Video není dostupné.
OmlouvĂĄme se.

Aina Tano (5) Za Hisia Unatakiwa Kushughulika Nazo - Joel Nanauka

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 12. 01. 2019
  • đŸ”„đŸ”„đŸ”„ Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... đŸ”„đŸ”„đŸ”„

Komentáƙe • 200

  • @nurujonas7302
    @nurujonas7302 Pƙed 5 lety +10

    Uchungu jaman natakiwa nishughulike nao ulizidi nilipofiwa ghafla na mdogo wangu fikra ikinijia popote mchozi unanishuka iwekwenyedaladala iwe njian iwekazni imenipelekea kuamin kwamba nikwanini tuhangaike na vitu viingi wakati dunian tunapita tu.

    • @bahatidanken9181
      @bahatidanken9181 Pƙed 5 lety +2

      ivi nitapataje kitabu jmn

    • @phanuelpaul3785
      @phanuelpaul3785 Pƙed 5 lety

      Hisia kimsingi ndio inakusukuma au inayomsukuma mtu kufanya jambo la aina yoyote ile haijalishi zuri au baya kiufupi mie nataka kushughulia eneo la uchungu na hasira hasa uchungu hii ni hisia inayonitesa sana bro most of the time, #SeeYouAtTheTopToo

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety

      Pole sana kwa kuondokewa na mdogo wako,zawadi kubwa unayoweza kumpa ni kupambana na maisha na kutimiza ndoto zako.See You At the Top

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety

      wasiliana na 0756094875 utakipata

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety

      Poole na hongera kwa kujigundua ni wakati wa kufanyia kazi sasa.

  • @azizamajuto928
    @azizamajuto928 Pƙed rokem

    Hisia Mbaya Zinaumiza Sana Napia Naitaji Kuondokana Nazo Kabisa Naomba Ushauri ,Zaidi

  • @lenardkabart9253
    @lenardkabart9253 Pƙed 2 lety

    Kaka joel
    Nakushukulu
    Sana
    Kwa kuzidi kutuelimisha
    mungu azidi kukuongezea ufanisi
    Wa haya masomo
    Unayo tupatia
    Mungu akuzidishie uwezo na nguvu zaid
    Kwa kutuletea masomo mazur
    Ya kutuelimisha zaidi..
    Kwenye somo hili.
    Mimi nimekumbwa
    Na point yako ya mwisho
    Ukwel inanitesa sana

  • @ndaskoimushi5518
    @ndaskoimushi5518 Pƙed 4 lety

    Habari ndugu ni kweli ninasumbuliwa sana na hasira hasa kazini kutokana na asili ya watu ninaofanya nao kazi mimi ni mtu mweusi nafanya kazi na waasia hivyo kila kitu kibaya mimi ndiyo Dumpo kiasi ambacho nimejikuta kuwa mhanga na hisia ya tano kwamba kila watachojadili tukiwa kazini huwa nahisi wananiongea mimi kitu ambacho kinaniletea tatizo la kuwa na hasira sana naomba msaada wako

  • @marywilliam2572
    @marywilliam2572 Pƙed 5 lety

    Mimi nasumbuliwa na uchungu wa mda mrefu pia Nina hasira sana yaani vitu hivi napata navyo shida sana kuna watu naona kama nimewasamehe lakini bado nimejitahidi nimeshindwa...... naomba nisaidie kaka yangu maana nimeshindwa hata kutimiza ndoto zangu naona maisha yangu yameharibika sana

  • @ginajoel2959
    @ginajoel2959 Pƙed rokem

    Amen,mimi uchungu yani nafika mahali najipiga mwili wangu na kulia uchungu uondoke,namba3 kuhisi sistahili na namba4.naomba unisaidie nimechoka na izi hali

  • @mohdmoo9682
    @mohdmoo9682 Pƙed 3 lety

    Dah nipo zanzibar nimepata tatizo kubwa Sana nipo katika hatua ya uchungu sana

  • @msengisimoni2087
    @msengisimoni2087 Pƙed 5 lety

    hasira ni hisia iliyonitesa sana ila kwasasa Niko tofauti sina hasira tena

  • @azizamajuto928
    @azizamajuto928 Pƙed rokem

    Hisia Hizo Mbaya Zimepeleka Kushindwa Mm Kujiamini Hadi Nikiwa Sawa Baadae Itokea Ktk Hali Ile Hali Ya Kujishangaa Leo Nimeshinda Bila Kkumia Au Maumivu Bas Kosa Linaanza Apo Mwisho Ndio Naumia San

