Dr.Chris Mauki: Maneno haya 6 yatakufanya upendwe Zaidi.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • Je uko kwenye mahusiano na ungetamani kuona mapenzi zaidi? Unakiu ya kubadilisha namna mnavyopendana na hujui nini ufanye? Nakupa maneno 6 ambayo ukiyasema mara kwa mara kwa mpenzi wako yatabadili upepo wa mahusiano yenu. Nifuatilie.
    #DrChrisMauki#UpendweZaidi#MusicVideo

Komentáře • 405

  • @josephinajosephu6859
    @josephinajosephu6859 Před rokem +10

    Kweli ww ni zawad kwetu mungu alietupa maana unajua kutupa madini❤hongera sana

  • @paulineimary8355
    @paulineimary8355 Před rokem +13

    Mpenzi wangu uniambia haya yote🥰🥰mungu akatuunganishe pamoja 🙏

  • @pascaljacob9845
    @pascaljacob9845 Před 2 lety +19

    Drive safe
    Nijulishe ukifika
    Je tunaweza kutoka wote
    Take care
    Siku yako ilikuwaje
    Najivunia wewe
    **Mapenzi ya dhati hayana expaya deti..love it!!

  • @faithmsungu3272
    @faithmsungu3272 Před 2 lety +13

    Thanks so much Dr,Kupitia masomo yako mahusiano yangu yanazidi kuwa mapya kila siku,Mungu akubariki sana

  • @janetmasasi703
    @janetmasasi703 Před 3 lety +8

    Asante kunizindua kifikra.Nimejifunza vitu, mwanadamu tunajifunza kila siku.Mungu akubariki Dr Mauki

  • @janenkhwazi2457
    @janenkhwazi2457 Před 3 lety +29

    Walk with wise so that you can be like them...I'm learning more from you Dr Chris...God bless

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  Před 3 lety +5

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @rahmamwinyimkuu3273
      @rahmamwinyimkuu3273 Před 2 lety +1

      @@ChrisMauki1 kpp⁸888iì8

    • @queenmchapi1281
      @queenmchapi1281 Před rokem

      asantee Kaka😘

    • @salha.d5060
      @salha.d5060 Před rokem

      DR MIMI NINA SHIDA YA WIVU MKALI SANA NIMESHAACHWA NDOA 2 LAKINI SIJUI KAMA NTAWEZA DUMU KWENYE NDOA YANI NINATAKA NIMONTE MWANAUME RATIBA ZAKE ZOTE MIMI SIJAWAHI CHEAT KABISA YANI MFANO NIKIPIGA SIMU MTU ASIPOKEE MUNGU WANGU MPKA NAKWENDA KUHARISHA ASIPOPATIKA MPKA MAPIGO YA MOYO YANABADILIKA NAISHIWA NGUVU NAWEZA HATA KUPOTEZA FAHAMU NISAIDIE NIFANYE NINI

  • @preciousnyange7151
    @preciousnyange7151 Před 3 lety +3

    Kwakweli nashukuru maneno mazuri yakujenga nilikua natumia maneno matano kati yasita uliofundisha kasoro lakujua Siku yakeimekwrndaje but nashukuru ananipenda Sana'a naminajua hivyo nitaongeza zaidi thanks

  • @mohamedsuleiman7215
    @mohamedsuleiman7215 Před 3 lety +1

    dr.nakuelewa haya maneno huyatumia ila nilikua sijui na cku zote i drive women crazy...na cjawah kuwachwa na nahongwa sana na mwanamke akiondoka hurudi kwangu ila changamoto yangu mi niko bize na life wanawake huniona dharau na mwisho husepa lakin huwa moyon mwao hawajaridhika...am proud of you.

  • @catherinekabora6766
    @catherinekabora6766 Před 2 lety +1

    Habari Dr Asante sana Kwa Masomo yako naomba pia uongelee SoMo linalohusu 'Controlling woman'

  • @JunitaMwasambungu-zm8sl
    @JunitaMwasambungu-zm8sl Před 5 měsíci +1

    Asante sana doctor ubarkiwe sana Mungu akuimarishe zaidi

  • @Esthermwalimu7732
    @Esthermwalimu7732 Před rokem +1

    Asante kwa ushauri wako,nmetumia haya yote na kwa kweli yanafanya kazi

  • @user-im7kb6ne3z
    @user-im7kb6ne3z Před 8 měsíci +3

    Kweli kabisa chris haya maneno yanafanya kazi mm apa mpaka na nenepa ❤❤❤❤😂😂😂

  • @leahsamson9354
    @leahsamson9354 Před 2 lety +3

    Hakika wewe ni zaidi ya mwalimu , mungu akuongezee maarifa

  • @niwaelnathaniel5450
    @niwaelnathaniel5450 Před 3 lety +4

    Wonderful teaching,Dr Chris,inauma sana unaondoka mpenzi wako hakuulizj umefikaje ina uma sana.

