DAKTARI ATOBOA SIRI,VYAKULA VYA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME, PILIPILI YATAJWA KUJICHUA HAKUPUNGUZI NGUVU
Vložit
- čas přidán 27. 11. 2023
- All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz - Zábava
Nimekuelewa docter ata mimi ni mtumiaji wa pili pili vizuri sana
Nimejifunza Mengi Asante sana Times Fm
Asante daktari,ukweli wa dhati hayo.Akili nzuri yenye maarifa nzuri.
Huyo docta yupo vizuri Sana anasema kweli . Defao
Hongera doc kwa mafunzo mazuri Mola akulinde na akuzidishie elimu
Ubarikiwe sana na Mungu DOCTOR
Sawa kabisa doctari. Nimekufata kutoka Drc.
Unatusaidia doctor barikiwa
❤❤doctar ongera sana nimechukua moja mbili thank you
Duuu!!! Huyu docter Yuko vizuri kwa maelezo, Hawa ndyo tunawataka, syo hao wanaotaka pesa tuu!!
Asante kwa elimu
Ooooh nimejua Sasa Asante sana doctor
Asante kwa elimu nzuri mtaalam mungu akubariki sana
Funzo nzuri sana dak, upande wa kupiga punyeto nimesikita kw makini na n ukweli jibu lako liko sawa, mahana mm sijao lakn nmejijua zaidi ya miaka kumi lakn bdo nko sawa, nkiwa na mechi nacheza vizuri zaidi ya dakka 90+. Napendwa sana ninavyocheza game yangu
Heeeee
Ubarikiwe Sana docktar kwahayo ulio elezea
Good education Mungu awabariki mwendelee na kazi hiyo Bila kuchoka
Asante kwa somo zuri.
Asante sana Daktari nimepokea mafunzo kamili
Na nahona wewe mdada unahuliza saana, unapenda ngoma!!
Dr anaongea point saaana
Je. Kuinama sana mgongo kuuma inaweza kudhuru
Doctor uko vzr sanaa aise nimependa somo lako
Ahsante doctor nimekuelewa vzr nipo similar na hivyo vyakula
Ubarikiwe Doctor kwahilo somo.
Asante sana daktari nimekuelewa vizuri san
Asante docteur nimekupata kutoka Burundi
Oooooh kumbe nmekuelewa docta 👏👏👏👏
Shukrani sana
Doctor shikamoo! Ningeomba uzame zaidi kwenye sababu za kisaikolojia na jinsi zinavyoadhiri tendo la ndoa. Vyakula vina sehemu ndogo tu! Ila mwangalie sana huyo mwanadada! Kuna la zaidi anahitaji hupendi kuona!
Nimekukubali sana dr
Huyu dokta namuona mbali sana
Nimependa hayo mambo umesema Daktari.
Nimeelewa thank you
Uko vizuri docta
Hongereni sana
MashaAllah,mafunzo mazuri sana🙏
Dr.asali ya nyuki wadogo ni tofauti na asli ya nyuki wakubwa Dr.
Thanks doctor
Nashukuru Docta kwa huo ufafanusi
Ahsante kwa mafunzo doctor
Docta ubarikiwe sana mtu wa Mungu kwa mafundisho mazuri ya kiafia umenibariki sana
Asante Sana
Asante doctor
Umenifunza brother Asante nimekuamini
Nikiwafuata kutoka Burundi, nafurahia Sana maelezo haya ya Daktari, abarikiwe sana na hii Radio ibarikiwe pia
Nzuri sana,nimekuelew kamanda,endelea kudumu watanzania weng wanufaike na uwepo wako
Well spoken
Ubarikiwe sana
Kweli upo vizuri docta
Very Good
Uko sawa docter
Huyu mwamba yupo vizuri sanaa
Thank you so much 💓
Jambo zuri Doctor
Nimefuatia vipindi vyako na nimefanya baadhi ya mazoezi (spel) zinanipa matokeo chanya tuko pamoja mungu atusaidie amen.