  • @douglasradley6698
    @douglasradley6698 Pƙed 5 lety

    kaka joel nanauka mimi tatizo ninayo ni hiyo ya 1 na 3 na 4 kwa sababu mimi nimekosa mama nikiwa na myaka 13 kutokana na hali ya maisha nimepitiya ndani inanionesha kama kufanikiwa kwangu ni vigumu ivyo basi naomba unisaidiye jinsi ya kufikia kwenye mafanikio yangu tena na nimewahii pata pesa nyingi ila nikazitumia vibaya najilaumu sana ivyo naitajii musaada kutoka kwenye ushauri wako

  • @amoskona4677
    @amoskona4677 Pƙed 5 lety

    Asante sana umeniongezea ujuzi kias flani kutokana na uelewa wangu hapa mimi nna tatizo lililosababisha Mimi nimeshindwa kuendelea kufait mambo yangu ila sijakata tamaa japo nimezidi kukutana namaneno yawatu wakukatisha tamaa sana moja ya watu hao akiwemo mtu mhim sana kwangu nikimaanisha baba yangu,lakini sijakata tamaa naujumbe wako umenigusa vilivyo kwaiyo nimependa elimu yako nimeiamin na nitahakikisha naitendea haki.
    Kwa jina naitwa:#amos juma"kutoka Arusha sombetin,tuko pamoja brother 👊

  • @revocatusnyerenga2901
    @revocatusnyerenga2901 Pƙed 4 lety

    Una kipawa mungu kakiweka ndani yako una tu faidisha wengi

  • @fatumaahmmed6929
    @fatumaahmmed6929 Pƙed 5 lety

    Shukurni sana allah akuzidishie uzidi kutu fundisha tusio yajua

  • @hafidhsaid9301
    @hafidhsaid9301 Pƙed 4 lety

    Umenibadilisha maisha yng brother mm nakufatilia Sana

  • @ginajoel2959
    @ginajoel2959 Pƙed rokem

    Jamani mimi machozi yanitoka tu,umeyagusa maisha ,namba 1,3 na 4 napitia

  • @aishajuma712
    @aishajuma712 Pƙed 5 lety

    Uchungu mim ninao kuna watu walinisema vibaya tangu mwaka 2011 tupo form for mpaka Leo nikiwaona au nikiwakumbuka tu nawachukia sana itabid nijitahid kuiondoa hii hali maana inafikia mpaka mda mwingine naongea pekeangu

  • @jenifaaloyce6910
    @jenifaaloyce6910 Pƙed 5 lety +6

    Nakushukuru maana kilasiku umekuwa mkombozi wangu Mimi niliguswa sana na no1/2015 nilitulimiwa kilakitu nilichokuwanacho nikaanza maisha moja Mimi nawatoto lakini leoo tunafanana naaliye tudhulumu sioni tofauti

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety +1

      Hongera sana kwa kupambana na kujikwamua,nakuombea mafanikio Zaidi katika maisha yako.See You At The Top

  • @azizamajuto928
    @azizamajuto928 Pƙed rokem

    Hisia Mbaya Zinaumiza Sana Asante Kaka Ubarikiwe Sana Uwenda Nikaweza Kushinda Hisia Hizi Mbaya

  • @subiraomar4771
    @subiraomar4771 Pƙed 5 lety +1

    Nauchungu sana na kuona ndugu zangu wanaishi maisha ya taabu wakat baba yangu aliacha mali wanafaidika watu wengine

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety

      Pole sana Subira,ninaamini kama hautakata tamaa nawe utafanikiwa kwa kiwango cha juu pia siku moja

  • @sheillachisika2600
    @sheillachisika2600 Pƙed 5 lety +1

    Barikiwa we kaka darasa lako Nila maana Sana kwa maisha yangu inanitoa hatua hadi nyingine

  • @buhomarutta230
    @buhomarutta230 Pƙed 2 lety

    Nakushukulu Sana doctor zote ninazo

  • @queenhenry890
    @queenhenry890 Pƙed 5 lety +1

    kwa upande wangu hasira na kuhisi sistahili natakiwa kushughulika naza
    asante kwa ushauri

  • @salwasalim5073
    @salwasalim5073 Pƙed 4 lety

    Nataka usaidizi naomba nifanyejee.mm napata pesa kila wiki mm ni muathirika kwa magic victim.family yko hawana kazi lkn wajijenga mm hawanitaki wanidharau plz nisaidieni nadharauliwa sana naumia sana

  • @isacklissu847
    @isacklissu847 Pƙed 5 lety

    hasira kaka ,thankc kwa shule tamuu

  • @jamesrichard4543
    @jamesrichard4543 Pƙed 5 lety +1

    Nimeamka kwenye usingizi niliokuwa nimelala, asante mwalim wangu kwa kuniamsha. You will see me at the top.