  • @barakazagabepaulin1549
    @barakazagabepaulin1549 Před 3 lety +5

    shukrani za zati kwa mafundisho haya mwalimu.

  • @betricevictor447
    @betricevictor447 Před 3 lety +3

    Asante Dr Chris ila daah kuna wengine hata ufanyeje ni shda

  • @nancypeter4300
    @nancypeter4300 Před rokem +1

    Ngoja ebu nipunguze ukali kweli thanks

  • @suzanmwanja7071
    @suzanmwanja7071 Před rokem +1

    Hakika haya mambo ndo ninayoyafanya binafsi najivunia sana pia Asante kwako mwalimu

  • @johneliezeri9786
    @johneliezeri9786 Před 3 lety +2

    Asante Dr Chris Mauki kwa mafundisho mazuri ya kutujenga ktk mahusiano

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  Před 3 lety +1

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @hafsaali4423
    @hafsaali4423 Před 3 lety +2

    Asante dokta kwa som zuri sana ila.mimi naona kunawanaume wenye kujuwa dhamani ya hayo maneno wangu hata nimulize ntajibiwa shoti hadi naishiwa pozi kabisa anacho juwa ni kuniuliza umeamkaje na umeshindaje na umetoka kazini umekula na.usiku mwema basi mengine ntajuwa mimi na mungu wangu naumiya ila basi tu

    • @binthawa2973
      @binthawa2973 Před 3 lety

      wew kama wangu na litakula block mana shida

  • @elizabethrichard5185
    @elizabethrichard5185 Před 3 lety +16

    Am 18 years but you're my best teacher 🙏

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  Před 3 lety +2

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @lazaroamanimakungamakhirik1342

    We ni mwalimu wa kipaji Asante kwa masomo mazur

  • @scolakalindu8077
    @scolakalindu8077 Před 2 lety +4

    Yani Baba unamalizaga bando yangu asante🙏❤

  • @lamarashrashid3860
    @lamarashrashid3860 Před 3 lety +8

    This really makes sense 😃.... I used it much and it gave my .......a very wonderful ... feelings...... congrats doctor 👏

  • @philemonmtangi1692
    @philemonmtangi1692 Před 3 lety

    Dr ninahitaji sana kuonana na wewe ninashida imefika pabaya sana naomba mawasiliano yako, Ahsante sana kwa masaada wako nilikuwa ninakufuatilia sana vipindi vyaki Radio C, Lakini kwa sasa sijakusikia kipindi kirefu. Nakutakia maisha mema.

  • @CleverTz-h5x
    @CleverTz-h5x Před měsícem

    Thank you Chris for another day 🙏🏾🙏🏾

  • @vanessamollel9950
    @vanessamollel9950 Před 3 lety +4

    Thank you so much doc mim nlishakata tamaa kabisa but once nlionabaadhi ya video zako for sure naskia aman japo kuna vitu nkiskia naumia sanaa kwan nampenda sanaaa and thank u so much you change me 🙏🏽🙏🏽

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  Před 3 lety

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @PriscahOyango
    @PriscahOyango Před 27 dny

    Nashkuru sana Dr...kwa mafunzo yako

  • @latifamajengo2921
    @latifamajengo2921 Před 3 lety +1

    Ktyu ambach nmebe understandable well ....
    1. Take care
    2.how was ur day
    3. Am proud ov yuh
    Yn ay yamenimonivate for 💯%

  • @joseKende
    @joseKende Před 17 dny

    Asante sana kwa funzo nzuri🙏

  • @stelambezi9971
    @stelambezi9971 Před 3 lety +2

    Asante Doctor Chris I have used them alot but I have not seen it's positivity.

