Mimi kuna mkaka huwa anakuja hapa home kuchukua chakula anakipeleka dukan kila hakiĵa huwa anapenda sana kuniangalia usoni hata nikimpa chakula mkonon anagusa mkonon na anapenda sana kunisogerea sana sielewi jaman ushauli plz🙏
Yupo anaeonyesha kunipenda ila anaishia kuwahadithia marafiki zake tu wala hanipi muda wa kuwa na yeye 😢 naumia mno coz na mimi nampenda ila naogopa kumwambia
No1 ku like na kukomenti 😁
🔥🔥🔥
Kwani likes zinafaida gani jamn? Naomben na mm like moja😂
Fafanuo media sina cha kuwalipa ila kweli mmenifanya dunia iwe rahisi kwangu
🤝🤝🤝
Mimi kuna mkaka huwa anakuja hapa home kuchukua chakula anakipeleka dukan kila hakiĵa huwa anapenda sana kuniangalia usoni hata nikimpa chakula mkonon anagusa mkonon na anapenda sana kunisogerea sana sielewi jaman ushauli plz🙏
Huyo anakutaka asee tena kimahaba mazitoooo😎🖕🙌😜😎💤❤❤❤but hakuambiii 2
😂😂😂😂😂😂😂hiyo nayo maybe zama za kale sio sahi ukiona unaangaliwa sana maybe unakosolewa ama ukiitwq mpenzi inamaanisha wewe ni kipenzi kitazamaji😂😂😂
Ww kahaba ndio michezo yako
😂😂😂😂😂😂
😂😂❤
@@SkippersSecurity-k9k ukweli
Yupo anaeonyesha kunipenda ila anaishia kuwahadithia marafiki zake tu wala hanipi muda wa kuwa na yeye 😢 naumia mno coz na mimi nampenda ila naogopa kumwambia
zubaa utajiju
Wewe ni mwanaume usiogope mwambie2
😆😆😆😆
EEE hiv kumbe mwanaume hatakiwi kuogopa eee😮😮😮😮😮
Ukweli kabisa
Aaahhh kibongobongo ukiangaliwa sana ujue kichambo kinakuhusu 😀!
Da utakuta wadada wawili Kila siku nikipita lazima wanitazame hao hao yaani Hadi sie lewi yani
@@IsmailKisoma hahaha sasa hapo kaka una homework yakufanya 😀 itabidi utafute njia ili upate kujua kwanini wanakuangalia kila ukipita!
Beautiful friend
Shida unakuta mwingine a nakupenda lakini ukimtongozq tu mnakuwa maadui anaanza aibu aibu za ajabu
Noma Sana jamani😁😁😁😁kina kibiti hapa basi tuu mungu ana jua 👏👏👏👏👏
😂😂😂😂😂😂😂 siunde
Absolutely true 👌🤣🤣Hve fallen in love with someone but it's hard to express my feelings to him🤪am madly in love with him 😝lyk seriously
😂😂😂🎉🎉🎉
Hhh
Your voice in ever convincing bro. 😍😍😊😊😂
Iyo ni kweli kaka
Penda penda usimpende Mume/Mke wa mtu 🙅🙅🙅
toka nimezaliwa nna miaka 26 sasa wallah sjawahi kuona mtu ananipenda 😂😂😂😂😂
Labda huinekanibmdo maanaa😂😂😅
@@MerlinaKubadesha 🤣😂
Duh hatuchekani kumbe😂😂😂
Nikweli kabisa kuna aibu na unamwanhalia kwa kumwibia akiwa around unatamani asiondoke japo una story nae uwepo wake tu unanenepa
Mimi sijaona ishala yoyote ile kwangu😂😂😂
Duh ni kweli kabxaaaa
Thanks
Saizi baba kipengereeee saizi unarogwaaaa
😂😂😂😂😂😂
Asante sana kaka 💙💙💙
Really
Duuuh! Sa suluhisho ni nn, au tutumie njia gani ili kufikisha ujumbe kama kusema tunashindwa.❤😢
🍓🍒 Ukiona kiashiria hiki ujue anakupenda ila anashindwa kukwambia
Aah
@@ghaniyyatkinyogoli8214 kabisa
Go direct to the point unajizungusha SANAAA shenziiiiiii🗿
Nice
Nce bro
Kuna MTU nampenda sana basi tu
Bravo ukovizur🎉🎉🎉
waoooo❤❤❤❤
Kuna mtoto wa mtu ananichanganya 🎉
Good
Excellent
Hiyo ni kweli kbsa
Naipenda hiyo
Mmmmh,ok
Halow Mimi sijawahi kupenda Wala kupendwa mapenzi yauaa
Bas kuna mkaka nampenda mweeeh naogopa kumwambia jmn
Ni mm hapa😋
Mimi pia jaman🥰
@@angelathanas5993 nipe no zak za wtsp tuzungumze kidg
Mwambie shoga yangu usipomwambia itakutesa milele ata kama utakuja kuolewa utakua unamuwaza yeye tu, tafuta namba yake ukiipata mtumie sms
zubaa utajiju utakuja kupishana
Kweli
Pitia kwangu nausubscribe
Kweli😋😋😋😋
Je kama unampenda alafu yeye akupendi utafanyaje ili akupende
Kama haujapendwa pumzika wako atakuja😂
@@tashashabackumeongea bro
siyo watoto wa 2000
SIJUI JMN MM NAONA SIPENDWII
Ukweli mtupu!!!?😂😂😂😂😂😂
😅Safi iyo
Ni kweli kabisa
Simi duke rmx
😮
Like
🙋🏼♀️🙋🏼♀️🙏🙏🙏🙏jamani
Acha nitafute pesa tu mapenzi yataniua
'namba moja picha yako
Mimi iyo yakwanza mpaka ya 3 niyangu.
Begup man
Kkwangu Mimi hao Ni wengi wananitaka rakll llll
Kweli kabisa
Je nitafutie
Shukrani
😋😋😋😋
Ukweli kabisa
Sasa nini cha kufanya, maana unaweza kumtongoza akakuzingua
Akikuzingua hakutaki😂😂😂
Video zenu zimenifunza mengi
Wasoma comment tujuane
😂😂
Kumb
Asee kuna manz inanielewa sana lakin inaogapa kuniambia.
Mwambie wewe
Blood vZr cn
Good
Hiyo ni kweli kbsa