  • @misskwileka1956
    @misskwileka1956 Pƙed 5 lety

    Kaka hivi vitu ni kweli kabisa... Hasira na uchungu inabidi nivishughulikie

  • @alexdogan6057
    @alexdogan6057 Pƙed 5 lety +3

    Hasira brother mi ni shidaa

  • @hamislizaa1746
    @hamislizaa1746 Pƙed 5 lety

    Hisia yakuona sisitahili ilinpelekea kufel mtihan wa kidato cha4 mwaka juzi ambapo hali yakimaisha ya nyumbn ilikuwa mbaya sana ikanpelekea kuwa nafukuzwa darasn kwakukosa schoolfees mwisho nikaja nikakubali kwamba sisitahil kusoma lakn japo nlipata div4 ya 28

  • @khadijajuma7142
    @khadijajuma7142 Pƙed 5 lety +3

    Daaahh Uchungu nahusika nao aisee!!!! Kila nikitaka kusahau inabidi nisijikumbushe mda mrefu ila siku zikijirudi yananivuruga mood yangu siku nzima aisee Daahh!!!!! Mungu nisaidie

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety +1

      Pole sana Khadija,usikubali watu wengine watawale hisia zako,weka nguvu zako kutimiza malengo yako

    • @khadijajuma7142
      @khadijajuma7142 Pƙed 5 lety

      @@joelnanauka Sawa kaka Ahsante,napambana nayo niendelee na malengo yangu

  • @mbwanaomary7537
    @mbwanaomary7537 Pƙed 5 lety +2

    Ahsante Broo Joel umekua chakula mioyo yetu kila siku Allah akujalie

  • @babalois7240
    @babalois7240 Pƙed 5 lety +3

    Thankx Sir #Nanauka..
    ``Hakuna Tatizo lisilo na solution''

  • @msleny6767
    @msleny6767 Pƙed 5 lety +6

    Wow!! Haya ni mambo husika sana na umenisaidia sana kuelewa umuhimu wa hisia zangu na madhara inacho ni sababishia katika maisha. Na hisia ninacho kiacha leo ni Uchungu
    Asante Joel kwa funzo haya👍👍
    Read more friends (*AS THE MAN THINKETH*) BY JAMES ALLAN

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety +1

      Pole kwa kukabiliana na uchungu na naamni kuanzia leo utaanza kushughulikia ili uwe huru moyoni mwako

    • @msleny6767
      @msleny6767 Pƙed 5 lety

      @@joelnanauka Asante sana Joel, najiamini na naamini nitaepukana na haya ili hali ya moyo wangu uwe huru. Huu funzo umenisaidia sana
      Thanks once again. Am greately humbled

  • @arobogastmashamba8957
    @arobogastmashamba8957 Pƙed 5 lety +2

    Asanteh sana bro kiukwel hasira na uchungu vilinipelekea kukosa kazi na ata mdada nliempenda....kwa hisia izi basi napaswa kubadilika na kushughulikanazo ili niweh wa thamani na hakika mimi ni wa thamani
    #JoelArthurNanauka
    #seeYouAtTheTop
    #GastWearShop
    #GWS

  • @matollamuchacho648
    @matollamuchacho648 Pƙed 5 lety +2

    MKOJANI wa pemba zanzibar ....
    Mwalimu mimi hizozote nnazo aina 5 ...
    Nashkuru sanaaaa kwaelimu yako ... Nimepata faida kutoka kwenye ilosomo ... Mungu akuweke miaka 100 / akupenguvu akili na afya njema uendelee na majukumu yako na elimu hii iendelee ....