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  Před 3 lety +1

      May be something is wrong to the one you are saying to or may be the approach

    • @lilianraynertarimo9650
      @lilianraynertarimo9650 Před 2 lety

      Asante sana Criss am proud of you God bless you

  • @khadijaramadhan1796
    @khadijaramadhan1796 Před 2 lety +1

    Asante sana sana kwamafundisho mazuri

  • @alwaladorcus3809
    @alwaladorcus3809 Před 2 lety

    Umenena Dr hakika nimeskia, mengine ninayafanya , nanitaongezea ili nitengeneze doa yangu Asante sana ubarikiwe

  • @WitnessOchora-dd1gm
    @WitnessOchora-dd1gm Před rokem +1

    😯 jaman amazing ❤❤❤ daah ntayfnyia kazzz

  • @ngazarajab4101
    @ngazarajab4101 Před 3 lety

    Asante doctor kwa kutufundisha mambo muhimu nafarajika sana nitajitahidi maana mahusiano nikitu muhimu kwenye maisha y amwanadamu

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  Před 3 lety +1

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @barakabeatud5630
    @barakabeatud5630 Před rokem +1

    Asante kwa somo zur

  • @DainessMchomvu
    @DainessMchomvu Před měsícem

    Una kipaji kikubwa Sana Mungu akubariki

  • @user-vx7ep6gd7c
    @user-vx7ep6gd7c Před 11 měsíci

    Namshukru sana mungu akubriki ntajibadilsha Sasa dah nimechelwe kujua thanks 🙏

  • @priscalwangili4278
    @priscalwangili4278 Před 2 lety +7

    Dkt. Chris you're a blessing to us we get new insights every time you give a lecture. God bless 🙏

  • @ismailidrisa7685
    @ismailidrisa7685 Před 2 lety +1

    Drive safe or fika salama
    Nijurishe ukifika or let me know ukifika
    Tunaweza kutoka wote
    Take care or be careful
    Siku yako ilikuaje or imeendaje
    Im proud of you na mshukuru mungu kwaajili yako

  • @user-ei2ud7gh5h
    @user-ei2ud7gh5h Před 25 dny

    Shukran Dr Chris ❤❤

  • @happynessswai3922
    @happynessswai3922 Před 3 lety +13

    Mmmh!
    Wengine tumefanya hvyo lakn bado chenga
    Inategemea mtu mwenyewe

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  Před 3 lety +3

      Ushauri unaweza kuleta badiliko.
      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @emmymzava9445
      @emmymzava9445 Před 3 lety

      @@ChrisMauki1 mm nataman kuongea nawewe lkn sion namba yako ya simu jamn mm nataka ushaur wako

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  Před 3 lety +1

      @@emmymzava9445 0713407182

  • @mugishabella5193
    @mugishabella5193 Před 3 lety

    Shukran Sana ka somo lako Mimi ndo nataka kujifunza sasa kumwambia hayo maneno

  • @sumaiyabakary2692
    @sumaiyabakary2692 Před 3 lety +1

    Mungu wetu wa mbinguni aendelee kukutunza kwa ajili yetu, Amein🙏

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  Před 3 lety

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @mariamkivuyo8154
      @mariamkivuyo8154 Před 3 lety

      Mungu akubariki doct kwa mafundisho yako

    • @zerozombiee7139
      @zerozombiee7139 Před 2 lety

      @@ChrisMauki1 DR nina shida cna namba yako nakupataje

  • @mercyadangahi1991
    @mercyadangahi1991 Před 2 lety +5

    Thanks so much for the words of wisdom. Be blessed

  • @euniceomaore6442
    @euniceomaore6442 Před 3 lety

    Najifunia wew wouh good teacher nafuatilia vixur

  • @romainehabamungu3504
    @romainehabamungu3504 Před 3 lety +2

    Merci beaucoup Docta Chris , Asante sana kwa mafundisho yako mema. so mazuri sana mara kwa mara.

    • @leticiaisaya140
      @leticiaisaya140 Před rokem

      Asante nashukuru sana jaman kwa mafundisho hayo mazuri

  • @baltazarmsungu9605
    @baltazarmsungu9605 Před 2 lety

    Thanks docta kwa mafundisho ,nimejifunza kitu kwenye comment kwamba hutakiwi kujibu short unatakiwa kuonesha na wewe unamjali kwa kumjibu vizuri .

