraprosper8642 Pƙed 5 lety +4

    Nadhani nipo kwenye kundi no 1 ambalo nimefanya kaz nnayoipenda kwenye shirika Fulani ,lakini nilikuwa sipati malipo kama inavyotakiwa,mim binafs niliacha kutokana na msukumo niliokuwa nao ndani,mana niliona ndoto yangu itakufa nisiposimama mim binafs,hivyo pamoja na changamoto,nilisimama imara zaid na nna mpango wa kufungua kitu changu binafs

  • @njalaboy9113
    @njalaboy9113 Pƙed 6 lety

    Ni kwel kaka

  • @user-gv4pc9if2u
    @user-gv4pc9if2u Pƙed 3 měsĂ­ci

    Yap

  • @filbertsulusi8963
    @filbertsulusi8963 Pƙed 3 lety

    nimekujua kupitia rafika yangu nimekukubali

  • @mamawa3388
    @mamawa3388 Pƙed 5 lety

    ni kweli ila watu hawana uaminifu unapompa mtu akufanyie jambo wanakuharibia ndio mana mtu anaamua kufanya mwenyewe kila jambo.tupe njia ya kufanya usiweze kuharibiwa mambo yako

  • @happymbare2770
    @happymbare2770 Pƙed 6 lety +6

    asnte kaka angu n kweli kbxa
    bora uishi kwa uwez wako

    • @mcheshcomedy5809
      @mcheshcomedy5809 Pƙed 3 lety +1

      Nauza mosquite killer lamp 🚿 watssap 07 88 5622 60

  • @dulaismail6463
    @dulaismail6463 Pƙed 5 lety

    Nina namba ako mkuu lkn whatsapp aipatikan nnaomba unitumie inayo patikana

  • @jlxninejninekapinga4614
    @jlxninejninekapinga4614 Pƙed 2 lety

    Endelea unavutia katika nafasi ya uwalim

  • @sumiodilo1180
    @sumiodilo1180 Pƙed 6 lety +3

    Nikilala, nikiamka, nikitembea, nikikaa sauti yako inanizunguka akilini. Umekuwa breakfast kaka Nanauka. Naendelea kukufatilia, sijaongea bado, nitakuja kuongea, Kwasasa bado najifunza.

  • @miriamelly8782
    @miriamelly8782 Pƙed 5 lety

    umenigusaaa..

  • @andreofficiel24
    @andreofficiel24 Pƙed 3 lety +1

    Nafanya kazi kubwa ila mshaala wng mndogo so! Sijuw nifanye nn bro

  • @cresensiandimbo4195
    @cresensiandimbo4195 Pƙed 6 lety

    Kweli wewe kaka kuwa TO ilikuwa halali yako kabisa ,nakukubali sana bri

  • @Usawa_phonetech
    @Usawa_phonetech Pƙed 4 lety

    Nataka kuuliza swali

  • @getrudenyamvula3511
    @getrudenyamvula3511 Pƙed 6 lety +3

    sure ishi kwa uwezo wako

  • @mohammedmshiraz75
    @mohammedmshiraz75 Pƙed 3 lety

    100%

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Pƙed 3 lety

    đŸ˜Ș🙏

  • @pendohumphrey9533
    @pendohumphrey9533 Pƙed 6 lety

    Serengeti hotel

  • @oranwateroranwater6356
    @oranwateroranwater6356 Pƙed 5 lety

    Nanauka

  • @eliaichiobrey2204
    @eliaichiobrey2204 Pƙed 7 měsĂ­ci

    Niko Kilimanjaro natamani kuja kwenye seminar yako

  • @danielkyambokisambati1753

    kaka mm ufanyagii kazi Wang katka kuajiriwa kwangu kaka nikwamba nikiingia kwenye kazi nakuta nafanya vitu ambavyo vinafnya watu kkubali na kuelewa na wingine wananiambia kwamba Nina kitu Cha utofauti nisicho kijua mfano nimeajiriwa ofisin Wateja wanaongezeka na faida zinaongezeka labda unakuta kazi iliyum a

  • @tatu3tatu549
    @tatu3tatu549 Pƙed 2 lety

    Hongera Nanauka

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb Pƙed 2 lety

    Hapo mwishoni umeniacha, kama hao watu sahihi wa kuwapa hilo jukumu hawapo kabisa... yaani una watu mizigo, kila kazi kwake hajui....inakuwaje?

  • @peterfujokalogi7821
    @peterfujokalogi7821 Pƙed 6 lety +3

    Nimeipenda

  • @olivermfinanga1268
    @olivermfinanga1268 Pƙed 3 lety

    Kak kila unachokifundsha hcho ni kwa ajl yng

  • @lilykessy6284
    @lilykessy6284 Pƙed 6 lety

    Kuna mtu ukimualika semina/warsha ya ujasiriamali au kitu cha muhimu anapuuza lkn vishughuli visivyo na tuja hakosi hata kimoja,,,nmejifunza kitu

  • @williameliakim8595
    @williameliakim8595 Pƙed rokem

    Vitabuu tunapataa wapiii?

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Pƙed 3 lety

    Yani kama meme ninavyo penda kufanya sanaa Ya maigizo đŸ˜ȘđŸ€Šâ€â™€ïžila sijapata nafasi???

  • @bunayahussein3060
    @bunayahussein3060 Pƙed 2 lety

    Mister joel, nipo tofaut na ww kidogo!!?ni bora ufanye kilakitu ili ukifel usije kujuta ni kwanin hukufanya baadhi ya vitu fulan....!!!

  • @abelmwilapwa1111
    @abelmwilapwa1111 Pƙed 4 lety

    Kitabu napataje nipo kigoma kasulu mjini ...msaada tafadhar

  • @tembomelody5407
    @tembomelody5407 Pƙed 3 lety

    I've unajua we mtu ni jiniaz

  • @nelsonsamwel6065
    @nelsonsamwel6065 Pƙed 6 lety

    Kweli kaka mwenyewe huwa ni mwepesi kuelewa jambo lakin huwa ni muoga kulielezea jambo lenyewe nmekuelewa kaka ahsante am your friend on instagram @officialnelly_jux

    • @vincentmuli4283
      @vincentmuli4283 Pƙed 6 lety

      Nelson Samwel Asante sana kwa kuendelea kutulisha maarifa ya kimaisha,ubarikiwe sana.

  • @micahfurniture
    @micahfurniture Pƙed 5 lety +2

    vitabu vyako vinapatkan wap

  • @annahrichard38
    @annahrichard38 Pƙed 5 lety

    Kaka naomba namba yako ya whatsap

  • @Usawa_phonetech
    @Usawa_phonetech Pƙed 4 lety +1

    Kwa mfano