Habar kaka Joel Nanauka. Nimejifunza kitu kikubwa Sanaa hasa kwenye eneo lakujiwekea akiba kaka. Nimeanza kujiwekea elfu kumi kila siku mpaka mwaka 2027 bila kuzitumia.nimetenga matumizi yangu na kuweka iyo akiba bila kuigusa kataka 2027 nipanue biashara yangu kwa izo akiba kaka.nitakua na million kumi naaa Mungu anisimamie kwailo .
nashukuru Sana kiongozi umefanya Sasa nijue muelekeo wangu wa maisha ni upi almost for years nimefanya kazi lakn hakuna nilicho ambulia but Sasa ni wakati wa kubadilika kwangu
Natamani sana siku moja ningekutana na wewe lives nafikiri nitaweza kubadilika na kuishi kusudi langu kwa Mungu. Kama una class la kuwamentor nisaidie.
Nimejifunza vitu tofauti kwenye maisha sasa ninafikiri nje ya box,, Mungu akubariki sana,ili tuweze kubadilisha Tanzania đčđż yetu na kuwa miongoni mwa nchi bora duniani⊠â
Nadhani nipo kwenye kundi no 1 ambalo nimefanya kaz nnayoipenda kwenye shirika Fulani ,lakini nilikuwa sipati malipo kama inavyotakiwa,mim binafs niliacha kutokana na msukumo niliokuwa nao ndani,mana niliona ndoto yangu itakufa nisiposimama mim binafs,hivyo pamoja na changamoto,nilisimama imara zaid na nna mpango wa kufungua kitu changu binafs
ni kweli ila watu hawana uaminifu unapompa mtu akufanyie jambo wanakuharibia ndio mana mtu anaamua kufanya mwenyewe kila jambo.tupe njia ya kufanya usiweze kuharibiwa mambo yako
kaka mm ufanyagii kazi Wang katka kuajiriwa kwangu kaka nikwamba nikiingia kwenye kazi nakuta nafanya vitu ambavyo vinafnya watu kkubali na kuelewa na wingine wananiambia kwamba Nina kitu Cha utofauti nisicho kijua mfano nimeajiriwa ofisin Wateja wanaongezeka na faida zinaongezeka labda unakuta kazi iliyum a
Kweli kaka mwenyewe huwa ni mwepesi kuelewa jambo lakin huwa ni muoga kulielezea jambo lenyewe nmekuelewa kaka ahsante am your friend on instagram @officialnelly_jux
Nafuatilia sana mafundisho yako. Naomba uwe my life coach.
Excellent,,,,,!!! You are an invisible man who knows the secret of the secret world. Keep opening the eyes of God' s people.
Ubarikiwe Sana Mkuu! You've a blessed mind. Thanks to Lord!
Habar kaka Joel Nanauka.
Nimejifunza kitu kikubwa Sanaa hasa kwenye eneo lakujiwekea akiba kaka.
Nimeanza kujiwekea elfu kumi kila siku mpaka mwaka 2027 bila kuzitumia.nimetenga matumizi yangu na kuweka iyo akiba bila kuigusa kataka 2027 nipanue biashara yangu kwa izo akiba kaka.nitakua na million kumi naaa Mungu anisimamie kwailo .
Dah!!! Joel unaweza sana, we ni kichwa. Hongera, Mungu akubariki.
Asante sana. Kwa kweli itasaidia Sana. Wengine tunahitaji kusukumwa.
I real understood, may God bls you
nashukuru Sana kiongozi umefanya Sasa nijue muelekeo wangu wa maisha ni upi almost for years nimefanya kazi lakn hakuna nilicho ambulia but Sasa ni wakati wa kubadilika kwangu
Great sound, lord bless you for everything, long life strong health
Asante sana kaka, nafikiri nahitaji ushauri zaidi
Thanxsss...brzaa.....đ„đ„đ„đ„đ„đ„đ«đ«đ«
you are so brilliant
God will bless you, everyday you are coming with a new things and its a food for brain.
Amina Brother Nanauka. I will become the best International Author and Speaker one day..!
Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu kwakweli unaelimisha jamii vizuri sana.sio siri wengi tunaishi bila malengo
Halleluyah Pastor Joel NANAUKA Naomba nikuone MTU WA MUNGU Nahitaji Ushauri wako nipo hapa DAR
huyu sio pastor, ni coach đđđđđđ
Wewe ni Mwamba xana Nanauka, kazi mzuri Mkuu.
Daaaaah thanks brother nimeelew man me student issue iyo inanikuta sana tu, So now nishaipata "5rules" â€
Safi sana umenigusa vizuri muno.
Asante kaka kwa kunijaza maarifa
Asante my mentor
shukran bro
Uko sahihi barikiwa sana
thanks so much brother
Shukran sana kaka nimejifunza mengi sana toka kwako
Ubarikiwe sana bro upo vzr
Habar mkuu kweli nimeipenda na mm nataka kuanza kuweka malengo na muda japo sahiv nimeajiriwa
asante,kaka ila studio si muache kupigapiga Ka mziki kwani lazima,kanaondoa kumuelewa MTU vizuri.
Respect sir
Ahsante mwalimu wang
Madini adimu haya bro, asante sana
Asante kaka.
Mungu akubariki sana
Asante kaka j
Uko vizuri sana
Mwl ubarikiwe
Your the best
god bless you brother by carlos
Nimeelewa Sana hii sasa Mimi kwaupande wangu Mungu amenijalia vipawa vingi nitajuaje nikipawa gani mafanikio yangu yalipo teacher J nanauke nisaidie.
God bless you broo.
Ahsante mkuu
Kaka Joel umenisaidia kujifunza vitu tofauti kwenye sasa ninafikiri nje ya box, Mungu akubariki kaka
Shukran Sana kaka.....!!