  • @aysherrashidy1265
    @aysherrashidy1265 Před rokem

    Nashukuru nmekuerewa nitafanya ivyo nampenda et

  • @saudacharles2480
    @saudacharles2480 Před 2 lety

    Asante Sana naendelea kujifunza mambo mengi Sana

  • @rehemalameck5283
    @rehemalameck5283 Před 2 lety

    asate san mwalimu mungu aku barikii sana

  • @estherdeodatus3565
    @estherdeodatus3565 Před 2 lety +2

    These are important issue,thank u

  • @lacadettedorcas6764
    @lacadettedorcas6764 Před 3 lety +2

    Asante kwa kweli dicta

  • @taushilal590
    @taushilal590 Před 2 lety

    Dah nilichelewa wapi kwahaya mambo mazur kabisa mungu akubarik dr

  • @user-dv3qu8jc5b
    @user-dv3qu8jc5b Před 7 měsíci

    Mungu akubariki Doctor 🙏

  • @Dreamchaser6692
    @Dreamchaser6692 Před rokem +3

    I always learn alot from your teachings, God bless you . Have been your silent follower

  • @felixmhando1733
    @felixmhando1733 Před 3 lety +43

    Unakuta kuna mtu anatumia haya kwa mke au mume wa mtu. "pepo ushindwe kwa Jina la Yesu"

  • @SIKURICHAShop
    @SIKURICHAShop Před 5 měsíci

    Asante sana mungu akubaliki

  • @Michelleayo-w5m
    @Michelleayo-w5m Před 18 dny

    wow thanks

  • @juliethhoseamnyambi6080

    Kwakweli umenifundisha mungu anisaindie

  • @judithponera748
    @judithponera748 Před 2 lety

    Asante dr tunapokea mafunzo mazuri sana ambayo tulikuwa hatuyafahamu kabisa.

  • @AbubakarHamisi-vj9wb
    @AbubakarHamisi-vj9wb Před 8 měsíci

    Chris mauki wew n noma sana🎉

  • @kajenjemusiba496
    @kajenjemusiba496 Před 3 lety +2

    Maneno mazuri Asante

  • @angelanderson5066
    @angelanderson5066 Před 3 lety +1

    Waooo somo zuri asanteee kwa mafundisho🙏🙏

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  Před 3 lety

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @moonpatienceongara5607
    @moonpatienceongara5607 Před 3 lety +29

    Haya maneno yanafanya kazi tu kwa mwanaume/ mwanamke anayejielewa na kweli yuko mapenzini na wewe. Kama ni wale wa kupita anaona kama unaingia deep so naye anakazana kutoyatilia maanani kwakuwa wewe sio chaguo lake.
    Binafsi nimeyatumia kwenye mahusiano mawili tofauti na yanafanya kazi kwenye mahusiano niliyonayo sasa kwani mwanaume kweli anaenjoy mpaka na yeye sasa amejifunza ananiambia mimi pia. Ila mahusiano nilyotoka niliwahi kumwambia hiyo ya kumtoa nikajibiwa wewe mwanamke kaa ndani.😅🤦‍♀️

  • @user-ej2hj4zr9y
    @user-ej2hj4zr9y Před 6 měsíci

    Shukrani Sana my brother ❤

  • @TrizahBhoke
    @TrizahBhoke Před 9 měsíci

    Thank you so much kakangu unafunzo nzuri sana

  • @bahatimateru7098
    @bahatimateru7098 Před 2 lety

    Asante doctor

  • @IssabellaJohn
    @IssabellaJohn Před 4 dny

    Ngoja nipunguze ukal

  • @kuruthumrajabu2394
    @kuruthumrajabu2394 Před rokem

    Sijutii kukujua na hasa kupitia mafunzo yako walahi Mungu akubariki mr mauki

  • @erikalutevele8362
    @erikalutevele8362 Před 3 lety +1

    Mungu wetu azidi kukubariki zaidi

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  Před 3 lety

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @user-ll2jo6ir3m
      @user-ll2jo6ir3m Před 2 lety

      Hyln thanks bro bt wanaume wengne ata u2mie haya maneno hawaridhiki

  • @edsonnickernest6897
    @edsonnickernest6897 Před rokem

    Thanks San Dr nimejifuna kitu nahis atanipenda tu na tutapendana👍

  • @ashuraadam1874
    @ashuraadam1874 Před rokem

    Shukran jambo Zur San 🙏🙏🙏🙏

  • @heavenlight5084
    @heavenlight5084 Před 3 lety

    Yaani ni mafundisho mazuri sana,ila sasa kwa waelewa Mr Mauki, yaani

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  Před 3 lety

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @maduhundamo9411
    @maduhundamo9411 Před 3 lety