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety

      Nashukuru sana Matolla,tuendelee kujifunza Zaidi.Nakutakia mafanikio makubwa zaidi

  • @joycelaizer4600
    @joycelaizer4600 Pƙed 4 lety

    Joel asante Sana

  • @abuuharuna4278
    @abuuharuna4278 Pƙed 5 lety +5

    yani Mimi ni muathilika wa vyote ulivyovizungumzia asante sana Joel nanauka

  • @najmachami547
    @najmachami547 Pƙed 5 lety +2

    Asante kaka kwakunijenga leo inabid nishuhulike na uchungu pamoja na hasira

  • @pendonyoni5364
    @pendonyoni5364 Pƙed 5 lety +1

    Asante kaka uchungu na hasira vinanila sana

  • @jescamakyao9465
    @jescamakyao9465 Pƙed 5 lety

    Mimi hizo hisia zote ulizotaja zimenilemea Sana na ngoja tu kifo kinichukue maana sina lolote chini ya jua.

  • @sabatomjungu9727
    @sabatomjungu9727 Pƙed 5 lety +3

    Hapo kwenye hasira Ni pakushughulika Napo kabsa , Barikiwa zaidi mtumishi wa Mungu

  • @mwambauliohai5043
    @mwambauliohai5043 Pƙed 5 lety +1

    ahsante sana kwa kuniponya moyo wangu.

  • @keshenimoshi9113
    @keshenimoshi9113 Pƙed 5 lety +2

    Hasira hasara kwa kweli kaka mkubwa, nimekuelewa vizuri Sana. Mungueakubariki Sana'a....

  • @safiaabubakar1120
    @safiaabubakar1120 Pƙed 5 lety

    Nimeishi na uchungu kwa miaka 18 kwa ukatili niliwowahi fanyiwa mwishoni mwa mwaka jana nimeanza kupata nafuu

  • @aminaally2029
    @aminaally2029 Pƙed 5 lety +6

    Ahsante sana Mwenyezi Mungu akubariki
    Mie Hasira kwakweli inabidi nishughulike nayo

    • @godriancalisti8972
      @godriancalisti8972 Pƙed 5 lety +1

      Be blessed brother

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety

      Amen Amina,nashukuru kwa Baraka na nafurahi kuona kuwa umejigundua.Ni wakati wa kuanza kufanyia kazi sasa.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety

      Ameen

    • @mussasaimon2012
      @mussasaimon2012 Pƙed 5 lety

      Nashukuru kaka .Mimi Jana tu nimetoka kufanya maamuzi ya asira

  • @abuuharuna4278
    @abuuharuna4278 Pƙed 5 lety +2

    endelea kutufundisha na kutuhamasisha mungu atakuzidishia kwa unachokifanya

  • @spodomwema9046
    @spodomwema9046 Pƙed 5 lety +3

    Thanks sana kaka Joel , me Naona kamavile mudamwingine hyo hisia ya Tano Nakuaga nayo

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety

      Ukishagundua anza kuishughulikia mapema kabisa

  • @jumamohamed7588
    @jumamohamed7588 Pƙed 5 lety

    Pamoja unagusa maisha yetu ya kila siku usichoke tupo pamoja na wew

  • @edrickniwamanya439
    @edrickniwamanya439 Pƙed 5 lety

    Ahsante sana brother mm ninayo hisia ya kuhisi nakataliwa sipendwi alafu mara nyingi watu wanao nizunguka nikiwambia bwana mm naweza wanajibu ww bado ujui kitu

  • @tungaraza7794
    @tungaraza7794 Pƙed 5 lety +3

    Hisia ya kuhisi watu wananisema vibaya huwa imenikaa sana hupelekea hata nishindwe kujiamini