Nakubali sana
Napea madini mengi kutoka kwako, Asante una badirisha sehemu kubwa ya life style yangu
Nauza mosquite killer lamp đż njoo watssap 0788562260 Andika LAMP
best motivational advice my brother
Tunashukur sn kwa mafundixho yko
Asante sana
Napenda saaana kujifunza naamin ntafanukiwa
Kaka mungu akubariki sana na nakutakia viatu vyako
I got u brother
Asante kaka
ni kweli kaka Joel
Barikiwa joel unanifanya kila siku kujifunza kupitia ww
Hongera
Barikiwa sana
kaka joel una madini ya thamani kila siku unakuja na madini kuntu!ubarikiwe sana uzidi kutuelemisha ntakutafuta kaka!
Natamani sana siku moja ningekutana na wewe lives nafikiri nitaweza kubadilika na kuishi kusudi langu kwa Mungu. Kama una class la kuwamentor nisaidie.
ubarikiwe
Safi
Nimejifunza vitu tofauti kwenye maisha sasa ninafikiri nje ya box,, Mungu akubariki sana,ili tuweze kubadilisha Tanzania đčđż yetu na kuwa miongoni mwa nchi bora duniani⊠â
dahh!! ukoo vzury kaka naomba namba zako
Sawaaaaaa
Kweli kaka
yes
Hapa nimejifuza mambomeghi sana yani kweli waeleweka kakanghu mughuakuzidishiye neema kwamafunzoyako
da imeisha bado hajamaliza yaani ubalikiwe tunaomba hivi kama utatengeneza dvd utatusaidia sana
Joel mimi najenga biashara yangu mtandaoni je nifanyaje ili nijenge core genius yangu mtandaoni
Mimi ni mwanafunzi nilikuwa nafaula physics kuliko wote hadi maks 90 lakini saivi na feli physics sijui sababu
Nadhani nipo kwenye kundi no 1 ambalo nimefanya kaz nnayoipenda kwenye shirika Fulani ,lakini nilikuwa sipati malipo kama inavyotakiwa,mim binafs niliacha kutokana na msukumo niliokuwa nao ndani,mana niliona ndoto yangu itakufa nisiposimama mim binafs,hivyo pamoja na changamoto,nilisimama imara zaid na nna mpango wa kufungua kitu changu binafs
Ni kwel kaka
Yap
nimekujua kupitia rafika yangu nimekukubali
ni kweli ila watu hawana uaminifu unapompa mtu akufanyie jambo wanakuharibia ndio mana mtu anaamua kufanya mwenyewe kila jambo.tupe njia ya kufanya usiweze kuharibiwa mambo yako
asnte kaka angu n kweli kbxa
bora uishi kwa uwez wako
Nauza mosquite killer lamp đż watssap 07 88 5622 60
Nina namba ako mkuu lkn whatsapp aipatikan nnaomba unitumie inayo patikana
Endelea unavutia katika nafasi ya uwalim
Nikilala, nikiamka, nikitembea, nikikaa sauti yako inanizunguka akilini. Umekuwa breakfast kaka Nanauka. Naendelea kukufatilia, sijaongea bado, nitakuja kuongea, Kwasasa bado najifunza.
sumi odilo m
umenigusaaa..
Nafanya kazi kubwa ila mshaala wng mndogo so! Sijuw nifanye nn bro
KAZI gn UNAFANYA boy wassap 0788 5622 60
Kweli wewe kaka kuwa TO ilikuwa halali yako kabisa ,nakukubali sana bri
Joel nakukubari sana kwauwezo wako
Nataka kuuliza swali
sure ishi kwa uwezo wako
Kabsa
100%
đȘđ
Serengeti hotel
Nanauka
Niko Kilimanjaro natamani kuja kwenye seminar yako
kaka mm ufanyagii kazi Wang katka kuajiriwa kwangu kaka nikwamba nikiingia kwenye kazi nakuta nafanya vitu ambavyo vinafnya watu kkubali na kuelewa na wingine wananiambia kwamba Nina kitu Cha utofauti nisicho kijua mfano nimeajiriwa ofisin Wateja wanaongezeka na faida zinaongezeka labda unakuta kazi iliyum a
Hongera Nanauka
Safi
Hapo mwishoni umeniacha, kama hao watu sahihi wa kuwapa hilo jukumu hawapo kabisa... yaani una watu mizigo, kila kazi kwake hajui....inakuwaje?
Nimeipenda
Brother nahitaj kukutan na wew
Peter Edward god
Kak kila unachokifundsha hcho ni kwa ajl yng
Kuna mtu ukimualika semina/warsha ya ujasiriamali au kitu cha muhimu anapuuza lkn vishughuli visivyo na tuja hakosi hata kimoja,,,nmejifunza kitu
Vitabuu tunapataa wapiii?
Yani kama meme ninavyo penda kufanya sanaa Ya maigizo đȘđ€Šââïžila sijapata nafasi???
Mister joel, nipo tofaut na ww kidogo!!?ni bora ufanye kilakitu ili ukifel usije kujuta ni kwanin hukufanya baadhi ya vitu fulan....!!!
Kitabu napataje nipo kigoma kasulu mjini ...msaada tafadhar
I've unajua we mtu ni jiniaz
Kweli kaka mwenyewe huwa ni mwepesi kuelewa jambo lakin huwa ni muoga kulielezea jambo lenyewe nmekuelewa kaka ahsante am your friend on instagram @officialnelly_jux
Nelson Samwel Asante sana kwa kuendelea kutulisha maarifa ya kimaisha,ubarikiwe sana.
vitabu vyako vinapatkan wap
Kaka naomba namba yako ya whatsap
Kwa mfano