    Umenikosha sana Chris mauki

  • @gloryleonard3576
    @gloryleonard3576 Před 3 lety +4

    Asantee sana doctor tatizo wa kumwambia sasa unakuta mwingne anakujibu short tu

  • @abongaebuka798
    @abongaebuka798 Před rokem

    Uko sahii Dr chris

  • @purityrehema543
    @purityrehema543 Před 2 lety

    Shukrani sana Dr. Chris

  • @user-ng3ns8me3s
    @user-ng3ns8me3s Před 7 měsíci

    Asante sana

  • @rehemampangala5544
    @rehemampangala5544 Před rokem

    Asante Dr kazi yako ni njema

  • @chamdomalukua1032
    @chamdomalukua1032 Před rokem

    Ahsante..kaka nimejifunza

  • @nkwimbamwigulu2052
    @nkwimbamwigulu2052 Před rokem

    Ahsante Sana kwa kipindi kizur mwalimu Chris mm nna swali.... Nataman kuwan mtu wa tofauti au mtu mpya kila nnapowasiliana na mpenzi wangu,ili kulitimiza hili ni mambo gan ambayo napaswa niyazingatie?

  • @gladnessmichael9384
    @gladnessmichael9384 Před 10 měsíci

    Ubarikiwe

  • @ericanduye5876
    @ericanduye5876 Před 3 lety

    Asante Sanaa kwa kuendelea kunifundisha, ila Sasa Kuna changamoto natumia haya maneno na huwa sichoki kutumia ila haoneshi kujali yaani unaweza muuliza Siku yako imeendaje mpenzi, anavyo jibu (poa) imeisha hiyo. Kidogo huwa inanitesa napata jibu ambalo sikutarajia

  • @ZawadiKhamis
    @ZawadiKhamis Před rokem

    shukrani

  • @immaculatemushi6681
    @immaculatemushi6681 Před 2 lety

    Asante baba

  • @damarismoraaalloys5431

    I love this mm ni matusi tu kwa mapenzi wangu 😢

  • @user-vk3yz8gs1j
    @user-vk3yz8gs1j Před rokem

    Asantesan

  • @nasrakikombe2231
    @nasrakikombe2231 Před 3 lety +8

    I really like it wallah 🥳♥️♥️

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  Před 3 lety

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @unileverldsengineering9541
    @unileverldsengineering9541 Před 3 lety +37

    Drive safe
    Let me know when you arrive
    Tunaweza kutoka wote
    Take care
    How was your day
    Am proud of you

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  Před 3 lety +6

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @ericongoa1430
      @ericongoa1430 Před 2 lety

      @@ChrisMauki1 Thank you so much 🙏🙏🙏

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 Před rokem

      Nice

  • @sadymazige
    @sadymazige Před 11 měsíci

    Thanks dear brother.That's true

  • @nurujuma2889
    @nurujuma2889 Před 2 lety

    Ahsante Sana Kuna Vitu Umenisaidia Sana Dr Mungu Akubariki Sana Naimani sitakuanguasha Kwa Masomo Yako Naimani Mungu Atanipa Mme Sahihi kwangu name Nitakuwa Sahihi kwake

  • @moonpatienceongara5607

    Ahsante sana daktari

  • @eunicefalex4403
    @eunicefalex4403 Před rokem

    Dr Chris mie mume wangu hata ukimuandika hajibu meseji hata ukimwambia mambo mazuri hakujibu

    • @user-gg3on2hh7s
      @user-gg3on2hh7s Před 7 měsíci

      😂😂😂😂Kuna wengine vizanga jamaniii

  • @user-ev9yp5zc4m
    @user-ev9yp5zc4m Před 2 měsíci

    Asante sana Dr Chris...Huwa nafatilia sana mafundisho Yako...swali lang kwenye somo hili...Mume Wang kila ukimuuliza siku yake ilikuwaje hakuna siku aliwahi kusema ilikuwa nzuri Tena ukimuuliza ndo atakupangia shida zinazoonesha umsaidie Pesa ni Zaid ya mwaka ..Unaweza ukaacha hata siku 3 ya 4 ukimuuliza majibu yake ni hasi tu,..Je naweza kumsaidiaje?

  • @AlexMbunda-ye7to
    @AlexMbunda-ye7to Před 3 měsíci

    Napenda sana mafundisho yako bro

  • @amarabeid3499
    @amarabeid3499 Před 3 lety +2

    ur the best teacher

  • @Kalambo-bb3sh
    @Kalambo-bb3sh Před rokem

    Barikiwa

  • @user-mi5sh9wv3p
    @user-mi5sh9wv3p Před 8 měsíci

    Thank you baba

  • @revinaedward6616
    @revinaedward6616 Před 2 lety

    Asante sana ila kuna wengine hawajali kabisa yan hata ubembeleze vipi