  • @edasipaja9282
    @edasipaja9282 Pƙed 5 lety +2

    ahsante saaana ubarikiwe, kwa upande wa hasira umeni jenga mno

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety

      Pole sana naamini utaanza kuzighulikia

  • @faustaraymond3303
    @faustaraymond3303 Pƙed 5 lety +3

    Daaa!kweli kaka Joel yn hiyo namba 1na3 hasa ya tatu inaniathiri kiakili kbs

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety

      Pole sana Fausta,ni muhimu uanze kuishughulikia mapema bila kuchelewa

    • @faustaraymond3303
      @faustaraymond3303 Pƙed 5 lety

      @@joelnanauka asante sana kaka

  • @rahemahrahemah2719
    @rahemahrahemah2719 Pƙed 5 lety +2

    Shukran Kaka Joel Allah akulinde cku zote uzidi kutuelewesha

  • @joseefaidabutu6467
    @joseefaidabutu6467 Pƙed 5 lety +3

    Asante sana,mimi lazima nijshugulisshe na hasira na kuwazia

  • @mwajumamwishehe3423
    @mwajumamwishehe3423 Pƙed 5 lety +1

    Asante sana kaka kwa somo mungu azidi kukupa afya njema uzidi kutuerimisha

  • @dianamalingumu4516
    @dianamalingumu4516 Pƙed 5 lety

    najifunza mengi kwako

  • @jumamohamed7588
    @jumamohamed7588 Pƙed 5 lety

    Good nimeanza kufatilia video zako nimegundua unagusa sana maisha yetu ya kila siku hongera kwa kutoa ulichonacho kutunufaisha

  • @shemsahafidh3234
    @shemsahafidh3234 Pƙed 5 lety

    Asante sanaaa

  • @mamalulumama2102
    @mamalulumama2102 Pƙed 5 lety

    Nanauka trust u much .

  • @elibarikibayo4047
    @elibarikibayo4047 Pƙed 5 lety

    Endelea kutufunza mzee babaaa mm Mwalimu lakini Kwako ni student tenaa

  • @user-qs9rn2je4c
    @user-qs9rn2je4c Pƙed 5 lety +1

    mie niliwahi achwa na ujauzito wa miezi 8 alf bila huduma yoyote hii na jitahid ni sahau ila kila mara nyingi inanijia

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety

      Pole sana kwa hiyo changamoto,tafuta kitabu changu cha NGUVU YA MWANAMKE nimeleeza kwa undani nnamna ya kupona kutoka kwenye maumivu ya kihisia,kimewasidia wengi sana

  • @sidikatoi7748
    @sidikatoi7748 Pƙed 4 lety

    Nitautoaje uchungu kaka

  • @adelinanguna8343
    @adelinanguna8343 Pƙed 5 lety

    Asante kk

  • @fatmamwiru7574
    @fatmamwiru7574 Pƙed 5 lety

    Hasira na Hisia ya uchungu hivi vtu vinanitesa sanaa lazma niviweke kwenye maombi kaka Nanauka.

  • @johnluhwa8342
    @johnluhwa8342 Pƙed 5 lety +1

    Asante kakaaa tunazidii kujifunzaa

  • @hasijoh4805
    @hasijoh4805 Pƙed 3 lety

    Mungu akubaariki bro tangu nimeanza kukufatilia nimeona mwanga katika maisha yangu mwenyezi mungu akuongezee maarifa uzidi kuwaokoa wengine brother

  • @hafidhsaid9301
    @hafidhsaid9301 Pƙed 4 lety

    😀 brother Joel unanifrahisha Sana wallah Allah akubarik kw kaz yko nzuri

  • @mathewmadewa1402
    @mathewmadewa1402 Pƙed 4 lety

    Hisia namba 5

  • @zhnnnsafisanamweshimiawata1312

    shukrani kaka kwakutunoa ubongo

  • @frankforex2302
    @frankforex2302 Pƙed 5 lety

    Ni mambo mengi sana binadamu angeweza kutimiza na kufanikiwa sana kama angeweza ku control hisia zake jambo ambalo alizuiliki ni kuepuka hali kuwa na hisia mimi binafsi naamini time always hill when it comes to emotion

  • @dsquareakilimali7965
    @dsquareakilimali7965 Pƙed 5 lety +3

    Hi ya 5 kwakweli ni moja ya hisia ziliyo niumiza 2016 saan

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety

      Pole sana,naamini utaanza kuifanyia kazi kuanzia leo.

  • @leinalukosi2852
    @leinalukosi2852 Pƙed 5 lety +1

    Hisia ya 1 na ya 2, Nashukuru kwa Somo zuri

  • @vichwaempire8322
    @vichwaempire8322 Pƙed 5 lety +2

    Hasira hua na shindwa kabisa

  • @alonto8159
    @alonto8159 Pƙed 5 lety +2

    asante sana kwa elimu yako nzuri kaka.God bless you.

  • @watumnjangu8312
    @watumnjangu8312 Pƙed 5 lety

    Please my friend I I always feel touched by all your points and I think I must get out of what I under go if I still follow and I must follow it. I appreciate please. With today number one has touched me mostly. May God bless you for work done.