Muko vyema sana❤
Napenda mtu anaeongea vitu sahihi ambavyo nimekwishakufanya na kuona matokeo,nmekufatilia kwa kurudiarudia baaac ukaniongezea uhakika wa why am so strong na ni matokeo ya mengi uliozungumza...you are super broo
Huyu jamaa anajitambua sio politique
🎉❤🎉🎉🎉🎉
@@tusajigwe74910:00
Nashukuru Dakitari Kwa mafunzo yako
Uko vzr
Dokta nimekuelewa sana uposawa kbsa
Dr uko sawa
Congratulations doctor
Very good but the background music is not supposed to be there
Nakuombea maisha marefu dockt
Perfect!
Hongera 'ndungu kwa ushaurî kqfuti ni tunda ao tweleze 9:00
7:21 Mpeni Daktari glasi ya kunywea maji.... kunywa maji moja kwa moja husababisha upungufu wa nguvu za kiume 😎
Nikeelii upungufu huu wangubu za kiuime ni shiida tanzania
Jamaa nimemuelewa safi sanaa
Swala la Imani ni kweli kabisa
Nimeupenda sana ushauri huu,ASANTE SANA DR.
Pweza ana madini zink ya ambayo yanasaidiaa na kuhusika moja kwa moja na nguvu za kiume lakini haiwez kuwa busta ya siku moja ukanywe supu ukapata nguvu wengi wameaminishwa hivyo kifikra, ila pweza ana madini joto na mengino yanayosaidiaa mfumo mzima mwanaume kama atakuwa ndyo samaki wako kila siku basi unaweza kupata matokeo mazuri, na sio pweza tu kuna samaki wengineyo kama chanza ,mkunga n.k
Yaani wanaume wa dar hatutoboi kbs vyakura vyot ndo ivo
Safi docta
upo saw
SHkrn doctor
Nimekusoma doctor upo very
Aisee inapendeza kwa elimu na ufundishaji wako upo vizuri huposhi umezama ndani yasoma safi
Ni kweli doctor
Alicho kisema doctor ni kweli kabisa
Mungu akupe umri mrefu ili uendelee kutuelimisha
Nimekuelewa
Doctor uko sahihi,binafsi nishajichunguza kila baada ya mfungo wa Ramadhani nakuwa vizuri mno,so shida ya yote ni ulaji mbovu
Asante
Hawa wanawake wanaomhoji inaonekana waume Zao Wana hyo shida. Wanahoji Kwa hisia sana. Docta ukimaliza jiongeze uwasaidie
😂😂😂😂😂 kwel kabisa
Ni kweli
Duuh
Jamaa Yuko vzr
Hili ni bonge la daktar mungu liongezee umri nokumba
Pamoja Sana
Hapo kwauchafu hapo mi nipo mungu asamehe comment yangu insha’allah
Docta umesahau,washauli wanaume wa dar,maharage hayafai na sukari kûtumia mda mchache kabla ya kwenda kweñye tendo Sasa dar unakuta maharage anachanganya na sukari,😅😅 bomu ndani ya bomu lazima adebhele na hata Kama ukila lazima tukumbuke na mazoezi
Waume musipate tabu mimi kama sadaka naitoa kwenu hii tumieni sana vitunguu saumu na karafuu tafuneni hivi viungo kunyweni na maji halafu mutashukuru.....
Duuh
Nitumie namba yako
Yes
Karafuu unatafuna kiasi gani
Ati unasema?
Hakika umeongea uhalisia🙏🙏🙏
Watu wenye kisukari kula matunda ni changamoto.Kwa sababu.matunda yaliyomengi yana sukari.Km chungwa,embe,papai,nanasi,water melon nk.na tunazuiwa kula hayo na ukitaka kuyala kula kipande kidogo.Hapo tunafanyaje
Ahsant doctor
Kiufipi pweza sio tunavo aminishwa wow
Dada umeongea vema kuhusu mazingira na uchafu yanachangia, Mimi mwanamke mchafu na maneno mengi nakosaga hisia naacha kabisa
Doctor yuko sawa kabisa japo appearance ni ya kiaskari😂
Kwenye asali umekosea sana. Tafiti tunazoendelea nazo zinaonesha utofauti mkubwa Sana kati ya asali ya nyuki wanaodunga na asali ya nyuki wasiodunga. Fuatilia vizuri urekebishe hiyo sehemu
Nimekuelewa Dr,kumbe cha msingi ni kufuata maelekezo ndo ushindi utapatikana
Dokta nakupata sanaa
KWELI nimejifunza
Perfect...Huwezikula kitu dampo muda mrefu 😂😂😂