  • @eliezermtokoma2057
    @eliezermtokoma2057 Pƙed 5 lety +1

    asante kaka nimeelewa

  • @mwanamkasihabibu9915
    @mwanamkasihabibu9915 Pƙed 5 lety +1

    kwel kabisa mm uchungu na hasira vnanikabil

  • @gilibetymabully2624
    @gilibetymabully2624 Pƙed 4 lety

    Mimi huwa na hasira san

  • @rukiasalim2512
    @rukiasalim2512 Pƙed 4 lety

    Ktk maisha yangu hujawahi hata sikimoja kuacha kunitia moyo kila ninapo sikiliza mafundisho yako god bless you my brother Mungu akutunze

  • @elibarikibayo4047
    @elibarikibayo4047 Pƙed 5 lety

    Mm Ni hasira na uchungu.....

  • @edsonlaurencemwagamasasi9074

    Nashukuru Sana Kaka Joel... Salamu zimefika... Mungu azidi kukusimamiaaaaaa

  • @saidomari5909
    @saidomari5909 Pƙed 5 lety

    Kweli kabsa Joel mm pia hasira sana jee nitafanyajee plz nijulishe ndugu yangu

  • @edsonlaurencemwagamasasi9074

    Darasa zuri Sana Kaka... jumatatu njema....na Ubarikiwe Sana...salamu from faculty of law Tumaini University Makumira# see you at the top

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety +1

      Ahsante sana Edson,salamu kwa wadau wote walioko hapo makumira

  • @eliudikijuzi4909
    @eliudikijuzi4909 Pƙed 3 lety

    Thanks

  • @RazakiMohammed-mk2nx
    @RazakiMohammed-mk2nx Pƙed 11 měsĂ­ci

    Nisha wahi kuowanayo hasira

  • @worshipertv9968
    @worshipertv9968 Pƙed 5 lety +4

    Kaka mi nakushukuru sana kwa kunielimisha daima nitafata mafundisho yako ili niwemshindi

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety

      Safi sana Elias,kila la kheri,nakutakia mafanikio Zaidi.

  • @irakozemaissarah4325
    @irakozemaissarah4325 Pƙed 5 lety

    ubarikiwe sana kaka tunazidi kujifunza

  • @runakambangwa9708
    @runakambangwa9708 Pƙed 5 lety

    Kaka Joel najitaidi kutoka katika uchungu na asila ila bado mtihani kwangu

  • @Maulidfundi
    @Maulidfundi Pƙed 5 lety

    Isia ya uchungu.

  • @veronicajohn3510
    @veronicajohn3510 Pƙed 3 lety

    Waoooooo this is very nice lesson

  • @epifaniasawaki3315
    @epifaniasawaki3315 Pƙed 4 lety

    Asante bro mm hasira dah ila kupitia hii video nitajizuia kbsaaa

  • @rehemasadick2685
    @rehemasadick2685 Pƙed 5 lety

    kaka nothing can say umenigusa kwa asilimia 90. Nais nna itaj msaada zaid toka kwako.. Kimawazo na mtazamo kunisaidia kuzjenga fikra znazotawala hisia zang..

  • @faithkariri3213
    @faithkariri3213 Pƙed 5 lety

    Asante. Mafunzo mema.

  • @juliuskanyomoza8848
    @juliuskanyomoza8848 Pƙed 5 lety +2

    Thanks Joel for good lesson

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety

      Karibu sana Julius,pamoja.Nashukuru sana kuendelea kujifunza kila siku.

  • @chrispinelwoga4182
    @chrispinelwoga4182 Pƙed 5 lety

    no 4 inanihusu

  • @mosileselestine9169
    @mosileselestine9169 Pƙed 5 lety

    nadhani hususani ya bitterness(uchungu) ambapo nakuwa dhaifu sana moyoni na madhara kuja hadi akilini kutokana na hisia hii

  • @jonasbonne9372
    @jonasbonne9372 Pƙed 4 lety

    Thanks very well teacher Joel continue đŸŒč

  • @ibrahimsurvive3311
    @ibrahimsurvive3311 Pƙed 3 lety

    uchungu

  • @mwanaidisimba4331
    @mwanaidisimba4331 Pƙed 5 lety

    duh ! Mimi huwa najishitukia kuhisi kuwa kuna baadhi ya mambo sistahili

  • @barikitvshow
    @barikitvshow Pƙed 5 lety

    Somo zuri xana thanks

  • @hilarygodfrey5862
    @hilarygodfrey5862 Pƙed 5 lety

    Nashukuru sana kaka